Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM Mara Watishia Kufanya Maandamano

$
0
0
Chama  cha Mapinduzi  wilaya  za Rorya na Musoma mkoani Mara  wamemtaka  waziri  mwenye dhamana na serikali za mtaa kuchukua hatua za haraka kwa wakurugenzi  wa halmashauri hizo  kabla ya kuitisha maandamano ya kuwatoa katika ofisi zao  kwa madai ya  kuvuruga  zoezi  zima  la  uchaguzi  wa serikali za mitaa. Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya Rorya Samwel Kiboye, amesema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>