Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uchaguzi Serikali za Mitaa: UKAWA Kigoma wafanya Maandamano Makubwa

$
0
0
Mamia ya wananchi na wafuasi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika kata ya Kumsenga wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wameandamana kupinga wagombea wa UKAWA kuondolewa katika uchaguzi wa serikali za vijiji uliofanyika jumapili iliyopita katika vijiji vya kata hiyo kutokana na hila za maafisa wa serikali.   Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani Kibondo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>