Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wakazi 500 wa Kiseke Mwanza, kuhama kupisha mnara wa Rada

$
0
0
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania – TMA, kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Nguvu za Atomiki imewataka wakazi wa Kiseke jijini Mwanza wanaoishi ndani ya eneo la mita 500 hadi kilometa moja toka eneo ulipojengwa mnara wa rada ya hali ya hewa kuhama mara moja ili kujikinga na madhara yanayoweza kusababishwa na mionzi pindi mtambo huo utakapoanza kazi rasmi.   Meneja wa mradi huo wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>