Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali "kuwaanika" wanaoiba dawa kutoka MSD

$
0
0
Serikali imesema itawataja hadharani watu wote wanaodaiwa kujihusisha na wizi wa dawa zinazonunuliwa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Madawa (MSD) ili waweze kutambuliwa na wananchi, ambao wamekuwa wakichangia ukosefu wa dawa katika vituo vya afya na hosipitali za serikali hapa nchini.   Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Dornald Mmbando wakati wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>