Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi

$
0
0
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye  anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia majeraha bila kutibiwa wala kula chakula. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda,  mama aliyefanya ukatili huo (jina linahifadhiwa) ni mkazi wa mtaa wa Eden,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>