Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hatimaye Mwili wa Aisha Madinda Wafanyiwa Uchunguzi, Kuzikwa Leo Mchana

$
0
0
Baada ya danadana nyingi, hatimaye mwili wa mnenguaji Aisha Madinda unafanyiwa upasuaji muda huu katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam.   Akizungumza na mtandao wa Saluti5, mkurugenzi wa Aset Asha Baraka amebainisha kuwa upasuaji umeanza dakika 10 zilizopita na ni zoezi linalotarajiwa kuchukua masaa mawili.   Asha Baraka amesema baada ya zoezi hilo, watauosha mwili wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>