Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema

$
0
0
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema (pichani)  Disemba 16  amejiuzulu nafasi yake na tayari amemwandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Jakaya Kikwete.   Mwanasheria mkuu, pamoja na baadhi ya wanasiasa na maafisa waandamizi wa serikali walituhumiwa kuhusika kwa namna moja au nyingine kufanikisha kufanyika kwa miamala haramu ya fedha za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>