Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 7 Wafariki katika Ajali Mbaya ya Basi la Mohammed Trans

$
0
0
Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi la Mohammed Trans  lililokuwa likitoka Mwanza kuelekea Dar es Salaam, kukatika 'steering power'   na  kuacha njia na kisha  kupinduka.    Basi hilo limepinduka jana majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi walipelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>