Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yasikitishwa na dosari katika uchaguzi wa Serikali za Mtaa.....Yataka waliohusika na uzembe huo wachukuliwe hatua kali

$
0
0
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema hakioni sababu ya suala la waliohusika kusababisha dosari zilizojitokeza wakati wa zoezi la upigaji kura kuundiwa tume au kuchunguzwa wakati wanajulikana. Chama hicho kimesema kuwa badala ya hatua hizo, watu hao wachukuliwe hatua, huku kikieleza kusikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza ambayo wamedai yalitokana na uzembe wa watendaji wachache.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>