Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uchaguzi wa marudio, Katibu wa Mbunge ajeruhiwa Vibaya

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilayani Iringa kimelalamikia rafu na kasoro mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Disemba 14 na kusema kuwa uchaguzi huo uligubikwa na kasoro nyingi ambapo wakati uchaguzi huo  wa marudio  ukiendelea hapo jana, watu wasiojulikana wamemshambulia kwa nondo na mapanga katibu wa mbunge wa Iringa mjini Bwana Joseph

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>