Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Auawa akishangilia ushindi wa CHADEMA

$
0
0
Imeelezwa kuwa uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Serikali za Mitaa nchini uliofanyika juzi Jumapili umeendelea kumwaga damu ambapo mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Simeo Isaka (42), mkazi wa kijiji cha Ngokolo kata ya Bukomela wilayani Kahama mkoani Shinyanga, ameuawa kwa kukatwa na jembe kichwani na watu wasiojulikana wakati akishangilia ushindi wa mgombea wa Chama Cha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>