Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aliyeshinda CHADEMA Akutwa Amekufa Kisimani huko Geita

$
0
0
Kumetokea hali isiyo ya kawaida iliyowastua wananchi wa mtaa wa Msalala Road mkoani Geita ya kuondokewa na mgombea wa nafasi ya Wajumbe wa Serikali za Mitaa (Viti Maalumu) kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bertha Nchimanyi (40) baada ya kukutwa amekufa kisimani. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana majira ya saa 9:00 wakati mgombea huyo alipotoka nje kuongea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>