Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mganga wa Jadi awachoma Moto Wateja Wake

$
0
0
Mganga wa tiba za asili, Omari Kikukwa (32) mkazi wa Kijiji cha Bondo , Kata ya Mswaki wilayani hapa anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha kifo cha mtu mmoja.   Aziza Hassani (35) mmoja wa mwanafamilia aliyenusurika kwenye mkasa huo akisimulia kuwa ilikuwa tarehe 27 mwezi uliopita yeye, mama yake pamoja na watoto wake wawili walipelekwa kwa mganga wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>