Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM Mtwara yakiri kukabiliwa na upinzani Mkubwa

$
0
0
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Mtwara kimekiri kuwa upinzani umekuwa mkubwa hasa maeneo ya mjini baada ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kuonesha kuwa CCM imeshinda viti 58, wakati vyama vya upinzani vikiwa vimeshinda mitaa 53.   Akitoa taarifa ya matokeo hayo katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Shaibu Akweilombe amesema mitaa iliyoshindaniwa katika manispaa ya Mtwara mjini ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>