Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi Sita yauawa mkoani Kagera

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani kagera limefanikiwa kuwauwa majambazi Sita waliokuwa wanapanga kuteka mabasi katika eneo la Ngazi Saba wilayani Biharamulo. Akizungumza mkoani Kagera Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera Henri Mwaibambe amesema jeshi la polisi lilipata taarifa ya kwamba kuna kundi la majambazi linafanya mpango wa kuteka magari na kufanya uporaji katika eneo la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>