Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waingia Dosari

$
0
0
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika jana nchini Tanzania ulitawaliwa na kasoro na vurugu zilizosababisha polisi kutumia risasi na mabomu ya machozi huku baadhi ya wapiga kura wakipigana sehemu tofauti tofauti nchini. Vurugu hizo zilitokana na uchaguzi huo kugubikwa na kasoro nyingi na hivyo kusababisha baadhi ya vituo kulazimika kuahirisha uchaguzi hadi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>