Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shinyanga: Aua mke kwa kumpigia kura mgombea wa CCM

$
0
0
Katika mtaa wa Mwandu kata ya Tinde  wilaya ya Shinyanga mkoani Shinyanga, mwanaume mmoja amemuua mke wake kwa kumpiga makonde kutokana na kile kinachoelezwa kuwa kwa kumchagua mgombea wa CCM badala ya wa CHADEMA. Imeelezwa kuwa mwanaume huyo ni mfuasi wa CHADEMA huku mke wake akiwa ni mfuasi wa CCM. Tukio linaelezwa kuwa limetokea jioni ya jana baada ya mume kumuuliza mkewe

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>