Muimbaji wa Mduara, AT ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili na
iliyofunguliwa na mganga wa jadi kwa madai kuwa hakulipwa fedha baada ya
kumpandisha nyota na kupata mafanikio mengi.
Akizungumza XXL ya Clouds FM, AT amesema uamuzi huo ni faraja kwake kwakuwa ilimfanya ashindwe kufanya mambo yake.
“Hukumu imetolewa kama dakika tano zilizopita lakini tulikuwa
tumefika toka asubuhi saa
↧