Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

AT ashinda kesi dhidi ya mganga wa jadi aliyemshitaki kwa kutomlipa pesa baada ya kupandisha nyota yake

$
0
0
Muimbaji wa Mduara, AT ameshinda kesi iliyokuwa ikimkabili na iliyofunguliwa na mganga wa jadi kwa madai kuwa hakulipwa fedha baada ya kumpandisha nyota na kupata mafanikio mengi.   Akizungumza XXL ya Clouds FM, AT amesema uamuzi huo ni faraja kwake kwakuwa ilimfanya ashindwe kufanya mambo yake.   “Hukumu imetolewa kama dakika tano zilizopita lakini tulikuwa tumefika toka asubuhi saa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>