Mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu Lowassa, Fredrick Lowassa leo July 21,2020, ameongoza kura za maoni katika Jimbo la Monduli mkoani Arusha baada ya kupata kura 244
Katika nafasi ya pili yupo Julius Kalanga aliyepata kura 162 huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na Wilson Lengima aliyepata kura 149.