Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Washindi wa uchaguzi kwenye kura za maoni za Ubunge wa CHADEMA waliopita kwenye majimbo yao

$
0
0
Washindi wa uchaguzi kwenye kura za maoni za Ubunge wa CHADEMA waliopita kwenye majimbo yao ni  kama ifuatavyo:

1.Mshindi Jimbo la Kawe ni Halima Mdee mwenye kura 63  (71.5%).

2.  Tarime Mjini mshindi ni Esther Matiko mwenye kura 80 (97. 6%) 

3. Tarime Vijijini mshindi ni John Heche ambaye amepata kura 268 (99.2%) .

-Heche alikuwa Mgombea pekee na alihitaji tu kura za Ndio au Hapana, kwenye kura zilizopigwa, kura za Ndio ni 268 (99.2%),zilizoharibika ni 2 (0.74%) hakuna kura ya Hapana

4. Mshindi Jimbo la Bunda Mjini ni Ester Bulaya mwenye kura 126 

5. Jimbo la Iramba mshindi ni Jesca Kishoa mwenye kura 134 (98%) .

- Jesca alikuwa Mgombea pekee na alihitaji tu kura za Ndio au Hapana, kwenye kura 136 zilizopigwa, kura za Ndio ni 134 (98%), zilizoharibika ni 2 na hakuna kura ya Hapana.

6. Jimbo la Isimani mshindi ni Patrick Ole Sosopi mwenye kura 115 (82.6%).

7.Mshindi jimbo la Mbeya Mjini ni Joseph Mbilinyi (Sugu) mwenye kura 294

- Sugu alikuwa ni Mgombea pekee na alihitaji tu kura za Ndio au Hapana ambapo amepata Ndio 294 na Hapana 5.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>