Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Okoa Ndoa Yako Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Tiba Asilia Itokanayo Na Mizizi Na Magamba Ya Miti Shamba:

$
0
0
Kwa utafiti mkubwa uliobainika wanaume asilimia 70 wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo 

NA ndio chazo kikubwa kinachosababisha ndoa au mahusiano mengi kuvunjika .Mwanaume anatakiwa awe na uume mrefu kuazia nchi 5,6,7,au 8 vinginevyo mwanaume huyo atakuwa na upungufu  wa vichocheo hivi HORMONES ZA GETROGEN

Tumia dawa YA MWIMALA huboresha uume wako saizi upendayo

SHAFTI POWER ni dawa ya nguvu za kiume hutibu matatizo matatu kwa pamoja;
1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni 
3 kulegea kwa misuli na uume, kusinyaa 

Tunatibu presha, fangasi, busha bila kupasua, vidonda vya tumbo, kisukar,i kutopata choo, magonjwa ya moyo, kupooza viungo, ngiri,

Tunapatika mbagara karibu na amana benki kwa wateja wa mwanza na mikoa jirani yupo wakala wetu au wasiliana nami DR MFAUME SIMU NO 0789234653. HUDUMA IZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO

Preety Kind: Naomba Waziri Anipunguzie Adhabu Maisha Magumu

$
0
0
Mwanamuziki wa Bongo fleva na Muigizaji, Preety Kind amefunguka baada ya kimya kirefu na kuiomba serikali msamaha na kumuangukia Naibu Waziri Juliana Shonza amsamehe.

Preety Kind aliyekuwa anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘vidudu washa’ aliomshirikisha Gigy Money alifungiwa mapema mwaka huu kwenye kufanya kazi zozote za kisanaa baada ya kutuhumiwa kuvaa nusu uchi mtandaoni na hata nyimbo yake kukosa maadili.

Waziri Juliana Shonza alitangaza kuwa Preety Kind atafungiwa kwa muda wa miezi Sita ambapo hatakiwi kujihusisha na kazi zozote za kisanaa huku pia akaunti yake ya Instagram aliyokuwa anarusha picha zake za nusu utupu kufungwa.

Ikiwa Miezi michache imepita yangu adhabu hiyo itangazwe Preety Kind ameibuka na kusema kuwa maisha kwake yamekuwa magumu kwani sanaa ndio ilikuwa njia yake pekee ya kuingiza kipato kwenye maisha yake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers Preety Kind amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yupo kwenye harakati za kumuandikia Waziri Juliana Shonza barua ya kuomba apunguziwe adhabu kwani Mambo yanamuendea kando.

" Nimeshaomba sana msamaha na ninaendelea kuomba ambapo kwa sasa ninaandika barua ya kuomba msamaha kwa Naibu Waziri maana maisha yangu hayaendi ni magumu”.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 41 na 42 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

Rafiki yangu mmoja akagundua lugha yangu ya ukimya, taratibu akaanza kunisogelea na kukaa karibu yangu. Nikaitoa simu na kuiweka mezani, hata kabla ya huyu rafiki yangu kuishika simu ikaita na kujikuta sote wawili tukiitazama. Nikaipokea na kuongeza sauti ya kusikia hata aliyopo pembeni yangu anaweza kusikia kinachozungumza na mtu wa upande wa pili.
“Dany muda umeisha, nipo ripoti”  
“Sijafahamu alipo?”
“Ohoo ujinga wako ndio umekufanya usifahamu alipo Asma, basi ngoja nimtangulize Rose kuzimu”
Nikasikia mlio wa Risasi, na kuisikia sauti ya Diana akilia kwa uchungu.
“Kaka Dany….wame…muuaaa wifiiiii”
Nikaisikia sauti ya Diana akizungumza huku analia kwa uchungu sana, nikajikuta machozi yakinimwagika, hadi Khalid aliye kaa pembeni yangu akajawa na huzuni kubwa usoni mwake.

ENDELEA
Watu wote ndani ya ofisi wakatugeukia na kututazama mimi na Khalid, naamini ukimya wao waliweza kusikia mlio wa risasi katika simu yangu na sauti ya msichana akilia.
“Dan……”
Khalid akamkatisha Yohana kwa ishara ya mkono na kumuambia anyamaze na asizungumze chochote.
“Nakupa lisaa jengine mbele ukifanya mchezo, huyu mdogo wako naye anaondoka duniani”

Simu ikakatwa na kujikuta nikishusha pumzi nyingi nikiwa sifahamu nifanye nini kwa wakati huu. Marafiki zangu hawa wakajisogeza karibu yetu huku kila mmoja akihitaji kuweza kufahamu. Khalid akaanza kuzungumza kwa lugha ya vitendo na kuwaelezea tukio zima na kwamba simu hii hapa mezani ina vinasa sauti maalumu ambavyo tukizungumza tu basi majambazi walio mshikilia mdogo wangu watamuua. Kila mmoja mmoja akajitoa na kuahidi kunisaidia katika hili. Yohana akaleta laptop yake na kuiweka mezani kwangu. Akaitazama namba kisha akaiandika kwenye laptop, akaanza kuitafuta kwa kutumia Satelait, kila mmoja macho yake yapo kwenye kioo cha Laptop. Baada ya dakika mbili alamua  nyekundu ikatokea kwenye kioo huku ikiwa na ramani ya kutuielekeza ni wapi Yudia alipo na kundi lake. Uzuri ni hapa hapa Dar es Salaam.

Nikachukua karatasi na kuiweka mezani, kisha nikachukua na peni na kuandika maelezo yanayo wauliza wezangu ni nani anafahamu alipo Asma jambazi aliye kamatwa wiki moja iliyo pita.
Kila mtu akatingisha kichwa na kudai hafahamu ni wapi alipoa.
‘Dany cha msingi ni kumuokoa mdogo wako’
Yohana aliandika maandishi hayo kwenye laptop, nikatingisha kichwa na mimi nikaandika kwneye karatasi.
‘Hilo ndio jambo la muhimu, ila K2 asifahamu, baada ya hii kazi nitawaeleza kila kitu kinacho endelea kwa K2’
Kila mmoja akanitazama usoni akiwa na hamu ya kutamani kusikia ni kitu gani ambacho ninakifahamu juu ya K2. Nikasimama nikaichomoa bastola ya kiunoni mwangu, nikatoa magazine na kukuta risasi za kutosha nikaichomeka magazine tena, nikaiweka simu mfukoni.

Nikawapa ishara ya kutoka ofisini hapo mmoja baada ya mwengine ili kuto kustukiwa na mtu wa aina yoyote hata kama K2 akituona. Nikaanza kutembea kwenye kordo, nikafika sehemu ya lifti, nikafungua, nikaingia na kushuka chini. Nikamkuta Lucy akiwa amesimama sehemu ya maegesho ya magari lengo lake kubwa naamini kwamba ana nisubiria mimi.
“Dany”
Aliniita huku  akinifwata, nikasimama na kumsubiria hadi sehemu nilipo simama. Akanitazama kwa macho ya aibu.
“Zungumza nina haraka”
“Dany ninaomba tuweze kutoka Dinner?”
“Sina muda”
“Hata kama ni kesho au kesho kuwa”
“Baada ya hapo?”
Nilimuuliza Lucy swali hilo huku nikiwa na hasira, akabaki akinitazama usoni mwangu kwa maana hakutarajia kukutana na swali zito kama hilo.

TANGA RAHA- Sehemu ya Thelathini ( 30 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

    Maneno yangu niliyazungumza kwa uchungu huku nikiwa ninatokwa na machozi na nikapiga hatua mbili mbela na kustukia mlio wa bastola na kujikuta nikiwa nimeanguka chini huku taratibu nikimshuhudia Rahma akianguka huku akiwa amejishika tumboni akitoa kilio cha maumivu makali hii ni baada ya Rahma kunivuta mimi pembeni na yeye kupigwa na risasi ambayo baba yake aliifyatua kwa lengo la kunipiga mimi ili kuniua

ENDELEA
Sote tukabaki tukimshangaa Rahma anaye anguka chini taratibu,nikajikongoja taratibu huku nikitambaa taratibu nikijaribu kuunyoosha mkono wangu mmoja ili kumshika Rahma na kabla sijamfikia nikastukia miguu yangu ikishikwa na lile jitu jeusi na kuanza kuniburuza kwenye majani na kuwaacha wazazi wa Rahma wakimbeba mtoto wao na kumuingiza kwenye gari huku damu zikimvuja.Jamaa likazidi kunivuta na kunitokomeza msituni na mbaya zaidi kila anavyo niburuza ndivyo jinsi ninavyozidi kupata michubuko huku miba mikali aina ya mbigili ikiingia mwilini mwangu na kuzidi kuniogezea maumivu makali.Jamaa akaanza kunipiga mateke ya tumboni kiasi kwamba nikahisi ndio mwisho wa maisha yangu

Jamaa akatoa kamba aina ya manila na kunifunga kwenye miguu na mikononi kisha akarudi sehemu walipo wazazi wa Rahma na nikaanza kujaribu kujifungua kamba kwa kutumia meno ila kutokana na kwa jinsi alivyo ikaza nikajikuta nikishindwa kujifungua,Nikamuona jamaa akirudi huku mkononi mwake akiwa ameshika chepe na sururu na nikazidi kuogoa na sijujua analengo gani.Jamaa akaviweka vitu vyake pembeni na kuanza kuchangu majani kwa kutumi mguu wake wa kulia ulio valia buti kubwa.Nikapata jibu la jamaa kuja na vifaa vyake baada ya kuanza kuchimba shimo kwa kutumia sururu huku chepe akilitumia kwa kutolea ichanga.

“Ohhh Mungu wangu ninakuomba uniongoeze wewe ndio kila kitu kwagu na kuomba huyu jamaa abadilieshe mawazo asinizike nikiwa hai mimi”
Nilizungumza kwa uchungu huku machozi yakinimwagika nikajaribu kujifungua kamba ila nikashindwa na kujikuta nikiwa nimetulia huku nikilia na kujutia ni kwanini nimekuwa na mahusianao na Rahma.
“Kaka....Kaka....Kaka”
Niliita na jamaa akaniangalia kwa macho makali ambayo kwa muonekano wake anavuta bangi kiasi kwamba macho yake ni mekundu kiasi,
“Ndugu yang...u tambua kuwa m...imi na wewe ni wa..tanzania...Pia sisi ni wanaume haya mambo leo hii yana..nipa..ta mimi ila kesho yanaw...eza ya katokea kwako kwa m....fumo mwengine nakuoma ndugu yangu nifu..ngue niweze kuondoka”
Jamaa akanitazama kwa jicho kali kisha akashika chepe lake na kuendelea kutoa mchanga kwani tayari ufefu wa shimo analo lichimba umefikia usawa wa kiono chake,Jamaa akavua shati lake kabisa na kubaki kifua wazi na kuendelea kuchimba shimo huku akifanya haraka.

Wafuasi wa CHADEMA waliokamatwa msibani wapandishwa kizimbani

$
0
0
Wafuasi zaidi ya 10  wa Chadema waliokamatwa wakiwa nyumbani kwa mwanachama mwenzao kuhani msiba wamepandishwa kizimbani.

Watu hao, leo Machi 14, 2018 tayari wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza na kuwekwa katika mahabusu mahakamani hapo kusubiri kukamilika kwa taratibu za kimahakama ili wasomewe mashtaka dhidi yao.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi watu hao walikamatwa eneo la Mabatini Machi 13, 20018  baada ya kutokea kutoelewana kati yao na askari polisi.

Amesema askari hao walikuwa wakifuatilia nyendo za wafuasi hao  tangu walipokuwa wakikusanyika kutoka sehemu mbalimbali za Jiji la Mwanza kwenda nyumbani kwa mwanachama mwenzao kwa kile kinachodaiwa ni kuhani msiba.

Katika tukio hilo, polisi walilazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya kundi la watu zaidi ya 500 waliokuwa kwenye eneo hilo.

Mwanajeshi Anayedaiwa kuua askari mwenzake apandishwa kizimbani

$
0
0
Mwanajeshi MT 109795 Private Ramadhan Mlaku (28) amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shitaka la mauaji ya askari mwenzie, MT 79512 SGT Saimon Munyama.

Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Machi 14, 2018 saa tano asubuhi na gari la kubebea wagonjwa.

Alishushwa katika gari hilo akiwa juu ya kitanda cha wagonjwa na kupelekwa chumba cha mawakili wa Serikali ambapo alisomewa shtaka linalomkabili.

Akisomewa shtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakili wa Serikali, Mosii Kaima amesema mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya kosa hilo Oktoba 30, 2017.

Imedai kuwa mshtakiwa ambaye ni mwanajeshi wa kambi ya Jeshi Makongo siku hiyo akiwa Makao Mkuu ya JWTZ Upanga, Dar es Salaam alimuua askari mwenzie MT 79512 SGT Munyama.

Baada ya kusomewa shtaka hilo, mshtakiwa huyo hakuruhusiwa kuongea chochote kwa sababu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haina mamlaka ya kuisikiliza kesi hiyo.

Pia kosa hilo hakuna dhamana kwa mujibu wa sheria.

Upande wa mashtaka ulidai kuwa upelelezi bado haujakamilika na Hakimu Simba aliutaka upande wa mashtaka kujitahidi kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo mapema.

Kesi imeahirishwa hadi Machi 28, 2018 kwa ajili ya kutajwa ili kuangalia kama upelelezi utakuwa umekamilika ama la.

Baada ya kusomewa shtaka hilo mshtakiwa huyo alipandishwa tena katika gari la wagonjwa na kurudishwa mahabusu.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

Uwoya Amchimba Mkwara Dogo Janja Aliposikia Anataka Kuoa Mke wa Pili

$
0
0
Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na taarifa kuwa msanii Dogo Janja ana mpango wa kuongeza mke wa pili baada ya kufunga ndoa na muigizaji Irene Uwoya ambapo ndoa hiyo ilifungwa mwaka jana 2017 ingawa mashabiki hadi sasa hawaamini kuhusu ndoa hiyo.

Kupitia mtandao wa instagram wa Irene Uwoya ameonekana kupata taarifa ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mume wake Dogo Janja kuwa ana mpango wa kuoa mke wa pili na hivyo kumpa onyo pale atakapothubutu kufanya hivyo.

Diamond: Media Zinazokataa Kupiga Nyimbo Zangu Zinapotea

$
0
0
Mwanamuziki wa Bongo fleva na CEO wa label ya WCB, Diamond Platnumz amefunguka na kusema kuwa chombo chochote cha habari ambacho kinaibania WCB kwa njia yoyote basi kitapotea kwani yeye ni kama maji usipokunywa utayaoga.

Diamond amekuwa mmoja wa wasanii ambaye amekuwa na migogoro na media mbali mbali ambapo siku za hivi karibuni Kumekuwa na sintofahamu kati yake na mkurugenzi wa Clouds Fm, Ruge Mutahaba.

Hii imekuja baada ya Diamond kutangaza kuanzisha stesheni zake za redio na Tv ambazo ni Wasafi Radio na Tv ambavyo amesisitiza vitacheza nafasi kubwa katika kukuza mziki wake na hata wasanii kutoka WCB kwa ujumla.

Diamond hivi sasa yuko nchini Kenya, Nairobi ambako ameenda kwenye uzinduzi wa albamu yake ya ‘A boy from Tandale’ ambayo inategemewa kuanza kuuzwa hivi karibuni.

Kwenye mahojiano na Dizzim Online, Diamond amefunguka kuhusu albamu yake ambayo ndani yake kuna nyimbo ambazo amewashirikisha wasanii kadhaa ikiwemo Rick Ross, Neyo na Omarion.

Lakini pia Diamond amefunguka kuhusu Wasafi Tv na Redio ambavyo vinategemea kuanza kuruka hewani siku za hivi karibuni lakini Diamond ameshangaa media zinazotaka kubania mziki wake kwani yeye ndio burudani yenyewe kwaiyo wao kumzuia yeye wanapotea:

"Yaani mimi nimejiwekea mazingira ambayo hata nikilala chumbani lazima utaniongelea huwezi kulala bila kunitaja aidha utawataja watoto wangu, au wasanii wa WCB au hata wapenzi wangu yaani Diamond ni kama Azam vile au mimi kama maji aidha utaninywa au utanioga yaani utajua mwenyewe lakini mimi huwezi kulala bila kunitaja kwaiyo media zinazozuia kazi zangu wanapoteza muda maana mimi ndio burudani na mzalisha burudani”.

Orodha ya wenyekiti na makamu wenyekiti kamati ya kudumu ya bunge 2018-2020

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametoa orodha ya majina ya Wabunge mbalimbali ambao wameteuliwa katika kamati mbalimbali za kudumu za Bunge ambao wataongoza kwa kipindi cha mwaka 2018-2020.

Wabunge mbalimbali wameteuliwa kuongoza kamati hizo za kudumu kwa kipindi hiko cha mwaka ambapo baadhi ya wabunge walioteuliwa ni  Mhe. Nnape Nnauye, Mhe. Andrew J. Chenge, Mhe. Emmanuel Mwakasaka na wengine.

Kufahamu wabunge hao na kamati zao angalia chati iliyopo hapa chini ikibainisha majina ya wenyekiti na makamu wao.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 39 na 40 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA 

Dada huyo mwenye weusi wa maji ya kunde, akaanza kuminya batani za kompyuta yake, alipo maliza, akanitingishia kichwa na kuniambia kwamba pesa tayari imesha ingizwa kwenye akaunti yangu. Gafla tukasikia mlio wa risasi ulio tufanya watu wote ndani ya benki kuhamaki, nikageuza macho yangu mlangoni nikamuona askari mmoja akiwa amenguka chini damu zikimwagika, huku majambazi sita wakiingia ndani ya benki wakiwa na bunduki pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono na mmoja kati ya majambazi hawa ni mwanamke na yeye ndio anaye ongoza msafara wa majambazi wezake huku mkononi mwake akiwa ameshika bunduki aina ya AK 47, bila hata ya kuhofia akapiga risasi mbili hewani na kufanya watu wote kulala chini hadi mimi mwenywe.

ENDELEA
Kila mmoja aliyopo kwenye eneo hili hususani ndani ya hii benki, mwili wake uliweza kutetemeka kwa woga, hapakuwa na mtu ambaye anapenda kufa kwa muda huu, hususani mimi ambaye ni masaa machache tu nimetoka kupewa zawadi nono kutoka kwa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Toa pesa wewe malaya”
Aliongea jambazi mmoja wa kiume huku akipapasa, watu waliokuwa wapepanga foleni ya kueleka katika dirisha la kuweka pesa au kutoa pesa. Jasho likazidi kunimwagika. Mtoto wa kiume ujanga sikuwa nao kusema kweli, japo nina mafunzo tosha ya kupambana na majambazi kama hawa ila hakuna kitu kibaya kwa mwanausalama yoyote dunia, kuwahiwa kushambuliwa, wenyewe kwa lugha yetu tunaita Ambushi.
Nikatazama jinsi watu wakipapaswa huku majambazi wengine wakiwashika wahudumu wa benki na kuingia nao kwenye vyumba ili waonyeshwe pesaa.

‘Natakiwa kufanya kitu’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama majambazi hawa kwa umakini japo kichwa changu nimekilaza chini na mikono yangu nimeiweka kichani ila usawa wa macho yangu ulinitosha kuweza kuoana jinsi majambazi hawa walivyo simama huku wengine wakiendelea na shuhuli ya kutafuta pesa zilipo wekwa. Nikamuona jambazi mmoja akimfwata dada aliye kuwa ananihudumia, akamtandika kofi zito la shavu.
“Toa pesa wewee”
“S..si….si….na mimi”
Jambazi huyo akamtandika, kitako cha buduki cha tumbo na kumfanya dada hyo kuanguka chini na kutoa mlio mkali wa maumivi.
“Nyamaza wewe malaya nitakuchangua ubongo”
Kauli ya jambazi huyo ilinizidi kunitisha, kwani bunduki yake amemuelekezea dada huyo huku akiwa ameikoki vizuri tauyari kwa kufyatua risasi.
‘Unapo kuwa peke yako kwenye uvamizi, mfano uvamizi wa benki, super makert na kadhalika, hakikisha kwamba unamuwahi kiongozi wa hilo tukio, ukimpata tu huyo wezake hawato weza kufanya chohcote dhidi yako’

Maneno hayo ya mwalimu  wangu yakajirudia kichwani mwangu kwa kasi ya ajabu na kunipa ujasiri wa haraka ulio nifanya, nimtafute mkuu wao ambaye ni mwanamke, nikamuona akimpitia mtu mmoja baada ya mwingine akimgonga gonga kwa mguu na kutazama kama ana silaha au laa. Taratibu akazidi kunisogelea mimi, na mimi nikajiweka tayari kufanya shambuli la haraka sana kwa maana nina hapa nilipo nina silaha za kutosha. Kitendo cha kunikaribi, ikawa ni moja ya kosa kubwa kwake, kwani kwa sekunde moja niliweza kujigeuza na kurusha teka lililo izoa miguu yake na kuanguka chini huku bunduki yaki ikiwa pembeni, nikampiga kabali, na kunyanyuka naye, na kuwafanya wezake zote kusitisha kile walisho kuwa wakikifanya.

“Wote silaha zenu wekini chini”
Nilizungumza kwa kufuko huku bastola niliyo kuwa nimeiweka kiunoni nikiwaelekezea bosi wao kichwani. Majambazi wakabaki wakiwa wameduwaa, nikarudia tena kwa ukali kwamba waweke silaha zao chini lasivyo nina mwaga ubongo mwenzao huyu. Dada huyu akatoa ishara ya vidole akiwaamrisha waweke silaha zao chini, kila mmoja akafanya hivyo.
“Dany unafanya nini?”
Sauti ya dada huyu ikanistua sana kwa mana ni sauti ya mtu ambaye ninamjua vizuri tena vizuri sana.
“ASAMA………!!!”
Nikataka kumvua kinyago alicho kivaa usoni mwake, ila nikastukia kitu chanye ncha kali kikizama kwenye mbavu zangu za kushoto na kujikuta nikimuachia Asma na mimi nikidondoka chini, hapo ndipo nikaona kisu alicho nichoma nacho kikivuja damu huku kikiwa kiganjani mwake. Majambazi wezak wakaokota bunduki zao kwa haraka. Mmoja wao akataka kunipiga risasi, ila Asma akamzuia kwa haraka.

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Tisa ( 29 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Na taratibu Amina mfanyakazi wa madam Zena akashika panga alilo kabidhiwa na Olvia Hitler na taratibu akaanza kupiga hatua za taratibu na kisimama nyuma ya Madam Zena na kulinyanyua panga lake juu na kabla hajalishusha mwilini mwa Madama Zena nakiajikuta nikimrukia Madam Zena na sote tukaanguka chini ya kitanda na kumfanya madam Zena kutoa ukelele mmoja wa maumivu makali na akakaa kimya  na watu wote nilio waona ndani ya chumba sikuweza kuwaona tena na kujikuta nikianza kuchangajikiwa baada ya kumuona madama Zena akitokwa na damu za puani na mdomoni

ENDELEA
Nikamnyanyua Madam Zena na kumuweka kitandani huku nikihema kisha nikachukua kanga iliyoning’inizwa nyuma ya mlango kisha nikaanza kumfuta Madam Zena damu zinazo mtoka,Nikikiweka kiganja changu kwenye kifua chake na kukuta mapigo yake ya moyo yakienda kama kawaida na kujikuta nikipata matumaini na wasi wasi ukanipungua kwa kiasi kikubwa.Nikakaa pembeni ya Madam Zena na ndani ya dakika 45 madam Zena akapiga chafya kisha akaanza kufumbua macho na tabasamu likaanza kutawala usoni mwangu baada ya madam Zena kufumbua macho yake na kukaa kitako kitandani

“Unajisikiaje mpenzi?”
“Kidogo afadhali”
“Samahani sana kwa kitendo kilicho tokea”
“Kwani Eddy wewe una tatizo gani?”
“Ahaaa ukiwa sawa nitakuambia tatizo langu ila kwa sasa ninakuomba utulie”
“Nitatulia vipi wakati unaonekana kama mtu mwenye mapepo?”
“Sio hivyo ila ukiwa salama nitakuambia”
Nikaanza kujihisi tofauti kwenye viganja vya vidole vyangu vya mkono wa kushoto hii ni baada ya kuto kuiona pete niliyo vishwa na Yudia.Nikasimama huku nikiwa wasiwasi huku nikijitazama kwenye vidole vyangu na nisione kitu cha aina yoyote,
“Unatafuta nini?”
“Kuna pete nilikuwa nayo kidoleni siiioni?”
“Ni pete ya nini?”
“Hiyo pete inanisaidia sana kwenye mambo yangu”
“Ahaa nilikuvua pete hiyo asubuhi wakati ulipo kuwa umelala.....Nilitokea kuipenda sana pete yako”

“Ohooo ipo wapi?”
“Niliweka ndani ya droo ya dreasing table”
Madam Zena akanyanyuka na kufungua droo ya dreasing table akaanza kuitafuta taratibu jambo lililo anza kunipa wasiwasi kwani kipindi nilipo kuwa nayo sikuweza kupata tatizo la aina yoyote ila baada ya kuvuliwa na Madam Zena vitu vya ajabu ajabu vinaanza kujitokeza.Nikanyanyuka kitandani na kwenda alipo madamZena na tukasaidiana kuitafuta
“Kwani wewe uliiweka wapi?”
“Niliiweka humu ndani tuu kwenye hii droo”
“Aaahh sasa atakuwa ameichukua nani?”
“Saijajua.....kwani ina umuhimu sana”
“Tena umuhimu wake ni zaidi ya sana”
Tukaendelea kuitafuta pasipo kuiona kiasi kwamba  nikaanza kuchanganyikiwa japo madam Zena analichukulia ni jambo la kawaida sana katika pete hiyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya March 15


Mama Kanumba: Natamani Kwenda Kumuona Lulu Gerezani

$
0
0
Mama mzazi wa aliyekuwa msanii wa Bongo movie Marehemu Steven Kanumba, Mama Kanumba ameibuka na jipya tena huku safari hii akisema anatamani kwenda jela kumuona Lulu.

Mama Kanumba hakuwa na uhusiano mzuri na Lulu kwani mpaka a nafungiwa walikuwa kama wana ugomvi fulani huku Mama Kanumba alidai sababu kubwa ni Lulu kumtupa mama huyo na kutomjali kwa lolote.

Miezi michache iliyopita Muigizaji wa Bongo movie Lulu Michael alifungwa gerezani kwa miaka miwili baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake Steven Kanumba.

Baada ya Lulu kufungwa Mama Kanumba hakusita kuonyesha furaha yake juu ya Lulu kufungwa na baadae alipoulizwa endapo ana mpango wa kwenda kumtembelea Lulu gerezani alisema hajui mpaka afanye mazungumzo na Mungu wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Mwananchi Communications, Mama Kanumba ameibuka na kusema anatamani kwenda kumuona Lulu jela:

"Tangu Lulu kahukumiwa nimekuwa nikipokea lawama na watu kunitusi kuwa mimi ndio sababu, na kusahau ya  kwamba mimi nilishamsamehe kama binadamu na siye niliokuwa mlamlamikaji katika kesi hiyo isipokuwa alishitakiwa na serikali”.

Lakini Mama Kanumba amesisitiza kuwa yote yaliyotokea anamuachia Mwenyezi Mungu kwani yeye kufungwa hakuwezi kumrudishia mtoto wake ambaye amekwisha tangulia mbele ya hali.

Serikali yalivalia njuga tatizo la nguvu za kiume

$
0
0
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo, jamii, jinsia na Watoto, Dk Faustine Ndugulile amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Afya akishirikiana na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kufanya utafiti wa afya ya uzazi kwa wanaume ili kubaini sababu za tatizo hilo na kujua ongezeko la upungufu wa nguvu za kiume ni kubwa kiasi gani nchini.

Ndugulile amefikia uamuzi huo kwani mara zote Serikali imekuwa ikitilia mkazo afya ya uzazi kwa mwanamke na kusahau upande wa pili.

Amesema kwa upande wa Tanzania mpaka sasa hakuna tafiti zozote zilizofanyika juu ya tatizo hilo kwa wanaume, hivyo ni wakati wake sasa kulifanyia uchunguzi wa kina na kubaini suluhusho lake.

Aidha kwa tafiti zilizofanywa kisayansi duniani zimebaininsha kuwa wanaume wengi wana matatizo ya nguvu za kiume sababu kubwa ikiwa ni mtindo wa maisha, kwani wengi wao hupendelea kula vyakula ambavyo si bora vyenye mafuta na sukari kwa wingi ambavyo kwa kiasi kikubwa huchangia magonjwa yasiyoambukizwa na ukosefu wa nguvu za kiume.

Pia tafiti hizo zimeonesha kwamba matumizi ya vilevi ikiwemo pombe na sigara, kutofanya mazoezi mara kwa mara, unene kupita kiasi, msongo wa mawazo, matumizi ya dawa kwa muda mrefu, magonjwa sugu kama kisukari na presha kwa kiasi kikubwa huchangia tatizo hilo.

Katika harakati za kupambana na tatizo hilo Serikali juzi imepitisha baadhi ya dawa za tiba asili kutibu tatizo hilo ambazo zimethibitishwa na Mkemia Mkuu na kuruhusiwa kutumika kukabiliana na tatizo hilo dawa hiyo ni Ujana, huku dawa nyingine ambazo zimesajiliwa na zinafaa kutumiwa ni Sildenafil na Tadalafil.

Dawa hizo zimechunguzwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) na kuthibitishwa kuwa hazina sumu wala madhara kwa watumiaji na zinapatikana katika maduka mbalimbali ya dawa.

Mti wa Lufwambo na Uchawi Katika Nguvu za kiume !!!

$
0
0
IMESIMULIWA  NA. DOKTA  MUNGWA  KABILI……..0744  000  473.

Mti  Wa  Lufwambo ama ufwambo  ni  mti  unao patika   porini. Mti  huu  unajulikana zaidi   kwa  sifa  moja kubwa, nayo  ni  kutoa  vijitunda  vidogo vigumu  vyenye  rangi  mbili  moja  ya nyekundu  na  moja  ya  bluu.

Mti  huu  una  faida  na  matumizi  mengi. Moja  kati ya  faida  za  mti  huu  ni kwamba, unasaidia  kutibu  maradhi  ya  bawaziri  na  majani yake yanaweza  kuchemshwa  na  maji na  kutumika  kama  chai  kwani  yanapo kuwa  mabichi  huwa  na  radha  tamu sana  kama  sukari.  Enzi  za  mabibi na  mababu  zetu  ulipotokea  ukame, watu walitumia  majani  ya  mti  wa lufwambo kutengeneza  chai.

Pamoja  na  kuwa  sifa  hizo  nzuri, mti  huu pia  una sifa  moja  mbaya  sana, ambayo ni  kutumika  na  wachawi kutengeneza  na  kusababisha  maradhi  ya  udhaifu katika nguvu  za  kiume .

Mti  wa  Lufwambo  na  Uchawi  Katika  Nguvu  za  kiume !!!
Wachawi  wana  uwezo  wa  kumsababishia  mwanaume  maradhi  ya  ukosefu wa  nguvu  za  kiume   kwa  kutumia  uchawi.

Moja  kati  ya  njia  zinazo tumika  na  wachawi  katika kutengeneza  na  kusababisha  maradhi ya  nguvu  za  kiume  ni  hii  ya  kutumia  mti  wa  lufwambo.

Njia  hii  ni  hatari  sana  na  idadi kubwa  ya  wanaume wenye  maradhi  ya  nguvu  za  kiume  yatokanayo  na  kurogwa  yametengenezwa  kwa  kutumia  njia  hii ya  mti  wa  Lufwambo.

Mtu alietupiwa  uchawi  huu  ataanza  kupungukiwa  na  nguvu  za  kiume  taratibu  taratibu na  mwisho  wa  siku  atakuwa  hana  uwezo  wa  kusimamisha  kabisa.

Jinsi  uchawi  huu  unavyo  fanyika, zinachukuliwa shahawa za  mwanaume  aliekusudiwa  zinachanganywa  na  matone saba  ya damu za  wanyama wawili  tofauti, mmoja  ni ndege  asie paa  mwenye  miguu  miwili  na  nyingine  ya  mnyama  mwenye  miguu  minne.

Vitu  hivyo  vinachanganywa  na  damu  ya  hedhi  ambayo  ilitoka wakati  mwanamke  yupo  usingizini  na  kisha  vinawekwa  kwenye  chungu  cheusi, kati kati  ya  njia  panda jike ( Njia  panda  jike  ni  makutano  ya  njia  nne )

Vitu  hivyo  vinachanganywa  na  dawa  maalumu  za  kichawi  halafu, unachukuliwa  msumari wa jeneza  wenye  kutu,  unachukuliwa  mzizi  wa  mti  wa  Lufwambo  ambao  una kuwa  umechimbwa  siku  ya  Jumanne  mchana  na  mchimbaji  anapo uchimba  hatakiwi  kuhema  wala  kivuli  chake  kugusa  mti.

Baada ya  mzizi  huu  kuchukuliwa,  unachukuliwa  msumari  wa  jeneza wenye  kutu, msumari  huu  ndio unatumika  kama  kalamu ya  kuandika jina  la  mwanaume  alie  kusudiwa  na damu zilizo changanywa  na shahawa  za  mwanaume  husika zinatumika  kama  wino  wa kuandika na  kupigia  mhuri.

Upande  mmoja wa  mzizi  huu  wa  lufwambo  litaandikwa  jina la mwanaume aliekusudiwa, halafu upande wa  pili  yataandikwa  maneno  ya kichawi  na  alama  maalumu  za  majini  wa  kaburini.

Kazi  ya  kuandika maneno  hayo itafanywa na  ajuza  ambae maziwa yake yameisha lala.

Zoezi  hili  likisha  kamilika, utachukuliwa  mti  huo  na   kuvishwa kipande  cha  sanda kilicho tumiwa  na  maiti,  utafungwa  vizuri  na  kisha  kwenda  kuzikwa  kwenye kaburi alimozikwa  mwanamke mzee  kwa muda wa  siku saba.  Wakati mti  huu  unazikwa, yatakuwa  yanatamkwa  maneno  maalumu  ya  kichawi.

Baada  ya  siku  saba  mti utaenda  kufukuliwa, halafu atauchukua  mchawi  mmoja  ambae  atajipaka  mafuta  ya  tunge  jike  na  kwenda  kuutega  barabarani ili  ukanyagwe  na  kuvunjika.

Ukiisha  vunjika  basi  atauchukua  mti  huo na  kuacha  sarafu ya  shilingi  mia moja  barabarani  hapo  na  kisha  kuurudi nao nyumbani.

Akifika  nyumbani  atachukuliwa  jogoo  mwenye   rangi  nyekundu ambaye  ata tamkiwa  maneno  maalumu  ya  kichawi na  kisha  kufungwa kwa  kamba  iliyo tengenezwa  kwa  sanda  iliyo  tumika .

Ikifika  saa  kumi  na  moja  alfajiri jogoo  huyo akiwika  mara tu  mchawi  atamchukua  na  kumchinja  hapo hapo  na  kisha  atachukuliwa  atachanganywa  na  huo mti ulio vunjwa  na  gari  kisha  ataenda  kuzikwa  kwenye  makaburi  yaliyo  sahaulika  alfajiri  hiyo hiyo.

Kitacho  tokea  baada  ya  hapo, ni  mwanaume  alie kusudiwa  kuanza  kupungukiwa  na  nguvu  za  kiume  taratibu.

Mwanzoni  anaweza  kudhani  ni  hali  ya  kawaida, labda  nguvu  zimepungua  kwa  sababu  ya  mawazo , kazi  nyingi  nakadhalika.

Baadae  tatizo litazidi kuongezeka  na  mhusika  ataanza  kutafuta  tiba  bila  mafanikio yoyote. Atatumia  tiba  na  tiba, atazunguka  kwa  madokta na  waganga  bila mafanikio  yoyote  na  mwisho  wake  atakata  tamaa, na  mwisho  wa  siku  atakuwa  hana  uwezo  wa  kusimamisha  kabisa na asipo pata tiba  sahihi  basi  hayo ndio yatakuwa  maisha  yake.

Hili  ni tatizo  linalo  wasumbua  wanaume  wengi  sana  duniani na  bahati mbaya  wengi  wao  hudhani  labda  linasababishwa  na  njia za  kawaida lakini  kumbe  wao wanakuwa  wamerogwa.

Utajuaje  kama  tatizo  lako ni  la  kawaida ama  la  kurogwa ?  
Zipo  njia  za  kitabibu  ambazo  hutumika  kujua  kama  tatizo  la  udhaifu  katika  nguvu  za  kiume  ambalo  linamsumbua  mtu  linatokana  ima  na kurogwa  ima  na  sababu  za  kisayansi.

Mwanaume  mwenye  tatizo  la udhaifu wa  nguvu  za  kiume  litokanalo  na  kurogwa  anashauriwa  kufanyiwa  dua  ama tambiko  maalumu  kwa  ajili  ya  kubatilisha  uchawi  huo  hatari kabla  mambo hayajaharibika  zaidi.

Ni  tatizo  ambalo  limevunja  na  linaendelea  kuvunja  ndoa nyingi  sana  kwa  sababu  inakuwa vigumu  sana  kwa  mwanamke kuendelea  kuwa mwaminifu  katika  ndoa  yake  kwa  mwanaume mwenye tatizo  kama  hili ambalo  huwa la  muda  mrefu  na linakuwa halina  dalili  yoyote  ya  kupona.

Nikiwa kama  Tabibu wa  Jadi  nimekutana  na  kesi nyingi  sana  za  namna  hii. Nimekuwa  nikipokea  malalamiko  kutoka  kwa wanawake  wengi sana  ambao wanajaribu  kutafuta  namna  ya  kuwasaidia  wanaume  zao kuondokana  na  tatizo  hili.

Sababu kubwa  ya wachawi kutumia  uchawi  huu  ni kulipa kisasi, kukomoa  ama  kuwatesa  tu wanandoa  pamoja  na  watoto  wao.

IMESIMULIWA  NA  DOKTA. MUNGWA  KABILI….0744  000 473

Wawili washikiliwa kutokana na kifo cha Mwanafunzi

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Iringa linawashikilia watuhumiwa wawili kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanafunzi wa kike wa kidato cha sita Sundi George aliyekuwa akisoma katika shule ya sekondari Mwembetogwa.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari  Kamanda wa Polisi Iringa ACP Juma Bwire amesema mnamo Machi 12 mwaka huu akiwa na sare za shule mwanafunzi huyo alitoka nyumbani kwao kuelekea shuleni lakini hakurudi hadi mwili wake ulipopatikana  maeneo hayo.

Kamanda Bwire amesema wanaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha kifo cha mwanafunzi huyo huku akiwaomba wananchi kutoa taarifa kwa mtu yoyote wanayehi amehusika katika tukio hilo.

Ujenzi Wa Barabara ya Buswelu-sabasaba Manispaa Ya Ilemela Jijini Mwanza Kuanza Rasmi

$
0
0
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela John Wanga akizungumza katika kikao cha  Baraza la Madiwani jana kilichofanyika katika ukumbi  halmashauri hiyo.
****

Judith Ferdinand-BMG Habari
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inatarajia kutekeleza mradi wa ujenzi wa barabara  kwa kiwango cha lami kutoka Buswelu hadi Sabasaba kuanzia mwezi Mei mwaka huu.

Barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 9.7 ni kiunganishi kikuu cha maeneo ya Buswelu, Kiseke hadi Sabasaba ambapo hata hivyo awali mradi huo ulielezwa kuanza mwezi huu.

Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, John Wanga aliyasema hayo jana kwenye kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo na kuongeza kwamba huo ni utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya uchaguzi mkuu 2015 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo halmashauri hiyo iliridhia kutekeleza mradi huo.

“Nipende kulijulisha baraza hili kuwa kazi ya ujenzi itaanza mwezi Mei mwaka huu badala ya mwezi Machi kama taarifa ilivyotolewa katika baraza lililopita kwani mpaka sasa taratibu za zabuni zimakamilika”. Alisema Wanga.

Wanga alisema barabara hiyo imefadhiliwa na serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia kupitia mradi wa Uendelezaji Miji na Majiji (TSCP) kwa kushirikiana na halmashauri hiyo.

Pia alisema hadi sasa kiasi cha shilingi 306,008,000  zimelipwa fidia kwa wananchi 22 kati ya shilingi 636,626,000 zilizotengwa, hivyo zoezi la uhakiki na ulipaji fidia bado linaendelea na waliolipwa baadhi wamevunja nyumba zao ikiwa ni pamoja na kukata miti ili kuacha wazi eneo la mradi.

Hata hivyo alitoa wito kwa madiwani na wananchi kwa ujumla kushirikiana wakati wa utekelezaji wa mradi huo pindi utakapoanza kutekelezwa ili kusiwe na mkwamo utakaotokana na malalamiko yasiyokuwa ya msingi.

Aidha alisema ili kuleta  taswira nzuri ya halmashauri, wanatekeleza miradi hasa ya kujenga barabara ikiwemo hiyo ya Buswelu, barabara ya Mji Mwema-Bigbite na Mwaloni-Kigoto kwa kiwango cha lami.

Naye Meya wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, Renatus Mulunga alisema halmashauri hiyo itaendelea kutoa ushirikiano kupitia kamati mbalimbali na kuwataka viongozi kuendelea kuwa na ushirikiano wa kutosha katika kuleta maendeleo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images