Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

LIVE | Jeshi la Polisi Linaongelea Sakata la Mwanafunzi Aliyedai Kutekwa

$
0
0
Kijana aliyejifanya kutekwa ukweli umejulikana .Kamanda wa Kanda Maalum anazungumka na Waandishi wa Habari hivi sasa. Je, Alitekwa au Alijiteka?  Msikilize hapo chinii

Orodha ya wenyekiti na makamu wenyekiti kamati ya kudumu ya bunge 2018-2020

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametoa orodha ya majina ya Wabunge mbalimbali ambao wameteuliwa katika kamati mbalimbali za kudumu za Bunge ambao wataongoza kwa kipindi cha mwaka 2018-2020.

Wabunge mbalimbali wameteuliwa kuongoza kamati hizo za kudumu kwa kipindi hiko cha mwaka ambapo baadhi ya wabunge walioteuliwa ni  Mhe. Nnape Nnauye, Mhe. Andrew J. Chenge, Mhe. Emmanuel Mwakasaka na wengine.

Kufahamu wabunge hao na kamati zao angalia chati iliyopo hapa chini ikibainisha majina ya wenyekiti na makamu wao.

Mambosasa: Nondo alijiteka, alienda kwa mpenzi wake Iringa

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetolea ufafanuzi kuhusu kile kinachoitwa kutekwa kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Nchini TSNP, Abdul Nondo.

Akizungumza na Wandishi wa Habari Kamanda wa Kanda Maalumu, Lazaro Mambosasa amesema mnamo Machi 7, mwaka huu waliletewa taarifa kutoka kwa wenzao wa Iringa ambapo walithibitisha kupatikana kwa mwanafunzi huyo akiwa mzima huku akiwa hajaripoti kituo chochote cha Polisi.

Mambosasa amesema Jeshi la Polisi Kanda Maalumu kwa kushirikiana na wenzao wa Iringa walithibitisha kuwa Nondo hakutekwa bali alijiteka ambapo mawasiliano ya jumbe za simu yake zinaonesha kuwa alikuwa akiwasiliana na mpenzi wake aliyepo mkoani humo.

 "Pengine alitaka kuzua hilo ili kujipatia umaarufu ila upelelezi uliendelea kubaini kuwa mwanafunzi huyo alikwenda Iringa kwa mpenzi wake ambaye alikuwa akiwasiliana naye mara kwa mara akiwa njiani kuelekea Iringa hii ni baada ya kufanya uchunguzi wa kisayansi na kubaini muda ule aliosema ametekwa simu yake imeendelea kuonyesha mawasiliano aliyokuwa anafanya na huyo binti ambaye alikuwa amemfuata"

Mambosasa amesema kuwa walipomkamata walikuwa na mashaka kuwa huenda akawa amepatwa na ugonjwa wa malaria ya kichwa iliyopelekea kufanya hayo na kudai kuwa alipelekwa hospitali na kupimwa na kuonekana kuwa mzima asiye na matatizo yoyote ya kiakili.

"Alikuwa ni mzima wa afya njema na haya aliyafanya kwa makusudi kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe, jeshi la polisi limebaini kuwa mwanafunzi huyo alikuwa huru baada ya kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, alisafiri akiwa huru na akafika Iringa akiwa salama, kwa hiyo ni uzushi mtupu uliokuwa na malengo ya hovyo lakini kuna watu wengine walilishabikia jambo hili wengine huwezi kuamini kwa nafasi zao walilishabikia jambo hili la hovyo mtu kujizushia jambo" alisema Mambosasa na kuongeza;

" Jeshi la Polisi tunaendelea kutoa onyo kwa sababu hatutomuhurumia mtu yeyote ambaye anatafuta umaarufu kwa kuzua taharuki na wala hatutowapa nafasi ya kuharibu amani ya Nchi,"

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 39 na 40 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA 

Dada huyo mwenye weusi wa maji ya kunde, akaanza kuminya batani za kompyuta yake, alipo maliza, akanitingishia kichwa na kuniambia kwamba pesa tayari imesha ingizwa kwenye akaunti yangu. Gafla tukasikia mlio wa risasi ulio tufanya watu wote ndani ya benki kuhamaki, nikageuza macho yangu mlangoni nikamuona askari mmoja akiwa amenguka chini damu zikimwagika, huku majambazi sita wakiingia ndani ya benki wakiwa na bunduki pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono na mmoja kati ya majambazi hawa ni mwanamke na yeye ndio anaye ongoza msafara wa majambazi wezake huku mkononi mwake akiwa ameshika bunduki aina ya AK 47, bila hata ya kuhofia akapiga risasi mbili hewani na kufanya watu wote kulala chini hadi mimi mwenywe.

ENDELEA
Kila mmoja aliyopo kwenye eneo hili hususani ndani ya hii benki, mwili wake uliweza kutetemeka kwa woga, hapakuwa na mtu ambaye anapenda kufa kwa muda huu, hususani mimi ambaye ni masaa machache tu nimetoka kupewa zawadi nono kutoka kwa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
“Toa pesa wewe malaya”
Aliongea jambazi mmoja wa kiume huku akipapasa, watu waliokuwa wapepanga foleni ya kueleka katika dirisha la kuweka pesa au kutoa pesa. Jasho likazidi kunimwagika. Mtoto wa kiume ujanga sikuwa nao kusema kweli, japo nina mafunzo tosha ya kupambana na majambazi kama hawa ila hakuna kitu kibaya kwa mwanausalama yoyote dunia, kuwahiwa kushambuliwa, wenyewe kwa lugha yetu tunaita Ambushi.
Nikatazama jinsi watu wakipapaswa huku majambazi wengine wakiwashika wahudumu wa benki na kuingia nao kwenye vyumba ili waonyeshwe pesaa.

‘Natakiwa kufanya kitu’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama majambazi hawa kwa umakini japo kichwa changu nimekilaza chini na mikono yangu nimeiweka kichani ila usawa wa macho yangu ulinitosha kuweza kuoana jinsi majambazi hawa walivyo simama huku wengine wakiendelea na shuhuli ya kutafuta pesa zilipo wekwa. Nikamuona jambazi mmoja akimfwata dada aliye kuwa ananihudumia, akamtandika kofi zito la shavu.
“Toa pesa wewee”
“S..si….si….na mimi”
Jambazi huyo akamtandika, kitako cha buduki cha tumbo na kumfanya dada hyo kuanguka chini na kutoa mlio mkali wa maumivi.
“Nyamaza wewe malaya nitakuchangua ubongo”
Kauli ya jambazi huyo ilinizidi kunitisha, kwani bunduki yake amemuelekezea dada huyo huku akiwa ameikoki vizuri tauyari kwa kufyatua risasi.
‘Unapo kuwa peke yako kwenye uvamizi, mfano uvamizi wa benki, super makert na kadhalika, hakikisha kwamba unamuwahi kiongozi wa hilo tukio, ukimpata tu huyo wezake hawato weza kufanya chohcote dhidi yako’

Maneno hayo ya mwalimu  wangu yakajirudia kichwani mwangu kwa kasi ya ajabu na kunipa ujasiri wa haraka ulio nifanya, nimtafute mkuu wao ambaye ni mwanamke, nikamuona akimpitia mtu mmoja baada ya mwingine akimgonga gonga kwa mguu na kutazama kama ana silaha au laa. Taratibu akazidi kunisogelea mimi, na mimi nikajiweka tayari kufanya shambuli la haraka sana kwa maana nina hapa nilipo nina silaha za kutosha. Kitendo cha kunikaribi, ikawa ni moja ya kosa kubwa kwake, kwani kwa sekunde moja niliweza kujigeuza na kurusha teka lililo izoa miguu yake na kuanguka chini huku bunduki yaki ikiwa pembeni, nikampiga kabali, na kunyanyuka naye, na kuwafanya wezake zote kusitisha kile walisho kuwa wakikifanya.

“Wote silaha zenu wekini chini”
Nilizungumza kwa kufuko huku bastola niliyo kuwa nimeiweka kiunoni nikiwaelekezea bosi wao kichwani. Majambazi wakabaki wakiwa wameduwaa, nikarudia tena kwa ukali kwamba waweke silaha zao chini lasivyo nina mwaga ubongo mwenzao huyu. Dada huyu akatoa ishara ya vidole akiwaamrisha waweke silaha zao chini, kila mmoja akafanya hivyo.
“Dany unafanya nini?”
Sauti ya dada huyu ikanistua sana kwa mana ni sauti ya mtu ambaye ninamjua vizuri tena vizuri sana.
“ASAMA………!!!”
Nikataka kumvua kinyago alicho kivaa usoni mwake, ila nikastukia kitu chanye ncha kali kikizama kwenye mbavu zangu za kushoto na kujikuta nikimuachia Asma na mimi nikidondoka chini, hapo ndipo nikaona kisu alicho nichoma nacho kikivuja damu huku kikiwa kiganjani mwake. Majambazi wezak wakaokota bunduki zao kwa haraka. Mmoja wao akataka kunipiga risasi, ila Asma akamzuia kwa haraka.

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Tisa ( 29 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Na taratibu Amina mfanyakazi wa madam Zena akashika panga alilo kabidhiwa na Olvia Hitler na taratibu akaanza kupiga hatua za taratibu na kisimama nyuma ya Madam Zena na kulinyanyua panga lake juu na kabla hajalishusha mwilini mwa Madama Zena nakiajikuta nikimrukia Madam Zena na sote tukaanguka chini ya kitanda na kumfanya madam Zena kutoa ukelele mmoja wa maumivu makali na akakaa kimya  na watu wote nilio waona ndani ya chumba sikuweza kuwaona tena na kujikuta nikianza kuchangajikiwa baada ya kumuona madama Zena akitokwa na damu za puani na mdomoni

ENDELEA
Nikamnyanyua Madam Zena na kumuweka kitandani huku nikihema kisha nikachukua kanga iliyoning’inizwa nyuma ya mlango kisha nikaanza kumfuta Madam Zena damu zinazo mtoka,Nikikiweka kiganja changu kwenye kifua chake na kukuta mapigo yake ya moyo yakienda kama kawaida na kujikuta nikipata matumaini na wasi wasi ukanipungua kwa kiasi kikubwa.Nikakaa pembeni ya Madam Zena na ndani ya dakika 45 madam Zena akapiga chafya kisha akaanza kufumbua macho na tabasamu likaanza kutawala usoni mwangu baada ya madam Zena kufumbua macho yake na kukaa kitako kitandani

“Unajisikiaje mpenzi?”
“Kidogo afadhali”
“Samahani sana kwa kitendo kilicho tokea”
“Kwani Eddy wewe una tatizo gani?”
“Ahaaa ukiwa sawa nitakuambia tatizo langu ila kwa sasa ninakuomba utulie”
“Nitatulia vipi wakati unaonekana kama mtu mwenye mapepo?”
“Sio hivyo ila ukiwa salama nitakuambia”
Nikaanza kujihisi tofauti kwenye viganja vya vidole vyangu vya mkono wa kushoto hii ni baada ya kuto kuiona pete niliyo vishwa na Yudia.Nikasimama huku nikiwa wasiwasi huku nikijitazama kwenye vidole vyangu na nisione kitu cha aina yoyote,
“Unatafuta nini?”
“Kuna pete nilikuwa nayo kidoleni siiioni?”
“Ni pete ya nini?”
“Hiyo pete inanisaidia sana kwenye mambo yangu”
“Ahaa nilikuvua pete hiyo asubuhi wakati ulipo kuwa umelala.....Nilitokea kuipenda sana pete yako”

“Ohooo ipo wapi?”
“Niliweka ndani ya droo ya dreasing table”
Madam Zena akanyanyuka na kufungua droo ya dreasing table akaanza kuitafuta taratibu jambo lililo anza kunipa wasiwasi kwani kipindi nilipo kuwa nayo sikuweza kupata tatizo la aina yoyote ila baada ya kuvuliwa na Madam Zena vitu vya ajabu ajabu vinaanza kujitokeza.Nikanyanyuka kitandani na kwenda alipo madamZena na tukasaidiana kuitafuta
“Kwani wewe uliiweka wapi?”
“Niliiweka humu ndani tuu kwenye hii droo”
“Aaahh sasa atakuwa ameichukua nani?”
“Saijajua.....kwani ina umuhimu sana”
“Tena umuhimu wake ni zaidi ya sana”
Tukaendelea kuitafuta pasipo kuiona kiasi kwamba  nikaanza kuchanganyikiwa japo madam Zena analichukulia ni jambo la kawaida sana katika pete hiyo.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

Bajeti ya Mwaka 2018/19 ni Trilioni 32.476

$
0
0
Serikali imepanga kukusanya na kutumia Sh32.476 trilioni mwaka ujao wa fedha wa 2018/19.

Akiwasilisha mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na kiwango cha ukomo wa bajeti kwa mwaka 2018/19, waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema ukomo wa bajeti umezingatia upatikanaji wa mapato.

Dk Mpango amesema katika mwaka huo Serikali imepanga kutumia Sh20.468 trilioni kwenye matumizi ya kawaida sawa na asilimia 63 ya bajeti yote.

Matumizi hayo amesema yanajumuisha Sh10 trilioni zitakazolipa deni la Taifa na Sh7.369 trilioni mishahara ya watumishi wakati Sh3.094 trilioni zikielekezwa kwenye matumizi mengine.

Dk Mpango amesema Serikali itatumia Sh12 trilioni sawa na asilimia 37 kutekeleza miradi ya maendeleo.

Kiasi hicho, amesema kinajumuisha Sh9.876 trilioni sawa na asilimia 82.3 kutoka vyanzo vya ndani na Sh2.13 trilioni sawa na asilimia 17.7 kutoka nje.

Jumla ya mapato ya ndani pamoja na makusanyo ya halmashauri yanatarajiwa kuwa Sh20.894 trilioni ambayo ni sawa asilimia 64 ya bajeti yote.

“Kati ya mapato hayo yatokanayo na kodi yanatarajiwa kuwa Sh18 trilioni sawa na asilimia 13.6 ya Pato la Taifa,” amesema.

Amesema mapato yasiyo ya kodi yanatarajiwa kufika Sh2.158 trilioni wakati vyanzo vya halmashauri vikikusanya Sh735.6 bilioni.

Mpango amesema vyanzo vingine vinavyotarajiwa kufanikisha utekelezaji wa bajeti hiyo ni misaada na mikopo yenye masharti nafuu kiasi cha Sh2.676 trilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo ambazo ni sawa na asilimia nane ya bajeti hiyo.

Katika mwaka ujao, amesema Serikali inatarajia kukopa Sh5.793 trilioni kutoka soko la ndani ambazo kati ya hizo, Sh4.6 trilioni zitatumika kulipia hati fungani na dhamana za Serikali zinazoiva.

Sh1.193 trilioni zinazozidi kwenye mikopo hiyo ya ndani ambazo ni sawa na asilimia 0.9 ya Pato la Taifa, amesema ndilo deni jipya.

“Ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa miundombinu, Serikali inatarajia kukopa Sh3.111 trilioni kutoka soko la nje,” amesema.

Serikali yasema deni la Taifa ni himilivu

$
0
0
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema hadi Desemba 2017, deni la Taifa lilikuwa limefikia Sh47.756 trilioni na tathmini zinaonyesha bado ni himilivu.

Akiwasilisha mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na ukomo wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2018/19 mjini hapa leo Machi 13, 2018, Dk Mpango amesema deni la nje lilikuwa  Sh34.148 trilioni sawa na asilimia 71.5 na deni la ndani ni Sh13.607 trilioni sawa na asilimia 28.5.

Hata hivyo amesema uwiano wa deni hilo na Pato la Taifa kwa mwaka wa fedha 2017/18 ni asilimia 34.4 ikilinganishwa na ukomo ambao ni asilimia 56.

“Uwiano wa deni la nje na mauzo ya nje ni asilimia 81.1 ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 150. Hii inamaanisha kuwa uwezo wetu wa kulipa deni bado ni imara,” amesema.

Amesema Serikali inaendelea kuchukua tahadhari kwa kukopa kwenye vyanzo vyenye masharti nafuu kuhakikisha mikopo hiyo inaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Trump amfuta kazi Waziri wa Mambo ya Nje

$
0
0
Rais Donald Trump amefuta kazi Waziri wa wa Mambo ya Nje, Rex Tillerson na amemteua Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) Mike Pompeo.

"Mike Pompeo, ambaye ni mkurugenzi wa CIA, atakuwa waziri wetu wa mambo ya nje. Atafanya kazi vizuri sana," amesema Trump kwa njia ya Twitter Jumanne.

"Nakushukuru sana Rex Tillerson kwa huduma uliyoitoa!" ameongeza rais.

Shirika la Habari la CNN limesema nafasi ya Pompeo inatarajiwa kuchukuliwa na Gina Haspel.

Tillerson, Jumatatu alilazimika kukatisha ziara yake ya kwanza ndefu barani Afrika kwa kile kilichoelezwa kwamba kazi nyingi.

“Kutokana na mahitaji katika ratiba ya waziri, anarudi Marekani mapema baada ya kukamilisha ziara ya kiserikali Chad na Nigeria,” amesema msaidizi wake Steve Goldstein.

Tillerson aliyeanza ziara ya Afrika Jumatano alirudi Marekani baada ya kutembelea Ethiopia, Djibouti na Kenya ambako ilielezwa aliugua kwa muda.

Kwa mujibu wa CNN, Trump alimtaka Tillerson kujiuzulu nafasi hiyo tangu Ijumaa wakati akiwa katika ziara ya nchi kadhaa za Afrika.

Shirika hilo limemnukuu ofisa mmoja wa utawala akisema Trump alimtaka Tillerson ajiuzulu ili nafasi hiyo ichukuliwe na mtu mwingine. Ofisa huyo amesema rais anaona huu ni wakati mwafaka kufanya mabadiliko hasa kutokana na mazungumzo yanayokuja na Korea Kaskazini na majadiliano mbalimbali kuhusu biashara.

Muda mfupi baadaye Pompeo alitoa shukrani zake kwa Rais Trump.

 “Namshukuru sana Rais Trump kwa kuniruhusu kuhudumia kama Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la CIA na kwa kunipa fursa ya kuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Uongozi wake umeifanya Marekani kuwa salama na natazamia kumwakilisha yeye na watu wa Marekani katika ulimwengu kwa ajili ya ustawi wa Marekani.”

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya March 14

Jinsi Wachawi Wanavyo Iba Na Kuzimiliki Nyota Za Watoto Wanao Gombaniwa Na Wazazi Wao.

$
0
0
JINSI  WACHAWI  WANAVYO IBA  NA KUZIMILIKI  NYOTA  ZA  WATOTO  WADOGO  WANAO  GOMBANIWA  NA  WAZAZI  WAO.
IMESIMULIWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI.
SIMU  NAMBA  :  0744  000  473
………………………………………………………………………
Watoto  ninao  wazungumzia  hapa  ni  watoto  waliozaliwa kwenye  familia  za  wazazi  wenye  uwezo. Mama ana  uwezo  wa  kuwatunza  watoto  na  baba pia   ana  uwezo  wa  kuwatunza  watoto.
Katika kipindi hiki mapenzi  kati  ya  baba  na  mama  yanakuwa yameshakufa tayari, hakuna  anae muhitaji  wala  kumtaka  mwenzake  lakini  kila  mmoja  anataka  kukaa  na  mtoto.
Mama  anataka  kuishi  na  mtoto  na  ana  uwezo  wa  kumtunza  mtoto  bila  kuhitaji  msaada  wowote  ule  kutoka  kwa  baba na  wakati  huo  huo  baba  nae  anahitaji  kukaa  na  mtoto lakini  hataki  hata  kusikia  kuhusu  suala  la  mama  wa  mtoto.
Hitaji  la  kukaa  na  mtoto  huwa  linakuwa  kubwa  kupita maelezo ya  kawaida.  Mama  anakuwa  tayari  kwa  jambo  lolote  lile  ilimradi  tu  apate  haki  ya  kuishi  na  mtoto , kumtunza  na  kumlea  yeye  kama  yeye  bila  kuhitaji  hata  senti  tano kutoka  kwa  baba  na  wakati  huo  huo  baba  nae  anahitaji  kukaa , kuwalea  na  kuwatunza  watoto  wake  kwa  udi  na  uvumba  lakini  hataki  kuambiwa  wala  kusikia  chochote  kuhusu  mama  wa  watoto  hao.
Mgogoro  ninao uzungumzia  hapa  sio  wa  mama  kutaka  matunzo  ya  mtoto  kutoka  kwa  baba  ambapo  baba  anakuwa  anapiga  chenga  kutoa  matunzo  ya  mtoto  la  hasha, mgogoro  ninao  uzungumzia  hapa  ni  ule  ambao  wazazi  wa  mtoto  kila  mmoja  anakuwa  anapigania  kutaka  kuishi  na  mtoto  yeye  kama yeye  bila  kuhitaji  chochote  kutoka  kwa mzazi mwenzake.
Mgogoro  huu  unaweza  kutokea  baada  ya  mtu  na  mpenzi  wake  kuzaa  mtoto  na  baada  ya  hapo  kila  upande  ukawa  unataka  kukaa  na  kumtunza  mtoto  bila  kuu uhusisha  upande  mwingine.
Vile  vile  mgogoro  huu  unaweza  kutokea  baada  ya  mume  na  mke  wa  ndoa  kutalikiana na baada  ya  kuachana  kila  upande  ukawa  unataka  haki  ya  kukaa  na  mtoto  bila  kutaka  upande  mwingine  kuhusika  katika  maisha  ya mtoto  huyo  kwa  namna  yoyote  ile.
Sasa  basi  unapotokea  mgogoro  wa  namna  hii,  wanao  nufaika  na  mgogoro  huo ni wachawi.
Kwanini ?
Kwa  sababu  nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na  wazazi  wao  ni  lulu yenye  thamani  kubwa  sana  katika  ulimwengu  wa  wachawi.
Kivipi  ?
Katika  ulimwengu  wa  wachawi, nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na  wazazi  wao  zina  aminika  kubwa  na  nguvu  kubwa  sana  katika  biashara 
Nyota  hizi  huwa  zinaibwa  na  wachawi  na  kisha  wanapewa  watu  mbalimbali  kwa  ajili  ya  mvuto  wa  biashara  na  kupata  mali.
Zoezi  Hufanyikia  kwenye  vilinge  vya  wachawi.
Usichanganye  kati  ya  vilinge  vya  waganga  wa jadi ambako  watu wenye  shida, tabu, matatizo  na  mahitaji  mbalimbali  ya  mwili,roho  na nafsi  huenda  kutafuta  suluhisho la  matatizo  yao na  vilinge  vya  wachawi  ambako  wachawi  hukutana  kwa  ajili  ya  kufanya  ibada  zao  na  kupanga  mipango  yao mbalimbali
Zoezi  la kuiba, kuchukua na kumiliki nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa na  wazazi  wao  huwa  linafanyika  kwenye  vilinge  vya  wachawi.
Ni  vipi  hivyo  vilinge  vya  wachawi  ?
Vilinge  vya  wachawi  havionekani  kwa  macho  ya  nyama  lakini  mara  nyingi huwa  vinakuwa  kwenye  miti  mikubwa  mikubwa  kama  vile  Mbuyu, Mfausiku,Mnazi,Mkaratusi,Mwembe  nakadhalika.
Vilinge  hivi  vya  wachawi  vinapatikana  mahala  gani ?
Vilinge  vya  wachawi  vinapatikana  karibu  katika  kila  eneo, hata  hapo  unapoishi  wewe  unaesoma  Makala  haya  inawezekana  kukawa  na  kilinge  cha  wachawi  lakini  kwa  sababu  macho  yako  yamefungwa  huwezi  kukiona.
Zipi  ni  ishara  za  uwepo  wa  kilinge  cha  wachawi  katika  eneo  unaloishi :
Mara  nyingi  vilinge  vya  wachawi  huwa vinabeba  majina  ya  maeneo  husika. Mfano :  Mwembeyanga, Mwembetogwa, Mbuyuni,Mkuyuni, Mwembeni  nakadhalika.
Sasa  basi  zoezi  zima  la  kutafuta, kuiba na  kumiliki  nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na wazazi  wao  huwa  linaratibiwa  kwenye  vilinge  hivi  vya  wachawi 
Ni Zaidi  Ya  Misukule
Nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa na  wazazi  wao huwa   zinachukuliwa  katika  namna  inayo  fanana   kwa  kiasi  kikubwa  sana  na  jinsi  watu  wanavyo  chukuliwa misukule, isipokuwa tu  zoezi  la  kuiba  na  kuchukua  nyota  za  watoto  hawa   huwa  linahusisha  mambo  mengine  mengi  ya  ziada
Kwani  watu  huwa  wanachukuliwaje  misukule  ?
Kabla  hatujafahamu  jinsi  nyota za  watoto  wanao  gombaniwa  na  wazazi  wao  zinazvyo ibwa  na  kuchukuliwa  na  wachawi, ni vyema  tukafahamu  kwanza  jinsi  misukule  wanavyo  chukuliwa. Hii  itatusaidia  kujua  jinsi  tunavyo weza  kuwakinga  watoto wetu dhidi  ya shari  hii  ya  wachawi. Shari  inayo  haribu  maisha  ya  watoto wasio  na  hatia.
Zipo  njia  mbalimbali  zinazo tumiwa  na  wachawi  kuchukua  watu  misukule, maarufu na  nyepesi zaidi ni kama  inavyo elezewa  katika  maelezo  yafuatayo :
Katika  njia  hii  wachawi  hutayarisha  vitu  vifuatavyo
i.             Utomvu  wa  mti  mmoja hatari  sana  unao  patikana  porini  ambao  jina  lake  ninalihifadhi.
ii.       Ini na ngozi ya   samaki  mmoja  wa  baharini
Baharini  kuna  samaki  mmoja  maarufu  sana  katika  ulimwengu  wa  wachawi   ambae  jina  lake  ninamuhifadhi, samaki  huyu ambae  kwa  umbo  ni mdogo mdogo , ana  meno manne  makubwa yenye nguvu sana, mawili  yapo  juu  na  mawili yapo   chini, na  chakula  chake  kikuu  ni  konokono  wa  baharini  na  Ngisi.
Samaki hawa  huwa wanachukuliwa  wananyonyolewa ngozi kisha  wanapasuliwa  halafu  yanachukuliwa  maini.
Ini  na  ngozi  ya  samaki  hawa hutumiwa  na  wachawi  kama  moja  kati  ya  malighafi  zinazo  tumika  kutengeneza  uchawi wa kuchukua  watu  misukule.
iii.        Kaburi la mtoto  mchanga : Hapa mchawi  anaesimamia  zoezi la  kutengeneza  uchawi  wa  kuchukua  mtu  msukule huenda  kwenye  kaburi la  mtoto  mchanga  ambae  tangu  amezikwa  ana muda  kati  ya  siku thelathini  hadi  siku sitini  na  kuchukua  baadhi  ya  vitu  katika kaburi hilo na  makaburi  ya  watoto  hawa  mara nyingi huwa  yanakuwa  kwenye miji ya wazazi wao.  Vitu  hivi  vikisha  chukuliwa  vinachanganywa  kwenye  chungu  cheusi ambako  ndani  yake  kumewekwa  utomvu,ini  na ngozi  ya  samaki  wa  baharini  niliye  mtaja  hapo  juu.  Zoezi  hili  hufanyika wakati  ini  na  ngozi ya  samaki  huyo  vikiwa  bado vibichi  yani  vikiwa  ndio  vimetolewa  wakati  huo  huo.
iv.        Mjusi  wa  rangi  ya  buluu na  kichwa  chenye  rangi nyekundu. Mjusi huyu  anatakiwa  kuwa  ameuwawa muda  huo huo, yani kabla  hajaanza  kutoa  harufu. Basi mjusi  huyu  anachukuliwa  na  kisha  kuchanganywa  kwenye  chungu cheusi  chenye  vitu  nilivyo  vitaja  hapo juu
v.           Chura  mkubwa  na  mnyoo  wa  baharini : Huyu chura  kabla  ya  kuwa  tayari  kuwekwa  kwenye  chungu, huwa anachukuliwa  siku saba  kabla, halafu  akiwa  hivyo  hivyo  hai, anazungushiwa mnyoo  mrefu  wa  baharini  dawa  maalumu  ya  kichawi. Baada  ya  siku  saba, chura  huyu  anakuwa  amekauka  pamoja  na  mnyoo  huyo  wa  baharini. Sasa  akishakuwa  amekauka  ndio anakuwa  tayari  kutumika  katika kutengeneza  uchawi  huu  wa  misukule
vi.        Mizizi saba  ya  mti  huu  wa  porini: Mti  huu ambao nina  uhifadhi jina, unapatikana  porini, huwa  unatoa vitunda  vidogo  vidogo sana  ambavyo  vinafanana  sana  na  matunda  ya  mti  wa  msada.  Mizizi  saba  ya  mti  huu  huchukuliwa na  kuchanganywa  na vitu  nilivyo  vitaja  hapo  juu .
vii.      Mbegu saba  za  Upupu : Mbegu  hizi  zinachukuliwa  na  kuongezwa  kwenye  mchanganyiko  huo  hapo  juu.
Chungu  hicho  kitaenda  kuwekwa  kwenye mafiga  matatu  na  moto utakao tumika   utawashwa  kwa kutumia  kuni za  mti  wa  mfausiku  ambao  uliunguzwa  na  radi. Zoezi  hili  litafanyika  saa  sita  usiku  wa kuamkia  siku  ya Jumanne  ambayo  itakuwa  na  mwezi  mchanga  na  mafiga  yatatengwa  katikati  ya  njia  panda  dume. Njia  pande  dume  ni  ile  ambayo  zinakutana  njia  tatu  kwa  wakati mmoja  ilihali njia panda  jike  ni ile  ambayo  zinakutana  njia  nne  ama  makutano  ya  njia  nne. Sasa  basi  zoezi  la  kupika  uchawi  huu  huwa  linafanyika kwenye  njia  panda  dume, ama  makutano ya njia panda  tatu.
 Zoezi  tajwa  hapo  juu  litaenda  sambamba  na  kafara  ya  mnyama  na  lengo lake  litakuwa  ni  kumuita jinni  muiba nyota . Jini pamoja  na  mambo mengine hutumiwa  na  wachawi  kuwachukua  watu  misukule pamoja  na  kuiba  nyota  za watu. Anapokuja  kwa  kazi  ya  kuchukua  watu misukule  hujitokeza  katika  umbo la  bibi kizee  aliyeshika  fimbo  lakini  anapoitwa  kwa  kazi nyinginezo  kama  kuiba nyota  za  watoto  wanao  gombamniwa  na  wazazi  wao, hujitokeza  kwa  sura  na umbo  lake  halisi. Jini huyu  ambae  nina  muhifadhi jina  lake  ana  umbo  kama  la Mjusi  mkubwa sana  mwenye  uwezo  wa  kupaa, na  huwa  ana  vichwa vitatu, kimoja cha mtu, cha mbwa na cha mwewe.
  Huyu ndio mfalme  wa  majini wote wa  makaburini na  wafu.Ana weza  kuwa kusanya  majini  wote  wa  makaburini  na kuwaweka  katika  sehemu moja  kisha kuwaamuru  wafanye  anacho  kitaka, ndio anae  husika  pia  na  kuzika  nyota  za watu, wachawi  wanapo enda  kaburini  kuzika nyota  za  watu  basi hufanya  kazi hiyo  kwa  msaada  wa  nguvu  ya  jinni huyu. Jini huyu pia husaidia  katika  masuala ya  mali  na  utajiri.
Je  Nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na  wazazi  wao  huwa  zinachukuliwaje ?
Tumeona  hapo  juu  kuwa  zoezi  la  kuchukua  nyota za  watoto  wanao  gombaniwa  na  wazazi  wao  huwa  linafanana  kwa  kiasi  kikubwa  sana  na  zoezi  la  kuwachukua  watu misukule, na  tumeona  njia  moja  wapo  ambayo  inatumiwa  na  wachawi  kuchukua  watu  misukule.
Sasa  basi  baada  ya  jinni  huyo anapoitwa , kama  ameitwa  kwa  ajili  ya  kwenda  kuwachukua  watu  misukule  basi  zoezi  huwa  linaisha  baada  ya  jinni  huyu kukubaliana  masharti  ya  kazi  na  wachawi  watakao kuwa  wamemuita  kwa  ajili ya  kuchukua watu msukule, lakini  kama  zoezi  lilikuwa  ni  kwa  ajili  ya  kuiba  nyota  za  watoto  ambao  wana gombaniwa  na wazazi  wao, jinni huyo pamoja  na mambo  mengine  huwa  anaagiza  vitu mbalimbali.
Iliaweze  kufanya  kazi  ya  kuiba  nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na wazazi huwa, jinni huyu  huwa  anahitaji  vitu vifuatavyo:
1.   Hedhi  ya  mwanamke ambayo  ilimtoka  wakati  akiwa  usingizini : Hapa  mwanamke  huamka  eidha  usiku, alfajiri  au  asubuhi  na  kujikuta  tayari  ana  hedhi  yaani  wakati  inamtoka  alikuwa  usingizini
2.  Kucha  za mguu  na  mkono  wa  kushoto  pamoja na  manywele  za  maiti  inayo gombaniwa  : Vitu hivi  hutumika  ili  kibadilisha  nyota  ya  mtoto  anaegombaniwa  na kivuli  cha  maiti  anae  gombaniwa.  Ugomvi  unapotamalaki  wazazi  mnakuwa  mnadhani  mnagombania  mtoto  lakini  katika  ulimwengu  wa  roho  mnakuwa  mnagombania  maiti. Na  hii ndio  sababu  kwanini  katika  masharti yote  anayo toa  jinni  huyu  ,  huwa ANA  SHARTI  MOJA  KUU  NALO, NI  LAZIMA  NYOTA  INAYO  IBIWA  IPITIE  KWANZA  KABURINI..KABURI  LA MAITI  AMBAYO  ILIGOMBANIWA  NA  NDUGU ZAKE  NA  UPANDE  MMOJA  UKASHINDA  NA  KWENDA  KUMZIKA  MAHALI  UNAPOPATAKA.
3.  Majani  saba  yaliyo  chukuliwa  kwenye  paa  la  nyumba  ya  nyasi ambayo  yalichukuliwa  wakati  ndani  yake  kuna  maiti  wa kiume  ambae  amekufa  akiwa  bado  anaishi  kwenye  Gwegwe  la  wakwe  zake.  (  Gwegwe ni uzio mkubwa wa magogo manene unaojengwa kwa kuzunguruka nyumba kadhaa za familia moja ambapo nyumba za familia zinakuwa ndani ya uzio huo, halafu mbele ya gwegwe hilo kunakuwa na lango kubwa la kuingilia.  )
Katika mojawapo kati  ya  jamii  zilizopo  katika mkoa  mmoja  uliopo kaskazini mwa  Tanzania, kuna mila moja kwamba mwanaume  akienda kumchumbia mwanamke halafu akashindwa kukamilisha  mahari basi  atatakiwa  kuishi  na  mkewe kwenye  gwegwe  la ukweni mpaka mwanaume huyo atakapo kuwa  amekamilisha  kulipa deni la  mahali  anayo  daiwa.
Sasa  basi  moja  kati  ya  vitu ambavyo  vitahitajiwa na  jinni  aliepewa  kazi  ya  kuiba  na  kuchukua  nyota  za watoto  wanao  gombaniwa na  wazazi wao ni pamoja na majani  saba  ya  kwenye  paa  la  nyumba  ambayo  yalichukuliwa  wakati  ndani  yake  ipo maiti  ya  mwanaume  ambae alikufa  akiwa  anaishi  kwenye  gwegwe  la wazazi  wake  kwa  sababu  alikuwa  bado hajakamilisha  mahari.
4.  Fimbo  nne  za  mti  mweupe : Mti huu  una jina  lake  rasmi  lakini  ninalihifadhi. Kwa wachawi  unajulikana  kama Mti mweupe  kwa  sababu  ya  kuwa  na sifa ya kuwa  na  rangi nyeupe inayo  n’gaa  sana.
Mti huu  unapatikana porini, mti huu ukikomaa, urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba, una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe.

Mti huu ukikauka ukausaga unga wake huwa mweupe kama  mti wenyewe.

Ukichukua unga wa mti huu halafu ukajipaka usoni unakuwa na uwezo wa kuwaona wachawi.

Ukijipaka unga wa mti huu usoni halafu ukatembea mtaani wakati wa mchana, unaweza kuona mambo yote yanayofanyika katika siri kubwa kama vile wachawi wakiwa wanawanga au wanafanya shughuli zao wakiwa uchi.

Mti  huu  utakupa  pia uwezo wa kuwaona misukule pamoja na  watoto wao.

Vilevile mti huu una uwezo wa kukimbiza nyoka mfano ukiwa na kipande cha mti huu mfukoni halafu ukawa unatembea, kama mbele yako kuna nyoka atakimbia kabla hujafika.

Hata ukikaa mahali kama kuna nyoka hawezi kukaa hapo, atakimbia tu.
Sasa  basi  matawi ya  mti  huu  huwa  yanatumika kutengeneza  usafiri  wa  kichawi  maarufu kama  Kujichinja.  Unajua  usafiri  wa  kichawi  upo  wa  aina nyingi sana.
Aina  zinazo  julikana sana  ni pamoja  na ile  njia  ya  ungo, kwa  kutumia  wanyama  kama  fisi,  kwa  kutumia  ufagio  na  kwa kutumia  njia  ya  fimbo  ya  mti  nilio utaja  hapo juu ambayo ndio  ninaieleza  hapa.  Huu  ni usafiri  wa  kasi  sana wa  kichawi.kabla ya kuanza safari, wachawi  huomba  dua ya manuizo na kukanyanga ncha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini humuinua  mchawi  husika  juu angani, kama anataka kwenda  labda Nigeria kutoka Dar, ataonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi mchawi  ahairishe safari, kama njia ni nyeupe, mchawi atatakiwa akanyage ncha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti.
Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa mchawi hawezi kufika akiwa hai, majini huchomoa roho yae ndani ya mwili mchawi huyo na roho humtangulia mbele, mwili wake huikimbiza roho yake ukiwa katika hali ya umauti,  mchawi  anaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.
Sasa  basi  moja  kati ya vitu ambavyo jinni aliepewa  kazi  ya  kuiba  na  kuchukua  nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na wazazi  wao ni pamoja  na fimbo  nne  za  mti mweupe.

5. Fimbo  7 kutoka  kwenye  kitanda  cha  sokwe  mtu : Kwa  wale  wasio  jua  sokwe  mtu  huwa  wanakuwaga  na  vitanda  huko  porini, ambavyo  hutengenezwa  kwa  kutumiwa  miti  mbalimbali. Huwa  hawakai kwenye  vitanda  vyao  kwa  muda  mrefu, hukaa  kwa  muda  mfupi  sana  na  kuhama  na  kwenda kutengeneza  vitanda  vingine  sehemu nyingine  kwa  kutumia  miti  mingine. Sasa  basi  huchukuliwa  miti saba  kutoka  kwenye  vitanda  saba  tofauti  yani kila kitanda  kimoja inachukuliwa  fimbo moja  tu.
6. Mfupa  wa  kwenye  dhakari  ya  paka.
7. Kipande cha  mti  kilicho  chukuliwa  kutoka  kaburini wakati kaburi  linachimbwa
8.  Wadudu  wanne  wakichwani  wa  kondoo
9.  Mizizi ya  mtunduru
10.          Chura  udenda: Huyu  ni  aina  ya  chura  ambae  hutoa  udenda
11.           Mifupa  iliyo  temwa  na  bundi : Kwa wasio fahamu, bundi  huwa  hali  mizoga, yeye  hula ndege, samaki  na  wadudu  kama  panya  wa  porini  wakiwa  wazimawazima, huwameza  na  anapotema  hutema  mabaki ya mifupa. Sasa  mabaki hayo  ya  mifupa  iliyo temwa  na  bundi  ni  moja  kati  ya  malighafi  ambazo  jinni muiba  nyota  za  watoto wanao  gombaniwa  na  wazazi  huzihitaji ili aweze  kutenda  kazi  yake.
12.           Matunda  saba  yaitwayo  popoo. Popoo ntunda gumu lenye umbo la duara lililofunikwa na makumbi kama vile  nazi ambalo hukatwa vipande vyembamba na kutafunwa pamoja na tambuu
13.          Mti  wa  pilipili  ulio kaushwa  kwa  hedhi 
14.          Mchanga  ulio  chukuliwa  juu  ya  daraja linalo tumika  kusafirisha   wafu na watu  walio  hai  kwa  wakati  mmoja. Mfano wa  daraja  hili  ni  daraja  lililopo katika  njia  ambayo  huelekea  makaburini  ambayo  watu  hupita  huku  wakiwa  wamebeba  maiti.
15.          Maji  yaliyo  chukuliwa chini  ya  daraja  ambalo  hutumika kusafirisha  wafu  na  walio  hai kwa  wakati mmoja.
16.          Misumari  ya  jeneza  yenye  kutu  ambayo  ilitumika  kwenye  jeneza  la  mtoto  mwenye  umri  wa  miaka  kumi  na  tatu, umri ambao  kwa  mujibu  wa  wachawi, mtoto ndio  anaanza  kuingiwa  na  rohoso  ya  uhasi.
17.          Mdudu  wa  kwenye  kokwa  la  embe
18.          Chawa wa  msukule
19.          Pamoja  na  nywele  za  msukule  zenye  chawa  walio kufa  wakiwa  kichwani  kwake: kwa  wasio jua, chawa  wa  kichwani  wana  matumizi  mengi  sana  katika  uchawi.  Ama kwa  upande wa  misukule ni  vigumu  sana  kumkuta  msukule  ambae  hana  chawa  na  ni vigumu  sana  kwa  chawa  wa  msukule  kufa  wakiwa  kichwani,sasa  basi  ili  kuhakikisha  chawa  wa  msukule  husika  wanakufa  wakiwa  kichwani  wachawi  huwa   wanatumia mbegu za  mti  wa  mtope tope kutengeneza  dawa  ya  kuua  chawa, anachukuliwa  msukule anapakwa  dawa  hiyo  chawa  wote  wanakufa  kisha  ananyolewa  nywele  zake  zote.
Tunda  hili  linafanana  sana  na  tunda  la  Mstaferi/ Onyo  mbegu za  tunda  hili  ni  sumu, kuwa  mwangalifu  sana  unapokuwa  unashughulika  na  mbegu za  tunda  la  mtopetope kwa  namna  yoyote  ile )
20.         Yai  la  Bundi :   Jinsi  yai la  bundi  linavyo chukuliwa , wachawi  hutafuta  kitambaa  cheupe, mbegu  tatu  za mmea mmoja wa  porini wenye  kutoa  matunda  yenye  ukali  wa  kufanana  na  tumbaku, Udil Karaha.Kisha  linachukuliwa  kopo  la  bati  na  kutobolewa  matundu matatu na  ndani  yake  zinawekwa  hizo  mbegu tatu  za  mti  huo, halafu  baada  ya  hapo  wachawi  huenda kwenye  kiota  cha  bundi saa  sita  usiku  na  wanapokaribia  kwenye  mti  ambao ndani  yake  kuna  kiota  cha  bangi ,wachawi  hao  huvua  nguo  zao  zote  kisha  huusogelea  mti  huo  na  kuweka  sarafu  nne za  sh  mia  mia  kuuzunguka  mti, halafu  huweka  kitambaa  cheupe  karibu  na  yalipo mayai   na  kuondoka  zao, kesho  yake  wakirudi  wakikuta  kitambaa  kipo  vilevile  basi  huondoka zao , lakini  wakikuta  yai moja  limejiweka  lenyewe  kwenye  kitambaa  huku likin’gaa na  kutoa  maandishi  maalumu, yai  hilo  litachukuliwa  haraka  sana  na  kufikishwa  kilingeni  kwa  ajili  ya  kukabidhiwa  jinni  muiba  nyota.
21.          Pamoja  na  vitu  vingine  vingi  sana  ambavyo  si  rahisi kuvitaja  vyote  hapa.
Vitu  hivi  vikisha  kamilika, inafanyika  kafara  ya  mnyama  mmoja  mwenye  miguu  minne.
Lengo  la  kafara  hii  pamoja  na  mango mengine  mengi  ni  pamoja  na  kutamka takwa  la  kichawi  kuhusu  kusudio wanalo  litaka  juu  ya  idadi ya  watoto  ambao  wamekusudiwa  nyota  zao  kuibiwa. Kwa  wale  wasio  fahamu, kazi  ya  damu ya mnyama katika  kafara  ni  kutamka  jambo  ambalo  mtoa  kafara  analitaka.
Kafara  ikisha  tamka  jambo  lililo  kusudiwa, basi mkataba  wa  kuiba  nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na wazazi  wao  kati  ya  Jinni  huyu  na  wachawi  walio mkusudia  unakuwa  umekamilika na  unaanza  kutenda  kazi  mara  moja.
  Mara  nyingi  mkataba  huu  huwa  unafanyika  kila baada  ya  mwaka  mmoja  wa  kichawi  na katika  kipindi  hicho  idadi kubwa  sana  ya  nyota  za  watoto  huibwa.
Kazi ya  kuiba  nyota  za  watoto  wanao  gombaniwa  na  wazazi  wao :
Kazi hii   hufanywa  na  jinni muiba  nyota. Nyota  za  watoto  hawa  hubadilishwa na  majini na  mizimu.

WACHAWI  WANAVYO  PIMA  KAMA NYOTA  YA  MTOTO  ALIEKUSUDIWA  IMECHUKULIWA  TAYARI.
Kupima  kama  nyota  ya  mtoto  aliekusudiwa imechukuliwa  au  lah,wachawi  huwa  wanatumia kitu  kinachojulikana  kama  JOHO  LA  YUSUFU.
Nguo  za  mtoto  aliekusudiwa  huwa  zinaibwa kichawi   kisha zinaenda  kuchanwa  chanwa  halafu  anachukuliwa  kondoo  mweupe  anachinjwa damu  yake  inapakazwa  kwenye  nguo  za  mtoto  huyo kisha  anaenda  kuvalishwa  kaburini  kichawi  mtoto  huyo usiku.
Ikifika  asubuhi  kama  wazazi  wa  mtoto  huyo wana  macho  ya  rohoni  basi  watagundua  kuhusu  kinacho endelea  na  wakigundua  watachukua  hatua ambayo  lazima wachawi  hao  wataiona  kwenye  rada  zao.
Wazazi  wasipo  situkia  basi  wachawi  wanakuwa  na  uhakika  kwamba, nyota  ya  mtoto huyo  inakuwa  imechukuliwa  tayari  na  joho  hilo  husimama  kama  uthibitisho wa  uhalali  wa umiliki  wa nyota  ya  mtoto  huyo  ambayo  imeibiwa  wakati  atakapo  kuwa  anaiuza  kwa  wahusika.
Mtu anae miliki  nyota  hii  anaweza  kuifanyia  chochote  anachokitaka  kwa  sababu yeye  anakuwa  ndio  mmiliki  halali  wa  nyota  hiyo  katika  ulimwengu  wa kichawi.
Kitakacho  fuata  baada  ya  hapo  ni  wachawi  husika  kufunika  uchawi  huo  na kwenda  kuipiga  bei nyota  hiyo.
Joho  la  Yusufu  pia  hutumika  kuwafunga  macho  wazazi wa  mtoto  husika  wasijue  kitu gani  kinaendelea  juu  ya  maisha  ya  mtoto  wao na  mara  nyingi  mtoto  anapopatwa  na  matatizo  mzazi  anaeishi na  mtoto  hupeleka  lawama  kwa mzazi  wa  upande  wa  pili.
ATHARI   KWA  MTOTO  AMBAE  NYOTA  YAKE IMEIBWA.
Athari  kuu  wanazo zipata  watoto  ambao  nyota zao  zimeibwa  na  wachawi  ni nyingi sana  kiasi  siwezi kuzieleza  zote  hapa  ila  kikubwa   ni kuharibikiwa  kimaisha na kusababisha  hasara na  majonzi makubwa  kwa  wazazi  wao.

SULUHISHO :   Kubaliana  na  mzazi mwenzako  kuhusu  njia  bora  ya  kumlea  mtoto  wenu  ambayo  haita  athiri  maisha  ya  baadaye  ya  mtoto wenu.
Unapokuwa  katika  mgogoro  kama  huu  hakikisha  unamkinga  mwanao dhidi  ya  shari  hii  ya  kichawi.
Usifanye  uchawi  wa  kumfanya  mtoto  amchukie  mzazi  mwenzako, kwani  huwa  una  madhara  makubwa  sana.
Unachoweza  kufanya  ni  kuomba  dua  ili mzazi mwenzako  akuruhusu  kwa  moyo  mkunjufu  kabisa  kuishi  na  mtoto wako bila  mtoto  kumchukia  mzazi  mwenzake  huyo.
Kikubwa  zaidi usizae  na  mtu ambae  unajua  baadae  unaweza  kuingia  nae  katika  mgogoro  kama  huu kwa  sababu  madhara  yake  ni  makubwa  sana  kwa  mtoto.

IMESIMULIWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI.
DOKTA  MUNGWA  KABILI  ANAPATIKANA  KWA  SIMU  NAMBA :  0744  000  473

Rais wa Ufaransa apongeza utendaji kazi wa serikali ya Tanzania

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan jana amekutana na kuzungumza na Balozi mpya wa Ufaransa nchini Mhe. Frederic Clavier ambaye aliongozana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) Bw. Emmanuel Baudran.

Katika mazungumzo hayo ambayo yalifanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Balozi Clavier aliwasilisha salaam za Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na kusema, “Rais wa Ufaransa ana uhakika na Tanzania ijayo na anaunga mkono jitihada za maendeleo zinazofanywa na Rais Magufuli.”

Balozi huyo mpya wa Ufaransa nchini ambaye amekutana na kuzungumza na Mheshimiwa Makamu wa Rais aliipongeza Tanzania kwa kuwa mstari wa mbele katika masuala mbali mbali ya Kimataifa na kusema “Tanzania ni nchi yenye utulivu na Amani kitu ambacho kinaipa taswira nzuri Umoja wa Mataifa”.

Mhe. Balozi alimjulisha Makamu wa Rais kwamba Ufaransa imekusudia kuimarisha uhusiano zaidi na Tanzania wa Uchumi na Siasa na kuanzisha majadiliano mbali mbali katika masuala ya Mazingira,Mabadiliko ya Tabia Nchi.

Balozi Clavier alimjulisha Makamu wa Rais kuwa mwezi ujao kutakuwa na ugeni wa wafanya biashara kati ya 30 au 40 kutoka nchi ya Ufaransa ambao watakuja kujionea fursa mbali mbali za kibiashara na uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania.

Mhe. Balozi alimuelezea Makamu wa Rais azma ya Ufaransa kushirikiana na Vyuo Vikuu vya Tanzania katika kuanzisha na kuendesha kozi mbali mbali kwa manufaa ya pande zote mbili.

Mwisho aliipongeza Serikali kwa mapambano dhidi ya rushwa na urasimu jambo litakalo wavutia wawekezaji wengi nchini.

Aidha, Bw. Emmanuel Baudran Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa alisema Shirika lao linakusudia kuanzisha kiwanda cha vifaa vya umeme wa jua (solar) mkoani Shinyanga pia shirika hilo limeshafanya miradi ya uboreshaji maji taka katika manispaa ya Temeke na wanaendelea na mikakati ya uanzishwaji wa miradi mingine.

Kwa upande wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alimshukuru na kumpongeza Balozi wa Ufaransa kwa kazi nzuri wanazofanya hapa nchini.

Alimhakikishia kwamba Serikali ya Tanzania ipo tayari kutoa ushirikiano kwa mambo yote muhimu yenye maslahi kwa wananchi.

Wakati huohuo Makamu wa Rais alikutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa WFP nchini Mhe. Michael Danford.

Serikali ya Nigeria yatamani kufanya mazungumzo na Boko Haram

$
0
0
Serikali ya Nigeria imesema ina mpango wa kutumia njia ya mazungumzo badala ya kutumia nguvu za kijeshi ili kuwaokoa wasichana 110 waliotekwa katika mji wa Daptch hivi karibuni pamoja na wale waliotekwa mjini Chibok mwaka 2014.

Ofisi ya Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari imesema ingependa kuwapata wasichana waliotekwa Chibok na Daptch wakiwa hai.

Utekaji huo ndio mkubwa zaidi kufanywa na kundi la wanamgambo la Boko Haram lenye itikadi kali ya Jihadi, tangu lilipowateka wasichana wa shule 270 katika mji wa chibok mwaka 2014.

Hata hivyo, taarifa iliyowahi kutolewa na vyombo vya habari vya kiusalama ilidai kuwa takribani wasichana 100 waliachiliwa huru na Boko Haram baada ya kulipwa fidia na serikali.

Polisi, Chadema watifuana msibani

$
0
0
Takribani watu 20 wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chadema akiwemo diwani wa Kata ya Mabatini, Deo Mbibo wanashikiliwa na polisi baada ya kukamatwa walipokuwa wameenda kuhani msiba wa mwanachama mwenzao.

Akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mwanza, Leonard Nundi amesema tukio hilo limetokea jana  Machi 13, saa kumi jioni ambapo wafuasi hao wakiwa zaidi ya 500 walienda kuhani msiba huo na ghafla polisi waliwavamia na kumtaka mfiwa kuongea naye.

“Chanzo cha vurugu ni baada ya askari hao kuvamia msibani na kumhitaji mfiwa ambaye ni Laurent Chiro kwa ajili ya mazungumzo, waliposhindwa kuelewana walimchukua diwani na viongozi wengine waliokuwa meza kuu na kuwapandisha kwenye gari la polisi,” amesema Nundi.

Amesema wanachama waliokuwa msibani waliogomea kitendo hicho na kuanza kuwarushia mawe polisi ambao nao walianza kujihami kwa kupiga mabomu ili kuwatawanya.

Akizungumzia tukio hilo, kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Ahmed Msangi pamoja na kudai yuko wilayani Kwimba, lakini amesema wafuasi hao wamekuwa na kawaida kukusanyika na kufanya vikao vyao vya kisiri.

Mmoja wa wanachama aliyekuwa eneo la tukio, Emmanuel Tumbo amesema wafuasi hao wametoka katika kata zote 18 za Jiji la Mwanza ambao wamejiwekea utaratibu wa kuhani misiba inapotokea kwa mwanachama anayefiwa au kufariki dunia.

Viongozi Watatu Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) Waitwa Polisi

$
0
0
Viongozi watatu wa nafasi za juu katika Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) wameitikia wito wa kufika kwa mpelelezi wa makosa ya Jinai (DCI) Jijini Dar es Salaam leo asubuhi kwa lengo la kuhojiwa kutokana na tukio la Abdu Nondo.

Hayo yamebainishwa na taarifa iliyotolewa na Afisa Habari- TSNP, Hellen Sisya baada ya kupita siku moja tokea Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa kuwataka viongozi hao kufika katika ofisi za DCI.

"Tumepokea taarifa ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inatofautiana kabisa na ile ya Iringa juu ya kuonekana kwake. Hata hivyo, kabla ya taarifa ya uchunguzi kulitanguliwa na matamko ya viongozi wa juu waliodai kuwa Abdul Nondo alijiteka mwenyewe jambo ambalo kwa vyevyote lingeathiri uchunguzi wa jeshi la polisi", amesema Hellen.

Pamoja na hayo, Hellen ameendelea kwa kusema "pamoja na mapungufu yote tunaamini Nondo atatendewa haki atakapofikishwa mahakamani".

Kwa taarifa kamili soma hapa chini.

DSE yafafanua kuhusu kupungua kwa mauzo ya hisa

$
0
0
Kufuatia baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii kuhusisha upunguaji wa mauzo ya Soko la Hisa la Dar es Salaam-DSE na hali ya uchumi, Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko hilo Moremi Marwa ametoa ufafanuzi wa muenendo wa soko hilo.

Amesema kupungua huko ni hali ya kawaida katika soko kunakotokana na wawekezaji kupendelea kubadili uwekezaji kutoka kwenye hisa kwenda kwenye hati fungani, na kwamba hali hiyo ikitokea mauzo ya hisa hushuka wakati ya hati fungani yakipanda.

Huku akirejea takwimu zinazoonyesha mwenendo wa soko katika kipindi cha robo mwaka wa 2017 na 2018, amesema kuanzia Januari hadi Machi 10 mwaka huu kulikuwa na miamala ya mauzo ya hisa zenye thamani ya jumla ya Sh. bilioni 72 na mauzo ya hati fungani-Bonds yalikuwa na thamani ya bilioni 287 kwa bei ya kuuzia.

Ukilinganisha na kipindi cha robo mwaka cha 2017 ambapo kulikuwa na miamala yenye thamani ya sh. 75 na thamani ya bonds ilikuwa bilioni 229, na kwamba mwaka huu mauzo ya bonds yalipanda kwa bilioni 58 hali iliyopelekea kushuka kwa mauzo ya hisa.

“Tunaweza kusema mwenendo ni kuwa wawekezaji wana hama kati ya hisa na hati fungani, hii ni hulka ya kawaida ya soko na wawekezaji, pia viashiria vingine kama market capitalization na indices karibu zote zinapanda ukilinganisha na mwaka uliopia,” amefafanua.

Ameongeza kuwa, “Mlinganisho wa kila wiki hasa ukizingatia kwa muktadha wa maendeleo na uchanga wa soko letu na mauzo kwa vipindi vya muda mfupi kama vile siku au wiki haielezi upana na uhalisia wa mwenendo wa soko.”

Serikali yatangaza ajira Elfu 10....Yaeleza namna ya kuomba

$
0
0
Serikali ya Tanzania kupitia Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) imetangaza nafasi za kazi 10,000 kwa wananchi wote waliopo nchini kwenye mradi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutokea Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga.

Hayo yamebainisha na Kaimu Mtendaji Mkuu wa TaESA, Boniface Chandaruba wakati alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam na kuwataka watanzania kujitokeza kujisajili ambapo zoezi hilo limeshaanza kuanzia sasa na litasitishwa  Machi 30, 2018  ili waweze kuwatambua rasmi.

"Huu ni moja ya miradi mikubwa kutekelezwa hapa nchini ambao unategemea kugharimu Dola za Kimarekani 3.5 Billioni sawa na shillingi Trillion 8 za Kitanzania. Tanzania inayofursa kubwa ya ajira katika mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta hivyo sisi kama TaESA tumepewa jukumu la kuwahamasisha watanzania waweze kujitokeza na kujisajili TaESA ili serikali iweze kubaini wananchi wenye ujuzi na sifa za kuweza kufanya kazi kwenye mradi huu wa bomba la mafuta na gesi", amesema Chandaruba.

Aidha, Mradi huo unatarajiwa kuchukua kati tya miezi 24 hadi 36 na unategemewa kuzalisha fursa za ajira takribani 10,000 wakati wa ujenzi na ajira zaidi ya 1,000 wakati wa uendeshaji wake.

"Ili kuhakikisha kwamba watanzania wengi wananufaika na fursa za ajira zitakazotokana na mradi huo, wakala unapenda kuwahamasisha watanzania wote wenye taaluma na ujuzi katika sekta ya mafuta na gesi kujisajili TaESA ili waweze kuingizwa kwenye kanzidata ya Wakala kwa lengo la kuiwezesha serikali kubaini idadi halisi ya watanzania walio na sifa zinazohitajika na walio tayari kuajiriwa kwenye mradi huo", amesisitiza Chandaruba.

Pamoja na hayo, Chandaruba ameendelea kwa kusema "nafasi hizi ni nafasi ambazo haziitaji gharama yeyote ile katika kujisajili au kutambuliwa".

Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi  “East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP)”  kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania unategemewa kuwa na urefu wa kilometa 1,445 ambapo ujenzi wa kilometa 1,115 za bomba hilo utafanyika nchini Tanzania. Jumla ya wilaya 24 na vijiji 184 hapa nchini vinategemewa kupitiwa na bomba hilo katika mikoa 8 ya Kagera, Geita, Shinyanga, Tabora, Singida, Dodoma, Manyara na Tanga.

Ujenzi wa reli ya kisasa Kutoa Ajira kwa Wananchi 600,000

$
0
0
Rais John Magufuli amesema ujenzi wa reli ya kisasa nchini utatoa ajira za moja kwa moja 30,000 na zisizo za moja kwa moja 600,000.

Akizungumza leo Jumatano Machi 14, 2018 wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa reli hiyo kutoka Makutopora mkoani Dodoma hadi Morogoro, Rais Magufuli amesema mbali na kutoa ajira, ujenzi huo ukikamilika utanyanyua uchumi wa nchi.

“Ujenzi wa reli hii utasaidia kutunza barabara zetu kama mnavyojua nchi yetu imepinga hatua katika ujenzi wa barabara. Barabara zetu hazidumu kutokana na kubeba mizigo mizito ambayo inaweza kusafirishwa kwa njia ya reli,” amesema.

“Uwapo wa reli hii utapunguza gharama za ukarabati wa barabara zetu. Ujenzi wa reli hii utatoa ajira za moja kwa moja 30,000 na zisizo za moja kwa moja 600,000… juzi tuliambiwa sasa tumefikia watu milioni 55, watu wanasema kwa nini tunazaliana, mimi nasema tuazaliane tu. Mnapokuwa wengi mnakuwa na sauti. Katika jumuiya tulizopo sisi tupo wengi tuna sauti, jambo la msingi tuchape kazi,” amesema.

Amewataka Watanzania  kuacha kuogopa wingi wao na kwamba, jambo la muhimu ni kufanya kazi.

“Denmark ina watu milioni tano lakini wakati mwingine inatoa msaada hata kwa nchi kama Tanzania kwa sababu watu wake wanafanya kazi. Nchi nyingi duniani zimeshindwa duniani kwa sababu zinakopa halafu zinapewa masharti magumu. Sisi tumejenga kwa hela ndogo tofauti na ilivyotarajiwa,” amesema.

Rais Magufuli Awapa ONYO TRA

$
0
0
Rais Dkt. John Magufuli amemuagiza Kamishna wa TRA, Waziri wa Fedha na katibu mkuu kuenda kuishughulika Shirika la Mapato Tanzania (TRA) ili iweze kuacha tabia zake chafu za kuwaongezea raia kodi za mapato pindi wanapokwenda kupata huduma hizo.

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anatoa hotuba yake kabla ya kuweka jiwe la msingi wa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa ya 'Standard Gauge' katika eneo la Ihumwa, Dodoma ambapo awamu ya kwanza ilizinduliwa mwezi Aprili mwaka 2017, katika maeneo ya PUGU, Jijini Dar es Salaam.

"Napenda kuwahimiza watanzania wote kuendelea kulipa kodi ili kutekeleza miradi ya maendeleo nchini pamoja na kuboresha huduma mbalimbali za kijamii. 

"Pamekuwepo na mtindo mtu anapokwenda kununua bidhaa anapewa risiti ya bei ndogo badala ya risiti anayotakiwa kupewa. Mtoa risiti na mpokeaji wote kwa pamoja wanaibia serikali na hivyo wanasababisha kuchelewesha maendeleo ya kujenga reli, ninawaomba watanzania tuwe wazalendo", amesema Rais Magufuli.

Pamoja na hayo, Dkt. Magufuli ameendelea kwa kusema "TRA muangalie kodi zenu mnazozitoza, inawezekana nyingine ni kubwa mno kuliko miradi wanayotekeleza wananchi badala ya kuwa motisha kwa walipa kodi inakuwa kero kwao na badala yake wanabuni njia ya kukwepa kulipa kodi.

"Kwa hiyo TRA mjipange vizuri maana Kuna watu TRA si watu wazuri, na saa nyingine wanapokwenda kule wanaipaka matope serikali kwa kusema hii ndio dhana ya hapa kazi tu kumbe wao wanafanyakazi ya kuiba taifa".

Kwa upande mwingine, Dkt. Magufuli ameitaka TRA kuendelea kutoa elimu ya mlipa mkodi kwa wananchi ili kuweza kuwapa uelewa wanachi na waweze kulipa kodi kwa heshima kwa taifa lake.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images