Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jeshi la Polisi Manyara linamshikilia Mbunge Mary Nagu kwa amri ya Mkuu wa Wilaya

0
0
Mbunge wa Jimbo la Hanang, mkoani Manyara Dkt Mary Nagu (CCM) na mwenyekiti wa CCM wilaya hiyo jana walikamatwa  na Jeshi la Polisi wilayani humo kwa amri ya Mkuu wa wilaya hiyo kutokana na sababu ya  kushindwa kuelewana kiutendaji.

Kwa mujibu wa mkuu wa wilaya Sarah Msafiri ameeleza kuwa aliagiza kukamatwa kwa Mbunge huyo baada ya kuchoka kumvumilia kutokana na kauli anazozitoa kwenye mikutano yake na wananchi akihamasisha wasishiriki shughuli za maendeleo.

Pia amemtuhumu Mbunge huyo kuwataka wananchi wasishirikiane naye jambo ambalo alidai ni sawa na kuwataka wananchi wasishirikiane na serikali kwa sababu yeye anasimama kama serikali

“Ni kweli tumemkamata na sababu kubwa ni kuhamasisha wananchi wasishiriki shughuli za maendeleo na pia anawataka wananchi wasishirikiane na Mimi wakati anajua Mimi nasimama kama serikali” -DC Msafiri

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani.....Tazama Hapa Alichokisema Rais Magufuli

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Machi 8, 2018 katika siku ya wanawake duniani amefunguka na kuwapongeza wanawake wote wa Tanzania na kuwatakia kheri katika siku yao hii muhimu.

Magufuli ametoa ujumbe huo kupitia mtandao wake wa twitter na kusema kuwa wanawake wamekuwa na mchango mkubwa sana katika jamii na kusema daima ataendelea kuwaheshimu

"Nawapongeza wanawake wote kwa kusherehekea siku yenu ya leo na hasa kwa mchango wenu mkubwa mnaoutoa kwa jamii. Daima tutaendelea kuwaheshimu, kuwapa ushirikiano na kutambua juhudi zenu katika kujenga ustawi wa jamii yetu" alisema Rais Magufuli

Makamu wa Rais atoa neno siku ya Wanawake duniani

0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu amesema ana kila sababu ya kuzungumza japo kwa kifupi jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na zinazoendelea kuchukuliwa na serikali katika kuimarisha usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji wa Wanawake Vijijini.

Makamu wa Rais amesema kuwa serikali ina sera kuendeleza wanawake,huku akisema kuwa sheria ya ardhi za mwaka 1999 ambazo husimamia haki za wanawake katika kumiliki ardhi.

"Leo katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Mimi kama mwanamke na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nina kila sababu ya kuzungumza japo kwa kifupi jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na zinazoendelea kuchukuliwa na serikali katika kuimarisha usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji wa Wanawake Vijijini.

"Serikali inayo Sera ya kuendeleza Wanawake, Sheria za ardhi za mwaka 1999 ambazo husimamia haki za wanawake katika kumiliki ardhi.

"Sera ya elimu bure inayotekelezwa na serikali ya Awamu ya Tano imetoa fursa kwa watoto wengi wa kike kuandikishwa shuleni.

"Kuboreshwa kwa huduma za kijamii kama vile kujengwa zahanati na vituo vya afya na usambazaji wa maji vimempunguzia mwanamke usumbufu na hivyo kumpa muda wa kutosha kufanya shughuli za maendeleo.

"Usambazaji umeme vijijini kwa kiasi kikubwa umesaidia wanawake wengi kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kujiingizia kipato.

"Uwezeshaji wa Wanawake kwa kuwapatia asilimia 5 ya mapato ya halmashauri na asilimia 30 ya zabuni za halmashauri kumewawezesha wanawake wengi kufanya biashara na hatimaye kuwa na uhakika wa kipato .

"Serikali kuendelea kuhimiza taasisi za kifedha kutoa mikopo yenye riba nafuu ili kuwawezesha wanawake wengi kunufaika na mikopo hiyo.

"Kurasimisha vikoba pamoja na kuwashawishi wanawake wengi zaidi kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kuweza kunufaika na mafao na mikopo itolewayo na taasisi hizo.

"Kauli Mbiu:Kuelekea Uchumi wa Viwanda tuimarishe usawa wa kijinsia na Uwezeshaji wa Wanawake Vijijini."

Rais Magufuli kuzindua tawi la benki Chato Kesho

0
0
Rais John Magufuli kesho Machi 9, 2018 anatarajiwa kuzindua tawi la benki ya CRDB katika jengo jipya lililopo eneo la mlimani mjini Chato mkoani Geita.

Taarifa iliyotolewa leo na mkuu wa Wilaya ya Chato Shaban Ntarambe, inaeleza kuwa hafla ya uzinduzi wa tawi hilo itaanza saa mbili asubuhi katika eneo lilipo jengo jipya la benki hiyo.

Ntarambe amewataka wananchi wa Chato na maeneo ya jirani kujitokeza kumsikiliza rais na kushuhudia uzinduzi huo ambao unaendelea kufungua fursa za kiuchumi kwa wananchi.

Baadhi ya wananchi wa mjini Chato wamepongeza juhudi zinazofanywa na wadau wa maendeleo kusogeza huduma karibu na wananchi na kusema Chato ya sasa sio kama ya zamani na kwamba, uwepo wa miundombinu hiyo inafungua maendeleo.

Serikali sasa kuhakiki vyeti elimu ya juu

0
0
Serikali imesema inaandaa utaratibu wa kuhakiki vyeti vya taaluma vinavyotolewa na vyuo vya elimu ya juu vya ndani na nje ya nchi.

Wakati hayo yakielezwa, watumishi wa umma 14,409 wamebainika kuwa na vyeti vya kughushi huku 1,907 wakiwa hawajawasilisha vyeti kwa ajili ya kuhakikiwa licha ya Serikali kutoa muda wa kutosha kwa watumishi hao kuwasilisha vyeti vyao Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) kwa ajili ya uhakiki.

Hayo yalielezwa jana na Katibu Mkuu Utumishi, Dk Laurean Ndumbaro wakati akipokea taarifa ya sita na ya mwisho ya uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde.

Taarifa iliyotolewa jana na kitengo cha mawasiliano Ofisi ya Rais Utumishi, inaeleza kuwa mbali na Serikali kuandaa utaratibu huo, watumishi waliosoma vyuo vya nje ya nchi, watapaswa kuviwasilisha Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ili vihakikiwe kujiridhisha uhalali na wake.

Katika taarifa hiyo, Dk Msonde amebainisha kuwa uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma ni vya ufaulu wa kidato cha nne, sita na ualimu.

Alisema katika awamu ya sita watumishi 5,696 wamehakikiwa vyeti vyao, kati ya hao 5,404 sawa na asilimia 94.82 wamebainika kuwa na vyeti halali na watumishi 295 sawa na asilimia 5.518 wamebainika kuwa na vyeti vya kughushi.

Alisema watumishi wa umma 511,789 wamehakikiwa katika awamu zote sita za uhakiki, kati ya hao watumishi 494,554 sawa na asilimia 96.71 vyeti vyao vimebainika kuwa ni halali, 14,409 sawa na asilimia 2.82 wamebainika kuwa na vyeti vya kughushi na watumishi 1,907 hawajawasilisha vyeti vyao kwa ajili ya uhakiki.

Katika taarifa hiyo, Dk Msonde alisema ofisi yake imebaini watumishi 71 majina yao halisi waliyoajiriwa nayo ni tofauti na majina katika vyeti walivyotumia kujipatia ajira katika utumishi wa umma.

Amebainisha kuwa ofisi yake ilichukua hatua ya kuwahoji wahusika ambao walitoa sababu mbalimbali zilizosababisha utofauti wa majina yao ikiwamo kubadili dini na kusema hilo liko nje ya uwezo wa taasisi yake na ameliwasilisha kwa katibu mkuu utumishi kwa ajili ya hatua stahiki.

Baada ya kupokea taarifa hiyo, Dk Ndumbaro, alisema anaamini waajiri wameshawaondoa katika orodha ya malipo ya mishahara ya Serikali watumishi wote waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi kuanzia awamu ya kwanza hadi ya tano ya uhakiki, isipokuwa waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi katika awamu ya sita iliyotolewa jana.

Kuhusu watumishi 1,907 ambao hawajawasilisha vyeti vyao kwa ajili ya kuhakikiwa wametenda kosa kwa kutotekeleza maagizo halali.

kuhusu watumishi 71 ambao majina yao halisi ni tofauti na yaliyopo katika vyeti vyao, katibu mkuu huyo alisema suala hilo litafanyiwa uchunguzi na kutoa taarifa itakayotoa maoni na ushauri wa hatua za kuchukuliwa.

Watumishi 295 waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi katika uhakiki wa awamu ya sita iwapo hawataridhika na matokeo ya uhakiki wanapewa fursa ya kukata rufaa hadi Machi 31, mwaka huu.

Johari Aongelea Safari Ya Kwenda Kumuona Lulu Jela

0
0
Muigizaji mkongwe wa Bongo movie Johari Chagula amefunguka na kuongelea sababu zilizompelekea kutomtembelea Lulu gerezani mpaka leo ilhali alifungwa tangu mwaka jana.

Elizabeth Lulu Michael ‘Lulu’ alihukumiwa kwenda jela mwaka jana tarehe 13/11 kwa muda wa miaka miwili baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake Muigizaji wa Bongo movie Marehemu Steven Kanumba.

Tangu Lulu ametupwa jela kumekuwa na taarifa nyingi juu ya nini kinaendelea kwa Lulu huko Lupango. Wasanii wengi waliokuwa na ukaribu na Lulu wamedai ni vigumu kwenda Kumuona jela kwani kuna sheria za kwenda hivyo wengi wao hawajamuona.

Johari amefunguka Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Kikaangoni cha East Africa Tv, na kusema tangu Lulu amefungwa hajawa za kwenda Kumuona wala kumuuliza hali kwani anaogopa kumuongezea machungu.

"Kiukweli tangu Lulu amefungwa jela sijawahi kwenda kumsalimia, kwa upande wangu naona unapokwenda kumtembelea ni sawa na kumuongezea machungu na ukweli zaidi hivyo mimi ndio naona na ndio maana nakuwa mzito kwenda”.

Lakini pia Johari amesema kiitendo kilichowapata wote wawili kumaanisha Kanumba kufariki na Lulu kufungwa kiliwaumiza watu wote.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218 TUNAPATIKANA BUGURUNI SOKONI STENDI ya musanga

Tiba Asili ya Kuondoa Chunusi, Kupunguza Tumbo, Maziwa Makubwa na Nguvu za Kiume

0
0
Asilimia 90 ya wanaume hushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya  kama vile kisukari, punyeto ambayo huathiri mfumo mzima wa wa misuli inayozalisha vichocheo ashiki , kutopata choo vizuri hali ambayo huchakiwa na kula chakula kisicho na asili,tumbo kuunguruma, kujaa gesi,kiuno kuuma, mgongo na miguu kufa ganzi

SUPER HOLO; Ni dawa itokanayo na miti shamba, ipo katika mfumo wa vidonge na unga. Hutibu na kumaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa muda mfupi tu.,SUPER HOLO hurudisha heshima ya ndoa, itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-30. Itakupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3. Pia itaimarisha misuli iliyosinyaa na kulegea. Dawa hii hutumiwa kwa watu wa umrii wa miaka 20- 80

NZOGIWE ni dawaya maumbile.Hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo urefu wa nchi 4-8 na unene wa sentimita 2-4 za upenyo

NZOGOMA ni dawa asili ya miti shamba, huboresha mbegu za uzazi...huzibua mirija na kusafiisha ili kuweza kushika mimba au kutia mimba.

Pia tunayo dawa ya kupunguza tumbo, unene, maziwa makubwa, kuongeza hips, makalio na kutoa chunusi

TUNAPATIKANA MTONI MTONGANI. KANA HAUNA NAFASI YA KUFIKA UTALETEWA ULIPO. WASILIIANA NA DR. MBUSI.  PIGA SIMU NAMBA:   0718 431222

Nguvu ya Dhaifu - Sehemu ya 03 ( Simulizi ya Kweli)

0
0
 Mwandishi: Grace G. Rweyemam

Mwanangu aliamka wiki ya tatu akiwa hawezi kuzungumza tena, upande wake mmoja wa mwili haufanyi kazi na hawezi hata kukaa tena. Sura yake ilibadilika na kuwa kama ya mtoto mwenye ugonjwa wa akili na alitoka mate muda wote.

Vilifanyika vipimo kadhaa, mwisho ikaonekana ni vyema tukimpeleka Uturuki. Zilifanyika taratibu, tukampeleka Karitta Uturuki kwa matibabu, ikaonekana ana kovu kwenye ubongo ambalo haiwezekani kutolewa.

Alipewa dawa kadhaa ambazo angetakiwa kutumia kwa kipindi kirefu kwenye maisha yake au labda maisha yake yote. Tulirudi Tanzania tukiwa familia iliyogubikwa na huzuni kubwa kana kwamba maisha hayana tumaini tena.

Geofrey mume wangu ambaye siku zote ndiye alikuwa nguvu yangu sasa ndio alishuka moyo kuliko hata mimi. Nadhani tukiwa tunaenda Uturuki tumaini lake kubwa aliliweka kwa ubora wa hospitali na wataalamu wa nchi hiyo, sasa baada ya kuona huko nako imeshindikana, alipoteza tumaini kabisa.

Usiombe mwanaume apoteze nguvu za kusimama kama mwanaume na mtu wa kukutia moyo wakati wa tatizo, yaani unaweza uone ukubwa wa tatizo umeongezeka mara mbili Zaidi. Geof alinifanya nione kama siwezi kabisa kuishi na ile hali ya Karitta. Furaha ya nyumba yetu ilizima ghafla kama mshumaa, na huzuni kubwa kutufunika.

Kimya kilikuwa kingi kuliko maongezi, tofauti kabisa na awali. Kila mmoja wetu hakuwa na maneno ya kusema, na mara zote maombi yetu yalikuwa ni kulia zaidi ya kuomba. Watu wengi walikuja nyumbani na kumfanyia maombi mtoto, na kututia moyo, lakini kuna ambao walitukatisha tamaa pia.

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Nne ( 24 )

0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA 

“Wewe piga ila sipo tayari kufanya unachotaka kufanya”
“Mamaaa”
Yudia akapiga kelele  na kunifanya nimzibe mdomo huku nikiwa ninamshangaa.Akaifungua zipu ya suruali yangu na kabla hajauingiza mkono kwenye suruali yangu tukasikia sauti ya mama yake ikimuita huku akija sehemu ya chumba hichi tulichopo na kunifanya nianze kutetemeka

ENDELEA
     Wazo la haraka likanijia kichwani kwangu na nikalitekeleza kwa haraka ambalo nikaanguka chini na kunza kurusha rusha miguu kama mtu aliyepandwa na mapepo huku nikitoa makelele ya kunguruma na mikono yangu mara kwa mara nikiipeleka kwenye zipu yangu na kuifunga na kumfanya Yudia kusimama mlanoni kwa woga akimsubiria mama yake kuingia ndani ya chumba cha kusomea.Mama Mchungaji akaingi na baada ya kuniona nipo kwenye hali niliyo nayo ambayo kwangu ninaigiza ili kuua soo la kufumaniwa na mtoto wa mchumaji.

“Kalete biblia yangu ipo sebleni ya juu”
Yudia akatoka ndani ya chumba huku akinisogelea na kuniwekea mkono kichwa ni na akaanza kuniombea kimya kimya wala sikujua kama anaomba,Nikajikuta nikianza kutulia taratibu huku macho yangu yakiwa yametua kifuani mwa mama mchungaji kwani ukubwa wa maziwa yake yenye rangi nzuri ya kuvutia yakanifanya mawazo yangu kuanza kufikiria vitu vya ajabua ajabu.Yudia akafungua mlango na kuja hadi sehemu tuliyopo
“Hiyo biblia ipo wapi?”
“Sijaiona”
“Nimeiweka kwenye meza ya computer fanta haraka hali ya mwenzanu inakuwa mbaya”
“Sasa mama si umuamshe baba?”
“Baba yako yupo kwenye maombi binafsi hembu fanya haraka  kailete biblia hembu fanya haraka”
Yudia akaondoka na kumuacha mama yake akiendelea kukemea mapepo ambayo sikuwa nayo japo nimekubwa na vituko visvyo kuwa na kichwa wala miguu ila ninajielewa mimi mwenyewe,Nikaona nisimpotezee m mama wa watu muda nikasimama na kukaa kitako na kujifanya mapepo yamenitoka

“Unajisikiaje Eddy?”
“Salama tuu”
“Ohhhh thak’s Loard”(Ohhhh asante bwana)
Mama mchungaji alizungumza huku akijifunga tenge lake vizuri na mimi nikanyanyuka na kukaa kwenye kiti
“Tukuletee kitu cha kula?”
“Haoana ninajisikia vizuri tuu”
“Mama nimeiona”
Yudia alizungumza huku akiingia ndani ya chumba tulichopo na akajikuta akiwa ameishika biblia huku akitushangaa kwa maana alihisi atanikuta nikiwa ninarusha rusha miguu kama mara ya kwanza
“Ameshapona?”
“Ndio amesha pona lete hiyo biblia nimpe mistari ya kusoma ili akajisome chumbani kweke”

Yudia akampa mama yake biblia na akaanza kunisomea mistaria ambayo nitwakenda kusoma chumbani kwangu.Nikaikariri na nikaagana nao na kuondoka ndani ya chumba na moja kwa moja nikaingia katika chumba ambacho Joseph alinionyesha.Nikapanda kitandani huku nikijichekea kimoyo moyo kwa kitendo nilicho kifanya
“Hii ya leo kali kumbe na mimi ninaweza kuigiza inanibidi niingie bongo movie”
Nilikisemea kimoyo moyo huku nikilirudia tendo nililokuwa nimelifanya na kujikuta nikicheka kwa sauti ya chini.Nikasimama na kuvua nguo zangu na kuingia bafuni na kufungulia maji ya bomba la mvua na kuanza kuoga huku nikipiga mluzi usio eleweka ni wa nyimbo gani.Nikastuka baada ya kuusikia mlango wa kuingilia chumbani kwangu ukifumguliwa  kutonana na mapovu niliyokuwa nayo usoni nikanawa uso wangu haraka haraka kwa kutumia maji masafi na kujifunga taulo na kuchungulia na kuukuta mlango ukiwa umefungwa kama nilivyo ufunga
“Mmm labda sijausikia vizuri itakuwa ni hii miluzi yangu ya kijinga”

Niliijifariji na kutudi tena bafuni na safari hii nikaoga haraka haraka na kutoka na kupanda kitandani na nikakumbuka mistari aliyo ambiwa na mama mchungaji na uzuri zaidi biblia ipo sehemu ya wazi ambayo nikaichukua na kuifungua na kujikuta nikistuka baada ya kuto kuikuta na anadihi hata moja.Nikairudisha mezani huku mapigo ya moyo yakianza kuniienda mbio huku nikianza kupata na wasiwasi
“Isije kuwa Olvia amekuja huku kwa mchungaji?”
 
Nilijiuliza maswali ambayo hayana majibu ya uhakika,nikachukua shuka nikajifunika gubigubi kuanzia miguuni hadi kichwani kwa lengo la kutokuona kitu cha aina yoyote kitakacho endelea ndani ya chumba nilichopo.Usingizi ulianza kunichukua taratibu na gafla chumba nilicho lala kikaanza kutwaliwa na makelele ya watu wakilia huku wengine wakicheka,nikanyanyuka huku nikiwa nimeyaziba masikio yangu nisiendelee kuyasikia makelel yanayoendelea.Nikaanza kupiga hatua za kwenda mlangoni ila nikastukia nikamuona mdogo wangu ambeye alifariki tukiwa wadogo akisimama mlangoni huku macho yeke yakiwa yanatokwa na damu huku mikono yeke akiwa ameinyooshea kwangu

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 29 na 30)

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA                     
ILIPOISHIA    
  Afande Judithi akazima computer hiyo kisha akanigeukia.
“Unatakiwa sasa ukaoge na kukupa vitendea kazi vyako. Njoo nikuonyeshe bafuni”
Nikaongozana na afande Judithi hadi katika bafu, akanionyesha kisha akatoka, taratibu nikaanza kuvua koti la suti kisha shati. Nikavua viatu pamoja na shati kisha nikasimama mbele ya kioo huku nikijitazama majeraha niliyo yapata usoni mwangu. Nikiwa nimesimama mbele ya kioo nikaona mlango wa bafu ukifunguliwa ikanibidi kugeuka na kumuona Banyanka akiingia bafuni hapa akiwa amevalia chupi na siridia, kwa jinsi umbo lake lilivyo la kirembo nikabaki nimeduwaa.
“Tuoge wote”  
Babyanka alizungumza na kunifanya nibaki nikiwa nimekaa kimya nisijue nini cha kufanya, huku jogoo wangu akianza kuleta fujo za kutaka kusimama taratibu.

ENDELEA
“Muambie alale huyo”
Afande Judithi alizungumza huku akimtazama j wangu, nikajihisi aibu kwa maana huwa siku zote ninaamini kwamba mwanamke akijileta kwa staili hii basi ni wa

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Walichokisema Polisi baada ya kupatikana kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) aliyekuwa ametekwa

0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limeeleza kuwa limefungua jalada la uchunguzi ili kubaini ukweli kama Mwenyekiti wa  Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Omari Nondo alikuwa ametekwa au la ili liweze kuwachukulia hatua za kisheria wote waliohusika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Juma Bwire akiongea na waandishi wa habari ameeleza kuwa bado uchunguzi dhidi ya tukio hilo unaendelea ili waweze kubaini kama ni kweli ametekwa na kuwakamata wahusika kwa ajili ya kuwachukulia hatua zaidi za kisheria.

“Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa alimefungua jalada la uchunguzi ili kubaini ukweli kama alikuwa ametekwa, na kama kweli alikuwa ametekwa tunaahidi kwamba sisi jeshi la polisi tukiwapata watuhumiwa sheria itachukua mkondo wake,” amesema Kamanda Bwire.

Kamanda Bwire ameongeza kuwa pamoja na kufanya uchunguzi, jeshi hilo linapeleleza zaidi ili kujiridhisha kama taarifa iliyotolewa ni ya uongo kwa nia ovu ya kuhamasisha wanafunzi nchini kuleta uvunjifu wa amani, na wakibaini hilo watamchukulia hatua kali za kisheria.

“Aidha tunaendelea kuchunguza kama ametoa tarifa za uongo kwa nia ovu, kwa lengo la kutaka kuhamasisha wanafunzi wenzake ili kuleta uvunjifu wa amani nchini. tutamshughulikia kama wahalifu wengine,” alisema.

Hata hivyo, Kamanda bwire amesema kuwa Abdul anaonekana kuwa na afya njema na hana majeraha yoyote kuashiria kuwa alipigwa au kuteswa.

“Kwa sasa anaonekana hali yake ni nzuri, hana majeraha yoyote, hajapigwa ni mzima wa afya njema. hivyo basi Jeshi la Polisi linaendelea na upelelezi kupitia maeneo yote aliyopitia ili tuweze kujua nini kilichomsibu,” alisema Kamanda.

Vile vile aliwataka wananchi kutoa ushirikiano kwa polisi wakati wa uchunguzi dhidi ya tukio hilo ili waweze kubaini kilichotokea na wahusika waweze kufikishwa mahakamani.

Abdul Nondo (24) ambaye ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka wa tatu kitivo cha Siasa na Utawala, alisemekeana kupotea katika mazingira ya kutatanisha siku ya Jumanne majira ya kati ya saa 5 na 6 usiku jijini Dar es Salaam na kupatikana jana Jumatano akiwa Mkoani Iringa.

Bashe: Lolote Litakalonikuta ni Mipango ya Mungu

0
0
Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe amewahakikishia wananchi wa Tanzania kuwa hoja yake aliyoiwakilisha kwa Katibu wa Bunge kuwa haiwezi kukwamishwa na jambo lolote kwa madai hakuna kisichojulikana kinachoendelea kutoka katika nchi.

Bashe ametoa kauli hiyo leo (Machi 08, 2018) wakati alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuelezea sababu zilizompelekea yeye kama Mbunge kuandika barua ya kutaka kuundwe kwa kamati ya uchunguzi dhidi ya matukio mbalimbali yanayoonesha kutishia umoja, usalama na mshikamano wa taifa la Tanzania.

"Madhumuni ya kikatiba ya Chama cha Mapinduzi  (CCM) ni kuwasemea wananchi, kuwatetea kwa hiyo natimiza wajibu wangu kama Mbunge sioni kama nitapoteza Ubunge wangu katika hili. 

"Mimi ninaamini nitapoteza ubunge wangu kwasababu zifuatazo, endapo nitashindwa kutimiza wajibu wangu ndani ya Bunge, nikishindwa kutimiza wajibu wangu ndani ya Jimbo langu kwa maana nimeshindwa kuisimamia serikali katika kuleta maendeleo, nimeshindwa kutimiza ahadi wakati wa uchaguzi katika jimbo langu na mwisho wanaccm watakaposema kwenye mchakato wa kidemokrasia wa kura kwamba Hussein wewe hapana.

"Mimi ni muumini wa kiislamu ninaamini kila binadamu umauti utamfika (kifo) na chochote kitakachonifika ni kile ambacho amekipanga Mwenyezi Mungu lakini sina hofu yeyote kwasababu hili sio taifa la namna hiyo.

"Nikiwa kama Hussein sidhani hii hoja kama inakwenda kukwama kwasababu unapoikwamisha hoja unapaswa kusema unaikwamisha kwa kutumia misingi gani kama watu wanaamini kwa kila kinachotokea ndani ya ardhi ya Tanzania sioni kama itakwama.

"Bunge limeshafanya maamuzi mbalimbali juu ya masuala mbalimbali katika rekodi ya nchi hii, kwa hiyo mimi nadhani ni muhimu tukatoa fursa jambo hili lifike Bungeni na likifika huko kama litakataliwa basi tujue ni kwasababu zipi na  kama nilivyofanya kuwaambia watanzania ndivyo hivyo nitarudi kuwaambia limekataliwa kwasababu zipi na hapo tutajadili hatua za kufanya".

Kwa upande mwingine, Bashe amesema anasubiria majibu ya barua aliyotuma kutoka kwa Katibu wa Bunge Pamoja na Katibu Chama cha Mapinduzi (CCM) ambayo ameeleza dhamira na nia yake huku akisisitiza zaidi kuwa jambo hilo hajalifanya kwa mihemuko (kukurupuka) bali amefanya kwa umakini wa hali ya juu na utafiti wa kutosha.

Kutoka Mahakamani: Hali ya Aveva sio nzuri, amelazwa ICU

0
0
Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva amelazwa katika kitengo cha wagonjwa mahututi Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).

Hayo yameelezwa leo Machi 8 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri na wakili anayewatetea, Evodius Mtawala wakati kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo.

“Mshtakiwa wa kwanza Aveva, tangu jana amelazwa katika kitengo cha wagonjwa mahututi hali yake siyo nzuri," ameeleza wakili Mtawala.

Hata hivyo, mwendesha mashtaka wa Takukuru, Leonard Swai naye ameliambia mahakama kuwa Aveva ni mgonjwa na kwamba upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.

Baada ya kutolewa kwa maelezo hayo, Mtawala ameiambia mahakama kuwa walizungumza na upande wa mashtaka wataeleza jalada la kesi hiyo bado lipo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na wameomba wapewe siku 14 ili waweze kueleza kitu.

Hakimu Mashauri ameiahirisha kesi hiyo hadi Machi 22, 2018.

Wakati kesi hiyo ikitajwa mahakamani hapo alikuwapo Godfrey Nyange maarufu Kaburu ambaye ni makamu wa rais wa Klabu ya Simba.

Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matano ya  uhujumu uchumi ikiwamo kughushi, kuwasilisha nyaraka ya uongo na kutakatisha wa kiasi hicho cha fedha.

Washtakiwa hao wapo mahabusu kutokana na kukabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha ambayo hayana dhamana kwa mujibu wa sheria.

Mtuhumiwa wa Maandamano ya CHADEMA awadai polisi gari yake

0
0
Mfuasi wa CHADEMA, Ally Rajabu anayekabiliwa na kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa anaomba arejeshewe gari lake ambalo lipo mikononi mwa polisi.

Ally Rajabu ni mshtakiwa wa 28 kati ya 31 wakiwemo watatu waliopigwa risasi na Polisi ambao ni wafuasi wa chama hicho wanaokabiliwa na kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Dar es Salaam.

Awali kabla ya kueleza hayo, Wakili wa Serikali Aldo Mkini, amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika.

Naye Wakili wa utetezi, Alex Massaba amedai kuwa wateja wake wawili ni wagonjwa na wameshindwa kufika mahakamani hapo.

Baada ya kueleza hayo, mshtakiwa wa 28, Ally Rajabu ameieleza mahakama kuwa anaomba kurudishiwa gari lake ambalo linashikiriwa na Jeshi la Polisi tangu siku ya maandamano.

Hata hivyo, Hakimu Mashauri amesema kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kuingilia masuala yaliyofanyika Polisi ambapo ameahirisha kesi hiyo hadi April 4, 2018.

Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Thabitha Mkude, Khaji Lukwambe, Emmanuel Kimio, Mohamed Juma, Husein Mnimbo na wenzao kwa pamoja wanadaiwa kati ya  February 16, 2018 maeneo ya Mkwajuni Kinondoni DSM walifanya mkusanyiko usio wa halali kinyume cha sheria.

Habari Ziliizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya March 9

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images