Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tiba Asili ya Kuondoa Chunusi, Kupunguza Tumbo, Maziwa Makubwa na Nguvu za Kiume

0
0
Asilimia 90 ya wanaume hushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya  kama vile kisukari, punyeto ambayo huathiri mfumo mzima wa wa misuli inayozalisha vichocheo ashiki , kutopata choo vizuri hali ambayo huchakiwa na kula chakula kisicho na asili,tumbo kuunguruma, kujaa gesi,kiuno kuuma, mgongo na miguu kufa ganzi

SUPER HOLO; Ni dawa itokanayo na miti shamba, ipo katika mfumo wa vidonge na unga. Hutibu na kumaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa muda mfupi tu.,SUPER HOLO hurudisha heshima ya ndoa, itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-30. Itakupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3. Pia itaimarisha misuli iliyosinyaa na kulegea. Dawa hii hutumiwa kwa watu wa umrii wa miaka 20- 80

NZOGIWE ni dawaya maumbile.Hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo urefu wa nchi 4-8 na unene wa sentimita 2-4 za upenyo

NZOGOMA ni dawa asili ya miti shamba, huboresha mbegu za uzazi...huzibua mirija na kusafiisha ili kuweza kushika mimba au kutia mimba.

Pia tunayo dawa ya kupunguza tumbo, unene, maziwa makubwa, kuongeza hips, makalio na kutoa chunusi

TUNAPATIKANA MTONI MTONGANI. KANA HAUNA NAFASI YA KUFIKA UTALETEWA ULIPO. WASILIIANA NA DR. MBUSI.  PIGA SIMU NAMBA:   0718 431222

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini

0
0
“Kwa masikitiko nimepokea taarifa ya kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma Dkt. Walid Amani Kaburu kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 07 Machi, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.

Dkt. Walid Amani Kaburu atakumbukwa kwa mchango wake alipokuwa kiongozi katika nyadhifa mbalimbali ndani ya CCM, na alipokuwa Mbunge wa Kigoma Mjini na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki.

Natoa pole kwa familia yake, wana CCM wote, wananchi wa Kigoma, ndugu jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu”

Hii ni sehemu ya salamu za rambirambi alizotuma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga kufuatia kifo cha Dkt. Walid Amani Kaburu.

Pamoja na salamu hizo Mhe. Rais Magufuli ameiombea familia ya Marehemu na wote walioguswa na msiba huu kuwa na moyo wa subira, uvumilivu na ustahimilivu katika kipindi hiki cha majonzi na amemuombea Marehemu apumzike mahali pema peponi, Amina.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Chato
07 Machi, 2018

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Tatu ( 23 )

0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Mchungaji akazidisha sauti ya kuomba na kila anvyozidi kuomba ndivyo jinsi hali ya hewa ikazidi kubadilika ndani ya nyumba hadi ikafikia hatua nikaanza kuogopa.Upepo mkali unaokwenda mithili ya kimbuka kikali ukaanza kuzunguka sebleni na baadhi ya vitu vikaanza kuanguka chini ikiwemo vyombo vilivyopo ndani ya kabati.Nikastukia nikamuona Joseph akirushwa na kupiga ukutani na akatulia kimya na gafla nikamshugudia mchungaji akichomwa na kisu kilichoruka kutoka kabatini na kikatua kifuani kwake

ENDELEA
Mchungaji akakishika kishu kilicho mchoma na kukichomoa na kuzidi kuomba huku akiiongeza sauti ya juu huku akiliitaja jina la Yesu kristo.Miale ya radi na kurumo ikanza kupiga maeneo ya dari na kusababisa nilale chini kwa woga ila mchungaji hakulala chini na akazidi kuomba na taratibu na mimi nikajikuta nikiisema

“SHINDWA KATIKA JINA LA YESU KRISTO”
Nikaendelea kurudia rudia maneno hao mara gafla nikajikuta nikinyamaza baada ya Olvia Hitler kusimama kwenye moja ya kona huku akiwa amevalia nguo nyekundu na sura yake ikiwa imejawa na hasira kali sana kiasi cha macho yake kutoa mwanga mkali
“Wewe pepo unayetaka kuchukua watu wa bwana leo hii ndio mwisho wako nakufunika na kukurudisha kuzimu katika jina la YESU KRISTO wa nadhareti TOOKKKKAAAAAAAAAAAAAAA”
Olvia Hitler akayumba kidogo akionekana kama ametetemeshwa kwa maneno hayo ila akanitazama kwa macho makali na kuninyooshea mkono na kujikuta nikikabwa shingo na kitu nisicho kiona na taratibu nikaanza kunyanyuliwa kwenda juu.Mchungaji akaunyoosha mkono wake mmoja kwangu huku akiomba kwa nguvu na kujikuta nikianguka chini na gafla Olvia akapotea na hali ya ndani ikaanza kutulia na baada ya muda ikarudi katika hali ya kawaida ila vitu vingi vimechanguka na kukaa katika sehemu tofauti na nilivyokuwa nimevipanga

Mchungaji akasogea taratibu na kukaa kwenye sofa huku jasho jingi likimwagika na nikaonda shati lake likilowana na damu
“Mchungaji umeumia hapo kwenye kifua”
“Hakuna tabu ni jeraa dogo ila tafuta maji na chumvi unilete hapa”
Nikatoka kiwoga woga na kwenda jikoni na kuanza kuitafuta  chumvi na baada ya muda nikaipata kisha nikaweka maji kwenye kikombe na kurudi sembeni.Mchungaji akavichanganya kwa pamoja maji na chumvi kiasi akaviombea na kujipaka kwenye jeraha lake na kuifanya damu kuacha kutoka.Akasimama na kumshika Joseph kichwani na kuanza kumuombea taratibu hadi Joseph akapia chafya na kunyanyuka.

Nguvu ya Dhaifu - Sehemu ya 02 ( Simulizi ya Kweli)

0
0
Mwandishi: Grace G. Rweyemam

Nilipofika nje kule walikokuwa wakicheza watoto, nilikuta Karitta ameanguka chini na mate yanamtoka, mwili umekakamaa.

 Mimi nilitangulia kufika halafu Geofrey akawa nyuma yangu. Ile kelele niliyopiga, sidhani kama kuna ya namna hiyo Geof aliwahi kusikia kabla. Niliita kwa nguvu sana, Yesuuuu. Kichwani niliwaza ni kifafa, lakini mtoto alionekana kama tayari amekufa. Namshukuru Mungu nina mume asiyepaniki kama mimi.

Tulipakia mtoto kwenye gari na kwenda hospitali haraka sana. Kareen alimshika dada yake huku akilia tu tukiwa kwenye gari, akijitahidi kumuamsha. Nilihisi tumbo la kuhara limenishika, halafu likawa linakata tena kama tumbo la uzazi. Akili ilizunguka kwa mawazo. Nilijaribu kuomba ila maombi yaligoma kabisa.

Unajua ni vyema kuwa mtu wa maombi wakati hali ikiwa shwari kabisa, kwani linapotokea janga, hujui kama utapata hizo nguvu za kusali. Geof aliendesha gari huku akikemea na kuomba kwa sauti. Nikawa tu nikiitikia amen lakini akilini hata sijielewi.

Tulifika hospitali moja, sitaitaja jina, wakampeleka chumba cha wagonjwa wa dharura yaani emergency na kuanza kumshughulikia.

Walipima vipimo vya awali na kusema hawaoni kitu, wakawa wanamuhudumia tu kwa dripu na mashine za kupima mapigo ya moyo. Kesho yake kuna daktari alikuja na kumpima vipimo vingine pia akasema haoni tatizo, akadai inawezekana ni kifafa tu, wakati huo mwanangu hajitambui na hali iko vilevile. Sikuwa na uzoefu sana kuhusu kifafa lakini kwa uelewa wangu nilihisi ingekuwa kifafa basi angeshapata fahamu.

Nilikasirika, tukalazimisha siku iliyofuata tumtoe mtoto, tukamuhamishia hospitali nyingine. Walipopima waliona malaria iliyoingia kwenye ubongo. Kwa watoto wa umri chini ya miaka mitano malaria ni hatari sana, na hii nadhani wazazi ni muhimu kutilia mkazo zaidi. Tatizo pia kuna wakati hospitali vipimo vya malaria vinaonyesha hasi (negative) hata wakati ipo (positive). 

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) atuma salamu za rambirambi

0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Marehemu Dkt. Kabourou.

Watumishi wa umma walioondolewa kazini kimakosa kurejeshwa

0
0
Taarifa ya serikali kwa watumishi walioondolewa kazini kwa kukosa vyeti vya kidato cha nne

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

LHRC wafafanua hoja za NEC dhidi ya tamko la asasi za Kiraia

0
0
TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI WA HOJA ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) DHIDI YA TAMKO LA ASASI ZA KIRAIA


Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimepokea barua Kumb. Na. BA.71/75/01/124 ya tarehe 22 February 2018 kutoka kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Kailima Ramadhani na kupitia kwa umakini mkubwa hoja za Tume Ya Uchaguzi dhidi ya tamko lililotolewa na umoja wa Asasi Za Kiraia, chini ya Jukwaa la Wakurugenzi wa AZAKI, Februari 21, 2018 kuzungumzia hali ya usalama wa raia, haki za binadamu na utawala wa sheria hapa nchini.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kama moja ya asasi zinazounda umoja wa AZAKI hizo kimelazimika kujibu hoja hizo kwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika tamko lake lililotolewa Ijumaa Februari 23, 2018 imekituhumu moja kwa moja Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kupitia kwa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi, Bw. Paul Mikongoti, kwa kutoa tamko lenye tuhuma za kupotosha baadhi ya mambo kupitia tamko hilo la umoja wa AZAKI.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinapenda kutanguliza pongezi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kupitia hoja pamoja na mapendekezo yaliyotolewa na asasi za kiraia nchini na hata kutoa kasoro za uwasilishaji wa baadhi ya hoja hizo. 

Hata hivyo Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinapenda kuikumbusha Tume kwamba, tamko husika halikutolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu bali tamko hilo lilitolewa na Umoja wa AZAKI chini ya Jukwaa la Wakurugenzi wa AZAKI.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kilishiriki kwenye tamko hilo kama mwanachama wa AZAKI kwa kutambua wazi kuwa lengo la tamko hilo ni kuimarisha hali ya haki za binadamu na demokrasia nchini na si vinginevyo. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinapenda kuitoa wasiwasi Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa hakuna maslahi tofauti wala upotoshaji wa makusudi katika utoaji wa tamko hili.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinakiri kufahamu kwa kina sheria na kanuni zinazoratibu chaguzi na kinatambua kwamba lengo la AZAKI haikuwa kubeza wala kuvunja kanuni hizo bali kutoa mapendekezo kwa ajili ya maboresho ya chaguzi na hatimaye kuimarisha demokrasia nchini Tanzania.

Hata hivyo, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimesikitishwa na kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumshambulia moja kwa moja Bw. Paul Mikongoti licha ya ukweli kwamba, Bw. Paul Mikongoti alikiwakilisha Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kama mwanachama wa umoja huo wa AZAKI. 

Kituo kinapenda kuifahamisha Tume kuwa tamko hili la AZAKI lilisomwa na wakurugenzi tofauti maeneo tofauti nchi nzima na hivyo haikuwa busara kwa Tume kumshambulia moja kwa moja Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wala Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kwa ubinafsi wake.

Ingawa Tume ya Taifa ya Uchaguzi haikuwa sahihi kukituhumu Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Paul Mikongoti, bado Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimeonelea ni busara kufafanua hoja zilizotolewa na umoja wa AZAKI kama ifuatavyo:

1. Kuhusu kituo cha televisheni cha ITV kuadhibiwa na kutakiwa kuomba radhi kwa kurusha habari za kuibwa kwa sanduku la kura

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinapenda kuijuza Tume ya Uchaguzi kuwa kilikubaliana na hoja hii iliyotolewa na umoja wa AZAKI kwa kuzingatia misingi ya uhuru wa vyombo vya habari kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba Tanzania inayotoa haki kwa kila Mtanzania pamoja na vyombo vya habari kutafuta na kupokea habari mahali popote pale bila kujali mipaka ya nchi.
 
Hata hivyo baada ya kupitia hoja hii kama ilivyofafanuliwa na Tume ya Uchaguzi, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaishauri Tume kuboresha kanuni za usimamizi wa uchaguzi ili kutokuweka mipaka kwa vyombo vya habari kwa kuzingatia kwamba vyombo vya habari vinatoa taarifa kwa maslahi ya umma.

2. Kuhusu mashirika mbalimbali kunyimwa kibali cha uangalizi wa uchaguzi

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kilikubaliana na hoja hii kwa kuzingatia malalamiko yaliyotokana na AZAKI ya PACUSO ambao walikiri kupata majibu kutoka Tume kuwa tayari nafasi zimejaa.
Hata hivyo baada ya kupitia hoja hii ya Tume, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaishauri Tume ya Uchaguzi kuboresha utaratibu wa maandalizi kuelekea uchaguzi ili kutoa nafasi kwa asasi zenye lengo la kufanya uangalizi kufurahia haki hiyo bila kuhisi uwepo wa kuzuiliwa. Moja ya maboresho hayo ni kuweka muda wa kutosha wa kutuma maombi na kuweka nguvu katika kufikisha taarifa kwa mashirika na wadau wengine. Kufuatia ukweli kwamba Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ndio asasi pekee iliyopata kibali kutazama uchaguzi huu, hili lilipelekea butwaa kwa umoja wa AZAKI kwa kulinganisha na chaguzi zilizopita.

3. Tume kuweka utaratibu mpya unaowataka watazamaji kuwasilisha taarifa hizo ili zikaguliwe, kuangalia yaliyomo na kuridhiwa na Tume ikiipendeza.

Katika hoja hii, Kituo kinaungana na AZAKI kuhoji umuhimu wa utaratibu ulioanzishwa na Tume mwaka 2015 wa AZAKI kusubiri hadi Ripoti ya awali ya uangalizi iwasilishwe kwa Tume, na Tume kukiri kupokea ripoti hiyo ndipo AZAKI zinazoangalia uchaguzi kuweza kutoa kwa umma taarifa za uangalizi. AZAKI zimeonelea kwamba utaratibu huu unafifisha misingi ya uhuru wa asasi za kiraia katika uangalizi wa uchaguzi.

Utaratibu huu pia umelalamikiwa kwa kuzingatia kuwa Tume haijaweka muda maalumu ambao itatumia kabla ya kukiri kupokea ripoti ya uchaguzi.
 
Utaratibu huu umelalamikiwa na AZAKI kuwa kwa upande mwingine unaondoa dhana ya AZAKI kuwa vyombo huru vya uangalizi wa uchaguzi.

Mwisho Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaishauri Tume ya Uchaguzi kuzishirikisha asasi za kiraia na wadau wengine muhimu katika maboresho ya sheria, kanuni na taratibu zinazoratibu utendaji wa Tume na usimamizi wa chaguzi kwa lengo la kuboresha na kuimarisha demokrasia nchini Tanzania. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaisihi Tume ya Uchaguzi bila kujali madhaifu katika uwasilishaji, kufanyia kazi changamoto zinazoibuliwa na wadau kwa lengo la kujenga Jamii yenye Haki na Usawa.

Imetolewa na;

Naemy Sillayo (Wakili)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji

Jinsi ugonjwa wa figo unasababisha matatizo ya uzazi kwa wajawazito

0
0
Wanawake wanaougua magonjwa ya figo hukabiliana na matatizo ya uzazi hasa kushindwa kushika mimba na hata kuharibika kwa mimba.

Kutokana na hali hiyo madaktari hulazimika kuwasaidia kukomaza mtoto iwapo mjamzito amekaribia kipindi cha kujifungua lakini pia kwa hali hiyo husababisha wengi huzaa mtoto njiti.

Daktari Bingwa wa Magonjwa wa Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Vincent Tarimo amesema hayo jana alipozungumza na chombo kimoja cha habari.

“Magonjwa ya figo kwa wanawake yanaweza kuwekwa katika makundi makubwa mawili, kuna yanayohusiana na ujauzito na yasiyohusiana na ujauzito ambayo yote huweza kuua,” alisema.

Alisema katika yale yanayohusiana na ujauzito tatizo la shinikizo la juu la damu ndilo ambalo huchochea zaidi figo kuathirika na kufa.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 27 na 28)

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

“Halooo”  
“Halooo Dany, nimekuja wewe ni nani sasa. Na hapa ninapo zungumza nina mtu wako anaitwa Lukasi msikilizee anacho kipata”
“Ahaaa, nakufaaaaa, uuuuuuuuuu”
Nilisikia sauti ya Luka akilia kwa uchungu mkali akionekana kukupoea kipigo kikali sana kutoka kwa watu walio mkamata na sauti hii sio ngeni kabisa kwangu kwa maana ni meya niliye toka kumkoromea masaa machache nyuma.
“Rafiki yako anaelekea kufa sasa, usipo leta Nyaraka ndani ya nusu saa, baba kijacho anakwenda kuiaga dunia Paaaaaaaaaaaaaaaaaaa”
Nikasikia mlio wa risasi, kisha simu ikakatwa, na kujikuta nikitazamana na Latifa anaye mwagikwa jasho uso mzima.
                                                                                          
ENDELEA
Taratibu nikaishusha simu ya Latifa kutoka sikioni mwangu huku nikiwa na wasiwasi mwingi sana, sikujua hata imekuwaje hadi Luka akaingia mikononi mwa meya.
“Viatu hivi na soksi ukivaa utatokelezeajeee”
Sauti ya mama mkubwa ilinistua na kujikuta nikimgeukia na kumtazama huku nikiweka sura ya tabasamu feki usoni mwangu ili asifahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea.
“Vipi mbona juu juu, mwenzako anaonekana kama hana raha?”
“Ahaa ni simu ya kibiashara kuna mzigo wake umezuiwa bandarini”
Ilinibidi kumuongopea mama mkubwa.
“Kodi nini?”
“Ndio mama”
Latifa alijibu kuliongezea uzito swala hili nililo lidanganya.
“Ahaa hembu jitaidini wangu, na huyu raisi wa sasa hataki mchezo, munaweza kujikuta munaishia pabaya na biashara zinakufa”
“Ni kweli mama”
Latifa alizungumza huku akionyesha sura ya furaha kidogo ila kusema kweli wote hapa akili zetu zimechanganyikiwa. Nikavaa soksi kisha viatu. Kwa harka anikarudi chumba cha wageni, nikachukua begi lenye nyaraka na kurudi nazo sebleni.

“Mama una photocopy mashine?”
“Ndio ipo stoo, ila ni siku nyingi haijatumia sijuia kama inafanya kazi bado”
“Naomba unionyeshe mama yangu”
Tukaongozana na mama mkubwa hadi stoo, akanionyesha mashine hiyo, nikajaribu kuiwasha haikuwaka.
“Hujachomeka waya kwenye soketi”
Ikanibidi kuchomeka waye kwenye soketi kisha nikaiwasha, kwa bahati nzuri ikawaka. Stoo hapo kuna karatasi nyeupa za kutolea photo copy. Nikaanza kazi ya kutoa nyaraka hizo photo copy kisha nikamkabidhi hizo nilizo zitoa mama mkubwa.
“Akija mama naomba umkabidhi huu mzigo”
“Sawa”
Tukatoka hapo sebleni na kuelekea sebleni, tukaaga kisha tukatoka na Latifa, moja kwa moja tukaeleka kwenye gari. Nikaliwasha gari, na kukuta mafuta yakiwa yamejaa kwenye tanki lake. Nikaliweka sawa gari hilo na taratibu tukaanza kuondoka kuelekea getini. Mlinzi akafungua geti kisha tukaondoka, sasa hapo nikaanza kuliendesha gari hili kwa mwendo wa kasi sana kiasi cha kusababisha Latifa mara kadhaa kuguna na kunimbia kwamba niwe makini.

“Una namba ya Joseph?”
“Joseph yupi?”
“Yule wa ikulu, kitengo cha mawasiliano?”
“Ndio”
“Mpigie kisha nipe simu nizungumze naye”
Latifa akafanya kama nilivyo mueleza, baada ya simu kupokelewa akanikabidhi na kuiweka sikioni.
“Jose, nitumie namba ya raisi tena”
“Umeipoteza?”
“Hapana simu yangu imedumbukia kwenye maji”
“Sawa nakutumia”
“Asante kaka”
Nikakata simu na kuimrudishia Latifa simu yake.
“Sasa tunakwenda umefahamu wanahitaji ni wapi tuweze kuwakabidhi hizi nyaraka?”
“Ni wapi walikuambia?”
“Wameniambia tuonane Usagara kwa baba ubaya, tukifika hapo tuwapigie simu”
“Pao”
Nikazidi kuongeza mwendo wa gari ili kuhakikisha nusu saa linatukuta hapo sehemu ambayo tumelekezwa na majambazi hao. Ndani ya dakika ishirini na tano tayari tukawa tumesha fika kwenye eneo hilo. Latifa akaipiga namba ya simu ambayo alipigiwa nayo.

“Tumesha fikaa”
“Ohoo nimewaona, munaweza kushuka kwenye gari na kunifwata”
“Wewe upo kwa wapi?”
“Wewe shuka”
Niliweza kuyasikia mazungumzo yao, kutokana simu ya Latifa ina sauti kubwa kidogo, nikampokonya na kuiweka sikioni mwangu.
“Hatuwezi kushuka kwenye gari hadi tuweze kusikia sauti ya Luka”
“Ohoo kumbe, ok msikieni”
“Kakaaaa nakufaaa nisaidieniiii”
“Umemsikia”
“Ndio”
Meseji ikaingia kwenye simu ya Latifa kutoka kwa Joseph, ikanibidi kukata simu hiyo na kuipiga namba ya raisi.
“Dany unafanya nini?”
“Nazungumza na raisi kwanza”
Simu ya raisi ikaita kwa sekunde kadhaa kisha ikapokelewa.
“Habari mueshiwa, unazungumza na Agent Dany 008 kutoka NSS, tulizungumza asubihi kupitia namba yangu”
“Ndio ndio sauti yako kijana si rahisi kuweza kunipota masikioni mwangu”

“Sawa mkuu, vipi mpango si upo pale pale au kuma mabadiliko yoyote. Kwa maana nimeuliza hivyo kutokana simu yangu ya mkononi imeweza kuipata itilafu kidogo na namba hii ninayo itumia ni ya Agnet Latifa ambaye nimetoka naye kwenye kikosi kimoja”
“Mpango upo pale pale, sijabadilisha kitu, ila tayari amesha andaliwa mtu atakaye vaa sura yangu, na kuonekana kama mimi kwa hilo usijali”
“Sawa mkuu, huku viongozi wengi wapo kinyume na wewe mkuu. Ila nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda vizuri”
“Sawa kijana, saa nne usiku tutanza safari, nitakuja na walinzi wangu wawili ninao waamini”
“Sawa mkuu nitakupokea, na utakuwa unatumia namba hii kuwasiliana nami”
“Hakuna tatizo kijana”
Nikakata simu na kuirudisha kwa Latifa.
“Sasa unakwenda kuwakabidhi hizo nyaraka original?”
“Hakuna jinsi, nafanya yote haya kwa sababu Luka, mkewe ni mjamzito na anatakiwa kuweza kumuona mwanaye”
“Sawa”

“Wewe subiri kwenye gari, nipe simu yako, ila kuwa makini sana kwa kila kitu”
“Sawa Dany”
Nikaichukua simu yake, bastola mbili nikachomeka kwenye soksi kisha nikashuka kwenye gari nikiwa ninajiamini kupita maleezo. Nikaipiga tena namba ambayo tunatumia kuwasiliana na mtu huuyo.
“Njoo unaona hili geti jeusi”
Sauti hiyo ya Meya ikaniambia na kunifanya niangaze macho yangu kushoto na kulia, na kuliona geti jeusi kwenye upande wa kulia. Taratibu nikanza kulifwata huku sauti hiyo ya meya ikiniambia nizidi kusonga mbele taratibu. Nikafika hapo getini, nikashangaa kageti kadogo kakifunguka tu.
“Ingia”
Sauti ya meya ikaniambia kupitia simu. Nikaingia ndani  ya geti hilo, sikuamini macho yangu baada ya kukuta wasichana wapatao ishirini wakiwa wamevalia chupi pamoja na sidiria, wakiwa wamelizunguka swimming pool kubwa, huku pembeni kukiwa na vitanda vya kupumzikia vinne. Luka naye akiwa kwenye moja ya kitanda amejipumzisha huku wasichana wasili wakiwa wanamchezea kila sehemu.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) adaiwa kutoweka Katika mazingira Ya Kutatanisha

0
0
Taarifa zilizoenea mchana huu zinadai kuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo, ambaye pia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha na hajulikani alipo tangu jana saa sita usiku.

Marafiki za Nondo wamedai alituma ujumbe kwa viongozi wenzake wa TSNP kuwa yuko katika hatari na baada ya kutuma ujumbe huo simu yake ilikuwa ikipokelewa lakini hakuwa akiongea chochote, na baada ya muda alianza kujiondoa kwenye magroup ya WhatsApp.

Taarifa kutoka kwa mmoja wa viongozi wa TSNP kuhusu Nondo inasema hajulikani alipo wakiwemo wazazi wake.   

Viongozi wa TSNP wamefika Kituo cha Polisi kilichopo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) na  kutoa taarifa za kupotea kwake.

February 18, 2018, Nondo alijitokeza na kuikosoa mienendo ya Jeshi la Polisi na Waziri wa Mambo ya Ndani, na mara ya mwisho kuongea na wanahabari, alishinikiza Waziri  Mwigulu Nchemba ajiuzulu. 

Akizungumza na wanahabari jana March 6 2018, Nondo aliwataka TAHLISO waache kuwa wasemaji wa wizara na serikali na kuwataka wakumbuke majukumu yao mazito ya kusemea wanafunzi wa vyuo vikuu kwa sababu wanalipishwa ada vyuo vikuu.

“TAHLISO ambayo kila chuo kikuu nchini kinatoa ada isiyopungua shillingi laki tano kwa mwaka ili TAHLISO iweze kutetea maslahi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, imeacha kutimiza wajibu wake wa msingi na badala yake imegeuka kuwa taasisi yenye kusema kwa niaba ya serikali pamoja na kushambulia taasisi ambazo zinatetea maslahi ya wanafunzi nchini ikiwemo TSNP.

“Akwiline alikuwa ni mwanafunzi pia, TSNP ni mtandao wa kutetea wanafunzi, tunayo hayo mamlaka kusemea, kukemea, kushauri na hata kutoa mapendekezo yetu juu ya tukio lolote linaloashiria upotevu wa haki kwa wanafunzi.  TAHLISO wanatoa wapi ujasiri, mamlaka ya kutuzuia TSNP tusitimize wajibu wetu?” alisema Nondo.

TFDA Yasitisha utoaji wa vibali vya uingizaji wa bidhaa za nyama kutoka Afrika Kusini kuazia leo Machi 7, 2018

0
0

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imezuia uingizaji wa soseji kutoka Afrika Kusini zilizobainika kuwa na bakteria aina ya listeria.

Uamuzi wa TFDA unatokana na soseji hizo aina ya Polony kubainika kuwa na aina hiyo ya bakteria wanaosababisha ugonjwa wa listeriosis uliosababisha vifo vya watu 180 nchini Afrika Kusini.

Soseji hizo kwa mujibu wa habari zilizochapishwa na vyombo kadhaa vya kimataifa zinatengenezwa na kiwanda cha tiger brands unit enterprises na cha RCL foods vyote vya Afrika Kusini.

Waziri wa Afya wa Afrika Kusini, Aaron Motsoaledi alikaririwa na mitandao ya kijamii akisema ameagiza kuondolewa sokoni soseji hizo, huku akiwashauri wananchi kuacha kula.

Motsoaledi alisema ingawa kiwanda cha RCL hakijatajwa kama chanzo cha ugonjwa huo, kitengo chake kinafanyiwa uchunguzi.

Ugonjwa wa listeriosis uliibuka Desemba mwaka jana na umeshasababisha vifo vya watu 180.


Saba Watiwa Mbaroni Mbeya Kwa Mauaji ya Mlinzi Wa SUMA-JKT

0
0
Jeshi  la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia watu saba kwa matukio mbalimbali ya uhalifu, wakiwamo vijana watano wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya mlinzi wa SUMA-JKT.

Wanadaiwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kumpora bunduki na kutokomea nayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mohammed Mpinga, alisema Februari 26, mwaka huu ya saa 1:30 jioni, vijana hao wakiwa na mapanga, walimvamia na kumshambulia mlinzi huyo, Chewe Wilson (34), akilinda kituo cha mafuta cha Manyanya kilichopo Uyole.

Aliwataja vijana hao ni Hamis Shaban (19) na Ibrahim Mbilinyi (22) wote wakazi wa Itezi, Stan Wema (21) mkazi wa Uyole, Bahati Laulend (22) mkazi wa Iduda na Sambaa Samson (32) mkazi wa Isyeseye.

Alisema vijana hao baada ya kumjeruhi wakidhani amekufa walimpora bunduki aina ya Shortgun, mali ya SUMA-JKT aliyokuwa anaitumia na kutokomea nayo.

Hata hivyo, alisema mlinzi huyo alikutwa na wasamaria wema akiwa hai na kukimbizwa katika Hospitali ya Kanda ya Rufani ya Mbeya, lakini akafariki kesho yake kutokana na kuvuja damu nyingi.

“Kufuatia tukio hilo, Jeshi la Polisi lilifanya msako mkali na kufanikiwa kuwakamata vijana hao na baada ya kupekuliwa walikutwa na bunduki hiyo waliyopora yenye namba za usajili 009009906-MP-18EM-M wakiwa wameificha nyumbani,” alisema Mpinga na kuongeza:

“Vilevile vijana hao wanaojiita ‘Doshaz’ walikutwa na mapanga matatu ambayo mojawapo lilitumika kumjeruhi Chewe na maganda matatu matupu ya risasi, tulipowahoji walikiri kuhusika na tukio hilo na tunatarajia kuwafikisha mahakamani upelelezi ukikamilika.”

Aliongeza kuwa vijana hao walieleza kuna mtu aliwatuma ili wakaibe bunduki hiyo kwa ahadi ya kupewa zawadi ya Sh. milioni tatu.

Katika tukio lingine, watu wawili akiwamo mzee wa miaka 60, wanashikiliwa na jeshi hilo kwa kosa la kutengeneza bunduki ya kienyeji aina ya Shortgun pamoja na kukutwa na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengenezea silaha hiyo.

Mpinga aliwataja ni Mzee Fadhili Mayenga (60) na Mashaka Samuel (38), wote wakazi wa Kijiji cha Kambikatoto Wilaya ya Chunya.

Alisema watuhumiwa hao walikamatwa Machi Jumamosi mchana kufuatia msako mkali uliofanyika katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo.

Kwa mujibu wa Mpinga, baada ya kukamatwa walipekuliwa na kukutwa na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza silaha hiyo pamoja na risasi 25 za kienyeji ambazo hutumika kwenye silaha hiyo.

Alisema watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani muda wowote upelelezi utakapokuwa umekamilika.

Gazeti Lapewa Onyo Kisa Picha za Mange Kimambi

0
0
Serikali imetoa onyo kwa gazeti la Tanzanite kwa kosa la kuchapisha picha za utupu.

Gazeti hilo la wiki, limechapisha picha ambazo ni kinyume cha maadili za mwanadada maarufu, Mange Kimambi.

Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini Dodoma, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk. Hassan Abbas, alisema gazeti hilo ni miongoni mwa magazeti matatu yaliyopewa onyo kwa kipindi cha Mwezi Februari hadi mwanzoni mwa mwezi huu.

Alisema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kwa upande wa redio, runinga na magazeti.

“Pale ambapo maadili ya uandishi yanakiukwa au changamoto za utekelezaji wa misingi, sisi hatutasita kuchukua hatua,” alisema.

Alibainisha magazeti hayo matatu likiwamo la Tanzanite yameonywa kwa kukiuka baadhi ya misingi ya uandishi wa habari.

“Moja ya magazeti yaliyoonywa ni pamoja na gazeti la Tanzanite, tumewaonya kwa sababu ni mara yao ya kwanza kuchapisha picha fulani za utupu, sio kuhusu ‘content’, ni kuhusu aina ya picha walizochapisha,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema hatua hizo zimekuwa zikichukuliwa kwa magazeti mbalimbali kwa nia njema ya kusisitiza weledi katika utendaji kazi kwenye tasnia ya habari.

Katika hatua nyingine, alisema katika kipindi cha Februari miongoni mwa mambo yaliyojitokeza kimataifa ni ripoti ya hali ya rushwa na mapambano dhidi ya ufisadi duniani ambapo Tanzania imepanda katika mapambano hayo kwa nafasi 13 duniani.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisii ya March 8

Nape Akoleza Moto Hoja ya Bashe

0
0
Mbunge wa Mtama (CCM) Ndugu Nape Nnauye amewataka Wabunge wa Tanzania bila ya kujali itikadi ya vyama vyao kuwa kitu kimoja na kumuunga mkono Mbunge Hussein Bashe juu ya hoja yake binafsi aliyoiwasilisha kwa Katibu wa Bunge.

Nape ametoa kauli hiyo jana (Machi 07, 2018) baada ya kupita siku kadhaa tokea  Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe kudai amepeleka barua kwa Katibu wa Bunge na kupelekea kuibuka kwa baadhi ya wabunge wa upinzani kumpinga na kumuita mnafki kwa anachokitarajia kukifanya.

"Kazi ya Mbunge ni pamoja na kuwasemea wananchi ambao kwa namna moja ama nyingine hawana fursa ya kwenda wenyewe Bungeni. Tumuunge mkono Mhe. Bashe bila kujali tofauti zetu za itikadi, dini au rangi", amesema Nape.

Kwa upande mwingine, Nape amedai hoja binafsi ndani ya Bunge ni moja ya njia za kutafuta ukweli na suluhisho juu ya jambo fulani ambalo linatafutiwa ufumbuzi wake.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) aliyetoweka Apatikana Mafinga Akiwa Ametupwa

0
0
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania , Abdul Nondo ambaye pia ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) aliyeripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha amepatikana akiwa hai eneo la Mafinga mkoani Iringa.

Imeelezwa kuwa, Nondo alijikuta katika eneo hilo baada ya kuzinduka kutoka katika lindi la usingizi na kuwauliza wenyeji wa eneo hilo kuwa hapo ni wapi? Wenyeji hao walimfahamisha kuwa yuko Mafinga mkoani Iringa na kisha akapelekwa katika kituo cha polisi kilichoko karibu.

Polisi walifanya mahojiano na mwanafunzi huyo ili kuweza kujua nini hasa kilitoka na baada ya hapo kupiga simu kwa ndugu zake.

Baada ya Baba mzazi, Mussa Mitumba kupata taarifa za kuonekana kwa mwanae, aliomba namba za askari aliyemfanyia mahojiano ili kujua nini kilimpata mwanae aweze kujua kama jambo jingine alilowaambia kuhusiana na kupotea kwake.

Awali kabla ya tukio hilo mwanafunzi huyo alielezea kwamba alikuwa akifuatiliwa mara kadhaa watu asiowatambua
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images