Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tiba Asili ya Kuondoa Chunusi, Kupunguza Tumbo, Maziwa Makubwa na Nguvu za Kiume

$
0
0
Asilimia 90 ya wanaume hushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya  kama vile kisukari, punyeto ambayo huathiri mfumo mzima wa wa misuli inayozalisha vichocheo ashiki , kutopata choo vizuri hali ambayo huchakiwa na kula chakula kisicho na asili,tumbo kuunguruma, kujaa gesi,kiuno kuuma, mgongo na miguu kufa ganzi

SUPER HOLO; Ni dawa itokanayo na miti shamba, ipo katika mfumo wa vidonge na unga. Hutibu na kumaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa muda mfupi tu.,SUPER HOLO hurudisha heshima ya ndoa, itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-30. Itakupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3. Pia itaimarisha misuli iliyosinyaa na kulegea. Dawa hii hutumiwa kwa watu wa umrii wa miaka 20- 80

NZOGIWE ni dawaya maumbile.Hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo urefu wa nchi 4-8 na unene wa sentimita 2-4 za upenyo

NZOGOMA ni dawa asili ya miti shamba, huboresha mbegu za uzazi...huzibua mirija na kusafiisha ili kuweza kushika mimba au kutia mimba.

Pia tunayo dawa ya kupunguza tumbo, unene, maziwa makubwa, kuongeza hips, makalio na kutoa chunusi

TUNAPATIKANA MTONI MTONGANI. KANA HAUNA NAFASI YA KUFIKA UTALETEWA ULIPO. WASILIIANA NA DR. MBUSI.  PIGA SIMU NAMBA:   0718 431222

Nguvu ya Dhaifu - Sehemu ya 01( Simulizi ya Kweli)

$
0
0
Mwandishi: Grace G. Rweyemam 
“Mamaaa”
Aliniita Kareen kwa sauti ya kustua sana. Ndani ya sekunde chache akili iliwaza mambo kama kumi hivi kwa hofu. Geofrey mume wangu akanitazama, “Usiwe unastuka sana, kelele kwa watoto ni kawaida.”
Nilimpuuza na kuinuka mbio kuelekea kule nje walikokuwa wanacheza watoto. Ni kawaida kwa mtoto kuita hivyo, lakini sijui kwanini siku hiyo nilistuka sana. Ni kama nafsi yangu ilijua kuna kitu kimetokea. Ni kweli kuna kitu kilikua kimetokea, tena kitu kikubwa haswaa.

Baada ya ndoa sikupata mtoto mara moja. Niliolewa umri ukiwa umeenda kidogo tofauti labda na rafiki zangu wengi au ndugu zangu wengine.

Ingawa mimi sikuona kama ni jambo baya au huenda sikujiona nimechelewa sana, ila kutokana na walionizunguka nilihisi nitatakiwa kupata mtoto mara tu nitakapoingia kwenye ndoa. Unajua mara nyingi matatizo tunayokuwa nayo katika maisha huwa hasa matatizo kwa ajili ya jamii inayotuzunguka.

Yaani mfano mtu anayemaliza shule akakutana na changamoto ya kupata kazi, wanaomzunguka humfanya aione ni changamoto ngumu zaidi, hasa kwa maswali ya hapa na pale, mara, “Siku hizi uko wapi? Hivi kazi ulishapata? Kazi unafanyia wapi?” na maswali ya namna hiyo bila kujua kuwa unayemuuliza ana kazi au la, au ameshafanya jitihada gani za kutafuta kazi bila mafanikio.

Au yale maswali ya una watoto wangapi? Au, bado hujazaa tu? Kwa mtu aliye kwenye ndoa, bila kujali ni kiasi gani anahitaji kupata mtoto.

Mimi nakumbuka kuna mtu, tena rafiki yangu, aliwahi kuniuliza, “unakawia hivyo kuolewa, unataka uje kuzaa mjukuu? Yaani nilishindwa kumuelewa, ni kwamba mimi najioa mwenyewe au ninakataa wachumba! Mwingine nikiwa na mwaka tu kwenye ndoa aliwahi kuniambia kuwa kama nashindwa kupata ujauzito nimwambie anisaidie, pengine mume wangu ana tatizo. Huyo aliyesema hivyo ni mwanaume, na alizungumza akimaanisha kwamba anisaidie kunipa ujauzito.

Sijui kama unaelewa ukiingia kwenye ndoa na presha ya kupata mtoto haraka, miaka mitatu bila mtoto wala mimba inakua mingi kiasi gani. Yaani kuna wakati mpaka nilikuwa nahisi hata nikitembea barabarani kila mtu anajua mimi ni tasa na hivyo naona aibu. Namshukuru sana Mungu mume wangu hakuwahi kuniumiza wakati huo. Wanasema ndoa huwa zina changamoto ya mapenzi lakini mimi hilo sikuwahi kujua. 

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Mbili ( 22 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

     Akaanza kupiga hatua zenye vishindo vya hali ya juu huku akinifwata taratibu,nikaona sio sehemu nzuri ya mimi kukaa nikachomoka kwa kasi na kuufungua mlango wa kutokea njee na kwapupa nilizo nazo zilizo chaganyikana na woga nikajikuta nikipiga mwereka mmoja mkali na kuanguka kifudi fudi kama mtoto anayeanza kutembea.Nikastuka zaidi baada ya kuona miguu ya watu wawili wakiwa wamesimama mbele yangu.

ENDELEA
    Nikainyanyua sura yangu na kukutana na Hilda akiwa na msichana mwengine ambaye sikuwahi kumuona hata siku moja.Wakabaki wakinishangaa kwani hawakujua ni kitu gani kinachonikimbiza.Nikananyayuka na kuanza kujifuta futa vumbi lililo jaa kwenye mwili wangu

“Eddy unatatizo gani wewe?”
Nikatazama nyuma na sikumuona Mwajuma na kuukuta mlango ukiwa umefungwa,
“Eddy mbo haueleweki?”
“Wee niache tuu sijajua ni kwanini ulinileta kwenye hii nyumba?”
Nilizungumza huku nikipiga hatua za kwenda nje na kuwafanya Halda na mwanzake kunifwata kwa nyuma huku wakiniongelesha na wala sikuwaelewa ni nini wanacho kizungumza.Nikakaa kwenye msingi wa bustani ya maua iliyopo nje ya ukuta wa nyumba yangu na Hilda akasimama mbele yangu huku akiwa amejishika kiuno
“Eddy hembu niambie una tatizo gani?”
“Tatizo ni hii nyumba hembu tazama nina siku kadhaa nimesha anza kuchakaa kiasi hichi je nikikaa wiki hapa si nitakuwa tambara la deki”

“Jamani Eddy kwani humo ndani kuna tabu gani.....?”
“Hembu nitolee unafki wako hapa inamaana hujui kinacho endelea humo ndani?”
“Sawa japo na tambua ila sio wewe kukimbia kimbia utakuja uumie kwa vitu vya kitoto”
“Wewe unaumwa nini kwanza ninaomba umpigie simu baba mwenye nyumba aje hapa ili mkataba kama ni vipiti tuuvunje na mimi anipe nusu ya malipo na hiyo pesa nyingine mimi ninasamehe”
“Eddy.....”
“Hakuna cha Eddy wewe unaona Raha hivi mimi ninavyo teseka Si ndio?”
“Shem kwani tatizo ni nini?”
Rafiki wa Hilda akaniuliza na kunifanya nibaki nikimtazama pasipo kumjibu kitu cha aina yoyote hadi akajistukia
“Muulize huyo rafiki yako”
“Shosti wala hakuna kitu huyu mwanaume ni uwoga wake tuu”

Sote tukastuka baada ya geti kupigwa kikumbo hadi likafunguka na hapakuwa na mtu aliyetoka na tukajikuta tukikimbia huku kila mtu akishika njia yake.Baada ya kukimbia kwa muda nikajikuta nikiporomosha katika kilima cha bichi ya Raskazone.Nikatafuta sehemu na kukaa ili kijiupepo kinipige vizuri na nikapata wazo la kuingia ndani ya bichi hiyo,Nikalipa kiingilio na kutafuta sehemu iliyo tulia na kukaa huku nikijishauri jinsi ya kurudi nyumbani kwangu.Nikajikuta nikiyafwatilia mazungumzo ya wanaume wawili walio kaa pembeni yangu
“Katika ulimwengu huu hakuna kitu kinacho shindikana mbele ya Jina la Yesu kristo”
“Kweli mchungaji kwa maana nilipo toka ni mbali sana hadi leo ninatazamika kama mtu kweli Mungu ni mwema”
“Unajua shetani anamambo mabaya sana katika ulimwngu huu,Huwa hapendi kuona watu wa Mungu wakifanikiwa kiasi kwamba anawafunga kwa mambo ya ajabu ajabu kama wewe jinsi alivyo kupeleka kuzimu”

“Yaani kipindi kile sikujua ilikuwa vipi kwa maana nilikuwa ni muumini mzuri wa dini.Ila kuna siku nilikutana na dada mmoja katika mtandao wa Facebook....Basi tulikuwa marafiki wa kuchati chati hadi ikafikia hatau tukawa ni wapenzi kabisa...”
“Hembu ngoja kwanza......Inavyoonekana tatizo lilianzi hapo?”
“Ninavyo hisi kwa maana yule dada aliniambia kuwa yeye anatokea Zanzibar na tukapanga siku tukutane Dar kipindi nilipokuwa ninafanya kazi kwenye bandari ya Dar es Salaam.......Haikuwa ngumu kwa sisi kukutana na kutokana nilikuwa ninajuana na watuw engi ambao ni manahoza wa boti zinazo kwenda Zanzibar niliwatumia wao kufanya upelelezi juu ya binti huyo na wakanihakikishia kwamba yupo na anajiheshimu”

Saba Watiwa Mbaroni Mbeya Kwa Mauaji ya Mlinzi Wa SUMA-JKT

$
0
0
Jeshi  la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia watu saba kwa matukio mbalimbali ya uhalifu, wakiwamo vijana watano wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya mlinzi wa SUMA-JKT.

Wanadaiwa kumkata mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kumpora bunduki na kutokomea nayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mohammed Mpinga, alisema Februari 26, mwaka huu ya saa 1:30 jioni, vijana hao wakiwa na mapanga, walimvamia na kumshambulia mlinzi huyo, Chewe Wilson (34), akilinda kituo cha mafuta cha Manyanya kilichopo Uyole.

Aliwataja vijana hao ni Hamis Shaban (19) na Ibrahim Mbilinyi (22) wote wakazi wa Itezi, Stan Wema (21) mkazi wa Uyole, Bahati Laulend (22) mkazi wa Iduda na Sambaa Samson (32) mkazi wa Isyeseye.

Alisema vijana hao baada ya kumjeruhi wakidhani amekufa walimpora bunduki aina ya Shortgun, mali ya SUMA-JKT aliyokuwa anaitumia na kutokomea nayo.

Hata hivyo, alisema mlinzi huyo alikutwa na wasamaria wema akiwa hai na kukimbizwa katika Hospitali ya Kanda ya Rufani ya Mbeya, lakini akafariki kesho yake kutokana na kuvuja damu nyingi.

“Kufuatia tukio hilo, Jeshi la Polisi lilifanya msako mkali na kufanikiwa kuwakamata vijana hao na baada ya kupekuliwa walikutwa na bunduki hiyo waliyopora yenye namba za usajili 009009906-MP-18EM-M wakiwa wameificha nyumbani,” alisema Mpinga na kuongeza:

“Vilevile vijana hao wanaojiita ‘Doshaz’ walikutwa na mapanga matatu ambayo mojawapo lilitumika kumjeruhi Chewe na maganda matatu matupu ya risasi, tulipowahoji walikiri kuhusika na tukio hilo na tunatarajia kuwafikisha mahakamani upelelezi ukikamilika.”

Aliongeza kuwa vijana hao walieleza kuna mtu aliwatuma ili wakaibe bunduki hiyo kwa ahadi ya kupewa zawadi ya Sh. milioni tatu.

Katika tukio lingine, watu wawili akiwamo mzee wa miaka 60, wanashikiliwa na jeshi hilo kwa kosa la kutengeneza bunduki ya kienyeji aina ya Shortgun pamoja na kukutwa na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengenezea silaha hiyo.

Mpinga aliwataja ni Mzee Fadhili Mayenga (60) na Mashaka Samuel (38), wote wakazi wa Kijiji cha Kambikatoto Wilaya ya Chunya.

Alisema watuhumiwa hao walikamatwa Machi Jumamosi mchana kufuatia msako mkali uliofanyika katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo.

Kwa mujibu wa Mpinga, baada ya kukamatwa walipekuliwa na kukutwa na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza silaha hiyo pamoja na risasi 25 za kienyeji ambazo hutumika kwenye silaha hiyo.

Alisema watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani muda wowote upelelezi utakapokuwa umekamilika.

Gazeti Lapewa Onyo Kisa Picha za Mange Kimambi

$
0
0
Serikali imetoa onyo kwa gazeti la Tanzanite kwa kosa la kuchapisha picha za utupu.

Gazeti hilo la wiki, limechapisha picha ambazo ni kinyume cha maadili za mwanadada maarufu, Mange Kimambi.

Akizungumza jana na waandishi wa habari mjini Dodoma, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk. Hassan Abbas, alisema gazeti hilo ni miongoni mwa magazeti matatu yaliyopewa onyo kwa kipindi cha Mwezi Februari hadi mwanzoni mwa mwezi huu.

Alisema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kwa upande wa redio, runinga na magazeti.

“Pale ambapo maadili ya uandishi yanakiukwa au changamoto za utekelezaji wa misingi, sisi hatutasita kuchukua hatua,” alisema.

Alibainisha magazeti hayo matatu likiwamo la Tanzanite yameonywa kwa kukiuka baadhi ya misingi ya uandishi wa habari.

“Moja ya magazeti yaliyoonywa ni pamoja na gazeti la Tanzanite, tumewaonya kwa sababu ni mara yao ya kwanza kuchapisha picha fulani za utupu, sio kuhusu ‘content’, ni kuhusu aina ya picha walizochapisha,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema hatua hizo zimekuwa zikichukuliwa kwa magazeti mbalimbali kwa nia njema ya kusisitiza weledi katika utendaji kazi kwenye tasnia ya habari.

Katika hatua nyingine, alisema katika kipindi cha Februari miongoni mwa mambo yaliyojitokeza kimataifa ni ripoti ya hali ya rushwa na mapambano dhidi ya ufisadi duniani ambapo Tanzania imepanda katika mapambano hayo kwa nafasi 13 duniani.

Zaidi ya Vibanda 600 vimeungua katika Ajali ya moto Mbagala

$
0
0
Soko la Kampochea lililopo Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam limeteketea kwa moto alfajiri ya leo Jumanne Machi 6, 2018 na kusababisha hasara kwa wafanyabiashara wa eneo hilo.

Imeelezwa moto huo ulianza kuteketeza mabanda ya soko hilo saa 12 alfajiri huku uongozi ukitaja kuwa chanzo ni hitilafu ya umeme.

Mwenyekiti wa soko hilo, Mohamedy Njiwa amesema limekuwa likikumbwa na hitilafu za mara kwa mara licha ya kuripoti kwa mamlaka husika.

"Wiki mbili zilizopita hapa kulikuwa na hitilafu ya umeme, ulikuwa unakuja na kukata. Tanesco walikuja kufanya ukaguzi wakaeleza kuwa kuna hitilafu kwenye transfoma,"amesema.

Amesema mabanda yote 673 yaliyokuwapo eneo hilo yameungua kwa moto na kwamba, hasara ni kubwa.

Mmoja wa wafanyabiashara sokoni hapo, Chacha Mwang'wene amesema hajafanikiwa kuokoa chochote zaidi ya taarifa zake za biashara.

Msemaji wa Zimamoto Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Peter Mwambene amesema jeshi hilo lilijitahidi kudhibiti moto huo, lakini tatizo kubwa ni aina ya bidhaa zilizokuwamo.

"Soko hili lina mali ambazo zinachangia kusambaza moto kwa kasi sana kama mitumba ambayo ni rahisi kuteketea kwa moto,"amesema.

Pia, amesisitiza kuwapo kwa vifaa vya awali vya kuzimia moto ili kunusuru mali kwenye masoko mengine jijini hapa.

Hatahivyo, wafanyabiashara hao wameeleza nia yao ya kuendelea kulitumia soko hilo licha ya agizo la mkuu wa Wilaya ya Temeke kuwataka kuhamia masoko mengine.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 25 na 26)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA 

“Hahaaaaaa na weusi huo utaniharibia mtoto. Dany nifwate mwaya achana na huyu Mkuria”
Latifa alizungumza huku akieleka bafuni, mimi na Luka tukabaki tukiwa tumetazamana. Luka kwa ishara akaniambia nielekee bafuni nikapewe mzigo.
“Baba changamka, toto la kinyaturu hilo. .... hadi liombe pooo. Nendaa”
Luka alizungumza kwa sauti ya chini chini, nikajikuta nikinyanyuka na kueleka bafuni, nikaufungua mlango na kumkuta Latifa akiwa tayari amesha vua
 
ENDELEA
Nikabaki nikiwa nimeduwaa, macho na uchu wa ngono ukanivamia, taratibu nikaanza kuvua nguo zangu moja baada ya nyingine. Latifa akanisogelea na kunisaidia kuvua tisheti. Nilipo baki kama nimezaliwa tukaanza kunyonyana ndimi zetu huku kila mmoja akipitisha mikono yake sehemu yoyote ya mwili wa mwenzake. Pumzi za Latifa zikazidi kunisisimua na kujikuta nikizidi kuyaminya makalio yake makubwa kiasi. Jambo hili likamfanya Latifa aanza kutoa miguno ya raha.

Akanigeuzia mgongo kisha akijibenua kidogo kalio lake huku mikono yake akiwa ameshika ukuta wa bafu. Jogoo wangu aliye simama kidedea, nikamshika kwa kiganja cha mkono wa kulia huku nikiwa nimepaka mate ya kutosha, kisha taratibu nikamzimisha kwenye kitumbua cha Latifa.

“Ohoooo aiissiiiiiiiii…….”
Latifa alitoa miguno hiyo ambayo sikuijali sana, kwa maana natambua ujazo na uzito wa jogoo wangu pale anapo ingia kwa msichana ambaye ndio mara yetu ya kwanza kukutana. Kwa jinsi Latifa alivyo jibinua makalio yake, akanipa nafasi nzuri ya kukila kitumbua chake tena kwa mwendo wa kasi sana kiasi kwamba, ikafikia hatua Latifa akaanza kurudisha mkono wake wa kulia nyuma.
“Dany taratibu”
“Ohoo poa”
Nilizungumza huku nikijitahidi kupunguza spidi ya kukila kitumbua chake. Nikaishika mikono yake yote miwili na kuivuta nyuma, hapo ndipo Latifa mtoto wa Kinyaturu alipo anza kunikatikia mauno na kujikuta nikiwa nimesimama tu nikisikilizia utamu wa kitumbua chake.

“Danyy na piiiiiz…….”
Latifa alizungumza huku akiongeza kasi ya kuzungusha kiuno chake ambacho hapo ndipo nilipo gundua kwamba ana kiuno laini na chepesi sana. Ikanibidi na mimi kuvuta hisia zangu zote ili kuruhusu waarabu weupe kutoka. Kasi ya Latifa ikaanza kupungua taratibu, huku jogoo wangu nikihisi akwia amelowana kwa maji maji mengi, ikanibidi kuongeza kasi ili waarabu weupe watoke kwa haraka. Sikumaliza hata dakika mbili waarabu weupe wakatoka kwa kasi na kuufanya mwili wangu mzima kujihisi raha kubwa sana.
Tukaachiana huku kila mmoja akiwa ana hema kwa furaha, kwani kila mmoja amepata utamu kwa njia yake.
“Dany wewe kiboko”

“Kwa nini?”
“Ahaaa, yaani umenikuna, hadi nimejikojolea live”
“Hahaaaa, wacha wee”
“Ahaaa sijawahi haki ya nani vile. Wewe ndio mwanaume wa kwanza kunikojolesha mkojo kabisaa. Ahaaa na hii mbo** yako ina ujazo hadi raha”
Latifa alizungumza huku akimshika jogoo wangu kwa kiganja cha mkono wake wa kulia. Akamminya minya akimpima ajuavyo yeye.
“Mmmmm ila Dany anaye ukalii huu, anafurahi sana”
“Ahaa mbona wewe umeukali”

Lema Amjibu Hussein Bashe......"Ni kweli tunahitaji kamati teule kuhusu utekaji ?"

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema amesema kwasasa wanapita katika maumivu makali katika siasa wanazozifanya hivyo hawahitaji kuona sinema tena zikiendelea miongoni mwa wabunge wenzao.

Hiyo inakuja baada ya Mbunge Hussein Bashe kupelekea barua kwa Katibu wa Bunge kutaka iundwe kamati Teule ya kuchunguza baadhi ya mambo yanayoonesha kutishia umoja, usalama na mshikamano wa Taifa.

Lema ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram amehoji kuwa hivi ni kweli inahitajika Kamati teule kuhusu utekaji au kufifia kwa demokrasia nchini?.

==>Nina fikiri ninapaswa kusema kidogo juu ya hoja binafsi ya Mh Husein Bashe katika mkutano wa Bunge unaokuja.Hivi ni kweli tunahitaji Kamati teule kuhusu utekaji na kufifia kwa demokrasia Nchini ?

Ni maamuzi ya ccm ktk mikutano yao ya ndani ya Bunge na nje ya Bunge kuhusu hali ya demokrasia na siasa Nchini, ujenzi wa vyama vya siasa na mikutano imepigwa marufuku .

Mikutano ya Bunge live pia imepigwa marufuku , Wabunge na Madiwani wa Upinzani waneendelea kupitia mateso makubwa,vitisho vya mauaji , kuwekwa mahabusu na kufungwa.

 Wakati mambo haya yanaendelea kutokea Bunge limekataa hata kulipa matibabu ya Mh Lissu.
 Hakuna Mbunge mmoja wa ccm akiwemo Husein Bashe alishawahi kwenda kumjulia hali Mh Lissu Hospital, unajiuliza ni kwa nini ?

 Mambo haya yako wazi hayahitaji PHD kujua msimamo wa Wabunge wa ccm kuhusu haki,ukweli na nuru ya mabadiliko .
 Wabunge wa ccm wakibadili mtazamo kuhusu Nchi Bunge litakuwa imara na Bunge imara ndio msingi wa Serikali bora na Bunge imara linatokana na Wabunge majasiri, wako wapi ndani ya ccm ?
 Msingi wa kwanza wa ukomavu wenu ni kurudisha hadhi ya Bunge kwa umoja na idadi yenu , platform nyingine nje ya kujitathimini kwa masilahi ya Nchi ni unafiki.
Bashe unafikiri Kamati teule inaweza kuwa na maana kwenye Bunge hili ? hotuba za Wapinzani Bungeni zime endelea kuwa sensored ndani ya Bunge na haya ni maoni mbadala ya ushauri kwa Serikali lakini siku zote mmekaa kimya.

Chama chako ni tatizo na Viongozi wake,na wewe unafahamu mambo haya, hivi kweli tunahitaji tena kugundua kanuni ya kutengeneza gari wakati kuna magari yana tembea barabarani ?
 Tunahitaji umoja wenu kwa masilahi ya haki ndani ya Bunge kwenye mambo yote yanayo rudisha heshima ya Wabunge , wingi wenu umekuwa hasara kwa Nchi badala ya faraja.

Tunapoona maigizo yanayotaka kupotosha haki yanazingatiwa hapa ndipo tunapatwa hasira na kuondoa nidhamu katika mahusiano yasiyo na tija na Nchi , hata hivyo andiko hili sio ugomvi lakini pia limejengwa hasira na hali zetu kisiasa tunayopitia, sisi Wabunge wa upinzani karibu wote tuna kesi sehemu mbali mbali Nchini, mmoja wetu sasa ni mfungwa (Sugu) .

Tunapitia maumivu makali sana kwa sasa hatuitaji tena sinema.

Katibu Mkuu CHADEMA Ahojiwa na Kuachiwa Kwa Dhamana

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji amehojiwa na polisi kwa saa mbili na kuachiwa kwa dhamana.

Wakati Mashinji akihojiwa, vigogo wengine watano wa chama hicho alioambatana nao hawakuhojiwa, badala yake wote kwa pamoja wametakiwa kuripoti tena Kituo Kikuu cha polisi Machi 13, 2018.

Mmoja wa mawakili wa viongozi hao Alex Massaba amesema Dk Mashinji amehojiwa kwa tuhuma za kusababisha mkusanyiko isivyo halali.

Mashinji amehojiwa kuanzia saa 5:30 asubuhi hadi saa 7:30 mchana.

Februari 27, 2018 viongozi hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ambaye leo hakuwepo baada ya kuugua ghafla na kulazwa Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi, walifika kituoni hapo na kuhojiwa kwa takribani saa tano, kisha kuachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti tena leo.

Leo viongozi hao wakiongozwa na Dk Mashinji ambaye Februari 27, 2018 hakufika kuhojiwa kutokana na kuwa nje ya nchi, mpaka saa nane mchana walikuwa wameondoka kituoni hapo.

Mbali na Mashinji, viongozi wengine waliofika kituoni ni naibu makatibu wakuu, John Mnyika (Bara) na Salum Mwalimu (Zanzibar).

Pia, wamo mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee; mwenyekiti wa kanda ya Serengeti, John Heche na Esther Matiko ambaye ni mweka hazina wa Bawacha.

Kwa mujibu wa Massaba, wengine walioambatana na Mashinji hawakuhojiwa.

"Awali Mashinji  hakuwepo wakati wenzake wanahojiwa lakini leo amefika na amehojiwa kwa kosa moja la kufanya mkusanyiko usio halali,” amesema Massaba.

Amesema ikiwa Machi 23, viongozi hao hawatapelekwa mahakamani, hawataripoti tena kituoni hapo kwa mdai kuwa utakuwa usumbufu.

Amesema hilo linatokana na baadhi ya viongozi hao kuwa wabunge, hivyo wanahitaji kushiriki vikao vya Bunge vitakavyoanza mapema Aprili, 2018.

Februari 20, 2018 Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam iliagiza kukamatwa viongozi saba waandamizi wa Chadema akiwamo Mbowe.

Wito huo ulikuja siku chache baada ya tukio la kuuawa kwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini.

Akwilina aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa ndani ya daladala eneo la Mkwajuni, Kinondoni jijini Dar es Salaam wakati polisi wakiwatawanya wafuasi wa Chadema waliokuwa wakienda ofisi za mkurugenzi wa Halmashauri ya Kinondoni kudai viapo kwa mawakala wao.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya March 7

Watanzania 225 Huambukizwa Virusi Vya Ukimwi Kwa Siku

$
0
0
Takwimu zinaonesha kuwa Watanzania 225 huambukizwa Virusi vya Ukimwi kwa siku.

Hali hiyo inamaanisha kwamba kwa mwezi watu 6,750 huambukizwa VVU na kwa mwaka ni 81,000.

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), Dk. Leonard Maboko, jana  Jumanne Machi 6, wakati akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusu uandaaji wa programu bora za Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi.

Alisema hali hiyo ni mbaya zaidi kwa vijana wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24.

“Asilimia 40 ya maambukizo mapya hutokea kwa vijana wenye umri Kati ya miaka 15 hadi 24 na kati yao wengi ni wanawake.

“Hii inamaanisha kwamba katika hiyo asilimia 40 ya vijana waliopata maambukizi mapya, asilimia 80 ni wanawake,” alisema Dk. Maboko.

Wadaiwa sugu Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) wapewa siku saba

$
0
0
Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) imetangaza kuzipiga mnada mali za wadaiwa sugu 7,065 watakaoshindwa kulipa madeni yao ndani ya siku saba kuanzia jana.

Mwenyekiti wa bodi wa benki hiyo, Beng’i Issa alisema jana  Machi 6 kwamba  uamuzi huo ni sehemu ya kukabiliana na ongezeko la mikopo chechefu au isiyolipika iliayo.

“Mpaka sasa mikopo isiyolipika imefia Sh7.9 bilioni hivyo kuongeza ugumu kidogo katika kuhakikisha tunapata mtaji wa kutosha,” alisema Issa.

Ndani ya muda walioutoa, alisema wateja wanaodaiwa wanapaswa kulipa madeni yao ambayo ni ya muda mrefu.

“Wengi wameshapitiliza siku 90 za kutorejesha madeni yao kinyume na utaratibu na makubaliano na benki,” alisema

Kwa watakaoshindwa kulipa fedha hizo ndani ya muda uliotolewa wa benki kuchukua hatua za kisheria kabla ya kunadisha dhamana zao, amesema wenye dhamira ya kulipa waende kwenye tawi lolote la benki hiyo wakiwa na mpango mahususi wa jinsi watakavyofanikisha malipo yao.

Januari 4, wakati Benki Kuu Tanzania (BoT) inatangaza kufuta leseni za baadhi ya benki nchini, TWB ilipewa agizo la kuongeza mtaji ndani ya miezi sita ili kukidhi mahitaji ya ukwasi unaohitajika.

Kulingana na masharti ya taasisi za fedha na benki za biashara nchini, kila moja inatakiwa kuwa na mtaji na ukwasi wa kutosha kukidhi mahitaji ya kila siku.

Wakati TWB ikipewa onyo hilo, benki za Covenant, Efatha, Benki ya Wananchi Njombe, Kagera Farmer’s Cooperative Bank na Benki ya Wananchi Meru zilifutiwa leseni.

Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya Wanawake Tanzania, Japhet Justine amesema  sheria inawaruhusu kuuza mali au dhamana za wateja walizoweka endapo watashindwa kurejesha mkopo kwa wakati waliokubaliana.

“Mbali na kupiga mnada mali zao, taarifa zao tutazipeleka Benki Kuu ya Tanzania wasiweze kupata mkopo katika benki nyingine yoyote nchini,” alisema Justine.

Alisema tangu kutolewa kwa taarifa ya awali kuwa benki ipo katika hali mbaya, wamekusanya zaidi ya Sh2 bilioni kutoka kwa wadaiwa walionao, hatua ambayo alisema ni nzuri.

Kwa sasa, alisema wapo katika maongezi na wadau mbalimbali kuwawezesha kupata mtaji waliowekewa na Benki Kuu na kwamba mwelekeo unaonekana kuwa mzuri.

“Baada ya benki yetu kupewa maagizo ya kuongeza mtaji na Benki Kuu tunapokea wateja na wageni wengi wanaohitaji ufafanuzi kuhusu fedha zao lakini wote wanaelewa,” aliongeza.

TANZIA: Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini afariki dunia

$
0
0
Mbunge wa zamani wa Kigoma Mjini, Dk Aman Kabourou amefariki dunia jana Machi 6, 2018 saa tano usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akitibiwa.

Msemaji wa Muhimbili, Neema Mwangomo amethibitisha kifo cha mwanasiasa huyo na kubainisha kuwa alifikishwa hospitalini hapo akitokea mkoani Kigoma.

“Amefariki dunia Machi 06, 2018 saa 5 usiku alifikishwa Muhimbili Machi 4, 2018 akitokea Hospitali ya Mkoa wa Kigoma. Alifikishwa Muhimbili akitokea Kigoma saa saba mchana,” alisema Mwangomo.

Dk Kabourou amewahi kuwa mbunge wa Kigoma Mjini mwaka 1995 hadi 1999 na 2000 hadi 2005 kwa tiketi ya Chadema. Mwaka 2006 alijiunga CCM na kuchaguliwa kuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki. 

Pia amewahi kuwa mwenyekiti wa chama tawala mkoani Kigoma kuanzia mwaka 2012 hadi mwaka 2017.

Chadema Yamjibu msajili Wa Vyama Vya Siasa

$
0
0
Wakati Chadema ikijibu barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuhusu tuhuma za uvunjivu wa sheria ya vyama vya siasa na maadili ya vyama hivyo, huenda chama hicho kikakabiliwa na mambo matatu kama adhabu.

Chadema iliwasilisha majibu ya maelezo kuhusu tuhuma hizo jana katika ofisi ya msajili yakiwa ni ya pili baada ya yaliyowasilishwa awali kutomridhisha msajili.

Awali, Chadema ilitakiwa kutoa maelezo kwa kuvunja sheria kutokana na kufanya maandamano Februari 16 baada ya mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kinondoni uliofanyika Mwananyamala kwa Kopa jijini Dar es Salaam.

Baada ya kuwasilisha majibu hayo wiki iliyopita, msajili alieleza kutoridhishwa na aliiandikia Chadema barua nyingine akitaka maelezo kuwa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe katika mkutamo huo wa kampeni alitoa lugha za uchochezi.

Katika barua zote mbili kwa Chadema, Jaji Mutungi amekitaka chama hicho kutoa maelezo ni kwa nini kisichukuliwe hatua za kisheria kwa kukiuka sheria ya vyama vya siasa na kanuni za maadili ya vyama hiyo.

Kwa mujibu wa kanuni za Oktoba Mosi, 2007 zilizosainiwa na Waziri Mkuu wakati huo, Edward Lowassa kifungu cha 6(1)(c)(d) zinaeleza wajibu wa msajili kwa vyama vya siasa.

Kifungu 6(1)(c) kinasema, “Kuzuia kitendo cha uvunjifu wa kanuni za maadili kisiendelee na kukitaka chama au kumtaka kiongozi wa chama kujirekebisha.”

Kifungu (d) kinasema, “Kutoa onyo la maandishi kwa chama au kiongozi wa chama husika.”

Kifungu (6)(2) kinaeleza, “Iwapo baada ya kutolewa onyo la kwanza kwa mujibu wa kanuni (1)(d), chama cha siasa kitaendelea au kiongozi ataendelea kukiuka maadili hayo, msajili atakemea hadharani ukiukwaji huo wa maadili.”

Hata hivyo, katika utekelezaji wa majukumu yake, msajili ana uwezo wa kuzuia ruzuku na hata kukifuta chama cha siasa.

Katika barua ya Chadema iliyosainiwa na Kaimu Katibu Mkuu, John Mnyika iliyowasilishwa jana kwenye ofisi ya msajili imeeleza masuala kadhaa yaliyowapata ikiwamo ya viongozi wake kutekwa, kuteswa, kushambuliwa na wengine kuuawa.

Chadema katika hoja ya kwanza inamweleza Jaji Mutungi kwamba katika barua yake, “Hujaeleza chanzo au sehemu ulipoyatoa maneno hayo na wala hujaeleza kifaa au chombo cha habari kilichotumika kunukuu maneno hayo iwe rahisi kwetu kutoa maelezo. Tuhuma zako hazina ushahidi wa aina yoyote ulioambatanishwa katika barua yako.”

Pili, Chadema inasema, Februari 27, Mbowe alihojiwa na Jeshi la Polisi katika Kituo Kikuu cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuhusu kauli aliyoinukuu Jaji Mutungi ambayo ni sehemu ya ushahidi mahakamani.

“Kwa kuwa bado shauri hilo la jinai halijamalizika na wakati huohuo ofisi yako inaendelea na uchunguzi wa kimaadili wa jambo hilohilo. Tunashauri usubiri jambo hilo limalizike kwa upande wa jinai kwa sababu ni ukiukwaji wa taratibu za kimahakama kwa mamlaka mbili tofauti kushughulikia jambo moja na lenye maudhui yanayofanana na kwa mtu yuleyule,” inasema Chadema.

Tatu, chama hicho kinasema hata kama maneno aliyonukuu yalitamkwa na Mbowe azingatie kuwa moja ya wajibu wa wanachama wa Chadema ambao umeainishwa katika Katiba ibara ya 5.3.5 ambayo yamenukuliwa:

“Kuwa tayari kupambana na namna yoyote ya uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi.”

Chadema imesema Mbowe kama mwanachama hakukosea kitu chochote katika maneno hayo kwa kuwa lugha hiyo ni wajibu wa mwanachama.

Hoja ya nne, Chadema inaeleza matukio kadhaa yaliyowafika viongozi wake tangu utawala wa awamu ya tano ulipoingia madarakani Novemba 5,2015 ikibainisha ni; kushambuliwa kwa risasi kwa mbunge Tundu Lissu, kupigwa kwa silaha za jadi kwa aliyekuwa mwenyekiti Mkoa wa Mwanza, Alphonce Mawazo Novemba 14, 2015 na kutekwa na kuumizwa kwa aliyekuwa mgombea udiwani wa Buhangaza wilayani Muleba mkoani Kagera, Nelson Makoti.

Pia, kutekwa, kuteswa hadi kuuawa kwa katibu wake wa Kata ya Hananasif, Daniel John, Februari 11 na kushambuliwa kwa mapanga na shoka hadi kuuawa diwani wa Namwawala wilayani Kilombero mkoani Morogoro, Godfrey Lwena.

Mafuta yapanda bei.....Hizi ni bei elekezi zitakazoanza kutumika Machi 7, 2018

$
0
0
Mamlaka ya udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),imetangaza bei kikomo za mafuta kwa mwezi huu huku petroli na dizeli zikiongezeka .

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Nzinyangwa Mchany amesema bei hizo zitaanza kutumika leo ambapo amesema bei za jumla na rejareja za mafuta yote yaliyoingizwa nchini kupitia bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka ukilinganisha toleo lililopita.

Mchany amesema kuwa mwezi huu bei za reja reja za petroli zimeongozeka kwa shilingi moja kwa lita ikiwa ni sawa na asilimia 0.06 na dizeli kwa shilingi 69 kwa lita sawa na asilimia 3.37 na mafuta ya taa shilingi nne kwa lita sawa na asilimia 0.20.

Kaimu Mkurugenzi hyo amesema kuwa kwa kiasi kikubwa ongezeko la bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwenye soko la ndani limetokana na mabadiliko ya bei za m afutas katika soko la Dunia na kuongezxeka na gharama za usafirishaji w mafuta pamoja na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola ya marekani

Mamlaka ya udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),imetangaza bei kikomo za mafuta kwa mwezi huu huku petroli na dizeli zikiongezeka .

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218 TUNAPATIKANA BUGURUNI SOKONI STENDI ya musanga
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images