AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA
“Yaani kaka yangu hapa sijui nifanyaje nimeomba ruhusa ya kumuuguza mume wangu ila hata hamu ya kwenda huko hospitalini sina”
Habibi alizungumza huku taratibu akijisogeza nilipo huku akiendelea kulia na taratibu kichwachake akakilaza kwenye mapaja yangu na mkono wangu mmoja nikauweka kwenye ziwa lake na kuliminya kumfanya astuke na kunitazama kwa jicho kali la hasira
ENDELEA
“Ohh samahani dada yangu”
Nilizungumza huku nikiutoa mkono wangu kwenye ziwa lake na taratibu Habiba akajinyanyua kutoka alipo jilaza kwenye mapaja yangu na kukaa kitako
“Samahani tena dada yangu kwa kukushika......”
“Usijali kaka yangu ila kwa sasa ninaomba mimi niondoke”
“Sawa hakuna shaka”
“Naomba unipe namba yako ya simu”
Nikamtajia Habiba namba zangu kisha na yeye akataja zake nikajaribisha kuzipiga kabla hajatoka na simu yake ikaita
“Kaka hivi nisave nani?”
“Save Eddy”
“Mmmmm”
“Mbona unaguna”
“Yaani majina ya Eddy sina imani nayo kabisa tangu mume wangu aniafanyie hili tukio nimetokea kuyachukia kupita maelezo”
“Kwani anaitwa nani?”
“Ana mjina mbaya kama huo wako wa EDDY”
Nikabaki nikicheka Habiba akajiweka sawa nguo zake na kutoka chumbani na kuniacha nikijiliaza chali kitandani huku nikiikariri namba yake kwa kwichwa ili isiwe rahisi kuisahau.Nikanyanyuka na kufunga mlango kwa funguo kisha nikarudi kitandani huku nikijitahidi kuutafuta usingizi kwa juhudi zote.
Nikachukua mto mmoja nikaukumbatia huku nikiuwekea mguu kwa juu ndani ya dakika tano nikaanza kuhisi nilicho kikumbatia sio mto ila kinaendana na umbo la mtu.Nikakurupuka na kujitoa mikononi mwa msichana mzuri aliye kaka kitandani huku akiwa na night dreas tu na katika kumbu kumbu zangu nilimuona huyu msichana siku yangu ya kwanza alipo nitokea Olvia Hitler na alikuwa ni miongoni mwa wasichana aliye kuwa akimpepea na kitu kinacho fanana na mkia wa Simba
“Usiniogope kwani sikuja kwako kwa mabaya”
“Wewe ni nani?’
“Unanfahamu ila itanibidi nijitambulishe jina langu”
“Sasa jamani mutanniua mimi”
“Huwezi kufa.....kwanza mimi ninaitwa Vicky ni jina ninalo litumia nikiwa ulimwenguni ila nikiwa nyumbani nina jina langu”
Sikuweza kuogopa sana kutokana nimesha wazoea hawa viumbe ambao wananiandama tangu nilipo hamia katika nyumba yangu mpya
“Mtakatifu Olvia Hitler amenituma nije kukupa ujumbe huu”
“Ujumbe gani?”
“Yeye kwa sasa hayupo katika maeneo unayo ishi amekwenda nchini kwetu kwa ajili ya mazungumzo na baba yake mzazi”
“Haya nashukuru.....Jibadilieshe na uniachie mto wangu”
“Hapana kuna kitu nahitaji kutoka kwako”
Vicky akanifwata kwa kasi na ndani ya dakika moja nikajikuta nipo kama nilivyo zaliwa kisha taratibu akaanza kuninyonya mdomo wangu hapo ndipo nikagundua ladha iliyopo kwenye mate ya mwanadamu na jini.Vicky akaivua nightdreas yake na kuimalizia nguo ya ndani kisha akanipandisha kitandani
“Unataka unione kama nani?”
“Kivipi?”
“Unataka unione katika muonekano kama wa msichana gani unaye mpenda duniani?”
“Mmmmmm Angelina Jolie”
Ndani ya sekunde kadhaa Vicky akageuka na kuwa kama Angelin Jolie mwan mke mwenye mvuto wa kudumu duniani ambaye ni mcheza filamu maarufu nchini Marekani na duniani kwa ujumla na nikabaki nimeduwaa