Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Upasuaji Wa Kihistoria Wafanyika Moi Kwa Mafanikio

$
0
0
Madaktari Bingwa wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa  Muhimbili  (MOI) kwa kushirikiana na Madaktari wa Hosipitali ya BLK  India jana  wamefanya upasuaji maalum wa mgongo kwa kutumia matundu (Minimal Invasive Spine Surgery) kwa mgonjwa aliyedhoofika uti wa mgongo.

Kwa Mujibu wa Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam, Upasuaji  huo umefanywa kwa mafanikio makubwa ukiwashirikisha Madakatari Bingwa wanne wakiongozwa na Profesa Joseph Kahamba wa MOI  na Dkt. Puneet Girdhan kutoka hosipitali ya BLK.

Taarifa hiyo imebainisha kuwa upasuaji huo umefanyika kwa mafanikio makubwa kwa muda wa masaa manne ambapo pamoja na upasuaji huo,  MOI imeanzisha huduma za upasuaji wa magoti kwa njia ya matundu ( Athroscopy ).

“ Tayari wagonjwa 300 wameshafanyiwa upasuaji wa magoti kwa njia ya matundu kwa ufanisi mkubwa na wagonjwa wengine wameendelea kunufaika na huduma hii” Inasisitiza sehemu ya Taarifa hiyo

Kutokana na mabadiliko ya teknolojia ya matibabu, upasuaji wa kupanua njia za mishipa ya fahamu na kuimarisha uti wa mgongo kwa nyenzo za kisasa umeshika hatamu na Taasisi hiyo imeendelea kufanya mabadiliko ili kuendana na hali hiyo.

Taasisi ya MOI  na Hospitali ya BLK ya India zilianzisha ushirikiano mwaka 2016 na hii ni mara ya pili kwa wataalamu kutoka  hosipitali hizi kufanya upasuaji kwa kushirikiana.

Washirika Wa Maendeleo Waahidi Kushirikiana Kwa Karibu Zaidi Na Tanzania Kuleta Maendeleo

$
0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) imekubaliana na Washirika wa Maendeleo kurejesha uhusiano wa karibu na wenye tija ili kusaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa miaka Mitano pamoja na Mkakati wa Kukuza Uchumi Zanziba (MKUZA III).

Hayo yamebainishwa mjini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James, wakati akifungua mkutano wa Mazungumzo ya kimkakati kama ilivyobainishwa kwenye Mwongozo wa Ushirikiano wa Maendeleo kati ya Serikali na Washirika wa Maendeleo.

Bw. James amesema kuwa Mwongozo huo wa miaka 7, kuanzia mwaka wa fedha 2017/2018 hadi 2014/2025, umelenga kuipa Serikali nafasi ya kuongoza mchakato wa maendeleo na kuijengea Serikali uwezo wa kukusanya mapato yake ya ndani, kuchambua fursa muhimu za uwekezaji na kutumia masoko ya kikanda na kimataifa kupata faida.

“Tumekubaliana kwamba tutasimamia mchakato mzima wa maendeleo sisi wenyewe kama nchi, matumizi mazuri ya rasilimali, kuimarisha uwajibikaji, kukuza biashara na uwekezaji wa ndani na nje” alifafanua Bw. James

Amesema kuwa nchi inajivunia hatua kubwa iliyofikiwa kiuchumi na kijamii ambayo Tanzania imefikia, ikiwemo kutambuliwa kimataifa kuwa kinara wa masuala ya ukuaji wa uchumi wa Taifa na uchumi jumuishi, ambapo imekuwa ikifanya vizuri kimataifa, kikanda na katika nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.

Akizungumza katika mkutano huo uliowashirikisha Washirika wa Maendeleo kutoka nchi mbalimbali duniani, Mratibu wa Umoja wa Mataifa na kiongozi wa washirika hao Bw. Alvaro Rodriguez, ameahidi kuwa watashirikiana na Tanzania ili malengo yake ya maendeleo yaweze kufikiwa kwa kuboresha zaidi ushirikiano ambao hapo awali ulianza kulegalega.

Ameelezea kuridhishwa na hatua zinazochukuliwa na Serikali zote mbili-Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar katika kufanikisha malengo yake ya kukuza uchumi kama ilivyoainishwa katika Mpango wa Taifa wa Maendeleo (FYDPII) na Mkakati wa Kukuza Uchumi Zanzibar (MKUZA III).

Amesema ili mipango hiyo iweze kufanikiwa kuna umuhimu wa kuishirikisha kikamilifu Sekta Binafsi pamoja na washirika wa maendeleo kwa kuweka mazingira ya kuongeza uzalishaji, kukuza ajira kwa vijana wa kike na wa kiume na hatimaye kufanya mapinduzi ya kiuchumi.

“Vijana takribani milioni moja wanaingia katika soko la ajira kila mwaka, hivyo ni muhimu kuweka mazingira ya upatikanaji wa ajira tena zenye staha katika kipindi hiki ambacho nchi inafanya mapinduzi makubwa ya viwanda na uchumi” alisisitiza Bw. Rodriguez.

Amesema kuwa uwekezaji katika masuala ya elimu, afya, hifadhi ya jamii, kutoa fursa sawa kwa wote (wanaume na wanawake) ni muhimu kwa kuwa jamii yenye afya itashiriki vizuri katika masuala ya uzalishaji.

Ameahidi kuwa Wadau wa Maendeleo wako tayari kusaidia jitihada hizo ili kuhakikisha kuwa Tanzania inafikia malengo hayo kwa kuwezesha miundombinu ya ukusanyaji mapato yake ya ndani, usimamizi na matumizi mazuri ya fedha za umma, kuiwezesha sekta binafsi kushiriki katika miradi ya kielelezo pamoja na kusaidia kuibua sera bora na kufadhili miradi yake ya maendeleo.

Serikali na Washirika wa Maendeleo wamekubalina kukutana mara mbili kwa mwaka ambapo kikao kingine kinatarajiwa kufanyika mwezi Novemba, 2018.

Atiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Kumbaka Mtoto wa Miaka Minne

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, linamshikilia Soli Mkanzabe (24), mkazi wa mtaa wa Nyegezi kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa) na kumsababishia majeraha na maumivu makali katika sehemu za siri.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna (DCP) Ahmed Msangi, katika taarifa aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, alisema mtuhumiwa alitenda kosa hilo juzi majira ya saa 10 jioni katika maeneo ya mtaa wa Password kata ya Nyegezi, Nyamagana mkoani hapa.

“Inasemekana mtuhumiwa alikuwa akiishi jirani na nyumbani kwao mtoto. Inadaiwa kuwa majira tajwa hapo juu, mtuhumiwa alifika nyumbani kwao mtoto na kumkuta akicheza na wenzake kisha alimwita waende wote chumbani kwake.

Mtoto alimfuata mtuhumiwa na kwenda naye chumbani na baadaye mtuhumiwa alifanyia mtoto ukatili wa kumbaka na kumsababishia maumivu makali katika sehemu za siri huku mtuhumiwa akimwonya mtoto kuwa asiseme kwa mtu yeyote juu ya jambo hilo,” alisema DCP Msangi katika taarifa hiyo.

Msangi alisema baada ya mtoto kufanyiwa ukatili huo, alikaa kimya bila kumwambia mtu yeyote hadi mama yake aliporejea kutoka kazini.

Kamanda Msangi alisema wakati mama yake akienda kumwogesha, ndipo alipogundua kuwa mtoto amefanyiwa unyama huo kisha alitoa taarifa kituo cha polisi.

Alisema baada ya kutoa taarifa, polisi walifanya ufuatiliaji wa haraka hadi eneo la tukio na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa.

Kutokana na kumkamata huko, DCP Msangi alisema polisi wako katika upelelezi na mahojiano namtuhumiwa na kwamba uchunguzi ukikamilika, mtuhumiwa atafikishwa mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria.

Kuhusu mtoto huyo, Msangi alisema alipelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana na kwamba hali yake inaendelea vizuri.

Fatma Karume na Mtoto wa Chacha Wangwe kufungua Kesi 10 Ikiwemo ya kupinga Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi

$
0
0
TAASISI tatu zinazojihusisha na utetezi wa sheria na haki za binadamu, zitafungua jumla ya kesi 10 ndani ya miezi mitatu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, kupinga zilichodai sheria kandamizi zinazominya demokrasia na uhuru wa kujieleza.

Taasisi hizo ni Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC).

Baadhi ya sheria ambazo zimeanza kupambana nazo kwa kufungua kesi ili zifanyiwe marekebisho, zimesema, ni Sheria ya Vyama vya Siasa, Sheria ya Jeshi la Polisi na Sheria ya Uchaguzi.

Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, viongozi wa taasisi hizo walisema tayari wameshafungua kesi mbili katika Mahakama Kuu na kwamba kesi nane zitafunguliwa baada ya miezi miwili.

Walisema kesi hizo zimefunguliwa na wapiga kura wawili, Bob Chacha Wangwe na Allan Bhujo watakaowakilishwa na mawakili kutoka taasisi hizo tatu.

"Tayari tumeshafungua kesi mbili katika mahakama kuu, na kesi zingine nane tutazifungua miezi miwili ijayo na kufanya jumla ya kesi kuwa 10," alisema Fatma Karume kutoka TLS.

Akizungumza katika mkutano huo, Karume alisema wamejiandaa kuzipinga sheria hizo alizoziita kandamizi, kwa mustakabali wa Watanzania.

"Hatutakata tamaa kwenye hili," alisema Karume. "Tumeshuhudia vitendo vingi ndani ya nchi vinavyowanyima wananchi demokrasia na uhuru wa kujieleza.

"Hii ni kinyume na katiba na ndiyo maana tumeunganika kupinga sheria hizo kwa mustakabali wa taifa."

Naye Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa LHRC, Anna Henga, alisema haki ya kukusanyika, kujieleza ni haki ya kila Mtanzania.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

Tido Mhando asomewa maelezo ya awali Mahakamani

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemsomea maelezo ya awali mkurugenzi mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando anayekabiliwa na mashtaka matano likiwamo la matumizi mabaya ya madaraka.

Kabla ya kusomewa maelezo leo Februari 28,2018 mbele ya Hakimu Mfawidhi, Victoria Nongwa, Wakili wa Serikali Dismas Mganyizi, alimkumbusha mashtaka yanayomkabili Tido anayetetewa na wakili Ramadhani Maleta.

Baada ya kusomewa, Tido ambaye yuko nje kwa dhamana amekubali maelezo binafsi na kwamba alikuwa mkurugenzi mkuu wa TBC mwaka 2006 hadi 2010.

Amekubali kuwa alikuwa msimamizi wa shughuli za TBC lakini si zote.

Pia amekubali kutoa maelezo kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na kuwa alifikishwa mahakamani Januari 26,2018.

Tido amekana mashtaka yanayomkabili na upande wa mashtaka katika kesi hiyo utaanza kutoa ushahidi Machi 28,2018.

Anakabiliwa na mashtaka manne ya kutumia madaraka vibaya na moja la kuisababishia Serikali hasara ya Sh887.1 milioni.

Tido anadaiwa Juni 16,2008 akiwa Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), akiwa mkurugenzi mkuu wa TBC kwa makusudi alitumia madaraka yake vibaya kwa kusaini mkataba wa kuendesha na kutangaza vipindi vya televisheni kati ya TBC na Channel 2 Group Corporation (BV1) bila kupitisha zabuni kinyume cha sheria ya ununuzi, hivyo kuinufaisha BVl.

Katika shtaka la pili anadaiwa kutumia vibaya madaraka yake ikielezwa Juni 20,2008 alisaini makubaliano ya utangazaji wa digitali duniani kati ya TBC na BVl.

Tido katika shtaka la tatu anadaiwa Agosti 11,2008 na Septemba 2008 akiwa Dubai alitumia vibaya madaraka yake kusaini mkataba wa makubaliano ya ununuzi, usambazaji, kufunga vifaa vya usambazaji na mnara wa utangazaji kati ya TBC na BVI na kuifaidisha BVI.

Shtaka la nne, anadaiwa Novemba 16,2008 akiwa Dubai alitumia vibaya madaraka yake kusaini mkataba wa makubaliano ya kuendesha miundombinu ya utangazaji kati ya TBC na BVI na kuinufaisha BVI.

Tido katika shtaka la tano anadaiwa kati ya Juni 16 na Novemba 16,2008 akiwa Dubai aliisababishia TBC hasara ya Sh887.1 milioni.

Agizo alilolitoa Waziri Mkuu akiwa mkoani Mtwara Kuhusu Watoto Wenye Ulemavu

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wazazi na walezi wa watoto wenye mahitaji maalumu kutowafungia ndani na badala yake wawapeleke shule.

Amesema ulemavu si kigezo cha kuwakosesha watoto hao kupata elimu na kufanya kazi, hivyo amewataka jamii kutowakatisha tamaa

Alitoa agizo hilo jana (Jumanne, Februari 27, 2018) wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa majengo ya chuo cha Ualimu Kitangali, kilichopo Newala mkoani Mtwara.

“Watakaobainika kuwafungia ndani watoto wenye mahitaji maalumu wachukuliwe hatua za kisheria kwa sababu wanawakosesha haki ya kupata elimu.”

Pia amewaagiza watendaji wa vijiji wafanye sensa katika maeneo yao ili kubaini idadi ya watoto hao na watakapofikia umri wa kwenda shule wapelekwe.

Waziri Mkuu alisema Serikali inataka watoto wenye mahitaji maalumu watambulike pamoja na mahitaji yao na waliofikia umri wa kwenda shule wapelekwe.

“Tunataka kila mtoto wa Kitanzania aliyefikia umri wa kwenda shule apelekwe shule na kusoma na wenzake. Serikali imeboresha elimu ili watoto wote wasome”.

Alisema watoto wenye mahitaji maalumu wana haki sawa na wengine, hivyo hakuna sababu ya kuwafungia ndani na kuwakosesha kupata elimu.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo alisema mradi huo unahusisha ujenzi na ukarabati wa vyuo vinne vya ualimu.

Dkt. Akwilapo alivitaja vyuo hivyo ni Ndala cha Tabora, Mpuguso cha Mbeya, Kitangali cha Newala na Shinyanga, ambapo ujenzi utagharimu sh. bilioni 36.47.

Alisema mradi huo wa ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika vyuo hivyo vinne utaleta tija kubwa kwa Serikali katika kuongeza fursa za kutoa mafunzo ya ualimu katika ngazi za stashahada na shahada.

“Vyuo vyote hivi vinne vitakapokamilika vitakuwa na uwezo wa kudahili wanachuo 3,300 kwa wakati mmoja kutoka uwezo wa sasa wa kudahili wanachuo 1,855”.

Akizungumzia kuhusu chuo cha Kitangali ambacho kilijengwa 1937, alisema kinajengwa upya kutokana na uchakavu wake kiasi cha kutofaa kufanyiwa ukarabati.

Awali, Kaimu Mkuu wa chuo hicho Mwalimu Emmanuel Haule alisema Serikali kwa kushirikiana na Canada zimetoa sh. bilioni 8.26 za ujenzi wa miundombinu.

Mwalimu Haule alisema miundombinu inayojengwa chuoni hapo ni pamoja na vyumba vya madarasa, mabweni, nyumba za watumishi na maabara.

“Pia tunajenga ukumbi wa mikutano na ukumbi wa mihadhara, maktaba na uchimbaji wa kisima cha maji. Ujenzi unatarajiwa kukamilika Aprili 26, 2018.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, FEBRUARI 28, 2018.

Naibu Waziri Mavunde Aagiza Wakurugenzi Kupandishwa Kizimbani Jijini Mwanza....Sababu Ziko Hapa

$
0
0
Khalfan Said, Mwanza
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Antony Mavunde, (pichani juu), ameagiza waajiri ambao hawajajisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kufanya hivyo, vinginevyo wafikishwe mahakamani mara moja.
 
 Mhe. Mavunde ametoa agizo hilo Jumatatu Februari 26, 2018 baada ya kufanya ziara ya kushtukiza jijini Mwanza, kubaini waajiri ambao bado hawajatekeelza takwa la kisheria kifungu cha 5 cha Sheria ya Fidia Kwa Wafanyakazi, Sura 263 marejeo ya mwaka 2015, ambayo inamtaka kila mwajiri kutoka sekta ya umma na binafsi Tanzania bara awe amejisajili na kuwasilisha michango kwenye Mfuko huo.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko huo, Bw. Anslem Peter,  jiji la Mwanza pekee lina waajiri 1228, lakini kati ya hao ni waajiri 482 tu ndio waliojisajili na Mfuko huku waajiri wengine 746 wakiwa bado hawajajisajili. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya Mhe. Naibu Waziri kufanya ziara hiyo ya ghafla.

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mara baada ya ukaguzi huo wa kushtukiza, Mhe. Mavunde pia ameiagiza WCF kuwafikisha mahakamani mara moja, waajiri wa kampuni ya ujenzi ya JASCO, (Mkurugenzi Mtendaji Bw.Karan Bachu),

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Airco Holdings  inayotoa huduma za kusogeza vifurushi na mizigo uwanja wa ndege wa Mwanza na hoteli ya Belmonte ya jijini humo ambapo Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli hiyo, Bw. Philemon Tei, amejikuta matatani.

"Naagiza  waajiri hao kulipa michango yote ya nyuma (tangu tarehe 1 Julai 2015 tangu Mfuko ulipoanza kutekeelza majukumu yake au siku mwajiri aliyoanza kazi zake iwapo ni baada ya tarehe 1 Julai 2015).

Mhe. Mavunde ameagiza waajiri hao kufanya mawasiliano na watendaji wa Mfuko haraka iwezekanavyo ili kuweza kubaini kiwango cha riba kila mwajiri anachopaswa kulipa kutokana na kuchelewesha michango katika Mfuko. 

“Ni kosa la jinai kwa mwajiri kutotekelza takwa hilo la kisheria na kifungu cha 71(4) cha Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi kimeweka wazi kuwa mwajiri wa aina hii, anaweza kutozwa faini isiyozidi shilingi milioni 50,000, kifungo kisichozidi miaka 5 jela au adhabu zote kwa pamoja, kwa hivyo nitoe wito kwa waajiri hao, hakuna sababu ya kushurutishwa kutekeleza sheria.
 
"Tutatekelza agizo la Mhe. Waziri kama alivyolitoa, na nitoe rai tu kwa waajiri kote nchini (Tanzania Bara), kutekeleza takwa hilo la kisheria, kwani hakuna kichaka cha kujificha tutawafikia." Alisisitiza Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko huo, Bw. Anslem Peter katika taarifa yake kwa waandishi wa habari.

Kilichosababisha Mavunde na Biteko kufanya ziara mkoani Shinyanga

$
0
0
Na Mathias Canal, Shinyanga
Naibu Waziri wa wizara ya Madini Mhe Doto Mashaka Biteko na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira Mh Anthony Mavunde jana 27 Februari 2018 wametinga Mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi ya siku moja ambapo pamoja na mambo mengine watatembelea mgodi wa EL-Hillal Minerals Ltd.

Mhe Biteko ametinga Mkoani Shinyanga akitokea ziarani Mkoani Tabora huku Mhe Mavunde akiwa ametokea Mkoani Mwanza ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi mwaka 2015-2020.

Wakati Mhe Mavunde akiwa kwenye ziara ya kukagua Viwango vya Kazi na Usajili wa waajiri kwa mfuko wa fidia wa wafanyakazi (WCF) ni sehemu ya kukagua Viwango vya Kazi na kufuatilia utekelezaji wa agizo la Mhe Jennister Mhagama ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira ambaye aliwataka waajiri wote nchini wawe wamejisajili kwenye mfuko wa Fidia wa Wafanyakazi kabla au ifikapo tarehe 30 Septemba 2017.

Alisisitiza waajiri kujisajili na mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kwani kutofanya hivyo Kwa mujibu wa Kifungu cha 71(4) atashitakiwa Mahakamani na akikutwa na hatia adhabu yake ni faini isiyozidi TSh 50,000,000 au kifungo cha miaka mitano au vyote kwa pamoja.

Wakati huo huo Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko alisisitiza umuhimu wa wachimbaji wadogo nchini kulipa kodi huku akieleza kuwa wachimbaji wanapaswa kujiunga kwenye vikundi kwani serikali imetenga maeneo mengine ambayo itatoa wataalamu kuyafanyia Utafiti ili kuimarisha uchimbaji nchini kwa wachimbaji wadogo kuwa wenye tija na hatimaye kuwafanya kutoka katika uchimbaji mdogo kufikia wa kati na hatimaye kuwa wachimbaji wakubwa.

Pia ameendelea kusisitiza juu ya Wamilili wa Leseni za Madini kote nchini, kutunza takwimu za gharama za uendeshaji wa shughuli zao za uchimbaji na kila Mwezi ziwasilishwe kwa Afisa Madini kwani kutokufanya hivyo wataingia katika mikono ya sheria kwa kulipa faini ya shilingi milioni 50 mpaka milioni 150 au kifungo cha mwaka mmpja jela.

Pia, Mhe Biteko alieleza dhamira ya ziara yake kuwa anapokuwa katika maeneo mbalimbali anawakumbusha wachimbaji nchini kufuata sheria na taratibu za nchi.

MWISHO.

Maandamano yamponza Mbuge wa CHADEMA, Mkutano wake Wazuiwa

$
0
0
Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo Februari 28, 2018 jimbo Bukoba Mjini katika uwanja wa Soko la Rwamishenye.

Taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi inasema wamezuia mkutano huo kutokna na hali ya usalama katika wilaya hiyo na kuhusu taarifa za watu kushawishiwa kuandamana kwenye mitandao ya jamii.

Mahakama imeombwa kufuta kesi ya ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’

$
0
0
Upande wa utetezi katika kesi ya kughushi, inayomkabili mfanyabiashara, Hussein Shabani maarufu ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’ umeuomba upande wa mshtaka kuifuta kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi upelelezi utakapokamilika.

Hayo yameelezwa leo February 28 na Wakili wa utetezi Jeremia Ntobesya mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Victoria Nongwa, baada ya wakili wa serikali Christopher Msigwa kudai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika.

Pia Msigwa amedai kuwa wameongea na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kuandikiwa taarifa kwa sababu kesi hiyo ni ya muda mrefu.

Msigwa ameeleza kuwa sehemu ya upelelezi iliyobakia ni kutoka nje ya nchi na kwamba wanatambua haki ya mshtakiwa na wanafanya juhudi za ziada na ikishindikana watafanya maamuzi.

Kutokana na hoja hizo, wakili wa Ndama, Ntobesya amedai kuwa mshtakiwa ana haki ya kuwa huru, hivyo anauomba upande wa mashtaka kufuta kesi hiyo hadi pale watakapomaliza upelelezi, kisha waifungue tena kesi hiyo.

Kutokana na hoja hizo, Hakimu Nongwa ameahirisha kesi hiyo hadi March 27,2018 kwa ajili ya kutajwa.

Ndama anakabiliwa na mashtaka matano ambapo anadaiwa kuwa  February 20, 2014 Dar es Salaam, alighushi nyaraka ya kibali cha kusafirisha madini na sampuli za madini kwa kusudi la kuonesha kuwa kampuni ya Muru Platnum Tanzania Investment Company Limited iliruhusiwa kusafirisha maboxi manne ya dhahabu yenye kilogramu 207 yenye thamani ya Dola za Marekani 8,280,000.00 kwenda Australia kwa kampuni ya Trade TJL DTYL Limited wakati akijua si kweli.

Pia anadaiwa March 6, 2014, Dar es Salaam, alighushi kwa kutengeneza hati ya kibali ya Umoja wa Mataifa ofisi ya Dar es Salaam akijaribu kuonesha kilogramu 207 za dhahabu kutoka nchini Congo zinatarajiwa kusafirishwa na kampuni ya Muru Platnum Tanzania Investment Company Limited kwenda Australia kwa kampuni ya Trade TJL DTYL Limited, zimesafirishwa bila jinai yoyote wakati akijua si kweli.

Ajirusha baharini kina kirefu Akiwa Safarini Kwenda Zanzibar

$
0
0
Mwanaume mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika amejirusha baharini kutoka katika boti ya Azam iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Zanzibar Jumatatu, katika eneo linalohisiwa kuwa na kina kirefu.

Video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii jana inaonyesha boti hiyo ikiwa imesimama eneo ambalo mwanaume huyo alijirusha huku watu wakijadiliana namna ya kumwokoa.

Tukio hilo limeelezwa kufanyika katika eneo la Bahari ya Hindi "ukishapita Msasani" ambako kuna mkondo wa maji unaodhaniwa kusababishwa na kina kirefu cha maji.

Eneo hilo lipo mwendo wa nusu saa kutoka Bandari ya Dar es Salaam, kwa boti ziendazo kasi. Safari mpaka Zanzibar huchukua saa mbili.

Video hiyo inaonyesha abiria hao wakiwa wanashangaa uamuzi wa mtu huyo kujitosa baharini huku wengine wakisikika wakisema kuwa anaonekana akiogelea.

Baadhi ya waliokuwa kwenye boti hiyo walisikika kwenye video hiyo wakiomba wapewe nafasi wajitose kwenda kumtafuta kwani wao ni mahiri kwenye uogeleaji.

"Kama vipi tumfuate, wengine tunaweza (kuogelea)... anaonekana yule, kuleee tuacheni sisi tunaoweza kuogelea tukamchukue kwasababu tunaweza jamani," alisikika mtu huyo akimwomba mmoja wa wahudumu wa boti hiyo huku akirekodi video.

Taarifa kutoka ndani ya Azam zilisema mabaharia wa boti hiyo walijitahidi kumtafuta mwanaume huyo eneo alipojitosa lakini hawakufanikiwa.

"Baada ya mwanaume huyo kujirusha baharini nahodha wa boti aliambiwa na aliirudisha boti nyuma hadi eneo linalodhaniwa kuwa ndipo alipojitosa, lakini hawakufanikiwa (kumuona). Walirudi wenyewe tu," alisema mmoja wa mashuhuda.

Aidha, shuhuda huyo alisema baada ya kumkosa, walijadiliana kwa muda kuhusu nini kinaweza kufanyika na hatimaye waliona hawana namna zaidi ya kuendelea na safari ya Zanzibar.

Alipoulizwa kuhusu tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Jumanne Murilo alisema waulizwe watu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Alipotafutwa kuzungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alisema ofisi yake bado haijapewa taarifa yoyote kuhusu mkasa huo.

"Sasa kama amejitosa baharini wanasema amekufa au wamefanikiwa kumwokoa?" Aliuliza Kamanda Mambosasa. "Mimi hizo taarifa ndiyo kwanza nazisikia kutoka kwako."

Aprili 5, mwaka jana msichana mmoja mwenye umri wa miaka 16 aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika sekondari moja ya Zanzibar, alijitosa baharini katika eneo la Chumbe.

Msichana huyo alijirusha kutoka katika boti ya Azam ya Kilimanjaro V akisafiri na mjomba wake kutoka jijini kuelekea Unguja, lakini aliokolewa na mabaharia wa chombo hicho.

Baadaye wanafamilia wa msichana huyo waishio Kikwajuni, Unguja walisema chanzo cha msichana huyo kutaka kujiua ni kukutwa na simu ambayo alishindwa kueleza alikoipata na kukimbilia Dar es Salaam kabla ya kufuatwa.

Wanachama saba CHADEMA waachiwa huru

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wanachama wa Chadema baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka yao pasipo kuacha shaka.

Washtakiwa walioachiwa huru na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba leo Jumatano Februari 28, 2018 ni; Sunday Urio, Kizito Damia, Joseph Samky, Chrisant Clemence,  Wilfred Ngowi, Karim Ally na Kinyaiya  Siriri.

Kwa pamoja walikuwa wanakabiliwa na tuhuma za kufanya fujo na kuwazuia askari polisi kufanya kazi yao.

Akisoma hukumu hiyo leo, hakimu Simba amesema wajibu wa kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka ni wa upande wa mashtaka na siyo upande wa utetezi .

Akiendelea kusoma hukumu hiyo amesema katika ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu wa upande wa mashtaka, hakuna sehemu walisema, waliwaona washtakiwa wakirusha mawe kwa polisi na kuwazua wasifanye kazi yao.

Katika kesi hiyo washtakiwa walionekana na kesi ya kujibu na katika utetezi wao karibia wote ulikuwa unafanana kuwa hawakuwepo eneo la tukio na wala hawakutenda kosa waliloshtakiwa nalo.

Hivyo aliwaachia huru washtakiwa hao. Katika kesi hiyo wanadaiwa,  Januari 26, mwaka 2015 huko Ubungo eneo la Riverside,  kwa makusudi walifanya fujo kwa kuwarushia mawe askari polisi wa kutunza amani ili washindwe kufanya kazi yao.

TANGA RAHA- Sehemu ya Kumi na Saba ( 17 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA 

‘MAMA NINAKUOMBA UNIPE BARAKA ZAKO ILI NIWEZE KUMUOKOA BABA YANGU’
‘NAKURUHUSU KWA MOYO MMOJA NA MWANANGU NITAKUPA MSAADA WA CHOCHOTE UTAKACHO KIHITAJI HATA NUSU YA NGUVU ZANGU NITAKUPA ILI BABA YAKO AWE HURU KWANI BADO NINAMPENDA SNA’
‘MAMA NIMEDHAMIRIA KUIANZISHA DUNIA MPYA NA YENYE KILA AINA YA NGUVU ZITAKAZO IPINGA MAMLAKA TULIYOPO JUU YETU’

ENDELEA
“Mazungumzo kati ya Hitlaer na mama yake ambaye ni Janet yaliendelea kwa usiri mkubwa huku mama yake akimfundisha mbinu ambazo zitamsaidia mwanae katika kuikamilisha kazi ya kumuokoa baba yake.Hitler alijipanda vizuri na kutokana ni mjukuu wa miongoni mwa Malaika wakubwa mbinguni aliweza kutumia kigezo hicho kushuka duniani bila ya kuhojiwa maswali mengi na walinzi wanao linda dunia ambayo ipo katika hali mbaya ya kuuguzwa moto.

Hitler akaaanza kufanya uchunguzi wake kwenye shimo kubwa la moto liitwalo KUZIMU lililo kusanya idadi kubwa ya watu walio tenda maovu,Ila katika kuzimu nako kumegawanyika madaraja ya mateso ambayo yapo saba.Na kila waliopo kwenye daraja moja wanatofautiana kwa adhabu na waliopo kwenye daraja la pili hivyo hivyo na kuendele mbele kiasi kwamba matendo yako ndio yanakuchagua uingie kwenye daraja lipi unalo stahili kuhukumiwa.Hitler akaendelea kufanya uchunguzi wake katika magereza yote saba ila hakufanikiwa kumuona baba yake ambaye kwa jinsi mama yake alivyo muelekeza sio rahisi kwake kushindwa kumtambua ila gafla Hitler akiwa kuzimu……”
“Sory Sir Eddy muda wa kipindi chako umeisha”
Madam Zena alizungumza huku akiwa ameshika vitabu vya somo la Kiswahili jambo lililo pelekea wanafunzi kuanza kuzomea wakikataa asiingie

“Jamani tutamalizia hii story yetu kesho”
“Ahhhh Sir EDDY endelea bwanaaa Kswahili bongo akawafundishe mabasha zakee”
Sauti mmoja ya kiume ikitokea nyuma ya darasa ilisikika na kumfanya madama Zena kuchungulia mlangoni huku sura yake ikiwa imekasirika
“Mwana idhaya nani aliye zungumza hayo maneno?”
“Si ninawauliza nyinyi watoto mulio laaniwa na wazazi wenu.Msio na haya mafirahuni wakubwa nyinyi munajua maana ya basha……..Ehhhhh au munavyo jiona nyinyi humu ndani kuna mwanaume aliye kamilika nyote si mashogaa”
Madam Zena alizidi kutokwa na maneno ya kejeli hadi ikafikia kipindi wanafunzi wa kiume wakaanza kuzungumza chini chini na neno lililo sikika kutoka nyuma ya darasa walipo kaa wanafunzi wengi wa kiume ni
“Shoga baba yako aliyekuzaa”
Nikabaki nimeshika mdomo kwani kwa jinsi madam Zena alivyo mweupe wa kujichubu taratibu nikamuona sura yake ikitawali  na wekundu kwa  mbli ulio tokana na hasira
“Nasema nyote tokeni nje mupige magoti”
Wanafunzi wote wakakaa kimya wakisikilizia nani aanze kwenda nje kupiga mogoti ila kadri muda unavyo zidi kwenda hakuna aliye simama kwenda nje
“Monitres nenda kamuite Headmaster na mwalimu wa nizamu”


Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Waliojeruhiwa kwa Risasi Maandamano ya CHADEMA waachiwa kwa Dhamana

$
0
0
Watu watatu wanaodaiwa kuwa wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shtaka la kufanya mkusanyiko isivyo halali.

Hata hivyo, watu hao watatu wameunganishwa katika kesi ya wafuasi 28 wa CHADEMA ambao walifikishwa mahakamani hapo wiki iliyipita.

Washtakiwa hao watatu walisomewa kosa lao mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mwambapa na Wakili wa Serikali, Patrick Mwita.

Wakili Mwita aliwataja washtakiwa hao watatu kuwa ni Isack Ng’aga, Erick John na Aida Olomi.

Wakili Mwita amedai washtakiwa hao, March 8, 2018 wataunganishwa na wenzao 28, ambao walifikishwa mahakamani hapo wiki iliyopita.

Kwa pamoja wanadaiwa kuwa  February 16, 2018 huko Kinondoni katika eneo la Mkwajuni lililopo katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, walifanya mkusanyiko usio wa Halali kinyume cha sheria.

Inadaiwa kuwa mkusanyiko huo ulikuwa na nia ya kufanya uvunjifu wa amani na kusababisha Taharuki kwa wananchi.

Washtakiwa wote walikana shtaka hilo na wapo nje kwa dhamana kwa kila mshtakiwa kuwa na mdhamini mmoja ambaye alisaini ahadi ya Shilingi Milioni 1. 5 na wasitoke nje ya jiji la Dar es Salaam bila ya kuwa na kibali cha mahakama. Upelelezi bado haujakamilika. Kesi imeahirishwa hadi March 8,2018.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 15 na 16)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Nilizungumza huku taratibu nikimzamisha jogoo wangu kwenye kitumbua chake, na kumfanya Monica atoe mguno ulio nisisimua, safari hii sikufanya kwa kumkomoa, ila ninampeleka taratibu taratibu ili kufurahia utamu wa jogoo wangu. Mtanange wa wakati huu Monica alitokea kuupenda kuliko hata mara ya kwanza, kwa maana niliweza kumsugua ipaswavyo.  Tukiwa tupo katika hatua za mwisho mwisho, Hassani na Lissa wakaingia bafuni huku wakiyumba yumba na kumwagikwa na jasho.
“Mamaeee Tanga raha jamani, waoooooo”
Hassani alipiga kelele huku akikata viuno kwa furaha na kumfaya jogoo wake aliye simama bado kucheza cheza juu chini chini juu.

ENDELEA
“Acha vituko vyako Hassani”  
“Ahaaa Dany, huyu mtoto ku*maee ni mtamu sijapata kuona aiseee”
“Nenda naye Dar”
“Ahaaa mbona tulisha lizungumza hilo tayari, kesho naondoka naye”
“Wacha wee, ndio unakwenda kukamilisha mpango wa kumuoa nini?”
“Ahaaa ukirudi Dar utakuta ngoma inongile”
Hassani alizungumza meno yote yakiwa nje, akasimama kwenye bomba la maji na kuanza kujimwagia. Lissa akamsogela na wakaanza kuoga wote, mimi na Monica tukawa tunawatazama, wakamaliza na kutoka. Monica akaniogesha taratibu pasipo maji yangu kuingia mgongoni, tulipo maliza kuoga tukatoka bafuni na kuwakuta Lissa na Hassani wamelala kitandani na kujifunika shuka moja.
“Tukae zetu kwenye kochi”
Sikutaka kubishana na wazo la Monica nikaka kwenye kochi. Nikatazama saa iliyopo ukutani mwa chumba hicho na kuuta ni saa saba sita usiku. Kwa haraka nikanyanyuka na kuifwata suruali yangu ilipo, nikatoa simu yangu mfukoni nakurudi kukaa kwenye sofa. Nikaanza kuitafuta namba ya mama sehemu nilipo isave. Nikampigia na simu nikaiweka sikioni, simu ya mama ikaita mara kadhaa, kisha akapokea.
“Mbona hamrudi?”
“Mama kuna kazi tunaimalizia nahisi nitarudi asubihi”
“Ahaaa upo na huyo mwenzio au amesha ondoka?”
“Nipo naye”

“Sawa, kuwa makini tu”
“Sawa mama”
“Usiku mwema”
“Na wewe mama”
Nikakata simu na kuiweka juu ya meza na kumtazama Monica aliye laza kichwa chake kwenye mapaja yangu, wakati ninazungumza na mama.
“Una usingizi?”
“Noo nilikuwa nakusikiliza unavyo zungumza na mama yako, ninamkumbuka sana marehemu mama yangu”
“Ohooo ple sana”
“Ahaa nimesha poa.”
“Ehee niambie sasa, malengo yako ni nini kwenye maisha yako?”
“Malengo ni mengi, ila kubwa ni kuachana na maisha haya. Nahitaji kuwa mtu maarufu sana kupitia kipaji cha kuigiza”
“Mimi nina marafiki zangu ambao wanahusika na filamu, nikirudi Dar hivi ninaweza kuzungumza nao na kukutanisha nao ili waweze kukusaidia”
“Nitashukuru sana Dany, katika maisha yangu ya uchangudoa sijawahi kukutana na mwanaume kama wewe, aliye jaribu kuniuliza japo hata ndoto zangu, wengi walini tomb** na kuniacha”
“Unajua binadamu tupo tofauti, huwa sipendi sana kuwaona dada zetu kama nyinyi munaifanya kazi kama hii, kwa maana inaniuma sana. Ndio maana hata nilivyo ingia humu ndani sikuhitaji kuweza kufanya chochote ila maneno yake ndio yaliyo nifanya kuweza kufanya hivyo nilivyo kufanya”

“Samahani kwa maneno yangu, unajua tukiwa katika kazi hii huwa tunajichetua, pale nilikuwa nikitafuta pesa tu”
Lissa na Hassani wao nao walikuwa wakizungumza mazungumzo yao. Hadi wakapitiwa na usingizi, mimi na Monica kazi yetu ikawa ni kutazama vipindi tofauti tofauti katika Tv iliyopo humu ndani ya chumba hadi Monica akapitiwa akapitiwa na usingizi na mimi nikabaki kimya, usingizi nilio lala nikiwa safarini uliweza kunisaidia sana kuto kulala, kwa usalama wetu hususani wa mali zetu kama pesa na simu kwa maana siwezi kuwaamini wasichana hawa moja kwa moja na hata wakituibia hatuna sehemu ya kuwapata tena.
   Hadi inatimu saa kumi na mbili na nusu, nikaanza kumuona Hassani akinyanyuka kitandani, akiwa anapiga miyayo.
“Vipi hujalala?”
“Ahaa sijalala, nilikosa usingizi”
“Ahaa mimi sijui hata nimepitiwa na usingizi muda gani”
“Mulikuwa munazungumza hapo na mwisho wa siku nikasikia kimya”
“Daaa”
Hassani alizungumza huku akishuka kitandani, akajinyoosha viongo vyake kwa uchovu, akamtazama Monica aliye laza kichwa chake kwenye miguu yangu, huku makalio yake yakiwa juu.
“Vipi?”
  
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images