Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Shyrose Banj amwomba radhi Rais Magufuli, ni baada ya kuandika ujumbe huu mtandaoni

$
0
0
Mwanasiasa na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ShyRose Banj amemuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Watanzania wote waliokerwa, baada ya kuandika ujumbe katika ukurasa wake wa mtandao wa instagram.

Shyrose ameandika akiomba radhi na kueleza kuwa ujumbe huo hakuuandika yeye bali uliandikwa na wadukuzi wasiojulikana ambao walidukua akaunti yake, kwa lengo la kumchafua na kumgombanisha na chama pamoja na Rais wa Tanzania.

“Account yangu ya Instagram ilikuwa hacked na watu wasiojulikana ambao walipost vitu ambavyo sihusiki navyo. Naomba radhi kwa Rais wangu JPM na wote waliokerwa na jambo hilo. ShyRose Bhanji,” aliandika ShyRose.
Katika ujumbe huo uliokuwa umeandika na kufutwa baada ya muda mfupi ulisomeka “Sikubaliani na utawala wa Rais JPM…Niko tayari kwenda jela…” huku ukiambatanishwa na picha ya ShyRose akiwa ndani ya gari.

Hata hivyo ujumbe huo umeibua utata mkubwa kwa baadhi ya watu ambao bado hawajaamini kama ni kweli akaunti hiyo ilidukuliwa au la.


Baada ya kutajwa katika orodha ya watu hatari nchini, Zitto Kabwe afunguka

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amemjibu Mkurugenzi wa kampuni ya CZI, Cyprian Musiba na kusema kuwa taarifa aliyoitoa haimtishi bali analitaka taifa kushughulika na watu wanaomfadhili ili kuharibu mahusiano ya taifa la Tanzania na nchi nyingine duniani.

Zitto Kabwe aliandika hayo katika ukurasa wake wa mtandao wa Twitter, baada ya Musiba kuitisha mkutano na vyombo vya habari ili kutangaza orodha ya watu hatari na wanaotishia usalama wa nchi, ambapo naye (Zitto) alitajwa kuwa miongoni mwa watu kwenye orodha hiyo.

Aidha alitaka watu kumpuuza na kutoshughulika naye na badala yake washughulike na Idara ya usalama ambayo aliitaja kuwa ndiyo inayomfadhili katika kufanya yote hayo.

Katika mkutano aliofanya na waandishi wa habari, Cyprian Musiba alitaja orodha ya watu ambao aliwataja kuwa ni hatari kwa usalama, na taifa linapaswa kuchukua hatua za haraka dhidi yao ili taifa lisije likaingia kwenye matatizo.

Katika orodha yake, Musiba aliwataja Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kuwa ni mtu hatari kwa taifa na chama hicho kimepeleka vijana kupata mafunzo nchini ujerumani, ambao wana kazi ya kuratibu mipango ya kiharifu.

Musiba alimtaja pia mwanadada Mange Kimambi na kusema kuwa yeye anatumiwa na Shirika la Kijasusi la nchini Marekani (FBI), ili kuhamasisha watu wafanye uasi ndani ya serikali yao. Alieleza kuwa hii ni kutokana na serikali iliyopo madarakani kutokuendana na sera za Marekani na hivyo FBI kupitia Mange Kimambi imeamua kuingilia kati.

Aliendelea na kumtaja mjasiriamali Maria Sarungi kuwa ni hatari kwa taifa kwani yeye hutumia mitamdao ya kijamii kujadili mambo ya kuikashifu serikali iliyoko madarakani.

Vilevile alimtaja pia Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kuwa ni mtu wa kuangaliwa, kwani anahamasisha maandamano

Aliendelea kuwataja pia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche, Musa Tesha, John Marwa  pamoja na Evarist Chahali.

BREAKING NEWS: Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi 'sugu' Kahukumiwa Miezi Mitano Jela

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuhukumu Miezi Mitano jela Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli.

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Michael Mteite ambapo amesema ameridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka.

Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mteite amesema kuwa Mahakama imejikita katika sehemu kuu nne.

Amesema kuwa sehemu hizo ni kama washtakiwa walitamka Maneno ya fedheha, pia kama maneno waliyoyatoa yamebeba maudhui ya fedheha, pia kama maneno hayo yana mlenga Rais pamoja washtakiwa kama wana hatia ama lah.

Katika hukumu hiyo iliyochukua zaidi ya saa moja Hakimu Mteite amesema amejiridhisha pasina kuacha shaka juu ya ushahidi wa mashahidi watatu wa upande wa mashtaka.

Hakimu Mteite amesema Mahakama inakubaliana na hoja ya kwamba washtakiwa walitamka maneno ya fedheha dhidi ya Rais kutokana na ushahidi wa upande wa mashtaka ambao waliwasikia washtakiwa na kuwaona wakati wakitamka.

“Katika kesi hii mashahidi wengi ni askari, hivyo ni dhahiri wametoa maneno hayo,” -Hakimu Mteite

Pia kuhusu maneno hayo kumlenga Rais Magufuli, Hakimu Mteite amesema maneno hayo ya fedheha ni ya kitaifa, kwani masuala yanayogusa watu kuuawa ni ya kitaifa na ndio maana washtakiwa walitamka maneno (Rais Wetu).

“Tujiulize ni Rais yupi waliyemzungumzia ni wa Simba, Yanga ama Mbeya City hivyo Rais aliyezungumziwa hapa ni Magufuli kwani hakuna Magufuli mwingine anayetuongoza,”-Hakimu Mteite

Hakimu Mteite amesema kwa imani yake washtakiwa wana hatia.

“Kutokana na upande wa utetezi kuomba nafuu ya adhabu na upande wa mashtaka kutaka itolewe adhabu kali, nawahukumu miezi mitano jela,” -Hakimu Mteite.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Mpima Ardhi Amwaga Chozi Mbele Ya Waziri Lukuvi

$
0
0
Mpima Ardhi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Bwana Thobias Patrick amemwaga chozi mbele ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maeneleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akijitetea kuhusu tuhuma za kupima eneo la serikali na kujimilikisha kisha kuliuza.
 
Hayo yametokea jana wilayani Kahama mkoani Shinya wakati wa ziara ya Waziri Lukuvi katika kampeni yake ya Funguka kwa Waziri ambapo wakazi wa mji huo walimfikishia Waziri wa Ardhi tuhuma zinazomkabili afisa huyo.
 
Mara baada ya kupata tuhuma hizo Mhe. William Lukuvi alitembelea eneo linahusishwa na tuhuma hizo na kumhoji afisa huyo kwanini alipima eneo la serikali na kumilikisha watu binafsi na yeye akiwa mmiliki wa kiwanja kimoja wapo na kisha kukiuza.
 
Mpima Ardhi huyo Bwana Thobias Patrick alipata wakati mgumu kujibu tuhuma hizo ambazo zimekuwa zikimkabili kwa muda mrefu hali iliyompelekea kutokwa na machozi huku akijitetea kuwa eneo linalohusishwa na tuhuma hizo sio la kwake kwakuwa yeye aliuza kiwanja namba 590 Block N na sio hicho anachotuhumiwa kukiuza.
 
Waziri Lukuvi alimuonya afisa huyo kutojihusisha na ununuzi wa maeneo yenye utata wakati akijua yeye ni mtumishi wa serikali tena akiwa afisa anayehusika na upimaji wa maeneo hayo.
 
Waziri Lukuvi yupo katika ziara zake za kukutana na wananchi walio na migogoro ya ardhi na kuitatua ana kwa ana.
 
Kwa sasa anaendelea na ziara yake kutatua migogoro ya ardhi katika kampeni yake ya Funguka kwa Waziri ambapo hadi sasa ameishasikiliza na kutatua kero na migogoro zaidi ya 2,000 katika Mkoa wa Dar es salaam na wilaya zake za Ilala, Kinondoni na Temeke na mkoa wa Kagera katika Wilaya za Karagwe, Kyerwa na Ngara na mkoa wa Shinyanga katika wilaya ya Kahama.
 
Kwa sasa Waziri Lukuvi anataraji kufanya ziara katika Mkoa wa Pwani ambapo kuna migogoro mingi ya ardhi ya muda mrefu na baadae kwenda wilaya nyingine katika kutekeleza kampeni ya “Funguka kwa Waziri” yenye lengo la kutatua migogoro ya ardhi katika wilaya zote za Tanzania bara.

Mpenzi Wangu Ibilisi ( Simulizi ya Kweli) Sehemu ya 05

$
0
0
Mwandishi: Grace Godfrey Rweyemam

Tukubali tukatae kuna adui wa kila mwanadamu, yaani ibilisi shetani. Huyu hana rafiki, hata kwa wanaompenda yeye si rafiki. Utamtumikia na kufanya mambo yake lakini mwisho wa siku hana pema pa kukupeleka zaidi ya jemanam ambayo yeye huishi huko.

Na hata utatenda mapenzi yake lakini hakuwekei ulinzi au kukuzuilia usipate mabaya, badala yake yeye mwenyewe husababisha mabaya kwako. Mungu ni upendo, na ndani yake hamna chuki. Ni shauku yake kila mwanadamu aishi kwa mapenzi na makusudi yake ili afurahie upendo wake.

Lakini alimuumba mtu kwa sura na mfano wake, hivyo ameweka utashi ndani yake. Utashi ambao mtu huwa nao ndio humpa nafasi ya kukubali au kukataa upendo wa Mungu, na hakuna namna ambayo Mungu huweza kutulazimisha tuwe vile anataka. Ameweka chaguo mbele yetu, uzima na mauti, uzima wa milele na mauti ya milele. Kwa anayechagua uzima akiwa hai huyo atauishi uzima huo hata baada ya kufa.

Najua kuna watu hawaamini kile ninachokiamini mimi, lakini hata wana sayansi huzungumza vile walivyothibitisha. Mwana historia anayesema binadamu wa kwanza aikuwa sokwe, ana vithibitisho vyake, ingawa yeye mwenyewe hakuwa sokwe kabla ya kuwa binadamu.

Kwa miaka zaidi ya ishirini kama mkristo, na hasa katika uzoefu wangu wa Mungu kuniponya na uvimbe ndani ya ubongo wangu, na changamoto nilizopitia wakati huo hata kufikia hali ya kufa, nimehakikisha jambo moja juu ya kile ninachokiamini, kuwa ni kweli Mungu yupo na anaishi ndani ya wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo na Roho mtakatifu.

Ni Dhahiri kwa kila anayekubali na kumpokea Yesu, kama ambavyo ilitokea kwa Jovina, ndani yake hutokea badiliko la kweli la maisha. Haingekuwa rahisi binti huyu ambaye ndani ya miaka sita amekuwa chini ya kifungo cha mume mchawi kurudi nyumbani kwake kwa ujasiri huku akijua ameshaharibu kazi za mumewe.

Kwake yale maombi hayakuwa tu muujiza wa mtoto wake kulindwa asiuliwe na mumewe kama ambavyo awali alidhani, bali yalikuwa maombi yenye badiliko kwa maisha yake kwa ujumla. Mchungaji alimuongoza maombi baada ya kumuelewesha kuhusu yeye binafsi kufanya uamuzi wa kumkubali Kristo.

Mara nyingi tumekutana na changamoto na tukaamua kumtafuta Mungu ili kupata suluhisho la changamoto zetu, lakini mtu anayenunua ndoo ya maji kuna siku yatamuishia, na ni bora kwake angechimba kisima. Kuwa na Kristo ni sawa na kisima cha maji yasiyokauka, na hicho ndicho ambacho kila mtu huhitaji. 

TANGA RAHA- Sehemu ya Kumi na Tano ( 15 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA
Halda alizungumza huku akinisogelea taratibu na kunishika kiuno changu na kuanza kukiminya minya kiasi na kuzifanya hisia zangu kuanza kupanda taratibu na kujikuta nikiaanza kusahau aliyo nieleza kuhusu Rahma muda mchache ulio pita.Nikamuegemeza Halda ukutani na tukaanza kunyonyana denda huku taratibu tukiwa tunavuana nguo taratibu mpaka tukabaki kama tulivyo zaliwa.Kabla hatujaanza mechi simu yangu ikaita na kukuta Rahma ndio anapiga nikaipokea taratibu huku kidole changu kimoja kikiwa mdomoni nikimuashiria Halda asizungumze kitu chochote
“Mambo baby”  
“Safi mke wangu umeshafika?”
“Ndio ila Eddy kwanini una nisaliti?”
     Moyo ukanipasuka nikajikuta mwili mzima ukianza kunitetemeka na kuanza kujiuliza imekuwaje mpaka Rahma anajua ninamsaliti na kujikuta nikipata kigugumizi cha gafla

ENDELEA
 “Ninakusaliti…..vipi ba..bay?”
“Jana si nilikuambia kuwa ukipata nyumba unijulishe?”
Nikashusha pumzi huku taratibu sura yangu ikitwaliwa na tabasamu kwani swali alilo niuliza Rahma lipo tofauti sana na tukio lililopo mbele yangu

“Baby mbona jana hukuniambia?”
“Baby nilikuambia mbona au umesahau?”
“Mmmm labda nitakuwa nimesahau”
“Niambie”
“Safi tu mke wangu mumesha fika uwanja wa ndege?”
“Ndio tumefika tunasubiri kuondoka na ndege ya saa tisa alasiri.Hapa nilipo nipo chooni nimewakimbia wazazi ili niaongee na wewe ila samahani mume wangu kwa kukukatia simu wakati ule ulipo kuwa unanipigia”
“Bila samahani mke wangu vipi utarudi lini?”
“Eddy najua utakasirika ila nakuomba unielewe mume wangu,Jana mama aliniomba niende naye Dubai kuna mizigo ninakwenda kuchukua kisha nitarudi ndani ya wiki moja”
“Mke wangu nimesha kuzoe sijui kama nitapata hata hamu ya kufundisha”
“Mume wangu usijali nitarudi nitakuletea zawadi nzuriii wewe mwenyewe utafurahi”
“Kweli mke wangu?”
“Ndio mume wangu”
“Ok safari njema”

“Mmmm baby naomba uniambiea maneno mazuri”
“NAKUPENDA MKE WANGU,WEWE NDIO USINGIZI WANGU, WEWE NDIO PUMZI YANGU ,WEWE NDIO MALAIKA WANGU NAKUPENDA SANA RAHMA WANGU”
“Hata mimi nakupenda EDDYwangu sina mwanaume mwengine zaidi yako wewe ndio umeyashikilia maisha yangu nipo tayari kufaya chochote ili kukulinda na waizi wanao iba waume za watu”
“Waizi gani?”
‘Mmm mjini hapa kuna mashangingi kibao wanao tafuta vijana wenye mvuto kama wewe nitawatoa roho”
“Baby ikuulize kitu?”
“Niulize baba yangu”
“Hivi ikitokea kuna mtu anakuibia mali yako utampa azabu gani?”
“Eddy nisikufiche nipo hata radhi nimtumie watu wamnyonge na kumtosa baarini ila si kukupoteza wewe mume wangu”
Jibu la Rahma likanifanya nikaae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Halda machoni akionekana kuwa na hamu ya kujua ni kitu gani ninacho kizungumza kwenye simu
“Eddy mbona upo kimya gafla?”

“Hapana mke wangu.Nakupenda”
“Nakupenda pia mume wangu”
   Nikakata simu kisha Halda akanipokonya simu na kuiweka pembeni kisha akaanza kunishika kwenye koki yangu taratibu huku akiichua chua hadi ikasimama kama mlingoti kisha taratibu akaidumbukiza mdomoni na kuanza kuinyonya taratibu,japo Halda anajitahidi kunipagawisha kwa kuinyonya koki yangu ila kichwani mwangu nina muwaza Rahma kwani nafsi yangu ilianza kunisuta kwa kitu ninacho kifanya.Halada akaniomba nilala chini sakuafuni kutokana hapakuwa na kitu hata kimoja,nikalala bila kuwa na hiana yoyote kisha Halda akaikalia koki yangu taratibu na kuaza kuikatikia kiasi kwamba mawazo ya kumfikiria Rahma yakaanza kutoweka kichwani mwangu.

Nikairudisha akili yangu kwenye mechi inayo endelea kati yangu na Halda kiasi kwamba Halda akazidi kutoa vilio na vicheko vya raha na kunifanya mimi niongeze kasi ya mashambulizi katika ikulu yake.Tukaenda mizunguko miwili ya pambano kusema ukweli Halda ana utamu wa tofauti na Rahma ila sikutaka nimsifie kwani ingekuwa ni nafasi nyingine kwake kuniomba mechi kwa wakati mwengine.Tukamaliza na kuingia bafuni na kuoga kwa pamoja kisha tukaanza kufanya utaratibu wa kutafuta gari litakalo kwenda kubeba vitu vyangu na kuvihamishia kwenye nyumba mpya niliyo panga
Tukapata gari aina ya Fuso na tukaanza kupakiza vitu kwenye gari hilo nikisaidiana na vijana wa kwenye gari hilo,nikiwa tunaendelea na kazi ya kuhamisha vitu bibi ninaye ishi jirani naye akaniita
“Naam bibi”
“Mjukuu wangu mbona unaondoka hata kuniaga?”
“Bibi kidogo akili yangu haipo sawa ila ningekuaga”
“Mmmm sio vizuri mjukuu wangu…mmm unahamia wapi?”
“Naamia maeneo ya Raskazoni kule kuna nyumba nimepangisha”

“Ahaa ngoja nikupe maji fulani hivi yatakusaidia ukifika kabla ya kulala unyunyize nje ya kona zote za nyumba yako huku ukiwa unaizunguka kwa mara saba bila kusimama na ufanye hayo yote usiku wa saa sita pale siku inapo gawanyika na hakikisha hakuoni mtu wa aina yoyote”
“Kwanini bibi?”
“Mwanangu hayo maji yanasaidia kufukuza pepo wachafu na vitu vyam ajabu ajabu”
Bibi akaingia ndani kisha akatoka na kichupa cha maji kisha akanikabidhi huku akinihusia niweze kufanya hivyo hata kabla sijalala
“Asante bibi yangu”
“Usiwe na shaka mwanangu basi uwe unakuja kututembelea tembelea”
“Sawa bibi yangu ila ninakuomba usimwambie mtu yoyote sehemu ninayo hamia”
“Sawa mjukuu wangu nakutakia maisha mema ila angalia usije ukawaruhusu wale wezako walio pigana jana usiku ulipo kuwa haupo ikawa ni tatizo katika maisha yako”

Mawakilii wa Sugu Wajipanga Kukata Rufaa

$
0
0
Baada ya mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano jela, wakili wao Peter Kibatala amesema wanakusudia kukata rufaa.

Sugu na Masonga wamehukumiwa adhabu hiyo leo Februari 26,2018 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya, Michael Mteite.

Wawili hao wamehukumiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli, kosa walilotenda kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Desemba 30,2017 eneo la Uwanja wa Shule ya Msingi Mwenge jijini Mbeya.

Kibatala amesema baadaye watatoa taarifa ya nini kinaendelea ila wanakusudia kukata rufaa.

Baada ya hukumu kutolewa viongozi wa Chadema waliokuwepo mahakamani waliingia kwenye magari yao na kuelekea katika ofisi za chama hicho Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Wakati wa usomwaji wa hukumu hiyo, nje ya jengo la mahakama ulinzi uliimarishwa kukiwa na askari waliotanda hadi maeneo ya jirani.

Sugu ni mbunge aliyeweka rekodi ya kupata kura nyingi kuwashinda wabunge wote wa majimbo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Katika uchaguzi huo, Sugu alipata kura 108,566 akiwaacha wapinzani wake kugawana kura 57,690.

Hukumu imetolewa na hakimu Mteite aliyesikiliza shauri hilo baada ya upande wa mashtaka na wa utetezi kukamilisha ushahidi Februari 9,2018.

Jamhuri iliwasilisha mashahidi watano na kielelezo kimoja cha sauti iliyodaiwa kurekodiwa na shahidi wa tano, Inspekta Joram Magova.

Upande wa utetezi uliwasilisha mashahidi sita wakiwamo Sugu na Masonga waliokana kutamka maneno waliyoshtakiwa kuyatoa.

Washtakiwa walitetewa na mawakili Sabina Yongo, Boniface Mwabukusi na Hekima Mwasipu kabla ya kujitoa na kazi hiyo kufanywa na Kibatala.

Kwa mara ya kwanza, Sugu na Masonga  walifikishwa mahakamani Januari 16 na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali Mkuu, Joseph Pande aliyeeleza upelelezi ulikuwa umekamilika na walikuwa tayari kuendelea na usikilizaji.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Waziri Mkuu Aiagiza TAKUKURU Kuwakamata Aliiyekuwa Mkugenzi wa Halimashauri Masasi na Mweka Hazina

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Mtwara Bw. Stephen Mafipa  kumtafuta popote alipo na kumkamata aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Masasi Bw. Fortunatus  Kagoro  kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.

Mbali na Bw. Kagoro pia Kaimu Mweka Hazina Bw. Heri Hamad Afisa Mipango Bi Teresia Nsumba  nao ameagiza wakamatwe na baada ya uchunguzi watakaobainika kwamba hawajahusika na ubadhilifu huo watarudishwa kazini. "Lazima fedha za Serikali zitumike kama ilivyokusudiwa."

Watendaji hao wanadaiwa kutumia sh. bilioni 1.8 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Mji wa Masasi kwa kuchora mchoro na kujenga msingi katika maeneo mawili tofauti.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Jumatatu, Februari 26, 2018) wakati akizungumza na watumishi na Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi na Halmashauri ya wilaya ya Masasi akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Mtwara.

Amesema mwaka 2014  Serikali ilipeleka sh milioni 575 wilaya Masasi kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Halmashauri hiyo na fedha hizo ziliishia kutumika  katika hatua za maandalizi ya awali ikiwa ni pamoja na kutengeneza michoro ya jengo.

Waziri Mkuu amesema 2016/2017 Serikali ilipeleka tena sh. bilioni 1.25 kwa ajili ya ujenzi huo, ambapo Halmashauri hiyo ilienda kutafuta eneo lingine na kufanya tena shughuli zilizokuwa zimefanyika na kuanza ujenzi ambao umeishia katika msingi na fedha zimeisha.

Pia amewataka watendaji hao kutotumia fedha za makusanyo ya ndani kwa ajili ya kuziba pengo la fedha za mradi huo ambazo baadhi yake hazijulikani zilipo na amewaagiza Madiwani kutoruhusu jambo hilo.

"Madiwani msikubali kutumia fedha za makusanyo ya ndani kupeleka kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ambayo tayari Serikali ilishatoa fedha ya ujenzi wake.

Amesema Serikali inahitaji kuona fedha za maendeleo zinazopelekwa katika Halmashauri mbalimbali nchini zinatumika kama ilivyoelekeza na si vinginevyo na Serikai haitakuwa na mzaha kwa mtumishi atakayezitumia vibaya.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATATU, FEBRUARI 26, 2018.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 11 na 12)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA     

Tukatoka na kuanza kutembea kwenye kordo huku K2 akiwa amenishika kiuno, kabla hata hatujafika mlango wa kutokea mama Mariam akatoka chumbani kwake, alipo nitazama akakunja sura yake akionekana kuchukizwa na tukio hilo la K2 kunishika kiuno, hata kabla hatujasonga mbele, mlango wa mbele ukafunguliwa na akaingia Mariam akiwa ameshika kifuko cheusi, aliopo muona K2 akajikuta akiangusha kifuko chake na kumfanya K2 kunitazama na macho ya kuniuliza swali juu ya tukio analo liona kwa wanawake hawa wawili.
  
ENDELEA
   Nikamshika K2 na kutoka naye nje, nikamsindikiza hadi kwenye gari. Nikasalimiana na Hassani aliye anza kunipa pole, juu ya tukio lililo toke.
“Sasa Dany hakikisha kwamba mukianza safari unaipigia simu”
“Sawa bosi”
Nilimuita bosi kutokana na uwepo wa Hassani. K2 akanikonyeza pasipo Hassani kuona kisha akaingia kwenye gari. Wakaondoka eneo la mtaani kwetu, na kuniacha nikilisindikiza gari hilo kwa macho tu, nikageuka nyuma yangu na kufungua geti na kuingia ndani, ila ninakutana na Mama Mariam akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia ndani. Nikapandisha vingazi na kuufwata mlango.
“Naomba kupita”
“Ninamazungumzo na wewe fanya tuzungumze”
“Tuzungumze sasa hivi kwa maana hapa ninajisikia vibaya”
Nilizungumza huku nikimuonyesha mama Mariam majeraha ya kwenye viganja vyangu, akavitazana na nikaiona sura yake ikijikunja kidogo akionekana kuguswa na maumivu hayo.

“Umefanyaje?”
“Nimeungua jana kwenye nyumba ya mzee Jongo”
“Mungu wangu, ilikuwaje sasa?”
Mama Mariam alizungumza huku akisogea pembeni ya mlango, tukasogea mlangoni hapo. Kutokana nyumba yetu imezungushiwa geti sikuona aibu ya kufungua vifungo vya shati langu na kulivua. Nikamuonyesha kidonda nilicho ungua mgongoni.
“Yesu wangu. Dany ni wewe?”
“Ndio”
“Jamani sasa mbona hukuniambia, wakati namba yangu unayo?”
“Nilikuwa hospitali usiku wa kuamkia leo”
“Masikini wee, pole jamani.”
Mama Mariam alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa simanzi ndani yake. Nikalivaa shati langu naamini hata lengo la mama Mariam kuweza kuniuliza juu ya K2 kwa hali ya ukali imemuisha.

“Sasa Dany umekula?”
“Hapana”
“Ngoja nimuambie Mariam akuhesabu chakula, kwa maana anapika wali maharage”
“Ahh sawa”
“Alafu Dany yule uliye toka naye ni nani kwako?”
“Yule ni bosi wangu, amekuja kunitembelea na kuniletea barua ya mapumziko”
“Ahaaa kwa maana nilihisi ni mwanamke wako alivyo kuwa amekushika kiuno”
“Hapana sio mwanamke wangu”
“Basi nenda kapumzike, badae nitakuja ndani kwako”
“Sawa”
Nikatangulia kuingia ndani na kumuacha mama Mariam akiwa amesimama hapo kibarazani. Nikaingia ndani kwangu, cha kwanza kukifanya ni kuanza kuzihesabu pesa hizo alizo nipa K2. Nikajikuta furaha ikunitawala, taratibu nikaanza kupanga nguo chache ambazo ninaweza kwenda kuzitumia nyumbani Tanga nitakapo kwenda. Nilipo maliza kuziweka kwenye kibegi kidogo, nikatoa pesa kadhaa na kuziweka kwenye begi hilo kisha nyingine ninaziweka kwenye suruali ambayo nitasafiria kesho.

    Muda ukazidi kwenda, huku nikiwa ninatazama miziki kwenye luninga. Majira ya saa mbili mlango ukagongwa na ninaisikia sauti ya Mariam, nikamruhusu aweze kuingia ndani. Akaingia akiwa amebeba sahani iliyo jaa ubwabwa na maharage, huku pembeni akiwa ameweka samaki mkubwa aliye kaangwa na kachumbari.
“Karibu chakula Dany”
“Asante, mbona umenijazia chakula”
“Nataka ule ushibe, usiku nitakuja”
Mariam alizungumza huku akitabasamu. Akachota maji kwenye ndoo iliyopo humu ndani kwangu kisha akachukua beseni na kutaka kuninawisha.
“Nipatie kijiko tu si unaoviganja vyangu jinsi vilivyo”
“Nimeviona ila nawa kidogo, utamlaje huyo samaki”
“Haya mwaya”
Akaninawisha mkono wa kulia, kisha akanipatia kijiko. Nikiwa ninachota wali huo, akanipokonye kijiko akakishika na kunilisha, kisha akakata kipande cha samaki akakiweka mdomoni mwake na kunisogezea mdomoni mwangu, sikuwa na jinsi zaidi ya kukipokea. Kwa mara ya kwanza Mariam akaninyonya mate kwa ridhaa yake.

“Ngoja nitoke mama asije akanifikiria vibaya bure”
“Poa ila leo usiku usije, si unajua tena sipo vizuri”
“Mmmm jamani Dany?”
“Yaa usije naomba nipumzike, kesho nina safari ya kwenda Tanga kusalimia”
“Kwa hiyo hadi urudi ndio tutafanya jamani?”
“Usijali sikai sana”
“Haya mwaya
Marim akanibusu tena mdomoni na kutoka chumbani kwangu, nikashusha pumzi kidogo kwa maana mchezo ambao Mariam anataka kuufanya ninahisi ipo siku mambo yanaweza kuwa mabaya, pale mama yake akifahamu na anaonekana ni mama mwneye wivu sana na mpenzi wake japo hatujayaanza kwa makubaliano.
  Nikaendelea kula chakula taratibu hadi nikakimaliza, nikabeba sahani hiyo na kutoka nayo nje, nikamkuta Mariam anaosha vyombo.

“Asante chakula chako kitamu sana”
“Asante”
Mariam alizungumza huku akinipokea sahani hiyo. Akanikonyeza na mimi nikaondoka na kumuacha aendelee na kazi yake. Nikaingia ndani kwangu na kukuta mwanga wa simu yangu iliyopo mezani ukizima ikiashia kwamba kuna mtu amepiga au kutuma meseji, nikiwa nje. Nikaichukua na kuminya pembeni na kuifanya simu kuwaka mwanga wake, nikaingiza namba za siri ninazo ziweka kwenye simu yangu, ilipo waka nikafungua ujumbe wa meseji ambao unatoka kwa mama Mariam.
(DANY NITAKUJA SAA SITA USIKU USIFUNGE MLANGO EHEE)
(Sawa)
Nikamjibu na simu yangu kuirudisha mezani, nikavua nguo zangu na kujifunga taulo. Nikachukua sabuni yangu na kutoka ndani kwangu. Niakakutana na Mariam mlangoni akiwa amebeba dishi la vyombo.
“Unakwenda kuoga?”
Aliniuliza kwa sauti ya chini huku akitazama nyuma kama kuna mtu
“Ndio”

Shahidi: Wema Sepetu Alinambia anavuta Bangi kwa starehe

$
0
0
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea na kesi inayomkabili muigizaji Wema Sepetu ambapo Ofisa wa Polisi WP Mary ameieleza mahakama kuwa mnamo Februari 4, 2017 Wema alimwambia anatumia bangi kwa ajili ya starehe na si kuuza

WP Marry ambaye ni shahidi wa tatu ameyaeleza hayo wakati akiongozwa na Wakili wa serikali Costantine Kakula, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.

WP Marry amedai kuwa Wema alimueleza maneno hayo wakati walipokuwa njiani kuelekea nyumbani kwake kumkagua.

Amedai kuwa February 4, 2017 aliagizwa kumtoa Wema Mahabusu na kwenda kumfanyia upekuzi nyumbani kwake akiwa na OC CID na Maofisa wengine wa Polisi.

Amedai kuwa wakiwa wanajiandaa kuondoka Central Polisi kuelekea kwa Wema Bunju Basihaya, wakiwa kwenye gari kuelekea huko alimuuliza Wema kuhusu tuhuma zinazomkabili kwamba anahusika na biashara ya Dawa za kulevya au kutumia.

Amedai kuwa Wema alijibu “Sijishughulishi na kuuza ila natumia bangi kama starehe”.

WP Marry amedai kuwa baada ya kumuuliza Wema alimwambia mara yake ya mwisho kuvuta Bangi ilikuwa Jumatatu ambapo swali hilo aliulizwa February 4,2017.

Alieleza kuwa walipofika nyumbani kwa Wema waligonga geti na kufunguliwa na mdada wa kazi ambapo walivyoingia ndani walikuta kuna mdada mwingine wa kazi.

WP Marry amedai kuwa kabla ya kuingia ndani Wema aliomba kumpigia simu dada yake ili awepo wakati wa kufanya ukaguzi ambapo dada yake alifika na kujitambulisha kwa jina la Nuru Sepetu.

WP Marry ameeleza kuwa wakati Wema anampigia simu dada yake alitoka dada mmoja wa kazi kumfuata mjumbe ambapo alikuja naye na kujitambulisha kwa jina la Steven Ndaho.

Amedai baada ya dada yake Wema kufika alitaka kuwapekua kabla ya kuingia ndani ambapo Nuru aliwapekuwa wote kabla ya kuingia ndani.

Amedai baada ya kumaliza upekuzi walirudi Central polis, February 8,2017 saa nne asubuhi alipewa maelekezo na Inspekta Wille kwamba aende na Wema kwa Mkemia Mkuu wa serikali kwa ajili ya kuchukuliwa sampuli ya mkojo.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba aliahirisha kesi hiyo hadi March 12 na 13, 2018 kwaajili ya kuendelea na ushahidi.

Riwaya: SIKU YANGU- Sehemu ya 03 na 04

$
0
0
Mtunzi: YOZZ PIANO MAYA
***ilipoishia***

wachawi wachawi wenzake walimpokea kwa furaha...bi'chenda alizipiga hatu mpaka kwa mkuu wa wachawi na kumkabidhi mtoto huyo mchanga sherehe kubwa ikafanyika usiku huohuo....walicheza ngoma za kichawi huku wakila nyama za binadamu....ghafla mkuu wa wachawi akapaza sauti na kusema,,"Tusikilizane......kijiji kizima kikawa kimya kisha akazipiga hatua huku kambeba doto...akapanda na kusimama juu kwenye mgongo wa binadamu waliyemchukuwa kichawi usiku huo kwaajili ya kumfanya jukwaa la kumkuu wa wachawi..kisha akasema...........

***Endelea***
Siku ya leo,,,ni siku ambayo itakuwa ni yenye baraka kubwa katika kijiji chetu....mtoto huyu mchanga....ameteuliwa na miungu ya kuzimu....wachawi wengine wakaanza kupiga makofi huku wakiongea Lugha ambayo haina maneno ya kibantu..
(lugha isiyokuwa rasmi.haieleweki)..kisha mkuu wa wachawi akachukua kisu pamoja na sumu ya nyoka iliyochanganywa na dawa ya kichawi..akamchana doto kiunoni kwa kutumia kisu hicho kisha..akachukua ile sumu ya nyoka iliyochanganywa na dawa ya kichawi akampaka kwenye jeraha hilo kililokuwa likitoa Damu....

kutokana na maumivu makali Doto alilia kwa mfululizo bila kunyamaza....kisha mkuu wa wachawi akamteuwa mwanamke mmoja aliyekuwa anamtoto anayemnyonyesha miongoni mwa wachawi wa kijiji hicho..(GAMBOSHI) akamkabidhi Ili awe anamnyonyesha Doto pamoja na kumlea... mlaka atakapofikisha umri wa kuitumikia kazi ya miungu wa kuzimu rasmi..baada ya kumaliza sherehe hiyo..wachawi walitawanyika,,,kila mmoja alipanda kwenye ungo wake na kutoweka kimiujiza...
Bi'chenda ajajitokeza chumbani mwake...akavua ile kaniki nyeusi..pamoja na irizi zake mbili akaziweka kwenye kimkoba chake,,kisha akaweka ndani ya begi na kufunga zipu ya begi..akapanda kitandani akaanza kuutafuta usingizi..

******************
asubuhi palipokucha alionekana Rose akiwa ameketi kitandani huku macho uamevimba kutokana na kulia usiku kucha....Rose hakuweza kabisa kuoata usingizi usiku wa jana...Seba alikuwa na kazi kubwa ya kumbembeleza mkewe usiku kucha...wlikesha bila kutarajia.....
ghafla mlango wa chumbani ukagongwa......seba akanyanyuka,,akazipiga harua kwenda kufungua mlango...... alipofungua alimuona mama yake Bi'chenda akiwa amebeba beseni lililokuwa na maji ya moto ndani yake kwa ajili ya kumkanda Rose sehemu zake za siri.... seba aliamua kutoka nje ya chumba ili kumpisha mama yake akamkande mkwe wake..

Bi'chenda alijifanya kumbembeleza rose akimsihi anyamaze huku akisema,,"nyamaza mwanangu ni mipango ya Mungu...atakujalia utapata watoto tena usilie.... Rose alimtazama mama mkwe wake kwa huzuni huku akionekana kufarijika na maneno hayo akasema"asante mama yangu...kisha akavua nguo na kulala chali kitandani....bi'chenda akaanza kumkanda..

Wahamiaji 83 wa Ethiopia wapandishwa kizimbani

$
0
0
Wahamiaji 83 raia wa Ethiopia na Mtanzania mmoja mkazi wa Tukuyu wamefikishwa Mahakama ya Mkoa Iringa huku wahamiaji hao wakituhumiwa kuingia nchini bila kibali.

Akisoma mashtaka hayo leo Februari 26, 2018, wakili wa Serikali, Godfrey Ngwijo amesema raia hao wanakabiliwa na shtaka la kuingia nchini kinyume na kifungu cha sheria namba 45(i) kifungu (1) ,(2) kilichofanyiwa marekebisho 2016.

Ngwijo amesema Februari 23, 2018 saa moja jioni katika kijiji cha Mazombe wilayani Kilolo, wahamiaji 83 wasio na vibali walikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi kwa kuingia nchini kinyume na sheria ambapo dereva wa lori walilopanda  hakupatikana baada ya kukimbia.

Amesema wahamiaji hao walikamatwa wakiwa katika hali mbaya kutokana na kukaa sehemu ya nyuma ya lori hilo ambako hakuna hewa ya kutosha, joto kali na kutokula chakula kwa muda mrefu.

Baadhi ya wahamiaji hao leo wamefikishwa hospitali ya mkoa kupata matibabu.

Wakili huyo amesema kati ya waliofika mahakamani kusomewa mashtaka yao, watatu  walishindwa kufika kwa sababu bado wako hospitali wanaendelea na matibabu.

Mtanzania aliyekutwa katika gari hiyo, Hassan Mwalusanjo akituhumiwa kusafirisha wahamiaji hao kwa kutumia lori mali ya Gabriel Mwakyambiki mkazi wa Tukuyu kinyume na sheria, alikana kosa hilo.

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, David Ngonyani ameahirisha kesi hiyo hadi Machi 2, 2018.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha apata ajali

$
0
0
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo  amepata ajali  baada ya gari lake kupasuka tairi na kupinduka

Kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha, Yusuph Ilembo amesema ajali hiyo ilitokea kati ya eneo la Mdori na Minjingu wilayani Babati  jana  Februari 26  saa nane mchana.

Amesema Kamanda Mkumbo ambaye alikuwa anatoka mkoani Singida kurejea Arusha, ameumia kidole cha mkono wa kushoto na michubuko iliyotokana na kukatwa na vioo.

Amesema gari lilipata ajali baada ya kupasuka tairi la nyuma upande wa kushoto.

Ilembo amesema Mkumbo baada ya kufikishwa Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, aliingizwa chumba cha upasuaji moja kwa moja.

Pia, katika ajali hiyo dereva wa kamanda Mkumbo, Staff Sajent Silvanus aliumia maeneo ya paja.

Mganga mfawidhi wa Mkoa Arusha, Dk Omar Chande amesema  majeruhi wote wanapatiwa matibabu.

Hata hivyo, hakuwa tayari kuelezea hali za majeruhi hasa kwa maelezo kuwa uchunguzi wa kutabibu unaendelea.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa pia wamefika  hospitali ya mkoa kumjulia hali Mkumbo na majeruhi wengine.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya February 27

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Kamanda Mambosasa Amtaja Mtu Hatari Na Katili Sana Kwa Wanwawake

$
0
0
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Rajabu Mohamed(25) ambaye anatuhumiwa kujifanya Freemason na kisha kufanya kila aina ya ukatili kwa wananchi hasa wanawake.

 Akizungunza  jana,Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Sar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema kuwa mtu huyo amekuwa akifanya matukio hayo kwa muda mrefu na sasa wamefanikiwa kumkamata.

Mtuhumiwa huyo amedaiwa kuwa kwa muda mrefu amekuwa akifanya matukio ya kikatili kwa wanawake,kufanya unyang’anyi wa mali na kutoa vitisho kwa anaowafanyia ukatili huo kuwa wakitoa taarifa atawanyonya damu na kukata viungo vya sehemu za siri huku akiwafanya kila aina ya unyanyasaji wa kijinsia.

Mambosasa amesema kuwa baada ya kumhoji mtu huyo amekiri kufanya kila aina ya unyanyasaji ,kupora fedha,kuchukua kadi za benki na kutaka namba za siri,kufanya matukio ya ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake.

“Huyu mtu tumemuhoji anasema kwa sasa ameacha,ukimuangalia sura yake ni ya binadamu lakini ni mnyama wa hali ya juu kabisa kama mnyama wa Seronera .Amefanya mambo mengi ya kishenzi.

” Tunaendelea na taratibu nyingine na baada ya hapo atapelekwa mahakamani ili ajibu tuhuma za makosa ambayo yanamkabili ,Sheria tunataka ichukue mkondo wake,”alisema Kamanda Mambosasa.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images