Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Tamko la Umoja wa Ulaya juu ya matukio ya Utekaji na Mauaji yanayojiri Tanzania.....Waomba uchunguzi wa haraka

$
0
0
Umoja wa Ulaya (EU) umetoa tamko kuhusu matukio ya utekaji na mauaji yanayotokea nchini, ukiitaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina.

Taarifa ya umoja huo iliyotolewa  jana Februari 23, 2018 inaeleza kuwa imetolewa na ushirikiano wa mabalozi wa nchi wanachama wa umoja huo wenye uwakilishi Tanzania na kuungwa mkono na mwakilishi na mabalozi wa Norway, Canada na Uswisi.

“Tunashuhudia kwa wasiwasi mwendelezo wa matukio ya hivi karibuni yanayotishia nidhamu ya kidemokrasia na haki za Watanzania, katika nchi iliyojizolea umaarufu mkubwa duniani kwa utulivu, amani na uhuru.”

“Tumesikitishwa na kifo cha mwanafunzi aliyepigwa risasi mwisho wa juma lililopita Akwilina Akwilini, anayeombolezwa nchi nzima. Tunakaribisha wito wa Rais John Magufuli wa uchunguzi wa haraka,” inaeleza taarifa hiyo.

Katika taarifa hiyo EU imetoa wito wa uchunguzi wa kina kwa vifo vyote vya wanaharakati wa kisiasa na haki za binadamu.

“Tunatoa pole za dhati kwa familia zao zote. Tuna wasiwasi na ongezeko la ripoti za ukatili katika miezi ya hivi karibuni, kama vile, jaribio lililohatarisha maisha ya mbunge Tundu Lissu; kupotea kwa watu kama mwandishi wa habari Azory Gwanda na mashambulio yaliyopoteza uhai wa viongozi wa Serikali,” inaeleza EU.

Umoja huo umesema pia yametokea matukio yaliyowahusisha wawakilishi wa vyombo vya usalama na wananchi Mkoa wa Pwani ndani ya miaka miwili iliyopita.

“Tunaungana na Watanzania katika kuwaomba wahusika wote, kutunza amani na usalama wa michakato ya kidemokrasia, watu wake na kuheshimu utawala wa sheria bila udhalimu.”

Akwilina alipigwa risasi Februari 16,2018 eneo la Kinondoni Mkwajuni, wakati Polisi wakiwatawanya wafuasi wa Chadema waliokuwa wakielekea ofisi za msimamizi wa uchaguzi wa ubunge Jimbo la Kinondoni kudai viapo vya mawakala wao.

Lissu ambaye ni mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), alipigwa risasi Septemba 7,2017 nje ya makazi yake mjini Dodoma. Kwa sasa yupo nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu.

Azory ni mwandishi wa habari wa kujitegemea wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), aliyetoweka tangu Novemba 21, 2017 Leo ametimiza siku 95 tangu alipopotea.

Polisi yadai mauaji ya diwani wa Chadema ni ya kulipiza kisasi

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema mauaji ya diwani wa kata ya Namwawala kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godfrey Luena huenda yametokana na ulipizaji kisasi wa mauaji ya mwaka 2016.

Luena aliuawa juzi usiku baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake wilayani Kilombero.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei alisema jana kuwa watu wasiojulikana walizima umeme nyumbani kwake na kumvamia kwa mapanga na kwamba baada ya mauaji hayo hawakuchukua kitu chochote.

“Marehemu amejenga pembezoni kidogo ya msitu," alisema Kamanda Matei. "Baada ya mauaji watu hao walikimbilia msituni".

"Polisi wanaendelea na uchunguzi zaidi na kiini cha tukio hili Jeshi la Polisi linasema ni kisasi. Baada ya wauaji hawakuchukua kitu chochote.”

Kamanda Matei alisema taarifa za awali zinahusisha kifo hicho na kile cha mkazi mwingine wa Namwawala, Keenan Haule, kilichohusishwa na ushahidi na mgogoro wa mashamba ambao kesi yake inaendelea Mahakama Kuu.

“Mwanzoni mwa mwaka 2016 wananchi wa Namwawala walikuwa na ugomvi na Bodi ya Sukari kuhusiana na mashamba," alisema Kamanda Matei, na "marehemu akiwa diwani wa eneo lile alisimamia kudai mashamba hayo.

"Kuna kesi iko Mahakama Kuu inaendelea hadi sasa."

Kamanda Matei alisema wakati huo marehemu Luena aliwaambia wananchi kuwa marehemu Haule ambaye aliuawa 2016 ndiye msaliti wao na kwamba kama angefariki wangeweza kupata mashamba wanayogombea.

"Muda mfupi baadaye Kenan (Haule) aliuawa kwa kukatwa na mapanga tukio ambalo lilitokea kama ilivyotokea kwa marehemu Luena.”

Kamanda Matei alisema uchunguzi wa shauri hilo alilodai ni baya kutokea kwa mkoa wa Morogoro bado unaendelea sambamba na kuwasaka watuhumiwa wa tukio hilo.

Alitoa wito kwa watu wanaofahamu taarifa kuhusiana na mauaji hayo kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola ili waweze kuchunguza na kuchukua hatua mara moja.


Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Ukaguzi Magari Binafsi Kuanza tarehe 1 Machi 2018

$
0
0
Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ametangaza leo kwamba kuanzia tarehe 1 Machi 2018 kuwa utaanza ukaguzi wa magari binafsi nchi nzima na kwamba kila gari litalipia stika ya ukaguzi ambayo gharama yake ni Shilingi elfu tatu.

Akizungumza jana na wanahabari, Mh. Masauni alisema kwamba Wamiliki wa magari madogo wanatakiwa kupeleka magari yao katika vituo vya polisi ili yafanyiwe Ukaguzi kama yanastahili kuendelea kuwepo barabarani.

Aidha Mh. Masauni amewaonya maaskari kuhusu zoezi hilo kwa kuwaambia kwamba "Askari yoyote atakayetumia nafasi yake kutoa stika ya gari bila kulifanyia ukaguzi na ilihali halina vigezo vya kupewa stika nataka niwaambie kuwa huu si wakati wake, zama zimebadilika".

Pamoja na hayo Mh. Masauni aliongeza kwamba "Nataka madereva  wa pikipiki ambazo zitakamatwa na kukutwa zimesajiliwa kwa majina ya kampuni badala ya majina binafsi wachukuliwe hatua mara moja".

Kwa upande wake Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Fortunatus Musilimu alisema katika Ukaguzi wa magari madogo utakaoanza mwezi ujao, mtu atakaekiuka na kukataa kupeleka gari lake kufanyiwa ukaguzi atakamatwa na sheria itachukua mkondo wake.

Benki Kuu Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Taarifa Zinazosambaa Kwenye Mitandao Ya Kijamii

Tundu Lissu amjibu Jaji Mutungi

$
0
0
Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu amefunguka na kumtaka Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mtungi kujitafakari, kwani amedai kuwa Jaji huyo amekuwa ni mpofu kwa mambo mabaya wanayofanyiwa watu wa upinzani nchini.

Lissu amesema hayo kufuatia Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuwaandikia barua CHADEMA ambayo anadai inatuhuma mbalimbali pamoja na vitisho mbalimbali

"Nimesoma barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, yenye tuhuma na vitisho vingi dhidi ya CHADEMA, bila kutoa ushahidi wowote na kwa kutegemea taarifa za upande mmoja tu

"Msajili Mutungi ameituhumu CHADEMA kwa kufanya siasa za kibabe na vurugu na kukiuka Sheria ya Vyama vya Siasa na Kanuni za Maadili ya Vyama vya Siasa. Msajili Mutungi anastahili kujibiwa hadharani na kukumbushwa mambo kadhaa. Inaelekea amejisahau sana au anafikiria Watanzania ni wajinga wasioelewa mambo yake.

"Msajili wa Vyama vya Siasa amekosa sifa na uadilifu (moral authority) ya kunyooshea kidole CHADEMA au chama kingine chochote cha upinzani kuhusiana na jambo lolote linahusu Sheria ya Vyama vya Siasa na kanuni zake. 

"Tangu 2015 nchi yetu imeshuhudia ukiukwaji mkubwa wa Sheria ya Vyama vya Siasa ukifanywa. Mikutano ya hadhara na maandamano ya amani, ambavyo ni haki ya vyama vya siasa kwa mujibu wa Sheria hiyo, imepigwa marufuku bila uhalali wowote. Msajili Mutungi hajawahi kukemea ukiukwaji huo wa sheria wala kutetea haki ya vyama vya siasa

"Viongozi wa vyama vya upinzani, hasa CHADEMA, wameuawa, wametekwa nyara na kupotezwa, wamepigwa risasi katika majaribio ya kuuawa, wameteswa, wamekamatwa na kushtakiwa kwa kesi za uongo. 

"Msajili Mutungi amekuwa bubu na kiziwi asiyesikia wala kukemea uonevu na ukandamizaji huu dhidi ya vyama anavyovisimamia. CCM na serikali yake zimetoa hongo kurubuni madiwani, wabunge na viongozi wengine wa vyama vya upinzani kujiuzulu nafasi zao. 

"Yote ni makosa ya maadili kwa mujibu wa sheria. Msajili Mutungi hajawahi kuliona hilo."Ameandika Tundu Lissu

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Makubaliano waliyoyafikia wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki

$
0
0
Mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki umemalizika jioni  tarehe 23 Februari, 2018 katika hoteli ya Munyonyo mjini Kampala nchini Uganda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amehudhuria mkutano huo pamoja na Marais wengine Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda, Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta wa Kenya, Mhe. Salva Kiir Mayardit wa Sudani Kusini na Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza amewakilishwa na Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe. Gaston Sindimwo na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame amewakilishwa na Waziri wa Miundombinu Mhe. James Musoni.

Mkutano huo umeongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Yoweri Kaguta Museveni na kwa pamoja Waheshimiwa Marais wamemteua Mhe. Jaji Charles Ayako Nyachae kuwa Jaji wa Mahakama ya Awali ya Afrika Mashariki na Mhe. Jaji Faustin Ntezilyayo kuwa Naibu Jaji Mkuu wa Mahakama ya Afrika Mashariki kuanzia tarehe 01 Julai, 2018.

Pia wameamua Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa na Naibu Makatibu Wakuu wawili badala ya mapendekezo ya kuwa na Naibu Makatibu Wakuu watano.

Aidha, wakuu wa nchi wamezindua mkakati wa tano wa maendeleo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaoanzia 2016/17 hadi 2020/21, wameamua kuendelea na majadiliano kuhusu mkataba wa ubia wa kibiashara kati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na Umoja wa Ulaya (EPA) na wamepokea ripoti ya maendeleo ya majadiliano ya kutafuta amani ya mgogoro wa Burundi kutoka kwa Mratibu wa mazungumzo hayo Mhe. Rais Mstaafu Benjamin Willian Mkapa.

Halikadhalika wakuu wa nchi wamewahimiza wahusika wote katika mgogoro wa Burundi kushirikiana na Mratibu na Msuluhishi wa mgogoro huo ili kufanikisha mazungumzo hayo.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Kampala
23 Februari, 2018

Mpenzi Wangu Ibilisi ( Simulizi ya Kweli) Sehemu ya 03

$
0
0
Mwandishi: Grace Godfrey Rweyemam
Nilifikiri kuwa kwa kesi yake, angehitaji mchungaji au mtumishi wa Mungu mwenye nguvu na uzoefu wa kushughulika na nguvu za giza na nguvu za kichawi. Akiendelea kuongea, akilini alinijia kaka yangu mmoja ambaye ni mchungaji, nikakumbuka katika uzoefu wake wa kuombea watu wanaosumbuliwa na mambo mbalimbali amewahi kukutana na kesi za mapepo na wachawi mara kadhaa.

Lakini nilianza tena kuwaza kama muhusika angekubali habari yake aambiwe mtu mwingine yeyote. Mazungumzo yetu yalikuwa siri kubwa ambayo nina hakika hangetaka yajulikane kwa watu. Aliamua kuniamini mimi pekee, na kumjulisha mwingine kwake ilikuwa kama kuyaweka maisha yake hatarini.

Baada ya maongezi ya muda mrefu, huku nikimsikiliza neno kwa neno, nilianza kupangilia namna ya kumjibu. Nikachukua kama sekunde kadhaa nikitafakari, kisha nikamwambia, “Unaweza kuniamini?” Nilianza kwa kumuuliza, akanijibu ndio huku akionyesha kutafakari kwanini nimemuuliza hivyo.

Niliisoma akili yake ikijiuliza inakuaje namuuliza swali kama hilo ilhali tayari ameniamini sana na ndio sababu ya kuja kuongea na mimi. Ni kweli aliniamini, lakini nilimtaka aniamini zaidi ya hapo. Nilimtaka aniamini kwa maamuzi niliyotaka kuyafanya, aamini kwamba nitamuweka kwenye mikono salama ya mtu atakayeweza kumsaidia zaidi yangu.

Nilianza kumueleza kwa kirefu kuhusiana na kaka yangu ambaye ndiye mtu nilifikiria angemsaidia. Unajua hata inapokuja kwenye suala kama ajira, kabla ya kumuunganisha muajiri kwa mtu anayetafuta kazi, ni vema ukahakikisha ameelewa na kukubali vigezo vya huyo ambaye unataka aajiriwe kwanza. Sasa hapa ilikuwa ni zaidi ya kazi ya kuajiriwa, bali mustakabadhi wa maisha ya mtu, ilikuwa ni muhimu sana kwamba nimuunganishe na mtu ambaye sitamfanya ajutie kujiweka wazi kwangu. 

TANGA RAHA- Sehemu ya Kumi na Tatu ( 13 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Kabla muhudumu wa mapokez kunijibu Halda akashuka kwenye ngazi za hotel hiyo zinazo elekea ghorofani.Akaniita kwa kutumia ishara.Nikamfwata na tukaanza kupanda ngazi kuelekea gorofani
“Tunakwenda wapi…..?”
“Shemeji njoo nikuonyeshe kitu”
“Kitu gani?’
“Nataka nikakutambulishe kwa mumu mwenzio”
   Sikuwa na wasiwasi sana japo kwa mbali msongamano wa mawazo ukaanza kunitawala ila nikajipa moyo kuwa yupo na mpenzi wake kutokana amekaa lisaa zima akiwa ndani.

ENDELEA
   Tukaingia ndani ya chumba kilichokuwa na namba 115 ila cha kunishangaza sikumkuta mtu wa aina yoyote ikanilazimu nimuulize
“Huyo shemeji yangu yupo wapi?”
“Shem kwani una tatizo gani wewe subiri utamuona”
“Mmmm haya mwaya”
   Nikakaa kwenye sofa lililopo ndani ya chumba hicho na Halda akaingia bafuni baada ya muda akatoka akiwa amevaa chupi na sidiri na kunifanya nistuke
“Shemeji mbona hivyo tana”
“Najiandaa kwa ajili ya shemeji yako akija anikite katika hali nzuri”

“Mmmm lakini si kukaa hivyo mbele yangu tambua kuwa wewe ni shemeji yangu”
“Jamani shemeji kwani tatizo lipo wapi kwani zikikupanda si nitakushusha mimi mwenyewe”
     Nikakaa kimya na kujikuta nikianza kumtathimi kuanzia chini miguuni hadi kichwani kwake jambo lililo pelekea koki yangu kusimama.Halda akajilaza kitandani kifudi fudi huku miguu yake akiichezesha chezesha kwa nyuma na kulifanya kalio lake dogo kiasi kuanza kutetemeka tetemeka.Nikasimama na kuanza kupiga hatua kuelekea katika mlango wa kutokea
“Shem unakwenda wapi?”
“Kwenye gari huyo shemeji yangu akija utakuja kunistua kwenye gari”
  Halda akasimama haraka kitandani na kuja kusimama katika mlango na kuziba njia ili nisiufungue  mlango
“Halda nakuomba nitoke humu ndani”
“Eddy sitaki nafanya kila kitu ili kukuashiria kuwa na mimi nahitaji kitu ulichompa Rahma”

“Lakini shemeji Rahma si ndugu yako?”
“Hata kama cha ndugu kizuri tunakula pamoja”
“Una maaana gani?”
    Halda akanirukia na kunikumbatia huku akiwa ananing’inia katika shindgo yangu huku akinilazimisha nimnyonye denda
“Shem unaiumiza shingo yangu”
   Halda hakunielewa hadi akafanikiwa kuzinyonyz lipsi zanu yapo mwanzoni nimekuwa mbishi ila kila muda unavyo zidi kwenda nikajikuta nikilainika taratibu nikaipitisha mikono yangu kwenye kiuno chake na kukishika vizuri kiasi kwamba muhimili wake wa kuning’inia kwenye shingo yangu ukapatikana kwenye mikono yangu.Nikambeba na kumuweka kitandani huku na mimi nikivua nguo moja aada ya nyingine hadi nikibakiwa na boxer
“Halda tutafanya siku nyingine sijisikii vizuri”
   Nlizungumza huku nikishuka kitandani kwani raho yangu ilinisuta kwa kitu ninacho mafanyi Rahma kwani sio haki kabisa.Halda akanivuta boxer yangu ila kwa nguvu nilizo nazo nikaweza kuitoa mikono yake

“Eddy sikubali uondoke uniache na nye** zangu”
Halda alizungumza kwa hasira hadi akabadilika rangi ya mwili wake na kuwa mwekundu kiasi na kuendelea kuning’ang’ania mkono wangu
“Halda nakuomba niache siwezi kumsaliti Rahma kumbuka nyinyi ni ndugu na Rahma hana kosa lolote nililo mfanyi hadi mimi nichukue uamuzi wa kumsaliti”
   Nilizungumza kwa ukali ila Halda hakunielewa kabisa na kitu alicho zidi unikasirisha ni kuanza kulazimisha kuishika koki yangu.Nikampiga kibao kimoja cha nguvu kilicho muangusha Halda chini na akatulia tuli huku akiwa amejikunja.Nikavaa nguo zangu haraka haraka kabla sijatoka nikaona nimtazame Halda kwani wakati wote nikiwa ninavaa nguo zangu hakujitingisha wala kustuka.Mapigo ya moyo yakaanza kunidunda baada ya kumkuta Halda akivuja damu za puani

“Mungu wangu nimeua”
    Nilijikuta nikianza kuropoka huku nikirudia mara kwa mara kumtazama Halda,Nikapata wazo la kuondoka ndani ya chumba na nikaanza kupiga hatua kuufwata mlango kitendo cha kufika mlangoni na kuufungua nikakutana na muhudumu akiwa amabeba sinia la lenye chakula huku mkononi akiwa na mzinga wa whyne
“Nliagizwa na dada mmoja wa hichi chumba nilete chakula”
“Sawa”
Nikampokea vitu alivyo vibeba na sikuhitaji aweze kuingia ndani kuhofia kumuona Halda
“Ila bado hajanilipa pesa”
“Unamdai kiasi gani?”
“Kwa ujumla vyote ni elfu hamsini na sita”
Ikanilzimu kumpa muhudumu vitu vyake anishikie ili niweze kutoa pesa kwenye wallet.Nikatoa noti sita za shilingi elfu kumi kumi na kumpa muhudumu
“Chenchi utakaa nayo”
Nikavichukua vitu vyangu na kuufunga mlango kwa funguo na kuviweka mezani,nikamtzama Halda kwa muda kisha nikapata wazo la kumyanyu na kumuweka kitandani.Nikamfuta damu za puani kwake kwa kutumia kitambaa cahngu na nikamfunika kwa shuka vizuri ila hata nikiondoka nimuache katika mazingira mzuri

 

Zari atoboa siri rasmi kuachana na Diamond, amwanika vibaya “kukumbatiana na ma X kwenye public”

$
0
0
Kwa mara ya kwanza Zari the Bossy Lady ambaye ni mama watoto wa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platinumz amefunguka kuhusu sababu za kuachana na C.E.O huyo wa kundi la Wasafi Classic Baby (WCB), amesema Diamond hakutegemea alichokipost kwani siku kabla ya kuachana walikuwa wamechuniana kwa takribani muda wa wiki tatu mfululizo, huku akiwa ameifungia simu yake, ”Block”.

Zari akiwa nchini Uingereza amepata nafasi ya kuzungumza na BBC  Swahili na kufunguka kila kitu kuhusu ishu nzima mpaka kufikia maamuzi hayo ya kutangaza kwenye akaunti yake ya instagram kuachana na Diamond katika siku ya wapendanao.

‘’Kwanza I didn’t think ali expect my post he didn’t see it coming ,nimekaa sana mda mrefu nikajifikiria vitu vingi nikasema unajua ni nini I need to post this, I  need to end this..tulikuwa tuna jaribu ku move forward kuhusu hiyo skendo eti amepata mtoto, lakini leo unasikia hivi unaona vile eti kukumbatiana na ma x kwenye public ni vitu vya kunidharirisha vitu vya kunifanya niwe very disrespected na watoto wangu’’, amesema Zari.

Zari amesema saivi hata akitembea kwa miguu kwenda kumuomba msamaha hawezi kumsamehe kwa sababu Imani juu yake imekwisha, na amesema kwa sasa hahitaji kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingine.

Ameongezea kuwa wale wanao dhani ni kiki hawajaachana Zari amesema ni kweli wameachana na tangu kusambaa picha za Diamoni akikumbatiana na  EX wake ambaye ni Madam  Wema Sepetu, Zari amesema alimzimia simu na hawakuweza kuongea kwa wiki tatu na kisha akaamua kuchukua uamuzi wa kuachana nae.

Zari pia amezungumzia mipango yake ya hivi sasa ambapo amesema atakuwa anafanya vitu vingi ikiwemo kuendesha biashara na kazi zake ambazo amekuwa akifanya ikiwemo kusimamia shule yake iliyopo Afrika Kusini, kufanya matangazo na hivi karibuni anakuja na kipindi chake sehemu ya pili ya show yake ijulikanayo kama reality show.

Tazama Video hapa chini

Meli nyingine 19 zapigwa faini ya mabilioni na Serikali

$
0
0
Na John Mapepele
Serikali imezipiga faini ya bilioni kumi na tisa  meli 19 ikiwa ni shilingi bilioni moja kwa kila meli na kuamuliwa kulipa faini hiyo ndani ya wiki mbili kwa kukiuka kanuni ya 10 ikisomeka pamoja na kanuni ya 68 ya kanuni za uvuvi wa Bahari Kuu za mwaka 2009 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016 kwa kutoripoti katika bandari Dar es Salaam, Zanzibar, Mtwara ama Tanga kwa ajili ya ukaguzi kabla ya kutoka katika bahari kuu ya Tanzania.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, katika Ofisi za Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari  Kuu zilizopo Fumba kisiwani Unguja, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Joelson Mpina  amesema pamoja na meli hizo kuamriwa kulipa faini ya Shillingi Billioni moja (Tshs. 1,000,000,000) kila moja zinatakiwa  kurejea katika bandari za Tanzania kwa ajili ya ukaguzi kwa kuwa leseni zao bado hazijaisha muda wake hadi sasa ili kubaini thamani halisi ya kiasi cha fedha zitakazotozwa kwa ajili ya samaki waliovuliwa bila kukusudia(Bycatch).

Aidha Mpina amesema  meli hizi zimetakiwa kuilipa Tanzania kiwango cha pesa kwa mujibu wa soko la kimataifa kutokana na kuondoka na Bycatch waliyoripoti kuwa wanayo kabla ya kutoroka.

Waziri Mpina amemuagiza Katibu Mkuu Uvuvi, Dkt. Yohana Budeba  kuiamru Mamlaka ya uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) iwaandikie notisi wahusika wa meli hizi kuwajulisha kuhusiana na maamuzi haya pia kuwajulisha Kamisheni ya Jodari kwenye Bahari ya Hindi, (IOTC) kuhusiana na hatua zilizochukuliwa na Tanzania dhidi ya meli hizo ili isaidie kuwabaini na kuwachukulia sheria kwa mujibu wa Sheria husika.

Aidha imeamriwa kwamba Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu pia iandae barua/ andiko kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi ili aweze kuiandikia Barua Wizara ya Mambo ya Nje kwa lengo la kuwasiliana na Flag States (Mataifa ambayo meli hizi zimesajiliwa) ili kuwajulisha makosa yaliyotendwa na meli husika pamoja na hatua ambazo Tanzania imechukua. Amesema meli zote zilizotoroka zimesajiliwa nchini China.

Wakati huo huo Waziri Mpina amesema  meli ya Tai Hong 1 imekiuka Kifungu cha 18 cha Sheria ya uvuvi wa Bahari kuu No. 1 ya Mwaka 1998 na marekebisho yake ya mwaka 2007 pamoja na Kanuni ya 66 ya kanuni za uvuvi wa Bahari kuu za Mwaka 2009 na marekebisho yake ya mwaka 2016 kwa kukutwa na mapezi ya papa yasiyoendana na miili iliyokutwa kwenye meli hiyo baada ya kukaguliwa katika bandari ya Dar es Salaam mnamo tarehe 25/01/2018-27/01/2018. 

Pia meli hii imebainika kukiuka kanuni ya 10 ikisomeka pamoja na kanuni ya 68 ya kanuni za uvuvi wa Bahari Kuu za mwaka 2009 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016 kwa kuhaulisha mabaharia kutoka kwenye meli nyingine ambao idadi yao ilikuwa mabaharia 10.

Aidha meli hii pamoja na kukutwa na makosa hayo iliondoka nchini bila kufuata taratibu zinazotakiwa kwa mujibu wa vifungu tajwa hapo juu.

Kutokana na makosa hayo imeamriwa na Mamlaka ya Bahari kuu (DEEP SEA FISHING AUTHORITY) kulipa jumla ya faini ya Shillingi Billion moja (Tshs. 1,000,000,000) ambapo Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu itawasilisha notisi ya adhabu hii kwa wahusika wa Meli hii ya TAI HONG 1.

Mbali na Tai Hong 1 Mpina amezitaja Meli hizo zilizopigwa faini ya Bilioni moja kila moja kuwa ni pamoja na TAI HONG NO2 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/453, TAI HONG 8 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/454, ,TAI XIANG 2 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/455, TAI XIANG 5 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/456, TAI XIANG 1 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/457, TAI XIANG 8 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/458 na TAI XIANG 9 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/459.

Meli nyingine ni TAI XIANG 10 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/460, TAI XIANG 7 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/461, TAI XIANG 6 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/462,  TAI HONG 6 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/463,  TAI HONG 7 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/464, XIN SHIJI 81 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/466, XIN SHIJI 82 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/467, XIN SHIJI 83 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/468, XIN SHIJI 86 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/470, XIN SHIJI 72 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/471, XIN SHIJI 76 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/472 na JIN SHENG 1 yenye  namba ya leseni TZ/DSFA/EEZ/473.

Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba amewataka wawekezaji kwenye  bahari ya Tanzania kuwa waaminifu na kuzingatia masharti na taratibu za kisheria  ili nchi na wawekezaji waweze kunufaika.

“Taratibu zipo wazi ni muhimu  kuzinangatia sheria  namna nyingine tutaendelea kusimamia sheria za nchi yetu kwa faida ya sasa na vizazi vya baadaye” Alisisitiza Dkt. Budeba

Amesema  hatua iliyochukuliwa na Serikali  ya kuzipiga faini meli hizo ni somo kwa meli nyingine na kwamba Serikali itaendelea kuchukua hatua kali kwa yoyote atakayebainika kutenda  makosa  ya uvuvi haramu katika bahari na maziwani.

Aidha amesema Serikali ipo tayari kufanya biashara  na mtu yoyote ambaye atazingatia masharti ya nchi, na kwamba taifa linajipanga ili kuwa na makampuni yake ya TAFICO na ZAFICO yatakayoshuhulika na uvuvi ili kunufaika na raslimali za uvuvi kama ambavyo inafanyika katika nchi mbalimbali duniani.

Amesema hatua hiyo itasaidia kukuza ajira kwa wananchi, uchumi wan chi na kuanzisha viwanda vya kuchakata samaki na mazao yake.

Aliwashukuru  wadau wote wanaoshiriki kwenye mapambano ya uvuvi ambapo kipekee alilishukuru shirika lisilo la kiselikali la Sea worrior kwa kutoa mchango mkubwa kwenye operesheni Jodari ambayo imefanywa  na wadau mbalimbali nchini.

Rais Magufuli Kaondoka Uganda Baada ya Kuhudhuria Kikao cha wakuu wa Nchi za EAC

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa ndege wa Entebe mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ambao ulimalizika hapo jana jijini Kampala nchini Uganda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na viongozi mbalimbali wa Kiserikali na Kijeshi kutoka Uganda kabla ya kurejea nchini.

PICHA NA IKULU

Waziri Mkuu: Mabalozi Tafuteni Wawekezaji Wa Sekta Ya Utalii

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka mabalozi watumieni mbinu za kidiplomasia kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali ikiwemo ya utalii na kutafuta masoko ya bidhaa zinazozalishwa nchini.

Pia Waziri Mkuu amewataka mabalozi hayo wakaimarishe diplomasia kwa lengo la kuzifanya nchi hizo ziendelee kushirikiana na Tanzania katika shughuli za kiuchumi na kijamii.

Ametoa kauli hiyo leo (Jumamosi, Febriari 24, 2018) wakati akizungumza na Balozi Dkt. Wilbrod Slaa anayewakilisha Tanzania nchini Sweden na Balozi Muhidin Ally Mboweto anayewakilisha Tazania nchini Nigeria, katika makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amesema Tanzania ina vivutio vingi vya utalii kama uwepo wa fukwe za bahari kuanzia Tanga hadi Mtwara, maziwa na mito, mbuga za wanyama hivyo ni vema wakajielekeza katika kuvutia wawawekezaji kwenye sekta hiyo ili Taifa lipate watalii wengi.

Amesema mbali na kutangaza sekta ya utalii, pia watafute wawekezaji kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta ya madini, viwanda na kutafuta masoko ili wafanyabiashara na wakulima wa Tanzania waweze kuuza bidhaa zao nje ya nchi.

“Tumejiimarisha katika mazao ya chakula na biashara, hivyo tunatakiwa kuwa na uhakika wa masoko kwenye kilimo ili mkulima anapozalisha pamba, tumbaku, kahawa, chai, korosho, dengu pamoja na mazao mengine tuwe na mahali pa kuuza, kwa hiyo washawishini wafanyabiashara kuja kununua.”

Pia Waziri Mkuu amewataka mabalozi hao wakawatambue na kuwaunganisha Watanzania waishio kwenye nchi wanazoiwakilisha ili nao washiriki kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda na wawasisitize wafuate sheria za nchi wanazoishi na wakumbuke nyumbani.

Waziri Mkuu amewasisitiza mabalozi hao kwenda kupunguza gharama za uendeshaji wa Balozi kwa kuzuia matumizi katika mambo yasiyo ya lazima. “Pia maslahi ya nchi lazima mkayasimamie huko muendako hasa katika masuala ya kiuchumi”

Kwa upande wao mabalozi hao  wamesema watahakikisha wanayafanyia kazi maelekezo yote waliyopewa ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na nchi wanazoziwakilisha.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAMOSI, FEBRUARI 24, 2018.


Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 07 na 08)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

“Afande ninaomba nimpigie mwanasheria wangu aje kituoni?”
Nilizungumza tukiwa njiani. Askari huyo hakuweza kunijibu chochote zaidi ya kunikata jicho baya. Tukafika kituo cha polisi. Wakanifungua pingu, wakaniamuru kuvua mkanda, viatu, kutoa waleti mfukoni. Nikafanya hivyo kitu lilicho mstusha askari aliye kuwa akinipapasa ni bastola yangu niliyo kuwa nimeichomeka kiunoni.
“Jamani huyu ni jambazi”
Askari huyo aliuzungumza kwa sauti ya juu na kuwafanya askari wengine wote kituoni kunitazama mimi huku wengine walio na bunduki kuninyooshea mimi, huku wakiniamuru kunyoosha mikono juu kwa ukali sana.

ENDELEA
    Nikafwata kama wanavyo hitaji, nikainyoosha mikono yangu juu huku nikimtazama askari aliye nichomoa bastola yangu.
“Piga magoti wewe mjinga”
Askari mwengine alisisitiza kwa sauti ya ukali, taratibu nikapiga magoti. Askari huyo akachuka waleti yangu na kuifungua, akaanza kuikagua vitambulisho vyangu. Nikamuona akistuka baada ya kutoa kitambulisho changu cha kazi. Akanitazama mara mbili mbili huku macho yakimtoka na jasho likimwagika.

“Kuna nini kinacho endelea hapa”
Nilisikia sauti ya kike, nyuma yangu. Ikanibidi kugeuka na kumkuta mkuu wa polisi ambaye ninamtambua ni rafiki wakaribu sana na K2 na mara nyingi niliweza kumuona akija ofisini kwetu.
“Mkuu kuna huyu kijana alifanya fujo, ndio tumemleta hapa kituoni”
Mwanamama huyo mrefu kwenda juu, aliye valia suruali ya kaki pamoja na shati la kaki, lenye nyota kadhaa kwenye bega lake, akazunguka na kuja kusimama mbele yangu.
“Mumegundua nini?”
Alimuuliza askari aliye shika kitambulisho changu. Askari huyo akaonekana kupata kigugumizi na kujikuta mkuu wake akikichukua kitambulisho hicho na kukikoma. Akanitazama kwa haraka kisha akayarudisha macho yake kwenye kitambulisho hicho.

“Nani aliwapa oda ya kwenda kumkamata?”
Askari wote wakaka kimya. Kila mmoja alimtazama mwenzake, mwanamama huyo kwa ishara akaniomba ninyanyuke juu. Nikannyanyuka na kuwafanya askari wote kuduwaa.
“Mrudishieni kila kitu chake, unatoa toa macho ya nini?”
Askari aliye chukua waleti na bastola yangu, akanirudishia huku mwili mzima ukimtemeka. Sikulijali juu ya woga nikachukua kila kitu changu, nikavaa mkanda pamoja na viatu vyangu.
“Samahani kijana, naomba tukayazungumze ofisini kwangu”
Mwana mama huyo alizungumza huku akinitazama. Nilipo maliza kufunga kamba za viatu vyangu, nikaongozana naye hadi kwenye ofisi yake iliyopo gorofani. Akanikaribisha kwenye kiti kilichopo mbele ya meza yake kisha yeye akaka kwenye kiti kilichopo nyuma ya meza yake hiyo yenye mafaili mengi pamoja na meza ya mezani na simu ya upepo.

“Samahani kwa usumbufu wa vijana wangu, naona walikuchukua pasipo kujua kwamba wewe ni nani”
“Kwa hilo halina tabu, ni vyema nikaondoka na kwenda kuripoti kazini kwangu kwamba kazi yangu iliziwa na vijana wako”
“Hapana hapana, wachukulie ni vijana wezako wale. Endapo wataingia kwenye tabu wengine ndio kwanza hata pesa ya serikali hawajaitafuna”
“Kwa hiyo na mimi nikafukuzwe kazi kwa ajili ya vijana wako, unatambua kabisa kazi yangu ilivyo na uhatari wa hali ya juu, ila bado vijana wako wakaamu kuniharibia ndio nini sasa”
Nilizungumza kwa kumkoromea mama huyo baada ya kugundua amingiwa na hofu kidogo.
“Basi ngoja niweza kuzungumza na bosi wako, ili kukukingia kifua, si unajua tena sote sisi ni watumishi wa uma na kazi yetu ni moja”
Mama huyo alizungumza huku akichomoa simu yake aina ya Samsung Galaxy note 3. Akaminya minya baadhi ya namba ambazo sikuziona na kuiweka simu yake sikioni huku akinitazama usoni.

“Shosti vipi?”
“Safi vipi”
Kutokana na simu hiyo kuwa na sauti kubwa kidogo niliweza kuisikia sauti ya K2, nikatamani kumpokonya simu mama huyo ila nikajikuta nikishindwa na kubaki nikiwa nimemkazia macho.
“Safi tu, bwana nina ombi moja”
‘Ombi gani?’
“Kuna kijana wako hapa alikamatwa na vijana wangu akiwa kwenye kazi yake wakidai alifanya vurugu kwenye moja ya ofisi sasa nikaona nikujulishe mapema isije akaja huko ukawajibisha”
‘Anaitwa nani?’
“Anaitwa Daniel Thamson Kajenge”
‘Mmmmm’
“Mbona unaguna sasa?”
‘Hapana, upo naye hapo au amesha ondoka?’
“Nipo naye hapa ofisini kwangu”
‘Hembu mpatie simu’
Mama huyo akanipatia simu yake, taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Hallo”
“Hivi Dany unachanganyikiwa siku hizi?”
K2 alizungumza kwa ukali na kunifanya nimtazama mama huyo kwa jicho la kuiba nikagundua anayafwatila mazungumzo yangu kwa umakini.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya February 25

Rais Magufulii Azungumzia Tena Kaya 1900 Ziilizovamia Uwanja wa Ndege Mwanza

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amerejea nchini  tarehe 24 Februari, 2018 akitokea nchini Uganda ambako amehudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliomalizika jana Mjini Kampala.

Katika uwanja wa ndege wa Mwanza Mhe. Rais Magufuli amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw. John Mongella aliyeongozana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Antony Dialo.

Akiwa uwanjani hapo Mhe. Rais Magufuli amezungumza na wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa Mwanza ambao wamemuomba asaidie kutatua changamoto mbalimbali zinazoukabili uwanja huo zikiwemo mahitaji ya jengo la abiria kutokana na jengo lililopo kuwa dogo, mahitaji ya ujenzi wa uzio wa kuzunguka uwanja na ndege zinazobeba minofu ya samaki kutotumia uwanja wa Mwanza na badala yake kutumia viwanja vya nchi jirani kutokana na ongezeko la tozo ya kodi kwa ndege hizo.

Katika majibu yake Mhe. Rais Magufuli ameahidi kuwa Serikali itafanyia kazi mahitaji ya kujengwa kwa jengo la abiria pamoja na ujenzi wa uzio ili uwanja wa Mwanza uwe na hadhi ya kimataifa na hivyo kuiwezesha nchi kupata mapato zaidi.

Kuhusu changamoto ya ndege za kubeba minofu ya samaki kutotumia uwanja wa Mwanza Mhe. Rais Magufuli amesema Serikali itafanyia kazi jambo hilo na kulitafutia ufumbuzi haraka ili ndege hizo zitumie uwanja huo na kuiingizia nchi mapato.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amesema anasubiri ripoti ya Wizara ya Ardhi kuhusu wananchi waliovamia uwanja wa ndege wa Mwanza lakini amebainisha kuwa Serikali haiwezi kukimbilia kuondoa kaya zaidi ya 1,900 zinazodaiwa kuvamia eneo hilo na badala yake itaangalia njia bora ya kufanya.

Hata hivyo ametaka wananchi waliopo katika eneo hilo wasiendeleze makazi yao wakati uamuzi wa Serikali unasubiriwa.

“Bahati nzuri Naibu Waziri wa Ardhi upo hapa, kafanyieni kazi changamoto hii na mnipe ripoti” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Baada ya kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza Mhe. Rais Magufuli ameelekea nyumbani kwake Chato Mkoani Geita kwa mapumziko.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Mwanza
24 Februari, 2018
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images