Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Naibu Waziri Madini: "Ni Bora Tukawie Lakini Tufike"

0
0
Na Mathias Canal, Songwe
Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko amesifu utendaji unaofanywa na kampuni ya uchimbaji madini ya dhababu wa Shanta Gold Mine kwa kukubali kuendana na matakwa ya serikali kwa kufuata kanuni, taratibu na sheria za nchi katika sekta hiyo.

Alisema kuwa Wizara hiyo imedhamiria kuboresha sekta ya Madini ili wananchi waweze kunufaika na rasilimali hiyo ambayo imechezewa na wajanja wachache katika kipindi cha muda mrefu.

Mhe Naibu Waziri huyo ametoa kauli hiyo  jana  22 Februari 2018 wakati akizungumza na wafanyakazi wa mgodi wa Shanta uliopo katika Kijiji na Kata ya Saza Wilayani Songwe.

Kampuni ya SGM haipo kwenye kundi la wawekezaji walalamikaji kuwa serikali kupitia sheria ya madini inawakimbiza wawekezaji jambo ambapo sio kweli badala yake serikali imeweka utaratibu yakinifu wa uchumi fungamanishi utakaoboresha sekta ya Madini na kuwanufaisha watanzania.

"Twendeni kwa watanzania tukawaulize wamenufaika  kwa kiasi gani na uwepo wa migodi mbalimbali ya uchimbaji nchini, jibu ni jepesi tu kuna watu wachache wamenufaika na rasilimali hiyo jambo ambapo hatutalifumbia macho tena" Alisema Mhe Biteko na kuongeza kuwa

"Serikali inahitaji wawekezaji ambao wanafuata sheria Na taratibu za nchi hata kama ni wachache wanapaswa kufahamu kuwa wanapaswa kufuata sheria kwani kufanya hivyo sio ombi bali ni lazima"

Aliongeza kuwa Wizara ya Madini itaendeleza ushirikiano kwa kiasi kikubwa na mgodi huo ili kuinua zaidi uwekezaji wao na hatimaye kuwa na uzalishaji wenye tija ambao utapelekea serikali kukusanya kodi kwa kiasi kikubwa kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla wake.

Alisema kuwa watumishi wote katika Wizara ya Madini na wawekezaji katika sekta ya madini wanapaswa kusimamia haki katika utendaji wao huku wakiunga mkono juhudi za serikali katika kuimarisha nidhamu ya uwajibikaji hususani kujitenga na utoaji ama upokeaji wa rushwa.

Alisema dhamira ya serikali ya awamu ya tano ni kuwarahisishia huduma wachimbaji wadogo kupitia malezi bora ya Wizara ya madini ili kufikia hatua ya kuwa wachimbaji wa kati na hatimaye kufikia uwekezaji mkubwa katika uchimbaji wa rasilimali hiyo.

Katika hatua nyingine wawekezaji hao wametakiwa kuwaamini wataalamu wa Madini wa hapa nchini pasina kuwa na Mashaka nao kwani serikali inawafahamu na wengi wao wakiwa wanafanya kazi nje ya nchi.

MWISHO

Waziri Mkuu Akutana Na Rais Wa FIFA .....Aipongeza Kwa Kupambana Na Rushwa

0
0
SERIKALI ya Tanzania inalipongeza Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa jitihada na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na shirikisho hilo katika mapambano dhidi ya rushwa.

Kauli hiyo imetolewa jana (Alhamisi, Februari 22, 2018) na Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa katika kikao chake na Rais wa FIFA Bw. Gianni Infantino kilichofanyika jijini Dae es Salaam.

“Serikali  tunaunga mkono mapambano dhidi ya rushwa kwenye michezo pamoja na matumizi mabaya ya fedha na ya madaraka yanayofanywa na FIFA”.

Waziri Mkuu amesema wanaunga mkono mapambano hayo ili Taifa liweze kupata mafanikio makubwa katika mpira wa miguu ikiwa ni pamoja na kupata viongozi wenye maono ya mbali katika kuendeleza mchezo huo.

Amesema FIFA ambayo ni kitovu cha mapambano dhidi ya rushwa kwenye michezo , hivyo Tanzania inaiunga mkono kwa kuhakikisha sekta ya michezo inatumia vizuri fedha zilizopo kwa ajili ya kuendeleza michezo.

Waziri Mkuu amesema Serikali itahakikisha inasimamia matumizi sahihi ya madaraka katika sekta ya michezo nchini ili kuleta maendeleo kwenye mpira wa miguu.

Serikali inaipongeza FIFA kwa jitihada za dhati za kuendeleza mpira wa miguu duniani kwa kuwa mipango mbalimbali ya kuendeleza mpira wa miguu kwa vijana wadogo wa kike na wa kiume nchini.

“Tunatambua msukumo wa FIFA wa kuendelea mpira wa miguu duniani ikiwa ni pamoja na kuboresha viwanja vya michezo pamoja na maendeleo yote wanayoyafanya katika sekta hiyo.

Pia ameishukuru FIFA kwa kuipa Tanzania heshima ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 yatakayofanyika mwakani jijini Dar es Salaam na kwamba Serikali itayasimamia vizuri na inajiandaa kwa kushinda.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amemshukuru Rais wa FIFA Bw. Infantino kwa niaba ya Rais Dkt John Magufuli kwa kuendesha mkutano mkubwa wa viongozi wa mpira wa miguu duniani Tanzania. Mkutano huo ulihusisha Marais na Makatibu Wakuu wa nchi 21.

Pia alimpongeza Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Bw. Ahmad Ahmad kwa jitihada zake za anazozifanya katika kuendeleza mpira barani Afrika na kwamba Serikali  ya Tanzania inamuunga mkono.

Rais wa FIFA Bw. Infantino ambaye ameahidi kuisaidia Tanzania kwa kuboresha miundombinu ya viwanja vya michezo aliwasili nchini leo alfajiri akiongozana na Rais wa Shirikisho la Soka Afrika Bw. Ahmad Ahmad kwa ajili ya mkutano wa FIFA uliofanyika nchini Tanzania February 22, 2018.

Bw. Infantino amewasili kwa mara ya kwanza Tanzania toka awe Rais wa  FIFA na alipokelewa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dtk. Harrison Mwakyembe na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Leodger Tenga na Rais wa TFF  Bw. Wallace Karia.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
ALHAMISI, FEBRUARI 22, 2018
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Kinyango Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania( Picha na ofisi ya waziri mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea Bandera ya FIFA kutoka kwa Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania ( Picha na ofisi ya waziri mkuu)

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Updates: Zitto Kabwe Kaachiwa kwa Dhamana

0
0
Mbunge Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana leo asubuhi  baada ya kushikiliwa katika kituo kikuu cha Polisi mkoani humo tangu jana usiku. 

Kiongozi huyo wa ACT-Wazalendo alikuwa kwenye ziara ya chama chake mkoani humo.

Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana ya maneno yenye thamani ya milioni 50 na amedhaminiwa na Wakili wake, ndugu Emmanuel Lazarus Mvula. 

Ametakiwa kuripoti Polisi Kituo Kikuu cha Polisi cha Mkoa wa Morogoro Jumatatu, Machi 12, 2018. 

Baada ya kuachiwa kwa dhamana, Zitto Kabwe na viongozi wengine wa kitaifa  wa chama hicho  wamesema wataendelea na ziara ya kutembelea kata zinazoongozwa  na chama hicho

Mwili wa Akwilina Wawasili Kiijijini Kwao Rombo kwa Mazishi....Viongozi mbalimbali wameanza kuwasili

0
0
Viongozi mbalimbali wa Serikali wameanza kuwasili nyumbani kwa wazazi wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini kijiji cha Marangu, Kata ya Marangu Kitowo, Olele mkoani Kilimanjaro.

Mwili wa mwanafunzi huyo aliyeagwa jana katika viwanja vya NIT, Mabibo jijini Dar es Salaam umefika kijijini hapa leo Februari 23, 2018 saa 3:30 asubuhi.

Viongozi waliofika mpaka sasa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Leonard Akwilapo, Mkuu wa Chuo Cha NIT, Profesa Zacharia Mganilwa pamoja na viongozi wengine wa wilaya.

Ibada ya misa ya kuombea mwili wa marehemu inatarajiwa kuanza saa 6:00 mchana katika kanisa la Mtakatifu Theresia Parokia ya Olele.

Hakuna Kuchukua Maeneo Bila Kulipa Fidia –Naibu Waziri wa Ardhi Angelina Mabula

0
0
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Mkazi Angelina Mabula amesema ni marufuku halmashauri kuchukua maeneo ya wananchi bila ya kuwalipa fidia.

Mhe. Mabula amesema hayo Wilayani Butiama  mkoa Mara wakati wa ziara yake yenye nia ya kutatua migogoro ya ardhi pamoja na kukagua mfumo wa ukusanyaji kodi ya ardhi.

Amesema wakati wa mchakato wa kuchukua maeneo ya mwananchi ni vyema wahusika wakashirikishwa kuanzia hatua ya awali sambambana na kuelimishwa  juu ya zoezi hilo ili kuepuka migogoro inayoweza kutokea.

‘’Cha msingi ni kuanza kuzungumza na mwananchi kabla ya kuchukua eneo lake na kumueleza eneo ambalo ataachiwa na halmashauri zihakikishe mwananchi huyo anapimiwa pamoja na kupatiwa hati yake’’ alisema Mabula

Aidha, mhe. Mabula amesema eneo litakalochukuliwa na halmashauri viwanja vyake kuuzwa fedha itakayopatikana  halmashauri ihakikishe inatumika katika kutengeneza miundo mbinu na huduma nyingine za jamii na kusisitiza kuwa  kwa kufanya hivyo migogoro haiwezi kutokea.

Naibu waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ameziagiza halmashauri kuhakikisha zinapanga miji kulingana na ‘master plan’ ili kuwa miji bora iliyopangika

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

PICHA: Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Rais Wa Kenya Uhuru Kenyatta Kampala Nchini Uganda

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kabla ya kuanza mazungumzo yao jijini Kampala nchini Uganda.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kabla ya kuanza mazungumzo yao jijini Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipongezana na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya mazungumzo yao Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya kupiga picha ya pamoja na Mawaziri pande zote mbili za Kenya na Tanzania mara baada ya kikao chao Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahi ajambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Kampala jijini Uganda.

Oparesheni Za Kuzuia Uhalifu Zatakiwa Kuzingatia Sheria

0
0
Na Lydia Churi-Mahakama ya Tanzania
Viongozi wanaohusika na Oparesheni za kuzuia uhalifu wameshauriwa kufuata na kuzingatia sheria inayoongoza namna ya ukusanyaji wa ushahidi ili kuepuka kuharibu ushahidi kabla haujawasilishwa Mahakamani na kupelekea kesi nyingi kuharibika kwa kukosa ushahidi au Mahakama kushindwa kutoa hukumu zinazoendana na kosa husika.

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma ameyasema hayo wakati akizungumza na viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Uyui alipomtembelea Mkuu wa wilaya hiyo ikiwa ni sehemu ya ziara yake inayoendelea Mahakama Kuu kanda ya Tabora.

Akitolea mfano wa Oparesheni za uteketezaji wa dawa za kulevya yakiwemo mashamba ya bangi, Jaji Mkuu amesema ushahidi kuteketezwa bila ya kufuata utaratibu huathiri mienendo ya kesi Mahakamani.

Akizungumzia suala la Maadili ndani ya Mahakama, Jaji Mkuu amewaomba Wakuu wa mikoa pamoja na Wakuu wa wilaya ambao anawatambua kama walezi wa Mahakama kushirikiana kwa karibu zaidi na Mahakama ili kuhakikisha wanawahudumia wananchi ipasavyo katika suala zima la utoaji wa Haki.

Kuhusu kusogeza huduma za kimahakama karibu Zaidi na wananchi, Jaji Mkuu amesema Mahakama kwa kushirikiana na Benki ya Dunia inao Mpango wa kuanzisha Mahakama zinazotembea (Mobile Courts) ili kuwafikia wananchi walio mbali na huduma za kimahakama hasa katika wilaya ya Uyui mkoani Tabora

Naye Mkuu wa wilaya ya Tabora na Kaimu Mkuu wa wilaya ya Uyui, Queen Mlozi   alimweleza Jaji Mkuu kuwa kwa namna wilaya ya Uyui ilivyokaa kijiografia, wananchi hulazimika kufuata huduma za kimahakama umbali wa Zaidi ya kilometa 150 katoka Loya kwenda Kigwa mkoani Tabora.

Awali akiwa wilaya ya Urambo, Jaji Mkuu alipata wasaa wa kuzungumza na Mkuu wa wilaya hiyo, Angelina Kwingwa ambaye alimshukuru Jaji Mkuu kwa mkakati wa Mahakama wa kukarabati na kujenga majengo ya mahakama maeneo mbalimbali nchini ambayo yatasaidia kupunguza mashauri mahakamani.

“Tumepata faraja kusikia suala la kuongezeka kwa majengo ambayo yatasaidia kupunguza mlundikano wa kesi Mahakamani na upatikanaji wa haki kwa wakati”, alisema.

Jaji Mkuu anaendelea na ziara Mahakama kuu kanda ya Tabora inayojumuisha mikoa ya Tabora na Kigoma. Leo alitembelea na kukagua shughuli za Mahakama katika Mahakama ya Mwanzo Ilolangulu, Mahakama ya wilaya ya Urambo na Mahakama ya Mwanzo Upuge-Uyui zilizopo mkoani Tabora.

Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi ya Tido Mhando

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi ya kusababisha hasara ya Shilingi Milioni 887 inayomkabili liyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Tido Mhando hadi February 28,2018 kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali (Ph).

Mwendesha Mashtaka wa (TAKUKURU), Leornad Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mfawidhi, Victoria Nongwa kuwa kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya kumsomea Tido maelezo ya awali.

Hata hivyo, Wakili wa Tido, Ramadhan Maleta ameieleza Mahakama kuwa amechelewa kumuandaa mteja wake kutokana na kuchelewa kupewa maelezo ya (Ph), hivyo anaomba ahirisho.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Nongwa ameahirisha kesi hiyo hadi February 28,2018 kwa ajili ya Tido kusomewa (Ph).

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka Tido anakabiliwa na makosa matano ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka.

Inadaiwa alilitenda kosa hilo June 16,2008 akiwa Dubai kama mtumishi wa TBC alitumia madaraka yake vibaya kwa kusaini mikataba ya uendeshaji wa vipindi kati ya TBC na Channel 2 Group Corporation (BVI) bila kutangaza zabuni na kuisababishia channel hiyo kunufaika.

Inadaiwa kati ya June 16 na November 16,2008 akiwa Falme za Kiarabu, kama muajiriwa wa TBC kwa cheo cha Mkurugenzi Mkuu kwa mamlaka yake alilisababishia shirika la TBC hasara ya Sh.Mil 887.

Walichoongea Rais Magufuli na Kenyatta Baada ya Kukutana Leo

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta wamewaagiza Mawaziri wa Tanzania na Kenya kutatua tofauti ndogondogo zinazojitokeza katika biashara kati ya nchi hizi mbili.

Marais hao wametoa maagizo hayo leo asubuhi tarehe 23 Februari, 2018 walipokutana na kufanya mazungumzo katika hoteli ya Munyonyo mjini Kampala muda mfupi kabla ya kuanza kwa vikao vya mkutano wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mhe. Rais Magufuli na Mhe. Rais Kenyatta wamesema wanataka kuona biashara kati ya Tanzania na Kenya inazidi kukua na bidhaa zinauzwa na kununuliwa baina ya nchi hizo bila vikwazo vyovyote na hivyo kuagiza tofauti zilizojitokeza katika baadhi ya bidhaa zimalizwe.

“Kuna mambo madogomadogo yanakuwa yanajitokeza katika biashara kati ya Kenya na Tanzania, tunataka kwa haya yote Mawaziri wa Kenya na Mawaziri wa Tanzania mkae myatatue, sisi hatuna tatizo, mambo mengine madogomadogo mno, mambo ya viatu, nguo, ngano, gesi ni madogo sana, mnatakiwa myatatue nyinyi yasifike kwetu, sisi huku tuko sawasawa” amesema Mhe. Rais Magufuli na kuungwa mkono na Mhe. Rais Kenyatta.

Wametoa maagizo hayo kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Balozi Monica Juma na Waziri wa Afrika Mashariki na Maendeleo ya Ushoroba wa Kaskazini wa Kenya Mhe. Peter Munya.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Sudani Kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit katika hoteli ya Munyonyo Mjini Kampala.

Baada ya Mazungumzo hayo Mhe. Rais Magufuli amesema Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine za Afrika Mashariki inaguswa na hali ya Sudani kusini na ametoa wito kwa pande zinazopingana kumaliza tofauti zao ili wananchi wa Sudani Kusini wajikite kujenga nchi yao.

“Nimemhakikishia Mhe. Rais Salva Kiir kuwa Tanzania ipo pamoja na Sudani Kusini na tunapenda tofauti zinazosababisha matatizo nchini mwake ziishe, sisi Tanzania tupo tayari kufanya biashara na Sudani Kusini, hata chakula kama wanahitaji tutawauzia” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Kwa upande wake Mhe. Rais Salva Kiir Mayardit amesema Tanzania na Sudani Kusini zina uhusiano wa kihistoria tangu enzi ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na kwamba japo kuna vita nchini mwake Mhe. Rais Magufuli amemhakikishia kuwa uhusiano na ushirikiano huo utaendelezwa na kukuzwa zaidi.

Katika hatua nyingine, Mhe. Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Gaston Sindimwo.

Mhe. Gaston Sindimwo amemfikishia ujumbe wa Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkurunziza kuwa hali ya Burundi ni shwari na Mhe. Rais Magufuli amesema anafurahi kuona sasa wakimbizi wa Burundi waliokuwa wamepata hifadhi Tanzania wameanza kurudi nchi kwao.

Mhe. Rais Magufuli pia amefanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa ambaye ni mratibu wa mazungumzo ya amani ya mgogoro wa Burundi aliyealikwa kuhudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki hapa Kampala.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Kampala
23 Februari, 2018

Updates: Ibada ya Kuuaga Mwili wa Akwilina Kanisaini Inaendelea

0
0
Mwili wa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini umeshapelekwa  katika Kanisa la Mtakatifu Theresia Parokia ya Olele Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ambako inafanyika ibada ya kuaga mwili wa marehemu.

Baada ya ibada hiyo ndugu, jamaa, viongozi na watu wa kada mbalimbali watatoa heshima za mwisho na kisha mwili kupelekwa nyumbani kwa ajili ya mazishi yatakayoanza saa saba mchana.

TANGA RAHA- Sehemu ya Kumi na Mbili ( 12 )

0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Tukabailisha mkao nikashuka kitandani na kumcuta Rahma na kumuegemeza kitandani huku kifua chake akiwa amekilaza kwenye kitanda na mguu wake mmoja akiwa ameuweka kwenye kitanda huku akiwa ameukunja na mguu wake mwengine akiwa chini.Na mimi nikakaa kama alivyo kaa yeye huku nikiwa juu yake na kuifaynya koki yangu kuingia ikulu pasipo kuwa na pingamizi na sughuli ikaendelea na nikawa na kazi ya kuyanyonya masikio yake

Rahma akazidi kutoa vilio huku akiita jina langu na kunisifia kwa jinsi ninavyomfanya na mimi nikawa na kazi ya kumsifia kwa jinsi anavyo tawala mchezo ambao yeye ndio kucha yangu.Ila nikaanza kusikia vilio vingine vya chini chini mlangoni na ikanilazimu nigeuke.Nikamuona Shemeji kwa uwazi mdogo alioufungua kwenye mlango huku akiwa ameyefumba macho yake na mkono mmoja akiwa ameuingiza ndani ya suruali yake huku akiwa anaichezea chezea ikulu yake na nikabaki nikimshangaa                                            

ENDELEA
Hata kasi ya kumshuhulikia Rahma ikaanza kupungua kwa kumshangaa shemeji.Kuna mlio kama wa glasi ya bati ikianguka ulisikika kutokea jikoni na kumfanya shemeji kustuka na macho yetu yakajikuta yakitazamana,Akastustuka kwa haraka akauchomoa mkono wake kwenye suruali yake na kukimbilia jikoni.Nikaanza kujawa na mawazo na kujiuliza ni kitu gani cha ajabu shemeji alicho kiona kwangu hadi akawa anajichua yeye mwenyewe,

“Baby umechoka…?”
“Hapana”
Swali la Rahma likanirudisha katika hali ya kawaida na kuendelea kumshuhulikia huku nikijaribu kuufanya ubunifu wangu wote ili aridhike kwa haraka japo kwaye mimi ni mwanafunzi.Mechi ikazidi kunoga huku Rahma akibadili aina za vilio huku kiuno chake kikiwa na kazi moja ya kuzunguka unaweza kusema hakina mfupa.Hadi tunafikia mwisho wa mchezo nikajilaza kitandani na Rahma akanilalia kifuani kwangu huku akihema kama ametoka kukimbia mbio ndefu

“Eddy”
“Mmmmm”
“Unanipenda?”
“Ndio baby”
“Kweli?”
“Ndio kwanini unaniuliza hivyo?”
“Nahisi naibiwa”
“Hauibiwi upo peke yako”
“Mmmm hata kama ila kuna watu nahisi wana kunyemelea”
“Wasi wasi wako”
“Eddy nisikudanganye mimi nina wivu na nipo tayari kuputeza pesa yangu ili kumkomesha yule atakaye kuia”
“Kivipi……?”
“Ki hivyo hivyo hiyo ni siri yangu ya moyo sasa ajitokeze changudoa akuibe weee atanitambua mimi ni nani?”
“Haitatokea”
“Kwani Eddy unadhani mimi nina shida………itatokea tu na wala tusilaumiane”

     Tukaendelea kuzungumza na Rahma mambo mengi hata nikajikuta nikisahau kuwa kuna watu niliwafungia mlango kwa nje isitoshe na simu yangu imezima chaji.Rahma akaninyanyua kiyandani na tukaingia bafuni.Tukaanza kuoga huku kila mmoja akimuogesha mwenzake.Nikajikuta uzalengo ukinishinda kwani michezo ya uchokozi ya Rahma ikanifanya nimshike mguu wake mmoja na kuchuchumaa na kuuweka begani mwangu nikaanza kumnyonya ikulu yake huku ulimi wangu ukiwa umezama ndani ya ikulu huku lipsi zangu zikiendelea kunyonya ikulu kwa nje.Rahma akaingiza vidole vyake masikioni mwangu na kuanza kunitekenye ikanibidi kusimama na kuvuta karibu kisha nikamdumbukiza ulimi masikioni na kuanza kumnyonya taratibu na kuzidi kumpandisha Rahma midadi

Rahma akajitoa mikononi mwangu na kuiingiza koki yangu mdomoni mwake na kuanza kuinyonya kwa mtindo wake,alipo ridhika akasimama na kunirukia na nikamdaka vizuri hku miguu yake akiwa ameipitisha kwenye kiuno changu na kuikutanisha kwa nyuma na kuikunja X,huku mkono wake mmoja akiishaka shingo yangu na mkono mwengine akiishika koki yangu kwa kwa kichi na kuichomeka kwenye ikulu.Kazi yangu haikuwa ngumu zaidi ya kuyashika makalio yake na kumpa wepesi wa kuikalia koki yangu.Shuguli ikaanza kwa kasi ya ajabu huku kila mmoja akiwa na usongo wa kumpindua mwenzake katika mechi.Kwa raha Rahma akaniachia shingo kisha akashika bomba la mvua kwa juu na kazi ikaendelea

Mpenzi Wangu Ibilisi ( Simulizi ya Kweli) Sehemu ya 02

0
0
Mwandishi: Grace Godfrey Rweyemam

Mume wangu ni hodari sana wa kuonyesha mapenzi na ingawa hufuata kwa umakini masharti yake kwamba mimi nisionekane kama mke wa tajiri, lakini kiukweli alinionyesha mapenzi ya dhati. Alinisifia na kunisaidia hadi kazi za ndani kwani hakutaka tuishi na binti wa kazi.

Tulikuwa na wafanyakazi wawili waliokuja na kuondoka ila mara kadhaa aliwaambia wasije wapumzike. Naweza kuhesabu ni mara ngapi nimepika kwani mara nyingi sana mume wangu hupika, hufua mpaka nguo zangu za ndani, na hata kuniogesha.

Watoto wakiwa katika umri wa kuhudumiwa na mzazi mara zote yeye ndiye huwahudumia, bila shida yoyote, yaani hata kuamka usiku. Mwanzoni nilikuwa naona ni vitu vya ajabu au labda anafanya hivyo kunisahaulisha alichoniambia lakini mpaka leo hii ni mwaka wetu wa sita na hajabadilika, kiasi cha kunifanya mimi niwe mvivu wa kazi.

Nilipoendelea kuishi naye nilianza kugundua vitu vya ajabu, na wewe ni mtu wa kwanza kabisa ninakwambia. Sijui kwanini nimeamua kukutafuta nikwambie, na sielewi ni wapi nimepata ujasiri mkuu namna hii, lakini nikifuatilia ushuhuda wako, nilianza kushawishika kuwa unaweza kunisaidia. Sitaweza kukueleza kwa kirefu kuhusiana na uchawi wa mume wangu, lakini kwa kifupi ni mchawi mkubwa sana hapa nchini.

Huua watu wengi na ameshawaua hata wazazi wake mwenyewe, na ninavyokwambia sio kwamba nimehadithiwa bali yeye mwenyewe amewahi kukiri kwa kinywa chake kuwa ndiye aliyeua wazazi wake.

Nyumbani kwangu nimeshakutana na vitu vingi vya ajabu. Ninavyokwambia, nimeshawahi kuona kwa macho yangu damu na nyama za watu kwenye frij yake maalumu nyumbani ambayo alinizuia kuigusa, halafu siku moja akasahau funguo. 


Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

CHADEMA Wamjibu Msajilii wa Vyama vya Siasa

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejibu barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi inayowataka ndani ya siku tano kuwasilisha maelezo ya tuhuma za uvunjifu wa  Sheria ya Vyama vya Siasa na ya maadili ya vyama vya siasa kwa kufanya maandamano Februari 16, 2018.

Katika majibu yake, Chadema wamejibu hoja mbalimbali za msajili na kuhoji hatua alizochukua mpaka sasa kufuatia mfululizo wa matukio ya mauaji ya viongozi wa chama hicho.

Akizungumza leo Februari 23, 2018 na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho-Bara, John Mnyika amesema msajili kwenye barua yake anakituhumu Chadema kwa kukiuka kifungu cha 9(2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa.

Mnyika amefafanua kwamba kifungu hicho hakihusu vyama vyenye usajili wa kudumu bali vyama vya siasa vyenye usajili wa muda mfupi ambavyo vinaahidi kwamba vikipata usajili wa kudumu vitadumisha amani katika shughuli zao.

Mnyika amekosoa pia barua ya msajili ambaye anahoji ushiriki wa Chadema kwenye uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Ubungo wakati uchaguzi huo ulifanyika katika jimbo la Kinondoni, kuongeza kuwa hiyo inaonyesha kwamba msajili amekosa umakini katika majukumu yake.

"Tunaelewa kwamba msajili anasukumwa na Serikali. Dhamira yao ni kukifuta Chadema. Nawaambia tu jambo hilo hawaliwezi," amesema.

Mnyika ambaye pia ni mbunge wa Kibamba amesema msajili amebainisha kwenye barua yake kwamba wamekiuka kanuni ya 6(1)(b) ya maadili ya vyama vya siasa ambayo inampa mamlaka ya kupokea malalamiko na kuzisikiliza pande mbili.

Akijibu jambo hilo Mnyika amesema msajili hajabainisha mlalamikaji ni nani katika malalamiko aliyoyapokea.

Chama hicho pia kimelaani mauaji ya diwani wake Kata ya Namala, Godfrey Luena na kutaka Polisi kufanya uchunguzi wa haraka na kumchukulia hatua za kisheria kila anayehusika.

"Katika Taifa letu kwa sasa, kuna vikundi vya watekaji, vikundi vya wauaji na vikundi vya watesaji. Ni wakati wa kujilinda kwa sababu kuna mashambulizi mengi sana," amesema Mnyika.

Waziri wa Elimu Aaahidi kumsomesha mdogo wake Akwilina

0
0
Waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kumsomesha mdogo wake Akwilina Akwilini, Angela Akwilini ambaye kwa sasa anasoma kidato cha tatu.

Akizungumza leo Februari 23, 2018 baada ya mazishi ya Akwilina aliyeuawa kwa kupigwa risasi Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni jijini Dar es Salaam, Profesa Ndalichako amesema atamsomesha Angela hadi Chuo Kikuu.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 05 na 06)

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA   Kitendo cha kufunga mlango kwa funguo, nikamuwahi Maria kwa nyuma na kumshika kino, kwa haraka Mariam akakurupuka mikononi mwangu na kunigeukia. Akanitandika kofi moja zito la shavu huku akiachia msunyo mkali na mzito.

“Mimi sio malaya wa kujirahisha kwa mwanaume, na sijakuja hapa unitomb*, lala zako kitandani mimi nitalala hapa kwenye kochi”

Mariam alizungumza huku akiwa amekunja sura, akapiga hatua hadi lilipo sofa akajirusha na kukaa, huku akinikazia macho makali.

ENDELEA  
Sikuamini kwamba Mariam anaweza kuwa mkali sana kwenye hili. Kwa mtazamo wa haraka haraka ukimtazama unaweza kusema kwamba ni msichana anaye jirahisisha sana katika kulitoa penzi lake. Moja kwa moja nikajitupa kitandani huku nikijisikia aibu sana kwa kitu ambacho nimekifanya kwa Mariam kwa maana sikuhitaji kuweza kukifanya kwa haraka.

Kwa msongamano wa mawazo mengi nikajikuta nikipitiwa na usingizi. Simu iliyopo mfukoni mwangu ikanistua kwa mlio wake nilio uweka katika mfumo wa mtetemesho(vibration).  Taratibu nikaitoa mfukoni na kuitazama nikiwa na mawenge ya usingizi sana na kukuta anaye piga simu ni K2.

“Haloo”

“Umeamkaje?”

“Salama tu”

Nilizungumza huku nikijinyanyua kitandani, moja kwa moja nikayatupia macho yangu kwenye sofa na kukuta Mariam akiwa hayupo. Kwa haraka nikanyanyuka kwenye kitanda huku simu yangu ikiwa kwenye sikio.

“Vipi umesha jiandaa kwenda kazini?”

“Ahaa ndio”

“Sawa, mimi ndio natoka, yaani hapa nina hamu na wewe, natamani nije hata kwako unipatie japo goli moja kisha twende kazini”

“Usijali luch tutaonana”

Nilizungumza huku niki nimefungua mlango wa bafuni na kumkuta pia Mariam hayupo. Nikatazama saa ya ukutani na kukuta ni saa kumi na mbili na nusu.

“Ok basi ngoja mimi nitangulie”

“Sawa”

Nikakata simu na kuirudisha mfukoni. Nikatoka chumbani na moja kwa moja nikaeleka katika barabara, nikamuita bodaboda wa pikipiki na kumuomba aniwahishe nyumbani kwa haraka. Akafanya hivyo, hadi ninafika snyumbani ni saa moja kasoro. Nikampa dereva pikipiki pesa yake. Kitendo cha kufika getini nikakutana na Mariam uso kwa uso akifungua geti akiwa amevalia tisheti ya chuo hicho cha ualimu huku akiwa ameshika mkobwa wake mdogo.

    Mariam akanitazama kwa jicho kali huku akisimama, akanipita na kuondoka zake, akapanda pikipiki niliyo kuja nayo. Nikaingia ndani na kukutana na mama Mariam kwenye kordo akitoka kuoga.

“Mambo Dany”

“Poa shikamooo mama”

“Marahaba”

Kutokana nimechelewa sana kazini, sikutaka hadithi na mama Mariam. Moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu nikafungua. Nikachukua taulo na kuelekea moja kwa moja bafuni. Haraka haraka nikaoga na kurudi chumbani kwangu na kumkuta mama Mariam akiwa amekaa kwenye sofa la chumbani kwangu huku akiwa  amevalia kanga moja iliyo lowana lowana maji na kuufanya mwili wake kushikana na kanga hiyo.


Habari Zilizopo Katika magazeti ya Leo Jumamosi ya February 24

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images