Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Simu ya kichina yazua balaa wakati wa usikilizwaji wa kesi ya Shehe Ponda Issa Ponda

$
0
0
SIMU ya Kichina imezua balaa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Jumatano iliyopita wakati wa usikilizwaji wa kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Kiislamu, Shehe Ponda Issa Ponda, Ijumaa linakupa habari kamili.    Tukio hilo la aina yake lilitokea baada ya simu ya Kichina ya mmoja wa wafuasi wa Shehe Ponda aliyefahamika kwa jina la Shehe Kitula kuita wakati shughuli za kimahakama

Bunge la katiba: Wapentekoste washikana uchawi....Mwenyekiti wa Ushirika wa Wachungaji amtaka Katibu wa baraza la Maaskofu ajiuzulu

$
0
0
BARAZA la Maaskofu wa Kipentekoste nchini (PCT), limeshauriwa kuonesha kitabu kilichosainiwa na watumishi Ofisi ya Rais, Ikulu baada ya kuwasilisha majina yaliyopendekezwa kwa ajili ya uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Mwenyekiti wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste nchini, Askofu Pius Ikongo, alisema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na Majira. Alisema ili

Padri wa Kanisa Katoliki afia GEST HOUSE....Mwingine afia kwa hawara yake.

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa amekutwa akiwa amefariki dunia kwenye nyumba ya kulala wageni jijini Nairobi na kufanya vifo vya kutatanisha vya viongozi wa kidini kufikia wawili wiki hii.    Katika tukio la juzi, Padri wa Kanisa Katoliki, Otto Myer (70) ambaye ni raia wa Italia, alikutwa akiwa amefariki saa tano usiku chumbani mwake kwenye nyumba ya kulala wageni ya the Consolata huko Westlands,

Mtoto wa ajabu azaliwa mkoani Iringa....Hafahamiki kama ni wa kiume au wa kike. Mama yake aiomba jamii imsaidie

$
0
0
  Sophia Kindamba akiwa na mwanae Junior Richard Rutta ..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo,

Diamond kuhudhuria tuzo za 'AFRIMMA' zitakazofanyika Texas Marekani, zitahusisha wasanii wakubwa Afrika

$
0
0
  July 26 mwaka huu, wasanii wengi wakubwa Afrika kutoka katika mataifa ya 17 watakutana Dallas, Texas, Marekani kuhudhuria utoaji wa tuzo za kiafrika zinazojulikana kama ‘AFRIMMA Awards’, na tayari Diamond Platinumz tayari ameshaonesha uthibitisho wa kuwa katika daftari la mahudhurio siku hiyo.   Diamond amepost kwenye Instagram video inayomuonesha akifanya promo maalum

Matokeo ya kidato cha nne 2013 yatangazwa...Bofya hapa ujionee

$
0
0
Baraza la mitihani la Taifa, NECTA, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwezi November mwaka jana, huku kiwango cha ufaulu wa masomo ukipanda kati ya asilimia 0.16 na 16.72 ikilinganishwa na mwaka 2012, na wasichana wakiibuka kidedea katika ufaulu wa jumla kitaifa. Jumla ya watahiniwa 235,227 sawa na asilimia 58.25 ya watahiniwa wote wamefaulu mtihani, idadi ya

Haya ni majina ya wasichana 10 bora na wavulana 10 bora katika matokeo ya kidato cha nne 2013

$
0
0
  Watahiniwa wa kike wamefanya vizuri kwa kuchukua nafasi saba kati ya 10 za juu, huku Shule ya Marian Girls ya Pwani ikiongoza kwa kuwa na wanafunzi wanne.   Mwanafunzi aliyeongoza ni Robina Nicholaus wa Shule ya Marian Girls, akifuatiwa na Magrath Kakoko wa St Francis (Mbeya) wakati wa tatu ni Joyceline Marealle kutoka Shule ya Canossa (Dar es Salaam).

Hii ni kauli ya mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne.....Aliyeshika nafasi ya tatu apata mshituko, azimia

$
0
0
Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kwa ufaulu kitaifa katika Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa 2013, jana alipoteza fahamu kwa muda baada ya kupata matokeo hayo.    Mwanafunzi huyo, Joyceline Marealle wa Shule ya Sekondari Canossa ya Dar es Salaam, alipatwa na mkasa huo muda mfupi baada ya mwandishi wa gazeti hili kumpigia simu na kumweleza matokeo hayo.  

Mwalimu auawa na wananchi baada ya kumchinja mwanafunzi

$
0
0
Mwalimu  wa madrasa ya  Ali Munawar, ustaadhi Mohamed Ngulanjwa (36)  wa Mbagala Mianzini jijini Dar es Salaam, ameuawa baada ya kumchinja mwanafunzi wake. Ustaadhi huyo aliyekuwa mwalimu wa  madrasa  na shule ya awali ya Ali Munawar, alimchinja mwanafunzi huyo  jana saa 12.10  jioni kwenye eneo la madrasa baada ya  kutenganisha  kichwa na kiwiliwili Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa

Shilole awashangaa wasichana wasiopenda kuvaa nguo za ndani kwa kisingizio cha joto....

$
0
0
Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa huwa anawashangaa wasichana wasiopenda kujisitiri kwa kuvaa nguo za ndani ‘makufuli’. Akistorisha na mwandishi wetu, Shilole alisema katika maisha yake anapenda sana kujisitiri kwa kuvaa nguo ya ndani hivyo anawashangaa wasanii wanaotembea bila kuvaa nguo hiyo huku wengine wakidai wakizivaa wanahisi kuwashwa

Wanataaluma wayakosoa matokeo ya kidato cha nne 2013....Wadai kuwa licha ya kiwango cha ufaulu kuongezeka, ubora wa Elimu haujazingatiwa

$
0
0
Siku moja baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kutangaza matokeo ya kidato cha nne na kuonyesha ufaulu kuongezeka kwa asilimia 15, wadau wa elimu wamepinga matokeo hayo kwa madai kuwa ubora wa elimu haukuangaliwa.    Hatua hiyo inatokana na mabadiliko ya viwango vipya vya alama za ufaulu yaliyofanyika Oktoba mwaka jana, baada ya Serikali kuweka alama za kufaulu

CHADEMA wazindua rasmi kampeni za kuwania Ubunge katika Jimbo la Kalenga....

$
0
0
Viongozi na wanachama wa CHADEMA wakielekea kwenye makumbusho ya Chifu mkwawa kabla ya kuanza kampeni hizo Hapa wakitoka kwenye Makumbusho ya Chifu Mkwawa huku hali ya hewa ikiwa ni ya ubishi kutokana na mvua kubwa kunyesha Mgombea wa Ubunge kupitia chama cha CHADEMA akinadiwa na Katibu mkuu wa chama hicho Dr. W. Slaa wakati wa kampeni hizo zilizoanza jana  katika jimbo la Kalenga.

Majambazi wanne wauawa na jeshi la polisi jijini Arusha wakati wakijiandaa kufanya tukio la uhalifu katika kituo cha kuuzia mafuta

$
0
0
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha Watu wanne (wanaume)  ambao bado hawajafahamika  wanaokadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 hadi 35  ambao wanasadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa baada ya kupigwa risasi na askari Polisi. Tukio hilo lilitokea  tarehe 21.02.2014 muda wa saa 1:00 jioni katika bar moja iitwayo Pama iliyopo maeneo ya Makao Mapya jijini hapa.  

Ajali mbaya ya malori yatokea eneo la Mikese mkoani Morogoro... Dereva mmoja ateketekea kwa moto

$
0
0
Taarifa  zilizotufikia hivi punde kutoka Morogoro ni kwamba malori mawili yamegongana eneo la Mikese mkoani humo na kulipuka moto ambapo mojawapo ya lori lilikuwa na shehena ya mafuta... Mpaka sasa malori hayo yanaendelea kuteketea kwa moto, na dereva mmoja wa lori amefariki. Taarifa zaidi na picha za tukio hili vitawajia punde <!-- adsense -->

Picha za AJALI mbaya ya malori iliyotokea Mikese Morogoro ambapo DEREVA mmoja wa lori amepoteza maisha,,,,,,,,,,,,,

$
0
0
Baadhi ya watu waliokwama kijiji cha Fulwe kata ya Mikese mkoani Morogoro wakiangalia mwili wa dereva wa lori lililobeba shehena ya mafuta lililokuwa likitoka Dar kueleka upande wa Morogoro, ukiwa umeteketea vibaya kwa moto baada ya ajali. Mwili wa dereva wa lori la mafuta ukiwa umeteketea kwa moto.    Ajali  mbaya  imetokea leo katika kijiji cha Fulwe, kata ya Mikese mkoani

Picha za waziri Magufuli alipotembelea AJALI ya magari yaliyoteketea kwa moto eneo la Mikese mkoani Morogoro leo

$
0
0
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli amesafiri akitokea Mkoani Dodoma anakohudhuria Vikao vya Bunge la Katiba na kwenda moja kwa moja Morogoro maeneo ya Mikese (Kilomita kumi kutoka Mzani wa Mikese kuelekea Dar), ambapo magari mawili yaligongana na kuteketea kwa moto na kusababisha kifo cha mtu mmoja alietambulika kwa jina la Moud Amin. Ajali hiyo ambayo imetokea mapema

Rais Kikwete aongoza harambee ya kuchangia wodi ya dharura ya watoto na vifaa vyake hospitali ya taifa ya Muhimbili....Milioni 602 zapatikana

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa baada ya kuwasili katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika

Orodha ya majina ya walioitwa na Shirika la Viwango Tanzania ( TBS ) kwenye usaili February 2014

$
0
0
Shirika la Viwango Tanzania linapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi za Inspection Technician II, Records Management Assistant II, Inspection Technician II (Deep sea) na Quality Assurance Officer II (Electrical Engineer) kuwa wafuatao wamechaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano utakaofanyika tarehe 25.02.2014 Kada ya Inspection Technician II, tarehe 26.02.2014  Kada ya Records

Binti wa kitanzania abakwa na kuafriki dunia....Alikuwa nchini China AKIJIUZA , Wanaume watano wa kinigeria wadaiwa kuhusika

$
0
0
Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na kuwauza kwa wanaume (ukahaba), sasa yamemkuta Mbongo aitwaye Sabrina au Habiba.... Habari za uhakika kutoka kwa chanzo chetu nchini humo zilisema kuwa, Sabrina (24), alifariki dunia Alhamisi iliyopita

Jiji la Arusha lavunja nyumba zaidi ya 330 ili kupisha ujenzi wa miradi mbalimbali katika maeneo hayo

$
0
0
Halimashauri  ya jiji   la  Arusha  imebomoa  nyumba  zaidi  ya  330  baada  ya  kushinda  kesi  iliyofunguliwa  na  waliokuwa  wapangaji  waliokuwa  wakipinga  amri ya  kuhama  kupisha  zoezi  la  ujenzi  wa  nyumba  za  kisasa. Mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa unatekelezwa  na Halmashauri ya jiji  kwa  kushirikiana  na wadau  mbali mbali. Bomoa bomoa hiyo ilianza jana alfajiri na
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images