Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Waziri Jafo: Madarasa Ya Nyasi, Tembe, Udongo Yasitumike Katika Shule Zote Nchini

$
0
0
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi ambao kwenye maeneo yao bado kuna wanafunzi wanasomea katika madarasa ya Tembe ama yalioezekwa Nyasi au kujengwa kwa Udongo kuhakikisha wanaacha mara moja kutumia madarsa hayo na kujenga madarasa bora.

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya nne ya Uongozi wa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi yanayotolewa kupitia ofisi ya Rais Tamisemi kwa kushirikiana na Taasisi ya Uongozi yenye lengo la kujenga uwezo wa viongozi kuweza kutawala kwa ufanisi.

“Viongozi wangu nataka Mkakusanye mapato ya ndani kwa nguvu zote na Fedha hizo mzitumie kwenye miradi ya maendeleo na kwa wale ambao mpaka leo wanafunzi wanasomea kwenye mazingira duni hawana madarasa bora watoto wanasomea kwenye madarsa ya Tembe, mengine yameezekwa kwa Nyasi nahitaji muelekeze Nguvu katika ujenzi wa madarasa bora na hayo ya Tembe yotoweke kabisa; Mjenge madarasa ambayo wanafunzi watajiskia fahari kusoma”Alisema Waziri Jafo.

Waziri Jafo hakusita kuwakumbusha Viongozi  kuhusu Usimamizi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Afya 212 vinavyoendelea kujengwa hivi sasa katika ameneo yote yote Nchini.

Niwapongeze baadhi ya Wakurugenzi ambao mpaka sasa wamefanya kazi nzuri sana ya Usimamizi wa ujenzi wa Miundombinu hiyo ya Afya wameshakamilisha ujenzi na wamejenga mpaka Njia za kutembelea(Walk Way) katika vituo hivyo na nataka mpaka Tarehe 30 April 2018 Kila Halmashauri iliyopokea Fedha za ujenzi wa Miundombinu ya Afya iwe imekamilika.

Waziri Jafo alitumia nafasi hiyo pia kuwakumbusha viongozi mara wapatapo mafunzo haya kuheshimu  mipaka yao ya kazi, kuboresha mahusiano kazini, kutunza Siri za Serikali na kusimamia Maadili katika maeneo ya kazi.

Awali akizungumza katika Ufunguzi wa  Mafunzo ya Uongozi Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Prof. Joseph Semboja amesema kuwa mafunzo haya yanakamilisha mtiririko wa mafunzo yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mhe. Majaliwa K. Majaliwa miezi nane iliyopita na baada ya mafunzo haya yanayoanza leo tutakuwa tumewafikia   Viongozi 324.

Prof.Semboja aliongeza kuwa Lengo la mafunzo haya ni yale yale ambayo ambayo yamelengwa tangu Kikao cha Mwanzo cha Mafunzo haya ambayo ni kuimarisha uwezo wa kufanya maamuzi wa Kimkakati  kwa kuzingatia mahitaji ya jamii kwa manufaa mapana ya sasa nay a baade ya Jamii Tunayoihudumia.

Sambamba na hilo Mkutano huu pia unalenga kuongeza uwezo wa Viongozi wetu katika kuongoza watu na rasillimali zingine zilizoko kwenye maeneo yetu ili kwa pamoja tuweze kufikia malengo ya pamoja.

Alisisitiza kuwa Mafunzo haya yatajielekeza katika Kuimarisha Sifa Binafsi za Viongozi  kwa sababu Viongozi ndio wanaowasimamia wananchi katika kiLA Eneo hivyo ni lazima kila kiongozi aweze kujitenegenezea Sifa binafsi ili akubalike na kuhesimika katika Jamii husika.

“Sifa hizi binafsi tunazozizungumzia ni Ushawishi, Kuaminika, Uadilifu, Mtenda Haki, Muumini wa Utawala bora na Utawala wa Sheria na zaidi kuwa mchahapa kazi na awe na weledi wa hali ya juu sasa haya yote yatafundishwa kupitia mafunzo haya ya namna gani Kiongozi anaweza Kujijengea Sifa Binafsi katika Jamii tunazoziongoza.

Akitoa Neno la Shukrani kwa niaba ya viongozi walioshiriki katika Mafunzo haya Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Joseph Mkirikiti ameshukuru OR-TAMISEMI na Taasisi ya Uongozi kwa kuandaa mafunzo haya na zaidi ameahidi Umakini wa washiriki kwa siku zote za mafunzo.

Mafunzo haya ya awamu ya Nne na ya mwisho kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa imegususa Viongozi kutoka katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Tanga, Kilimanjaro na Arusha.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya January 30

Waziri Mkuu Majaliwa Awasili Nchini Ethiopia,kumwakilisha Rais Magufuli Katika Kongamano La Viongozi Wakuu Wa Umoja Wa Nchi Za Afrika

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Comoros, Azali Assoumani, kwenye ndege ya shirika la Ethiopian Airline, wakiwa safarini kueleke Ethiopia, katika Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, Waziri Mkuu, anamwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano huo. Januari 28, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahiga, wakati alipo wasili kwenye uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Addis Ababa, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU Nchini Ethiopia. Januari 28, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, kwenye hafla ya miaka 100 ya kumkumbuka Rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Sheraton, Mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano huo. Januari 28, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisainiwa kitabu cha kumbukumbu, cha Rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, kwenye hafla ya miaka 100 ya kumkumbuka Kiongozi huyo, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Sheraton, Mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano huo. Januari 28, 2018.

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Mahakama ya Rufaa Yawakana CHADEMA

$
0
0
Mahakama ya Rufaa imesema hakuna rufaa ya uchaguzi wa Jimbo la Longido iliyopo mahakamani hapo.

Mahakama imetoa kauli hiyo wakati Chadema ikiilalamikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu kufanyika uchaguzi mdogo wa ubunge wa jimbo hilo kwa madai kwamba kuna kesi mahakamani hapo.

Uchaguzi huo mdogo ulifanyika baada ya aliyekuwa mbunge wa Longido kwa tiketi ya Chadema, Onesmo ole Nangole ushindi wake kutenguliwa na Mahakama Kuu.

Mara kadhaa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Ole Nangole wamekaririwa na vyombo vya habari wakidai kwamba kuna rufaa katika Mahakama ya Rufani.

Viongozi hao wamekuwa wakiilalamikia NEC kuwa iliendesha uchaguzi mdogo katika jimbo hilo wakati rufaa ya kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyomvua ubunge Ole Nangole ikiwa haijatolewa uamuzi.

Hata hivyo, Mahakama ya Rufaa imesema uchaguzi mdogo uliofanyika Longido ulikuwa halali kwa kuwa hakuna rufaa yoyote iliyoko mahakamani hapo.

Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Elizabeth Mkwizu amesema hakuna rufaa yoyote kupinga hukumu ya uchaguzi wa Longido iliyoko mahakamani hapo, bali kuna maombi.

“Hapa hatuna rufaa ya uchaguzi wa Jimbo la Longido, bali kuna maombi ya kuongezwa muda wa kuwasilisha ‘notice of appeal’ (taarifa ya kusudio la kukata rufaa). Walileta notice of appeal lakini ikatupiliwa mbali, sasa wanaomba muda ili waiwasilishe tena,” alisema na kuongeza:

“Maombi si rufaa, kwa hiyo haya maombi yasingeweza kusimamisha shughuli za uchaguzi.”

Kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya Mahakama ya Rufaa, maombi hayo yamepangwa kusikilizwa na Jaji Jacob Mwambegele Februari 5.

Wakati wa usikilizwaji wa maombi hayo, mwombaji kupitia kwa mawakili wake atalazimika kutoa sababu za kuiridhisha Mahakama ni kwa nini alichelewa kuwasilisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa.

Ikiwa Mahakama haitaridhika na sababu zake, itatupilia mbali maombi hayo lakini ikiridhika nazo itamruhusu kuwasilisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa.

Baada ya kuwasilisha taarifa hiyo, atasubiri kupata kumbukumbu za rufaa, yaani nyaraka zitakazohusika kwenye rufaa yake, ikiwamo hukumu anayoilalamikia, mwenendo wa kesi ya msingi na vielelezo vilivyotumika.

Akipata nyaraka hizo, ndipo atakapowasilisha rufaa kamili, yaani sababu za kwa nini anapinga hukumu iliyomvua ubunge wa jimbo hilo, na upande wa pili (wajibu rufaa) nao utawasilisha hoja zake na baada ya Mahakama kusikiliza hoja za pande zote ndipo itatoa hukumu.

Ole Nangole alivuliwa ubunge na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha Juni 29, 2016 kutokana na kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa kiti hicho kwa tiketi ya CCM, Dk Steven Kiruswa akipinga ushindi wake.

Baada ya Mahakama kumvua ubunge, Ole Nangole kupitia mawakili John Materu na Dancan Oola aliwasilisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu hiyo.

Hata hivyo, taarifa hiyo ya kusudio la kukata rufaa ilitupiliwa mbali na Mahakama kutokana na kasoro za kisheria.

Baada ya kutupiliwa mbali, kwa kuwa muda wa kisheria wa siku 14 za kuwasilisha kusudio la kukata rufaa ulikuwa umeshaisha, waliwasilisha maombi ya kuongezewa muda wa kuwasilisha taarifa hiyo.

Maombi hayo pia yalitupiliwa mbali na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, ndipo wakapeleka maombi Mahakama ya Rufani.

ACT- Wazalendo Kuzunguka Mikoa 6

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Ndugu Dorothy Semu, anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika mikoa mitano ya Tanzania Bara akiambatana na viongozi mbalimbali wa chama hicho.

Ziara hiyo ya siku nane itaanza tarehe 30 Januari 2018 hadi Februari 6, 2018 kwenye mikoa ya Kahama ambao ni Mkoa Maalum wa Kichama, Kigoma, Katavi, Shinyanga, Tabora na Kigoma.

Aidha taarifa ya Chama hicho imebainisha kuwa katibu ataambatana na Ndg. Wilson Mshumbusi ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee Taifa, Ndg. Janeth Rithe ambaye ni Katibu wa Bunge na Serikali za Mitaa pamoja na Katibu wa Sera na Utafiti Ndg. Idrisa Kweweta.

Moja ya majukumu ambayo Dorothy Semu atayafanya ni kukagua uhai wa Chama, kutoa maelekezo ya ujenzi wa chama, kusikiliza Kero na changamoto za wanachama na kuzipatia ufumbuzi.

Mbali na hayo Katibu Mkuu huyo pia atakagua maendeleo ya zoezi la uchaguzi wa ndani ya chama. Ziara hiyo pia imeelezwa kuwa itawalenga wanachama na viongozi wa ACT Wazalendo wa maeneo hayo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu Ya January 29

Mawaziri Wa Fedha Na Mipango Wa Tanzania Na Rwanda Wakutana Kujadili Mradi Wa Ujenzi Wa Reli Ya Isaka- Kigali

$
0
0
Benny Mwaipaja, WFM
Mawaziri wa Fedha na Mipango wa  Tanzania na Rwanda wamekutana  Jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kupata fedha za Ujenzi wa Reli yenye Kiwango cha Kimataifa (SGR) kutoka Isaka Shinyanga hadi Kigali Rwanda ikiwa ni mwendelezo wa mikutano kuhusu suala hilo iliyoanza kuanzia Januari 20, 2018.

Katika Mkutano huo wamejadili kuhusu njia ambayo inaweza kuwa rahisi kupata fedha ikiwemo ya kutumia Sekta binafsi, Serikali kukopa au kumweka mwekezaji ambapo wamekubaliana kupitia upya taarifa zilizo wasilishwa mezani za pande hizo mbili  na kufanya maboresho na pia kuzungumza na Benki ya Dunia (WB), Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Maendeleo ya Afrika kwa pamoja ili wakati wa kikao kijacho waweze kujadili suala hilo kwa kuangalia vigezo na masharti ya kupata fedha.

Kikao hicho ambacho ni cha watalamu kimewakutanisha Waziri wa Fedha na Mipango wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango na Waziri kutoka Rwanda Mhe. Gatete Claver pamoja na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura na Makatibu wakuu wa wizara hizo na wajumbe wengine.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango wa Tanzania Bw. Doto James na mwenzake wa Rwanda Bw. Caleb Rwaungaza, wamesaini maagizo hayo ya Mawaziri kwa ajili ya utekelezaji.

Ikumbukwe kuwa mapema mwezi huu Mhe. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa Rwanda Paul Kagame walikubaliana kutekeleza mradi huo wa ujenzi wa Reli kutoka Isaka Shinyanga hadi Kigali Rwanda na wakatoa maagizo ya kuanza utekelezaji kwa kuangalia namna ya kupata fedha za mradi huo.

Serikali Yauza Meno Ya Viboko Kwa Sh.30,900,000/= Katika Mnada Wa Hadhara Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa  Wanyamapori Tanzania (TAWA)  imefanya mnada wa hadhara wa kuuza meno ya viboko vipande  12,467 yenye uzito wa kilo 3,580.29   katika   ofisi  zake ndogo katika  Jengo la Mpingo,  jijini Dar es Salaam ambapo jumla ya makampuni  19 yenye leseni daraja la kwanza yameshiriki  katika mnada huo.

Mnada huo umefanyika  chini ya usimamizi wa Wizara ya Fedha na Mipango ambapo  kampuni ya  On Tours Tanzania Limited  imeibuka mshindi kwa kwa kununua meno hayo kwa jumla ya shilingi  30,900,000/=

Awali akizungumza katika mnada huo, Mwenyekiti kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Karerema Kwaleh aliwataka wafanyabiashara kuzingatia masharti mnada huo.

Ambapo Karerema alimtaka mfanyabiashara yeyote  atakeibuka mshindi  kulipia asilimia ishirini na tano (25%) ya bei papo hapo na asilimia sabini na tano (75%) italipwa yote katika muda wa siku kumi na nne (14) baada ya mnada.

Kufuatia sharti hilo baada ya kutangazwa kwa  mshindi,  Mwakilishi  kutoka Kampuni hiyo, Grey Kilas   aliweza  kulipia asilimia kiasi hicho cha  asilimia ishirini na tano (25%) papo hapo na asilimia sabini na tano (75%) atailipia  ifikapo  Februari 11, 2018.

Wakati huohuo,  Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu TAWA, Mabula Misungwi  amewatoa wasiwasi wananchi kuwa biashara  hiyo haiwezi  kuchochea ujangili kwa vile meno hayo  yanauzwa kwa  wafanyabiashara  wale tu wenye  leseni za nyara daraja la kwanza

Mabula amesema meno hayo yalianza  kukusanywa tangu mwaka 2004 na huko nyuma serikali ilikuwa ikiyauzia makampuni yenye leseni lakini kwa mwaka huo wameanza utaratibu mpya wa kuuza meno hayo kwa njia ya mnada.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Kampuni hiyo, Grey Kilas ameishukuru wasimamizi wa mnada huo kuwa umeendeshwa kwa uwazi wa hali ya juu na umetoa fursa kwa kila mmoja wao

Akizungumzia kuhusu soko, Kilasi  amesema meno hayo  huuzwa nchini  Japan, Marekani na Hongkong ambapo hutumika katika kutengenezea mapambo kama vile stempu pamoja na vishikizo vya nguo.

Itakumbukwa kuwa kwa mara mwisho  biashara hiyo ya kuuza meno ya viboko ilifanyika mwaka 2004.

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

TLP yaivaa UKAWA uchaguzi wa marudio Kinondoni

$
0
0
Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimevishukia vyama vinavyounda Ukawa kufuatia uamuzi wake wa kushiriki uchaguzi mdogo wa Ubunge katika majimbo ya Kinondoni na Siha, baada ya kuususia uchaguzi huo kwa madai kuwa uchaguzi hautokuwa wa haki.

Akizungumza na wanahabari jana  Januari 29, 2018 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu wa TLP, Richard Lymo amedai kuwa, uamuzi huo wa UKAWA ambao umemsimamisha mgombea wa Chadema, Salum Mwalim kugombea jimbo la Kinondoni umewadanganya wananchi.

“Uamuzi huo umeonyesha kwamba Chadema haiheshimu wananchi, umedanganya wananchi na umeathiri upinzani. Walitangaza kujitoa halafu wamebadili gia angani kitendo hiki hakikubaliki,” alisema.

Lymo amedai kuwa, Chadema imesimamisha mgombea pasipo kufuata taratibu kutokana kwamba hakuna kikao kilichokaliwa wala maamuzi yaliyotolewa na vyama vinavyounda UKAWA katika kupendekeza mgombea wake.

“Katika uchaguzi huu hakuna UKAWA sababu iko vipande vipande, hakuna kikao au maamuzi ya UKAWA Chadema waliamua tu kutokana na maamuzi yao ya mwisho mwisho ya kushiriki uchaguzi. Kama wangesema hadharani sababu zilizowafanya kususia uchaguzi zimekwisha tusingepiga kelele,” alisema.

Bunge kuanza Vikao Leo, laweka wazi ratiba zake

$
0
0
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajiwa kuanza kunguruma leo (Jumanne) na Mkoani Dodoma kwa kuanza kuapisha Wabunge wapya watatu pamoja na kupitisha miswada miwili ya sheria ambayo ilisomwa kwa mara ya kwanza katika mkutano wa tisa.

Hayo yamewekwa wazi na taarifa rasmi iliyotolewa na ofisi za Bunge kupitia Kitengo cha Habari na Mawasiliano na kusema kuwataja wabunge hao ambao watakula kiapo cha uaminifu kuwa ni Mhe. Dkt. Damas Daniel Ndumbara kutokea Songea Mjini, Mhe. Monko Justine Joseph wa Singida Kaskazini na kumaliziwa na Mhe. Dkt. Stephano Lemomo Kiruswa wa Longido.

Aidha, katika mkutano huo wa 10 kutakuwa na wastani wa maswali 125 ya kawaida yanayotarajiwa kuulizwa na Wabunge huku wastani wa maswali 16 yakiwa ya papo kwa hapo kuenda kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu ambayo yanatarajiwa kuulizwa siku ya Alhamisi mnamo februari mosi.

Kwa upande mwingine, Kamati 16 za Bunge za kudumu zitawasilisha taarifa zake Bungeni hapo.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Kigwangalla Awatupia Tuhuma Nzito Lowassa na Sumaye

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amesema vigogo watano ni miongoni mwa wanaotajwa kuwa ni kati ya watu 83 waliochukua maeneo na kujenga nyumba katika kiwanja cha Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro (NCAA), wakiwamo mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye.

Akizungumza na wajumbe wa bodi mpya ya NCAA aliyoizindua jana, Dk Kigwangalla alisema mwingine ni Daniel Ole Njoolay ambaye aliwahi kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha.

“Nimewataja hawa baadhi, najua kuna wengine, sasa naipa jukumu bodi na menejimenti kuendelea kuwataja na hatua za kurejesha ardhi zianze,” alisema.

Waziri huyo alisema tayari ameshamueleza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi juu ya mgogoro huo.

Alisema anajua njama zilizotumika kugawa eneo hilo la ekari 20 kati ya 40 kwa kuwa jiji la Arusha lilikuwa halina uwezo wa kugawa eneo ambalo si lake.

“Jiji wamegawa eneo hili mwaka 1996 wakati likiwa chini ya umiliki wa Shirika la Taifa la Utalii lililobinafsishwa na NCAA walinunua hili eneo mwaka 2006,” alisema.

Lakini, mmoja wa wakazi wa eneo hilo, Juliana Peter alisema walipata viwanja hivyo baada ya jiji kutangaza kuvigawa wakifuata taratibu zote, “Mzazi wangu ndiye alinunua kiwanja na najua ana hati hivyo sisi si wavamizi.”

Mbali na kuitaka kufuatilia suala hilo la ardhi, Dk Kigwangalla ameitaka, “kusaidia kusimamia mali za NCAA lakini pia kuongeza siku za watalii kukaa Ngorongoro kutokana na kuongeza vivutio.”

“Pia mnapaswa kukaa na jamii kuboresha mahusiano ili ule mpango wa Ngorongoro wa miaka 10 ufanikiwe, hivyo mnapaswa kukaa na jamii kutafuta namna bora ya kujenga mahusiano kupitia miradi ya maendeleo,” alisema.

Dk Kigwangalla alirejea agizo lake kwa Jeshi la Polisi kutaka liwakamate watuhumiwa wanne kwa madai ya kushiriki katika mtandao wa ujangili ndani ya siku saba.

Alitoa agizo hilo Januari 25 na kusisitiza kwamba jeshi hilo likishindwa kuwakamata, atalishtaki kwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Dk Kigwangalla alisema jana kwamba anasubiri siku saba zifike na kama hatua zitakuwa hazijachukuliwa atafikisha suala hilo kwa Rais John Magufuli.

“Uamuzi wangu niliotangaza Januari 25 upo palepale nilitoa siku saba hazijafika ila zikifika kama hakuna hatua nitampelekea Rais jambo hili,” alisema.

Alisema ana imani kubwa na Polisi kuwa itazifanyia kazi taarifa alizotoa.

Hata hivyo, siku moja baada ya kutoa agizo hilo, msemaji wa jeshi hilo, Barnabas Mwakalukwa alisema halifanyi kazi kwa matamko, bali kwa kufuata kanuni, taratibu na sheria za kuanzishwa kwake.

Wanaokopa Matrilioni Nje Ya Nchi Kwa Dhamana ya Ardhi ya Tanzania Kubanwa Zaidi

$
0
0
Bunge  limesema limebaini ardhi ya Tanzania imewekwa dhamana ya mkopo katika benki za ughaibuni na baadhi ya Watanzania na raia wa kigeni waliokopa matrilioni ya shilingi.

Hayo yalielezwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mohamed Mchengerwa

Mchengerwa alisema kamati yake, mbali na mambo mengine, imetaarifiwa na serikali kuwa kuna Watanzania na Wakenya wachache wamekopa matrilioni ya shilingi katika benki za ughaibuni wakiweka dhamana mashamba yaliyopo nchini.

Alisema changamoto hiyo ndiyo iliyoilazimu serikali kuwasilisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali Na.5 wa Mwaka 2017 ambao umeigusa Sheria ya Ardhi, ili kutunga sheria ambayo itaondoa mwanya huo, akidokeza kuwa Sheria ya Ardhi iliyopo ina dosari ya kutokuwa na kipengele kinachodhibiti hali hiyo.

Muswada huo unaotarajiwa kusomwa kujadiliwa katika mkutano wa 10 wa Bunge la 11 unaoanza leo, ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni Novemba, mwaka jana, wakati wa mkutano uliopita wa chombo hicho cha kutunga sheria.

Mchengerwa alisema kamati yake ilipata wiki mbili kwa ajili ya uchambuzi wa muswada huo na kubainisha kuwa wameuboresha kwa kiasi kikubwa.

"Kwa historia na taarifa ambazo tumepewa, kuna Watanzania, wale wa juu kidogo ambao wao wamekwenda kukopea mashamba yetu ambayo yako wazi. Wamekwenda kukopa matrilioni ya shilingi nje ya Tanzania wakiweka dhamana mashamba yetu, na mashamba haya yako wazi, hayajaendelezwa," alisema.

Mchengerwa alisema zaidi: "Na tunaamini sheria hii tukiipitisha na kama mikopo itakwenda kuboresha mashamba, naamini Tanzania tutapiga hatua kubwa sana kwa sababu kama leo hii zaidi ya Sh. trilioni moja, trilioni mbili ziko nje ya nchi au zimekopewa na watu katika mashamba makubwa ambayo tunayaona yana miti, hayajaendelezwa kabisa, na aliyekopa alidhamiria kwenda kujenga kiwanda kwenye eneo lilelile au kulima kilimo fulani na hajakiendeleza, inamaanisha zile Sh. trilioni mbili zingeiingia Tanzania na kile kilimo kingelikuwa na tija."

Mbunge huyo wa Rufiji (CCM) alibainisha kuwa muswada huo ulipowafikia ulikuwa unagusa watu wote, lakini wameuboresha kwa kuondoa kipengele kinachozuia hata wananchi wa kawaida kukopa fedha benki kwa kuweka dhamana ya ardhi wanayoimiliki.

Alisema kwa sheria mpya itakayotungwa, madhumuni ya mkopo kwa dhamana ya ardhi ndiyo yataamua mtu kupatiwa mkopo huo au la.

"Na sheria hii inakwenda kuweka uzalendo wa Mtanzania. Nchi kwanza, eeh! Ukikopa fedha kwa ajili ya kilimo, na mikopo hii inatolewa na benki za nje ya nchi ndiyo maana nikakudokezea tu kwamba kuna Watanzania wamekwenda kukopa nje ya nchi, tena mikopo mikubwa, lakini hawajaboresha lolote katika ardhi ambayo wameikopea," alisema.

"Sheria hii (mpya) ni nzuri, ni moja ya sheria za kizalendo ambayo itatungwa na Bunge la Tanzania. Na huu ni mfululizo wa sheria nzuri kama ile ya madini, inakwenda kulinda rasilimali ya nchi yetu.

"Labda nikwambie tu kwamba wapo Wakenya wamechukua mashamba yetu na kwenda kuyawekea dhamana kwenye benki zao za Kenya.

"Kwa hiyo sheria hii inakwenda kusaidia japokuwa sheria ya sasa inasema hata kama kuna ardhi unaimiliki, Wizara ya Ardhi inaweza kukunyang'anya. Wapo Watanzania, wachache sana lakini, ambao wamechukua ardhi yetu na kwenda kuikopea huko nje.

"Sitaki kuongea 'in details' (kwa kina) kwa sababu ni mambo ya kamati, lakini wapo Watanzania na wengine si Watanzania, mfano hao Wakenya, ambao wameweka ardhi yetu kama dhamana nje ya nchi."

Alisema muswada uliofanyiwa kazi na kamati yake utakuwa na sura tofauti na ule uliowasilishwa na serikali kwa kuwa umefanyiwa uchambuzi mkubwa na maeneo mengi yameboreshwa kwa makubaliano kati ya Bunge na serikali.

Alisema kamati yake imeongeza baadhi ya vifungu katika maeneo ambayo yalionekana kuwa na utata au kutotoa tafsiri ya maneno na pia wamepunguza baadhi ya vifungu ambavyo vilionekana vikipitishwa kama ilivyopendekezwa na serikali havitakuwa na maslahi kwa taifa.

"Kwanza kabisa tumeboresha na kuondoa kipengele ambacho kinajumuisha ardhi yote kwa 'security' ya dhamana. Wapo wananchi wetu ambao ardhi yao kule vijijini ambao na maeneo mengine wasiingie katika sheria hii.

Tukaongeza kifungu ambacho kinawaondoa Watanzania wa kawaida," alisema na kuongeza:

"Kwa hiyo, kimsingi marekebisho haya yanakwenda kuwabana wale watu wakubwa ambao siyo miongoni mwetu sisi wa kawaida. Ni wafanyabiashara wakubwa, wanaochukua ardhi yetu kama dhamana halafu hawaendi kufanya lolote.

"Unajua unapokwenda kukopa benki kwenye ardhi yako, kama unakwenda kukopa kwa ajili ya kilimo fulani, basi sheria hii inataka uende ukalime. Hata kama si kwenye eneo lote, ulime sehemu tu halafu fedha uiwekeze maeneo mengine. Sheria hii haizuii kwamba fedha yote iingie kwenye kilimo.

"Tunataka tujiridhishe ile ardhi yako unaitumia kwa ajili ya kilimo? Umeendeleza kilimo? Lakini kama unataka kukopa kwa vitu vingine, unataka kukopa kwa ajili ya ujenzi wa ghorofa, madhumuni ya mkopo lazima yaonyeshwe kwenye maombi yako unayokwenda kuiombea mkopo."


Dawa ya Asili ya Vidonda vya Tumbo, Pumu, Nguvu za Kiume, Korodani kuvimba

$
0
0
Super Muhi Mix Power:  Ni dawa ya nguvu za kiume kutoka Congo, inatibu na kuponesha kabisa tatizo la nguvu za kiume, itakufanya uweze kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka. Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 20- 25, huimaliha misuli iliyolegea na kusinyaa. Dawa hii imechanganywa na mizizi 11.

Sub 3Mix; Hii ni dawa ya mvuto wa mapenzi, huvuta mume, mke, mchumba na atatimiza ahadi zote alizokuahidi. Pia mkufu na pete ya bahati vipo.

Pata pia dawa ya pumu, ngiri, kisukari, kaswende, vidonda vya tumbo na korodani kuvimba

Mawasiliano: 0659874143

Lowassa, Njoolay Wazipangua Tuhuma za Kigwangalla.....Sumaye Kaahidi Kumshitaki Mahakamani

$
0
0
Familia ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Sumaye na  na Njoolay imetupilia mbali madai yaliyoelekezwa kwake na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kingwangalla, jana.

Katika madai yake aliyoyatoa wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Njiro mjini hapa, Dk. Kigwangalla alidai Lowassa ni sehemu ya watu waliojipatia eneo katika eneo la mamlaka hiyo.

Msemaji wa familia ya Lowassa, Fredrick Lowassa, alitupilia mbali madai yaliyotolewa na Dk. Kigwangalla huku akisema familia yao inatambua kumiliki eneo hilo kihalali.

Akizungumzia tuhuma hizo Sumaye huku akicheka alisema, “...Nitampeleka mahakamani. Nyinyi cha kufanya andikeni hicho alichokisema vizuri ili nimpeleke mahakamani. Sina nyumba yoyote Arusha sasa kama anadhani yeye kazi yake ni kuwachafua watu acha aendelee, nampeleka mahakamani.”

Fredrick katika ujumbe wake alioutoa mara baada ya baba yake(Lowassa) kutajwa alisema, “Nimesikia taarifa za Kigwangalla akitaja jina la Lowassa kama mmoja ya watu eti walioshiriki kupora ardhi Arusha.”

Alisema amesikitishwa na matamshi hayo akisema hakutarajia kutolewa na mtu mwenye wadhifa wake.

Alisema Dk Kigwangalla anatumia vibaya dhamana aliyopewa na Rais John Magufuli kwa mambo ambayo Wizara ya Ardhi ina wataalamu wenye uwezo wa kuchukua hatua stahiki kwenye mgogoro wowote.

“Nikiwa kama msemaji wa familia ninazo katika kiganja cha mikono yangu taarifa zote za umiliki wowote unaomgusa Lowassa,” alisema, 

“Ninaweza kuuhakikishia umma kwamba yote aliyosema Kigwangalla hayapo na kama anayo basi sisi tuko tayari afanye lolote lililo chini ya mamlaka yake badala ya kurejea kule tulikopita ambako yeye na wenzake kadhaa walifanya bila mafanikio kuchafua heshima za wote anaowataja bila sababu.”

Baadaye waziri huyo alimjibu mtoto huyo wa Lowassa akisema,“Mdogo wangu Fredrick Lowassa, tulia usiwe na hofu. Sikukurupuka kuhusu issue ya mzee wako, Ndg. Edward Lowassa, kama ana kiwanja ama la, kwenye eneo la Plot No. 4091 Njiro Arusha.


"Ukweli ni kwamba nilichokisema ni kuwa ‘tusubiri tupate majibu toka kwa mamlaka inayohusika na kutoa hati za umiliki wa ardhi kwa sababu kuna majina mengi makubwa yanasemwa... Hatuwezi kuwahukumu ama kuwataja waziwazi kwa sasa mpaka tupate nyaraka maana inawezekana wanasingiziwa.”


Njoolay, ambaye pia amewahi kuwa mkuu wa mikoa ya Mwanza na Rukwa alisema,“Nimesikitishwa sana na tamko la waziri. Niliwahi kuwa kiongozi serikalini, siwezi kuwa mvamizi kwa sababu Jiji lilitangaza viwanja na sisi tukaomba na kupatiwa kama wananchi wengine. 


"Kigwangalla kama alitaka kupata ukweli angekutana na sisi kwanza. Akitaka kupata ukweli aunde kamati ndogo ambayo itabaini ukweli. Kusikiliza kabla ya kutuhumu ndio utawala bora. Tunajua Serikali haifanyi kazi kwa matamko kama suala hili lipo tunasubiri barua kutoka serikalini.”

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0
Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Nabii Tito Mahakamani....Nini Kiliendelea? Bofya Hapa

$
0
0
Onesmo Machibya maarufu ‘Nabii Tito’, mkazi wa mtaa wa Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma mwenye umri wa miaka 45, January 29, 2018 amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya wilaya ya Dodoma kwa kosa la kujaribu kujiua.

Akisoma shtaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo James Karayemaha, wakili wa serikali Salome Magesa alisema mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo January 25 2018 huu katika kijiji cha ng’ong’ona.

Alisema ‘Nabii Tito’ alitaka kujiua kwa kutumia wembe ambapo alijijeruhi kwenye baadhi ya maeneo ya mwili wake wakati akikamatwa na polisi na kwamba ametenda kosa hilo kinyume na kifungu namba 217 na kanuni zake.

Hata hivyo mshtakiwa huyo alipoulizwa na Hakimu alisema alichukua uamuzi huo baada ya kusikia sauti ikisema ajikate na wembe nakudai alitekeleza alichokisikia .

Baada ya kupata maelezo hayo Hakimu huyo alisema kutokana na alichokisikia kutoka kwa Nabii Tito anachukulia kuwa amesema si kweli kuwa ametenda kosa hilo na kuhoji upande wa mashtaka kuhusu upelelezi wa kesi hiyo kama umekamilika.

Hata hivyo kwa mujibu wa kifungu cha sheria 148(5) (b) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura ya 20 alisema amewasilisha mahakamani kiapo cha kupinga dhamana kwa mshtakiwa chenye sababu saba ambazo hakuziainisha ndani ya Mahakama hiyo.

Kutokana na pingamizi hilo Hakimu Karayemaha alisema mshtakiwa huyo ataendelea kuwa rumande hadi hapo Mahakama itakapoamua kuhusu dhamana yake.

Waziri Mkuu asema Afrika imeazimia kujiimarisha kuzalisha umeme

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema nchi za bara la  Afrika zimeazimia kujiimarisha katika uzalishaji wa umeme hadi vijijini ili uweze kuleta maendeleo.

Taarifa iliyotolewa leo Januari 30, mwaka 2018 na ofisi ya Waziri Mkuu imesema Majaliwa ametoa kauli hiyo jana Januari 29, 2018 baada ya mkutano wa viongozi wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.

Amesema nchi hizo zimeazimia kuzalisha umeme mwingi kwa lengo la kuinua kiwango cha maisha ya wananchi wake na kuharakisha maendeleo ya kiuchumi

Katika mkutano huo ambao Majaliwa alimuwakilisha Rais John Magufuli, amesema nchi za Afrika zimejipanga kuzalisha umeme wa kutosha mijini na vijijini.

Amebainisha kuwa nchi hizo zinatakiwa zijitegemee kiuchumi, ambapo nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) na jumuiya nyingine za Afrika zimefikia mapendekezo ya kuimarisha uzalishaji wa umeme.

“Tanzania iko vizuri kwa sababu ina vyanzo vingi vya kuzalisha umeme na sasa ina mikakati ya kuzalisha umeme wa kutosha kuendesha viwanda vikubwa na kukaribisha wawekezaji kwenye maeneo mbalimbali,” amesema Majaliwa.

Katika hatua nyingine, Waziri  Majaliwa amesema malengo  ya mkutamo huo yalikuwa ni kupokea taarifa za tume mbalimbali zilizoundwa katika kikao kilichopita.

Amesema miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na ya tume iliyokuwa  inashughulikia masuala ya usalama na amani bara la Afrika.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images