Waziri
wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ukaguzi wa ujenzi wa
nyumba za Serikali zipatazo 851 zilizopo katika eneo la Mabwepande,
Kinondoni,jijini Dar es Salaam zinazosimamiwa na Wakala wa Majengo
Tanzania (TBA). Huu ni muendelezo na mikakati ya Wizara ya Ujenzi ya
kuwajengea na kuwauzia watumishi wa Serikali nyumba kwa bei nafuu.
Waziri
wa Ujenzi,Dkt. John Pombe
Waziri Mgufuli akagua ujenzi wa nyumba 851 za serikali zinazojengwa Mabwepande jijini Dar
↧
↧
CHADEMA wamvaa Rais Kikwete , Wampa siku 3 za kuifuta kauli yake....Nape Nnauye ajibu mapigo, adai kuwa Rais Kikwete hawezi kuifuta kauli hiyo, asisitiza kuwa dawa ya moto ni moto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete awe amefuta kauli yake aliyoitoa Februari 15 mwaka huu, mjini Dodoma baada ya kufunga Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC).
Kauli hiyo ni ile iliyowataka wanachama wa CCM kuacha unyonge badala yake wajibu mapigo ya wapinzani hasa wanaoendesha siasa za vurugu katika kampeni za uchaguzi.
Rais Kikwete
↧
Baby Madaha atangaza kuachana na sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa amechoshwa na maisha ya presha
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu anaswe katika mtego wa kujiuza, staa wa Bongo, Baby Madaha
ametangaza kuachana na sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa
amechoshwa na maisha ya presha.
Akiongea na mwandishi wetu juzikati jijini Dar es Salaam, Madaha
alisema ishu ile imemsababishia matatizo makubwa ya kifamilia na hata
kibiashara, hivyo kujutia mchezo mzima ulivyokuwa.
↧
Juma Nature Akana Madai ya Kumponda Diamond kwenye Nyimbo yake Mpya…Adai ‘Dada Mondi’ ni Msanii tofauti.
Hatimaye Juma Nature, amezungumzia utata ulioibuka kwenye wimbo wake mpya Kama Jana, unaohusiana na kama kweli amemdiss Diamond.
Akiongea na kipindi cha Showtime Next Chapter, Juma Nature aka
Kiroboto amesema jina la ‘Dada Mondi’ lililofanya wengi waamini kuwa ni
version yake ya Diamond, ni jina la msanii mwingine kabisa.
“Hamna diss ya kumdiss Diamond, Diamond hajadisiwa,”
↧
Video ya Nape akisimulia UNYAMA wa CHADEMA ulioilazimisha CCM iwatangazie wanachama wake kuacha unyonge na kujibu mapigo
↧
↧
Mkuu wa IGP Ernest Mangu na Chagonja wakemea uhalifu na mauaji nchini....Wadai kuwa jeshi la polisi limejipanga vyema kukabiliana na matukio haya
Na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi, Moshi.
Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea
↧
Ajali mbaya: Lori la mafuta ladondoka mlima Sekenke na kuua watu wanne papo hapo
LORI la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani Singida na kuua watu wanne papohapo.
Chanzo cha
ajali hiyo ni kufeli breki lori hilo kukamata moto wakati lilipokuwa
linashuka milima hiyo. Shuhuda wa ajali hiyo, bwana Julius Chacha
alipoongea na Dj Sek Blog amesema kuwa lori hilo lilipoacha njia
lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.
↧
Taarifa ya serikali kuhusu baraza la maaskofu wa kipentekoste Tanzania kutokuwa na uwakilishi katika bunge maalumu la katiba
TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU BARAZA LA MAASKOFU WA KIPENTEKOSTE TANZANIA
(PENTECOSTAL COUNCIL OF TANZANIA) KUTOKUWA NA UWALIKILISHI KATIKA BUNGE
MAALUM LA KATIBA
1. Uteuzi
wa Wajumbe wa Bunge la Katiba unafanywa kwa mujibu wa Sheria ya
Mabadiliko ya Katiba, Sura, 83 (The Constitutional Review Act, Cap 83).
Sheria hii inaweka mamlaka ya uteuzi, masharti, taratibu, vigezo na
mambo
↧
Facebook yanunua application ya 'WhatsApp' kwa jumla ya dola bilioni 19
Facebook wanazidi kujitanua zaidi kibiashara katika
ulimwengu huu wa dijiti ambapo wameweza kufanya makubalino na
waanzilishi wa ‘WhatsApp’, Jan Koum na Brian Acton kuinunua kwa
makubaliano ya jumla ya dola bilioni 19 pamoja na hisa.
Mwanzilisihi wa Facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa walianza
kuzungumzia hatua hiyo siku 11 zilizopita ili waweze kuimiliki WhatsApp
ambayo hivi sasa
↧
↧
Mtandao mkubwa wa wizi wa fedha za serikali katika wizara ya fedha....Ni akina nani wameiba hizi bilioni 480 ?
Ugumu uliopo hapa ni kwamba haijulikani kama fedha hizo zilizopotea
zilitokana na kodi za wananchi au wafadhili ambao walichangia Sh842
bilioni katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2012/13.
Tangu gazeti la The Citizen lichapishe
mwishoni mwa wiki habari za upotevu wa Sh480 bilioni katika Wizara ya
Fedha, Serikali imekaa kimya kama vile wizi huo ni tukio la kawaida,
hivyo halihitaji
↧
CHADEMA yamwekea pingamizi mgombea wa CCM kalenga ikidai kuwa si raia wa Tanzania
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CHADEMA, Grace Tendega, amemuwekea pingamizi mgombea mwenzake kupitia CCM, Godfrey Mgimwa, kwa kile kinachodaiwa kuwa si raia wa Tanzania.
Tendega alichukua fomu ya kumwekea pingamizi hilo juzi wakati zoezi la kusitisha fomu za wagombea ukiwa umefikia kikomo. Jana majira ya mchana mgombea huyo alirudisha fomu ya pingamizi kwa msimamizi wa uchaguzi
↧
Wabunge waikataa posho ya sh 300,000 kwa siku....Wanadai eti ni ndogo sana na haiendani na hadhi zao
WAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge
Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai
posho nono.
Wajumbe hao wanapinga posho ya sasa ya Sh 300,000 kwa siku, ambayo
kwa wananchi wa kawaida inaonekana ni kubwa, lakini vielelezo vyao ni
taarifa, kwamba wajumbe ambao wanatoka
↧
Ombi la kesi ya Sheikh Ponda kusikilizwa Februari 26 mwaka huu....
Mahakama
Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imesema itasikiliza maombi ya
kufanya marejeo kuhusu kuliondoa shitaka la kukaidi amri halali
iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam
dhidi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda
Issa Ponda (pichani) Februari 26, mwaka huu.
Hatua hiyo imefikiwa jana mahakamani hapo baada ya Sheikh
↧
↧
Bunge la Katiba: Wadau walaumu mume na mkewe kuteuliwa kukiwakilisha chama.... Ni chama cha NLD ambapo mwenyekiti wake alijiteua yeye na mkewe.
Habari kwa mujibu wa gazeti la MWANANCHI — Chama cha National
League for Democracy (NLD) Zanzibar kimemtaka, Rais Jakaya Kikwete
kufuta uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia chama hicho
kwa madai kuwa walioteuliwa katika chama hicho ni mtu na mkewe na
kufanya uteuzi huo kukosa sura ya Muungano.
Tamko hilo limetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa NLD - Zanzibar, Khamis
Haji
↧
Watoto mapacha waliopelekwa kutenganishwa nchini India warejea jijini Dar
Watoto
mapacha kutoka wilayani Kyela mkoani Mbeya waliokuwa wamepelekwa na
serikali chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kufanyiwa upasuaji
mkubwa wa kuwatenganisha wakiwasili nchini Tanzania kutokea nchini India
walipokuwa wakipatiwa matibabu katika hospitali ya watoto ya Appolo.
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Magonjwa ya Nje wa Wizara ya Afya na Ustawi
wa Jamii Dkt. Edward Sawe,
↧
Familia ya watu watatu yahamishia makazi yake chooni
FAMILIA ya watu watatu akiwemo mtoto wa umri wa miaka saba
imelazimika kuhamishia makazi chooni baada ya paa la nyumba waliyokuwa
wakiishi kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha wiki
iliyopita katika Wilaya ya Hai.
Familia hiyo ya Aziza Mohamed (55), mwanae wa kiume, Sikujua Aloyce
(40) na mjukuu wake wakazi wa Kitongoji cha Kijiweni, Kijiji cha
↧
Baada ya wabunge kuikataa posho ya sh. 300,000 kwa siku, Mwenyekiti ameamua kuunda tume ya watu 6 itakayotazama jinsi ya kuboresha viwango vya posho hizo.
Suala la posho limezidi kuwa kaa la moto katika vikao vya Bunge
la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma leo, hali iliyomlazimu mwenyekiti
wa muda, Pandu Ameir Kificho ateue timu maalum ya watu 6 kutazama jinsi
ya kuboresha viwango vya posho hizo.
Timu hiyo inatarajiwa kuyachunguza kwa undani
mahitaji ya wajumbe wa Katiba, kisha kuisaidia serikali kutafuta jinsi
ya kuongeza posho hizo
↧
↧
Uganda yapiga marufuku vimini, vitopu na mavazi mengine ya nusu uchi.....Atakaye kaidi, atafungwa jela miaka 10 mpaka 15
RAIS Yoweri Museveni amesaini sheria ambayo inaharamisha mavazi yasiyo ya heshima na picha za utupu.
Pia, wanawake wamepigwa marufuku kuvaa nguo fupi - vimini na blauzi fupi – vitopu, ambavyo vinashawishi hisia za ngono, isipokuwa kama vivazi hivyo vitatumika kwa madhumuni ya kutoa elimu au matibabu au kutumika kwenye michezo na utamaduni.
Akizungumza na waandishi wa habari katika
↧
Baada ya CHADEMA kuweka pingamizi, CCM yamwaga VIELELEZO Kuthibitisha kuwa Godfrey Mgimwa ni Raia wa Tanzania
Bw.
Godfrey Mgimwa akiwa ameshika Passport yake aliyokuwa akiwaonesha
waandishi wa habari leo katika ofisi kuu za CCM mkoa wa Iringa
alipokutana na waandishi wa habari
***
Chama cha
Mapinduzi (CCM) kimekanusha madai yaliyotolewa kwenye pingamizi na
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba mgombea wao (CCM)
katika Jimbo la Kalenga, Godfrey William Mgimwa, siyo Mtanzania
↧
Umoja wa Mataifa waiomba Tanzania kupeleka wanajeshi ( JWTZ ) Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani.....Hii ni kutokana na ubora uliotukuka wa jeshi letu
Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi
wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani
kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Bernard Membe alisema Dar es Salaam jana kwamba Serikali
imekubali kupeleka batalioni moja baada ya kuombwa na Umoja wa Mataifa
(UN).
↧
More Pages to Explore .....