Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mchungaji Msigwa Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kuchoma Nyuma

$
0
0
 Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa akishtakiwa kwa kesi mbili.

Katika kesi moja anadaiwa kuchoma moto nyumba ya Mary Tesha aliyokuwa akiishi Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Alphonce Muyinga.

Mchungaji Msigwa ambaye ni mshtakiwa wa saba katika kesi zote mbili amefikishwa mahakamani leo Jumatano Januari 24,2018 baada ya kuripoti kituo kikuu cha Polisi.

Katika kesi hiyo namba 6 ya mwaka 2018 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, David Ngunyale, Wakili wa Serikali, Felix Chakla amedai kati ya Januari 5 na 14,2018  washtakiwa walipanga njama za kuharibu mali.

Pia wanadaiwa Januari 15,2018 walibomoa nyumba ya Anjelus Mbogo aliyekuwa diwani wa Mwangata aliyejiuzulu kutoka Chadema na kuhamia CCM.

Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema Iringa Mjini, Leonce Marto; diwani mteule wa Viti Maalumu, Rehema Mbeta na Patrick Madati.

Mchungaji Msigwa na wenzake wako nje kwa dhamana baada ya kila mmoja kusaini bondi ya Sh2 milioni.

Katika kesi ya pili, Mchungaji Msigwa na wenzake sita wanadaiwa kupanga njama ya kutenda uhalifu kinyume cha sheria.

Wakili Chakla mbele ya hakimu Ngunyale amedai Januari 17,2018  washtakiwa kwa pamoja walichoma nyumba ya Tesha aliyokuwa akiishi Muyinga.

Kwa shauri hilo namba 7 la mwaka 2018, washtakiwa wanadaiwa Januari 17,2018 waliichoma moto nyumba hiyo iliyopo kata ya Kihesa katika Manispaa ya Iringa.

Washtakiwa walikana kosa na hakimu  Ngunyale aliwaachia kwa dhamana baada ya kila mmoja kudhaminiwa na wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh3 milioni.

Mchungaji Msigwa na wenzake katika kesi hizo wanawakilishwa na wakili wa kujitegemea Anthony Rutebuka. Hakimu Ngunyale ameahirisha kesi hizo hadi Februari 2,2018.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya January 25

Halima Mdee amtaka Jaji Mkuu kuingilia kesi ya Sugu

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA) Halima Mdee amefunguka na kumuomba Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Hamis Juma kufuatilia mwenendo wa kesi za kisiasa nchini na kudai kuwa baadhi ya mahakimu wamekuwa wakipindisha mambo kwa sababu za kisiasa.

Halima Mdee amesema hayo wakati akiongea na kituo cha EATV na kusema kuwa Jaji Mkuu anaposema wanasiasa wasiingilie Mahakama hivyo na yeye anapaswa kusimama na kuhakikisha kuwa Mahakimu wakitenda haki na kukemea wale ambao kwa makusudi wamekuwa wakipindisha haki za watu.

"Ni zaidi ya wiki sasa Mhe. Sugu yupo ndani lakini amenyimwa dhamana kwa kosa ambalo linadhaminika kisheria na kiutaratibu kwa mujibu wa sheria zetu kama kosa linadhaminika ni wajibu wa polisi kutoa dhamana na polisi wakikushikilia ndani ya zile saa 48 wakikupeleka mahakamani ni jukumu la Mahakama kufanya hivyo sasa suala la Sugu limeenda Mahakamani ambapo huo ndiyo muhimili pekee ambao tunautegemea .

"Sasa unapokwenda Mahakamani sehemu pekee ambayo unaitegemea kupata haki halafu unaona hiyo haki haipatikani kwa makusudi kabisa hivyo Jaji Mkuu na yeye anapaswa kuyatambua haya na kuwakemea baadhi ya Mahakimu ambao wanafanya vitu kama hivi" alisema Mdee

Mbali na hilo Halima Mdee amedai kuwa kuna tetesi za kutaka kumfunga Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi “Sugu' kama ambavyo alifungwa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali.

Uhamiaji wapewa siku tatu tu kuhama mjini

$
0
0
IDARA ya Uhamiaji katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetoa siku tatu kwa watumishi wake walioripoti Dodoma kuhamia katika nyumba zake zilizopo eneo la Iyumbu, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, badala ya kung’ang’ania kuishi katikati ya mji.

Nyumba hizo 63 zenye thamani ya Sh. bilioni 3.8 zimekabidhiwa jana kwa Idara hiyo na Shirika la Nyumba (NHC).

Akizungumza katika makabidhiano hayo, Kamishna wa Fedha wa Idara hiyo, Peter Chogero, kwa niaba ya Kamshina Mkuu alisema serikali imeshanunua nyumba kwa ajili ya watumishi hao hivyo hakuna sababu ya wao kuendelea kuishi katikati ya mji wa Dodoma.

“Uhamiaji imenunua nyumba 63 eneo la Iyumbu ambazo zimejengwa na NHC, tutashangaa kuona watumishi wengine waendelee kuishi mjini wakati nyumba zao zipo hapa Iyumbu,” alisema.

Alitoa siku tatu kuanzia jana kila mtumishi aliyepangwa kuhamia kwenye nyumba hizo awe ameingia kwa kuwa hakuna sababu ya kung’ang’ania kuishi nje ya nyumba hizo wakati zimelipiwa na serikali.

Chongero alisema kabla ya manunuzi ya nyumba hizo, Idara hiyo ilikuwa na nyumba 10 mjini Dodoma ambazo hazikuweza kutosheleza watumishi wote, ikiwamo waliohamia kutoka Makao Makuu Dar es Salaam.

Alibainisha waliamua kuongeza idadi ya nyumba ili kila mtumishi wa Uhamiaji aishi kwenye nyumba ya serikali na kwamba wanatarajia kuongeza nyingine 40.

Naye, Meneja Masoko wa NHC, Itandula Gambalagi alisema ujenzi wa nyumba za Uhamiaji ulianza Desemba, 2016 katika eneo lenye ukubwa wa ekari 234 na ni moja ya sehemu ya mji uliopangiliwa kitaalamu kwa kuzingatia sheria na kanuni za mipango miji.

Alisema nyumba zilizokabidhiwa Uhamiaji ni sehemu ya nyumba 150 zilizojengwa katika mradi wa Iyumbu na tayari nyumba zilizobaki zote zimepata wanunuzi.

Gambalagi alisema nyumba hizo zina miundombinu yote inayotakiwa.

Kwa upande wake, mthamini wa mali za serikali, Joseph Maliti aliagiza Uhamiaji kuingiza nyumba hizo katika daftari la mali za serikali mara moja, ikiwa ni pamoja na thamani kwa kila nyumba.

Polisi Yaendelea Kukuna Kichwa Skata la Nanii Tito

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limesema bado linashauriana na vyombo vingine juu ya hatua za kumchukulia mkazi wa Mtaa wa Ng'ong'ona katika Manispaa ya Dodoma, Onesmo Machibya anayejiita 'Nabii Tito', ambaye anatuhumiwa kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto jana alisema bado jeshi hilo linamshikilia Machibya (44) kwa kuwa imethibitika ana ugonjwa wa akili.

Alisema polisi inashirikiana na vyombo vingine ili kujua hatua stahiki za kumchukulia.

Aidha, Muroto alisema jeshi hilo bado linawatafuta wake zake wawili pamoja na kijakazi wake wanaodaiwa kushirikiana naye kueneza alichosema chuki hiyo.

Muroto, alisema kwa kufanya hivyo, nabii huyo ametenda kosa kwa kukiuka kifungu cha sheria namba 129 cha Kanuni ya Adhabu, sura ya 16 na marekebisho yake ya mwaka 2002.

Alidai pia nabii huyo anaendesha shughuli zake kinyume cha Sheria ya Jumuiya, sura ya 337 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2002.

"Mtuhumiwa huyu amekamatwa baada ya kurekodi vipande vifupi vya matangazo ya video na picha vyenye maudhui ya kukashifu dini nyingine na kuleta chuki dhidi ya watu wengine na kurusha kwenye mitandao ya kijamii; na pia kusambaza vipeperushi kwenye maeneo ya starehe," alisema Kamanda Muroto.

Pia alidai kuwa nabii huyo anatangaza imani ya dini inayokiuka maadili ya nchi na kufanya hadharani vitendo visivyofaa akitumia kitabu kitakatifu cha Biblia ambacho pia hafungamani nacho.

"Pia anatoa tafakari za Biblia zenye upotoshaji, kufanya vitendo vya udhalilishaji hadharani na kuchochea maovu katika jamii, anashirikiana na wanawake wawili anaodai kuwa ni wake zake, mmoja wao akiwa ni kijakazi," alisema Muroto.

Muroto alisema nabii huyo alikamatwa akiwa na majoho meupe yenye misalaba miwili yenye rangi nyeusi mbele na nyuma, vipeperushi 80, Biblia moja na msalaba pamoja na vifaa anavyotumia kutangaza imani yake.

Alisema uchunguzi wa awali umeonyesha kuwa Juni 23, 2014 alilazwa katika Hospitali ya Muhimbili na kutibiwa magonjwa ya akili.

"Aliruhusiswa kutoka wodini na daktari wake Dk. William na kutakiwa kurejea tena kwa uangalizi wa tiba Julai 9, 2014 lakini hakurejea na pia mtuhumiwa alifikishwa Hospitali ya Mirembe Dodoma kwa uchunguzi uliofanywa na Dk. Dickson Philipo na kugundulika kuwa ni mgonjwa wa akili wa muda mrefu," alisema Muroto.

Alifafanua hali ya kuwa mgonjwa wa akili lakini ameendelea kuhamasisha maovu yaliyo kinyume na maadili ya dini zote na desturi za Watanzania huku akionekana ni mtu mwenye akili timamu na kupata watu wanaomshabikia na kuambatana naye.

Miongoni mwa mahubiri ya Nabii Tito ni pamoja na kudai kuwa Biblia imeruhusu watu kunywa pombe na waume za watu kuoa wafanyakazi wao wa ndani.

Tundu Lissu Atolewa Risasi Nyingine Mwilini Mwake

$
0
0
Siku 35 baada ya Tundu Lissu kusema mwili wake bado una risasi moja baada ya kutolewa nyingine 15, jana mbunge huyo wa Singida Mashariki (Chadema) alisema kuwa madaktari wamemtoa kipande cha risasi kilichokuwa mwilini mwake.

Hata hivyo, mwanasheria huyo mkuu wa Chadema, ambaye alishambuliwa kwa zaidi ya risasi 30 akiwa ndani ya gari lililokuwa nje ya makazi yake mjini Dodoma Septemba 7 mwaka jana, alisema chuma hicho ni tofauti na risasi aliyonayo mwilini, ambayo alielezwa na madaktari wa Hospitali ya Nairobi, Kenya kuwa iko sehemu mbaya, lakini isipotolewa haiwezi kumdhuru.

“Leo (jana) madaktari wamenitoa kipande cha chuma katika sehemu ya makalio ambacho nilipokuwa Nairobi (Kenya) madaktari walikiona lakini kilikuwa ndani ya nyama wakashindwa kukitoa,” alisema Lissu

“Kipande hiki kilisogea na wamekitoa. Ni tofauti na ile risasi ambayo iko mwilini mwangu.”

Akieleza kiundani kuhusu hali yake, Lissu alisema anaendelea vizuri.

“Huu mkono wa kushoto ambao ulikuwa na tatizo, wameunyoosha na kuufanyia mazoezi kweli kweli na huu mguu wa kulia ambao ndio wenye tatizo, unaendelea vyema,” alisema.

“Huku ni mazoezi tu. Kwa siku nafanya mazoezi kwa saa nne, Naingia saa 3:00 asubuhi hadi saa 4:00 asubuhi, narudi tena saa 5:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana. Mwisho naingia mazoezini saa 8:00 mchana hadi saa 10:00 jioni. Hiyo ndiyo ratiba yangu kwa siku.”

Alisema katika mazoezi hayo anatumia magongo maalumu pamoja na kiti cha magurudumu.

“Mfano, huu mguu wa kulia natakiwa kuukanyagia kwa kilo 20 hadi 25 katika mzani na mimi nina kama kilo 90. Ninapoukanyagia ninaulizwa kama unauma, ikiwa sijasikia maumivu ina maana sijafanya kitu, kwa hiyo ni kazi kwelikweli,” alisema.

Kuhusu muda ambao anatakiwa kufanya mazoezi hayo mpaka atakaporejea katika hali yake ya kawaida, Lissu alisema bado hajajua.

“Ah bwana we, hapa madaktari wamegoma kunieleza hilo, lakini wameangalia katika maungio ya goti la mguu wa kulia kuna mfupa haujaunga vizuri, ni lini utaunga hilo sijajua,” alisema.

Mara baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu ambao hadi sasa hawajajulikana, Lissu alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Dodoma kwa matibabu ya awali kabla ya kuhamishiwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya siku hiyo usiku.

Desemba 21 mwaka jana wakati akihojiwa na kituo cha televisheni cha Azam, Lissu alisema madaktari wa Nairobi walimueleza kuwa risasi iliyokuwa imesalia mwili haina madhara.

Alisema risasi saba zilitolewa na madaktari hao, jambo lililomaanisha kuwa risasi nyingine nane, zilitolewa na madaktari wa Tanzania, saa chache baada ya kushambuliwa alipofikishwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.    

Mabilioni ya JPM zimebaki siku sita

$
0
0
Mabilioni  yaliyoahidiwa na Rais John Magufuli kwa wazabuni mbalimbali yanatarajiwa kuanza kutolewa kuanzia siku sita zijazo kama ilivyoahidiwa kutokana na zoezi la uhakiki kuwa kwenye hatua za mwisho.

Januari 3, mwaka huu, Rais Magufuli alisema angelipa madeni mbalimbali ya ndani yaliyohakikiwa ipasavyo kwa kutumia Sh. bilioni 200 zilizotengwa Februari.

"Uchumi unaenda vizuri sana, tuna pesa nyingi. Nimepanga kuanzia mwezi ujao (Februari), madeni ya ndani watu wanayodai; wazabuni waliosambaza chakula kwenye vyuo na shule, makandarasi na wafanyakazi kama walimu tutayalipa," alisema Rais Magufuli muda mfupi baada ya kukutana na Gavana mpya wa Benki Kuu, Florens Luoga Ikulu jijini Dar es Salaam.

"Yale madeni yote yatakayokuwa yamehakikiwa ilmradi yasiwe madeni hewa, mwezi unaokuja nitatoa bilioni 200 ziende zikalipe madeni," alisema.

Msemaji wa Wizara ya Fedha na Mipango, Ben Mwaipaja, jana alisema uhakiki unaendelea kufanyika maeneo mbalimbali, ili kujiridhisha na ukweli wa madeni hayo.

"Kwa sasa uhakiki unaendelea na kuanzia Februari agizo la Rais litatekelezwa kwa wale wote ambao wamehakikiwa na kujiridhisha na madeni yao tutaendelea kuwalipa kwa kuwa malipo ni endelevu," alifafanua Mwaipaja.

Rais Magufuli alipozungumza Ikulu alisema angeweza kutoa mapema fedha hizo, lakini ameona kuna umuhimu wa kuhakiki madeni husika na baada ya mchakato kukamilika ataruhusu zitolewe na kwenda kwa wananchi.

Aidha, Rais Magufuli alimwagiza Gavana Luoga kushirikiana na Wizara ya Fedha na Mipango ili wadai wa serikali wa ndani waweze kulipwa kama njia ya kukuza uchumi kwa kuwa Sh. bilioni 200 zitasambaa kwa wananchi.

"Nina uhakika zitawasaidia wananchi ambao walikuwa waaminifu, waliokuwa wazabuni, nitahakikisha wenye madeni ya ukweli na siyo uongo kupata fedha za kuwasaidia kufanya biashara," alisisitiza Rais Magufuli.

Waziri Jafo atangaza neema Siha Wakati Akimnadi Mgombea wa CCM

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jaffo amesema Serikali kwa sasa inatafuta Sh2 bilioni kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Siha.

Jaffo aliyasema hayo jana katika viwanja vya Sanya Juu wakati akimnadi mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Godwin Mollel, ambaye hivi karibuni alijiondoa Chadema na kugombea tena nafasi hiyo kupitia chama tawala.

Jaffo alisema chama hicho ndicho chenye Serikali na ndicho kinachoweza kutatua changamoto na shida za wananchi.

Alisema endapo Dk Mollel atashinda, Serikali itafanya kila liwezekanalo ili kuhakikisha Siha inasonga mbele kimaendeleo na maisha ya wananchi yanaboreshwa.

Jaffo aliwataka wananchi wa jimbo hilo kumchagua Dk Mollel ili kuisukuma Serikali kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha maisha ya wananchi.

“Mollel ni kiongozi makini, mpeni ridhaa ili Serikali tushirikiane naye kuwaletea maendeleo na ninawahakikishia mkimchagua, miaka miwili iliyobaki Siha itakuwa moja ya wilaya ambazo zitapiga hatua kubwa na kufanya vizuri katika utekelezaji wa maendeleo,” alisema.

“Naomba msifanye makosa maana tutashughulika na shida na changamoto zote za wananchi, tutatatuta tatizo la maji, tutaboresha huduma za afya, elimu, barabara na kuwafanya wananchi kupata huduma zote muhimu za kijamii.”

Akimnadi Dk Mollel, katibu wa itikati na uenezi wa CCM, Humphrey Polepole mbali na kuwaomba wananchi wa Siha kumchagua Mollel aliwataka wanasiasa kuacha kutumia shida za wananchi kama mtaji wa kisiasa.

“Muda wa kufanya siasa za uwongo umepitwa na wakati, sasa tufanye siasa za kushughulika na shida za wananchi, tuboreshe maisha na kusogeza karibu na wananchi huduma za kijamii na tusigeuze maisha ya watu kuwa mtaji wa kisiasa,” alisema Polepole.

Alisema maendeleo hayana vyama, hivyo kuwataka wananchi kumchagua Dk Mollel, ambaye amehamia timu ya ushindi ambayo ina uhakika wa kuwaletea maendeleo.

Akiomba kura, Dk Mollel alisema alivua gwanda ili aweze kushughulika na shida za wananchi na hivyo akawaomba wananchi kumpa kura zote za ndio.

Aliwaambia wananchi kuwa anatambua mchango wao wa mwaka 2015, hivyo wamrudishe ulingoni ili akatatue changamoto zinazowakabili, ambazo alishindwa kuzitatua akiwa upinzani.

“Natambua mchango wenu katika ubunge nilioupata 2015, lakini mlinituma kusoma ramani ya maendeleo na niliona nilikokuwa kulinituma katika ramani ya vijiweni na ndio maana nimeingia huku ambapo naona ramani ya maendeleo inasomeka vyema, hivyo nipeni kura zote ili nikatekeleze,” alisema.

Alisema akichaguliwa Februari 17,atashirikiana na Serikali kuhakikisha wanatatua changamoto zinazowakabili, ikiwemo tatizo la maji, miundombinu ya shule, barabara na migogoro ya ardhi.    

Sababu zilizopelekea serikali kusitisha utoaji wa 'passport' za makundi

$
0
0
Serikali imesitisha utoaji wa pasi za kusafiria ‘passport’ za jumla za makundi mpaka pale utakapopatikana utaratibu rasmi na mzuri kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya nchi husika.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kufuatia kuwepo kwa mikasa ya kunyanyaswa, kutumikishwa na kuteswa kikatili  kwa baadhi ya watanzania wanaokwenda nje ya nchi kwa jili ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo kazi za ndani.

“Nimezipata taarifa hizo za mateso ya watu wetu wanaokwenda nje ya nchi kwa kazi tofauti tofauti…. Nasimamisha utoaji wa pasport za jumla za makundu ya vijana ambao wamekuwa wakikutana na mikasa hiyo ya kunyayaswa, kutumikishwa, kuteswa kikatili na wengine kuwekwa rehani kwa maswala ya dawa za kulevya. tunasimamisha mpaka pale tutakapokuwa tumeweka utaratibu ulio rasmi na utaratibu mzuri kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya nchi husika ambako kutakuwa na mahitaji ya namna hiyo,” amesema Waziri Dkt Nchemba.

Waziri Dkt Nchemba ameeleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa ili kuwanusuru vijana wa Tanzania kutokana na mateso na ukatili ikiwamo kuwekwa rehani kwa madawa ya kulevya pamoja na kunyang’anywa passport na kutumikishwa.

Vilevile Waziri Nchemba ameelza kuwa, kumekuwa na tabia ya watu kuingiza raia wa kigeni hapa nchini na wanapowaingiza wanawafanyisha shughuli nyingine ambazo ni tofauti na zilizopo kwenye vibali vyao, huku akiwataka wote wanaofanya hivyo kuripoti leo, na tofauti na hapo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

“Wako raia wanaoingia kwa makundi nchini kwetu, na wale wanaowaleta wanatumia sababu tofauti wanapowaleta, na wanapoingia wanawafanyisha shughuli tofauti na walizoombea vibali. Watu wote wanaoomba vibali na baadae wakatumia vibali hivyo tofauti ama wakafanya majukumu mengine tofauti na waliyoombea vibali, wanavunja sheria na watafika kwenye mkono wa sheria,” amesema Waziri Nchemba.

“Watu hawa naelekeza leo hihi hii waripoti kwa kamishna wa mipaka na Kamishna wa vibali… na kama mpaka jioni watakuwa hawajaripoti, wakamatwe na wafike kwenye mkono wa sheria, ili sheria iweze kufata mkondo wake,” ameongeza Waziri Nchemba.

Ya Sanchez Kuhamia Man U Na Uchawi.

$
0
0
NA. DOKTA  MUNGWA  KABILI.....0744  000  473.
Ni  rahisi  sana  kwa  shabiki  kindakindaki  wa  mpira  wa  miguu  kuwa  mchawi  katika  maisha  halisi  kuliko  shabiki  kindaki  ndaki  wa  muziki. 

Hii ni  kwa  sababu  shabiki  wa  timu  moja  ya  mpira  wa  miguu   hawezi  kuwa  shabiki  wa  timu  nyingine  ya  mpira  wa  miguu  ambayo inashiriki  katika  ligi  moja  na  timu  yake .

Kwa  mfano  Shabiki  wa  Yanga  hawezi  kuwa  shabiki  wa  Simba   wala  kufurahishwa  na  mafanikio  ya  Simba  kama  ambavyo  Shabiki  wa  Simba  hawezi  kuwa  shabiki  wa  Yanga  wala  kufurahishwa  na  mafanikio  ya  Yanga. 

Shabiki  wa  Real  Madrid  hawezi  kuwa  shabiki  wa  Barcelona  wala  kufurahishwa  na  mafanikio ya  Barcelona  na  kinyume  chake.

Ili  hali  katika  upenzi  wa  muziki  hali  ni  tofauti  sana. Shabiki  wa  Msondo  Ngoma  ana weza  kupendezwa na  nyimbo  za  wana  Sikinde  Ngoma  ya  Ukae  kama  ambavyo  shabiki  kindakindaki  wa  wana  Sikinginde   Ngoma  ya  Ukae  anavyo weza  kufurahishwa  na  nyimbo  za  Msondo  Ngoma. 

Shabiki kindaki  ndaki  wa  Diamond  Platnumz  anaweza  kuwa  mpenzi mkubwa  sana  wa  nyimbo  za  Ali  Kiba  kama  ambavyo  Shabiki  wa  damu  wa  Ali  Kiba  anavyo weza  kuwa  mpenzi  mkubwa  wa   nyimbo  za   Diamond  Platnumz. 

Shabiki  kindakindaki wa  Davido anaweza  kuwa  mpenzi  wa  kutupwa  wa  nyimbo  za  Wizkid  kama  ambavyo  shabiki   wa  kutupwa  wa  Wizkid  anavyo weza  kuwa  mpenzi  mkubwa  wa  nyimbo  za  Davido.

Shabiki  kindaki ndaki w a  AKA  anaweza  kuwa  mpenzi  wa  kutupa wa  nyimbo  za  Casper  Nyovest  kama  ambavyo  shabiki wa  damu  wa  Casper  Nyovest  anavyoweza  kuwa  mpenzi  mkubwa  wa  nyimbo  za  AKA.

Shabiki  kindakindaki  wa  Tupac  Shakur  anaweza  kuwa  mpenzi  wa  damu  wa  nyimbo  za  Notorious  BIG  kama ambavyo  shabiki  kindakindaki  wa  Notorious BIG  anavyo weza  kuwa  mpenzi  wa  damu w a  nyimbo  za  Tupac  Shakur.

Lakini  hali ni  tofauti  sana  kwa  mashabiki  wa  mpira  wa  miguu. Ushabiki  wa  mpira  wa  miguu unapo tamalaki  unaweza  kunmfanya  shabiki  husika  akawa  na  tabia  ama  hulka ambazo  hazina  tofauti  na  hulka  za  wachawi.

Kitendo  cha  shabiki  wa  timu  moja  kutofurahishwa  na  mafanikio  ya  timu  nyingine  ambayo  haya  iathiri  timu  yake   hakina  tofauti  yoyote na  mchawi  ama  mshirikina  ambae  anaumizwa  kwa  sababu  mtoto  wa  jirani yake  amefaulu  na  kuchaguliwa  kujiunga na  chuo  kikuu.

Mfano  mzuri  ninao kwa  shabiki  mmoja  wa  mpira  wa miguu   ambae  jina  na  mahali  anapotoka  nina  muhifadhi. 

Shabiki  huyu  alinipigia  simu  yangu  juzi  na  kunieleza  kwa  uchungu  mkubwa  sana  kuwa  yeye  ni  shabiki wa  kufa  wa  klabu ya  Arsenal  na  kwamba  ameumizwa  sana  na  kitendo  cha  mchezaji  Sanchez  kuuzwa  kwenda  Manchester    United. 

Shabiki  huyo  akaendelea  kunieleza  kama  ifuatavyo :

   "NATAKA UMFUNGE  SANCHEZ. FUNGA  MIGUU  YAKE, AKIENDA MAN U  ASIFUNGE   HATA  GOLI  MOJA.  FUNGA  AKILI  YAKE  AKIWA  UWANJANI  ASAHAU  KAMA  YUPO  UWANJANI . FUNGA  KUMBUKUMBU  ZAKE   AKIFIKA  GOLINI  ASAHAU  GOLI  LILIPO.   MTIE  MALIENGE  KWENYE  MACHO  YAKE  AKIWA  NA  MPIRA  AWE  ANAONA  GOLI  LIKO  PEMBENI  APIGE  PEMBENI  NA  KUKOSA  GOLI.  GOLI  PEKEE  AMBALO  ATATAKIWA  KUFUNGA  LIWE  GOLI  LA  KUJIFUNGA  MWENYEWE  NA  SI  VINGINEVYO.

MFARAKANISHE  NA  WACHEZAJI  WENZAKE,  KOCHA  WAKE  NA  MASHABIKI  WAKE.  NA  MWISHO  WA  SIKU  ATUPIWE  VIRAGO  NA  KUONDOKA  KWA  AIBU..  MFICHE   UWANJANI  ASIONEKANE  UWANJANI. AU   MTIE  MAJERUHI , AUMIE  KWENYE   MAZOEZI  KABLA  YA  KUANZA  KUITUMIKIA  KLABU  YAKE  AKAE  AKIWA  MAJERUHI  KWA  MSIMU  MZIMA  NA TIMU  YAKE  IMCHOKE  NA  KUMTUPIA  VIRAGO ..ASIONEKANE  UWANJANI  NA  KAMA  IKITOKEA  BAHATI  MBAYA  AMEONEKANA  UWANJANI  BASI  AONEKANE  AKIWA  AMEKAA  KWENYE   BENCHI NA IKITOKEA  AKICHEZA  MECHI  BASI  TIMU  YAKE  IFUNGWE  MAGOLI MENGI  NA  AWE  NI  MTU  WA  KUKOSA  MAGOLI  MARA  ZOTE… NIPO  TAYARI   KWA  LOLOTE  DOKTA . NINAKUOMBA  SANA  DOKTA  UNISAIDIE  KWA  HILO”

Shabiki  huyu  aliongea  mambo  mengi  sana   kwa  uchungu  mkubwa sana.

Maneno  ya  shabiki  huyu  wa  mpira  wa  miguu  yalinirudisha   miaka  sita  nyuma. Nikakumbuka  mwaka  2012   Robin Van Persie  alivyo  hamia  Man  U  kutoka  Arsenal, mashabiki  wengi  sana  wa  Arsenal  hawakufurahishwa  na mmoja  kati  ya  mashabiki  hao  alinitafuta  na  kuniambia  :

“    DOKTA. , MIMI  NI SHABIKI  MKUBWA  SANA  WA  ARSENAL. MIMI NI MFANYAKAZI,. OFISINI  KWETU  KUNA WAFANYAKAZI WENZETU  WAWILI  MASHABIKI  WA  MAN  U  AMBAO  WANA  DHARAU  SANA NA  MANENO  YA  KEJELI  SANA  HASA TIMU  YANGU  YA  ARSENAL  INAPOKUWA  IMEFUNGWA.  MIMI  NINAOMBA  UFANYE  DAWA  ZAKO  HAWA  JAMAA  WAFUKUZWE  KAZI   AU  WAHAMISHIWE  KWENYE  MIKOA  YA  MBALI  KABISA. ILI  NISIWAONE  WAKIWA  WANAFURAHIA  MAGOLI YANAYO  FUNGWA  NA  VAN PERSIE  AKIWA  AMEVAA  JEZI  YA  MAN  U.

NINAJUA  VAN PERSIE  NI MCHEZAJI  HATARI SANA  NA  SITAKUWA  TAYARI  HATA  KIDOGO KUWAONA  FULANI  NA  FULANI  ( ANATAJA  MAJINA  YAO  )  WAKIWA WANAFURAHIA  USHINDI W A  TIMU  YAO  KWA  MAGOLI  YALIYO FUNGWA  NA  VAN PERSIE. NITAUMIA  SANA  “

Kwa  Mifano  hiyo  miwili   unaweza  kuona   mahali  ambapo  ushabiki  wa  mpira  wa  miguu  una weza  kukufikisha.

Katika  ulimwengu  wa  michezo  ni jambo  la  kawaida  sana  kwa   shabiki  wa  timu  Fulani  kutofurahi  pindi  timu  yake  inapo fungwa  au  kupata  matokeo  mabaya . SIna  tatizo  katika  hili.

Ninacho kisema  hapa  ni  pale  wewe  shabiki  wa  mpira  wa  miguu unapofikia  hatua  ya  kuichukia   timu pinzani  kiasi  cha  kutofurahishwa  na  mafanikio  ya  timu  hiyo pinzani  hata  kama  haya  kuathiri  au kuiathiri  timu  yako  kwa  chochote. 

Hiyo  ndio tunayo  ita  roho  ya  kichawi na  uchawi.

Mfano  mzuri  ni  huu  hapa.  Wewe  ni  shabiki  wa  Arsenal, timu  yako  imefuzu  kuingia  NNe  bora na  umesha  maliza mechi  zako  zote.  Wapinzani  wako  Man  U  wamebakiza  mechi  moja  tu  na wanatakiwa  wapate  pointi  tatu  ili  nao  waweze  kufuzu  kuingia  nne  bora. Bahati  nzuri Man  U wanashinda  na  kuingia  nne  bora. Wewe  shabiki  wa Arsenal  unachukia na  kukasirika  kabisa   kwa  sababu  Man  U na  wao  wamefuzu  kuingia  nne bora.  Unapofikia  katika  hatua  hii  ndipo  unapokuwa  katika  levo  moja  na  wachawi  kwa  sababu  wachawi  pia  hawapendi  kuuona  mafanikio  ya watu wengine  hata  kama  hayawa  athiri kwa chochote..

Ukitafakari  suala  hili  kwa  jicho  la  tatu  utagundua  kuwa chuki  uliyo nayo  dhidi  ya  mafanikio ya  timu  pinzani  mara  nyingi  huwa ni chuki  dhidi  ndugu, jamaa, na  marafiki  zako.  Hii  ni  kwasababu  ifuatayo :

“  MARA  ZOTE  SHABIKI  WA  TIMU  FULANI  ANAPO  CHUKIZWA  NA  MAFANIKIO  YA  TIMU  PINZANI  HUWA  ANAKUWA   HACHUKIZWI  NA  MAFANIKIO  YA  WACHEZAJI  AU  TIMU  HIYO  PINZANI  BALI  HUWA  ANACHUKIA  KUONA  JIRANI, JAMAA, AU NDUGU  NA  MARAFIKI  ZAKE  AMBAO  NI  MASHABIKI  WA  TIMU  HIYO  PINZANI  WAKIWA  WANAFURAHIA  MAFANIKIO  YA  TIMU  HIYO  PINZANI  NA  SI  VINGINEVYO “

Kwa  hiyo  chuki  yako  wewe  sio chuki  dhidi  ya  timu  pinzani, ila ni  chuki dhidi ya jirani  yako unaeonana  nae  kila siku  ambae  ni  shabiki  wa  timu  pinzani. Hutaki kumuona  akiwa  anafurahia  na  unafurahia  kumuona  akiwa  anahuzunika  pindi  timu  yake  pinzani  inapo  pata  matokeo  mabaya.

Roho  au  hulka  hiyo  haina  tofauti  na  roho  ya  kichawi. Mfano, mwanzoni  mwa  miaka ya  tisini  kuna  kijana  mmoja  kutoka  mkoa  mmoja  wa  hapa  hapa  Tanzania, baada  ya  kuhitimu  masomo  yake, alipangiwa  kufanya  kazi  kwenye  tarafa  moja  iliyopo  katika  mkoa  mwingine  hapahapa  nchini.

Tarafa  hiyo  inasifika  kwa  kuwa  na  idadi  kubwa  ya  magwiji  wa  uchawi  na  ushirikina  na  ipo  tofauti  kabisa  na  kata  nyingine zote  zilizopo  katika  mji  huo  ambao  ni  miongoni  mwa  miji  yenye  maendeleo makubwa  hapa  nchini.

Wazazi  wa  kijana  huyo  walimuhasa  atakapo  fika  katika  tarafa  hiyo, awe  na  nidhamu  na  heshima  ya  hali  ya  juu  sana. Awaheshimu  watu  wote  bila  kujali  hali  zao  kimaisha  au  umri
wao  na kikubwa  zaidi, awaheshimu  sana  wazee.

Huyo  kijana  baada  ya  kupangiwa  kazi  kwenye  tarafa  hiyo, wazazi wake  walimuhasa  akifika  katika  tarafa  hiyo  awaheshimu  watu  wote, wakubwa  kwa  wadogo, asiwe  na  dharau  na  kikubwa  zaidi awe na  ukaribu  sana  na wazee.

Hao wazee  ndio watakuwa  baba  zake  ambao  watamlinda na kumuongoza  na   kumfanya  aishi  salama  katika  tarafa  hiyo. ( KATIKA  TARAFA  HIYO WAZEE  WANAHESHIMIKA  SANA  NA  HUWA  HAWAITWI “BABU”  BALI  BABA )

Kijana  alipofika  katika  tarafa  hiyo  akaanza  kufuata maelekezo aliyo  elekezwa  na wazazi. Alikuwa  na  heshima  ya  hali  ya  juu  sana.  Ndani  ya  muda  mfupi  tu  akawa  ameshajulikana  kwa  magwiji wa  tarafa  hiyo. Kijana  alikuwa  akipata  mshahara wake, atanunua  sukari, chumvi, mchele , sabuni  na  vitu  vingine na  kuwagawia   magwiji wa  tarafa hiyo. Nadhani alikuwa  muumini  wa  methali  isemayo  “  Mchawi  mpe  mwana  akulelee “, isipokuwa  tu  yeye  aliamua  kujikabidhi yeye  mwenyewe  wamlee.  “

  Kila  siku jioni  ilikuwa lazima  aende  kuripoti  kwa  wazee  hao kama  ishara  ya  kuonyesha  heshima, adabu na  utiifu  kwao. Siku ambayo hakuripoti  basi kulikuwa  na  sababu  isiyo weza  kuzuiliwa  na  binadamu na  akionana  nao  kesho  yake  lazima  awaombe  radhi.

Kijana  huyu  alikuwa mjasiriamali pia. Akiwa  katika  tarafa  hiyo  akagundua  fursa  kubwa  ya  biashara  ya  mbao  na  vifaa  vya  ujenzi  pamoja  na  udalali  wa  viwanja  na  mashamba kwa  sababu  mji  ulikuwa  unapanuka  na watu wengi  walikuwa  wana  jenga  kwa  kasi.

Jamaa  akaenda  kuchukua  mkopo benki na  kuingia  kwenye  biashara  ya  mbao  ambayo haikuchelewa  kuanza  kumlipa.

Kijana  akawa  anatengeneza  pesa  za  kutosha  na  hata  matunzo  kwa  wale  ‘magwiji’ yakaongezeka.

Baada  ya  kipindi  kichache  Yule  kijana  akaanza  kuwaambia  magwiji  hao  sentensi  ambazo  hawakuzipenda.

 Hawakupendezwa  na  sentesi  hizo  kwa  sababu  zilikuwa  na  maana  mbaya  sana  katika  tafsiri  ya  kamusi  ya  kichawi.

  Labda  tu  kwa  wasio  fahamu, wachawi  wana  kamusi  yao.  Moja  kati  ya  kazi  za  kamusi  ya  kichawi  ni  pamoja  na kutafsiri  maneno, ishara  na  vitendo  mbalimbali  vinavyo  fanywa  na  watu  mbalimbali.

 Nyuma  ya  kila  sentensi  unayo  izungumza, huwa  kuna  sentesi  nyingine  ya  kichawi.  Nyuma  ya  kila  kitendo  unacho  weza  kukifanya  huwa  sentensi  ya  kichawi.

Kwa  mfano :  “ A “ ni  Kijana  mwenye  umri  wa  miaka  25. Kijana  huyu  amezaliwa  na  kukulia  kwenye  kijiji   “ X “. Kijiji    hiki  ni  kijiji  ambacho  wakazi wake  wengi  ni  wachawi na  washirikina.

Ndani  ya  kijiji  hiki  hakuna  maendeleo. Watoto  wa  kike  na  kiume  kutoka katika  kijiji  hiki  wote  wameharibikiwa  na  hakuna  alietoka  katika  maisha  hata  mmoja. 

 Kwa  bahati  nzuri  au  mbaya  huyu  kijana “ A “ baba  ake  alikuwa  na  mwamko w a  elimu, akampeleka  “ A “ kwenye  shule  za  bweni  ambako  ameweza  kusoma  kuanzia  shule  ya  msingi  hadi  chuo  kikuu. Alikuwa  anarudi  kijijini  kimya  kimya  kusalimia  kisha  anarudi  mjini  kuendelea  na  masomo yake.

Baada  ya  kuhitimu  Chuo  Kikuu, siku  moja  “ A “ anaenda  kutembelea  kijijini  kwao. Na  kwa  bahati  mbaya  au nzuri  “  A “  anakutana  na  mzee  “ Y “. Huyu   ni mzee  ambae  anaheshimika  na  kuogopeka  sana  hapo  kijijini  kwa  sababu  "ugwiji " na  “ A “ anamfahamu  fika  mzee  huyu  tangu  akingali  mdogo.

Kwa  sababu  kijana  “  A “ amelelewa  katika mazingira  ya  heshima, anapokutana  na  mzee  “ Y “  kijana  huyu  anamsalimia  kwa  heshima  na  adabu  zote  na  kama  hiyo  haitoshi,  A  anamsaidia  mzee  “ Y “  kubeba   mzigo  wake  ,  hadi  nyumbani  kwa  mzee  “ Y “

Hapo  Kijana  “ A “ atafarijika  moyoni   kwamba  nimetengeneza  sifa  ya  kuwa  kijana   mzuri  kwa  adabu  na  heshima  niliyo  muonyesha  mzee  huyu.

"  A " anajiona  yupo salama  na  kwamba  ametengeneza  urafiki  na  mzee  " Y " .

Lakini  kwa  mzee  “ Y “ ambae  ni mchawi  na  mshirikina  yeye  atakitafisiri  kitendo  cha  kijana  “A “   kwa  namna  tofauti  sana. Akitafsiri  kwa  kutumia  kamusi ya  wachawi.

Atakitafsiri  kitendo  cha  kijana  “ A “  kama  ifuatavyo :

“  DUH! YANI  HUYU  KIJANA WA MZEE  “ X “ PAMOJA  NA  KUWA  NA  UMRI  WA  MIAKA  25  LAKINI  AMENIONYESHA  HESHIMA NA  ADABU  YA  HALI  YA  JUU  KIASI  HIKI? 

HAIWEZEKANI  HATA  KIDOGO. KIJANA  WA  MIAKA  25 ANANIONYESHA  HESHIMA  NA  ADABU  KUBWA  KIASI  HIKI.  INA  MAANA  BADO  TU  HAJAHARIBIKIWA?!!!  INA  MAANA  HAVUTI  BANG1!!!  SIO  MLEVI  WALA  HANA  MAKUNDI!!!  HAIWEZEKANI !!!  SIWEZI  KUKUBALI  UPUUZI  HUU  HATA  KIDOGO!!!

 MIMI   AMBAE  SIO  BABA  AKE  WALA  SINA  UNDUGU  NAE  AMENIONYESHA  ADABU  NA  HESHIMA  KUBWA  KIASI  HICHO, WAKATI  WATOTO WANGU   WA  KUZAA  MWENYEWE   WENYE  UMRI  SAWA  NA  WAKE, WAKIKUTANA  NA  MIMI  WANANIPIGA  VIKUMBO, KAMA  HIYO  HAITOSHI  HUWA  WANANITUKANA  HADI  TUSI  LA  MAMA  NA KIPIGO  JUU!!!.INA  MAANA  HUYU  KIJANA” A” BADO  HAJA  HARIBIKIWA ? KAMA  MIMI  TU  AMBAE  SIO  BABA AKE  AMENIONYESHA  HESHIMA  KUBWA  NAMNA  HII,  VIPI  KUHUSU  BABA  AKE? SI  ITAKUWA  MARADUFU!!! HAIWEZEKANI HUYU  MZEE “  X “ HAWEZI  KUFURAHIA  HESHIMA  YA  MTOTO  WAKE  WAKATI  MIMI  KILA  SIKU  NALIA  NA  UCHUNGU  KWA  USHENZI  NINAO  FANYIWA  NA WANGU   WA  KUWAZAA  MWENYEWE !!!  LAZIMA  NIMROGE  HUYU  KIJANA  NA  LAZIMA  NIMRIPOTI  KWENYE  KIKAO!!!!

Baada  ya  hapo  Mzee  “  Y"atakacho  kifanya  ni  kwenda  kumripoti  kijana “ A “ kwa  mkuu  wa  kilinge.( , VILINGE   VYA  WACHAWI  HUWA  VIPO KARIBU  KATIKA  KILA  SEHEMU  NA    MARA  NYINGI  HUWA  VINAKUWA  KWENYE  MITI  MIKUBWA NA  HUWA  VINAKUWA  MAJINAAMBAYO  MARA  NYINGI  HUBEBA  MAJINA  YA  MAENEO. MFANO “ Mbuyuni”, “Mwembeni” “Mkuyuni”” Mwembe ….” Nakadhalika.

Kitakacho  tokea  baada  ya wiki  au  miezi   kadhaa  wazazi wa  kijana  “ A “  wataanza  kumuona  kijana  wao  amebadilika  kitabia  katika  namna  ambayo  hawakuitegemea  wala  kuitarajia.

 Kijana  msomi  wa  chuo  kikuu utamsikia  anazungumza  maneno  ya  ovyo    kama   vile “  Oyaa  Bi. Mkubwaa“,  au “ Mshua unazingua !!“ na  maneno  mengine  kama  hayo pamoja  na  kufanya  vitendo  vya  kilofa  kama kuvalia  suruali  chini  ya  makalio, kunyoa  viduku, kunywa  viroba,kushinda   bar  anapiga  story  na wahuni  na  mwisho  wa  siku  hayo  ndio  yanakuwa  maisha  yake .

Washirikina na wachawi huwa wanaishi maisha ya hovyo sana sema tu huwa wanajikaza mambo yao yasijulikane. Ubaya wanao wafanyia watu wengine huwa unawarudiaga wao wenyewe saba mara sabini hata baada ya miaka mingi.

 Mchawi anapokufanyia ubaya huwa ni kama anajiwekea mwenyewe akiba ya ubaya ambao utakuja kumtokea baadae kabla ya muda wake wa kuishi haujamalizika hapa duniani. Kwa hiyo usishangae mzee Y anapo kasirika kusalimiwa kwa heshima na adabu na kijana A .

Katika uhalisia hayo ndio maisha ya wachawi katika levo ya familia. Kuna kisa kimoja kilitokea mwishoni mwa miaka ya themanini katika tarafa hiyo hiyo niliyo itaja hapo juu. Alihamia mtendaji mpya wa mtaa kutoka mkoa mwingine, baada ya kama wiki mbili hivi ikaletwa kesi ofisini kwake,. Kuna mzee mmoja gwiji amepigwa kwa mabapa ya mapanga na mtoto wake wa kumzaa mwenyewe alieitwa Kulwa . Mzee alishachukua PF3 tayari na kwenda kutibiwa polisi, jalada lilishafunguliwa kituoni na huyo Kulwa yupo ndani . Sasa mzee gwiji ameingiwa na huruma ya uzazi anataka kwenda kumdhamini mahakamani mtoto wake japo yeye ndio muhanga wa tukio la uhalifu lililo fanywa na mwanae. Kwa kuwa mzee alikuwa anajisikia vibaya hawezi kwenda ofisini kwa mtendaji kuchukua karatasi ya dhamana, akamtuma shemeji yake, yaani mdogo wa kiume wa mke wake.

Shemeji mtu alipofika kwa mtendaji na kumsimulia kilicho tokea, mtendaji alisikitishwa sana.. “ Alihoji inakuwaje mtoto unampiga kwa mapanga baba ako mzazi! Dunia imekwisha “ . Wakati mtendaji ana saini karatasi za dhamana, akawa ana mdadisi yule shemeji mtu “ Imekuwaje kuwaje mpaka huyo kijana akampiga mapanga baba ake mzazi ?”.. Shemeji mtu akajibu “ Bwana we mambo ya kifamilia ndugu yangu !|. Mtendaji akasema “ Mambo ya kifamilia?!! Yani mambo ya kifamilia ndio mtu ampige mapanga baba ake mzazi ?!! DU sijawahi kusikia hiyo ndio naisikia mara ya kwanza”. “ Ila vyovyote vile, tuchukulie kwamba kweli huyo kijana aliudhiwa na baba ake kiasi cha kuamua kumshambulia kama njia ya kumaliza hasira zake. Kwanini basi asinge mpiga u hata ngumi, kwa sababu hayo mapanga si angeweza kumuua kabisa!! Na angemuua tungekuwa tunaongea habari nyingine tena “

Shemeji mtu akajibu “ Kulwa ampige ngumi baba ake ? Kulwa hanaga muda wa kurusha ngumi kumpiga baba ake. Kulwa yeye huwa anampigaga na mapanga tu au silaha yoyote ile itakayo kuwa karibu nae. Mwenye muda wa kurusha ngumi ni dotto. Dotto ndio huwa anampigaga ngumi baba ake. Aaaaaah huwa anampiga sana tena sana. Na kizuri baba mtu mwenyewe analitambua hilo. “ Shemeji mtu akaendelea kusema “ Lakini hata hivyo pamoja na kwamba Dotto huwa anampiga baba ngumi baba ake mzazi lakini huwa zinakuwa ngumi kali kweli kweli, unajua Dotto ni mtu wa mazoezi sana na ana maguvu sana. Mtoto kidogo mwenye afadhali ni kaka yao mkubwa na kina Dotto yeye huwa anamtia bakora tu baba yao. Yeye hanaga muda wa kushika silaha wala kumpiga ngumi, yeye huwa ni bakora tu. Na baba mtu anajua, kaka yao mkubwa akiwepo kama kuna sehemu ya kuchuma fimbo karibu , huwa hafanyi kabisa ujinga ujinga, kwa sababu anajua kijana wake atamtandika na bakora “

Mtendaji  akataka  kujua  sababu  inayo  wafanya  vijana  hao  wawe  wanamkosea  baba  yao  mzazi  kwa  kumpiga. Shemeji  mtu  akajibu, huyu mzee  huwa  anampigaga  sana  mama  yao  akitoka  kwenye  ulevi  halafu  akiwaga  na  hela  huwa  anaenda  kuzimalizia  kwa  michepuko  huko. Sasa  vijana  huwa  wakisikia  mama  yao  kapigwa  au  katukanwa, na  wao  huwa  wanampiga  baba  yao. Wakimkuta  na  mchepuko  pia  huwa  wanampa  kisago  baba  yao.

Yule mtendaji alilewa na kubaki kusema “ Du ! Yani huyu mzee watoto wake wote huwa wanampiga . Dunia imekwisha “
Hao Kulwa na Dotto wakati wanafanya ujinga huo wa kumpiga baba yao walikuwa na miaka 37 na kaka yao alikuwa na miaka 40.

Katika mzingira kama hayo mzee kama huyu ambae watoto wake wa kuzaa mwenyewe wanampiga ngumi, mapanga na fimbo, hawezi kufurahishwa na heshima au adabau kutoka kwa kijana mtoto wa jirani yake . Huwa wanaumia sana.

Ndio maana miaka ya nyuma, vijana walishauriwa na kuambiwa kama hawana kinga ya wachawi wasi jipendekeze kabisa kwa wachawi kama alivyo fanya kijana A. Kuliko kujipendekeza ni bora wakae nao mbali kabisa. Kuliko kuonyesha wao ni vijana wenye adabu, bora wajifanye kujitoa akili pindi wanapo kutana na wazee wa aina hii hususani katika maeneo kama vile misibani nakadhalika. Huambiwi uwatukane, hapana, wewe kaa kimya na kama utalazimika kuzungumza basi zungumza mambo yanayo onyesha una maisha magumu, huna matumaini na umeharibikiwa kimaisha. Unatumia hiyo kama njia ya kuwapumbaza watu wabaya.

Jambo  lingine  ambalo  ni  la  kawaida  sana  katika  ulimwengu  wa  nyama  lakini  lina  maana  mbaya  sana  kwenye  kamusi  ya  wachawi  ni   “ Sauti ya  mtoto  mchanga  akilia “. Hakuna  jambo  lenye   maana  mbaya  katika  ulimwengu  wa  wachawi  kama  kusikika  sauti  ya  mtoto  mchanga  akilia,na mbaya  zaidi  sauti  hiyo  itokekwenye  nyumba  ya eidha  watu  wa  swala  au  ibada  au  ambao  wamefunga  ndoa  halali.

Hakuna  jambo  linalo  wakera  kama  kusikia  sauti  ya  mtoto  mchanga  akilia kutoka  katika  familia  ambayo  mke  na  mume  wameoana  kwa  ndoa  rasmi.

Nirudi  tena  kwa  kijana  wetu.
Kijana  huyu  alianza  kuwapigia  wazee  hao  stori  kama  vile  “  Nimepata  kiwanja  sehemu  Fulani “.  “ Nimeanza  kufyatua  matofali   “  mara  aanze kuwaambia  “    Nimetoka  kumpeleka  fundi  saiti   kwangu “  au  “ kesho  nitaenda  mjini  kuchukua  mabati, mbao “ na  hadithi  zinazo  fanana  na  hizo.

Kijana  huyu  alikuwa  anawaeleza  wazee  hao  mipango  yake  kwa  nia  njema  kabisa.

Aliwachukulia  kama  wazazi  wake  na  alikuwa  akiwaambia hivyo  ili   labda  wampe  ushauri  wa  kufuata  hususani  katika  suala  zima  la  “ ulinzi  wa  kiroho “

Ambacho  hakukijua  kijana  huyo  ni  kwamba, sentensi  alizo  kuwa  anazitamka kwa  wazee  hao, zilikuwa  na  maana  mbaya  sana  katika  kamusi  ya uchawi.

“ Sisi  tunaishi  kwenye  nyumba  za udongo. Si  watoto  wetu  wala  wajukuu  zetu  ambao  wamewahi  kuwa  na  nyumba  zao  wenyewe  achilia  mbali nyumba  ya  kisasa  kama  anayo  taka  kuijenga  kijana  huyu..  Haya  ni  matusi  makubwa  sana  kwetu.Hatuwezi  kukubaliana  na  upumbavu  kama  huu!!! “

Wazee  walicho  kifanya  wakaamua  kumtia  nuksi  kijana  huyo. Kwanza  akafukuzwa kazi. Akashindwa    kulipa  mkopo benki, nyumba  yake  aliyokuwa anaijenga  ambayo  ndio  kwanza  ilikuwa  imefikia  kwenye  lenta,ikapigwa  mnada  (  NYUMBA  NYINGI  KATIKA  TARAFA  HIYO  HUWA  ZINAISHIA KWENYE  LENTA  HUKU  WAMILIKI  WAKISALIA  KUWA  WALEVI  WAKUPINDUKIA  ).

Biashara  yake  ikafa.  Akaingia  kwenye  ulevi  wa  pombe  ulio   pindukia.

Hapa  kwenye  ulevi  wa  pombe  walimuacha  kwa  sababu  alikuwa  bado ana  vihela  hela, hivyo  walimuacha  ili  hela  alizo  kuwa  amebaki  nazo  azimalizie  kwenye  ulevi abaki  hana  kitu  kabisa.  Na  kweli  baada  ya  muda mfupi  akawa  ameishiwa  hela. Kichwani  mawazo, kazi  hakuna, biashara  imekufa, aibu  mtaani, maneno  yameanza  kuzungumzwa.

Jamaa  akaamua  kuingia  kwenye  ulevi  wa  gongo  ili aweze  kusahau  matatizo  yake. Baada  ya  kama mwezi  mmoja  hivi  jamaa  akawa   mlevi  wa kupindukia  anashinda  kwenye  vilabu  vya  gongo. Akawa  anaonekana  hajali  tena  kama aliwahi  kuwa  na  kazi, biashara  na  maisha  mazuri.

Wale  magwiji  hawakupendezwa  na  hali  hii,kwa  sababu  wao  walitaka  kijana  huyo  baada  ya  kutiwa  nuksi  hiyo  auone  uchungu  wa  kuishimaisha  ya  kilofa  na  umasikini  ulio  tukuka  na  kibaya  zaidi  wakamfunga   asiondoke  kijijini  hapo  ili  wawe  wanamuona  anavyo adhirika.

Taarifa  za  ulevi  wa  gongo  wa  kijana  huyo  hazikuwafurahisha  hata  kidogo,.Kwa  sababu  zilikuwa  na  maana  mbaya  sana  katika  kamusi  yao.

Walicho  kifanya  wazee  hao  wakamtafuta  kijana  huyo  na  kumpa 

dawa  ya  kuacha  pombe..

Dawa  hii  ni  tofauti  na  ile  inayo  changanywa  na mayai  ya  ndege  mmoja  mweusi  anaepaa  au  ile  inayo  changanywa  na  mavi  ya  ndege  mmoja  mweupe  afugwae.

 Hiidawa  inatokana  na  mizizi ya  mti  mmoja  wa  porini  wenye  jina

 linalo  fanana  na  jina   la  wilaya  moja iliyopo  kusini  mwa  Tanzania.  Huwa  ni  mwiko  kwa  mwanamke  mjamzito  kuuruka  mzizi  wa  mti  huu  kwa  sababu  akifanya  hivyo, mimba  itaharibika.

Katika  baadhi  ya  jamii za  kiafrika, mtu anapokufa  kwa  kujiua  mwenyewe,maiti  yake  huwa  haingii  ndani  na  kipande  cha  mzizi  wa  mti  huu huwa  kinachomekwa  kwenye  makalio  ya  mwili  huo ili kuvunja  roho  ya  kujiua  katika m familia na ukoo huo.

Huwa  unachukuliwa  mzizi  wa  mti  huo  ambao  umekufa  wenyewe, kisha  unasagwa  halafu  anapewa  mlevi.

Kijana  huyo  alipopewa  dawa  hiyo  alitapika  sumu  zote  na  toka 

siku  hiyo  alichukia  kabisa  pombe na  ulevi  wa  aina  yoyote  ile.

Kilicho  fuatia  baada  ya  hapo,  kijana  huyo  akawa  anafanya  kazi 

ambazo  haziendani  na  elimu  yake.

Kwanza  akawa  anabeba  mizega  ya  maji, mara  anazibua  vyoo, mara  anauzakaranga  ilimradi   watu  wamuone  anavyo  adhirika.   Wao  hwafaidiki  na  chochote  lakini  wanafurahia kumuona  kijana   huyo  akiwa  anateseka  na  kudhalilika.

Kuhusu matumizi  ya  uchawi na  ushirikina  katika  mchezo  wa  mpira  wa  miguu, Dokta  Mungwa  anasema,mambo  hayo  siku  hizi  hayafanyiki kama  ilivyo  kuwa  inafanyika  zamani.  Siku  hizi  mambo  yamebadilika  tofauti  na  ilivyo  kuwa  zamani.    Mambo  yamebadilika  sana  siku  hizi. Kwanza  siku  hizi  vijana  wanacheza  mpira  wa  kulipwa  tofauti  na  ilivyo  kuwa  zamani  ambapo  watu  walikuwa  wanacheza  mpira  wa  ridhaa  na kwa  mapenzi  ya  timu  husika.

Zama  hizo  watu  walikuwa  wanatumia  sana  uchawi  katika  mpira. Kila  namba  ilikuwa  na  uchawi  wake  na  uchawi  ulitofautiana  kutoka  timu moja  na  nyingine.

Kwa  mfano, kwenye  nafasi  ya  kipa

kipa  ilikuwa  kilikuwa  kinachukuliwa  kipande  cha sanda iliyo  tumika  kumvesha  maiti, kisha linachukuliwa karatasi  jeupe  ambalo  yanaandikwa  majina  ya  wachezaji  wote  wa  timu  pinzani  kisha  unawekwa  unga  wa kisiki  ambacho  watu  wakipita  njiani wanajikwaa  kwaa  na  vitu  vingine  viwili  ambavyo  sita  vitaja  hapa.  Baada  ya  hapo  ilishonwa  azima  ambayo  alipewa  kipa  na  kutakiwa  kuvaa kwenye  mguu  au  mkono  wowote.

 Ndumba  hii  iliaminika  kumsaidia  kipa  kuwa  na  uwezo  mkubwa  wa  kudaka  mipira  awapo  golini  na  pia kuwafanya  wachezaji  wa  timu  pinzani  kuwa  wanajikwaa  kwaa  na  kuanguka  wenyewe  kila  wanapo  karibia  lango.

Kwa  wachezaji  wanao cheza  namba  2,3,4  na 5  ilichukuliwa  mizizi  ya  nturantura  kisha  zinachongwa  mpigi  4  ambazo  kila  moja itafungwa  au kushonwa  na nyuzi nyeusi  kisha  wanapewa  wachezaji  wa  namba  hizo  na  kuzivaa, baada  ya  kuzikaanga  zote na  majina  ya  wapinzani kwenye mafuta  maalumu  pamoja  na  dawa  inaitwa  Tunda  la  Jini  au  Tufahal Jinni. Dawa  hizo  zilimwagiwa  kwenye  kigae  cha  chungu  kilicho  vunjika wakati  kikiwa  kimebeba  maji  yaliyo  chotwa  kisimani. Baada  ya  hapo  yaliandikwa  majina  ya  wapinzani  wote  kwenye  sahani  maalumu  nyeupe kwa  kutumia  zaafarani  nyekundu  na  baadae  kufutwa  kwa  kutumia  vidole.  Kila  mchezaji  alipewa  mpigi 4  ambazo  zilifungwa  kwenye  azima  na kuzivaa.

Ama  kwa  upande  wa viungo  na  washambuliaji, wao  ilichukuliwa  mizizi  ya  miti mitatu mkuyu, Mzungupori  na Mtundaugoro,ambayo  ilisagwa  na kuchomwa  pamoja  hadi  kuwa  unga  au  majivu  laini  sana.  Baada  ya  hapo  ulichukuliwa  upinde  ambao  ulitumika  kuua  nguruwe  pori,upinde huo  ulisagwa  pia  na  kuchomwa  hadi  kuwa  majivu,vyote  hivi  vilichanganywa  na  mafuta  maalumu  na  kisha  wachezaji  hao  walipakwa  au kuchanjiwa.

Wakati  mwingine  ulitumika  uchawi  wa  kuroga  timu  pinzani, kufanya  wachezaji  wote  wa  timu  pinzani  wakose  pumzi  wakiwa  uwanjani, ambapo  alikuwa  anatumika  mnyama mmoja  na kamba  maalumu.

Wakati  mwingine  mchezaji  wa  timu  moja  angeweza  kufanya  uchawi  wakuwaroga  wachezaji  wenzake  wanao  gombania  namba  na  kumfanya aonekane  yeye  ndio  zaidi  ya  wenzake. Mfano  mshambuliaji  aliweza  kufanyiwa uchawi, magoli  yote  afunge  yeye  mwenyewe  au  mafowadi wenzake  wafunge  kwa  kupitia  miguu  yake.  Fowadi huyu  alinuiziwa  kuwa  goli  lolote  kutoka  kwenye  timu  yake  lisifungwe  hadi  lipitie  kwanza kwenye  mguu wake  au  kichwa  chake.

Miaka hiyo ya zamani, uchawi na ushirikina kwenye mpira ulifanyika kama sehemu ya burudani ya mpira. Waganga walitumia michezo ya mpira wa miguu kushindanisha nguvu zao.

Wachezaji wali waogopa zaidi wachawi kutoka nje ya uwanja kuliko wachawi wa ndani ya uwanja.

Mchezaji wa mchangani alikuwa akipata nafasi ya kwenda kucheza kwenye timu kubwa basi ilifanywa siri hadi atakapo anza kuichezea rasmi timu hiyo kubwa.

Mwishoni mwa miaka ya themanini, kuna kijana mmoja katika kitongoji kimoja cha kwenye mkoa mmoja unaopatikana mashariki wa Tanzania alikuwa kiungo mshambuliaji hatari sana. Alikuwa anachezea timu mmoja iliyo kuwa inashiriki ligi daraja la tatu kipindi hicho. Basi mabosi wa timu moja kubwa wakamuona, wakawa wamemkubali sana, wakamfuata kuzungumza nae ili akasajiliwe kwenye timu hiyo kubwa, bila kuchelewa kijana akakubali na mipango ya kumchukua ikaanza kufanyika.

Alikuwa anatakiwa akaripoti klabuni siku ya Jumatatu kwa ajili ya kwenda kusaini mkataba mnono pamoja na kujiunga na wenzake kambini. Baba wa kijana huyo kwa furaha ya mtoto wake kusajiliwa kwenye timu kubwa akaanza kuwaambia, ndugiu, jamaa, majirani na marafiki. Habari zikawafikia magwiji na kama ilivyo tazamiwa,. Hazikuwapendeza. Magwiji wakaunda kamati ya kumuwekea zuio kijana huyo asiweze kwenda katika timu hiyo kubwa.

Ilikuwa siku ya Ijumaa, wazee wa mtaa wakamwambia baba wa kijana kuwa wameandaa sherehe maalumu ya kumuaga na kumpongeza kijana wao kwa sababu ameleta heshima kubwa sana kwenye mtaa wao. Kijana akatakiwa na yeye kuhudhuria. Baba mtu akakubali kwenda ili isionekane amekataa kwa sababu anaringa mtoto wake amesajiliwa kwenye timu kubwa. Kaka wa baba mtu ( Yani baba mkubwa wa kijana yule mchezaji ) nenda kwenye sherehe ila kijana asiende kwa sababu wanaweza kumlisha uchawi kwenye chakula atakacho kula. Baba mtu akasema “ Nisipoenda na huyu kijana itaonekana kijana amedharau wito wa wazee, ngoja niende nae tu, cha msingi sitaruhusu ale chakula kwenye sahani yake mwenyewe. Nitahakikisha chakula kinaletwa kwenye sahani ya kula watu wote kwa pamoja na ikiwezekana tule pamoja na wazee walio tualika “. Kaka mtu akamwambia “ WACHA UPUMBAVU BWANA MDOGO.. DAWA HUWA ZINANUIZIWA. MNAWEZA KULA WOTE CHAKULA KWENYE SAHANI MOJA LAKINI AKADHURIKA MTU MMOJA KWA SABABU ANAKUWA AMENUIZIWA MTU HUYO HUYO MMOJA, KWA HIYO CHA MSINGI HAPA .. KIJANA ASIENDE KABISA. WAAMBIE ANAUMWA NA KICHWA “

Baba wa kijana hakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na ushauri wa kaka ake. Kijana kweli hakwenda kwenye hiyo sherehe kwa madai kwamba anajisikia kichwa kinamuuma. Mchana wa siku iliyo fuata sasa yani Jumamosi , kijana akaanza kulalamika kichwa kinamuuma, kichwa kinamchemka.

“ Baba kichwa kinauma, baba kichwa kinachemka !”. Inaelezwa kuwa joto la kijana huyo lilipanda kwa kasi ya ajabu katika namna ya kutatanisha. Inaelezwa zaidi kuwa kichwa cha kijana kilichemka kiasi kwamba ungeweza kuweka mtungi au sufuria la maji kichwani kichwani kwa kijana huyo yakachemka ndani ya muda mfupi kwa kiasi ambacho ungeweza kunyonyolea kuku !

Baba wa kijana hakuwa na jinsi zaidi kuwahisha kijana wake hospitali. Kufika hospitali madaktari kumpima wakakuta mtu alisha ondoka duniani toka enzi za Pontyo wa Pilato.

Nirudi kwa jamaa anaetaka Sanchez atupiwe uchawi wa kumfanya ashindwe kun'gaa kwenye timu yake mpya. Mawazo kama hayo yanaweza kukaa na kuishi ndani ya akili za wachawi tu. Hutakiwi kabisa kuwa na mawazo kama hayo.

Unamchukia mtu ambae hakujui wala hajui kama unamchukia na aathiriwi na chochote kuhusu chuki yako. Unadhani nani anae umia hapo kati yako wewe na Sanchez ?

Kumchukia mtu ambae hakujui wala hajui kama unamchukia, ni sawa na kuwapangisha kwenye nyumba yako, wapangaji ambao hawakujui na hawajui kama umewapangisha halafu wewe ndio unawalipa wao kodi. NI uwendawazimu.

Nafsi yako ni nyumba yako uliyo pewa na Mungu. Ndani ya nafsi yako unatakiwa uwapangishe wapangaji watakao kulipa kodi nzuri. Pangisha, furaha, amani, upendo, matumaini, imani nakadhalika. Ukipangisha chuki , husda na choyo, wewe ndio utakae umia. Utaishia kuvuna magonjwa kama presha, shinikizo la damu au kiharusi na kuvuta mapepo yatakayo endelea kukuletea nuksi kwenye maisha yako.

Kingine, unatakiwa kujua kuwa uchawi au uganga ni tofauti na mazingaombwe. Lazima uwe na sababu ya msingi na yenye akili. Hii ni kwa sababu uchawi ni gharama sana. Unahitaji vitu vingi ili jambo lililo kusudiwa liweze kutokea.

Ndio maana basi hata wachawi wenyewe wanapo taka kumroga mtu huwa wanaanza na njia za kawaida kwanza ambazo hazihusishi uchawi zikishindwa ndio wanaingia vitani rasmi kwa kuhusisha uchawi.

Kwa mfano wachawi wanataka kuwatenganisha mke na mume au mtu na mchumba wake. Kwa kuanza wataanza na umbea kwanza. Wanachukua maneno kwa mwanamke wanapeleka kwa mwanaume, wanachukua maneno kwa mwanaume wanapeleka kwa mwanamke. Wakiona mpango wao umeshindikana, hapo ndio wanatumia uchawi.

Ndio maana miaka ya nyuma watu walio kuwa wanaenda kwa waganga kutafuta suluhisho kwa mambo ya kipuuzi walikuwa wanaishia “kulaaniwa wao wenyewe “ na waganga hao.

Kwa mfano kulikuwa na baadhi ya wanaume, anaenda kwa mganga na kusema “ MGANGA NAOMBA UNIFANYIE DAWA ILI MKE WANGU ASIWE ANANIOMBA HELA YA MATUMIZI. ASAHAU KABISA KUHUSU KUNIOMBA HELA YA MATUMIZI HADI SIKU ANAINGIA KABURINI “

Mwanaume kama huyu ni mwanaume asie faa, kwa lugha nyingine anaweza kuitwa “ Khanithi “ . Mwanume wa hivi, kwanza alikuwa analazwa dhakari yake kwa kutumia akili yake ambayo imelala, halafu anafungwa kuzaa kabisa ili asirithishe upumbavu wake kwa watoto atakao wazaa... Na mwisho wa siku alitupiwa uchawi unaitwa “ SUNKHWA “ ama “ FUKUZA “ ambao ungemfanya aondoke kabisa kijijini hapo na kwenda kulowea kusiko julikana. Baadae lingefanyika tambiko maalumu la kutakasa kijiji hicho dhidi ya najisi ya mwanaume huyo.

Nimetoa maelezo haya ili kuwasaidia pia baadhi ya mashabiki wa Arsenal ambao wanaweza kuwa wameumizwa na kuondoka kwa Sanchez na ambao pia wanaweza kuwa na mawazo kama ya jamaa aliye taka nimroge Sanchez ili asipate mafanikio kwenye timu yake mpya.

Kama upo kwenye kundi hilo, huu ni ushauri wangu kwako :

1. JIPE MUDA UTASAHAU : Hakuna dawa nzuri ya kusahahu kitu au jambo unalo lipenda kama MUDA. Mwanzoni unaweza kuumia kumuona Sanchez akishangilia baada ya kuifungia timu yake mpya magoli kwenye mechi mbalimbali. Baada ya muda utazoea na utaona kawaida kabisa.

2. USIANGALIE MECHI ZA MAN U : Usiangalie mechi za Man U. Wewe subiri tu kuambiwa matokeo.

3. JITENGE : Siku ambayo Arsenal watacheza na Man U usitazame mpira pamoja na jamaa zako ambao ni mashabiki wa Man U. Nenda kaangalie mpira sehemu ambayo haujulikani.

4. HAMA MTAA UNAOISHI : Kama unadhani hauwezi kuwakwepa jamaa zako mashabiki wa Man U ambao watakua wanakuja kukukera wakishangilia namna Sanchez anavyo funga magoli, hama kabisa mtaa unaoishi/

5. BADILISHA NAMBA ZAKO ZA SIMU : Kwa sababu jamaa zako watakuwa wanakukera kukupigia simu kukwaambia kuhusu namna Sanhez anavyo fanya vitu vyake. Badilisha namba zako za simu ili wasikutafute kabisa.

6. BADILISHA OFISI AU ACHA KAZI KABISA : Kwa sababu si unasema wafanyakazi wenzako ofisini watakuwa wanakukera na habari za Sanchez. Basi kama ni mfanyabiashara, tafuta eneo jipya la biashara, au kama una ofisi yako, tafuta ofisi mpya au kama umeajiriwa, basi kazi kabisa ili uwe mbali nao.
7. HAMIA MAN U : Kwa sababu unampenda na unamkubali sana Sanchez na Sanchez ndo hivyo tena amehamia Man U. Kitu cha kufanya hapo wewe hamia Man U ili ukaendelee kuburudishwa na uchezaji wake.

8. JIFANYE HUJUI KAMA SANCHEZ ALIWAHI KUCHEZEA MAN U

9. FANYIWA TAMBIKO MAALUMU LA KUSAHAU KUHUSU SANCHEZ : Badala ya kuomba Sanchez asahau magoli, wewe ndio ufanyiwe tambiko maalumu la kusahau kuhusu Sanchez. Ukimuona Sanchez umuone kama takataka vile. Usikumbuke kama aliwahi kuchezea Arsenal.

10. 8. Kama unaona ushauri huo hapo juu ni UPUMBAVU basi kumchukia Sanchez kwa sababu kahamia MAN U pia ni UPUMBAVU ZAIDI.
 
Kitu  kingine  unacho  takiwa  kufahamu  ni  kwamba, Sanchez  anatafuta  maisha  yake. Man  U  wamempa  ofa  ya kumlipa Pauni  500,000/=  kwa  wiki  ambacho  ni  kiasi kikubwa  sana  cha  pesa.  Ni mpumbavu  tu ndio  anae  weza  kukataa  ofa  nzuri  kama  hiyo. HAKUNA  MTU ASIEPENDA  PESA.   HATA  WAZAZI  WENU  WANAWEZA  KUWA  WANAWAPENDA  SAWA  SAWA  WAKATI  MKIWA  WATOTO  WADOGO.  LAKINI  PINDI  MTAKAPO  ANZA  KUJITEGEMEA  WATAMPENDA  NA KUMBARIKI ZAIDI MTOTO WAO ANAEWAJALI NA KUWATUNZA KWA  KUWAPA  PESA  KULIKO  WEWE  AMBAE  PESA  ZAKO  UNATUMIA  KUFANYA  STAREHE  NA  HUPELEKI MATUNZO  KWA  WAZAZI  WAKO.

Imesimuliwa  na  DOKTA.  MUNGWA  KABILI....0744  000  473.

Lowasa, Benard Membe Wakutana Uso Kwa Uso

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje katika Serikali ya Awamu ya Nne, Bernard Membe wamekutaka katika msiba wa mama wa Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

Membe na Lowassa wamekutana leo Alhamisi Januari 25,2018 nyumbani kwa Askofu Gwajima, Salasala wilayani Kinondoni.

Wawili hao walijitosa katika kura ya maoni ya CCM kuwania kupitishwa na chama hicho tawala kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Katika mchakato huo jina la Lowassa lilikatwa mapema, huku Membe akiwa miongoni mwa wagombea watano waliopitishwa na Kamati Kuu ya CCM. Walishindwa na John Magufuli aliyepeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi huo na kuibuka na ushindi.

Ruth Basondole, mama mzazi wa Askofu Gwajima amefariki dunia akiwa na miaka 84.

Sugu Amkataa Hakimu Akidai Anapendelea

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini 'Sugu' na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wamemkataa Hakimu Mkazi Mfawidhi, Michael Mteite wakidai hawana imani naye katika mwenendo wa kesi hiyo.

Sugu na Masonga wanashtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli wanayodaiwa kuitoa Desemba 30,2017.

Washtakiwa leo Alhamisi Januari 25,2018 asubuhi wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa ajili ya kuanza kutoa ushahidi baada ya upande wa Jamhuri kukamilisha na kufunga ushahidi wao.

Upande wa Jamhuri umewasilisha mashahidi watano mahakamani na vielelezo viwili ikiwamo sauti iliyorekodiwa.

Baada ya utaratibu wa kimahakama kukamilika ili kuanza ushahidi, wakili Boniface Mwabukusi anayewawakilisha Sugu na Masonga alimuomba hakimu Mteite akisema wateja wake wana jambo la kuieleza Mahakama.

Hakimu alipowaruhusu kuzungumza, Sugu ambaye ni mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, amesema kutoka ndani ya nafsi yake ameitafakari kesi na mwenendo wake na kufikia uamuzi wa kumkataa hakimu kwa kuwa hana imani naye kwa sababu tatu.

Amesema, “Naomba niitaarifu Mahakama hii kwamba nimetafakari mwenendo wa kesi hii, mimi mshtakiwa wa kwanza Joseph Mbilinyi naona nikukatae wewe hakimu kutokana na mambo yafuatayo: kwanza; sijawahi kuona hakimu yuko biased (wenye upendeleo) kama ulivyo wewe, ulivyoninyima dhamana bila sababu za kisheria na Katiba.”

“Pili, jana nimeshuhudia kielelezo cha tape recorder kikitokea mikononi mwa wakili wa serikali ambacho wakili wangu (Mwabukusi) alikikana na ukamshambulia sana wakili wangu kwamba wakati anakitoa yeye (wakili) alikuwa ametoka wakati mimi nilikuwa hapa sikuona. Sasa kitendo kile naona wewe hakimu una interest (masilahi) dhidi yangu,” amesema.

Sugu amesema, “Lakini pia jana ulikiri kwamba katika kesi hii unapata mateso, hivyo mimi ni Mkristo, sasa ili nisikupe tabu na mateso naomba nikukatae na apangiwe hakimu mwingine atakayeendesha kesi hii kwa uhuru na haki.”

Amesema kwa sababu hizo anaomba amkatae hakimu huyo.

Baada ya ombi hilo la Sugu, hakimu Mteite alimpa nafasi Masonga ambaye pia alimkataa akitoa msimamo unaofanana na wa Sugu.

Katika sababu zake, Masonga amesema, “Mheshimiwa jana ulipotoa uamuzi wa kupokea vielelezo kutoka kwa upande wa Jamhuri, wa tape recorder na register mheshimiwa hakimu ulieleza Mahakama yako kwamba unaruhusiwa kisheria wakati upande wa Jamhuri ulikubali ushahidi upokewe kama Id (utambulisho) lakini register ipokewe kama  kidhibiti. Lakini bado uamuzi wako ulikuja tofauti na upande wa Jamhuri.”

Amesema, “Ulipofanya uamuzi wakati tulipokuomba dhamana, ulisema unakubaliana na hoja za pande zote mbili (utetezi na Jamhuri). Na Jamhuri walisema kwa ajili ya usalama wetu (washtakiwa), wanaomba tusipewe dhamana. Na wewe katika uamuzi wako umezingatia hoja zao lakini umezingatia zetu kwa sababu ni haki yetu kisheria na kikatiba. Na uamuzi wako ulisema unazuia dhamana kwa sababu unataka kesi hii iendee haraka, bila kujadili hoja zilizoletwa mbele yako.”

Hakimu Mteite amesema amezingatia hoja hizo na atatoa uamuzi baada ya saa moja.

Moto wateketeza nyumba, Watano Wanusurika

$
0
0
Watu watano wamenusurika kifo baada ya nyumba wanayoishi kuteketea kwa moto.

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Januari 25,2018 eneo la Mitondooni wilayani Magharibi B, Unguja.

Chanzo cha moto kinaelezwa kuwa ni hitilafu ya umeme ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Hassan Nassir Ali amesema moto ulitokea saa moja usiku.

Mayasa Makame aliyenusurika katika janga hilo amesema moto ulizuka ghafla walipokuwa wakipika.

Amesema wamepoteza kila kitu kilichokuwamo ndani.

Kuhusu chanzo cha moto imeelezwa huenda ikawa ni hitilafu ya umeme kwenye jokofu.

Mayasa ameiomba Serikali na wananchi kwa jumla kuwasaidia kwa kuwa hawana chochote kwa sasa.

Kigwangalla aagiza polisi kuwakamata vigogo wanne, la sivyo atafikisha taarifa kwa Rais Magufuli

$
0
0
Waziri wa Maliasili na utalii Dkt.Hamis Kigwangala amelitaka Jeshi la Polisi kuhakikisha linawakamata watu wanne waliopanga mauaji ya mhamasishaji wa utalii Wayne Lotter mwaka Jana jijini Dar es Salaam la sivyo atafikisha taarifa hiyo kwa Rais John Magufuli.

Dkt. Kigwangalla amesema kuwa watu hao waliopanga kufanyika mauaji hayo ni vigogo wapo wanne na wanajulikana.

"Ninawajua viongozi wanne ambao ni vigogo kuwa wameshiriki katika kupanga mauaji ya mhamasishaji wa utalii nchini Wayne Lotter," alisema Dkt Kigwangalla

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Januari 25, 2018 na kusisitiza kuwa katika kipindi cha siku 100, wizara yake imebaini mitandao 74 ya watu wanaojihusisha na ujangili ikiwa na washiriki 949.

Amesema kati ya watu hao, 949 tayari wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayowakabili huku wengine wakisubiri kufikishwa mahakamani.

Dawa Bora Ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE YA UMME MDOGO "Arrabela" FIKA NJOMBE MJINI, TUPO MTAA WA MPECHI KWA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC.                                                    

 75%Ya Wanaume hukabiliwa na upungufu wa Nguvu za Kiume kwa sababu mbalimbali za matatizo ya Kiafya na Kibailojia hasa MTU ambaye anakuwa na Matatizo ya Ugonjwa wa KISUKARI, Zinaa, maumivu ya mgongo na kiuno, Tumbo kajaa gesi na kuunguruma, mshipa wa ngiri, Bawasiri au Mgoro, Au ugonjwa wowote unaochukua muda mrefu bila kupona hufanya kupungua kwa hormones za kichocheo kwa tendo la ndoa. 

Pia Matumizi ya dawa za kulevya ,Pombe,na utafunaji wa milungi.lakini wakati mwingine hutokana na sababu za Kimfumo wa kimwili na kuasilika kisaikolojia kwa kuwa na msongo wa Mawazo.

Lishe duni,upungufu wa protini mwilini na Madini.Kwa Huduma Bora za Matibabu ya KISUKARI, Nguvu za Kiume, maumbile ya umme MDOGO ,Matatizo ya kimaisha,muwasho sehemu za siri, Uzazi, Vidonda vya Tumbo,kikohozi kigumu,Magonjwa nyemelezi, mahusianona Tambazi

 FIKA KWENYE KITUO CHETU CHA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC NJOMBE MJINI MTAA WA MPECHI

 KWA WALIOPO NJE NA MKOA WA NJOMBE HUDUMA YA DAWA ITAWAFIKIA KWA KUTUMIWA KWA MABASI ,SIMU 0768351097/0767488895 NYOTE MNAKARIBISHWA

Mtalaam Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari

$
0
0

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR SHEIKH OMARY
Anapatikana dar magomeni moroco hotel
SIMU NO 0767 14 53 57/0629 03 45 50.

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Hakimu agoma kujitoa, mawakili wajitoa kesi ya Sugu

$
0
0
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya, Michael Mteite amekataa kujitoa kusikiliza kesi inayomkabili mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na mwenzake.

Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wanashtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli wanayodaiwa kuitoa Desemba 30,2017.

Awali, leo Alhamisi Januari 25,2018 Sugu na Masonga waliwasilisha ombi mahakamani wakimkataa hakimu huyo wakitaka ajitoe kusikiliza kesi kwa maelezo kuwa hawana imani naye.

Hakimu Mteite amesema sababu zilizotolewa na akina Sugu hazipo kisheria na hazimfanyi kujitoa.

Baada ya hakimu kukataa kujitoa, mawakili Boniface Mwabukusi, Hekima Mwasipu na Sabina Yongo wanaowawakilisha washtakiwa walitangaza kujitoa katika shauri hilo.

Sugu na Masonga wameiomba Mahakama kuwapatia wiki mbili za kutafuta mawakili wengine.

Hakimu Mteite ameahirisha kesi hadi Februari 2,2018  na ameamuru washtakiwa kurejeshwa rumande.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images