Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi 'Sugu', amenyimwa dhamana tena na amerudishwa rumande hadi Jumatatu Ijayo

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Emmanuel Masonga wamerudishwa rumande hadi Januari 22, 2018 siku ya Jumatatu ambapo kesi yake itaanza kusomwa mfululizo.

Mbunge huyo wa Mbeya mjini na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa wanashikiliwa na jeshi la polisi wakituhumiwa kutenda kosa la uchochezi katika mkutano wao wa hadhara ambao ulifanyika Disemba 31, 2017 jijini Mbeya ambapo jeshi la polisi linasema kuwa viongozi hao walizungumza maneno yenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi.

Mchana wa January 16, 2018 Mahakama ya Hakimu Mkazi Jijini Mbeya iliamuru Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa Emmanuel Masonga wapelekwe rumande mpaka January 19 ambayo ni leo kwa kesi ya uchochezi.

Viongozi hao wamerudishwa rumande tena mpaka siku ya Jumatatu ambapo kesi yao itaanza kusomwa tena

TAKUKURU Yamchukua Kaburu Ili Kumhoji Tena

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemchukua Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha wa USD 300,000 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kumuhoji.

Mbali ya Kaburu, mshtakiwa mwingine ni Rais wa Klabu hiyo, Evans Aveva ambaye hakufika mahakamani hapo.

Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Leornad Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Victoria Nongwa kwamba kesi hiyo haikupangwa leo isipokuwa wamemtoa Kaburu gerezani kwa kibali ili akahojiwe.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Nongwa alimkabidhi Kaburu kwa Wakili Swai huku akimtaka amrudishe leo kama alivyoomba, ambapo aliahirisha kesi hiyo hadi tarehe iliyopangwa January 25,2018.

Aveva na makamu wake, Geofrey wanakabiliwa na mashtaka matano ya kughushi, kuwasilisha nyaraka ya uongo na kutakatisha fedha USD 300,000.

Washtakiwa hao wanadaiwa kuwa walikula njama ya kughushi fomu ya maombi ya kuhamisha fedha ya Machi 15, 2016 wakionesha Klabu ya Simba inalipa mkopo wa USD 300,000 kwa Evans Aveva wakati si kweli.

Je,una Upungufu Wa Nguvu Zakiume,kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa,kufika Kileleni Mapema Na Kushindwa Kurudia ????

$
0
0
Tatizo la kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na mambo mengi kama,KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA,MAUMIVU YA KIUNO,UNENE KUPITA KIASI,KUJICHUA nk.

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha tendo la ndoa kutofanyika kwa kujiami nakwa usahihi nahivyo husababisha ndoa, mahusiano mengi kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI,
1 KUKOSA HAMU YA TENDOL LA NDOA 
2 UUME KISIMAMA KWA KULEGEA 
3 KUWAHI KUFIKA KILELENI 
4 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA WAKATI 
5 KUCHOKA SANA BAADA YA ROUND YAKWANZA NAKUKINAI TENDO LA NDOA KABISA.

TUMIA 3 POWER KWA TATIZO LA UKOSEFU(UPUNGUFU)WA NGUVU ZA KIUME NAHAMU YA TENDO LA NDOA.FINA HUBORESHA MAUMBILE YA KIUME KWA KUNENEPESHA KWA SAIZI UIPENDAYO HAIJARISHI UMRI.

PIA KUNA DAWA ZA KURUDISHA MPENZI KWA MUDA MFUPI SANA NAZAKUPATA KAZI,KESI,KUDHULUMIWA,NK 

WASILIANA NA SHEIKH OMARY AKUTATULIE MATATIZO YAKO HATA KAMA UMEHANGAIKA SANA PASIPO MAFANIKIO 

Pia sheikh omary anatibu busha bila opresheni,kisukari,ngiri,presha vidonda vya tumbo,korodani kuvimba,na anatoa dagu za utajiri kwa wanaohitaji bila masharti yoyote magumu.ANAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM,NAUTALETEWA POPOTE ULIPO.

 SIMU; NO 0767145357/0629034550.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Dawa Bora Ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE YA UMME MDOGO "Arrabela" FIKA NJOMBE MJINI, TUPO MTAA WA MPECHI KWA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC.                                                    

 75%Ya Wanaume hukabiliwa na upungufu wa Nguvu za Kiume kwa sababu mbalimbali za matatizo ya Kiafya na Kibailojia hasa MTU ambaye anakuwa na Matatizo ya Ugonjwa wa KISUKARI, Zinaa, maumivu ya mgongo na kiuno, Tumbo kajaa gesi na kuunguruma, mshipa wa ngiri, Bawasiri au Mgoro, Au ugonjwa wowote unaochukua muda mrefu bila kupona hufanya kupungua kwa hormones za kichocheo kwa tendo la ndoa. 

Pia Matumizi ya dawa za kulevya ,Pombe,na utafunaji wa milungi.lakini wakati mwingine hutokana na sababu za Kimfumo wa kimwili na kuasilika kisaikolojia kwa kuwa na msongo wa Mawazo.

Lishe duni,upungufu wa protini mwilini na Madini.Kwa Huduma Bora za Matibabu ya KISUKARI, Nguvu za Kiume, maumbile ya umme MDOGO ,Matatizo ya kimaisha,muwasho sehemu za siri, Uzazi, Vidonda vya Tumbo,kikohozi kigumu,Magonjwa nyemelezi, mahusianona Tambazi

 FIKA KWENYE KITUO CHETU CHA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC NJOMBE MJINI MTAA WA MPECHI

 KWA WALIOPO NJE NA MKOA WA NJOMBE HUDUMA YA DAWA ITAWAFIKIA KWA KUTUMIWA KWA MABASI ,SIMU 0768351097/0767488895 NYOTE MNAKARIBISHWA

Kilichoendelea Mahakamani Kuhusuu Kesi ya Rugemarila wa Escrow

$
0
0
Mwendesha Mashitka wa Takukuru, Leornad Swai ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mmiliki wa IPTL Harbinder Singh Sethi anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha ameomba madaktari wake kutoka Afrika Kusini wawepo wakati akifanyiwa upasuaji wa puto.

Pia Swai ameeleza kuwa Mfanyabiashara James Rugemarila hana ugonjwa wa saratani, pia na yeye ameomba madaktari wake kutoka India wawepo wakati akiwa anafanyiwa uchunguzi.

Swai ameyaeleza hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi hiyo ilipoitishwa kwa ajili ya kutajwa ambapo upelelezi bado haujakamilika.

Wakili Swai alieleza kuwa taarifa kuhusu afya za washtakiwa alizipata magereza January 17, 2018 kama mahakama ilivyoamuru azifatilie.

Swai alidai mshtakiwa Sethi anaishi na puto tumboni ambalo limeisha muda wake, ambapo madaktari wa Muhimbili wamesema linatakiwa liondolewe.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba alisema inaonekana madaktari wa Sethi wameruhusiwa kuja nchini kumtibia, hivyo Magereza wafanye utaratibu kama uliotumika kwa Sethi ili na Rugemarila atibiwe na madaktari wake.Kesi imeahirishwa hadi February 2,2018.

Kwa pamoja washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, utakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya USD 22, 198,544.60 na Sh.Bil 309.

Waziri Azitumbua Bodi za Wakurugenzi Mamlaka ya Maji Safi Arusha na Musoma


Mvua Yakata Mawasiliano Barabara ya Arusha, Manyara

$
0
0
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha madhara katika Mikoa ya Arusha na Manyara.

Katika Mkoa wa Arusha, mvua hizo jana zilisababisha shughuli za maendeleo katika Barabara Kuu ya Arusha kwenda Karatu, kusimama kwa muda, baada ya kingo za daraja linalounganisha Mji wa Mto wa Mbu na Makuyuni kusombwa na mafuriko.

Kutokana na hali hiyo, abiria wanaotoka na kwenda mkoani Mara, watalii wanaotembelea Hifadhi za Manyara, Serengeti, Ngorongoro pamoja na wananchi mbalimbali, walijikuta katika wakati mgumu wa kuendelea na shughuli zao za kila siku kutokana na ubovu wa barabara hiyo.

Kukatika kwa daraja hilo ambalo ni kiungo muhimu cha shughuli za maendeleo, kulisababishwa na mvua kubwa iliyonyesha maeneo ya milimani, wilayani Monduli na kusababisha magari zaidi ya 300 kushindwa kupita kwa wakati.

Akizungumzia athari hizo kwa njia simu, Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mkoa wa Arusha, Mgeni Mwanga alisema baada ya uharibufu wa barabara hiyo, wamefanikiwa kuweka kifusi katika eneo hilo na magari yalianza kupita, kuanzia jana saa sita mchana.

“Usiulize ukiwa mbali, njoo hapa ‘site’ uone kwa macho yako kama kweli kuna daraja limesombwa na mafuriko kama unavyouliza.

“Kimsingi, daraja halikukatika ila kingo zake ndizo zimemegwa na maji baada ya maji kujaa kupita kiasi.

“Yaani, hivi ninavyozungumza na wewe, tunamalizia kujaza kifusi na magari yote yalishaanza kupita na kuendelea na safari,” alisema Mwanga.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Isack Joseph, alisema kukatika kwa daraja hilo kulisababisha madhara kwa wananchi wilayani kwake.

“Maeneo mengi wilayani Monduli yalikuwa na mvua kubwa sana jana usiku na kwa kuwa wilaya ina maeneo yenye milima, maji yaliteremka kwa wingi kuelekea chini.

“Kazi ya kutafuta njia mbadala ili kuruhusu magari na watumia barabara waendelee na shughuli zao, zinafanywa kwa ushirikiano wa TANROADS na halmashauri,” alisema Joseph.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Iddi Kimanta alisema jitihada za kurudisha usafiri katika hali ya kawaida zilifanikiwa na magari kuanza kupita.

Pamoja na hayo, Kimanta alisema Serikali ya Wilaya ya Monduli inaendelea kufuatilia madhara ya mvua hizo na itatoa msaada kwa waathirika pindi utakapohitajika.

Sheria Mpya Vyama vya Siasa Yaundiwa Kamati

$
0
0
Baraza  la Vyama vya Siasa limeunda kamati tano na kuzipa mwezi mmoja kupitia mapendekezo ya Sheria mpya ya Vyama vya Siasa na Kanuni za usajili wa vyama.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza hilo, John Shibuda alisema kamati hizo zitafanya mapitio ya mapendekezo ya sheria mpya na kanuni ndani ya wiki mbili ili kuona usahihi wa vifungu vilivyopo.

Alisema baada ya mapitio hayo kamati hizo zinatakiwa zikamilishe maboresho ndani ya mwezi mmoja.

“Baraza limezipa wiki mbili kamati ili ziweze kujipanga na kupitia mchakato halafu ndani ya mwezi mmoja waweze kukamilisha na kutoa taarifa za kutosha,” alisema Shibuda.

Alisema baada ya maboresho kukamilishwa watatoa mapendekezo kwa mwenyekiti ambaye ataitisha kikao na kuyajadili kisha itaandaliwa rasimu.

Shibuda alisema, hadi sasa mchakato wa kutunga sheria na kanuni za usajili wa vyama vya siasa bado haujatekelezwa na badala yake zimeunda kamati ambazo zitachakata mapendekezo.

“Hadi sasa tunaendelea na sheria na kanuni zilezile za usajili wa vyama vya siasa, mapendekezo yaliyokuja kutoka sekretarieti yanaenda kuchakatwa na kamati ya sheria na Utawala Bora ya baraza,” alisema Shibuda.

Alisema baraza ndilo litakaloridhia yapi yanafaa kuwa mapendekezo ya vyama vya siasa kwa ajili ya kutungwa kwa sheria.

Shibuda alisema baraza hilo lipo huru na vyama vyote vimeshiriki wakiwamo wajumbe kutoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wamewakilishwa na Salum Mwalimu ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar (Chadema) na wajumbe wengine kutoka vyama mbalimbali.

Amezitaja kamati zilizoteuliwa na viongozi wake ni Kamati ya Bunge na Siasa, Mwenyekiti Juju Martini Danda (NCCR-Mageuzi) na Makamu Mwenyekiti ni Mohamed Masoud Rashid (Chauma).

Nyingine ni kamati ya Sheria na Utawala Bora ambapo mwenyekiti wake ni Hassan Almas (NRA) na Makamu wake ni Said Sudi.

Shibuda aliitaja pia Kamati ya Maadili na Mahusiano inayoongozwa na Mohamed Ally Abdallah (Demokrasia Makini) na Peter Magwira (Democratic Party).

Kamati ya fedha Mwenyekiti John Cheyo (UDP) na Salum Mwalimu ambapo ile ya Uongozi wa Baraza la vyama vya Siasa, Shibuda na Dk. Abdallah Juma Saadala.

Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC),  Doyo Hassan alisema hajaona sababu za mapendekezo hayo kuundiwa kamati.

Majina ya walioteuliwa na CHADEMA kugombea ubunge Kinondoni na Siha

$
0
0
Kamati Kuu ya Chama imemaliza Vikao vyake Leo tarehe 19 Januari, 2018 na imefanya uamuzi wa kushiriki kwenye uchaguzi mdogo kwenye majimbo ya Kinondoni na Siha unaotarajiwa kufanyika tarehe 19 Februari, 2018.

Baada ya uamuzi huu kufanyika , Kamati Kuu imewateua wagombea wa Majimbo hayo kama ifuatavyo;

1. Jimbo la Kinondoni ameteuliwa Mhe. Salum Mwalim Juma

2. Jimbo la Siha ameteuliwa Bwana Elvis Christopher Mosi

Wagombea wote wameshachukua fomu za uteuzi kutoka kwa wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo husika na watazirejesha kesho Jumamosi tarehe 20 Januari 2018 , kwa ajili ya uteuzi.

Imetolewa Leo tarehe 19 Januari, 2018.

John Mrema – Mkurugenzi wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje.

Rais Magufuli aagiza kusitiswa kwa usajili wa meli mpya

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasliano Prof. Makame Mbarawa Mnyaa na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Zanzibar Balozi Ali Abeid Karume kusitisha usajili wa meli mpya hapa nchini mpaka hapo itakapotangazwa vinginevyo.

Mhe. Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo tarehe 19 Januari, 2018 alipokuwa akizungumza na wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, kikao ambacho kimehudhuriwa na Mawaziri hao.

Ametoa agizo hilo ili kujipanga upya kufuatia taarifa za kukamatwa kwa dawa za kulevya katika meli zinazopeperusha bendera ya Tanzania ambazo hadi sasa zimefikia meli 5.

Sambamba na kusitishwa kwa usajili mpya wa meli Mhe. Rais Magufuli amewaagiza Mawaziri hao pamoja na vyombo vya dola kufanya uchunguzi wa kina kwa meli zote 470 ambazo zimesajiliwa hapa nchini na zinapeperusha bendera ya Tanzania.

Pia Mhe. Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga kusimamia utekelezaji wa maagizo hayo na kuhakikisha jina la Tanzania halichafuliwi ndani na nje na nchi.

 “Kafanyeni uchunguzi wa kina kwa meli zote zinazopeperusha bendera ya Tanzania, fanyeni uchunguzi kwa meli zilizokamatwa ambazo ni 5 na pia hizi 470 zilizosajiliwa na zinazoendelea kufanya kazi zichunguzeni, hatuwezi kuacha jina la nchi yetu lichafuliwe na watu wanaofanya mambo kwa maslahi yao” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli ametaka maagizo yote yaliyotolewa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuhusiana na meli hizo yatekelezwe.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amewataka wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutilia mkazo utekelezaji wa sera ya diplomasia ya uchumi ili nchi iweze kunufaika na fursa mbalimbali za uhusiano na ushirikiano na mataifa mengine duniani.

Mhe. Rais Magufuli amemuagiza Waziri Mahiga kuhakikisha Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi, na Wakurugenzi wa idara za wizara hiyo wanafanya kazi zenye manufaa kwa nchi, ikiwemo kuwataka Mabalozi kutoa taarifa kila baada ya robo mwaka juu ya ukusanyaji wa mapato na utekelezaji wa sera hiyo.

“Wakupe taarifa kila baada ya robo mwaka, na Balozi ambaye atakuwa hakusanyi mapato vizuri na kuinua biashara na uwekezaji atakuwa hafai kuendelea kuwa Balozi, tena kawaambie kabisa kwenye suala hili hakuna mchezo” amesisitiza Mhe. Rais Magufuli.

Halikadhalika Mhe. Rais Magufuli amemtaka Waziri Mahiga na watendaji wa wizara yake kufuatilia kwa ukaribu na kushirikiana na Mawaziri wanaohusika katika utekelezaji wa mikataba mbalimbali ambayo Tanzania imetiliana saini na nchi mbalimbali duniani, na kwamba hataki kusikia utekelezaji wa mikataba ambayo baadhi yake inahusisha miradi mikubwa yenye manufaa kwa Tanzania, unakwama ama kusuasua.

“Mnapokuwa mnahitaji taarifa kutoka wizara nyingine kama ni Waziri muandikie Waziri mwenzako kama ni Katibu Mkuu muandikie Katibu Mkuu mwenzako halafu nakala ya barua ilete kwangu kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, nataka nione huyo atakayechelewesha ama kutotoa taarifa” ameongeza Mhe. Rais Magufuli.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
19 Januari, 2018

Kubenea alivyoachiwa Mahakamani Leo na kukamatwa tena na Polisi

$
0
0
Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea leo Ijumaa aliachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Dodoma kisha Jeshi la Polisi mkoani humo likamkamata tena na kumfungulia kosa lile lile alilokuwa akikabiliwa nalo.

Kubenea anatuhumiwa kuwa Julai 4 mwaka jana kumshambulia Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Juliana Shonza katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma na Julai 5, mwaka jana alifikishwa mahakamani.

Mara baada ya kufikishwa mahakamani alituhumiwa kutenda kosa hilo kinyume cha kifungu cha Sheria 240 cha Sheria ya Makosa ya Jinai Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Kubenea alikumbana na mkasa huo wa kuachiwa na kukamatwa leo Ijumaa mara baada ya mahakama hiyo kumwachia huru lakini baada ya kutoka nje polisi walimkamata tena na kumfungulia mashtaka yala yale ya kushambulia mbunge mwenzie Shonza

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto alisema “ni kweli tumemkamata baada ya kuachiwa huru na Mahakama na kumfungulia makosa yaleyale ya kumshambulia mbunge mwezie Juliana Shonza.”

Akizungumzia tukio hilo, Kubenea amesema “nilipoachiwa nilikamatwa na polisi kisha walinipeleka kituo cha polisi kisha wakanirudisha tena mahakamani na kufunguliwa kosa lile lile,”

“Hata hivyo nilipata dhamana kwa kudhaminiwa na mtu mmoja ambaye alisaini bondi ya Sh500,000 na mimi nikasaini bondi ya Sh500,000 na kutakiwa kurejea tena Februari 7 kesi itakaposikilizwa.”

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya January 20


Waziri Wa Maliasili Na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla Ateua Wajumbe Wapya Wa Bodi Ya Mamlaka Ya Hifadhi Ya Eneo La Ngorongoro

Benki Ya Dunia Yatoa Ufadhili Wa Shilingi Bil. 47 Kuhifadhi Rasilimali Ya Bonde La Mto Wami

$
0
0
Na. Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.
Benki ya Dunia imetoa ufadhili wa shilingi Bilioni 47 kutekeleza mradi wa uhifadhi wa rasilimali za maji awamu ya pili katika bonde la mto Wami.

Akizindua mradi huo jana, Mjini Dodoma Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe alisema kuwa Tanzania ina jumla ya mabonde tisa ya maji lakini mabonde hayo yameathiriwa kwa kiasi kikubwa na shughuli za kibinadamu na kiuchumi zinazosababisha kupungua kwa maji katika mabonde hayo.

"Fedha hizi zilizotolewa na Benki ya Dunia zitaenda kutoa elimu kuanzia ngazi ya juu mpaka mwananchi wa kawaida juu ya njia za kutumika kutunza rasimalimali za maji ndani ya hifadhi ya bonde la mto Wami," alisema Mhandisi Kamwelwe.

Aidha Mhandisi Kamwelwe amewataka wananchi na viongozi watakaopata elimu hiyo kutunza   rasilimali hiyo wao wenyewe kwa kutofanya shughuli za kibinadamu na za kiuchumi ndani ya hifadhi la bonde hilo.

Kwa upande wake, mwakilishi wa Benki ya Dunia Alex William amesema kuwa jukumu la utunzaji wa rasilimali za maji ni za kila mwananchi, kiongozi pamoja na taasisi za umma na binafsiHivyo amewata Watanzania kupitia mradi huo kutunza rasilimali hiyo ili kuongeza kiwango cha maji ndani ya bonde hilo ambayo yatatumika katika shughuli za nyumbani, viwandani, mashambani  katika shughuli za uvuvi pamoja na utalii.

Naye, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Nazifa Kemikimba amesema mradi huo utasaidia upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya karibu ukiwemo mkoa wa Morogoro.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Dawa Bora Ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE YA UMME MDOGO "Arrabela" FIKA NJOMBE MJINI, TUPO MTAA WA MPECHI KWA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC.                                                    

 75%Ya Wanaume hukabiliwa na upungufu wa Nguvu za Kiume kwa sababu mbalimbali za matatizo ya Kiafya na Kibailojia hasa MTU ambaye anakuwa na Matatizo ya Ugonjwa wa KISUKARI, Zinaa, maumivu ya mgongo na kiuno, Tumbo kajaa gesi na kuunguruma, mshipa wa ngiri, Bawasiri au Mgoro, Au ugonjwa wowote unaochukua muda mrefu bila kupona hufanya kupungua kwa hormones za kichocheo kwa tendo la ndoa. 

Pia Matumizi ya dawa za kulevya ,Pombe,na utafunaji wa milungi.lakini wakati mwingine hutokana na sababu za Kimfumo wa kimwili na kuasilika kisaikolojia kwa kuwa na msongo wa Mawazo.

Lishe duni,upungufu wa protini mwilini na Madini.Kwa Huduma Bora za Matibabu ya KISUKARI, Nguvu za Kiume, maumbile ya umme MDOGO ,Matatizo ya kimaisha,muwasho sehemu za siri, Uzazi, Vidonda vya Tumbo,kikohozi kigumu,Magonjwa nyemelezi, mahusianona Tambazi

 FIKA KWENYE KITUO CHETU CHA TABIBU MABULA HERBAL CLINIC NJOMBE MJINI MTAA WA MPECHI

 KWA WALIOPO NJE NA MKOA WA NJOMBE HUDUMA YA DAWA ITAWAFIKIA KWA KUTUMIWA KWA MABASI ,SIMU 0768351097/0767488895 NYOTE MNAKARIBISHWA

Serikali Yakataza Kulima Pamba kwa Mkataba

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imekataza kilimo cha pamba cha mkataba kwa sababu kinawanyonya wakulima.

Ameyasema hayo jana (Ijumaa, Januari 19, 2018) wakati akizungumza na wananchi baada ya kukagua zahanati ya Hunyari wilayani Bunda, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Mara.

“Ni marufuku kwa wanunuzi wa pamba kulima pamoja na wakulima kwa sababu wakulima wanakosa uamuzi wa kupanga bei. Kuanzia sasa zao hilo litauzwa kwa njia ya mnada.”

Alisema Serikali imeweka mkakati wa kuimarisha mazao makuu ya biashara ambayo uzalishaji wake umeanza kupungua likiwemo na zao la pamba.

Waziri Mkuu alisema Serikali imeamua kushiriki kikamilifu katika usimamizi wa kilimo cha zao la pamba kuanzia hatua za maandalizi ya shamba, pembejeo hadi masoko.

Pia Waziri Mkuu amewaagiza Maofisa Kilimo katika wilaya hiyo wawafuate wakulima vijijini kwa ajili ya kutoa elimu itakayowawezesha wakulima kulima kwa kufuata njia bora za kisasa.Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wafugaji kuhakikisha wanakuwa na idadi ya mifugo kulingana na uwezo wa eneo lao.“Marufuku kulisha mifugo katika mashamba ya watu.”

Amesema Serikali itachukua hatua kali za kisheria kwa mfugaji yeyote atakayelisha mifugo yake katika mashamba ya wakulima kwani tabia hiyo huchangia migogo baina yao.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images