Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Vikao vya kamati za Bunge kuanza Januari 15

$
0
0
Taarifa kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  zinaeleza kuwa Vikao vya Kamati za Bunge vinatarajiwa kuanza Jumatatu tarehe 15 hadi 27 January, 2018 Mjini Dodoma, hii ikiwa ni kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kumi wa Bunge.

Shughuli ambazo zimepangwa kutekelezwa katika kipindi cha vikao hivi ni pamoja na ziara za ufuatiliaji, uchambuzi wa miswada mbalimbali na kupokea maoni ya wadau, na kupokea taarifa za utendaji za wizara.

Kamati tatu za kisekta ambazo zitakuwa na jukumu la uchambuzi wa miswada ya sheria mbalimbali ni pamoja na kamati ya Katiba na Sheria, kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii pamoja na kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii. 


Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela kwa Kumtusi na Kumtisha Mkuu wa Wilaya

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, imemhukumu mkazi wa mtaa wa barabara ya Mbutu, mjini hapa, Mohamed Ahmed (54) kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kutiwa hatiani kwa kumtishia na kumtolea lugha ya matusi Mkuu wa Wilaya ya Igunga, John Mwaipopo.

Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Elimajidi Kweyamba, alidai mahakamani hapo kwamba mshitakiwa, alitenda kosa hilo Januari 09, mwaka huu, saa 1:05 usiku katika maeneo ya barabara kuu ya lami ya Igunga mjini.

Alidai kuwa mshitakiwa huyo alimtolea lugha ya matusi Mwaipopo wakati akitekeleza majukumu yake.

Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Igunga, Ajali Milanzi, Kweyamba alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo wakati mkuu wa wilaya akitekeleza agizo la upandaji miti kama lilivyotolewa maelekezo na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassani.

Aidha, mwendesha mashtaka alidai kwamba katika kosa la pili, muda huo huo na tarehe hiyo hiyo, mshitakiwa akiwa na nia ovu, alimtishia maisha kwa maneno Mkuu wa Wilaya kuwa atamwonyesha na atahakikisha anahama Igunga kwa kumfanyia kitu kibaya.

Hata hivyo, baada ya kusomewa mashitaka yote mawili, mshtakiwa huyo alikiri kutenda makosa hayo.

Kabla ya kutoa hukumu, Hakimu Milanzi alisema kwa kuwa mshtakiwa amekiri mwenyewe makosa, atatumikia adhabu ya kifungo cha miaka mitatu gerezani, mwaka mmoja kwa kosa la kwanza na miwili kwa kosa la pili.

Bunge bado halijamuita Ole Sendeka Kumuhoji

$
0
0
Bunge bado halijamuandikia barua ya kumuita Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka ili kujibu tuhuma za kukejeli na kudharau muhimili huo.

Katibu wa Bunge Stephen Kigaigai amesema kuwa bado hawajamuandikia barua ya kumwita kufika katika kamati hiyo.

"Niko katika kikao lakini ninachofahamu kuwa bado hatujamuandikia," amesema Kigaigai.

Januari 9 mwaka huu Spika wa Bunge, Job Ndugai aliagiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumuita na kumhoji Sendeka wakati wa uchunguzi wa kamati hiyo kuhusu tuhuma hizo zilizonukuliwa katika mitandao ya jamii kwa lugha ya Kimasai, Kiswahili na Kingereza.

Spika alisema lengo la kumuita ni kubaini ukweli wa dhamira ua kauli hizo na lutoa mapendekezo kuhusu hatua zinazopaswa kuchukuliwa na Bunge.

Airtel Yaijibu Serikali, Yadai Taratibu Zote Zilifuatwa Wakati wa Ubinafisishaji

$
0
0
Kampuni ya Bharti Airtel inayomiliki kampuni ya Airtel Tanzania, imeeleza kusikitishwa kwake na taarifa ya kamati iliyoundwa kuchunguza umiliki wake iliyotolewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango juzi.

Taarifa ya Bharti iliyotolewa jana imeeleza kuwa uwekezaji wake ulifuata na kuzingatia sheria na taratibu zote za nchi kabla ya baraka za Serikali ya Tanzania.

Juzi, Waziri Mpango aliwasilisha kwa Rais John Magufuli taarifa ya kamati iliyoundwa kuchunguza umiliki wa kampuni ya simu ya Airtel na kueleza jinsi sheria na taratibu zilivyokiukwa katika ubinafsishaji wake.

Kutokana na ukiukwaji huo, Dk Mpango alisema Serikali inayomiliki asilimia 40 ya hisa za kampuni ya Airtel imeamua kufanya mazungumzo na kampuni ya Airtel inayomiliki asilimia 60 ya hisa ili nchi iweze kupata haki yake.

“Lakini niwaambie Watanzania yale ambayo tumeyaona ni machafu sana, ni mambo ya hovyo kabisa, nchi yetu kwa kifupi tuliingizwa mkenge, ni fedha nyingi zimepotea kwa hiyo sisi katika majadiliano haya lengo letu litakuwa ni kuhakikisha Watanzania wanapata haki yao” alisema. 

Waziri Mpango aliunda kamati hiyo ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli la Desemba 20 mwaka jana wakati akiweka jiwe la msingi katika jengo la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mjini Dodoma.

Lakini katika taarifa yake ya jana, Bharti imeonyesha mlolongo wa miamala na matukio kadhaa wakati wa ubinafsishaji ikidai kuwa hiyo inaweza ikaonyesha uwazi uliokuwapo.

Mchakato huo ni ule wa kuanzia kutafutwa kwa mwekezaji ndani ya TTCL kwa ajili huduma za simu za mkononi mwaka 2001 hadi uuzwaji wa Zain kwenda Airtel.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa katika kila hatua, Serikali ilikuwa ikishirikishwa na kulikuwa na uwazi mkubwa na matakwa yote ya kisheria yalikuwa yakifuatwa.

“Miamala yote ilikuwa ikifanyika chini ya usimamizi wa bodi ya wanahisa wa MSI, wawakilishi wa Benki ya Dunia, Serikali ya Uingereza, Marekani, Uholanzi na Ujerumani. Makundi hayo ya watu yalishirikishwa ili kuhakikisha maadili na misingi ya utawala bora katika kampuni,” inaeleza taarifa hiyo.

Imemuomba Waziri Mpango kuipatia matokeo ya kamati hiyo kuhusiana na ubinafsishaji wake ili kama kuna hoja zozote iweze kuzijibu kwa hoja kutokana na kumbukumbu za kampuni.

Trump ajitetea kuhusu kuitukana Afrika

$
0
0
Rais wa Marekani, Donald Trump amekana kuzitolea nchi za Afrika lugha chafu katika kikao kilichofanyika Ikulu, kuhusu sera ya uhamiaji ya DACA.

Trump alinukuliwa akitoa lugha ya matusi kwa nchi za Afrika akihoji kwanini wanawahitaji Waafrika nchini kwao na kwamba ni bora wangeruhusu zaidi watu kutoka Norway.

“Kwanini tunataka watu hawa wote kutoka Afrika waingie hapa? Ni watu kutoka nchi chafu (sh*thole countries)… tungekuwa na watu wengi zaidi kutoka Norway,” tafsiri isiyo rasmi ya nukuu ya Trump.

Hata hivyo, Trump ametumia mtandao wa Twitter ambako alishambuliwa vikali, kujitetea kuwa hakutamka maneno hayo kwenye kikao hicho ingawa amekiri kutumia maneno makali.

“Maneno niliyotumia kwenye kikao cha DACA yalikuwa magumu, lakini hiyo sio lugha niliyoitumia. Kilichokuwa kigumu zaidi kutoka kwangu ni kukataa pendekezo la kuirudisha sera ya DACA,” tafsiri ya tweet ya Trump.

DACA ni sera ambayo inawalinda vijana wadogo kupata nafuu katika taratibu za uhamiaji nchini Marekani, na kuwalinda zaidi kutofukuzwa kirahisi. Trump aliiondoa sera hiyo mwaka jana.

Mtandao wa Twitter uligeuka kaa la moto kwa Trump baada ya habari hiyo kuripotiwa na hasa watu kutoka Afrika ambao walianzisha hashtag na kujaribu kumuonesha uzuri wa Afrika.

Wakulima Waliokuwa wanadai milioni 800 walipwa

$
0
0

Deni la zaidi ya shilingi milioni 800 ambalo lilikuwa likidaiwa na wakulima wa Korosho kwa msimu wa 2016/2017 kwa vyama vya msingi (AMCOS) hatimaye limelipwa.

Mwenyekiti wa bodi ya chama kikuu cha ushirika cha Masasi, Mtwara Cooperative Union (MAMCU) Joseph Kidando amesema tayari kiasi hicho cha fedha kimeingizwa katika akaunti za vyama vya msingi kwaajili ya  kugawanywa kwa wakulima.

Aidha mwenyekiti huyo amesema wamelazimika kulipa deni hilo kutokana na wao kuwa walezi wa AMCOS na wakulima kwa ujumla na ametaja sababu za kuchelewesha kulipwa kwa fedha hizo ni upotevu wa fedha uliosababishwa na makosa ya viongozi wa AMCOS.

Kwa upande mwingine Kidando ameeleza kuwa sababu nyingine kubwa iliyosababisha upotevu wa fedha hizo ni kuingizwa kimakosa katika akaunti tofauti za vyama vya msingi, ambapo baadhi ya viongozi wasiowaaminifu waliamua kuzifanyia matumizi binafsi.

Sumaye Ataka Wanasiasa Wanaohama Vyama Vyao Wakemewe

$
0
0
Waziri mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Fredrick Sumaye amesema wanaojiuzulu ubunge na udiwani kwa kushawishiwa kwa fedha na madaraka wanapaswa kukemewa na watu wote.
 
Katika mahojiano na kituo cha habari za Azam Two jana Ijumaa Sumaye alisema mwanasiasa anayefanya hivyo ni fisadi mkubwa kwani anachezea fedha za wananchi wanazolipa kama kodi.
 
"Mtu akijiuzulu kwa sababu za msimamo binafsi hiyo ni sawa lakini akijiuzulu kwa nguvu ya fedha  na madaraka tunapaswa wote kukemea,"alisema Sumaye.
 
Alihoji uhalali wa mbunge kujiuzulu nafasi hiyo akiwa chama fulani na kuitaka tena nafasi hiyo katika chama kingine kwa madai ya kutaka kuwatumikia wananchi wakati hata huko alikojiuzulu alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo.
 
"Mtu kama ni mbunge na aliwaomba kura wananchi ili kuwatumika  anapaswa kuwatumikia sio kuhama chama na kutaka tena ubunge kwani mbunge kazi yake ni kuwasemea wananchi sio chama chake," amesema Sumaye.

Umoja wa Afrika (AU) wataka Trump aombe radhi

$
0
0
Umoja wa Afrika (AU) umelaani matamshi ya dharau na kuishushia hadhi Afrika aliyotoa Rais Donald Trump alipokutana na wabunge kwenye ofisi yake ya mviringo ikulu.

Vyombo vya habari vya Marekani yakiwemo mashirika makubwa kama CNN na Washington Post yalinukuu vyanzo vya uhakika kwamba Trump aliyaita mataifa ya Haiti, El Salvador na Afrika kuwa “mataifa machafu”.

Katika kikao hicho Alhamisi iliyopita Trump inadaiwa alihoji: “Kwa nini tunawaruhusu watu hawa kutoka “nchi chafu” kuingia nchini?”

Botswana imekuwa nchi ya kwanza Afrika kumshutumu Trump kwa kuyaita mataifa ya Afrika kuwa "machafu" na ikasema tamko la rais huyo ni la kukosa kuwajibika, linakera na uthibitisho wa "ubaguzi wa rangi".

Pia imechukua hatua ya kumwita balozi wa Marekani aliyeko Botswana aweze kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.

Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.

Taarifa ya AU
Umoja wa Afrika, katika taarifa yake Ijumaa ilisema Afrika inasikitishwa na matamshi ya Rais wa Marekani na imemtaka “afute matamshi” hayo na “awaombe radhi Waafrika.”

“Umoja wa Afrika unalaani vikali matamshi yasiyo ya heshima na inamtaka ayafute na pia awaombe radhi siyo tu Waafrika, bali watu wote wenye asili ya Afrika walioko duniani kote,” ilisema taarifa hiyo.

Ebba Kalondo, ambaye ni msemaji wa mwenyekiti wa AU Moussa Faki, mapema aliliambia shirika la AFP kwamba kauli ya Trump “haikubaliki”.

Msemaji wa Umoja wa Mataifa Rupert Colville amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.

Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa Rais wa Marekani; nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.”

Colville alizungumzia hotuba ya Trump wakati wa kampeni 2016 ambapo alisema wahamiaji kutoka Mexico ni wahalifu na wabakaji. Trump alitoa matamshi hayo alipokutana na wabunge kutoka vyama vyote kujadili pendekezo la mpango wa wahamaiji usiopendelea upande wowote.

Baadaye Trump kupitia Twitter yake alijitetea kwa kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema alitumia "lugha kali".

Tiba Asili ya Kuondoa Michirizi,Tumbo Kujaa Gesi, Maumivu ya Mgongo na Nguvu za Kiume

$
0
0
JE, UNA DALILI HIZI? (Kushindwa kurudia tendo la ndoa)
(Kutojiskia hamu ya tendo la ndoa)
(Maumivu ya kiuno mgongo)
(Tumbo kuunguruma na kujaa ges)
(Uume kusinyaa na kuingia ndan na kuwa mdogo au mfupi)
(Korodani moja kuvimba)
Kama dalili hizi unazo upo kwenye hatari ya kuishiwa nguvu za kiume kabisa,kwa matibabu tumia OZYMIX POWER dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikal ambayo itakuwezesha kurudia tendo LA ndo zaidi ya Mara tatu bila hamu kuisha
PIA KUNA DAWA YA KUNENEPESHA NA KUREFUSHA MAUMBILE YA KIUME

DAWA ZA KIKE ZA KUTENGENEZA SHEPU
(Kusimamisha maziwa yaliyolala)
(Kuongeza makalio)
(Kuondoa michirizi)
(Kumrudisha mwanaume aliekuacha au Asie kupa hela)
KWA MAWASILIANO ZAIDI
0716096205 au FIKA OFISIN au piga simu utaletewa dawa popote ulipo daresalam KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA Chaahirishwa Hadi Kesho

$
0
0
Kamati Kuu ya Chadema iliyokuwa imepangwa kufanyika leo imeahirishwa hadi kesho.

Kikao hicho kimeahirishwa ili kutoa fursa ya viongozi na wanachama wa Chadema kushiriki mazishi ya Anna Mayunga ambaye ni mama wa mkurugenzi wa sheria wa chama hicho, , Peter Kibatala.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema “ni kweli Kamati Kuu ilikuwa ikutane leo lakini imeahirishwa hadi kesho(Jumapili).”

“Tumeahirisha ili kutoa nafasi ya viongozi kushiriki mazishi ya mama yake Kibatala yanayofanyika leo(Jumamosi) Morogoro mjini na Kamati Kuu itakutana kesho(Jumapili) jijini Dar es Salaam.”

Mrema amesema marehemu Anna alifariki juzi Alhamisi baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliokuwa amejikinga na mvua zilizokuwa zikinyesha na kudai kwamba si pekee aliyefariki kuna wengine pia.

Amesema mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe tayari yupo mkoani Morogoro kuhudhuria mazishi hayo akiwa pamoja na viongozi wengine na wabunge.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

BREAKING NEWS: Kauli ya Rais Magufuli kuhusu mjadala wa kuongezwa kwa kipindi cha Urais

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Januari, 2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo hayo Ndg. Polepole amesema Mhe. Dkt. Magufuli amemuelekeza kuwajulisha wanachama wa CCM na umma wa Watanzania kuwa anasikitishwa na hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 iliyowekwa kwa mujibu wa katiba, hadi miaka 7.

Ndg. Polepole amesema Mhe. Dkt. Magufuli amewataka wanachama wa CCM na umma wa Watanzania kwa ujumla kuupuuza mjadala huo kwa kuwa haujawahi kujadiliwa katika kikao chochote cha chama, na ni kinyume na katiba ya CCM na katiba ya nchi.

Ameongeza kuwa Mhe. Dkt. Magufuli amewataka wana CCM na umma wa Watanzania kutokubali kuyumbishwa ama kupotoshwa na mambo yasiyokuwa ya msingi na badala yake wajielekeze katika ajenda muhimu ya kujenga uchumi na kutekeleza Ilani ya CCM ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Ndg. Polepole amebainisha kuwa Mhe. Dkt. Magufuli hana mpango wowote na hatarajii kuongeza kipindi cha Urais wakati wote wa uongozi wake.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
13 Januari, 2018

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya January 14

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Mazito Wizara ya Nishati

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Nishati ijiridhishe na ubora wa vifaa vinavyotumiwa na wakandarasi katika miradi ya umeme.

Pia iwasimamie wakandarasi hao kwa ukaribu ili kuhakikisha thamani ya miradi inayotekelezwa inalingana na kiasi cha fedha wanacholipwa wakandarasi hao.

Ametoa kauli hiyo jana  (Jumamosi, Januari 13, 2018) wakati akizungumza katika kikao cha maendeleo ya usambazaji umeme kilichofanyika , Ofisini kwake, Dodoma.

Waziri Mkuu alisema wakati huu ambao Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakiendelea na miradi ya usambazaji umeme, ni vema wizara hiyo ikajiridhisha na ubora wa vifaa.

“Wasimamieni wakandarasi kikamilifu na kama hamjaridhishwa na kazi wanayofanya msisite kuwachukulia hatua, tunataka  wananchi wapate umeme.”

Alisema Rais Dkt. John Magufuli amedhamilia kuona umeme unasambazwa kwenye vijiji vyote nchini kwa lengo la kuboresha maendeleo ya wananchi.

Hivyo, Waziri Mkuu amesisiza kwamba ni lazima wakandarasi waliopewa jukumu hilo wasimamiwe kikamilifu ili mradi hiyo iweze kuwa na ubora unaostahili.

Kwa upande wake Waziri wa Nishati, Dkt.  Medard Kalemani amesema tayari wakandarasi wanaotekeleza mradi wa REA namba tatu wameshaanza kazi.

Amesema kwa wakandarasi ambao bado hawajaanza wamekubaliana kwamba wataanza wakati wowote na wa mwisho ataanza Machi 2, 2018.

Dkt. Kalemani amesema wizara yake itahakikisha miradi yote ya kusambaza umeme inasimamiwa kikamilifu na inakamilika kwa wakati na katika ubora unaostahili.

Kikao hicho kilihudhuliwa na Waziri wa Nishati Dkt.Kalemani, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji, Naibu Waziri wa Nishati Bibi Subira Mgalu, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bibi Maimuna Tarishi.

Wengine ni pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mwenyekiti wa Bodi ya REA, Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO, Mtendaji Mkuu wa REA, Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Kamishna Msaidizi-Bajeti.

Waziri Mahiga akutana na Kamati ya kuchunguza mauaji ya wakulinda amani DR Congo

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga amekutana na kufanya mazungumzo na wajumbe wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kuchunguza mauaji ya askari wa kulinda amani nchini DR Congo.

Wanajeshi hao walipoteza maisha  wakiwa nchini DRC katika jukumu lao la kulinda amani ambapo Askari hao waliouawa wakiwa katika operesheni ya ulinzi wa amani chini ya Umoja wa Mataifa nchini Congo- DRC.

Miili ya wanajeshi hao iliwasili nchini Jumatatu Disemba 11 na kisha kupelekwa katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo. Miili hiyo iliagwa Disemba 14 katika viwanja vya Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Upanga jijini Dar es Salaam. Mbali na hao waliouawa, wengine zaidi ya 40 walijeruhiwa

Watu 40 Watiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Mauaji ya Watu Wawilii

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoa wa Mara linawashikilia watu zaidi ya  40, wakazi wa Kijiji cha Mikomariro wilayani Bunda kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili sababu ikitajwa kuwa ni mgogoro wa mpaka wa shamba.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Jafari Mohamed amethibitisha kukamatwa kwa watu hao huku akiongeza kuwa Jeshi lake bado linawasaka watu wengine waliohusika na tukio la mauaji ya watu wawili wakazi wa Kijiji cha Remng'orori wilayani Serengeti.

Aidha kamanda Jafari amebainisha kuwa waliokamatwa ni wale walioshiriki yowe iliyosababisha mauaji ya watu wawili kwa kuwakata kwa mapanga kwa sababu ya ugomvi wa mipaka ya mashamba.

Amesema kuwa chanzo cha mgogoro huo ni mpaka wa wilaya za Bunda, Serengeti na Butiama ambao unahusisha eneo la ekari 3,535 ambapo Wegesa Gikene na Nyamhanga Gembo wakazi wa Kijiji cha Remng'orori waliuawa kwa kukatwa na mapanga wakati wakiwa shambani.

IMF yaionya Tanzania juu ya kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi

$
0
0

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ijumaa hii limeonya kuhusu kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania, likisema kuwa serikali inafaa kuchukua hatua za haraka ili kubadilisha mwelekeo wa kushuka.

Katika taarifa yake mpya kuhusu uchumi wa Tanzania, IMF imesema kuwa, licha ya kuwa takwimu za pato la taifa kuoyesha kukua, lakini takwimu ningine za uchumi zinaeleza kudorora kwa shughuli za kiuchumi. Taarifa hiyo imetolewa baada ya kukamilisha mapitio yake ya Sera za Kukuza Uchumi PSI kuhusu Tanzania.

Ukusanyaji wa mapato umekuwa mdogo kuliko ulivyotarajiwa na ongezeko la alama za imani limekwama katika baadhi ya mabenki kutokana na kuongezeka kwa mikopo mibaya.

Kumekuwa na athari mbaya kwenye ukuaji wa uchumi katika kipindi kifupi kutokana na utekelezaji mdogo wa bajeti, ulioleta changamoto kwenye mazingira ya kibiashara, na sekta binafsi ikilalamika kubanwa sana na sheria.

Uchumi wa Tanzania katika kipindi cha muongo mmoja uliopita ulikuwa unakua kwa asilimia 7 kwa mwaka, lakini mwezi Novemba Benki ya dunia ilitangaza kuwa kasi hiyo huenda ikapungua hadi asilimia 6.6 mwaka jana

Bomoa Bomoa Njia ya Reli Yasababisha Kilio Mwanza

$
0
0
 Wakati kampuni hodhi ya rasilimali za reli nchini (Rahco) ikianza utekelezaji wa kubomoa nyumba zote zilizojengwa ndani ya njia ya reli, zaidi ya wafanyabiashara 200 wa samaki na dagaa jijini Mwanza hawana pa kwenda baada ya kubomolewa vibanda vyao.

Hata hivyo, tofauti na vilio vya baadhi ya wananchi wengine wanaokumbwa na adha kama hiyo, baadhi ya wafanyabiashara hao walikiri kuvamia eneo hilo tangu mwaka 1994 baada ya reli hiyo kuacha kufanya kazi.

Kutokana na hatua hiyo, mfanyabiashara wa samaki eneo la Stesheni na Bandarini, Maige Wambura aliiomba halmashauri kuwatafutia eneo lingine litakalofaa kwa biashara ili wajipatie kipato.

“Ni kweli hatukuwa na eneo maalumu ndio maana tulikuwa hapa tukifanya biashara zetu, lakini leo (jana) tumebomolewa na hatujaelekezwa tunaenda wapi,” alisema Wambura.

Wambura alisema watu wapatao 17 walikuwa na vibanda kwenye njia hiyo na kulikuwa na wakaanga samaki takriban 67, mamalishe 83 na wauzaji wa matunda zaidi ya 40.

Ofisa Mfawidhi wa Rahco, Daimon Mwakaliki alisema ubomoaji huo ni utekelezaji wa mpango wa Serikali kupisha ujenzi wa reli ya kisasa ya (Standard Gauge).

Bila kutaja idadi ya nyumba za watu, taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali, kidini, shule na viwanja vya michezo, zitakazoathirika, Mwakaliki alisema utekelezaji huo umeanza ikiwa ni siku tatu tangu Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuagiza kuanza ubomoaji huo.

Alisema watakaobomolewa ni wale waliojenga ndani ya mita 15 kutoka stesheni ya reli hadi bandarini na kutoka njia kuu ya reli na kuendelea, itakuwa mita 30.

“Zoezi hili si la kushtukizwa kwani tulitoa notisi kwa watu wote waliovamia miezi sita iliyopita, baadhi yao walibomoa wenyewe lakini baadhi walikaidi ingawa pia juzi tulipita kwenye maeneo yote yatakayobomolewa kuwatangazia kuanza kuwabomolea,” alisema Mwakaliki.

Bomoabomoa hiyo imeukumba ukuta wa Uwanja wa Nyamagana, ukuta wa Mamalaka ya Bandari, kiwanda cha samaki cha Vicky na taasisi nyingine yakiwamo makanisa na nyumba za kawaida.

Kazi hiyo ya ubomoaji ilidumu kwa saa saba ikifanywa chini ya ulinzi mkali wa polisi waliokuwa waliokuwa na silaha.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images