Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Video Mpya ya Lady JayDee- " HISTORIA"...Bofya hapa uione

$
0
0
Baada ya kuzinduliwa rasmi Jumamosi (February 8), Lady Jay Dee ameiachia video ya wimbo wake ‘Historia’, iliyofanywa na kampuni ya Ogapa Video ya nchini Kenya. Iangalie hapo  chini:

Wastara Juma ataka kujiua kwa sumu....Kisa chadaiwa ni madeni, manyanyaso na kutongozwa mara kwa mara na wanaume

$
0
0
IKIWA imetimia mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu kifo cha mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Jumamosi iliyopita amedaiwa kufanya jaribio la kutaka kujiua kwa kunywa sumu.... KABLA YA YOTE Awali, staa huyo ambaye amepitia mitihani mingi, alitundika picha katika Mtandao wa Kijamii wa Instagram na kulalamika kuumwa tumbo.   Katika maelezo

Watanzania asilimia 33.4 watajwa kuwa ni maskini waliokithiri

$
0
0
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), umebaini asilimia 33.4 ya Watanzania wameghubikwa na umaskini uliokithiri jambo linalosababisha vifo, msongo wa mawazo, afya duni na utegemezi.    Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Redio cha Maendeleo kwa ajili ya kutoa taarifa za maendeleo kwa umma iliyozinduliwa na ESRF jana, Mhadhiri wa Uchumi wa Chuo

Alichokisema Dr. Slaa baada ya ofisi za makao makuu ya CHADEMA jijini Dar kunusurika kuchomwa moto

$
0
0
Usiku wa kuamkia February 11 makao makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendelea Chadema yaliyopo jijini Dar es salaam yamenusurika kuteketea kwa moto baada ya watu wasiojulikana kufanya jaribio la kulipua ofisi za makao hayo.    Hii ni video inayomuonyesha Katibu wa Chadema Dr.Wilbroad Slaa akielezea tukio hilo.

Mabilioni CHADEMA yateketea bure...Mbowe, Dr. Slaa waambulia AIBU mikoani, yadaiwa kuwa Zitto Kabwe hawatamuweza, labda kama wanataka kuua chama chao wagawane rasilimali

$
0
0
Wakati  mwenyekiti  wa  chama  wa  Demokrasia  na  Maendeleo  (CHADEMA) , Freeman  Mbowe  na  katibu  mkuu  wake, Dr. Wilbroad  Slaa  wakiwa  na  mkakati  wa  kummaliza  kisiasa  aliyekuwa  naibu  katibu  mkuu  wa  chama  hicho  Zitto  Zuberi  Kabwe  kwa  gharama  yoyote  ile,  mkakati  huo  umegeuka  na  kuwa  aibu  tupu  kwa  viongozi  hao... Tathmini ya  ujumla  iliyofanywa  na 

Mgomo wa wafungwa waipa changamoto magereza.........

$
0
0
 Tishio la mgomo wa wafungwa 17 waliohukumiwa kifo na wa vifungo vya kati ya miaka mitano hadi 30 katika Gereza Kuu la Lilungu lililopo mkoani Mtwara, limelitikisa Jeshi la Magereza nchini na kuchukua hatua haraka kushughulikia malalamiko yao. Aidha, wafungwa hao walikataa kuvichukua baadhi ya vitu vilivyopelekwa gerezani hapo na Mkuu wa Magereza Mkoa wa Mtwara, Mussa Kaswaka, wakidai

Mbunge wa CCM Badwel yupo kitanzini tena

$
0
0
Kamati I ya Uhakiki wa Fedha za Mfuko wa Jimbo la Bahi Mkoani Dodoma iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, imemtia hatiani na kumuweka katika wakati mgumu Mbunge wa jimbo hilo, Omary Badwel, baada ya kubaini amehusika katika ubadhilifu wa mamilioni ya fedha za mfuko huo. Kutokana na hali hiyo, kamati hiyo imependekeza Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo

Baada ya ajali mbaya ya ndege... Algeria yatangaza siku tatu za maombolezo.....

$
0
0
Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.   Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi, ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine.   Kikosi cha uokoaji

Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kumuaga Mstaafu IGP Mwema

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  Jeshi la Polisi nchini, linapenda kuufahamisha umma kuwa, mnamo tarehe 15/02/2014 siku ya Jumamosi katika viwanja vya Polisi Barracks, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam, kutakuwa na hafla ya kumuaga IGP Mstaafu Said Alli Mwema kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa sita mchana. Katika hafla hiyo, kutakuwa na mambo mbalimbali yaliyoandaliwa

Tume ya Uchaguzi yatoa Taarifa kuhusu uchaguzi wa Ubunge Kalenga

$
0
0
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA Tume ya Tifa ya Uchaguzi imepokea barua kutoka kwa Mhe. Spika wa BUNGE la Jamhuri ya Muungano Tanzania ya kuiarifu uwepo wa nafasi wazi ya Ubunge katika Jimbo la Kalenga lililopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. William Mgimwa aliyefariki dunia tarehe 1/

Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msingwa adaiwa kuwa ni MSALITI baada ya kuishutumu serikali kupitia gazeti la Daily Mail la Uingereza

$
0
0
Umoja wa Wabunge wa Hifadhi ya Wanyamapori na Mazingira (TPGSNRCU), umemshukia mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msingwa (CHADEMA), ukidai ni msaliti na mnafiki. Umoja huo umesema kauli zilizotolewa na Msigwa alipozungumza na mwandishi wa gazeti la Daily Mail la Uingereza, kuwa serikali haifanyi juhudi za kulinda rasilimali hazina ukweli. Pia umemtaka Msigwa kuwa mzalendo na

Vigogo 6 wa CCM kitanzani leo.....Kamati ndogo ya maadili kuwahoji kwa tuhuma za kuanza harakati za urais 2015 kinyume cha utaratibu

$
0
0
KAMATI Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo inaanza kuwahoji wanachama sita, wakiwemo viongozi waandamizi kwa tuhuma za kuanza harakati za urais mwakani  kinyume cha utaratibu. Wanachama hao wanatuhumiwa kufanya kampeni kabla ya wakati, jambo linalodaiwa limekuwa likiwavuruga wanachama.   Ni kutokana na vitendo hivyo, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM (Bara), John

Serikali yapigilia msumari matumizi ya mashine za EFD kwa wafanyabiashara wanaogoma....Yadai kuwa msimamo wake uko pale pale na kamwe hautabadilika

$
0
0
SERIKALI imeonya kuwa, mashine za kielektroniki (EFD) zisiwe chanzo cha kuvuruga amani ya nchi, na zitaendelea kutumika kwa mujibu wa sheria.   Imesema msimamo wake uko pale pale na kamwe hautabadilika.   Kwa mujibu wa serikali, hakuna sababu ya kuendelezwa mjadala huo, kikubwa ni wafanyabiashara kufuata sheria za nchi.   Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, akizungumza kwa simu

Taarifa ya SUMTRA kuhusu kurudishwa kwa usafiri wa mabasi yaendayo Ferry na Mnazi mmoja jijini Dar

$
0
0
  YAH: KURUDISHWA KWA USAFIRI WA MABASI KWENDA FERRY NA MNAZI MMOJA Kutokana na adha wanayopata abiria wanaofanya safari zao kati ya Kivukoni na Mnazi Mmoja, SUMATRA ikishirikiana na kikosi cha usalama barabarani (Kanda maalumu) imerudisha usafiri huo ambapo mabasi ya UDA sita (kwa kuanzia) yatakuwa yanafanya safari kila siku katika maeneo hayo. Usafiri huu umeanza rasmi leo ( jana ) 

Rais Kikwete azindua mabango ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya tembo na faru...

$
0
0
Moja ya mabango yaliyozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru nchini. Hafla hii ilifanyika muda mfupi kabla Rais Kikwete hajapanda ndege kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kupanga mikakati ya kupambana

Miss Tanzania akiri kutembea na kondom kwenye mkoba wake kwa masaa yote 24.....Adai lengo ni kuzuia mimba isikamate

$
0
0
  MISS Tanzania 2011, Salha Israel ameweka bayana bila ya woga wowote kuwa, kwenye pochi yake hakaukiwi na mipira ya kiume ‘kondom’...   Salha alisema hayo, juzi Jumanne katika mahojiano maalum  na Global Publishers.   Katika mahojiano hayo, Salha aliwekwa mtu kati ambapo alifafanua ishu hiyo pamoja na mambo mengine ndani na nje ya urembo, bila kusahau tasnia ya sinema ambayo kwa sasa

Mvurugano Bunge la katiba: CHADEMA yatishia kususia bunge hilo

$
0
0
WAKATI keshokutwa Bunge Maalum la Katiba linaanza kukutana mjini Dodoma, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema huenda kikasusia Bunge Maalum la Katiba iwapo litaendeshwa kwa kufuata matakwa ya chama cha siasa na siyo ya wananchi.   Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe alisema hayo jana wakati akielezea maamuzi ya Kikao cha Kamati Kuu (CC) kilichofanyika jana na kueleza

Rais Kikwete achoshwa na vurugu za wapinzani....Awataka wanaCCM kuacha unyonge na badala yake wajibu mapigo ya vurugu hizo, asema uvumilivu una ukomo wake

$
0
0
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewataka wanachama wake kuacha unyonge na kujibu mapigo ya wapinzani hasa wale ambao wanaendesha siasa za vurugu katika kampeni za chaguzi mbalimbali nchini. Rais Kikwete amesema kuwa uvumilivu una ukomo, na kwamba sasa wanachama wa CCM hawana budi kuacha unyonge, kutokana na siasa hizo za vurugu zinazoendeshwa na

Mh. Benard Membe naye ahojiwa na kamati ya maadili CCM

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM mjini Dodoma leo Februari 16,2014. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa NEC mara baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili

Wajumbe wa Bunge la Katiba kulipwa sh. 300,000 kwa siku na siyo sh. 700,000/= kama ilivyodaiwa hapo awali

$
0
0
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, amewaambia waandishi wa habari kuwa  Bunge Maalumu la Katiba litazinduliwa rasmi Februari 26, 2014 huku kila mjumbe akilipwa posho ya shilingi laki tatu na siyo shilingi laki saba kama ilivyochapishwa katika baadhi ya vyombo vya habari. “Sisi tumesikia kuwa Wabunge wa Bunge la Katiba wanalipwa 700,000 na wala
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images