SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema lipo katika mpango
wa uboreshaji wa vituo vidogo vya usambazaji na upoozaji wa umeme
katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kupunguza
na kumaliza adha ya kukatika kwa umeme nchini.
Vituo hivyo ni pamoja na kile kilichopo katikati ya jiji pamoja na kituo cha Kurasini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa ziara
TANESCO yajipanga kuboresha vituo vya kupoozea umeme jijini Dar ili kupunguza adha ya kukatika kwa umeme nchini.
↧
↧
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kuzuia uhalifu kwa njia ya mtandao
TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wakimataifa
utakaojadili uzuiaji wa uhalifu unaotokana na matumizi ya njia ya
mtandao, unatarajia kufayika Jijini Dar es Salaam, Machi 27 hadi 28
mwaka huu.
Mkutano huo unatokana na kuwa Tanzania ni miongoni mwa baadhi ya
nchi zinazokabiliwa na changamoto za uhalifu huo kwa njia ya mtandao.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini
↧
Muuza magazeti ajitokeza kuwania ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CHADEMA
Bw. Aidan Pugili
WAKALA wa magazeti mjini Iringa Aidan Pugili (34), amejitokeza kuwania ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Uchaguzi mdogo wa kujaza kiti hicho kilichoachwa wazi na Dk William Mgimwa aliyefariki Januari 1, mwaka huu, utafanyika Machi 16, mwaka huu.
Akitumia umaarufu wake wa kuuza magazeti mjini hapa, Pugili
↧
Wema Sepetu awashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo kwa kumaliza ugomvi wa kugombania penzi la Diamond
Mwigizaji Wema Sepetu, amewashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo
kwa kumaliza tofauti baina yao akisema kuwa hawatendi haki na
wanaingilia uhuru wa wasanii hao.
Kauli ya Wema imekuja siku chache baada ya Jokate
kufika kwa kushtukiza katika onyesho lililofanywa na Wema mkoani Arusha
hivi karibuni na kumaliza tofauti zao.
↧
Uchaguzi wa madiwani: CCM yapata ushindi wa kishindo ....Yashinda kata 24 kati ya 27, CHADEMA waambulia kata 3 tu
WAKATI Chama Cha Mapinduki (CCM),ikishinda Kata 24 Kati ya Kata 27 ambazo Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Umefanyika jana Kote Nchini, mjini Kigoma katika jimbo la Mbunge wa Chadema Zitto Kabwe ushindi umekwenda kwa CCM.
Hatua ya Chadema kushindwa katika kata ya Mkongoro inatokana na
mgogoro ulioikumba Chama hicho baada ya Mbunge huyo kuvuliwa nyadhifa zake
ndani ya chama hicho.
↧
↧
Skendo ya kujiuza yamfanya baby madaha apigwe chini na Record label yake ya Candy and Candy ya huko Kenya na kupokonywa gari....Akiri uchawi upo
Mwanamuziki na muigizaji baby Joseph madaha amefunguka na kusema
kuwa kweli ameamini uchawi na kupigana juju vipo kwenye gemu kwani
mambo yaliyomtokea hivi karibuni haelewi hata imekauje.
Chanzo nini?
Hapo siku za nyuma baby Madaha alipatikana na dhahama ya
kukumbwa na kashfa nzito sana ya kujiuza kwa dau la milioni kumi kwa
jamaa mmoja hivi mitaa ya Dar es Salaam Jambo
↧
Waliotangaza nia CCM kabla ya wakati watiwa kikaangoni
Baadhi ya makada wa CCM ambao wataitwa mbele
ya Kamati ya Maadili na Usalama ya chama hicho, wanakabiliwa na shtaka
la kutoa rushwa kwa lengo la kushawishi kukubaliwa kwao, Mwananchi
limebaini.
Makada hao ni wale wanaodaiwa kuwa katika harakati
za kuwania urais wa 2015, hatua ambayo imekigawa chama hicho katika
makundi yasiyo rasmi ya yanayowaunga mkono wagombea hao.
↧
Mume amenitelekeza na watoto wanne..... Ndiye aliyesababisha nikomee darasa la sita
Nkasi, Rukwa
MATUKIO ya utelekezaji wa mke na watoto nchini Tanzania bado ni
changamoto kubwa katika jamii. Licha ya matukio haya kutofautiana kutoka
eneo moja hadi lingine bado yanachochewa na kulegalega kwa sheria za
nchi ikiwemo sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kwa baadhi ya vipengele.
Waathirika wakubwa wa matukio haya ni mama pamoja na watoto ambao ndio hutelekezwa
huku
baba
↧
Muuaji wa Tarime afa kwa ugonjwa.......
Mtuhumiwa
wa mauaji na unyang’anyi wilayani Tarime mkoani Mara, aliyekuwa
akitumia majina matatu ya Charles Range Kichune, Josephat Chacha,
Charles Joseph Msongo (38) aliyekuwa akihojiwa na Polisi, amefariki
katika Hospitali ya wilaya wakati akipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Kanda ya Tarime/ Rorya, Justus Kamugisha, alisema
mtuhumiwa huyo alifariki usiku wa kuamkia jana wakati
↧
↧
Moja kati ya yaliyotokea kwenye uchaguzi wa madiwani...... mbunge ajeruhiwa, na mabomu kurindima
Chaguzi
za udiwani katika kata 27 uliofanyika jana katika maeneo tofauti
ulitawaliwa na matukio mabaya yakiwamo ya polisi kutumia mabomu ya kutoa
machozi, huku mbunge mmoja akicharangwa mapanga na kukimbizwa
hospitalini kupatiwa huduma.
Katika kata ya Sombetini, jijini Arusha, askari wa Kikosi cha Kutuliza
Ghasia (FFU), walirusha mabomu ya machozi kutuliza vurugu za watu
↧
Vigogo wa TBA wahukumiwa miaka 9 Jela….Ni wale walioruhusu Ujenzi wa Jengo Linalochungulia IKULU.
Vigogo wa TBA, Makumba Kimweri
(kulia) na Richard Maliyaga (kushoto) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu, Dar! (Picha na Maktaba).
**
Watu
wawili wamehukumiwa kulipa faini ya Sh. Milioni 15 au kwenda jela
miaka miaka 15 baada ya kupatikana na hatia ya makosa matano ya ujenzi
wa jengo la ghorofa 18 lililojengwa jirani na Ikulu lililopo mtaa wa
Chimala Kitalu cha 45 na
↧
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida afikishwa Mahakamani Kisutu kwa kosa la kutengeneza Dawa bandia za kurefusha maisha kwa waathirika wa UKIMWI ( ARV feki)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam pia ni
Mkurugenzi Mkuu Kiwanda cha Kutengeza Dawa (TPI Ltd) Ramadhani Madabida
na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,
jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka matano ya usambazaji wa
Dawa bandia za kurefusha maisha kwa waathirika wa UKIMWI na
kuisababishia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) hasara ya
↧
CCM yatoa shukrani kwa wananchi kwa kuimwaga CHADEMA katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika jana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru Watanzania kwa kukiamini na kukipatia ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika jana katika kata 27 na CCM kushinda kata 23.
Akitoa shukrani hizo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo kwamba siri ya CCM kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni
↧
↧
Maeneo ya Ikulu yageuzwa uwanja wa ngono na ukabaji
Wananchi
wa mtaa wa Pwani katika Manispaa ya Bukoba, wamelalamikia vitendo vya
ngono vinavyofanyika katika maeneo ya Ikulu ndogo na kutaka vidhibitiwe
kwani vinaidhalilisha serikali ya mkoa Kagera.
Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliotishwa na Mwenyekiti wa mtaa
huo kuzungumzia hali ya ulinzi na usalama katika mtaa wao, wananchi hao
walidai kuna watu wamekuwa wakiegesha magari
↧
Wafanyabiashara waendelea kugoma kila kona kupinga matumizi ya mashine za EFD
Sakata la matumizi ya Mashine za Elektroniki za Kutolea Risiti
(EFD), limechukua sura mpya baada ya wafanyabiashara mikoa mbalimbali
kuja juu wakisema matumizi yake yanalenga kuwaangamiza katika biashara.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wafanyabiashara
hao wameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufikiria upya mfumo wa
kuzitumia, vinginenyo watajikuta wanaingia kwenye mgogoro
↧
Vigogo sita CCM ambao wanatajwa kuwania Urais 2015 waitwa Kamati ya Maadili....Yumo Lowassa, Wassira, Sumaye na Makamba
Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya
kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya
Kamati ya Ndogo ya Maadili ya chama hicho, kwa ajili ya kuhojiwa kwa
tuhuma za kukiuka maadili.
Habari ambazo zililifikia gazeti la Mwananchi jana
zinawataja vigogo hao kuwa ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano
↧
Rais Kikwete aongoza kikao cha kamati kuu ya CCM Ikulu jijini Dar leo
↧
↧
CUF kutosimamisha mgombea katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kalenga....CHADEMA kumtangaza mgombea wake wakati wowote
Mbio za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga unabaki kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kuthibitisha kutosimamisha mgombea.
Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Umma wa CUF, Abdul Kambaya, amesema chama chake hakina mpango wa kusimamisha mgombea katika jimbo hilo na kwamba hivi sasa wanaandaa mikutano ya
↧
Linex akanusha kuwa na uhusiano wa mapenzi na Agnes Masogange, ..."Sina haraka ya kuwa na mpenzi"
Linex Sunday Mjeda, ambaye hivi karibuni ameonekana kwenye picha
kadhaa akipoz na video Queen maarufu Tanzania, Agnes Gerald (Masogange),
amekanusha kuwa na uhusiano wa mapenzi na mrembo huyo.
Kupitia akaunti yake ya Facebook, mkali huyo wa ‘Kimugina’ ameonesha
kusikitishwa na habari iliyoandikwa na tovuti moja kuwa yeye na Agnes
wako kwenye mapenzi mazito.
“Ni kweli
↧
Magazeti ya ufaransa yadai Obama ana uhusiano wa kimapenzi na Beyonce, waandishi wa Marekani wakanusha
Kuna mgongano wa habari kati ya baadhi ya vyombo vya habari
vya Ufaransa na vile vya Marekani kuhusu uhusiano uliopo kati ya Beyonce
Knowles na rais wa Marekani, Barack Obama.
Gazeti la Ufaransa la Le Figaro liliripoti kuwa kuna uhusiano wa siri
wa kimapenzi kati ya rais wa Marekani, Barack Obama na mwimbaji ambaye
ni rafiki wa karibu wa familia ya Obama, Beyonce Knowles.
Habari
↧
More Pages to Explore .....