Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali yatakiwa kuwachukulia hatua waliovunja haki za binadamu katika uchaguzi

$
0
0
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka serikali kufanya uchunguzi wa kina sambamba na kuchukulia hatua kali za kisheria, kwa watakao bainika kuhusika na uvunjifu wa haki za binadamu katika uchaguzi mdogo wa madiwani wa marudio wa Novemba 26, 2017 uliofanyika katika kata 43.

Akizungumza na wanahabari jana jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga amesema Kituo hicho kilifuatilis kwa ukaribu uchaguzi huo, na kubainj uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu na taratibu za uchaguzu nchini licha ya kuwa wa huru na haki.

“Kumekuwa na vitendo vya matumizi mabaya ya nguvu ya vyombo vya dola, matukio ya watu kutekwa na wasiojulikana, watu kupigwa, kukamatwa na kujeruhiwa kwa lengo la kuharibu na kuvuruga uchaguzi na kuwatia hofu wapiga kura. Vitendo hivi vimeripotiwa kufanywa na vyombo vya dola, watu wasiojulikana na wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa vyama vya siasa ikiwemo CCM na Chadema,” alisema.

Henga alisema LHRC inatahadharisha kwamba matukio hayo yasipokemewa na jamii in kiashiria kibaya na msingi mbaha utakao athiri chaguzi zijazo ikiwemo wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 na Mkuu wa 2020.

“Hii itapelekea kutishwa wapiga kura wasijitokeze kutekeleza haki zao za msingi za kuchagua viongozi wao, kuchochea uhasama miongoni mwa wananchi pamoja na kufifisha imani ya wananchi juu ya vyombo vys usimamizi wa uchaguzu na dola kwa ujumla,” alisema.

Kwa upande wake Mwanasheria wa LHRC, William Benjamin ameitaka serikali kufanya maandalizi ya kimfumo, kikatiba na kisera ili iweze kudhibiti vitendo vitakavyoweza kuharibu uchaguzi.

“Tunashauri mchakato wa katiba urejewe, kuwepo tume huru ya uchaguzi. Vyombo vya dola vijue kazi yake ni kulinda wananchi wanapokuwa kwenye uchaguzi na si kuvuruga uchaguzi,” alisema.

Dr. Shika aandaliwa tamasha la ‘Usiku wa 900 itapendeza’

$
0
0
Dkt. Louis Shika ambaye amejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi, na kushindwa kuzilipia, ameandaliwa usiku wake maalum ambao ataongea na Watanzania juu ya maisha yake.

Akizungumza na waandishi wa Habari mapema jana  Novemba 30, 2017, Jijini Dar es Salaam, Meneja wa Dkt. Shika, Catherine Kahabi aliweka wazi kuwa wamekuja na wazo hilo la kuandaa tamasha maalum ili watu wote wamtambue Dkt. Shika kama mmoja wa watu wakubwa ambao wameweza kuibuka katika mazingira ya chini na baadae kuwa gumzo kila kona.

“Usiku wa 900 Itapendeza ni usiku maalum ambao unatarajiwa kufanyika Desemba 9, mwaka huu. Watu wote wanakaribishwa pale ndani ya uwanja wa burudani, Dar  live. Usiku huo ni maalum na Dkt. Shika ataweka wazi kila kitu pamoja na historia yake alianzia wapi mpaka kufika Nchini Urusi na baadae kurejea Tanzania” amesema Catherine

Pia aliongeza kuwa, kwa sasa wanamuangalia Dkt. Shika kama ni mmoja wa Watanzania wenye bahati na muonekano wa tofauti licha ya kila mmoja kusema lake.

Mbali na Dkt. Shika, kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazosindikizwa na bendi ya Twanga Pepeta, Jahazi Modern Taarab na wasanii wengine kibao wakiwemo wa Bongo fleva na wachekeshaji akiwemo MC Pilipili.

Kwa upande wake msimamizi wa masuala ya burudani wa Dar Live, Rajabu Mteta (KP Mjomba) amesemakuwa usiku huo utapambwa na shamrashamra mbalimbali kwani utakuwa ni wa aina yake kwa kila mmoja atakayefika siku hiyo.

“Wengi bado wapo njia panda kuhusiana na ukweli wa mabilioni ya Dkt. Shika, tumeshuhudia hivi karibuni amelipia bima fedha zilizopo nje ya nchi. Kabla fedha hizo hazijatua ameona awashangaze wananchi ambapo ukija Dar Live utaishuhudia,” amesema Mteta  KP Mjomba.

Usiku huo pia unatarajiwa kuwa na mgeni rasmi ambaye atafungua halfa hiyo, Mkurugenzi wa Global Group, Erick Shigongo kama mtu aliyemsaidia kwa namna moja ama nyingine Dkt. Shika.

Ofisi ya Waziri Mkuu Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Kozi Za Foundation Chuo Kikuu Huria

$
0
0
SERIKALI haijatoa ruhusa kwa Chuo Kikuu Huria (OUT) kiendelee kutoa kozi ya ‘Foundation’ kama ambavyo imedaiwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii.

Baadhi ya mitandao ilitoa taarifa yenye kichwa cha habari kisemacho: “Waziri Mkuu aruhusu kozi za ‘Foundation’ Chuo Kikuu Huria” kwa madai kuwa alitoa ruhusa hiyo jana (Alhamisi, Novemba 30, 2017) wakati akiwa mkoani Singida ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya 33 ya Chuo Kikuu hicho.

Akizungumza na mamia ya wakazi wa mji wa Singida waliohudhuria mahafali ya 33 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki mjini Singida, Waziri Mkuu alisema Serikali bado inafanyia maboresho Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014.

“Kwa sasa Serikali inafanya maboresho ya Sera ya Elimu na Mafunzo kwani sera tuliyonayo haifafanui vizuri jinsi ya kuwasaidia vijana wetu wajiendeleze kwa njia ya mfumo wa elimu huria na masafa,” alisema.

“Programu kama zilizoelezwa na Makamu Mkuu wa Chuo za Foundation, zinahitaji pia kufafanuliwa kwenye sera yetu, ambayo kwa sasa wataalamu wetu wanaendelea kuiboresha. Pindi itakapokamilika, tutaitolea taarifa kwa Chuo Kikuu Huria na wataalamu wataweza kushirikiana na sekta zote ili kuhakikisha jambo hili linakwenda vizuri,” alisema.

Mapema, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Elifas Tozo Bisanda alisema wamepokea barua kutoka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia ikiwaarifu juu ya nia ya Serikali kutaka kurejeshwa kwa kozi za Foundation katika chuo hicho.

“Tayari tumekwisha wasilisha mtaala wa Foundation ulioboreshwa ili kukidhi matakwa ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), na tunasubiri mrejesho kutoka Kamisheni baada ya kikao chao, mapema mwezi ujao,” alisema Prof. Bisanda.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Misukule Wa Nguvu Za Kiume

$
0
0
IMESIMULIWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI
SIMU  :  0744  -  000  473 .

MISUKULE   WA  NGUVU  ZA  KIUME
Msukule  ni nini ?
Msukule  ni  mtu  au  sehemu  ya  mtu  iliyo  chukuliwa  na  kufichwa kichawi  kwa  lengo  la  kutumikishwa  kazi  na  shughuli  mbalimbali   za kichawi.

Misukule  wengi  wanao  chukuliwa , huchukuliwa  kwa  lengo  la  kutumikishwa  kwenye  mashamba, biashara,migodi, uvuvi, masokoni, madukani, ulinzi  na  kwenye  shughuli  mbalimbali  za  kichawi.

Kwa  ufupi  misukule  wengi  huchukuliwa  kwa  sababu  ya   masuala  ya  mali  na  utajiri  wa  kichawi.

Misukule  wengine  huchukuliwa  kwa  ajili  ya  kufanya  kazi  ya  chuma  ulete. Hawa  ni  maarufu  miongoni  mwa  wale  ndugu  zangu  wanao pewa  utajiri  wa  punje  za  kuku.

Kwa  msio fahamu  kuhusu  utajiri  wa  aina  hii  ni  kwamba,  kuna  vijiji  fulani  vipo katika  wilaya  mbili  maarufu  huko  nyanda  zap  juu  kusini, hutolewa  utajiri  wa  kichawi  maarufu  kama  utajiri  wa kudonoa  ama  utajiri  wa  kuku, ama utajiri  wa  kuuza  miaka.

Mtu  anayefanyiwa  kafara  hii   huingia  agano  maalumu  la  kichawi   la  kuuza  haki  yake  ya  kuishi  duniani.

Mtu huyu  atatazamwa  kichawi  ili kubaini  amebakiza  miaka  mingapi  ya  kuishi  hapa  duniani.

Kama  amebakiza  miaka  ishirini  basi  ataingizwa   katika mkataba  na  wachawi  kutoa  sadaka  baadhi  ya  miaka  yake .   Mfano   katika  miaka  ishirini  iliyo baki,  anaweza  akaambiwa  atoe  miaka  kumi  au  kumi  na  tano  au  minane .

Kitakacho  amua  idadi  ya   miaka  ya  kuishi  ya  mtu huyo  ni jini aliye  katika  mfumo  wa  kuku.

Zitachukuliwa  punje  za  mchele  zitawekwa  ardhini  halafu  kuku  huyo  ataanza  kudonoa  punje  moja  baada  ya  nyingine.

Idadi  ya  punje  atakazo  donoa  kuku  huyo  ndio  idadi  ya  miaka  ambayo  mtu  huyo  ataishi. Kama  miaka  ya  kuishi  ya  mtu  huyo  ni  ishirini  halafu kuku  akadonoa  punje  kumi  na  mbili, basi  maana  yake  ni kwamba  mtu huyo  ataishi  miaka  kumi  na  mbili  ya  utajiri  mkubwa  halafu  miaka  minane  iliyo  baki  ataenda  kuitumikia  kama  msukule.

Kinacho  tokea  hapo  ni  kwamba, muda  wa  mtu  huyo unapomalizika, mtu  huyo  anachukuliwa  kama  msukule  na  kwenda  kutumikishwa  kwenye  migodi  iliyopo  huko  Congo   au kutumika  katika  kuhamisha  mali  za  mtu  ambae  muda  wake  wa  kuishi  kitajiri  umekwisha  kwenda  kwa  mtu  mpya  ambae  anakuwa  ameingia  kwenye  mkataba  huu  wa  utajiri  wa  kichawi.

  Nitalizungumzia  kwa  kina  suala  hili  katika  makala  zangu  zijazo.

Kama  nilivyo  dokeza  hapo  awali, msukule  anaweza  kuchukuliwa  kama  mtu  mzima, au  sehemu  ya  mtu  kama  vile  akili, nyota  ya  mtu, nguvu  za  kiume, mbegu  za  uzazi  kwa  wanaume  au  mayai  ya  uzazi  kwa upande  wa  wanawake , jicho moja , macho  yote  mawili  nakadhalika.

Msukule  huitwa  jina  tofauti  kulingana  na  sehemu  ya  mwili  wake  iliyo  chukuliwa  msukule.   Kwa  mfano, mtu  aliye  chukuliwa  akili  zake  huitwa  ndondocha

Watu  wengi  wanafahamu  kuhusu  watu  kamili  walio  chukuliwa  misukule lakini  hawajui  kuhusu  watu  ambao  wamechukuliwa  nguvu  za  kiume.

NI   NANI   HAWA   MISUKULE  WA  NGUVU   ZA  KIUME  ?
Msukule  wa  nguvu  za  kiume  ni  mwanaume  mwenye  kusumbuliwa  na maradhi  ya  nguvu  za  kiume  yanayo  tokana  na  kurogwa.

Msukule  wa  nguvu  za  kiume  ni  mwanaume  ambaye  nguvu  zake  za kiume  zimechukuliwa   na  kufichwa  kichawi  kwa  lengo  la   kutumikishwa  kama  msukule.

Msukule  wa  nguvu  za  kiume  ni  mwanaume  ambae  nguvu  zake  za kiume  zimetolewa  kafara  kwa  ajili  ya  mali, biashara  na  utajiri  wa  kifisadi  ama  utajiri  wa  kichawi.

  AINA  ZA  MISUKULE  WA  NGUVU  ZA  KIUME

 Misukule  wa  nguvu  za  kiume  wapo  wa  aina  kuu  mbili  :

AINA  YA  KWANZA

MISUKULE  WA  NGUVU  ZA  KIUME  AMBAO  WAO  WENYEWE  WAMEZITOA  KAFARA  NGUVU  ZAO  ZA  KIUME.
Aina  hii  ya  misukule  haijulikani  na  wengi  lakini  kiuhalisia  wapo  wanaume  wengi  sana  ambao  wao  wenyewe  kwa  ridhaa  yao  wenyewe  wameamua  kutoa  kafara  nguvu  zao  za  kiume  kwa  lengo  la  kupata  mali  na  utajiri.

Hapa  mwanaume  anaenda  kwa  mganga  kwa  ajili  ya  kupata  mali  na  utajiri, anapewa  sharti  la  kutoa   nguvu  zake  za  kiume  ili  awe  tajiri.

Mwanaume  huyo  atatakiwa  kutoa  mbegu  zake  za  kiume  ambazo  zitatengenezwa  kichawi  na  kutumika  kama  kafara  ya  mali  na  utajiri.

Kafara  hii  huwa  ni  kafara  nzito  sana !

Kwa  maana  nyingine,mwanaume  aliye  ingia  katika   mkataba  huu  wa  kichawi, anakuwa  ameingia  mkataba  wa  kutoa  watoto  wake  ambao  bado  hawajazaliwa.

Mara  nyingi  mkataba  huu  huwa  ni  kuwadumu  yaani  mwanaume  huyo  atakuwa  hivyo  hivyo  katika  siku  zote  za  maisha  yake  na  huwa  na  masharti mazito  na  inapo tokea  mwanaume  huyo  akakiuka  mojawapo kati  ya  masharti  atakayo  pewa, adhabu  yake  huwa  nzito.

Wanaume  walio  katika  kundi  hili  wao  hawana  shida  kabisa  na  suala la  wao  kutokuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  tayari  wanajua  nini  chanzo  cha  tatizo  lao.

Maelezo  kuhusu  wanaume  walio  katika  kundi  hili  ni  marefu  sana kiasi siwezi  kuyaelezea  yote  hapa, ila  nina  ahidi  nitakapo  pata  muda  siku  za  mbeleni  nitaelezea  kwa  kina.

MISUKULE   WA  NGUVU  ZA  KIUME  AMBAO  NGUVU  ZAO  ZIMECHUKULIWA  KICHAWI BILA  RIDHAA  YAO   WALA  BILA  KUJUA.

Idadi  kubwa  ya  misukule  wa  nguvu  za  kiume  ipo  kwenye  kundi hili. Hawa  ni  wanaume  ambao  nguvu  zao  za  kiume  zimeibwa  ama kuchukuliwa  na  kufichwa  kichawi  kwa  ajili  ya  kutumikishwa  kichawi.

Ni  wanaume  ambao  nguvu  zao  za  kiume  zimechukuliwa  bila  ridhaa  yao .

Ni  wanaume  ambao  nguvu  zao  za  kiume  zimechukuliwa  bila  wao  kujua  kama  nguvu  zao  zimechukuliwa .

Wachawi  wana  amini  kuwa, njia  bora  na  ya  uhakika  ya  kuiba  kichawi ama  kuchukua  kitu  cha  mtu kichawi   bila  ridhaa  yake  ni  kukichukua  kitu  hicho  bila  mhusika  kujua  kama  kitu  chake  kimechukuliwa.

Huamini  pia   ili  jambo  hili  liweze  kufanikiwa  ni  lazima  umbadilishie  mhusika  na  kitu  kingine  kinacho  fanana  na  kitu  ulicho  kichukua  kutoka  kwake  ili  mhusika  asijue  kama  kitu  chake  kimechukuliwa.

Wakati  wanaume  walio  katika  kundi  la  kwanza  nguvu  zao  za  kiume  wamezitoa  kwa  ridhaa  yao  wenyewe   kwa  ajili  ya  kupata  mali, fedha  na  utajiri  wa  kichawi, wanaume  walio  katika  kundi  hili  la  pili, nguvu  zao  zimechukuliwa  bila  ridhaa  yao  wala  bila  wao  kujua  na  kama  hiyo  haitoshi  watu  wengine  wananufaika  nazo  bila  wahusika  kujua chochote kinacho  endelea.

Wanaume  hawa  ndio  wanaume  walio  katika  kundi  baya zaidi  kwa  sababu  wao  wanakuwa  hawajui  chochote  kinacho  endelea  kuhusu  nguvu  zao.

Na  kwa  kuwa  wanakuwa hawajui  chanzo  cha  tatizo  lao, basi  hubaki  kuhangaika  na  kuteseka  katika  maisha  yao  yote.

Mara  nyingi  wanakuwa  wana  amini  maradhi  yao  ya  nguvu  za  kiume  yamesababishwa  na  mambo mbalimbali  kama  vile  maradhi  ya  kisukari, presha, ngiri, chango  la  uzazi  nakadhalika, lakini  kiukweli, maradhi  yao  yanakuwa  yamesababishwa  na   kurogwa.  Nguvu  zao  zinakuwa  zimechukuliwa  kwa  ajili  ya  kutumikishwa  kichawi.

  NI KATIKA  MAZINGIRA  YAPI  NGUVU  ZA  KIUME  ZA  MTU  ZINAWEZA  KUCHUKULIWA  KICHAWI.
 Nguvu  za  kiume  huwa  zinachukuliwa kichawi   kupitia  mbegu  za  kiume  za  mwanaume  aliye  kusudiwa.

Mbegu  hizo  zaweza  kuwa  zimetoka  kwa  kulazimishwa  au  zaweza  kuwa  zimetoka  kwa  ridhaa  ya  mwanaume  husika.

Vile  vile  mbegu hizo  zaweza  kuwa  zimetoka  bila  mwanaume  husika  kujua  au  bila  kuwa  na  uweze  wa  kucontrol zisitoke .

Matumizi  na  mahitaji  ya  mbegu  za  kiume  yatategemea  na  namna  ambavyo  mbegu  hizo  zimepatikana. Kila  namna  ina  matumizi  yake  ingawa  zote  hutumika  katika  matumizi  mbalimbali  ya  kichawi.

MBEGU  ZA  KIUME  AMBAZO  ZIMETOKA  KWA  KULAZIMISHWA

Hizi   ni mbegu  zinazo  toka  baada  ya  mwanaume kufanya  punyeto. Wachawi  wanazihitaji  sana  mbegu  za  namna  hii  kwa  ajili  ya  kufanya  mambo yao  ya  kichawi  na  moja  kati  ya  matumizi  ya  mbegu  hizi  ni  katika  ulozi  wa  mapenzi.  Kumvuta  mwanaume  kimapenzi  kwa  nguvu. Kijana  unae  jishughulisha  na  biashara  hii  nakushauri  uache  mara  moja.

MBEGU    ZA  KIUME  AMBAZO  ZIMETOKA  KWA  RIDHAA  YA KE

Hizi ni mbegu zinazo  toka  baada  ya  mwanaume  kufanya  mapenzi na  mwanamke.

MBEGU  ZINAZO  TOKA  BILA  MWANAUME  KUJUA AU BILA  KUWA  NA  UWEZO  WA  KUZI CONTROL

Hizi  ni mbegu zinazo  toka pindi mwanaume  anapokuwa  anafanya  mapenzi  na  jinni  mahaba  usingizini.  Wachawi  wanazihitaji  sana  mbegu hizi  kwa  ajili ya  matumizi  yao  ya  kichawi.  Unashauriwa  kutosema  kwa  mwanamke  ambae  umelala  nae kama umeota  usiku  unafanya  mapenzi  na  mwanamke  halafu ukamwaga  au umeamka  asubuhi  umekuta  mbegu zimetoka zenyewe.

NGUVU  ZA  ZINAWEZA  KUCHUKULIWA  VIPI  KICHAWI?

Najua  utakuwa  unajiuliza  na  kushangaa, nguvu  za  kiume  za mtu  zinaweza  kuchukuliwa  vipi  au katika  mazingira  yepi.

Nguvu  za  kiume  zinaweza  kuchukuliwa  katika  namna , njia  na  mazingira  tofauti tofauti.  Yafuatayo  ni  mazingira   ambayo nguvu  za  kiume  zinaweza  kuchukuliwa  kichawi.

NGUVU  ZAKO ZA  KIUME  ZINAWEZA  KUCHUKULIWA  KUPITIA  MCHEPUKO  WAKO

Hii  hutokea  mara  nyingi  sana  na  nnaweza  kusema  idadi  kubwa  ya  wanaume  ambao  nguvu  zao  zimechukuliwa  kichawi    ni  kupitia  michepuko  yao.

Kinacho  tokea  hapa  sio  kwamba  mchepuko  wako  ndio  ana  zifunga  nguvu  zako, la  hasha  isipokuwa  mchepuko  anakuwa  ameenda  kwa  wachawi  kuomba  ndumba  za  kukufunga   kimapenzi na  kukutuliza  au / na  ndumba  za  kukufanya  ukienda  kutembea  na  mwanamke  mwingine  usisimame. Yeye  lengo  lake  linakuwa  ni zuri  lakini katika  mchakato  wa  lengo  lake  hilo  linaweza  kutokea suala  la  kufunga  nguvu  zako.

Mganga  atamwambia  huyo  mchepuko  wako, NENDA  KALETE  MBEGU  AMA  SHAHAWA  ZA  HUYO MWANAUME  ULIYE  KUJA  KUMREKEBISHA.

Mbegu  zako  za  kiume  atazichukua  katika  mazingira  yafuatayo :

Mosi :  Kama  huwa  mnafanya  tendo  la  ndoa  bila  kinga, ukisha  kojoa  atajifuta  na  kitambaa  maalumu  atakacho  pewa  kisha  atakipeleka  kwa  mtaalamu.

Pili :   kama  huwa  mnatumia  kinga, ataomba  akufute  na  kitambaa  kwenye  uume  wako  mara  baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo.

Au  kama  ataona  utamstukia  anaweza  hata  asihangaike  kukufuta  nazo  ila  atakacho kifanya  ataenda  kumwaga  chooni  au  kwenye  dustbin , dawa  maalumu  ya  kichawi  ambayo  atakuwa  amepewa  na  mganga.

Kumwaga  dawa  kwenye  dustbin au  chooni  kutategemea  na  wewe  kondomu  yako  umeitupa  wapi  baada  ya  tendo.

Kama  uliitupa  kwenye  dustbin  basi, hiyo dawa  ataimwaga  kwenye  dustbin. Atakutegea  umeenda  bafuni au chooni, basi  atamwaga  dawa  hiyo  kwenye  dustibin

Na  kama  kondom yako  iliyo tumika  utaenda  kuitupa  chooni basi  dawa  hiyo  ya  kichawi  itaenda  kutupwa  chooni pia.

Dawa  hiyo ni dawa  ya  kijini  ambayo  kazi  yake  ni  kuchukua mbegu  zilizotupwa  jalalani  au  chooni  na   kuzipeleka  kwa  wachawi  kwa  ajili  ya  matumizi  mbalimbali  ya  kichawi.

Dawa  hii  inayo tupwa  chooni  au  kwenye  dustbin huwa  inatupwa  kwa  lengo  la  kwanza kwenda  kuzikomboa  shahawa  ambazo  zimetupwa  kwenye  dustbin au  chooni  kutoka  kwa  majini  wa  jalalani  na  chooni kisha  kuzipeleka  mahali  zilipo kusudiwa.

Hii ni kwa  sababu, chooni  na  kwenye  dustbin pia  kuna  majini  wachafu . Ukitupa  mbegu  zako  chooni  au  kwenye  dustbin maana  yake  ni kwamba  unakuwa  umefungamanisha  nyota  yako  na  majini  wachafu  wa  chooni  au  jalalani.

Ni nuksi kubwa  sana  kutupa  kondomu  iliyo tumika  chooni  au  jalalani  au kwenye  dustbin,  kwani  majini  wa  maeneo  hayo  watakuingia  kupitia  mbegu  zako  na watajifungamanisha  na  nyota  yako  na  nafsi  yako.

Dalili  utaanza  kuziona  kupitia  kwenye  udhaifu  wa  nguvu  zako  zap  kiume  ambao utaendana  na  kufifia  kwa  nyota  yako  kwa  kasi ya  ajabu.

Mambo  yako  yote  yatakuwa  machafu  kama  choo  au  jalala. Kuanzia  kazi, biashara,mahusiano, afya  yako ikiwemo  nguvu  zako  za  kiume.

Mchepuko  wako  akisha  zipeleka  mbegu zako  kwa  mganga, mganga  ataziweka  kwenye  chungu au kibuyu  maalumu , zitapikwa  pamoja  na  dawa  maalumu  za kichawi  kwa  ajili  ya  kuzipima au kupima  nyota  yako kupitia  mbegu  zako.

Mganga  akigundua  nyota  ya  mwanaume  husika  ipo  juu  basi  atazichukua  mbegu hizo  haraka  sana  na  kuzitengeneza  kichawi   kwa  ajili  ya  ima  kuwauzia  wachawi ama  wafanya  biashara   wanaonunua  misukule  ya  nguvu  za  kiume kwa  ajili shughuli  zao  mbalimbali  ima  kukutengeneza  ndondocha.

Kwenye  kumtengeneza  ndondocha  mwanaume  kwa  kutumia  mbegu  zake  za  kiume   huwa  inakuwa  hivi, huyo  mwanamke  akisha  zichukua  mbegu  hizo  na  kuzipeleka  kwa  mganga, inafanywa  kafara  maalumu  ya  mnyama, halafu hizo  mbegu  zinapikwa  na  dawa  maalumu  za  kichawi  halafu huyo mwanamke  anachanjiwa  kwenye  pande  kuu  saba  za  mwili  wake.

Ni  uchawi  mzito  sana  huu. Matokeo  yake  ni kumfanya  mwanaume  huyo kuwa  ndondocha  na  zezeta  kwa  mwanamke  huyo. Pesa  zote  anazo  zipata  mwanaume  huyo  anakuwa  anazipeleka  kwa  mwanamke  aliye tengeneza  uchawi  huo.

Mbegu  za  kiume  za  mwanaume  zinaweza  kuchanganywa  na  dawa  maalumu  za  kichawi, akalishwa  kinyonga  na  kuunguzwa  mzima mzima, halafu  mwanaume  huyo  akailishwa  dawa  hiyo  huku  lengo   likiwa  ni kumtenganisha  na  familia  yake  na  kuwa  anawageuka  na  kuwabadilikia  kama  kinyonga.

Njia  nyingine  mbegu  zako za  kiume  zinaweza  kuchukuliwa  kwa  njia  ya  jini mahaba. Unaota  usiku unafanya  mapenzi  na  jini  mahaba  hadi  unafika  kileleni, kumbe  lengo lilikuwa  ni  kuchukua  mbegu zako  za  kiume.

Njia  nyingine  mbegu  zako  za  kiume  zinaweza  kuchukuliwa  kwa  njia  ya  kufanya  mapenzi  na  mwanamke  mchawi  ambae  anataka  kuiba  nyota  yako  au  kuchukua  msukule  nguvu  zako.

Mwanamke  huyu  ataingia  nyumbani kwako  usiku wa manane  kichawi  na  kufanya  nawe  mapenzi  kwa  lengo  la  kuchukua  mbegu zako.

Wakati mwingine  inaweza  kutokea  umeota  usiku  unafanya  mapenzi  na  mwanamke  unaye  mfahamu  au  usie  mfahamu hadi  kufika  kileleni. Ukiota  ndoto  hii jua  unachezewa  mchezo  huu  mchafu.

Wakati mwingine  mbegu  zako  zinaweza  kuchukuliwa  kwa  njia  ya  kufanya  mapenzi  kichawi  na  tunge  la  kike.

Tunge  la  kike  litakuja  kichawi  hadi  nyumbani  kwako  na  kufanya  mapenzi  na  wewe. Litapata  ujauzito  wako  halafu  mtoto  atazaliwa.  Huyu mtoto  atakae  zaliwa  ndo atakae  enda  kutumika  kama  ndondocha  kwenye   biashara  mbalimbali  kama  vile  maduka  nakadhailka.

Njia  hii  ndio  inayo  tumiwa  sana  na  wachawi  na  wanaume  wengi  wameumizwa  kupitia  njia  hii.

Njia  nyingine  ni pale  nguvu  za  kiume  zinapo  chukuliwa  wakati  mtoto  akingali  mchanga. Njia  ni  hatari  sana  na   ndio  maana  inashauriwa  mama  mjamzito  kuwa  makini  na  mwangalifu sana  katika  siku kumi na  nne  za mwanzo  baada  ya  kujifungua  mtoto  wa  kiume.

Ni katika  kipindi  hicho cha  siku  kumi na  nne  zap   mwanzo  ambazo  wachawi  huzitumia   kutafuta  kuiba  nyota  ya  mtoto  huyo  wa  kiume  kupitia  nguvu  zake  za  kiume.

Nyota  hii  huwa  inaibwa  kupitia  nguvu  zake  za  kiume  na  huwa  zinachukuliwa  kupitia  kitovu  chake. Ndo maana  unatakiwa  kuwa  makini  sana  na  kitovu  cha  mtoto  wako  wa  kiume  kisiangukie  uume  wake  wakati  kinadondoka.

Katika  kupambana  na mtihani  huu  baadhi  ya  wazazi  huwa  wanavikata  wenyewe  vitovu  vya  watoto  wao  wa  kiume  na  huwa  wanatumia  mafuta  ya  nazi, nyoya  la  kuku  na  dawa  maalumu  za  jadi.

Narudia  kwa  mara  nyingine  tena  unapaswa  kuwa  makini  sana katika  kipindi  hiki.

Wachawi  kupitia  taaluma  yao  ya  kichawi  wanaweza  kubaini  nyota  ya  mtoto  na  kujua  atakuja  kuwa  nani .

Ii kuzuia mtoto  huyo  asije  kuwa vile alivyo pangiwa  na  Mwenyezi  Mungu, wachawi  hulazimika  kuiba  nyota  ya mtoto  husika  na  kuiuza  kwa  watu  wengine na  moja  kati ya  njia  kuu  wanazo  weza  kutumia  katika  kufanikisha  nia  yake  ovu  ni kuiba  nguvu  za  kiume  za  mtoto  huyo  kwa  njia  za  kichawi.

Pia  wanaume  wengine  nguvu  zao  zimechukuliwa  tangu wakiwa  tumboni  mwa  mama  zao. Wachawi  wanaamini  ya kwamba, ukitaka  kukuiua  kitu  basi  kiue  kabla hakijazaliwa. Hapo ndipo  linapo kuja  suala  la  kuiba  nguvu za watoto  wa  kiume  tangu  wakiwa  tumboni  mwa  mama  zao.

Ukitaka  kujua  kama  mtoto  wako  nguvu zake  zimeibwa  tangu  akiwa  tumboni ishara  ya  kwanza  ni  pindi  kitovu cha  mtoto  huyo  kinapo mdondokea  kwenye  uume  wake.

Vilevile Mbegu  zako  za  kiume  zinaweza  kuchukuliwa  kupitia  kujichua.. Mbegu  za  mwanaume  zinazo  toka wakati wa  kujichua  hujulikana  katika  ulimwengu  wa  waganga  kama  MBEGU ZILIZO  TOKA  KWA  KULAZIMISHWA.

Haijalishi  unapo fanya  punyeto  unafuta  kwenye  karatasi, gazeti, kitambaa  au  unaacha zidondoke  kwenye  sakafu  ya  bafuni na  kumwagia  maji  lakini  jua, wachawi  kwa  kushirikiana  na  majini  huwa  wanachukua  mbegu  za  kiume  zinazo  toka  baada  ya  kujichua..

Kama  huwa  unajichua  usiku chumbani  kwako kitandani, asubuhi  baada  ya  kuamka  au  bafuni  ama  chooni , basi  jua  wachawi  huchukua  mbegu  zako  na  kuzitumia  kwenye  mambo yao  ya  kichawi.

 MAMBO  AU TABIA  ZINAZO  WEZA  KUFANYA  MBEGU  ZAKO  ZA  KIUME  ZICHUKULIWE  NA  WACHAWI.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo weza  kusababisha  mbegu zako  za  kiume  zichukuliwe.

i.  Kufanya  mapenzi  na  wanawake  wanao  uza  miili  yao  “ HUKO  HUWA  ZINACHUKULIWA  SANA  “

ii. Kuwa  na  michepuko. Mwanaume  fahamu  unapokuwa  na  michepuko  unakuwa  unakaribisha  nafasi  ya  wewe  kufanyiwa  ulozi  wa  kimapenzi.  Hii ni kwa  sababu  michepuko wengi  huwa  wanatumia  uchawi kuwatuliza  wanaume  wanao tembea  nao. Sasa  ikitokea  bahati  mbaya  mchepuko  wako  katika  kutafuta  ndumba  za  kukutuliza, akakutana  na wachawi  wanao  tumia  mbegu  za  kiume  katika  shughuli  zao  basi  ndugu  yangu jua  umekwisha.

iii.Kutupa  kondom  kwenye  dustbin au chooni  mara  baada  ya  kufanya  tendo  la  ndoa.

iv.Kufanya  punyeto    “  WANAO FANYA  SHUGHULI  HII  NAWAHURUMIA  SANA  KWANI  NI MOJA  KATI  YA  WAHANGA  WAKUU  WA  UCHAWI  HUU HUKU WAO  WAKIAMINI  KUWA SHIDA  YAO  IMESABABISHWA NA  PUNYETO.

v.Wanaume  walio lelewa  na  mama  za  kambo  ambao  ni  washirikina. Wanaume  wengi  ambao  nimewatibu  tatizo  hili  wametoka  katika  familia  walizo lelewa  na  mama  wa  kambo.

Hii  mara  nyingi  hutokea  pindi  mama  wa  kambo  anapokuwa  haja bahatika  kupata watoto  wa  kiume,au hajabahatika  kupata  watoto halafu baba  ana  mali nyingi.

Akisukumwa  na  hofu  ya  kukosa  mali  ya  mumewe  mwanamke  huyu anaweza  kushawishika  kwenda  kwa  waganga  kuwadhibiti  watoto wake  wa  kambo  wa  kiume. Mganga  ataomba  nguo  za ndani za  watoto  hawa  au  mkojo  au nguo iliyo  kojolewa  au  atampa dawa  ya  kuwalisha  kwenye  chakula  au  kuwatega.

Kama  watoto  ni  wakubwa  mama  huyu  anaweza  kushirikiana  na  binti ambapo binti  atajilengesha  kwa  kijana  aliye  kusudiwa  wataanzisha  uhusiano  wa  kimapenzi  na  kisha  kutumia  fursa  hiyo  kupata  mbegu  za  kiume  za mwanaume  husika. HATA  HIVYO  HII HAIMAANISHI KUWA  AKINA  MAMA  WA  KAMBO WOTE NI  WABAYA. JAMBO HILI HUTOKEA  KWA  BAADHI  YA  AKINA  MAMA  WA  KAMBO NA SIO WOTE. WAPO AKINA  MAMA  WA  KAMBO  AMBAO NI WAZURI  KULIKO  HATA  MAMA  WAZAZI.

vi. Kugombana  ama  kuachana  na  mchumba  au  mke . Mke  anaweza  kwenda  kukutengeneza  ili  kukukomoa.

vii. Kuoa mwanamke  mshirikina. Katika  kutafuta  ndumba  zap  kukutuliza  anaweza  kukutana  na  suala  la  kutakiwa  apeleke  mbegu  zako.

viii. Wakati  mwingine  unaweza  kufanyiwa  hivi  kwa  sababu  una  maisha  mazuri. Mtu anakufanyia  uchawi  huu  kwa  lengo  la  kuchukua  nyota  yako  na  kwenda  kuitumikisha  kama  msukule  wa  biashara  mali  na  utajiri.

ix. Kukataa  mtoto

x. Kufuta  uchumba  na  kuoa  mwanamke  mwingine

xi. Kutembea  na  mke  wa mtu

xii. Kugombea  mpenzi  au  mchumba.

Mtu  anaweza  kukuroga  nguvu  zap  kiume  ili  kukukomoa, kwa  mfano

 Porini  kuna  mti  unatoa  vitunda  vidogo  vyenye  rangi  mbili  nyeusi  na  nyekundu.

Mti  huu  huwa  ni  dawa  ya  maradhi  ya  mgolo  ama  bawaziri

Una  majani  matamu  kama  sukari  ambayo  wakati  wa  njaa  huweza  kutumika  kutengenezea  chai  na  pia  huweza  kutumika  kutengeneza  chai  kwa  watu  wenye  kusumbuliwa  na  maradhi  ya  kisukari.

Vipande  saba  vya  mti  huu vinachukuliwa  halafu  wanachukuliwa   wanyama  wa  aina  tatu  tofauti   wafugwao  wanachinjwa kisha  damu  yao  inachanganywa  pamoja  na dawa  zitokanazo  na  miti  ya  porini  aina  saba  halafu  vinaenda  kupikwa  porini  kisha  zinafungwa  kwenye  chombo  maalumu  na  kuzikwa  kwenye  makaburi  saba  tofauti  kwa  muda  wa  siku  saba  saba   na  njia  panda  saba  tofauti  tofauti  kwa  muda  wa  siku  saba  kisha  zinazikwa  kwenye  milima  miwili  tofauti  kwa  muda  wa  siku  saba.

Baada  ya  hapo, linachukuliwa  bawa  la  ndege  mmoja  wa  porini. Huyu ndege  anatumiwa  sana  na  wachawi  “  NDEGE  HUYU  SIO  BUNDI  WALA  SULULI  WALA  MKATA  SANDA’.

Ndege  huyu  ana  sifa  moja  kubwa  katika  ulimwengu  wa  wachawi.  Nayo  ni  kwamba, ukichukua  nyoya  lake  ukaliweka  kwenye  mto wa  kwenye  kitanda  alicholalia  mgonjwa, basi  mgonjwa  huyo hatopona  bali  atakufa  na  kama  utaliweka  chini  ya  mto  alio lalia  mtoto  mchanga  basi  mtoto  huyo atadumaa, hatokua.

Bawa  la  ndege   huyu  ndio  linatumika  kama  kalamu  ya  kuandikia  majina  ya  mkusudiwa  pamoja  na  manuizo.

Majina  na  manuizo  yakiisha  kuandikwa,  miti  hiyo  saba  inaenda  kutupwa  barabarani  kwenye  barabara  saba  tofauti.

Miti  hiyo  ikigongwa  na  gari  tu  basi  na  mwanaume  aliye  kusudiwa  anaanza  kuugua  maradhi  ya  nguvu  za  kiume.

Maradhi  huanza  taratibu  na  baadae  huhitimu  na  kuwa  sugu  ambapo  mhusika  anaweza  kufikia  hatua  ya  kuwa  hanithi  kabisa.

KWANINI  WACHAWI  HUZICHUKUA  MSUKULE  NGUVU  ZA  KIUME

Kama  nilivyo  sema  hapo awali  wachawi  huchukua  kichawi  nguvu  za  kiume  kwa  ajili  ya  kwenda  kuzitumikisha  kama  misukule  kwenye  biashara, mali  na  utajiri.

KUNA  UHUSIANO  GANI  KATI  YA  NGUVU  ZA  KIUME  NA  DAWA  ZA  UTAJIRI  MALI  NA  BIASHARA ?

 Najua  lazima  utakuwa  umejiuliza  swai  hili, yafuatayo   ni majibu  ya  swali  hili.

Nguvu  za  kiume  zina  uhusiano  mkubwa  sana  na  damu. Nguvu za  kiume  ni damu  na  damu  ndio  nguvu  za  kiume.

Damu  ndio  uhai  wa  mwanadamu. Damu ndio roho ya  mwanadamu  na  roho  ya  mwanadamu  ndio damu. Damu  huishi ndani  ya  roho  ya  mwanadamu  na  roho  ya  mwanadamu  huishi  ndani  ya  damu  ya  mwanadamu.

Roho  ya  mwanadamu  hubeba  akili  na nafsi. Na  nafsi ya  mwanadamu  hubeba  nyota  ya  mwanadamu.  Nafsi  ya  mwanadamu  hubeba  akili  ya  mwanadamu . Hisia  za  mwanadamu,  Silka za mwanadamu, Hulka  za mwanadamu  na  utashi  wa  mwanadamu.

Uanaume  au unamke  ni  nafsi  anayo zaliwa  nayo mwanadamu. Nguvu  za  kiume  ndio  nafsi ya kwanza  ya  mwanaume. Hiyo ndio  inayo mfanya  awe  mwanaume  au  ajione  mwanaume.

Unapo chukua  nyota ya  mwanaume  ambayo  ndio  nafsi ya  mwanaume  ambayo  ndani  yake  ipo akili ya  mwanaume ambayo  ndio  nguvu  za  kiume  za  mwanaume  unakuwa  umechukua  nafsi  ya  mwanaume  huyo ambayo ndio  nyota  yake.

Nguvu  za  kiume  ndio  chanzo  cha  uhai  wa  mwanadamu.

Nguvu  zap  kiume  za mwanaume  zinasimama  badala  ya  nafsi ya  mwanaume.

Unaposema  fulani  ni damu  yangu  maana  yake  ni kwamba  fulani  ni roho  yako  ambae  amekuja  duniani  kupitia  nguvu  za  kiume.

Katika  ulimwengu  wa  waganga  na  wachawi, nguvu  za  kiume  ni  kielelezo cha  uhai  wa  mwanaume  husika.

Nguvu  za  kiume  ni  kielelezo cha  ukamilifu  wa  mwanaume.

Hivyo  wachawi  wanapo chukua  nguvu  za  kiume  za mtu kwa  lengo  la  kuzitumikisha  kichawi,hufanya hivyo  wakiwa  wanajua  wanacho kifanya.

UFANYE  NINI  KUEPUKA  NGUVU  ZAKO KUCHUKULIWA  MSUKULE

Kitu kikubwa cha kufanya  ni kuhakikisha  unakuwa  na  kinga  kubwa ambayo itawafanya  wachawi  wasiwe  na  uwezo  wa  kuchukua  nguvu  zako msukule.

Vile  vile  unatakiwa  kujiepusha  na  tabia  hatarishi  ambazo  nimezieleza  hapo juu. Tabia  hizo ni  tabia  zitakazo  kuweka  katika  hatari  kubwa  ya  nguvu  zako  kuchukuliwa  kichawi.

UTAJUAJE  KUWA NGUVU  ZAKO  ZA  KIUME  ZIMECHUKULIWA  KICHAWI

Endapo utaonyesha  dalili  zifuatazo  basi  jua  tatizo lako la  nguvu  za  kiume  limechukuliwa  kichawi  au  zipo kwenye  mpango  wa  kuchukuliwa.

1.Ukiwa  na  mwanamke  mmoja  unakuwa  na  nguvu  lakini  ukienda  kwa  wanawake  wengine  unakuwa  hauna  nguvu.

2.Umetumia  tiba  mbalimbali  zap  nguvu  za  kiume  lakini  huponi  wala  kupata  nafuu  yoyote.

3.Mpenzi, mchumba  au mke  wako  anakudharau  kwa  sababu  ya  kutokuwa  na  nguvu  za  kiume.

4.Mpenzi  wako  anakukimbia  kwa  sababu  hauna  nguvu  za  kiume

5.Mpenzi   au mke  wako  anatoka  nje  ya  ndoa  au  mahusiano  na  mwanaume  ambae  unamzidi  fedha  na  maisha  kwa  ujumla.

6.Umekuwa  addicted  na  tabia  ya  kujichua  na  unashindwa  kuacha.

7.Kuachana  na  kila  mwanamke  unayekuwa  nae  katika  mahusiano

8.Kutodumu katika  mahusiano

9.Kuwa  na matatizo  ya  uzazi

10. Kufanikiwa  chini  ya  kiwango : Kwa  sababu  suala  hili huwa  linaenda  na  kuchukuliwa  nyota  basi  hata  mafanikio  unayo  yapata  huwa  yanakuwa  chini  ya  kiwango.

11.Kutojiamini  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Unashindwa  kujiamini  kwa  sababu  unakuwa  na  wasiwasi  na  uanaume wako.

12. Kuishiwa  nguvu  zap  kiume

13.Maumbile  kunyauka  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  ya  mtoto

14. Maumivi wakati  wa  tendo  la  ndoa

15. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa

16.Maumivu  ya  mgongo

17.Kukosa  hamu  ya  kufanya  tendo  la  ndoa.

18.Unaota  unafanya  mapenzi  na mtu usie mjua NAKADHALIKA.

TIBA  KWA MTU MWENYE  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME  YANAYO  TOKANA  NA  KUROGWA.

Kuwa  na  maradhi  ya  nguvu  za  kiume  yanayo  tokana  na  kurogwa  maana  yake  ni  kwamba ile  sehemu  ya  kwenye  nafsi  na  akili  ya  mwanaume  ambayo  inahusika  na  utashi, hisia  na   maamuzi  sahihi, inakuwa  imechukuliwa  kichawi  kwa  lengo  la  kutumikishwa  kichawi  na  badala  yake  linawekwa  jinni  maalumu  la  kichawi  ambalo  sasa  ndio  linasimama  kama  mbadala  wa nafsi  yako.

Jinni  hili  ndio  litakalo  kuwa  lina  control utashi , hisia  na  maamuzi  yako.

Jinni  huyu mchafu  anakuwa  ameamrishwa  na  kuapishwa kwa  damu   kufanya  makazi  yake  katika nafasi yako. Anakuwa  anautumia  mwili  wako  kama  sehemu  yake  ya  makazi.  Maamuzi  utakayo  kuwa  unaya fanya  kwa  kiasi  kikubwa  yatakuwa  na utashi  na  mapendeleo  ya    jinni  huyu.

Jinni  huyu huwa  na  sifa  zifuatazo : Kwanza  hakujui  vizuri, hajui unapenda  nini, hajui  hupendi  nini, hajui utashi  wako  ni  nini  wala  hajui  hisia  zako zipo wapi  , yeye  anacho  jua  ni kufuata  maelekezo  aliyopewa  ambayo  ni  kukaa ndani  ya  nafsi  yako  na ku ku -control.

Kwa  kuwa  jinni  huyu  hajui  wewe  unapenda  kitu gani  wala  hajui  kuhusu  utashi  wako  wala  hisia  zako  zipo  wapi, hata  unapokuwa  katika  mazingira  ambayo  kikawaida  ulitakiwa  kusisimkwa  kimahaba unajikuta  unashindwa  kusisimka.  Hii  ni kwa  sababu  unakuwa  sio  wewe  bali yeye.

Mfano  mzuri  unakuta  mwanaume   katika  siku  zap  nyuma akiwa  faragha  na  mke  wake  halafu mke  wake  akawa  katika  hali  ya  ufaragha, basi  mwanaume  “ atakasirika  “  kweli kweli na  atafanya  tendo  la  ndoa  vizuri kabisa.

Lakini cha  ajabu  ghafla  hali  inaanza  kuwa  tofauti, upo na  mkeo faragha  halafu  jogoo  anashindwa  kuwika. Na  wewe  unadhani  una  stress  au  labda  una  kisukari  au ulifanyaga  sana  punyeto ulipokuwa  shuleni  au  una  lehemu  mbaya nakadhalika.

Sababu  ya  kushindwa  kwako   ni hiyo, kuna roho chafu imekaa  kwenye  nafsi yako, hiyo roho ndio inayo  control  hisia  zako na  utashi  wako.  Haijui  kama  wewe  ni mwanaume  au  mwanamke, haijui  unapenda  nini  haupendi  nini, haijui hisia  zako  zipo wapi ndio  maana  unapokutana  na  mke  wako, unashindwa  kufanya  unacho  takiwa  kufanya.

Wakati mwingine  jinni  huyu mbali  na  kutokukujua  lakini  pia  anaweza  kuwa  hapendi  kabisa  ngono  ya  aina  yoyote  ile  iwe  ni  ngono  halali yani mke  na  mume  au  ngono  haramu  yani  mwanaume  na  mchepuko.

Hivyo unapokuwa  unataka  kufanya  tendo  la  ndoa, jinni  huyu anakuwa  anakuzuia kwa  kukata  mawasiliano  yako kwenye  ubongo  na  kukuondolea  msisimko.

Hii ni kwa  sababu  jinni  huyu  sasa ndio   anaekumiliki kama  chombo chake  na  hawezi  kukuacha  mpaka  siku  unaondoka  duniani  au  labda  itokee  aondolewe  kwa  nguvu.

Tendo  la  ndoa  linakuwa  linampa  kero  kubwa . Anakuwa  hapendi  kukuona  ukiwa  unafanya  tendo  hilo, hivyo akiona  unataka  tu kufanya  anakuzuia  kwa  njia niliyo ieleza  hapo juu, matokeo  unaishia  kupoteza  hamu  ya  tendo  la  ndoa  na  hata  ikitokea  umefanya  unafanya  kwa  muda  mfupi na  kumaliza  na kushindwa  kurudia  kabisa  huku  ukimuacha  mwenzi wako  akiwa  bado  hajapanda  mlima.

Wakati mwingine  jinni  huyu anaweza  kuwa  jinni  mahaba   ambae  anakuwa  amefungishwa  ndoa  nawewe   bila  ridhaa  yako.

Jinni  huyu  atakuwa  anafanya  mapenzi  na  wewe  na  kumaliza  nguvu  zako  zote. Na  kwa kuwa  jinni  huyu  atakuwa  anakupenda  na  kuwa  na  wivu na  wewe ili kukuzia  usiende  nje  basi  atafunga  nguvu  zako  za  kiume.

 TIBA  YA  TATIZO  HILI  NI  KWANZA  KUMUONDOA  HUYU  JINI,  KUONDOA  UCHAFU  AMBAO UMEPANDWA  KWENYE  MWILI  WAKO, KUONDOA  UUME  WA  KICHAWI   AMBAO  UMEPANDWA  KWENYE  MWILI  WAKO  KAMA  MBADALA  WA  UUME  WAKO  ULIO CHUKULIWA  NA KISHA  KUKUSAFISHA  HALAFU  MWISHO  KUKUPIKIA  DAWA  MAALUMU  AMBAYO  ITARUDISHA  NGUVU  ZAKO  NA  KUKUFANYA  UFURAHIE  MAISHA  YAKO YA  NDOA  KAMA  ZAMANI.

MAKALA  HAYA  YAMEANDALIWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI. ANAPATIKANA  KWA  SIMU  NAMBA 

0744   -  000   473

KUSOMA  MAKALA  ZAKE  MBALIMBALI  KUHUSU  ULIMWENGU USIO ONEKANA, TEMBELEA  :  www.mungwakabili.blogspot.com

Watu 6 washikiliwa kwa kukutwa na mifupa ya albino, ulimi wa simba

$
0
0
Watu sita wanashikiliwa na polisi mkoani Songwe kwa tuhuma za kukutwa na vipande vitatu vya mifupa ya mtu wanayedai kuwa ni albino, pamoja na mafuta na ulimi unaodhaniwa kuwa wa simba.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Mathias Nyange alisema jana kuwa watu hao walikamatwa juzi saa 7:00 mchana katika mji wa Tunduma wilayani Momba na askari waliokuwa doria.

Alisema watuhumiwa hao walikutwa na mafuta ya simba, mifupa mitatu ya albino, mfupa mmoja wa mnyama ambaye hajajulikana, na vipande viwili vya ulimi, vitu vinavyosadikiwa kuwa ni vifaa vya tiba asili.

Kamanda Nyange alidai kuwa baada ya kuhojiwa, watuhumiwa walikiri kuwa mifupa waliyokutwa nayo ni ya albino waliyemkata mkono mkoani Morogoro.

Alisema kati ya watuhumiwa hao wawili ni wakazi wa Morogoro, wawili wakazi wa Mbozi, mmoja ni mkazi wa Wilaya ya Momba na mwingine ni kutoka Nakonde nchini Zambia.

Nyange alisema watuhumiwa hao wanatarajia kupelekwa mkoani Morogoro ambako ndiko wanakotuhumiwa kutenda kosa.

Wakati huohuo, Nyange amesema watu watatu wanaokadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 25 na 30 wamefariki dunia baada ya kupigwa risasi na askari waliokuwa doria saa 4:00 usiku wa Novemba 30 baada ya kukaidi amri ya kusimama ya polisi ambao waliwatilia shaka.

Baada ya kukataa kutii amri ya kusimama, polisi waliwafuatilia na baadaye watu hao walianza kuwafyatulia risasi, jambo ambalo kamanda huyo alisema liliwalazimisha askari kuanza kujibizana nao.

Alisema baada ya kuwapekua walikutwa na silaha moja aina ya bastola iliyotengenezwa kienyeji inayotumia risasi za short gun ikiwa na risasi moja na pia walikutwa na mapanga mawili pamoja na kipande kimoja cha nondo.

China Yaahidi Kufadhili Ujenzi Wa Reli Kwa Kiwango Cha Kimataifa (SGR)

$
0
0
Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
BALOZI wa China hapa nchini, Wang Ke amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango na kuahidi kuwa nchi yake iko tayari kushawishi taasisi za fedha ikiwemo Benki ya EXIM ya nchini humo kushiriki ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa baada ya kufanyika kwa upembuzi yakinifu wa mradi huo.

Alisema kuwa kutokana na ukubwa wa mradi huo, unaokadiriwa utagharimu Dola za Marekani bilioni 7.6 hadi kukamilika kwake, utahitaji kufanyiwa upembuzi yakinifu ili kukidhi masharti ya kupata mkopo kupitia Benki ya Exim na taasisi nyingine zitakazotaka kujenga mradi huo muhimu.

“Mradi huu ni muhimu na wa kihistoria kwa nchi hizi mbili, China ingependa kuona mradi huo unaboreshwa ili uweze kutoa huduma ya kusafirisha mizigo na abiria na kwamba kuimarika kwake kutaokoa miundombinu ya barabara kwa kuwa shehena kubwa ya mizigo itasafirishwa kupitia reli hiyo.

Aidha, Balozi Ke alisema kuwa nchi yake inasubiri pia kukamilika kwa taratibu za ndani kati yake na Tanzania ili mradi wa reli ya TAZARA uanze  ili kuboresha usafiri na usafirishaji wa mizigo na abiria kati ya Tanzania na Zambia pamoja na nchi za maziwa makuu.

Balozi Ke alitumia fursa hiyo kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kwa kukusanya kodi, kusimamia matumizi adili ya fedha za umma, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kupambana na rushwa.

Akizungumza mara baada ya mazungumzo na mgeni wake, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alisema kuwa Serikali imeridhia uamuzi wa China wa kufanya upembuzi yakinifu wa mradi huo wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) ili China kupitia taasisi zake iweze kujenga sehemu ya mradi huo.

“Tayari mradi umeanza kujengwa kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma, kwahiyo kujitokeza kwa China kutaka kufadhili ujenzi wa mradi huo kutasaidia kukamilisha mradi huo muhimu kwa haraka na kwa wakati” Alisema Dkt. Mpango.

Alisema pia kuwa China imeonesha nia ya kusaidia kuujenga na kuupanga mji wa Dodoma kutokana na nchi hiyo kuwa na uzoefu wa kupanga miji ambapo nchi hiyo imeonesha nia ya  kujenga miundombinu ya elimu, barabara, uwanja wa ndege wa kimataifa-Msalato, kujenga mfumo wa maji safi na maji taka pamoja na majengo ya kisasa.

Kuhusu biashara, Dkt. Mpango alisema wamekubaliana kuwa China itaisaidia Tanzania kukuza kiwango cha biashara ambapo takwimu zilizoko zinaonesha kuwa urari wa biashara kati ya nchi hizo unaonesha kuwa Tanzania imekuwa ikinunua bidhaa nyingi kutoka nchini humo kuliko inavyo uza bidhaa na huduma zake.

“Mwaka 2016 Tanzania iliuza China bidhaa na huduma zenye thamani ya Dola za marekani milioni 460 wakati China iliuza hapa nchini bidhaa zenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1.2, kiwango ambacho ni kikubwa karibu mara 5 ya kile tulichowauzia” Alisema Dkt. Mpango.

Ili kuvutia Sekta ya utalii, Tanzania imeiomba China kuanzisha safari ya ndege wa moja kwa moja kutoka China hadi Tanzania ili kuvutia watalii wengi kutoka nchini humo na kwamba utaratibu utafanyika ili Mamlaka ya usafiri wa anga iweze iratibu na kusaini makubaliano ya ushirikiano na hivyo kufanikisha jambo hilo.

“China imeandaa maonesho makubwa ya uwekezaji na biashara ya bidhaa na huduma mbalimbali mwezi Novemba, 2018, hivyo wafanyabiashara wa Tanzania pamoja na  Bodi ya Utalii nchini wahakikishe wanashiriki kikamilifu kwenye maonesho hayo ili kutumia nafasi hiyo kujitangaza” Alisistiza Dkt. Mpango.

Aidha, Dkt. Mpango alieleza kuwa Balozi Wang Ke, amesema kuwa Nchi yake itashiriki katika ujenzi wa miradi ya bandari ili kukuza masuala ya usafiri kwa kuboresha bandari za Tanga, Bagamoyo, Kigoma, Bagamoyo, Dar es Salaam, Mtwara na katika Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika.

Waziri huyo wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango alitoa wito kwa wawekezaji kutoka China na nchi nyingine kuja kuwekeza nchini katika kipindi hiki ambacho Tanzania inaipeleka nchi katika uchumi wa viwanda.

Miradi mikubwa ambayo China imewekeza na kufadhili hadi sasa hapa nchini ni Reli ya TAZARA, Kiwanda cha Urafiki, ujenzi wa barabara, majengo, ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi dar es Salaam, Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Jijini Dare Salaam, Ujenzi wa Mabweni ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na miradi mingine kadha wa kadha.

Polisi Wamtia Mbaroni mwanamke Aliyeonekana kwenye Video Akimvisha mwenzake pete ya uchumba Geita

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mtumishi wa mgodi wa GGM, Milembe Suleiman anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja.

Mfanyakazi huyo ambaye ni ofisa ugavi kitengo cha manunuzi anashikiliwa baada ya ‘video’ inayomwonyesha akimvisha pete ya uchumba mwanamke mwenzake kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

Video hiyo ambayo imezua mijadala hasa ikizingatia kwamba iko kinyume cha utamaduni wa Kitanzania na Serikali ambayo imekuwa ikikemea na kupiga marufuku vitendo vya mapenzi ya jinsi moja.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amesema wanamshikilia kuwa uchunguzi kwa kuwa nchi hairuhusu mambo hayo.

Ofisa Habari wa GGM, Dili Tenga amesema hayo ni masuala binafsi ya mfanyakazi hivyo wao kama mgodi hawawezi kuyazungumzia lakini wanaviachia vyombo vya dola viendelee na uchunguzi wake.

Takukuru kuchunguza mila za kichaga

$
0
0
Tasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza utaratibu wa familia za kabila la Kichaga kutumia majani maarufu kama ‘sale’ kufunika au kumaliza kienyeji kesi zinazohusu ukatili wa kijinsia na mimba za wanafunzi.

Majani hayo ya masale kwa mila na tamaduni za kabila la Wachaga, hutumika kuashiria amani, kuomba msamaha na kumaliza tofauti zao.

Ofisa wa Takukuru Wilaya ya Hai, Denis Mazigo, amefichua siri hiyo ya kuanza kwa uchunguzi dhidi ya mila hiyo wakati wa uwasilishaji ripoti ya kamati ya ulinzi wa mtoto.

“Haliwezi kutangulizwa jani la sale peke yake, lazima kuna mazingira ya kutolewa kwa fedha kama rushwa, ndiyo msamaha uweze kukubalika. Sasa sisi kama Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa tumeanza kufanyia kazi jambo hili, kwa sababu tumeona kesi nyingi za ukatili zikikwama huku zikiwa na ushahidi wa kutosha,” alisema Mazigo.

Wanajeshi waliomng'oa Mugabe madarakani wateuliwa Baraza la Mawaziri Zimbabwe

$
0
0
Rais mpya wa Jamhuri ya Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ametangaza baraza la mawaziri ambapo amewateua viongozi wakuu wa jeshi la nchi hiyo katika nafasi mbalimbali.

Katika baraza hilo lililotangazwa Novemba 30, Mnangagwa amemteua Meja Jenerali Sibusiso Moyo kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi. Moyo ndiye alitangaza katika kituo cha runinga cha Taifa (ZBC) kuwa jeshi limechukua udhibiti wa nchi wakati Rais Mugabe alipowekwa kizuizini nyumbani kwake.

Aidha, Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe, Perence Shiri ameteuliwa katika baraza hilo na kuwa Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi.

Mnangagwa aliapishwa juma lililopita kuwa Rais wa Zimbabwe baada ya Robert Mugabe kukubali kujiuzulu.

Wakati akihutubia mjini Harare baada ya kuapishwa, Mnangagwa aliahidi mabadiliko makubwa, lakini baraza lake la mawaziri limekosolewa vikali kutokana na uwepo wa viongozi hao wa jeshi.

Jeshi la Zimbabwe limekuwa na mchango mkubwa katika aina ya siasa za nchi hiyo, na mara kadhaa limekuwa likikosolewa kwamba, lilimsaidia Rais Mugabe kukaa madarakani kwa miaka 37.

Mbali na uteuzi wa wanajeshi hao, lakini pia baraza hilo limekosolewa kwa kuwapo kwa baadhi ya watu ambao walikuwa na uhusiano na Rais Mugabe, mfano Chris Mutsvangwa ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Habari.

Wengi waliotoa maoni yao wamesema kuwa hatua hiyo imewakatisha tamaa kwa waliamini uwepo wa kiongozi mpya ungeifanya nchi hiyo kupata viongozi wapya ambao wangesaidia kuitoa Zimbabwe hapo ilipo sasa.

Umeme warejea....Mbeya Kuendelea Kuwa Gizani

$
0
0
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema huduma ya umeme imerejea saa 7.11 mchana nchi nzima isipokuwa mkoa wa Mbeya.

Huduma ya umeme ilikatika tangu jana katika mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya taifa.

Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa mchana, Desemba 1, 2017 na Kaimu Meneja Mawasiliano wa Tanesco, Leila Mhaji imesema mkoa wa Mbeya ndiyo pekee ambao huduma hiyo haijarejea kutokana na hitilafu iliyopo katika njia ya Mufindi.

Amesema mafundi wanaendelea kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha kwamba huduma hiyo inarejea katika mkoa huo kama ilivyo kwenye mikoa mingine.

“Tutaendelea kuwajulisha mara huduma hiyo itakaporudi kwani mafundi wanaendelea na kazi,” amesema. 

Amesema mapema leo huduma hiyo ilianza kurejea katika mikoa ya Iringa, Dodoma na Tanga

Amewaomba radhi wateja kwa usumbufu wowote uliojitokeza. Amesisitiza wananchi kutoshika wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Nyalandu: Ni uzalilishaji mkubwa unaoendelea Libya

$
0
0
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa wa Singida Kaskazini aliyejiuzulu, Lazaro Nyalandu ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua zaidi juu ya kinachoendelea nchini Libya.

Amesema kuwa ni lazima hatua zichukuliwe kwa kile kinachoendelea nchini Libya ili kuweza kukomesha kile ambacho kinaendelea kwa sasa dhidi ya binadamu.

“Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika lazima uchukue hatua dhidi ya Libya sasa. tunachoshuhudia ni matusi kwa wanadamu,”amesema Nyalandu

Aidha, siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa zikiripotiwa kutoka Libya kuwa kumekuwa na biashara ya utumwa ikifanyika ikihusisha Libya kuuza Waafrika nchi za Ulaya.

Ubalozi wa Libya nchini Tanzani umesema kuwa Waafrika wanaodaiwa kuuzwa kutoka nchi hiyo, yawezekana walikuwa wanakabidhiwa kwa watoroshaji ili wawapeleke Ulaya na sio kuwauza kama watumwa.

TFF yamjibu Zitto Kabwe

$
0
0
Shirikisho la Soka Tanzania TFF limejibu hoja iliyotolewa na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe, kuitaka Tanzania isusie kucheza mechi na Libya ili kupinga vitendo vya biashara ya utumwa inayoendelea nchini humo.

Afisa habari wa TFF, Alfred Lucas amesema kuwa suala hilo ni nyeti na limefikishwa katika uongozi wa juu na kwamba litatolewa majibu hivi karibuni.

“Msimamo utatolewa na viongozi wangu mara baada ya kukaa na kutafakari hali halisi kwa sasa, na wenye uwezo wa kukaa na kutafakari ni viongozi wa juu, itakapokuwa tayari mtajulishwa,” amesema Lucas

Jana, Zitto alitoa wito kwa TFF kuitaka timu ya Kilimanjaro Stars isusie mechi inayotarajiwa kuchezwa na Libya, ili kuonyesha kutokubaliana na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kuendeleza biashara ya utumwa.

Wema Sepetu ajivua uanachama Chadema, Atangaza kurudi CCM

$
0
0
Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu ametangaza rasmi kujivua uanachama wa Chadema na kurudi kwenye chama chake cha zamani cha CCM.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema Sepetu amesema hawezi kuishi kwenye nyumba inayomkosesha amani ya nafsi.

“Siwezi Kuendelea kuishi kwenye Nyumba inayo nikosesha amani… Peace of mind is everything for me… Natangaza Rasmi kuondoka Chadema na Kurudi Nyumbani“ameandika Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Mapema mwezi Februari mwaka huu mrembo huyo alitangaza kuihama CCM na kujiunga Chadema akisema “Nimeamua kufanya uamuzi wa kuhama chama cha Mapinduzi na hivi sasa nataka kuhamia Chadema. Sitaki ionekane kwamba labda nimepata hasira kulingana na hizi tuhuma za hapa katikati ambazo zimenikabili. Lakini nataka nionekane nimefanya maamuzi kama binadamu yeyote ambaye angeweza kufanya. Nadhani wote mnajua kuwa nilishawahi kuwa kada wa Chama cha Mapinduzi, nilikuwa nalisema kwa kujiproud nikiwa nina uaminifu mkubwa kwamba mimi nitasimama kama kweli kada wa Chama cha Mapinduzi”

CCM yamtolea nje Wema Sepetu.....Yasema Haina Taarifa ya Yeye Kurudi

$
0
0
Baada ya Muigizaji Wema Sepetu kutangaza kurudi ndani ya Chama Cha Mapinduzi baada ya kukihama Februari mwaka huu, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amesema kuwa chama hicho hakina taarifa yoyote ya kurudi kwa Wema Sepetu.

Polepole amesema CCM ina utaratibu wa mwanachama kujiunga na chama hicho na kuongeza kwamba chama chao siyo daladala kwamba mtu anaweza kupanda na kushuka wakati wowote apendao, na kwamba CCM ina misingi, imani na masharti ya uanachama.

"Kupitia utaratibu na muundo wetu wa chama kwenye shina kisha ataandikwa kwenye orodha ya wanachama kwenye tawi ambalo yeye ni mkaazi," amesema Polepole.

Ameongeza kwamba habari za Muigizaji huyo kurudi ndani ya CCM yeye amepata taarifa mitandaoni kama jinsi watu wengine walivyozipata.

Pamoja na hayo polepole amefafanua kuwa "Ni heri abaki huko huko (Chadema) au akaanzie kule ambako alichukulia kadi yetu, Kuijenga CCM mpya yenye kuheshimu nidhamu ya chama siyo kazi ndogo na inataka viongozi wenye unyenyekevu, watumishi na wanachama wavumilivu. CCM mpya itakuwa chungu kwa baadhi yetu lakini tamu kwa wengi wetu"

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Desemba 2


Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati, Anasafisha Nyota, Anazuia Chuma Ulete na Mengine

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
 
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. 

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Whatsapp/Calls 0658316976
0755911233
 
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Ufafanuzi wa Wizara ya Afya kuhusu uzinduzi wa mkakati wa Kusambaza kondomu 500,000 Nchi Nzima

$
0
0
Kumekuwa na taarifa mbalimbali, hamaki na kejeli zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuhusiana na taarifa iliyotolewa tarehe 27 Novemba 2017, Mnazi Mmoja kwenye uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Kondom kuhusu mpango wa Serikali kununua na kusambaza kondom 500,000,000 katika kipindi cha miaka mitatu 2018 hadi 2020.

Tunapenda kuukumbusha umma wa Watanzania kwamba maambukizi ya VVU na UKIMWI bado ni tatizo katika nchi yetu. Takriban watu 1,400,000 wanakadiriwa kuwa na VVU. Hivyo katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI Serikali inaendeleza afua mbalimbali ili kuzuia maambukizi mapya.

Asilimia 40% ya maambukizi mapya yanatokea miongoni mwa vijana wenye umiri wa miaka 15-24. Aidha makundi maalum kama vile wanaojidunga madawa ya kulevya, wanaofanya biashara ya ngono na wale wanaoamiiana wa jinsia moja wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi.  Makundi mengine ya walio katika hatari ni waendesha magari ya masafa marefu, wavuvi na wananchi wa kwenye migodi.

Wizara inatekeleza afua mbalimbali ikiwa ni pamoja na ushauri nasaha na kupima uwepo wa VVU, na kisha kuanza tiba na matunzo, pamoja na kutoa dawa za kufubaza kwa watakao kuwa na maambuzi ya VVU. Kuna afua pia za kuzuia maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto, kutoa elimu ya VVU/UKIMWI na afya uzazi kwa vijana, elimu kuhusu VVU/UKIMWI kwa jamii na tohara kwa wanaume.

Matumizi ya kondom ni moja wapo ya afua katika kuzuia maambukizi mapya. Hata hivyo utafiti wa viashiria vya Malaria na UKIMWI wa mwaka 2011/12 umebaini kuwa kuna matumizi duni ya kondom, kwani ni asilimia 27 tu ya watu wenye wenza zaidi ya mmoja waliokiri kutumia kondom mara ya mwisho walipofanya ngono. Hivyo Serikali itaendelea kununua na kusambaza kondom kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU, magonjwa ya ngono na mimba zisizo tarajiwa ikiwa ni mojawapo ya afua hizo za kudhibiti maambukizi ya VVU.

Tunasisitiza kuwa Wizara na wadau wake inaendelea kutoa elimu ya kondom sambamba na elimu ya kusubiri kufanya ngono kwa wale ambao hawajaanza na wale ambao wameanza lakini wanapaswa kusubiri (Abstinence) na elimu ya kuwa waaminifu kwa mwenza mmoja aliye mwaminifu na anaejua hali yake ya maambukizi ya VVU (Be faithfull).

Hivi sasa nchini kuna vyanzo vya upatikanaji wa kondom vya aina tatu. Kwanza ni kondom zinazopatikana kupitia sekta ya umma  ambazo husambazwa na Serikali kwa wananchi bila malipo. Pili, kuna kondom zinazosambazwa na wadau ambazo zinauzwa kwa bei ya chini kwa kuwa wadau wamechangia. Mfano kondom za Salama na Dume, na chanzo cha tatu ni kondom za kibiashara ambazo zinauzwa kwa bei ya kati na ya juu.

Kondom za sekta ya umma husambazwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya na huduma za mkoba ngazi ya jamii, Kondom za wadau na zile za biashara husambazwa katika maduka ya dawa, maduka ya bidhaa mbambali, baa na nyumba za wageni.

Kwa mwaka 2016/17 Serikali iliboresha kondom zinazopatikana kupitia ya sekta ya umma kwa kuipa kifungashio kipya na jina la ZANA, ambapo kondom 36,916,911 zilisambazwa. Kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2018 hadi 2020 Serikali kwa kushirikiana na Mfuko wa Dunia wa kudhibiti malaria, UKIMWI na Kifua Kikuu inatarajia kununua kondom za kiume takribani 500,000,000.

Kondom hizi zitasambazwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya na katika maeneo hatarishi yanayoaminika kuwa na watumiaji wengi. Aidha, kwa vile imebainika kuwa watu ambao hawaumwi hawaendi vituo vya afya kwa  ajili  ya kuchukua kondom tu na hivyo kupelekea kutofikia walengwa, usambazaji na ugawaji huu utalenga maeneo ambayo

Kunamatukio ambayo yanaendana na ngono na yana walengwa wa afua za kondom. Maeneo haya ni kama baa, nyumba za kulala wageni, maeneo yenye mikusanyiko ya magari ya masafa marefu, maeneo ya uvuvi na migodini.

Aidha ikumbukwe kwamba nchi yetu ina sera sheria, mila, desturi na maadili yetu kama watanzania,  Hivyo kondom zote haziruhusiwi kusambazwa bila kufuata miongozo ya Wizara, ili kulinda zisifike kwa wasiolengwa.

Hivyo basi, iwapo tunataka kuzuia na kumaliza maambukizi ya VVU na UKIMWI ifikapo 2030 tunapaswa kama nchi kuwekeza katika kuzuia maambukizi mapya. Matumizi ya kondom, ununuzi wa vifaa tiba, vitendanishi, dawa za ARV na za magonjwa nyemelezi ni afua muhimu. Tunaomba wanahabari na wananchi waunge mkono juhudi hizi kwa kuwa tunahitaji watanzania wenye afya bora na uwezo wa kuzalisha ili kuijenga Tanzania ya Viwanda.

Imetolewa  na:
KATIBU MKUU  – AFYA
30 Novemba, 2017

Joshua Nassari adai kutishiwa kuuawa, avamiwa Usiku na watu wenye bunduki

$
0
0
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amedai usiku wa kuamkia Jumamosi hii alivamiwa na watu wasiojulika wakiwa na bundiki na kufyatua risasi nje ya nyumba yake.

Nassari amedai muda mchache baada ya tukio hilo yeye pamoja na mke wake walifanikiwa kufika kituo cha polisi na kutoa ripoti ya tukio hilo.

“Nimevamiwa nyumbani kwangu maeneo ya USA RIVER usiku huu na watu wenye silaha, na kufyatua risasi ambazo zimeua mbwa waliokuwepo nje ya nyumba. Nimefanikiwa kukimbia na mke wangu na kuripoti kituo cha Polisi. Nimekuwa nikitishiwa kuuawa kila siku, sina amani ndani ya nchi yangu,” alitweet Nassari.

Amedai watu hao baada ya kufyatua risasi walifanikiwa kumuuwa mbwa wake ambaye alikuwa nje ya nyumba.

Mbunge huyo mara kadhaa amekuwa akiripoti katika mitandao ya kijamii kwa amekuwa atishiwa kuuawa mara kwa mara.

Steve Nyerere Amvaa Polepole Baada ya Kumkataa Wema Sepetu......." Hiki chama hujakianzisha wewe"

$
0
0
Muda mfupi baada ya muigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu kutangaza jana jioni kuwa ameamua kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM), Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole  alisema chama hicho hakina taarifa rasmi kuhusu Wema kutaka kurudi.

Polepole kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika kuwa, katika kujenga nidhamu ya chama, na kuepuka kukifanya chama daladala kwamba unapanda na kushuka wakati unaotaka, kuna taratibu za kufuatwa mtu anapotaka kujiunga na chama, na sio kutangaza mitandaoni.

“......Chama chetu sio Daladala mtu anaweza kupanda na kushuka wakati wowote, ni heri akabaki hukohuko ama akaanzie kule ambako alichukulia kadi yetu,” aliandika Polepole. 

Kauli hiyo imemuibua Staa wa Filamu aliyekuwa rafiki wa karibu wa Wema kabla hajahamia Chadema, Steve Nyerere ambaye amemtolea povu Polepole na kuijibu kauli yake hiyo akiandika;

“Hiki chama hujakiunda wewe wala kukianzisha wewe, umekikuta kama tulivyokikuta wote, kina waasisi wenye uchungu nacho na wako kimya.

“Wewe ni nani ukatishe watu moyo kukitumikia kama vile ndio unakimiliki, tulia polepole chama cha wote hiki, usilete ubinafsi kwenye kutumikia na kujenga ngome, hatuhitaji wenye cement na nondo tu, acha hata mwenye jiwe lake aweke kikubwa nyumba isimame, ni mchango pia”
 

Waziri Mkuu Majaliwa Ahimiza Mfumo Wa Elimu Ya Juu Uandae Rasilimali Watu Ili Kufikia Taifa La Uchumi Wa Kati.

$
0
0
Nathanieli Limu-Singida
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa Kassim amesema kuna haja ya kuangalia upya mfumo wa elimu ya juu nchini ili kuuboresha uweze kusaidia kutayarisha haraka rasilimali watu walioelimika  zaidi, watakaoliwezesha  taifa kuwa na maendeleo na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema huyo juzi wakati akizungumza kwenye kilele cha mahafali ya 33 ya Chuo Kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki mjini Singida.

“Kwa kuzingatia malengo ya dira ya taifa ya maendeleo na mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano, napenda nisisitize kuwa dira ya utendaji wenu ijikite katika maeneo yaliyoainishwa chini ya mwamvuli wa kauli mbiu ya chuo-elimu bora na nafuu kwa wote”, alisema.

Alisisitiza kwa kusema kwa uchumi wa kati na wa viwanda, hauwezi kufikiwa au kuwa endelevu pasipo kuwa na kiwango cha udahili katika elimu ya juu cha angalau asilimia 23.

“Hivi sasa kiwango cha Tanzania cha udahili katika elimu ya juu ni aslimia nne (4). Kiwango hiki ni kidogo hata kuliko nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao licha ya hali ya vita nchini mwao kwa muda mrefu,wamefikia asilimia saba (7)”,alifafanua.

Waziri Mkuu Majaliwa alifafanua zaidi kwa kusema kuwa takwimu zinaonyesha kwamba karibu nchi zote washiriki katika jumuiya ya Afrika mashariki, ukiacha Burundi, zina viwango vya juu zaidi vya udahili katika elimu ya juu ikilinganishwa na kiwango cha Tanzania.

Alisema kwa mujibu wa sera ya elimu ya mwaka 2014 mfumo wa elimu na mafunzo umetawaliwa na muundo wa kitaaluma wenye dhana ya kuchuja wahitimu kwa kila ngazi ili kupata wachache wenye uwezo mkubwa katika taaluma.

“Hali hii inatokana na nafasi za elimu na mafunzo ngazi za juu kuwa chache kadri wanafunzi wanavyohitimu kuanzia ngazi ya elimu ya msingi na kuendelea. Kwa uhaba wa nafasi za elimu ya juu na ufinyu wa bajeti ndio unaosababisha kutumia muundo wa kuchuja badala ule wa kutoa fursa kulingana na uwezo, vipaji na vipawa”, alisema na kuongeza;

“Huu ndio mfumo ambao unahitaji kuhuishwa na mfumo wa elimu huria na masafa kama alivyoeleza Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia Profesa Joyce Ndalichako kwamba mazingira, vigezo na masharti ya mchakato huu vimeainishwa katika sera ya elimu na mafunzo 2014’.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu Majaliwa alisema serikali inaunga mkono azma ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ya kuanzisha dawati maalum kwa ajili ya kuimarisha mfumo wa elimu huria na masafa.

“Kupitia hafla hii, ninaagiza dawati kama hili lianzishwe pia katika Tume ya vyuo vikuu (TCU) na Baraza la elimu ya ufundi (NACTE), kwa lengo la kuhakikisha kuwa taratibu zao za ithibati zinazingatia na kukidhi matakwa ya viwango vya mfumo wa elimu huria na masafa”, alisema.

Katika Mahafali hayo Mkuu wa Chuo Kikuu Huria na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Peter Pinda alimtunuku shahada ya heshima ya uzamivu Balozi Nicolous Kuhanga ambaye mchango wake umetajwa kuwa mkubwa hasa wakati wa kuanzishwa kwa chuo hicho.

Zaidi ya wahitimu 2200 wamehitimu katika Chuo Kikuu hicho na kutunikiwa shahada mbalimbali ambapo mke wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Mama Mary Majaliwa, alikuwa miongoni mwa wahitimu akitunukiwa shahada ya uzamili katika Elimu ya Utawala, Mipango na Sera.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images