VIKOSI vya Tanzania vinavyolinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
(DRC), chini ya mwavuli wa Umoja wa Mataifa (Monusco), vimepewa jukumu
jipya la kuwasambaratisha waasi wa kundi la Allied Democratic
Forces-NALU (ADF-Nalu). Hatua hiyo inakuja baada ya vikosi vya Tanzania
vilivyopo nchini humo, kufanikiwa kuwasambaratisha waasi wa kundi la M23
mwishoni mwa mwaka jana.
Waasi wa
JWTZ yapewa jukumu jipya nchini Kongo la kuwasambaratisha waasi wengine wa ADF-Nalu
↧
↧
Sad News: Basi la Zuberi lapinduka na kuua wanne papo hapo...Chanzo cha ajali ni bibi kizee aliyekuwa akikatisha barabarani
Hii ni picha ya maktaba ( si ya tukio la leo )
**
BASI
la Zuberi lenye namba T119 AA2 limepata ajali mbaya katika kijiji cha
Nkuhi wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida na watu wanne wameripotiwa kufa
papo hapo kwa kukatwa vichwa huku majeruhi wengi wakiwa wameumia vibaya
sehemu mbalimbali za mwili.
Akizungumza kutoka eneo la tukio leo mchana huu, mwandishi wa habari,
Nathanieli
↧
Ajira: Utaratibu wa kujiunga na jeshi la polisi kwa wahitimu watarajiwa wa kidato cha sita 2014
Katika mwaka wa fedha 2014/2015 Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na kidato cha nne mwaka 2013.
Ili kutekeleza azma hii tumeweka fomu kwenye tovuti ambayo wahitimu watarajiwa wa kidato cha sita wa mwaka 2014 watajaza kabla ya kufanya mitihani yao ya kumaliza kidato cha sita.
Baada ya kujazwa kikamilifu wakabidhi fomu kwa wakuu wa shule ambao
↧
Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba azungumza na TRA na kutoa msimamo wa serikali kuhusu matumiza ya mashine za EFD
Na Habari Kwanza Blog — Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba hii leo asubuhi (Tar. 05/02/2014) amekutana na Watendaji/Watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Hazina Ndogo na Wahakiki Mali za Serikali Mkoani Mbeya kwa ajili ya kufahamiana nao, pia kuzungumza nao kuhusu uboreshaji wa ukusanyaji wa mapato nchini, msimamo wa Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD kwenye
↧
Taarifa ya Wizara ya fedha kukanusha malipo ya milioni 160 kwa wabunge wanapostaafu
TANGAZO KWA UMMA
Katika siku za hivi karibuni, baadhi ya magazeti yamekuwa yakitoa taarifa za upotoshaji juu ya suala la kuongezeka kwa malipo ya pensheni kwa Waheshimiwa Wabunge. Magazeti hayo yanadai kwamba Mheshimiwa Waziri wa Fedha amethibitisha ongezeko hili. Taarifa hizo ziliendelea kudai kwamba Waheshimiwa Wabunge watakapostaafu watastahili kulipwa shilingi 160 milioni kila mmoja.
↧
↧
Taarifa ya kukatika kwa mawasiliano ya mtandao wa Vodacom- Tanzania
Dar es Salaam, 5 Februari, 2014.Tunapenda kuwaomba
radhi wateja wetu wote kwa kushindwa kutoa huduma za mawasiliano kuanzia
asubuhi ya Februari 5, 2014. Hii imetokana na kukatika kwa mkonga wa
mawasiliano ulioko barabara ya Morogoro na nyingine mbili za ziada
zilizoko Mlalakuwa na Mayfair plaza barabara ya Mwai kibaki jijini Dar
es Salaam.
Kukatika kwa Mkonga huo kumesababisha
↧
Mkuu wa jeshi la polisi nchini, IGP Ernest Mangu afanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa jeshi la polisi nchini...Bofya hapa ujionee
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya
baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa
usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa vikosi na
vitengo mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi. Miongoni mwa makamanda wa
mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na:
1. Aliyekuwa kamanda wa
Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi
↧
Mbunge wa CHADEMA, Diwani wake na wanachama 14 wafikishwa mahakamani kwa kufanya vurugu wakati wa kampeni za udiwani
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki (Chadema), Sylvester
Kasulumbayi na Diwani wa Kata ya Buselesele, Crispian Kagoma na watu
wengine 14 wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruhi katika vurugu
zilizoibuka katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani wilayani Kahama
mkoani Shinyanga.
Kasulumbayi na wenzake 15, ambao wanaaminika kuwa
wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
↧
Zitto Kabwe aibuka na DVD
WAKATI Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,
akijipanga kuanza ziara katika mikoa kadhaa nchini kujibu mapigo ya
tuhuma dhidi yake zilizotolewa na baadhi ya viongozi wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye ziara ya Operesheni M4C Pamoja
Daima, mbunge huyo ameibuka na DVD inayowananga viongozi wa CHADEMA.
Vyanzo vyetu vya habari vilisema kuwa DVD hizo zitasambazwa
↧
↧
Polisi 8 watuhumiwa kumtesa mahabusu mwanamke kwa kumvua nguo na kumwingizia chupa ya bia katika sehemu za siri.
ASKARI Polisi saba wa kiume na mmoja wa kike, wanakabiliwa na tuhuma za kumtesa mahabusu mwanamke kwa kumvua nguo na kumwingizia chupa ya bia katika sehemu za siri.
Akizungumza mbele ya Hakimu Mkazi wa mjini Sumbawanga, Rosalia Mugissa, mshitakiwa katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Clara God (32), alidai kufanyiwa unyama huo na askari wa kiume mbele ya askari mwanamke.
↧
Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema akamatwa na jeshi la Polisi na kisha kuachiwa baada ya mahojiano ya masaa kadhaa
Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha na kisha kuachiwa baada ya mahojiano ya masaa kadhaa....
Lema alikamatwa ili kuhojiwa kuhusu
malalamiko ya vurugu zilizotokea kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi
wa kiti cha udiwani Kata ya Sombetini wiki iliyopita ambapo watu kadhaa
walijeruhiwa.
<!-- adsense -->
↧
Habari kamili kuhusu vurugu kubwa za wakulima zilizotokea eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro na kusababisha barabara kufungwa
MABOMU ya machozi yalitumika leo mchana kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela,
Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa -
Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera aende
kusuluhisha mgogoro uliopo baina yao na wafugaji.
Wakulima hao walikuwa wakidai kuwa wenzao watano jana walivamiwa na wafugaji
wa kabila la Wamasai na kuwajeruhi
↧
MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa afikishwa mahakani kwa kosa la kujeruhi
Na Francis Godwin, Iringa MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Iringa akituhumiwa kwa kosa la kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nduli. Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Iringa, Godfrey Isaya, Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Elizabeth Swai alisema Mchungaji Msigwa alitenda kosa hilo
↧
↧
Rais Kikwete afungua mkutano wa baraza la vyama vya siasa jijini Dar leo
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake kwenye
ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa leo Februari 6, 2014
katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akigawa rasimu ya katiba kwa viongozi wa vyama
mbalimbali vya siasa baada ya kufungua mkutano wa Baraza la Vyama vya
Siasa leo Februari 6, 2014
↧
Mtuhumiwa amuua askari polisi kwa kumpiga jiwe
Askari polisi F. 5264 PC Sabato (37) wa Kituo cha Polisi cha
Longido, wilayani Monduli, ameuawa kwa kupigwa jiwe na mtuhumiwa
aliyekuwa akimpeleka mahabusu katika Gereza la Kisongo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus
Sabas, alisema mauaji hayo yamefanywa na mtuhumiwa aliyekuwa akipelekwa
mahabusu baada ya kukosa dhamana katika kesi ya kuvunja na kuiba.
↧
Kitale wa bongo movie amkata mapanga adui yake na kutenganisha kichwa na kiwiliwili...
Maigizo mengi sana nchini huwa yanalalamikiwa kukosa uhalisia wa
tukio,hebu tumia dakika zako chache kuangalia namna picha hizi
zilivyochanganywa ambazo zinamuonyesha Kitale kama kamkata kichwa huyo
jamaa.
Kwa haraka haraka unaweza kudhani kweli lakini bado jina la
movie hii halijajulikana ingawa kwa kisehemu hiki kinaonyesha kama ni movie inayoongea
na vitendo zaidi,lakini
↧
Mwanamke adondoka ghafla jijini Mwanza akiwa njiani kuelekea kwa mganga wa jadi.... Afariki dunia masaa machache baada ya kupelekwa hospitali
Baadhi ya vitu alivyokuwa navyo Sharon:
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Sharon Justice Laiza, mkazi wa Kilimahewa jijini Mwanza amefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha baada ya kudondoka ghafla akiwa njiani kueleakea kwa mgonga wake aishiye Kiseke, Ilemela Mwanza...
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo lililotokea juzi saa kumi
↧
↧
Baada ya Malawi kutangaza kuwa baadhi ya vijiji vya Tanzania ni mali ya Malawi, JWTZ yakerwa, yadai haitaogopa vitisho vyovyote
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema haliogopi vitisho vya
aina yoyote vinavyotolewa na Serikali ya Malawi kutokana na mgogoro
uliopo. Hatua hiyo imetokana na viongozi waandamizi wa Serikali ya
Malawi, kutangaza baadhi ya vijiji vya Tanzania vilivyopo kilomita 10
kutoka mpakani mwa Ziwa Nyasa kuwa ni mali yao.
Hatua ya JWTZ
imekuja siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete
↧
Bunge la Katiba kuanza Februari 18, Rais Kikwete kutangaza majina leo
Rais Jakaya Kikwete jana alitangaza rasmi kuwa Bunge la Katiba litaanza Februari 18, mwaka huu.
Aidha, alisema kuwa atatangaza majina ya wajumbe wa Bunge hilo leo.
Akizungumza kwenye kikao maalumu cha Baraza la Vyama vya Siasa jijini
Dar es Salaam jana, Rais Jakaya Kikwete alisema maandalizi kwa ajili ya
Bunge hilo yanaendelea vizuri na kilichobaki ni marekebisho madogo
madogo.
↧
Mwanaume afumaniwa na mke wa mtu wakifanya uchafu ndani ya gari bovu
Arobaini (40) za mke wa mtu zimetimia baada ya kunaswa
ndani ya gari akifanya uzinifu na kijana mmoja mtanashati ‘Sharobaro’
aliyejitambulisha kwa jina la Athumani (26) maeneo ya Bamaga Mwenge,
jijini Dar.
Tukio hilo lilitokea usiku wa manane Februari 4, baada ya mke huyo
aliyetambulika kwa jina moja la Husna na sharobaro wake kujiingiza
kwenye mtego na kunasa wazimawazima.
Mara
↧
More Pages to Explore .....