-Msanii M2 the P anaendelea vizuri, leo ameweza kuongea na ametolewa ICU kupelekwa wodini
-Mwili
wa Albert Kenneth Mangwair unatarajiwa kuwasili jijini Dar Jumamosi
Juni 1, 2013 na kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
-Ngwair anatarajiwa kuagwa siku ya Jumapili katika Viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.
-Msanii
Bushoke alaani watu wanaotoa taarifa zisizo sahii
HALI YA M TO THE P YAIMARIKA...... NGWAIR ATARAJIWA KUAGWA JUMAPILI
↧
↧
K' LYNE AWEKA WAZI UHUSIANO WAKE NA REGINALD MENGI
Kumekuwepo na Minong'ono mingi lakini hapakuwa na ushahidi wa hili mpaka
mwanadada huyo alipoamua kuanika hadharani kuwa mheshimiwa Reginald Mengi ndiye baba halali wa mapacha wake wawili.
Hongera
Mmiliki wa makampuni ya IPP bwana REGINALD mengi kwa kumiliki mtoto mkali Jackline Ntuyabaliwe(K'lyne) ....
Hiyo ndo Tweet ya K'lyne kwa mpenzi wake Mh. MENGI
<!-- adsense -->
↧
TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA
TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA IMEWASILISHWA NYUMBANI HOTEL – TANGA MEI 30, 2013
UTANGULIZI:Usiku wa Jumanne ya Machi 5
kuamkia Machi 6, 2013, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, ambaye
pia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda
alivamiwa na kujeruhiwa vibaya akiwa nje ya lango la kuingilia nyumbani
kwake Mbezi
↧
MABINTI WATOANA MANUNDU WAKIGOMBEA MWANAUME
Warembo wawili, wakazi wa Sinza, Dar es Salaam
ambao majina yao hayakupatikana, wamenaswa wakizichapa laivu wakidaiwa
kugombea bwana.
Tukio hilo la
kujidhalilisha lilijiri katika baa maarufu ya Corner iliyopo
Sinza-Afrikasana, Dar, majira ya asubuhi wakati watu wakiwa kwenye
mishemishe za kuwahi kazini.
Katika tukio hilo, mmoja wa warembo hao
alikuwa akilalamika kuwa kuna mwanaume
↧
NAIBU SPIKA AAPA KUTOMWADHIBU MBUNGE YEYOTE KWA MADAI KWAMBA AMECHOKA KUITWA ZEZETA
Naibu
Spika wa Bunge,Ndugu Job Ndugai amesema kuwa kuanzia sasa hatamwadhibu
Mbunge yeyote anayeleta vurugu Bungeni kwakuwa amechoka lawama.
Akihojiwa na Redio One Stereo katika kipindi cha Kumepambazuka leo asubuhi ,Ndugai amesema kuwa yeye amechoka kuitwa mzembe,zezeta na goigoi na
vyombo vya habari.
Ndugai
amesema kuwa hata kwa Wabunge waliosababisha tafrani Bungeni jana kiasi
↧
↧
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YAKO HEWANI....
↧
VIDEO YA WASICHANA WALIONASWA WAKISAGANA.....NI AIBU TUPU
<!-- adsense -->
Maadili ya kitanzania yamekuwa yakiporomoka kila kukicha.Hili limejidhihirisha tena baada ya kundi la akina dada kunaswa likiwa katika mchakato wa kusagana.....
Kundi hili linaloongozwa na mdada aliyefahamika kwa jina moja la Aziza, lilikuwa katika chumba ambacho wadada hao walikuwa wakicheza uchi huku wakisifiana kuwa ni watamu (
↧
KIFO CHA NGWEA BADO NI UTATA....PICHA YAKE AKIWA MOCHWARI IMEIBUA MASWALI MENGI YANAYOHITAJI UCHUNGUZI WA KINA
Kifo cha mwanamuziki wa Tanzania, Albert Mangwea kilichoripotiwa hivi
majuzi, kinazidi kuacha maswali mengi kadiri siku zinavyozidi kusogea.Wapo
baadhi ya watu ambao wametoa maoni ya kutilia shaka maelezo na sababu
za awali za kifo hicho, hali wakitumai kuwa mtu aliyekuwa naye karibu
ambaye anaelezwa kuwa hai bado hospitalini, mwanamuziki M2P huenda akawa
mtu muhimu wa kutoa maelezo ya
↧
MAANDALIZI YA MSIBA WA NGWEA YAANZA BENZI JIJINI DAR
↧
↧
HUYU NDO MSHIRIKI WA BBA KUTOKA ZIMBABWE ALIYE CHEZA MKANDA WA NGONO.....WANANCHI WAMEJIPANGA KUMNG'OA
Mshiriki
wa shindano la Big Brother Africa Chase kutoka nchini Zimbabwe Nare
Pokello amejikuta katika kashfa kubwa baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja
siku chache tu baada ya yeye kuingia ndani ya jumba la BBA. kashfa
hiyo ambayo sasa ndio habari ya mjini imezagaa katika kurasa kadhaa za
Facebook huku mashabiki wengi kutoka nchini kwake wakisistiza watu
wampigie kura ya kumng'oa
↧
MZUMBE SECONDARY YAFUNGWA...WANAFUNZI WAPEWA SIKU MBILI WAPOTEE KATIKA MAZINGIRA YA SHULE
Popout
Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika kuandamana kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa huo wakishinikiza kuboreshewa huduma muhimu.
Maboresha wanayodai kuboreshewa shuleni hapo ni pamoja na miundombinu, kuondoa ubadhirifu, uongozi mbovu na kukomeshwa vitendo vya lugha chafu zinazo tolewa na baadhi ya walimu.
Maandamano hayo
↧
MABADILIKO KUHUSU MAZISHI YA NGWEA
Habari
kutoka kwa wanakamati wa mipango ya mazishi ya marehem Albert Mangwea
zinasema kuwa mwili wa marehem Ngwea utafika Dar siku ya jumapili saa
nane mchana na sio jumamosi kama ilivyoarifiwa hapo awali…
Mwili huo utaagwa
siku ya jumatatu saa mbili mpaka saa sita machana ambapo safari itaanza
kuelekea Morogoro kwa ajili ya mazishi
<!-- adsense -->
↧
TAARIFA YA TBC MCHANA: WABUNGE WA CHADEMA NA CUF WAOMBA RADHI BUNGENI
Dondoo za taarifa (audio imepachikwa hapo chini):
Baraza la Mitihani la Taifa latangaza Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita Kitaifa
Serikali
mkoani Morogoro imeifunga shule ya Sekondari ya vipaji maalumu, Mzumbe
kwa muda usiofahamika na kuwapa wanafunzi siku mbili, kuanzia leo,
kuondoka shuleni hapo
Wabunge wa CHADEMA, CUF waomba radhi Bungeni kutokana na utovu wa nidhamu uliojitokeza
↧
↧
VIDEO: HUU NDO UCHAFU UNAOTENDEKA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA
↧
ZANZIBAR YAPIGA MARUFUKU NDOA ZA JINSIA MOJA.....UKINASWA IMEKULA KWAKO ( MIAKA 30 JELA )
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imetunga sheria ya kupiga marufuku ndoa za watu wa jinsia moja.Waziri
wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Bwana Abubakar Khamis Bakar, aliyasema
hayo kwenye Kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati akijibu
swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi, Saleh Nassor Juma kutoka Chama cha
Wananchi (CUF).
Katika swali lake, Bw. Saleh Nassor Juma alitaka
kujua
↧
KIJANA ANUSURIKA KUFA BAADA YA VIBAKA KUMCHOMA MOTO HUKO MKOANI LINDI
Mtu
mmoja aliyetambulika kwa jina la Ismai Mayoba(31) anayefanya kazi Bar ya
Mangrove,Mkazi wa Manispaa ya Lindi amenusurika kifo baada ya
kuvamiwa na kundi la Vijana waliotaka kumpora na hatimae kumchoma moto.
Kwa sasa kijana huyo amelazwa katika Hospital ya Sokoine Mjini humo.
Kufuatia tukio hilo,Jeshi la Polisi wilayani Lindi limefanikiwa
kumkamata mtu mmoja kati ya watuhumiwa
↧
PREZZO AMPIGANIA HUDDAH ABAKI MJENGONI..... VIDEO FUPI AKIWA BAFUNI NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER
<!-- adsense -->
The Prezidaa CMB Prezzo ambae alikuwa mshiriki wa shindano
la Big Brother Africa msimu uliopita amejiunga na project ya watu wanaompigia
debe the boss Lady toka Kenya Huddah Monroe ambae alikuwa mpenzi wake ili asitoke
kwenye jumba hilo wiki hii.
Prezzo ameitumia akaunti yake ya twitter kujiunga na kile
kinachofahamika kama #ProjectSaveHuddahMonroe na yeye ameandika
↧
↧
BABY MADAHA NA WOLPER WAMALIZA BIFU LAO......KISA KILIKUWA NI NYUMBA YA KUPANGA
WASANII wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’
na Jacqueline Wolper Massawe ‘Wolper’ wamemaliza bifu lao lililokuwa
likifukuta kama moto wa kifuu mwishoni mwa wiki mbili zilizopita.
Akizungumza na mwandishi wetu katikati ya wiki hii, Baby alisema
alikuwa Mkoani Geita kwa ziara ya kikazi lakini alipigiwa simu na Wolper
akimuomba msamaha kutokana na tofauti zao
↧
WAUMINI WAUKIMBIA MSIKITI WA DODOMA BAADA YA KAULI YA MBUNGE KUDAI KUWA UNAFUNDISHA UGAIDI
Kauli iliyotolewa na mbunge wa kilindi Beatrice
Shelukindo ya kuwa msikiti wa barabara ya saba uliopo katika manispaa ya Dodoma unafundisha mafunzo
ya ugaidi na kareti kwa waumini wake imeuathiri msikiti huo.
Akizungumza na Jombo Shekhe Mohamed Awadhi wa msikiti huo
alisema kauli yake hiyo Imewaathiri waumini wake kutokana kuukimbia na baadhi
ya wanafunzi waliokuwa wakisoma masomo kuhamishwa
↧
FACEBOOK WAMEKUJA NA "VERIFIED ACCOUNT " NA RAIS UHURU AWA WA KWANZA.
Facebook
imefuata mkondo Twitter kwa kuanzisha akaunti na kurasa
zilizothibitishwa (verified pages/accounts) ili kuwawezesha watu
mashughuli kuthibitisha akaunti akaunti na fan page zao. Facebook
wamesema wamefanya hivyo ili kusaidia watumiaji wa Facebook kuzitambua
akaunti za kweli za mastaa na watu wengine mashughuli wanaotumia mtandao
huo, pia ikiwemo biashara zenye majina
↧
More Pages to Explore .....