Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Waziri aagiza uchunguzi wa aliyetoa stika kwa basi bovu

$
0
0
Serikali imeagiza kufanyika uchunguzi wa askari mkoani Tabora aliyekagua na kutoa stika ya usalama barabarani kwa basi la abiria mali ya kampuni ya Mtoto Gema ambalo limebainika kuwa bovu.

Basi hilo limebainika kuwa na hitilafu katika mfumo wa usukani leo Jumapili Novemba 5,2017 mjini Dodoma lilipokaguliwa katika kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani.

Agizo la kufanyika uchunguzi kwa askari waliohusika kutoa stika hiyo, limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni aliyefika kituoni kuangalia ukaguzi wa lazima wa magari.

“Tulikubaliana kila mkoa uandae maeneo maalumu ya ukaguzi wa magari ya abiria, mizigo na ya wanafunzi. Pia, yakaguliwe ipasavyo kabla ya kutoa stika. Kwa hiyo, leo nimekuja kuangalia utekelezaji wa maagizo hayo,” amesema.

Masauni amesema licha ya wamiliki kutoitikia wito wa kupeleka magari kukaguliwa, wamegundua changamoto nyingine ni baadhi yao na askari kutekeleza majukumu yao kwa mazoea.

Amesema sasa wanatoa mwaka mmoja kwa ukaguzi wa lazima wa magari lakini wanafikiria kupunguza muda huo ili kufanyika mwingine.

“Gari limepewa stika wiki mbili limezuiwa hapa kwa ubovu, inaonekana ni uzembe wa hali ya juu ambao ulifanywa na ofisa wetu ambaye ametoa stika Tabora,” amesema Masauni.

Amesema, “Hatutaliacha hili lipite hivihivi, nilishaagiza nipatiwe taarifa ya kina kuhusu hili, tutalichunguza na tutamchukulia hatua kali yule ambaye ameshiriki kwa namna yoyote ile ili iwe fundisho kwa Wengine.”

Masauni ametoa agizo kwa maofisa wote wanaohusika na ukaguzi wasipotekeleza majukumu yao kwa sababu yoyote ikiwemo rushwa au uzembe watashughulikiwa.

Wakala wa kampuni ya Mtoto Gema mjini Dodoma, Frank Lukumay amesema basi hilo lilikaguliwa Tabora na kupewa stika ya usalama barabarani lakini katika ukaguzi wa kawaida leo wamebaini hapakuwa na mafuta katika mfumo wa usukani.

Mkuu wa Ukaguzi wa Magari na Mtahini katika Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Dodoma, Erasmus Russa amesema tangu ukaguzi uanze wamebaini mabasi ya abiria 62 kuwa mabovu ambayo yamezuiwa kufanya kazi.

Amesema mabasi 10 kati ya hayo yametengenezwa na kurejeshwa kwa ukaguzi na mengine hayajarejeshwa.

Kuhusu magari ya kubeba wanafunzi, amesema ni shule tano pekee zilizoyapeleka kwa ukaguzi.

Maamuzi Ya Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi Ya Rufaa 15 Za Wagombea Wa Udiwani

$
0
0
Kwa kuzingatia Kifungu cha 44(5) cha Sheria ya  Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292 ikisomwa pamoja na Kanuni ya 28(1)(2) ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Uchaguzi wa Madiwani) za mwaka 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa kumi na tano (15) kutoka kwa Wagombea Udiwani wa Halmashauri mbalimbali zenye Uchaguzi Mdogo wa Madiwani.

Kati ya Rufaa hizo kumi na tano (15), Rufaa 9 ziliwasilishwa na Wagombea ambao hawakuridhishwa na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi waliowaengua kutoka katika orodha ya wagombea wa Udiwani katika Kata mbalimbali.

Aidha, Kati ya Rufaa kumi na tano (15), Rufaa sita (6) ziliwasilishwa na Wagombea ambao hawakuridhishwa na maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi ya kuwaruhusu wagombea wenzao kuendelea kugombea udiwani katika Halmashauri mbalimbali.

Kuanzia tarehe 03 hadi 04 Novemba, 2017, Tume kwa mujibu wa Kanuni ya 29 ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Uchaguzi wa Madiwani) za mwaka 2015, ilipokea, ilijadili na kufanya maamuzi ya Rufaa hizo. Yafuatayo ndiyo maamuzi ya Tume:

Kuhusu Rufaa tisa (9) za wagombea waliokata Rufaa kupinga maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi kuwaondoa katika kugombea Udiwani, Tume imekubali Rufaa zao na kuwarejesha katika kugombea udiwani katika Kata husika kuanzia tarehe ya leo 04 Novemba, 2017.

Kuhusu Rufaa sita (6) za wagombea waliokata Rufaa kupinga maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi ya kuwaruhusu wagombea wenzao wa Udiwani kuendelea na Kampeni za Udiwani, Tume imezikataa Rufaa na imekubaliana na Maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi. Hivyo, wagombea sita (6) waendelee kuwa wagombea.

Taarifa rasmi za maamuzi ya Tume zimetumwa kwa Wasimamizi wa Uchaguzi ili wawapatia wahusika maamuzi ya Tume.

Imetolewa leo tarehe 04 Novemba, 2017 na;

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Serikali Yataja Mafanikio ya Rais Magufuli Ndani ya Hii Miaka Miwili Ambayo Ambayo Ametimiza Leo

$
0
0

Utawala wa Rais John Magufuli umebainisha mambo 10 yaliyofanyika katika kipindi cha miaka miwili tangu ulipoingia madarakani.

Rais Magufuli aliapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano Novemba 5,2015 akichukua nafasi iliyoachwa na Rais Jakaya Kikwete aliyehudumu kwa miaka 10 kuanzia 2005-2015.

Akitoa tathimini ya utawala huo leo Jumapili Novemba 5,2017 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbasi amesema ndani ya miaka miwili mengi yamefanyika ambayo ameyagawa katika maeneo 10.

Mosi, Dk Abbasi amesema uwajibikaji wa watumishi wa umma na wananchi kwa jumla umekuwa mkubwa kwa kuwa kumekuwepo na ari ya kufanya kazi.

Pili, amesema ni msukumo ambao Serikali imeweka katika ukusanyaji wa kodi na kinachopatikana kinatumika ipasavyo.

"Zaidi ya Sh236 bilioni ziliokolewa kutoka kwa walipa kodi zilizokuwa zinawalipa watumishi hewa, tumeondoa watumishi wenye vyeti feki. Zaidi ya Sh142 bilioni nazo zimeokolewa kutoka kwa watumishi walioghushi vyeti na zote zimeelekezwa kutatua kero za wananchi," amesema Dk Abbasi.

Tatu, amesema vita ya ufisadi imekuwa kubwa na imesaidia kuleta mageuzi na fedha ambazo zimekuwa zikiokolewa kutokana na vita hiyo zinaelekezwa kwa wananchi kupitia miradi ya maendeleo.

"Kuna Mahakama ya mafisadi imeanzishwa, kesi zake zinaanzia ngazi ya chini na mpaka sasa kuna kesi tatu, mbili ziko Dar es Salaam na moja iko Mtwara na zingine 107 ziko ngazi za chini zinashughulikiwa," amesema.

Nne, amesema, "Serikali inavyopigania rasilimali za Taifa. Vita katika eneo la madini tumefanya kupitia upya mikataba na kubwa tumejitambua kama Taifa na sasa wawekezaji wanajua Tanzania ukienda lazima uheshimu sheria."

Tano, Dk Abbasi amesema uamuzi mgumu lakini makini uliofanywa na Serikali ingawa wapo waliopinga na kueleza haiwezekani, lakini imewezekana.

"Watumishi kutokwenda nje ya nchi, kati ya mwaka 2014/15, Sh216 bilioni zilitumika lakini kwa miaka miwili hii ni Sh25 bilioni pekee ndizo zimetumika. Mimi nimesafiri mara mbili tu," amesema akizungumzia moja ya uamuzi huo.

Amezungumzia azma ya Serikali kuhamia Dodoma akisema imefanikiwa kwa sehemu kubwa na tayari Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa yupo Dodoma. Amesema mwaka huu Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan atahamia na mwakani atakuwa ni Rais Magufuli.

Sita, ametaja ni azma ya nchi kujitegemea akisema wananchi wanafanya kazi ili kutekeleza hilo. Amesema ukusanyaji mapato umeongezeka kutoka Sh9.9 trilioni hadi Sh14 kwa mwaka.

Saba, amesema miradi mikubwa inatekelezwa kama vile ujenzi wa reli ya kisasa na uboreshaji wa shirika la ndege, akisema ununuzi wa ndege umefanyika na  hadi Julai,2018 zitakuwa zimewasili nchini.

Nane, amesema Serikali imeongeza bajeti katika maeneo muhimu ya sekta za afya, elimu bure na miundombinu ya barabara.

"Kumekuwepo na upatikanaji wa dawa katika hospitali zetu ukilinganisha na awali, hii inasaidiwa na mkakati wa Serikali wa kununua dawa moja kwa moja kwa wazalishaji na bajeti ya Wizara ya Afya imeongezeka kutoka Sh30 bilioni hadi Sh261 bilioni, yote haya ni mafanikio ya miaka miwili," amesema.

Tisa, Dk Abbasi amesema Rais Magufuli amekuwa akiahidi na kutekeleza.

Kumi, amesema suala la Tanzania ya viwanda licha ya kueleza ni gumu lakini ni lazima nchi ielekee huko.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Tume ya Uchaguzi yateua madiwani wa viti maalum

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeteua madiwani wanawake wa viti maalum wote wakitoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Walioteuliwa ni Maimuna Mpogole na Rehema Mbetwa wote wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na Anna Mandary wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro.

Wafuasi 12 wa CHADEMA Mahakamani Kesho

$
0
0
Wafuasi 12 wa Chadema waliokamatwa juzi usiku Kwa kosa la kumshambulia mgombea wa udiwani wa kata ya Muriet, Francis Mbise wanatarajia kufikishwa mahakamani kesho.

Wafuasi hao akiwemo Kaimu Katibu wa Chadema wilayani Arusha, Innocent Kisanyage  walishikiliwa juzi na polisi eneo la FFU Kwa Morombo wakidaiwa kumshambulia mgombea huyo sehemu mbalimbali za mwili wake.

Mbali na polisi kuwashikilia wafuasi hao pia gari la matangazo linalotumika katika mikutano mbalimbali ya kampeni lilishikiliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari Leo Novemba 5 Kamanda Polisi mkoani Arusha (RPC), Charles Mkumbo amesema kwamba wafuasi hao wote 12 watafikishwa mahakamani kesho.

Hata hivyo, Kamanda Mkumbo alipoulizwa kuhusu gari la matangazo lililoshikiliwa siku ya tukio hakuweza kukiri au kukataa endapo wameliachia gari hilo na kufafanua kwamba wao hawana shida na gari hilo.

"Sisi tumekamata watu na hatuna shida na gari la matangazo kwani tumekamata watu au gari" amesema Mkumbo

ACT Wazalendo Wakataa Wito wa Polisi

$
0
0
Novemba 2, 2017, Chama cha ACT Wazalendo kilipokea wito toka kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI) wa kuwataka Wajumbe wote wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo wafike Kituo cha Makosa ya Fedha (Financial Crime Unit) kilichopo Maeneo ya Kamata, Kariakoo Jijini Dar es salaaam kwa ajili ya mahojiano siku ya Jumatatu, Novemba 6, 2017.

Ikumbukwe kuwa wito huu unakuja baada ya Kiongozi wa Chama, ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto kuhojiwa katika kituo hicho kwa takribani masaa matatu Oktoba 31, 2017 kutokana na Taarifa ya Chama kuhusu Kusinyaa kwa Uchumi.

Uamuzi huu wa kuihoji Kamati Kuu nzima unashangaza sana kwa sababu mbili:

i. Kamati Kuu ni chombo cha kitaifa cha Chama chenye mamlaka ya kufanya maamuzi kwa mujibu wa katiba ya ACT Wazalendo kama chombo na si kama mjumbe mmoja mmoja.

ii. Jeshi la Polisi halina madaraka ya kushughulikia wala kuingilia maamuzi halali ya vyombo (organs) katika vyama vya siasa.

Tangu tuzindue kampeni zetu katika kata ya Kijichi, Jeshi la Polisi limefanya maamuzi ya kushikilia au kuhitaji kuwahoji viongozi wetu, maamuzi ambayo kwa namna moja au nyingine yanaathiri kampeni zetu. Kwa maamuzi haya ya Jeshi la Polisi, ni wiki sasa inakatika viongozi wetu wakilazimika kusalia jijini Dar es salaam kusubiri kuhojiwa na Polisi.

Uamuzi wetu ni kuwa tutaendelea na kampeni kama kawaida. Polisi watafute namna na wakati sahihi wa kufanya mahojiano na viongozi wetu. Tunawaomba viongozi, wanachama wa ACT Wazalendo na wananchi kwa ujumla kuendelea na kampeni za udiwani wakisisitiza ujumbe wetu wa UCHUMI na HAKI.

Yeremia Kulwa Maganja,
Kaimu Mwenyekiti wa Chama – ACT Wazalendo.
Novemba 5, 2017
Dar es salaam

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0
Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Novemba 6

Waziri Mkuu Ahimiza Lindi Wajipange Maandalizi Ya Baraza La Maulid Kitaifa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wana-Lindi na wana-Ruangwa watumie fursa zilizopo ili kufanikisha maandalizi ya sherehe za Maulid na Baraza la Maulid Kitaifa mwaka huu.

Ametoa wito huo jana (Jumapili, Novemba 5, 2017) wakati akizungumza na viongozi wa dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Lindi na wilaya ya Ruangwa mara baada ya kuwasili wilayani humo kwa ziara ya siku moja.

Waziri Mkuu amesema sherehe hizo zitafanyika Desemba mosi kwa mkesha wa Maulid na kufuatiwa na Baraza la Maulid litakalofanyika Desemba 2, saa 3 asubuhi kwenye viwanja vya shule ya msingi Likangale.

Aliwataka wana-Ruangwa waharakishe kujenga nyumba za kulala wageni na sehemu za kula ili waweze kupokea ugeni huo mkubwa wa kitaifa. “Kila mmoja anayeona hapo kuna fursa, ni lazima aitumie vizuri,” alisisitiza.

“Kwa niaba ya wana-Ruangwa, tunamshukuru Mheshimiwa Mufti na Baraza la Maulamaa kwa kuridhia sherehe hizi zifanyike kitaifa hapa wilayani kwetu. Nitumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote tuungane katika sherehe hizi licha ya tofauti za madhehebu yetu tuliyonayo,” alisema.

Alisema uamuzi huo wa BAKWATA ulitangazwa kwenye Baraza la Maulid lililofanyika Singida, mwaka jana ya kwamba wameamua kuadhimisha sherehe hizo kwenye ngazi ya wilaya badala ya kuwa inafanyika makao makuu kila mwaka.

Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kuwaarifu viongozi hao kwamba maandalizi yanaendelea na kwamba vifaa mbalimbali kama mchele, vitoweo, unga wa ngano, sukari, maji, juisi, mahema, mikeka na mazulia vimekwishapatikana.

“Ninaomba Kamati ya Uhamasishaji iifanye kazi hii kwa kutambua kuwa jambo hili si la kwenu peke yenu, bali linaungwa mkono na Serikali, na hii ni kwa sababu Serikali yenu inafanya kazi kwa karibu sana na viongozi wa dini,” alisema.

Alisema misingi ya amani katika nchi hii imejengwa na mahubiri ya viongozi wa dini.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Uhamasishaji, Sheikh Ali Mohammed Mtopa alisema Ruagwa iko tayari na imepokea wito huo wa kitaifa. “Tunakuhakikishia wewe Mheshimiwa Waziri Mkuu pamoja na wawakilishi wa Mufti waliopo hapa kwamba tumepokea hiyo heshima,” alisema.

Naye Mkurugenzi wa Itifaki kutoka BAKWATA Makao Makuu na Msimamizi wa Malidi za Kitaifa, Sheikh Mohammad Nassir ambaye alisema wana Ruangwa an wana Lindi wanalo jukumu la kuhamasisha watu washiriki sherehe hizo.

“Hamasa haitatoka Morogoro au Dar es Salaam bali hapahapa Lindi. Tunataraji watu wasiopungua 10,000 watahudhuria sherehe hizi za Maulid kutoka wilaya zote za mkoa wa Lindi na hii ni mbali wawakilishi kutoka kila mkoa wapatao 100 -150,” alisema.

Waziri Mkuu anatembelea vijiji vya jimboni mwake ambako atahutubia wananchi.

Polisi Yaua Majambazi Matano Kahama

$
0
0
Watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi waliokuwa doria.

Taarifa ya polisi imesema watu hao waliuawa walipojaribu kuwavamia wafanyabiashara wa madini katika machimbo ya Mwime nje kidogo ya Mji wa Kahama.

Watuhumiwa pia wanadaiwa kuhusika na mauaji ya viongozi wa Serikali ya Mtaa, polisi na wanasiasa mkoani Pwani katika wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule alisema jana kwamba watu hao walijeruhiwa usiku wa kuamkia jana katika eneo la Mwanva katika Halmashauri ya Mji wa Kahama walipokabiliana ana kwa ana na polisi waliofika eneo hilo.

Kamanda Haule alisema baada ya polisi kufika kwenye eneo la tukio, watu hao walijificha kwenye mashimo yanayotumiwa kuchimba mchanga na kuanza kurushiana risasi na askari.

Alisema katika mapambano hayo, watuhumiwa walizidiwa nguvu na kujeruhiwa na walifariki dunia walipokuwa njiani kupelekwa hospitali.

Alisema katika eneo la tukio, polisi walikuta bunduki moja aina ya SMG na risasi 25 zilizokuwa kwenye magazini. Pia walikuta mabomu mawili ya kutupa kwa mkono.

Katika uchunguzi wa awali, Kamanda Haule alidai kwamba watu hao ni miongoni mwa waliokuwa wakifanya uhalifu mkoani Pwani ambao walikimbia huko baada ya kudhibitiwa.

Kamanda Haule aliwataka wananchi kufika katika Hospitali ya Mji wa Kahama kuwatambua marehemu kauli ambayo pia ilitolewa na Mganga Mkuu wa Mji wa Kahama, Dk David Lucas.

Kauli ya Msemaji Mkuu wa Serikali Kuhusu Ndege za Bombardier

$
0
0
Serikali imezungumzia ujio wa ndege ya tatu iliyonunuliwa na Serikali aina ya Bombardier Q400 ambayo ilitarajiwa kuwasili nchini Julai mwaka huu ikisema bado inafanyiwa vipimo kadhaa ikiwamo ukaguzi na kwamba ndege zote nne ambazo iliahidi zitakuwa zimewasili nchini ifikapo Julai mwakani.

Ndege hiyo ni miongoni mwa ambazo Serikali iliahidi kuzinunua ikiwa ni mikakati ya kulifufua Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL). 

Mpaka sasa, ndege mbili aina Bombardier zenye uwezo wa kubeba abiria 75 zimeshanunuliwa na zinaendelea kutoa huduma.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu miaka miwili ya utawala wa Rais Magufuli ulioingia madarakani Novemba 5, 2015, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbasi alisema itakapokamilika itakuja nchini na kwamba kufikia Juni mwakani zote zitakuwa zimewasili isipokuwa moja itakayokuja Julai.

Alisema hayo baada ya kuulizwa na mwandishi  kuhusu ujio wa ndege hiyo iliyokuwa iwasili miezi minne iliyopita.

“Tunanunua ndege nne… kwa sababu moja ya malalamiko makubwa sana huko nyuma ilikuwa ni lawama kuhusu shirika letu la ndege kwamba huwezi kuwa na nchi yenye vivutio vyote hivi vya utalii lakini huna shirika imara la ndege.

“Kwa hiyo tumeanza hizo juhudi na mimi nasema kufikia mwakani ndege zote za awamu hii tulizoziagiza zitakuja nchini na ndege hiyo uliyoitaja itakuja nchini, iko katika majaribio si kama baiskeli unaweza kufunga tairi na kuanza kutumia,” alisema Dk Abbasi.

Alisema, “Kuna vipimo, kuna viwango vya kimataifa kufikiwa, ila ninachosema kwa sasa inafanyiwa ukaguzi itakapokamilika itakuja nchini ila kufikia Juni mwakani zile ndege zote. Ile kubwa Boeing 787 yenye uwezo wa kubeba abiria 262 itakuwa imewasili ifikapo Julai mwakani.”

Kuchelewa kuwasili kwa ndege hiyo kuliibua mjadala mkubwa baada ya Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu Agosti 18 kuitisha mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kudai kwamba ndege hiyo imekamatwa na inaweza kupigwa mnada kwa deni inayodaiwa na kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd ya Montreal, Canada.

Alisema kampuni hiyo iliishtaki Serikali katika Mahakama ya kimataifa, ikipinga kuvunjiwa mkataba wa ujenzi wa Barabara ya Wazo Hill – Bagamoyo, jijini Dar es Salaam na ilitaka kulipwa fidia ya Dola 38 milioni za Marekani, sawa na zaidi ya Sh87 bilioni.

Hoja hiyo ya Lissu iliibua mjadala mkali sehemu mbalimbali na kumfanya kuitwa Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kutoa maelezo ya alipozipata taarifa hizo.

Serikali Agosti 19, ilifanya mkutano na waandishi wa habari kukanusha taarifa hizo lakini ilikiri kuwapo kwa mgogoro.

Aliyekuwa kaimu mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Zamaradi Kawawa aliwaambia waandishi wa habari kwamba kuna mgogoro kuhusu ndege hiyo ambao kimsingi umetengenezwa na Watanzania ambao kwa bahati mbaya wameweka masilahi ya kisiasa na ya binafsi mbele zaidi ya masilahi ya Taifa.

Zamaradi alisema Serikali ilikuwa imeanza majadiliano ya kidiplomasia kulimaliza sula hilo na kuwataka Watanzania kuwa watulivu wakati suala hilo linashughulikiwa.

Serikali Yatangaza Kuongeza Mihahara ya Wafanyakazi na Kuwapandisha Madaraja Mwezi Huu

$
0
0
Serikali imesema itaongeza mishahara ya watumishi wake mwishoni mwa mwezi huu, sambamba na kuwapandisha madaraja kuanzia mwezi huu pia.

Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji wa Serikali, Dk. Hassan Abbasi, ndiye aliyetangaza neema hiyo kwa watumishi jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akieleza mafaniko ya serikali ya awamu ya tano kwa kipindi chake cha miaka miwili.

Dk. Abbasi alisema mwishoni mwa mwezi huu, serikali itawaongeza mishahara watumishi wake pamoja na kuwapandisha madaraja.

"Mwezi huu tutawaongezea mishahara wafanyakazi na watumishi wa serikali watapanda madaraja na watalipwa stahiki zao," alisema Dk. Abbasi.

Kupandishwa mishahara na madaraja kwa watumishi wa umma kulisitishwa na serikali Machi mwaka jana ili kupisha uhakiki wa watumishi hewa na wafanyakazi wenye vyeti feki.

Oktoba 14, mwaka huu visiwani Zanzibar, wakati wa kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya miaka 18 ya kifo cha Mwalimu Nyerere, Rais John Magufuli alisema serikali yake itawapandisha vyeo na kurekebisha mishahara ya watumishi 59,967 baada ya kumalizika kwa uhakiki wa vyeti feki na watumishi hewa.

Rais Magufuli katika hotuba hiyo siku hiyo, alitolea mfano uzalendo wa Baba wa Taifa ambaye wakati wa uhai wake aliamua kupunguza mshahara wake na kukataa kuongeza mishahara ya watumishi wachache huku walio wengi wakipata shida.

“Ninaposema hivyo simaanishi kuwa mishahara isiongezwe. La hasha! Ninachosema ni kwamba kabla ya kudai nyongeza ya mishahara ni lazima kwanza kufahamu uwezo wa serikali, lakini pia tutambue kuwa kuna Watanzania wenzetu wengi tu wanaohitaji kuboreshewa huduma," alisema.

Rais Magufuli aliongeza: "Baada ya kukamilisha zoezi la uhakiki wa watumishi hewa na vyeti feki, Serikali imewapandisha vyeo na kuwarekebishia mishahara watumishi 59,967 ambapo kiasi cha Sh. bilioni 159.33 zimetengwa kwenye bajeti ya mwaka huu na mishahara mipya itaanza kulipwa kuanzia mwaka huu."

Watu 26 wauawa kwa kupigwa risasi kanisani

$
0
0
Watu 26 wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwenye silaha aliyewafyatulia risasi waumini katika kanisa moja lililopo jimbo la Texas nchini Marekani wakati wa ibada iliyofanyika jumapili.

Shambulio hilo lilitekelezwa katika kanisa la First Baptist Church katika mji wa Sutherland Springs, mji mdogo katika wilaya ya Wilson, Texas.

Mshambuliaji, ambaye anadaiwa kuuawa baada ya kutekeleza mauaji hayo, aliingia kanisani na kuanza kuwafyatulia risasi watu mwendo wa saa tano unusu asubuhi (17:30 GMT).

Gavana Greg Abbott amethibitisha idadi ya waliofariki na kusema ndicho kisa kibaya zaidi cha mauaji ya kutekelezwa kwa kutumia bunduki katika historia ya texas.

“Ni majonzi makubwa kwa wafiwa hili ni tukio ambalo halivumiliki ambalo limetokea, nawapa pole sana kwa wafiwa na huu ni msiba wa taifa, hivyo tunaungana kwa pamoja katika majonzi haya,”amesema Gavana Greg
Mkuu wa idara ya usalama wa Texas Freeman Martin amesema waathiriwa walikuwa na umri wa kati ya miaka 5 na 72.

Maafisa wamesema watu zaidi ya 20 pia walijeruhiwa na wamelazwa hospitalini.

Bw Martin amesema mshukiwa ni mwanamume mzungu wa umri wa miaka 20 ambaye alikuwa amevalia mavazi meusi na fulana ya kujikinga dhidi ya risasi pamoja na kuwa na bunduki yenye uwezo mkubwa.

Alianza kufyatua risasi nje ya kanisa kabla ya kuingia ndani na kuendelea kufyatulia watu risasi.

Raia mmoja  alitwaa bunduki yake na kuanza kumfyatulia  risasi mshukiwa kabla ya mshukiwa huyo kutoroka akitumia gari.

Raia huyo alimwandama mshukiwa huyo ambaye aliendesha gari lake na kisha kuliangusha katika barabara wilaya ya Guadalupe.

Polisi waelimpata mshukiwa akiwa amefariki ndani ya gari lake.Haijabainika iwapo alifariki kutokana na majeraha ya risasi aliyojisababishia mwenyewe au kutokana na mejaraha kutoka kwa raia huyo

Mshukiwa ametajwa kuwa Devin P Kelley, 26, kwa mujibu wa vyombo vya jhabari Marekani, lakini Polisi bado hawajathibitisha jina lake.

Mhubiri wa kanisa hilo la First Baptist Frank Pomeroy, ameiambia ABC News kwamba binti yake wa miaka 14 kwa jina Annabelle ni miongoni mwa waliouawa.

Sutherland Springs ni mtaa mdogo wenye wakazi wasiozidi elfu moja ambao hupatikana kilomita 50 hivi kusini mashariki mwa mji wa San Antonio mjini Texas.

Maafisa wa FBI kutoka San Antonio wametumwa kufanya uchunguzi lakini kufikia sasa lengo la mshambuliaji halijabainika.

FBI pia wamesema mshambuliaji alikuwa mmoja pekee, lakini bado wanachunguza uwezekano wa iwapo kuna mtu mwingine aliyehusika.

Rais Donald Trump, ambaye yumo ziarani Asia, ameshutumu kisa hicho na kusema ni “kitendo cha uovu” na kusema kwamba Wamarekani watajikwamua na kusalia na umoja.

“Na kupitia kwa machozi na kupitia huzuni hii, tunasalia imara, imara zaidi,” ameandika  Rais Trump

Dawa ya Asili ya Tatizo Sugu la Nguvu za Kiume.

$
0
0
MAPRO POWER NO 3; NI DAWA YA NGUVU ZA KIUME KWA WANAOSHINDWA KURUDIA TENDO NA KUKOJOA HARAKA :

Tatizo LA kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na matatizo yafuatayo;
 1 kupiga punyeto au kujichua
 2 kufanyiwa tohara ukubwani 
3 utumiaji usio na mpangilio madawa ya ospitalini au ya kizungu 
4 usongo wa mawazo 
5 magonjwa ya moyo, PRESHA, kisukari, kuvimba kwa korodoni, vidonda vya tumbo, tumbo kujaa gesi au kuunguruma, unene kupita kiasi nk

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha kutofanyika vema kwa tendo la  ndoa na kutojiamini na hivyo husababisa ndoa au mahusiano mengi kuvunjika 

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI 
1 KUWAHI KUJOA HALAKA 
2. KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA 
3. KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA 
4 UUME KUSIMAMA UKIWA LEGELEGE NK 

TUMIA MANGUNGU MIX kwa wale wenye uume mdogo,na mwembamba utapata saiz upendayo urefu inchi 1-8 na unene sentimita 1-5. Dawa hizi ni za mitishamba na HAZINA MADHARA YOYOTE 

KUNA DAWA ZA KUMRUDISHA mpenzi kwa mda mfupi tu, kupata kazi haraka, kurudishwa kazini.Je unakesi au umedhurumiwa au unadaiwa 

JE HUJAPATA MTOTO, MPENZI WAKO HAKUTIMIZII MAITAJI YAKO>>???? NJOO SASA UJACHELEWA 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU NYUMA YA HOSPITALI 

SIMU NA 0743362017,  0686980006 -DR AGU 

KAMA HUNA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UTALETEWA POPOTE

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

$
0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280  AU 0713293988

NBS Yatoa Onyo Matumizi Mabaya ya Takwimu za Taifa

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk Albina Chuwa amesema takwimu za Taifa lazima ziheshimiwe na si kila mtu anastahili kuzitoa.

Dk Chuwa alisema hayo jana katika kipindi maalumu cha miaka miwili ya Rais John Magufuli kilichorushwa na kituo cha televisheni cha Azam.

Alisema kazi ya kutangaza takwimu katika nchi zilizoendelea hufanywa na wataalamu na si kila mtu anapojisikia.

“Wenzetu wa Marekani, si rahisi kwa mtu yeyote kutangaza takwimu za Taifa au hata kumkuta akirandaranda maeneo zilipo ofisi za Taifa za takwimu,” alisema Dk Chuwa.

“Hata sisi Tanzania, inawezekana kazi ya kusambaza takwimu ikafanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu pekee kwa sababu wataalamu tunao wa kutosha,” alisema.

Kauli ya Dk Chuwa imetolewa ikiwa ni siku chache baada ya Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kukosoa takwimu za Aprili na Juni zilizotolewa na Serikali kwamba hazikuwa sahihi.

Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini alisema takwimu za Serikali kuhusu kasi ya ukuaji wa uchumi katika robo ya pili ya mwaka ni tofauti na ukokotozi kwa kanuni za kiuchumi.

“Hatujatafuta takwimu nyingine, hizi ni taarifa zilezile zilizotolewa na BoT (Benki Kuu ya Tanzania)na NBS lakini ukikokotoa utaona uchumi unasinyaa badala ya kukua na hali ikiendelea hivi hadi Juni mwakani kutakuwa hakuna uchumi mwakani,” alikaririwa Zitto.

Katika kipindi hicho maalumu cha miaka miwili ya Rais John Magufuli, Kamishna wa Mapato ya Ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Elijah Mwandumbya alisema katika mwaka wa fedha 2016/17, Serikali imesajili biashara mpya 289,000.

Alisema jumla ya biashara 20,000 zilifungwa kutokana na kutoendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kulipa kodi stahiki na si kutokana na mazingira magumu ya biashara kama inavyodaiwa na baadhi ya watu.

“Tulisajili biashara nyingi 2016/17, hii ni kutokana na jitihada ya Serikali katika kuhakikisha inaboresha mazingira ya uwekezaji nchini,” alisema Mwandubya.

Alisema katika jitihada za kuendelea kuwavutia wawekezaji wengi zaidi, TRA tangu Novemba Mosi ilianzisha utaratibu wa msamaha wa kodi kwa miezi mitatu kwa biashara mpya.

Alisema jitihada hizo zinalenga kuongeza idadi ya walipa kodi ambao kwa sasa ni milioni 2.5 kati ya vijana 21 milioni wenye nguvu za kufanya kazi, kwa mujibu wa NBS

Kigwangalla amtumbua Mkurugenzi wa wanyamapori wa hifadhi ya Serengeti

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Hamis Kigwangalla amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa wanyamapori wa hifadhi ya Serengeti, kwa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Dr. Kigwangalla ambae alizungumza kutokea ndani ya Hifadhi ya Serengeti, amefanya ziara ya kushtukiza na kuuzunguka mpaka wote wa mashariki hifadhi ya Serengeti inakopakana na Pori Tengefu la Loliondo.

Pori la Loliondo limekua na mgogoro wa muda mrefu ambapo Dkt. Kigwangalla ameagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Gaudence Milanzi kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Wanyama Pori, Profesa Alexander Songorwa mara moja ambapo ametaja sababu  3 za kumsimamisha kazi:

1. Tuhuma za kuhujumu Serikali kwa kutoa taarifa za siri za Serikali kwa vyombo vya habari na kutunga taarifa zenye kulenga kuchochea mgogoro wa Loliondo. (Jana usiku zilizunguka taarifa kwamba Dkt. Kigwangalla yupo na msafara wa gari mbili binafsi (private) njiani kwenda Loliondo na kwamba atalala Hotel ya Acacia iliyopo Karatu, leo msafara wake umekuwa ukifuatiliwa na watu wasiojulikana ambapo kila hatua aliyofikia ilikuwa ikiripotiwa kwenye mtandao, hali ambayo imetishia usalama wa kiongozi huyo.

2. Waziri Kigwangalla amesema Mkurugenzi huyo amekuwa akifanya kazi kwa maelekezo ya muwekezaji wa Kampuni ya Utalii wa Uwindaji ya OBC (maarufu kama kampuni ya kiwindaji ya Wafalme wa Dubai). Kampuni hii imekuwa ikihusishwa na kashfa kwa miaka zaidi ya 26.

3. Aidha Prof. Songorwa amekuwa akihusishwa na kashfa ya kushiriki kugawa vitalu vya uwindaji kinyume cha sheria ambapo wiki mbili zilizopita Waziri Kigwangalla alisitisha mchakato wa kuhuisha leseni za uwindaji uliofanywa na Prof. Jumanne Maghembe, aliyekuwa waziri wa Maliasili na Utalii kwa tuhuma za rushwa na kukosekana uwazi kwenye mchakato huo ambapo sasa ameelekeza mchakato wa kugawa vitalu ufanywe kwa njia ya mnada.

Pia, ameelekeza TAKUKURU kuanza kuchunguza kashfa za rushwa dhidi ya kampuni ya OBC na waanze kwa kumhoji Mollel (Mkurugenzi wa OBC) ambae amekuwa akijigamba kila kona kuwa “nilimhonga Maghembe dola 200,000, huyu kijana Kigwangalla dola 100,000 inamtosha” 

Dkt. Kigwangalla amesisitiza haongeki na ndiyo maana jitihada za Mollel kumuona zimekwama na hata alipotumiwa ujumbe kupitia watu wake wa karibu alikataa.

Ili kuimarisha ulinzi wa mpaka wa Mashariki mwa Serengeti, Waziri Kigwangalla amewaondoa Askari wote wa kituo cha Geti la Kleins kwa kuwa wamekuwa wakitumika na mwekezaji huyo ambaye ana uhusiano wa Karibu na Prof. Songorwa na alikuwa na uhusiano ya karibu na Prof. Maghembe, Lazaro Nyalandu, balozi Kagasheki na Mawaziri wa Maliasili na Utalii wa zamani.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images