Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Dokta. Mungwa Kabili Aelezea Kwanini Watu Wengi Wanakimbilia Kufunga Ndoa Na Majini

$
0
0
DOKTA. MUNGWA  KABILI AELEZEA  KWANINI  WATU WENGI  WANAKIMBILIA  KUFUNGA  NDOA  NA  MAJINI  PAMOJA   MAMBO  YA  KUFUATA  KWA  MTU  ANAE  TAKA  KUFUNGA  NDOA  NA  JINI.

Akifanya  mahojiano  na  kituo kimoja  cha  redio  jijini  Mombasa  nchini  Kenya, Tabibu  wa Jadi  kutoka nchini   Tanzania, ajulikanae  kama  Mungwa  Kabili  almaarufu  kama  mungu  wa  kabili  ameelezea  sababu  kwanini  watu  wengi  siku  hizi  wanakimbilia  kufunga  ndoa  na majini  tofauti  na  ilivyo  kuwa  miaka  ya  nyuma  ambapo  watu  walikuwa  wananunua  majini  kwa  ajili  ya  kushirikiana  nayo  katika  mambo  y mbalimbali.

“ Miaka ya  nyuma , watu  walio  kuwa  wanataka  majini  walikuwa  wanakwenda  kuwanunua  moja  kwa  moja.  Lakini  siku  hizi  hali  ni  tofauti  kidogo.  Watu  wanao  taka  msaada  wa  majini, hutumia  njia ya  kufunga nao  ndoa. Hii  ni  kwa sababu njia  hii  inaonekana  kuwa  rahisi na  yenye  masharti  nafuu  ikilinganishwa  na  njia  ya  kuwanunua. “

Wimbi  kubwa  la  watu  wanao  kimbilia  kufunga  ndoa  na  majini  hufanya  hivyo  kwa  sababu  kuu zifuatazo ;
1.    Kutafuta  ulinzi  binafsi  wa  fedha  mali  na  mwili.. Hapa  mfanya  biashara  mwenye  mafanikio  kwa  kuhofia  mali  zake kupukutika  kwa  kuchezewa  na  wachawi  au  kufanyiwa  hila  na wabaya  wake, huamua  kuoa  jini  ili  amsaidie  kulinda  mali na  fedha  zake.

2.    Wengine  hukimbilia  kufunga  ndoa  na  majini  kwa  sababu  ya  kutaka  fedha , mali na utajiri : Hapa  mtu  anae  tafuta  mali  na  utajiri  huchagua  njia ya  kufunga ndoa  na  jini  anae  weza  kumsaidia  utajiri .  Jini  huyu  humsaidia  muhusika kupata  utajiri kwa  njia  ya  kumvutia  wateja  kwenye biashara , kumkutanisha  na watu wenye  uwezo wa kumsaidia nakadhalika.

3.    Wengine  hufunga  ndoa  na  majini  kwa  sababu  ya  kutafuta  msaada  katika  kazi wanazo  zifanya  mfano,   baadhi  ya  matabibu  wa  jadi  na  watabiri  hufunga  ndoa  na  majini  wanao  toka  katika  koo  za  kiganga  ili wawasaidie   katika  kazi  ya  tiba. Wachimbaji  madini, wafanyabiashara  kadhalika

Kutafuta ulinzi,  mali , fedha  na  utajiri,  au kulinda  mali, fedha  na  utajiri  kwa  njia  ya   kufunga  ndoa  na majini  kunakimbiliwa  na  watu  wengi  kwa  sababu  masharti yake yanaonekana  kuwa  nafuu  kuliko  kutumia  njia  ya  kununua  majini  moja  kwa  moja  kwa  sababu  njia  ya  kununua  majini  moja  kwa  moja   ina  masharti  mengi  mazito  na  gharama  za  kuwatunza  majini  hao  wa  kununua  ni  kubwa  sana.
 
Ndio  maana  watu  wengi  huamua  kufunga  ndoa  na  majini.
 
Hata  hivyo  suala  la binadamu   kufunga  ndoa  na majini  halijaanza jana  wala  juzi  na  halitoweza  kuisha  kesho  wala   kesho  kutwa.
 
Jambo  hili  limeanza  tangu  nyakati  za  Biblia.  Mfano  mzuri  tunaupata  kwa  nabii  Suleyman  ambae  miongoni  mwa  wake  na  masuria  wake  walikuwa  majini  na  walikuwa  na  mchango  mkubwa  sana  katika  hekima  na  utajiri  wake.
 
Akijibu  swali  kuhusu  namna  binadamu   anavyo  weza  kufunga  ndoa  na jinni, Dokta  Mungwa  alisema  “   Zipo  njia  nyingi  sana  zinazo  tumika  katika  ndoa  baina  ya  binadamu  na  jinni.  Moja  wapo kati  ya  njia  zinazo  tumika  ni pamoja  na  hii  ya  kutumia  MAFUTA  YA  MAJINI  au  MAFUTA  YA  BAHARINI …
 
Mtu  anae  taka  kufunga  ndoa  na  jini  hutakiwa  kuoga  kwa  dawa  maalumu  na  kujifukiza  mafusho  maalumu.  Baada  ya  hapo  atatakiwa  kukaa  kwenye  chumba  cha  peke  yake   kwa  muda  wa  siku  saba    huku  akila  mara  mbili  kwa  siku   chakula  cha  kwanza  anatakiwa  kula  saa  moja   usiku na  mlo  unao fuata  atatakiwa  kuula  saa  sita  usiku.

Katika  kipindi  chote  hicho hatakiwi  kuongea  wala  kuwasiliana  na  mtu  yoyote  yule   na  atatakiwa  kuwa  anajipaka  mafuta   ya  majini au  mafuta  ya   baharini  kila  anapo  maliza  kula  chakula.
 
Hayo  mafuta  ya majini  au  mafuta  ya  baharini  anatakiwa  kuwa  anajipaka  mwili  mzima na  akishamaliza  kujipaka  anakaa  kwa  muda  wa  robo  saa    anajikwangua  mwili  mzima  ili kupata  uchafu  wa  mwili wake  ulio changamana  na  mafuta  ya  majini.  Huu  uchafu  anakuwa  ana  uhifadhi  kwenye  chombo  maalumu.
 
Baada  ya  siku saba, siku  itakayo  fuata  atatakiwa  kwenda  baharini  saa sita  kamili  mchana  akiwa  na huo  uchafu   alio  jikwangua  na  ku uhifadhi  kwa  muda  wa  siku  saba , mafuta  ya baharini, pete  mbili  za  baharini, kuku mweupe  pamoja  na  vitu  vingine  vya  kiganga   ambavyo si lazima  kuviweka  wazi  hapa redioni.
 
Akifika  baharini  atatakiwa  kukaa  baharini  kuanzia  saa  sita   kamili   za  mchana  hadi  saa  saba  kamili   za  usiku.  Ikifika  saa  saba  kamili  za  usiku  atatakiwa  kutoka  ndani  ya  bahari  na  kufuata  maelekezo  mengine kuhusiana  na  hizo  pete  mbili  za  baharini, mafuta  ya  baharini  na  vitu  vingine.
 
Akiwa  ndani  au  nje  ya  bahari  anaweza  kukutana  na  vitu   ambavyo  hajawahi  kuviona  katika  maisha  yake ,lakini  hatakiwi  kuogopa  kwa  sababu  hayo ndio  maisha  ambayo  anakuwa ameyachagua.
 
Zipo  njia  nyingi  sana  lakini  kwa  leo  nadhani  njia  hii  inatosha.
 
Unapokuwa  katika  ndoa  na  jinni  hakikisha  unakuwa  msafi  sana  na  unafuata  masharti yote  atakayo kupa  vinginevyo  inavyo  weza  kukuletea  madhara  makubwa  na  mambo  yanaweza  kugeuka  nje  ndani.

Nilijaribu  kutafuta  namba  anayo  tumia  Dokta Mungwa  Kabili  pindi  awapo  nchini  Kenya lakini  sikuweza  kuipata.
 Hata  hivyo  anapokuwa  nchini  Tanzania, Dokta  Mungwa  Kabili  huwa  anapatikana  kwa  simu  namba  0744  000  473.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamoi ya Novemba 4

Ufafanuzi wa Benki Kuu ( BOT ) kuhusu kushuka thamani fedha ya Tanzania dhidi ya Dola

Mahakama Yaamuru Mkuu wa Wilaya ya Misenyi Akamatwe

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba imetoa hati ya kumkamata na kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Misenyi, Dennis Mwira kwa kosa la kupuuza amri ya Mahakama.

Amri hiyo imetolewa Novemba 2 na Hakimu Mkazi, Samuel Maweda baada ya mkuu huyo wa wilaya kukaidi amri ya kuachia ng'ombe 541 wa wafugaji wa kitongoji cha Rwenkuba wilayani humo waliokamatwa isivyo halali.

Septemba 22, mahakama hiyo ilitoa amri ya ng'ombe hao kuachiwa baada ya wananchi kufungua shauri la madai namba 21/2017 kupinga ng'ombe wao kukamatwa katika eneo lenye mgogoro unaoendelea katika mahakama kuu kitengo cha ardhi kwa shauri namba 14/2017.

 Wakili wa wananchi143 waliofungua kesi mahakamani, Danstan Mutagahywa  Alhamisi alisema baada ya Mkuu wa Wilaya na mdaiwa mwenzake, Ladislaus Martin ambaye ni Meneja wa Ranchi ya Misenyi baada ya kukaidi kutekeleza amri hiyo, waliwasilisha ombi la watu hao kukamatwa kwa kudharau amri ya Mahakama.

"Siyo tu wamekaidi kutekeleza amri halali ya Mahakama, DC na mwenzake pia wamegoma kupokea hati za wito na kufikia hatua ya kumkamata na kumweka mahabusu dalali wa Mahakama aliyepewa amri ya kutekeleza zoezi la kurejesha ng'ombe wanaoshikiliwa isivyo halali," alisema Mutagahywa.

Alisema amri hiyo ilitarajiwa kufikishwa ofisini kwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa (RCO), wa Kagera jana  Ijumaa Novemba 3.

Alimtaja dalali wa Mahakama aliyekamatwa na kuswekwa mahabusu kwa amri ya DC Oktoba 31, kuwa ni Ignatus Bashemela aliyeachiwa huru baada ya yeye kuwasilisha suala hilo ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera akionyesha nyaraka halali za Mahakama kuhusu jambo hilo.

Wakati shauri la madai dhidi ya DC na mwenzake Ladislaus likitarajiwa kusikilizwa mara watakapokamatwa na kufikishwa mbele ya mahakama, ile ya ardhi ambayo bado inatajwa mbele ya Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba, Seif Musa, itatajwa tena Machi 8, 2018.

Kauli ya Mkuu wa Wilaya
Akizungumza kwa njia ya simu mkuu huyo wa wilaya amesema aliagiza kukamatwa kwa dalali wa wafugaji wa ng'ombe kutoka Uganda ambaye alifika bila kutoa taarifa yoyote kwa mamlaka za Serikali.

Alisema kuwa mtu huyo alikwenda moja kwa moja katika eneo wanapotunzwa ng'ombe zaidi ya  80 walioingizwa nchini kutoka Uganda bila kufuata utaratibu.

"Hilo suala la dalali wa Mahakama nalisikia kwako niliyeagiza akamatwe ni dalali wa wafugaji wa ng'ombe kutoka Uganda ambao tumewakamata alifika bila kufuata taratibu nikaagiza akamatwe,"amesisitiza Kanali Mwila.

Ameongeza kuwa alikamata ng'ombe zaidi ya 400 na wamiliki wake kutoka Uganda walilipa faini na kuwarudisha kwao na kubaki ng'ombe 88 aliosema alipata taarifa kuwa wanataka kuchukuliwa kwa nguvu na watu ambao hata hawakupita kwenye ofisi yake.

Pia alisema hana taarifa yoyote ya kuwepo kwa hati ya Mahakama dhidi yake na kuwa anaendelea kuwasaka raia wawili wanaodaiwa kushirikiana na wafugaji wa Uganda kuingiza mifugo hiyo bila utaratibu.

Credit: Mwananchi

TRA yakifunga kiwanda cha saruji Kilwa

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Lindi imekifunga Kiwanda cha Saruji cha Kilwa kinachomilikiwa na Kampuni ya Lee Bulding Material Limited kwa madai ya kushindwa kulipa kodi ya Sh89 milioni.

Hata hivyo, mwakilishi wa kampuni hiyo, Ismail Ali alikiri kuwapo kwa deni hilo, akidai kuwa kiwanda kilisimama kwa miezi mitano kutokana na kukosa malighafi hali iliyosababisha wamiliki kuzifuata nje ya nchi.

Meneja wa TRA Mkoa wa Lindi, John Jofrey alisema wafanyabiashara hao wamekaidi agizo la Serikali la kutakiwa kulipa kodi ya mali, ukaguzi zuio, vat na uendelezaji ufundi stadi.

“Tumewapa maagizo, tumewahamasisha lakini bado wamekaidi agizo letu, uamuzi tuliochukua ni kufunga kiwanda kupitia wakala,” alisema Jofrey.

Alisema lengo la kufikia hatua hiyo ni kuhimiza wafanyabiashara kulipa kodi stahiki kwa wakati badala ya kusukumana.

Dalali wa TRA kutoka Mchinga Auction, Doment Likome alisema wamepata idhini ya kuzuia mali za kiwanda hicho hadi watakapo lipa deni hilo kwa muda wa siku saba.

Alisema wakishindwa kulipa, mali zilizopo kiwandani zitapigwa mnada.

HABARI MBAYA: Kijana Afariki Katika Ajali Mbaya ya Gari Wakati Akiwahi Mahakamani Kusikiliza Hukumu ya Mama Yake

$
0
0
Mahakama  ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Arusha/ Arumeru imewatia hatiani waliokuwa wafanyakazi 6 wa Benki ya Exim tawi la Arusha na kuwatupa jela jumla ya miaka 27.

Watuhumiwa hao walishitakiwa kwa makosa 318, ikiwa ni pamoja na kughushi, kuharibu nyaraka, utakatishaji fedha haramu na wizi wa dola za kimarekani 521,000 mali ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA).

Wakati hukumu inatolewa, mmoja wa waliotiwa hatiani amempoteza mtoto katika ajali ya gari, wakati kijana huyo akisafiri kuwahi kusikiliza hukumu ya mama yake. 

Kijana huyo ni mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), David Chijana

Akisoma hukumu hiyo kwa zaidi ya saa 5 kuanzia saa 4.30 asubuhi hadi saa 9.07 alasiri, Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo Deusdedit Kamugisha aliwataja aliowatia hatiani ni pamoja na mshitakiwa namba mbili Liliani Mgeye (33), Daudi Nhosha (39), Doroth Chijana (50), Genes Massawe (32), Christopher Lyimo (34) na Deusdedit Chacha (35).

Aidha, mahakama hiyo imewaachia huru watuhumiwa saba kwa kile ilichoeleza kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha makosa yao. 

Hakimu Kamugisha aliwataja walioachiwa huru na mahakama baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha katika ushahidi wao kuwa watuhumiwa hao walitenda makosa hayo kuwa ni pamoja na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo ambaye alikuwa Meneja Mkuu wa Benki ya Exim (T) Ltd tawi la Arusha, Bimel Gondaili. Wengine ni pamoja na Livingstone Mwakihaba (37) maarufu kwa jina la Stone, Joyce Kimaro (36), Evance Kashebo (40), Tutufye Agrey (32), Joseph Neki(30) na mfanyabiashara Gervas Lubuva(54).

Adhabu 
Hakimu Kamugisha alisema katika hukumu yake kwa mujibu wa sheria ya utakatishaji fedha haramu, kifungo cha chini ni miaka mitano na kuharibu nyaraka na kughushi ni miaka 14. 

Hata hivyo kwa mujibu wa hukumu iliyosomwa, mtuhumiwa Mgeye, Chijana na Chacha ambao wamekutwa na makosa yote mawili, watatumikia kifungo cha miaka mitano jela bila ya faini kila mmoja.

Aidha alisema watuhumiwa wengine waliokutwa na makosa ya kughushi nyaraka na kuharibu nyaraka ambao ni pamoja na Nhosha, Massawe na Lyimo wamehukumiwa kwenda jela miaka minne kila mmoja kwa kosa hilo. 

Awali kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo, Mwendesha mashitaka wa serikali, Felix Kwetukia aliitaka mahakama kutoa adhabu kali dhidi ya waliotiwa hatiani kwa kuitaka mahakama kufuata sheria ya kifungo cha miaka mitano jela ama faini ya kiwango cha chini cha shilingi milioni 100 kila mmoja.

Kwetukia alisema serikali imeibiwa fedha za umma zilizotakiwa kufanya maendeleo kwa jamii, lakini wahusika walifanya wizi na kujitajirisha wao bila ya woga hivyo adhabu kali inahitajika. 

Kutokana na hoja hiyo mawakili wa utetezi wakiongozwa na Philipo Mushi waliiomba mahakama kutoa nafuu ya hukumu kwa waliotiwa hatiani kwani ni kosa lao la kwanza na wamejutia kosa hilo na pia wanafamilia inayowategemea.

Ajali ya gari 
Chijana ambaye ni miongoni mwa watu wawili waliokutwa na mauti baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Mark X Saloon yenye rangi nyeusi, ikiwa na namba za usajili T796 DFG inadaiwa ndiye alikuwa dereva akitokea Moshi mkoani Kilimanjaro, kuelekea Arusha jana asubuhi. 

Imeelezwa kuwa Chijana alipata ajali katika barabara kubwa ya Moshi-Arusha, makutano ya Momella, Usa-River ambayo ni sehemu ya Wilaya ya Arumeru.

Ilielezwa na watoa habari kuwa mmiliki wa gari hilo, David Chijana, kabla ya kupata ajali alionywa na askari wa usalama barabarani na kupigwa faini ya shilingi 30,000 kutokana na mwendo kasi na pia taa zake za breki kuwa na matatizo. 

Imeelezwa kuwa alilipa faini na kuendelea na safari kabla ya kupata ajali iliyomtoa uhai yeye na mwenzake ambaye bado kutambulika, kwa mujibu wa Polisi.

Imeelezwa kuwa gari hilo likiwa katika mwendo kasi lilipofika katika makutano ya Momella, dereva alijaribu kupita gari lingine ndipo alipokutana uso kwa uso na basi, lililokuwa likisafiri kutoka Arusha kwenda Dar es Salaam na kujaribu kukwepa ajali. 

Kwa mujibu wa mashuhuda, Chijana alifanikiwa kulitoa gari katika hali ya kugongana uso kwa uso na basi hilo lakini gari lilimshinda likaserereka na kugonga mti mkubwa.

Kwa sababu ya spidi na kujigonga kwenye mti kwa kishindo, gari hilo lilirushwa juu na kupinduka, tairi juu na kuwaua watu wote wawili waliokuwamo humo. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa atatoa taarifa rasmi pamoja na jina la marehemu wa pili baada ya upelelezi kukamilika. 

Inadaiwa pia, mmoja kati ya waliokufa ambaye ni mfanyakazi wa TPA alikuwa anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati, Anasafisha Nyota, Anazuia Chuma Ulete na Mengine

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
 
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. 

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Whatsapp/Calls 0658316976
0755911233
 
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Abiria Wakumbwa na Taharuki Baada ya Daladala Kuzima Ghafla Katikati ya Reli

$
0
0
Abiria wa daladala inayofanya safari kati ya Gongo la Mboto na Makumbusho jijini Dar es Salaam, jana walikumbwa na taharuki baada ya basi hilo kuzimika katikati ya reli.

Hatua hiyo ilisababisha abiria hao kuruka kupitia madirishani ili kujinusuru huku treni ikiwakaribia.

Tukio hilo lilitokea jana majira ya asubuhi, eneo la kituo maarufu kama Bakhresa, Buguruni, barabara ya Mandela na kuwafanya abiria kusukumana na baadhi wakigombea kupita katika mlango.

Chanzo cha kuaminika kilisema  kuwa daladala hiyo yenye namba za usajili T 499 BGU na ubavuni namba S 108648 D ilizimika ghafla katikati ya reli huku kwa mbali wakiiona treni ya kutoka ubungo kwenda Stesheni katikati ya jiji, maarufu kama ‘treni ya ‘Mwakyembe’ ikikaribia eneo walilokwama.

“Abiria walikumbwa na taharuki huku wakiruka madirishani na wengine kugombea kupita mlangoni kujinusuru kugongwa na treni,” alisema mmoja wa abiria walionusurika.

Alisema kilichowasaidia kutopatwa na maafa ni kitendo cha dereva kusimamisha treni ili kupisha daladala hiyo kuondolewa katika njia yake.

Baadhi ya abiria waliokuwamo kwenye daladala hiyo, walisema tangu wakitoka Gongo la Mboto, ililonekana kuwa na matatizo na kwamba baada ya tukio hilo, abiria walioruka kwenye daladala hilo hawakurejea tena kupanda kwa kupatwa na hofu.


TRA yaeleza sababu za kusitisha utoaji wa leseni za udereva

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeeleza kuwa itaendelea na zoezi la utoaji wa leseni za udereva kwa wote walioomba, baada ya zoezi hilo kusitishwa kwa muda.

Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa mlipa kodi, Richard Kayombo, ameeleza kuwa zoezi hilo litaanza tena kuanzia wiki ijayo.

Kayombo alisema kuwa upungufu wa malighafi ndiyo kimekuwa chanzo cha usitishwaji wa zoezi hilo ila kwa sasa tayari wameshapata malighafi za kutosha kuwawezesha kuendelea na zoezi.

“Kulikuwa na uhaba wa malighafi ndiyo maana tukashindwa kuchapisha leseni mpya za udereva. japo kwa sasa tayari tumeshanunua malighafi ya kutosha na tutaanza kuchapisha leseni kuanzia wiki ijayo,” alisema Kayombo.

“Madereva walioomba kupatiwa leseni watazipata ndani ya wiki moja. tumejipanga kuhakikisha kuwa madereva wote walioomba leseni, hasa wanaoendesha magari ya huduma kwa umma, wanapata leseni zao ndani ya muda mfupi ili waendelee kutoa huduma kwa jamii,” aliongeza.

Kumekuwapo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali hapa nchini kuhusiana na ucheleweshwaji wa upatikanaji wa leseni za udereva, huku wengine wakilalamika kutozwa faini na askari wa kikosi cha usalama barabarani kwa kuwa leseni walizo nazo zimekwisha muda wake wa matumizi.

CHADEMA Wajiapiza Kuchukua Uhindi Jimbo la Nyalandu

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kina uhakika wa kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini ambalo Bunge lilitangaza jana kuwa liko wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wake kujiuzulu mapema wiki hii

Afisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alipoulizwa kuhusu uchaguzi huo, alisema watamtangaza mgombea wake, baada ya Nec kutangaza kuhusu uchaguzi huo.

"Tutamtangaza mgombea wetu ambaye tutamsimamisha kwenye uchaguzi huo mdogo na tunaamini tutakayemsimamisha lazima atashinda," alisema Makene.

Aidha kwa upande wa Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima baada ya kuulizwa iwapo amekwishapata barua kutoka bungeni  na lini itatangaza uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, alifunguka na kudai kuwa muda ukifika watatoa taarifa.

 Kutangazwa kuwa wazi kwa jimbo hilo, sasa kunatoa fursa kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza mchakato wa kupata mrithi wa Lazaro Nyalandu ambaye alitangaza kujizulu nafasi hiyo na kujitoa uanachama wa CCM mwanzoni mwa wiki.

Taarifa iliyotolewa jana ilisema Spika wa Bunge, Job Ndugai, amemwandikia Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, kumfahamisha kuwa jimbo hilo liko wazi.

Taarifa ya Bunge ilisema Spika ameandika barua hiyo kwa mujibu wa kifungu 37(3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi (Sura ya 343, ya mwaka 2015) kinachoelekeza kwamba, pale ambapo Mbunge atajiuzulu, atakufa au sababu nyingine yeyote tofauti na zilizoainishwa katika kifungu cha 113, Spika atamjulisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kutangaza kwenye Gazeti la Serikali kwamba kiti hicho cha Ubunge kiko wazi.

Jumatatu ya wiki hii, Nyalandu alitangaza kujiuzulu nafasi ya Ubunge na kutangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kutaja sababu za kuchukua uamuzi huo kuwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa hali ya kisiasa nchini ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ongezeko la vitendo vya dhuluma wanavyofanyiwa baadhi ya watanzania.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Novemba 5

Mchungaji atumia pombe kubatiza Waumini Wake

$
0
0
Mchungaji mmoja huko Afrika Kusini amekuwa akikosolewa vikali baada ya kuanza kubatiza washirika kwa kutumia vilevi ambavyo wanavipenda kitendo ambacho ni kinyume na utaratibu.

Askofu Tsietsi Makiti, (52) ambaye pia  ni Mwanzilishi wa kanisa hilo linalojulikana kama 'Gabola', amesema kuwa ameongozwa na maandiko katika Biblia ambapo Yesu alibadilisha maji kuwa divai.

"Watu wanao kunywa na kubatizwa na bia wana furaha na amani. Hii inamaanisha kuwa wanaishi katika kivuli cha Mungu, "alisema Makiti.

Kanisa hilo lenye jina 'Gabola'  likimaanisha 'Kunywa' limesema linakubali kuwapokea waumini waliotoka makanisa mengine huku likiweka wazi kwamba idadi ya watu wameongezeka kufikia 500 ndani ya miezi miwili tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo.

Waumini pia wanaruhusiwa kunywa wakati huduma za kanisa zikiendelea.

Aidha Askofu huyo ameweka wazi kwamba ana mipango ya kuanzisha matawi ya kanisa lake hilo katika miji mbali mbali

Isome hapa ratiba ya ziara ya Rais Magufuli mkoani Kagera

Rais Dkt. Magufuli Akiwa Mapumzikoni Chato Mkoani Geita

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia picha kwenye simu pamoja na Mama yake mzazi Suzana Magufuli (katikati) pamoja na mdogo wake Asteria wa kwanza (kushoto). Rais Dkt. Magufuli yupo mapumzikoni katika Kijiji cha Lubambangwe Chato Mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia picha kwenye simu aliyokuwa akioneshwa na Mama yake mzazi Mama Suzana Magufuli nyumbani kwao katika kijiji cha Lubambangwe Chato mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza radio pamoja na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wa pili kutoka (kushoto) mdogo wake Asteria wa kwanza (kushoto), na Dada yake Monica Joseph wa kwanza (kulia). Rais Dkt. Magufuli yupo mapumzikoni katika Kijiji cha Lubambangwe Chato Mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza radio pamoja na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wa pili kutoka (kushoto) mdogo wake Asteria wa kwanza kushoto. Rais Dkt. Magufuli yupo mapumzikoni katika Kijiji cha Lubambangwe Chato Mkoani Geita. 

PICHA NA IKULU

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
      
NATURAL BEAUTY PROD.
NDIYO KAMPUNI PEKEE INAYOTOA BIDHAA ORIGINAL GARANTII PAMOJA NA SISITI. 
Sasa ni wakati wako mpendwa wa kupendeza na bidhaa hizi bila kemiko wala madhara kwa mtumiaji yoyote.

Pata bidhaa hizi upate matokeo mazuri kwa haraka na uhakika zaidi. Bidhaa zetu zote zimetengenezwa kwa mimea na matunda.

      Zimethibitishwa kiafya
🍉🌿🍅🍍🍒🍉🍓🍅🍒
            🍋🍇🥝🥒
          BIDHAA ZETU:-
   
1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
2.Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa:-
(a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge  @180,000/=
(c)BOTCHO 10× ya kupaka @170,000/=
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:-
(1)Mafuta  @150,000/=
(11)Vidonge @170,000/=

4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a)SHARK POWER gely ya kupaka @150,000/=
(b)Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @150,000/=

(C) VIG RX- Ni dawa mpya ya kuongeza maumbile hadi nchi 7.5 inapatikana kwa @200,000/=
(C)Handsome up original ni kifaa kinachoongeza maumbile kwa %99 size uipendayo  @250,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=

7.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula  @150,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @150,000/=
(b)Mkanda wa kawaida @150,000/=
(c)Micro-computer belt wa umeme @200,000/=
9.Kupunguza  maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @150,000/=
10.Kushepu miguu (CHUPA YA BIA) na kuondoa vigimbi @150,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @150,000/=
12.Kurudisha usichana  (bikra) @150,000/=
        

        Wasiliana nasi :- (+255)
             0759029968 au.       
                0659618585
  TAHADHARI: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
👉🏻Ili kuona bidhaa zaidi na shuhuda za waliotumia bidhaa zetu. ...............
     Follow us on instagram  @natural2162
@natural2162
@natural2162
 
                      [Welcome all]

Nape Ageuka Mbogo Baada ya Kudhihakiwa Mtandaoni

$
0
0

Mbunge wa jimbo la Mtama (CCM) Nape Nnauye ameonyesha kukasilishwa na moja ya shabiki katika mtandao wake wa Twitter ambaye amemzihaki na kumwita mnafiki kutokana na ujumbe alioweka, Nape amedai watu wa namna hiyo ni zaidi wa wachawi.

Leo asubuhi Nape aliweka ujumbe kupitia mtandao wake unaosomeka "Usivunje mtungi kwa sababu ya panya aliyemo ndani ya mtungi, inamisha taratibu, fanya 'timing', utaua panya na mtungi utabaki salama"
Baada ya kuandika ujumbe huo ndipo moja ya mtu akaja na kumwambia kuwa kiongozi huyo amekua mnafiki baada ya kuvuliwa nafasi ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na kudai kuwa kiongozi huyo amekuwa akiomkosoa boss wake, jambo ambalo Nape Nnauye wiki iliyopita alisema anachukizwa kuona watu wakichukua mambo yako na kuyahusisha na kumsema au kumkosoa Rais jambo ambalo si la kweli.

"Mkuu we mnafiki sana yote hayo umeanza baaada ya kuvuliwa uwaziri 'come on' kiongozi bora si  yule anaonekana mkosoaji kwa boss wake" aliandika Majdy Wiliam 

Tiba ya Asili ya Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha na Nguvu za Kiume

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wangu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Ile Tiba Sahihi Ya Matatizo Haya 

CHAZO CHAKE NA VISABABISHO VYAKE:
DALILI:-Mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata Choo vizuri hata ukipata Choo kinakuwa kigumu Kama cha mbuzi ,Misuri  kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. Miguu kuuma na kuwaka au kufa ganzi

TIBA YAKE:
RADI-90-POWER---Ni dawa ya vidonge asilia iliyo tengenezwa kutokana na miti shamba yenye uwezo mkubwa kabisa ktk kutibu matatizo (4) Kwa wakati ==>(1)Huongeza nguvu za kiume maradufu (2)kati ya umri (15-90)(3)hurefusha na kunenepesha uume mdogo kadrii upendavyo inch (6-8)kwa dakika (15)tu.(4)kuchelewa kufika kileleni (5)kuimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa. 

Nini huchangia kuwa na matatizo Kama haha? Kisukari,Presha,Ngiri,Zinaa,Kiuno kuuma, Tumbo kuunguruma na kujaa gesi,kutopata Choo vizuri, Mgongo kuuma. 

RADI-90-POWER:-Hutibu na kumaliza matatizo haya kwa mda mfupi tu na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika(45)kwa tendo(1) na utarudia Mara (5)na zaidi bila kuchoka huanza kazi baada ya dakika( 30)tu.Pia huongeza Hamu ya kufanya tendo la ndoa maradufu(2),Kumbuka tatizo hili si geni, kigeni ni tiba sahihi ya kutibu matatizo haya na pia ina guarantee ya miaka(65)na zaidi. 

Tunatibu :---Kisukari, Presha, uzazi, Ngiri, Pumu, maralia sugu, vidonda vya tumbo, chango aina zote, kifua kikuu na busha bila upasuaji. 

ITUJA NO2:--Nidawa ya mvuto wa biashara, kazi, kupandishwa cheo, kupendwa na mwajiri, kumvuta mme/mke,mpenzi, hawara, mchumba unaye muhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zake kwa dhati utampata kwa lisaa limoja (1)tu na atatulia daima na kumfunga asitoke nje ya ndoa.

BOMBA2:--Ni dawa ya kupunguza matiti makubwa, unene turbo, kitambi,mafuta mwilini,uzito,toa fangasi makovu, chunusi, nyama zembe, michirizi, kwa siku tatu (3)tu.NO7:--Inaongeza makalio, Hips, miguu kwa saizi uipendayo kwa siku (2)tu.

HUDUMA HIZI Na zingine nyingi UTAZIPATA popote TANZANIA Name NJE YA NCHI:--MUONE DR SHARIF AU PIGA SIMU NO:-0659347707, 0763483813 ,0688991509,0659347707.  DR SHARIF

Jukwaa la Katiba kufungua kesi Mahakamani Kudai Maandamano ya Katiba Mpya

$
0
0
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Hebron Mwakagenda amesema wameazimia kufungua kesi ya kudai haki ya kufanya maandamano ya amani nchini baada ya maandamano yao yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Oktoba 30, mwaka huu kuzuiliwa na Jeshi la Polisi.

Mwakagenda amesema Oktoba 7, mwaka huu walitoa tamko kwa umma la kukusudia kufanya maandamano ya amani nchi nzima kumpongeza na kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kusimamia rasilimali za taifa pamoja na kupiga vita rushwa lakini Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam liliwazuia.

Pia maandamano hayo yalilenga kufikisha ujumbe kuhusu haja ya serikali kurejesha mchakato wa katiba mpya ili taifa liweze kupata katiba mpya chini ya uongozi wa Rais Magufuli lakini jitihada zao ziligonga mwamba.

“Kwa uzito huu JUKATA tulimwandikia Rais Magufuli ili ayapokee maandamano hayo ambayo yalikuwa yamepangwa kuanzia ofisi zetu zilizopo Mwenge hadi Viwanja vya Mnazi Mmoja, hadi leo hatujapata majibu ya barua iliyotumwa Ikulu kwa Rais Magufuli juu ya ombi letu. Lakini tulipokea barua kutoka Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ikikataza kufanyika kwa maandamano hayo ya c amani,”  amesema Mwakagenda.

Jeshi la Polisi lilizuia maandamano hayo kwa sababu tatu, zikiwemo kwamba Rais Magufuli hakuthibitisha kushiriki kwenye maandamano hayo, kufanya maandamano umbali mrefu kutoka Mwenge hadi Mnazi Mmoja kutaathiri shughuli kwa kufunga barabara na Oktoba 30 ndiyo siku ambayo mitihani ya kidato cha nne ingekuwa ikifanyika.

“Kwa sababu hizi zilizotumika kukataza maandamano, tumefikia maamuzi ya kwenda kufungua kesi mahakamani kudai haki ambayo inaminywa na kukandamizwa na Jeshi la Polisi kwa kutumia sababu nyepesi.

“Tupo kwenye hatua za mwisho kutekeleza uamuzi huu na kwamba jopo la mawakili wasomi wasiopungua kumi wakiongozwa na Dkt. Rugemeleza Nshala watahusika katika mchakato huu wa kudai mahakamani haki hii ya kufanya maandamano ya amani,” alifafanua.

Mwakagenda alihitimisha kwa kusema Tanzania inafuata misingi ya kidemokrasia na utawala wa sheria ambapo misingi mikuu ya kidemokrasia ni pamoja na uhuru wa watu kukusanyika na kujadiliana kwa mujibu wa sheria kujadili masuala yanayohusu taifa.

Tangaza Biashara Yako Au Bidhaa Yako Kwenye Mtandao huu Kwa BEI NZURI Kabisa

$
0
0

Tunakaribisha  matangazo  ya  aina  zote( Bishara, Viwanja, Bidhaa, matangazo ya Vyuo na mengine mengi)  .Bei  zetu  ni  nzuri  sana  na  kamwe  hutajuta  kutangaza  biashara  yako  kupitia  mtandao  huu....

Kwa Siku tunafunga na Pageviews zaidi  ya  laki tano kama graph  inavyoonyesha  hapo  chini
Kama  una  tangazo, basi  wasiliana  nasi   sasa.

Email  yetu:  mpekuziblog@gmail.com
Simu:     +255682493833 

Mtalaam Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Na yaliyoshindikana Kama Vile Pumu,vidonda Vya Tumbo,busha,nguvu Za Kiume

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU,VIDONDA VYA TUMBO,BUSHA,NGUVU ZA KIUME,KISUKARI,MIVUTO YOTE,KUSAFISHA NYOTA,KURUDISHA MALI,NK.
 
Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani
 
Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI,KIUNO KUUMA,MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA,KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO,NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni SUPER SAYI 3,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu 

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

SUPER SAYI 4 Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI,PRESHA,UZAZI,NGIRI,PUMU,MALARIA SUGU,VIDONDA VYA TUMBO,CHANGO AINA ZOTE,BP,BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR UPENDO ANAPATIKA KADA YA ZIWA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM HUDUMA HIZI UTAZIPATA MAGOMENI 

SIMU NO 0753 15 30 26, 0715 26 85 10 

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images