Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Malima Afutiwa Kesi.....Ni Siku 6 Baada ya Kuteuliwa Kuwa Mkuu wa Mkoa

$
0
0

Siku sita baada ya Adam Malima kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mahakama imemfutia kesi ya shambulio iliyokuwa ikimkabili.

Rais John Magufuli, Alhamisi Oktoba 26,2017 alifanya uteuzi mbalimbali ukiwemo wa wakuu wa mikoa.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatano Novemba 1,2017 imeifuta kesi dhidi ya Malima na mwenzake.

Malima ambaye amesharipoti mkoani Mara hakuwepo mahakamani wakati uamuzi huo ukitolewa.

Hakimu Mkazi Mkuu, Respicius Mwijage ameifuta kesi hiyo na kuwaachia huru washtakiwa baada ya Wakili wa Serikali Mwandamizi, Kishenyi Mutalemwa kuomba ifutwe.

Chini ya kifungu cha 91 (1) cha Mwenendo wa Mashauri ya Jinai, Mutalemwa ameomba shauri lifutwe kwa sababu Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) hana nia ya kuendeleza mashtaka dhidi ya washtakiwa.

Baada ya ombi hilo kuwasilishwa, Hakimu Mwijage alimuhoji Mutalemwa iwapo kuna sababu ya kuifuta kesi hiyo na kama hana hataifuta.

Wakili Mutalemwa alisoma kifungu hicho akisema kinampa mamlaka DPP kuiondoa kesi mahakamani wakati wowote anapoona inafaa na pia, kinamruhusu kuirudisha mahakamani.

Baada ya maelezo hayo, Hakimu Mwijage alikubali kuwaachia huru washtakiwa.

Shauri hilo lilikuwa katika hatua ya usikilizwaji wa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Waliposomewa maelezo ya awali, Malima na mshtakiwa mwenzake Ramadhani Kigwande walikubali maelezo yao binafsi, siku ya tukio walikuwepo Masaki, walikamatwa na kushtakiwa.

Walikana maelezo mengine kuhusu mashtaka yanayowakabili.

Katika kesi hiyo, Malima aliyewahi kuwa naibu waziri katika Serikali ya Awamu ya Nne na mbunge wa zamani wa Mkuranga alidaiwa Mei 15,2017 katika eneo la Masaki kwa makusudi alimzuia ofisa wa polisi Konstebo Abdu kufanya kazi yake halali.

Malima alidaiwa kumzuia askari huyo kumkamata Ramadhani Kigwande kwa kosa la kumshambulia Mwita Joseph.

Kigwande alidaiwa Mei 15,2017 eneo la Masaki wilayani Kinondoni akiwa na nia ya kumzuia Mwita Joseph, ambaye ni ofisa operesheni wa kampuni ya Priscane Business Enterprises alipokuwa akimkamata kwa kupaki vibaya gari alimshambulia na kumsababishia maumivu.

Waliposomewa mashtaka, washtakiwa walikana na walikuwa nje kwa dhamana  kwa kila mmoja kuwa na mdhamini mmoja ambaye alisaini bondi ya Sh5 milioni.

Kesi ya ‘Mpemba wa Magufuli’ kupelekwa Mahakama ya Mafisadi

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo November 1, 2017 imeelezwa kuwa jalada la kesi ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya Tembo ya Tsh. Milioni 785 inayomkabili Mfanyabiashara Yusuf Ali maarufu kama ‘Mpemba wa Magufuli’ linaandaliwa kupelekwa Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kwenye ‘Mahakama ya Mafisadi’

Haya yameelezwa na Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo amedai kuwa upelelezi wa kesi hiyo ulishakamilika na kinachofanyika sasa ni jalada la kesi hiyo kuandaliwa ili liende Mahakama ya Mafisadi.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba ameahirisha kesi hiyo hadi November 15, 2017 ambapo katika kesi hiyo mbali ya Mpemba, Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Charles Mrutu, mkazi wa Mlimba, Morogoro, Benedict Kungwa, mkazi wa Mbagala Chamazi, Jumanne Chima, mkazi wa Mbezi, Ahmed Nyagongo, dereva na Pius Kulagwa.

Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka manne ya kujihusisha na biashara ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh 785.6 milioni.

Inadaiwa katika tarehe tofauti kati ya Januari, 2014 na October, 2015 wakiwa Dar es Salaam, Tanga, Iringa na Mtwara, walijihusisha na mtandao wa ujangili kwa kukusanya na kuuza nyara za Serikali ambazo ni vipande vya meno ya tembo 50 vyenye thamani ya Dola za Marekani 180,000 sawa na Sh 392.8 milioni bila kuwa na kibali cha Mkurugenzi wa Wanyamapori.

October 26, 2015 Washtakiwa hao wakiwa Mbagala Zakhem, walikutwa na vipande vya meno ya tembo 10 vyenye uzito wa kilo 13.85 vya thamani ya dola za Marekani 30,000 sawa na Sh 65.4milioni.

Wanadaiwa kuwa October 27, 2015 wakiwa Tabata Kisukuru pia walikutwa na vipande vinne vya meno hayo ya tembo yenye uzito wa kilo 11.1 na thamani ya dola za Marekani 15,000 sawa na Sh  32.7 milioni.

Kilichoamuriwa Mahakamani LEO Katika Kesi ya Wema Sepetu

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali nyumbani kwa Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya wakili wa serikali, Elizabeth Mkunde kusema kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya kutolewa uamuzi.

Katika uamuzi wake, Hakimu Simba amesema amepitia hoja zote za upande wa mashtaka na utetezi kuhusu hoja za kupokelewa ama kutopokelewa kielelezo hicho, ambapo ameona akipokee.

“Mahakama inatupilia mbali pingamizi la utetezi la kutaka kielelezo kisipokelewe, hivyo nimekubaliana na hoja za upande wa mashtaka na kielelezo kinapokelewa,”

Hakimu Simba amesema sababu za kupokea kielelezo hicho ni kwamba Wema hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo ya mwili wake bali ni nyumba yake, hivyo haina tatizo kama ilipekuliwa na askari wakiume.

” Kama upekuzi ungeusu maungo ya mwili wake basi kungekuwa na tatizo, lakini umefanyika nyumbani kwake,”.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba aliahirisha kesi hiyo hadi November 16/2017.

Mbali ya Wema katika kesi hiyo, washtakiwa wengine ni Angelina Msigwa  na Matrida Abbas ambapo wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kukutwa na kiwango kidogo cha dawa za kulevya na kutumia dawa za kulevya.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamii ya Novemba 2

CCM Yamuwahi Nyalandu Bungeni....Hii Hapa Barua Iliyotumwa Bungeni ya Kumfukuza Uanachama

$
0
0
Ofisi ya Spika wa Bunge ingependa kuwaarifu Watanzania wote kwamba mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini (CCM) Ndugu Lazaro Nyalandu ambayo amekuwa akiarifu kwamba amemwandikia Mheshimiwa Spika kumtaarifu kujiuzulu kwake.

Hata hivyo, Mhedhimiwa Spika amepokea barua toka kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ya tarehe 30 Oktoba, 2017 akimuarifu kwamba kwa muda sasa Chama hicho kilishaanza kumchukulia hatua za kiudhibiti na kinidhamu dhidi ya vitendo na kauli zake zisizoridhisha kinyume na misingi, falsafa na itikadi ya Chama cha Mapinduzi.

Hivyo, Chama cha Mapinduzi kuanzia tarehe ya barua yao kimemjulisha Mheeshimiwa Spika kuwa Ndugu Lazaro Nyalandu amepoteza sifa za Uanachama wa Chama cha Mapinduzi, na hivyo kupoteza nafasi zote za uongozi wa ndani wa Chama hicho na Ubunge kwa mujibu wa Ibara ya 13 ya Chama hicho.

Mheshimiwa Spika, angependa kuwaarifu Watanzania kwamba kwa barua hiyo toka mamlaka halali ndani ya Chama cha Mapinduzi ambacho Ndugu Lazaro Nyalandu alipata Ubunge kupitia Chama hicho na kwa mujibu wa Ibara ya 71 (1)(f) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotamka kwamba:

“Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake cha Ubunge iwapo litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo: (f) Iwapo Mbunge ataacha kuwa Mwanachama cha chama alichokuwamo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa Mbunge.”

Hivyo, Ndugu Lazaro Nyalandu si Mbunge tena na hatua stahiki za kuiarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi zinaendelea kuchukuliwa.

Imetolewa na: 
Ofisi ya Spika 
S.L.P. 941
DODOMA

Waziri Mkuu awafunda Watanzania waishio Canada

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania waishio Canada wadumishe mshikamano wao na wawe na uzalendo kwa Taifa lao.

Ametoa kauli hiyo Jumanne, Oktoba 31, 2017 wakati akizungumza na Watanzania waishio Toronto, Canada.

Waziri Mkuu ambaye yuko Canada kwa ziara ya kikazi, alisema kila Mtanzania anapaswa ahubiri utaifa wake. “Wakati wote ringia nchi yako, unapotakiwa kuisemea nchi yako, isemee vizuri kama ambavyo wengine wanasemea vizuri nchi zao licha ya matatizo waliyonayo.”

Alisema Serikali inawasisitiza wananchi wake hasa waishio nje ya nchi, wawe wazalendo na washirikiane kuhakikisha wanazitumia fursa za kimaendeleo vizuri kwa ajili ya manufaa ya nchi yao.

Awali, Balozi wa Tanzania nchini Canada, Mhe. Jack Nzoka, alitumia fursa hiyo kuwasihi Watanzania hao wazingatie sheria za nchi wanayoishi.

“Wote sisi tunawatambua kama mabalozi katika nafasi zenu hapa Canada. Tunawashauri muwe raia wema, na muishi kwa kufuata sheria na taratibu za nchi hii na msisahau mlipotoka, kwani hakuna mahali pazuri kama nyumbani,” alisisitiza.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, 
NOVEMBA MOSI, 2017.

Hausigeli: Nilitega Limbwata Kwa Baba Mwenye Nyumba Likamnasa Mama Mwenye Nyumba

$
0
0
Jina  langu  ninaitwa  Vumy.
Nilikuwa  dada wa  kazi ( Hausigeli ) nikamtamani kimapenzi  baba  mwenye nyumba kwa  sababu  alikuwa  na  pesa  na  mali  nyingi sana. Nilijua  nikiwa  nae kimapenzi  basi  shida  zangu  zote  zitaisha.
 
Nikaenda  kuomba ushauri kwa  rafiki  mmoja  ambae  akanielekeza  kwa  mganga  mmoja  wa  kienyeji  ili  anipe  dawa  niweze  kumkamata  kichawi  baba  mwenye  nyumba.
Rafiki  yangu  aliniambia mganga  huyo  ni  hatari  sana  kwenye  dawa  za  mapenzi  na  kwamba  endapo  nitafanikiwa  kuonana  nae  basi  huyo  mwanaume nitamkamata  na  atafanya  kila  kitu  ninacho  kitaka.

Nilipo enda  kwa  mganga  nikapewa  dawa  ya  kumuwekea  baba  mwenye  nyumba  kwenye  chakula  anachokula .
 
Mganga  akanipa  sharti  moja  akaniambia, nihakikishe  hicho  chakula  hali  mtu mwingine  yoyote  yule  isipokuwa  baba  mwenye  nyumba  na  ikitokea  nikivunja  sharti  hilo  nitapata  madhara makubwa  sana   ambayo  hakutaka  kuyaweka  wazi.

Hilo  lilikuwa  sharti  rahisi  sana  Kwangu, kwa  sababu  mara  nyingi  baba  mwenye  nyumba  huwa  anarudi  usiku  na  huwa anakula  chakula  chake  peke yake  na  mara  nyingi  huwa  anamkuta  mke  wake  ameshakula  na  amelala.
 
Siku  hiyo  usiku  mama  mwenye  nyumba  akasema  hali  chakula  kigumu, atakunywa  maziwa  fresh  tu  ya  moto.
Nikamtayarishia  kama  alivyo  agiza  wakati  huo  huo  baba  mwenye  nyumba  nikamuandalia  ugali  na  nyama  na  maziwa  mtindi  na  kuweka  dawa niliyopewa  na  mganga  kwenye  nyama  ili  baba  mwenye  nyumba  akila  hiyo dawa  anase  na  anipende.

Sijui  kitu  gani  kilimvutia? Sijui ni  harufu  ya  chaklula  au  alipatwa  na  njaa  ghafla, mama  mwenye  nyumba  akaniambia  amekipenda  hicho  chakula,anaomba  nimpe  ale  halafu  baba mwenye  nyumba  nimuandalie  chakula  kingine.
 
Nilichanganyikiwa  lakini  sikuwa  na  jinsi  zaidi  ya  kumpa  chakula  nilicho  kiandaa  kwa  baba  mwenye  nyumba  ambacho  nilikuwa  nimekiwekea  limbwata  ili  baba  mwenye  nyumba  anase.
 
Baada  ya  kumpa  mama  mwenye  nyumba  chakula  nikaenda  chooni  na  kumpigia  simu  mganga  kumwambia  kilicho  tokea.
 
Nilivyo mpigia  simu mganga  akaniambia  kwa  ukali  kwamba   alinionya  tangu  mwanzo  niwe  makini  na  hiyo  dawa   na  kuniambia nisubiri  kitakacho  nitokea.

Kesho  yake  asubuhi  yule  mama  mwenye  nyumba akaanza  kuonyesha upendo  na  mapenzi  ya  hali  ya  juu  sana  Kwangu kiasi  nikaogopa.  Mapenzi ya  mama  mwenye  nyumba  Kwangju  yalikuwa  yanaongezeka  saa  hadi  saa  kiasi  akawa  anafanya  vitu  ambavyo  mimi ndo  natakiwa  kuvifanya  kama  vile  kuosha  vyombo, kufua  nguo, kupika  nakadhalika.
 
Baada  ya  kama  siku  tatu  hivi , uzalendo  ukamshinda  akaamua  kunitamkia  laivu  kwamba  ananipenda sana   na  kwamba  anataka  tuanzishe uhusiano  wa  kimapenzi.
 
Nilimwambia  siwezi  kufanya  hivyo, sijawahi  kufanya  hivyo  wala  sitarajii  kuwa  katika  mahusiano  na  mwanamke  mwenzangu  lakini  wala  hakuweza  kunielewa.
 
Akaniahidi  vitu  vingi sana.Kunisomesha  chuo, kumlea na  kumsomesha  mtoto  wangu,kunijengea nyumba,  kuninunulia  gari,  mashamba, viwanja, kunifungulia  akaunti  benki  na  biashara.
 
Vyote  nikakataa  na kumwambia  siwezi  kuwa  katika  mahusiano  ya  kimapenzi na  mwanamke  mwenzangu.
 
Nilivyo ona  usumbufu  umezidi  nikaamua kuondoka  na  kurudi  nyumbani  kwetu  kijijini  Kondoa, lakini  kwa  kuwa  alikuwa  anajua natoka  sehemu  gani  Kondoa, na  namba  za  simu  za  mama  angu  alikuwa  nazo, akanifuata  hadi  Kondoa  na  kuniomba  nirudi  kufanya  kazi  kwake.
 
Akanipa  hela  nyingi  na mama  angu  pia  akampa  hela. Mimi  nikamwambia  kuna  mambo  nayamalizia  kijijini  Kondoa  yeye  arudi  zake  dar  nitamfuata  baada ya  wiki  moja, akakubali  kwa  shingo  upande.
 
Alivyo ondoka  kijijini  nikamwambia  mama  angu siwezi  kwenda  kwa  huyo  mwanamke  kwa  sababu  nimeambiwa  ni  freemason.  Sikutaka  mama  angu  ajue  kitu  gani  kinaendelea.
 
Ilivyo  pita  wiki  moja  sijaenda  akaanza  kusumbua  kwa  simu, nikawa  sipokei.
Akaanza  kumsumbua  mama  angu  na  kumuomba  anibembeleze  nirudi  kufanya  kazi  kwake.
 
Katika  kumlainisha  mama  angu  akawa  anamtumia  hela  nyingi  tu mpaka  mama  angu  akahamia  upande  wa  huyo  mwanamke  na  kunishawishi  niende  kufanya  nae  kazi.
Kama  hiyo  haitoshi   amemjengea  nyumba  mama  angu  kijijini  na  huwa  anakuja  kijijini  kwetu  linapotokea  tatizo  lolote  la  kifamilia  au  sherehe.
 
Yote  hayo  anayajua  kwa sababu  anawasiliana  sana  na  mama angu.
Hiyo  ilikuwa  mwaka  2015  mwishoni  lakini mpaka  sasa  hivi  bado  ananisumbua  na  nimeshamwambia  kuwa  sipo  tayari  kufanya  upuuzi  huo.
 
Yupo  kama  aliye  changanyikiwa  au  aliye  pagawa  na  pepo.
Amegombana  na  kutengana  na  mume  wake  kwa  sababu  yangu .
Kuna  kipindi  alikuwa  ananipigia  simu  kunibembeleza  niwe  nae  mbele  ya  mume  wake.
 
Mume  wake  alipofariki  ndugu  walimzuia  kushiriki  kwenye  mazishi  kwa kumtuhumu  kusababisha  kifo  cha  mume  wake.
Lakini  bado  ananin’gan’ania  tu  licha  ya  kumwambia  mimi  sipo  tayari  kufanya  anavyo  taka  yeye.
 
Kuna  kipindi  nilirudi  kijijini  kulima  ufuta  na  kukaa  huko  kwa  miezi  mitatu  na  yeye  akaja  kukaa  kijijini  na  kuchukua  mashamba  alime  ufuta  lakini lengo  lilikuwa  kuwa  karibu na  mimi.
 
Katika  kipindi  chote  hicho  usumbufu  ambao  amekuwa  akinipa  ni  mkubwa  mno.
Amekuwa  kama  zezeta  au  mtu  aliye  pagawa  hivi.
Nimejaribu  kila  njia  ya  kumkwepa  huyu  mama  lakini  imeshindikana.  .
 
Nimemwambia si awatafute wanawake  wenye  tabia  hizo  anasema  ananitaka  mimi  na sio  mtu  mwingine  yoyote  yule.
 
Nimejaribu  kwenda  kwa  mganga  alio  nipa  hiyo  dawa  na  kumwambia  anitenganishe  na  huyu mwanamke  amekataa  kata  kata  anasema  huo  sio  utaratibu  wake  wa  kazi  na  kwamba  uchawi  huo ni  wa  maisha na  hauwezi  kubatilishwa  kwa  namna  yoyote  ile hadi  naingia kaburini.
 
Utaisha  nguvu  pindi  mmoja  wetu  atakapo  itwa  na  Mungu  kwa  hiyo  nivumilie  tu  kwa  sababu  mimi  ndio  nilifanya  uzembe.

Siwezi kuendelea  kuishi  katika  hali  ya  usumbufu  mkubwa  kiasi  hiki.
 
Tena mganga  kaniambia  halafu  nina  bahati  kwa  sababu  kuna  wengine  huwa  wanafanyaga  uzembe  dawa  anakula  baba  mzazi  au  mtoto  au  kwa  wanaume  dawa  anakula  mama  mzazi , mtoto  au  dada   ambao  wengi  wao  huishia  kukimbia  nchi  au hata  kujaribu  kujiua.
 
Kwa  hivyo  nishukuru walau  nina  bahati.
Nimejaribu  kwenda  kwa  waganga  na  waganga  lakini  wapi.
Imeshindikana  kumzuia  mwanamke  huyu  asiendelee  kunin’gan’gania.
 
Nimejaribu  kuombewa  kote  imeshindikana.
SASA  NDUGU  ZANGU. NINAOMBA  MSAADA  WENU. NITUMIE  NJIA  GANI ILI  KUMFUNGA  HUYU MAMA  ASIENDELEE   KUNIFUATA  FUATA  NA  KUNIGANDA ?

AU  KUNA  NJIA  YOYOTE  INAYO WEZA  KUTUMIKA KUMZINDUA  HUYU  MWANAMKE  NA  KUMFANYA  ARUDI  KATIKA  HALI  YAKE  YA  KAWAIDA ?  YAANI  AJITAMBUE  KWA  SABABU  NAONA  ANAE  ANYA  HIVYO  SIO  YEYE  ILA  NI  HUO  UCHAWI  NILIO MLISHA  KWA  BAHATI  MBAYA ..
 
JAMANI  KAMA  KUNA  MTUMISHI  YOYOTE  WA  MUNGU   ANADHANI  ANAWEZA  WALAU  KUMUOMBEA  HUYO  MAMA  ILI  ARUDI  KATIKA  HALI  YAKE  YA  KAWAIDA, MIMI  NIPO  TAYARI  KUMUELEKEZA MAHALI  ANAPOISHI  HUYO  MAMA AWEZE  KUFANYA  UTARATIBU  WA  KWENDA KUMUOMBEA  NA  KUMRUDISHA  KATIKA  HALI  YAKE  YA  KAWAIDA
NA  KAMA  KUNA  MTU  ANAWEZA KUFANYA  MAOMBI  YA  KUMZUIA HUYO  MAMA  ASIENDELEE  KUNIFUATILIA  TAFADHALI  SANA  NAOMBA AWASILIANE  NAMI.
 
HATA  KAMA  UNAJUA MAHALI  NINAPO WEZA  KUPATA MSAADA  TAFADHALI  NIFAHAMISHE.

Niandikie  kupitia  barua  pepe  yangu :

Nyalandu akanusha taarifa iliyosambazwa dhidi yake

$
0
0
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amekanusha taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa hajawahi kuwa katika kundi la namna hiyo na ni taarifa za uongo zilizotengenezwa kwa lengo la kumchafua.

Nyalandu kupitia mitandao yake ya kijamii ya Twitter, facebook na instagram aliambatanisha picha (screenshot) na kuandika kuwa taarifa inayoonekana ni ya uwongo na ya kufikirika na kuziita siasa za kizamani.

“Fake news alert! Habari hii ni ya kutungwa, kizushi, na kufikirika. Kibaya zaidi, ni ya UONGO. Siasa za aina hii ni za kizamani. Aibu tupu!” ameandika Nyalandu katika mtandao wa Twitter.

Nyalandu ambaye alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubunge, nyadhifa mbalimbali za uongozi pamoja na uanachama katika Chama cha Mapinduzi na kuomba kuhamia CHADEMA, amepongezwa na baadhi ya viongozi wa upinzani huku baadhi ya viongozi wa chama alichotoka wakimponda.


Wapo wengine waliosema kuwa kuondoka kwa nyalandu CCM kulianza kuonekana mapema na hivyo halikuwa jambo la kushtukiza.

Kigwangalla Alia na Chombo cha Habari Kwa Kumchonganisha na Rais Magufuli

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamisi Kigwangalla amefunguka na kukilalamikia moja ya chombo cha habari na kusema kuwa kimepanga kumchafua na kumchonganisha na Rais Magufuli na kudai anatambua kwa hatua anazochukia watu wa namna hiyo watakuwa wengi

Kigwangalla amesema kuwa chombo cha habari hicho kimemsema kuwa amepingana na Rais Magufuli kwa kuruhusu mifugo iingizwe ndani ya hifadhi zote za Taifa ikiwepo Serengeti kitu ambacho yeye hakusema hivyo.

"Najua lengo ni kunichonganisha na Mamlaka iliyoniteua. Najua watu wa aina hii watakuwa wengi sana kwa sasa sababu nimegusa maslahi ya watu wengi sana kwa maamuzi magumu niliyofanya siku za karibuni, kuanzia kwenye suala la kufuta mchakato wa vibali vya uwindaji, kupambana na majangili hadi kuanza mchakato wa kurudisha kwenye umiliki wa Serikali hoteli zote zilizokuwa za Serikali kupitia Shirika letu la Tanzania 'Tourist Corporation' kwa kushindwa kwao kuziendesha kwa tija kwenye sekta ya utalii" alisema Kigwangalla

Waziri huyo amesema kuwa kabla ya kukikuchukulia hatua chombo hicho cha habari ameamua kusema na kuweka wazi kile alichokisema na kudai endapo wasiporekebisha hiyo taarifa atachukua hatua zaidi.

"Binafsi nimekisamehe chombo hiki, lakini ili wajifunze kuwa mimi si mtu wa kuchezea waombe radhi haraka kabla sijawaburuza kwa Waziri wa Habari, Dr. Mwakyembe, nikiwa na ushahidi wangu ili achukue hatua stahiki" aliandika Kigwangalla

Kigwangalla anasema alisitisha oparesheni iliyoendeshwa kwenye eneo la Kilomita 5 nje ya mpaka wa Serengeti ndani ya Pori la Loliondo ambapo kuna mgogoro wa ardhi 

"Mimi nilisitisha operesheni iliyoendeshwa kwenye eneo la km 5 nje ya mpaka wa Serengeti ndani ya Pori Tengefu la Loliondo kwenye ardhi yenye mgogoro, na ni baada ya kupokea taarifa za ukiukwaji wa Sheria za vijiji, na uwepo wa minong'ono kwamba Serikali iliendesha 'operation' hiyo Kwa kutekeleza matakwa ya muwekezaji. Jambo nililoona linaichafua Serikali na Mhe. Rais. Nilifanya hivyo sababu najua kuna Kamati ya Mhe. Waziri Mkuu inashughulikia suala la mgogoro wa pori Tengefu la Loliondo" alisisitiza Kigwangalla

Lusinde Amchana Nyalandu....Amshangaa Lowassa Kumuita DUME, Ahoji JIKE Huko CHADEMA ni Nani

$
0
0
Kada Maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Jimbo la Mtera Mkoani Dodoma amewasihi Watanzania kumpuuza Mwanasiasa Lazaro Nyalandu ambaye juzi ametangaza kujivua nyadhifa zake zote katika CCM ikiwemo ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kwa kile alichodai Serikali kukigandamiza Chama na CCM kupoteza mwelekeo.

Lusinde amesema Bw. Lazaro Nyalandu hakuwahi kunyimwa nafasi yoyote ya kutoa maoni yake ama dukuduku zake ndani ya chama wala bungeni na kwamba uamuzi huo unaashiria kuwa anatafuta kinga ya kutochukuliwa hatua kutokana na tuhuma nzito zinazomkabili.

Kada huyo wa CCM amesema ana wasiwasi ndani ya Serikali wapo watendaji ama viongozi wasio waaminifu ambao watakuwa wamevujisha taarifa za hatua ambazo Serikali inatarajia kuzichukua dhidi kutokana na makosa makubwa aliyoyasababisha alipokuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na alipokuwa Naibu Waziri.

==>Msikilize Lusinde hapa chini akizungumza;

Basi Lagonga Treni na Kujeruhi watu Wawili

$
0
0
Watu wawili wamejeruhiwa vibaya katika ajali ya basi la Nkondo lililokuwa likitokea Arusha kwenda Mwanza baada ya kugonga kichwa cha treni eneo la Karogho Relini katika Manispaa ya Shinyanga.

Kamanda wa Jeshi la Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo saa tatu usiku juzi barabara kuu iendayo Maganzo wakati basi hilo lenye namba za usajiri T 693 BUW aina ya Youtong mali ya Kampuni ya Nkondo likiendeshwa na dereva Emmanuel Warengo (34).

Kamanda alisema katika ajali hiyo, watu wawili Ramadhani Juma (38) na Eva Brown (29) walijeruhiwa kwa kuumia kifuani na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa kupata matibabu. 

Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa basi kutochukua tahadhari wakati wa kuvuka barabara katika njia ya treni na alikimbia baada ya ajali hiyo na Polisi wanaendelea kumtafuta.

Katika matukio mengine, Polisi imefanya oparesheni na kuwakamata watuhumiwa 29 wa makosa mbalimbali, kati ya hao saba kwa tukio la ukataji panga kikongwe mmoja aliyepo wilayani Kishapu. 

Kamanda alisema katika oparesheni hiyo walikamata pikipiki saba, mifuko ya saruji 14, magodoro mawili, vifaa vya kupigia ramli chonganishi, vifaa vya kufanyia uhalifu, difu 15 za matolori, mabomba 14 ya kutengenezea pombe aina ya gongo, mashine za kuvutia maji mbili na ya kuchomelea moja.

Bashe: Mimi io Mbunge wa "Ndio Mzee"

$
0
0
Mbunge wa Nzega Mjini(CCM) Hussein Bashe amefunguka na kusema wakati anaomba kura na Mhe. Rais Dkt. Magufuli mwaka 2015 alimwambia kiongozi huyo kuwa yeye hawezi kwenda bungeni na kuwa kati ya wale wabunge wa kusema 'Ndiyo' mzee.

Bashe amesema hayo jana alipokuwa akiongea na wananchi wa jimbo la Nzega akiwaeleza mambo mbalimbali ambayo yamefanyika katika miaka miwili jimboni hapo toka alipochaguliwa kuwa Mbunge Oktoba 25, 2015.  

"Mimi nikienda Bungeni nikisimama naposema nasema kweli kwa sababu kiapo cha CCM kinasema 'daima nitasema kweli unafiki kwangu mwiko' 

"Huo ndio msimamo wangu na siku naomba kura na Mhe. Rais nilimwambia Rais jukwaani kwamba Mhe. Rais mimi siendi kuwa Mbunge wa ndio mzee bali mimi naenda kutimiza wajibu wangu na wajibu wangu ni kuisimamia, kuishauri na kuikosoa serikali" alisema Bashe

Aidha Mbunge huyo alisema ataendelea kubaki na msimamo wake huo wa kuisimamia serikali labda mpaka wazee wa jimboni kwake wamshauri vinginevyo ili na yeye akiingia akae kimya avute pesa na kutulia kimya.

"Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi kumuachia mtoto wa jirani kutatua matatizo ya ndani ya nyumba yenu na huo ndiyo msimamo wangu,  lakini wazee mkisema baba eeh wewe nenda kawa mzee wa ndiyo mzee, zikija vuta saini nenda zako mtaani basi nitafanya hivyo kwa sababu nitakula good time kama wabunge wengine" alisisitiza Bashe

Mbali na hilo Bashe amewaahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa wanapoelekea mwaka wa 2020 kuwa changamoto ya maji, umeme itakuwa historia jimboni hapo na kusema katika suala la elimu watahakikisha wanafika kiwango ambacho watajivunia. 

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

$
0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280  AU 0713293988

Dawa ya Asili ya Tatizo Sugu la Nguvu za Kiume.

$
0
0
MAPRO POWER NO 3; NI DAWA YA NGUVU ZA KIUME KWA WANAOSHINDWA KURUDIA TENDO NA KUKOJOA HARAKA :

Tatizo LA kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na matatizo yafuatayo;
 1 kupiga punyeto au kujichua
 2 kufanyiwa tohara ukubwani 
3 utumiaji usio na mpangilio madawa ya ospitalini au ya kizungu 
4 usongo wa mawazo 
5 magonjwa ya moyo, PRESHA, kisukari, kuvimba kwa korodoni, vidonda vya tumbo, tumbo kujaa gesi au kuunguruma, unene kupita kiasi nk

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha kutofanyika vema kwa tendo la  ndoa na kutojiamini na hivyo husababisa ndoa au mahusiano mengi kuvunjika 

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI 
1 KUWAHI KUJOA HALAKA 
2. KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA 
3. KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA 
4 UUME KUSIMAMA UKIWA LEGELEGE NK 

TUMIA MANGUNGU MIX kwa wale wenye uume mdogo,na mwembamba utapata saiz upendayo urefu inchi 1-8 na unene sentimita 1-5. Dawa hizi ni za mitishamba na HAZINA MADHARA YOYOTE 

KUNA DAWA ZA KUMRUDISHA mpenzi kwa mda mfupi tu, kupata kazi haraka, kurudishwa kazini.Je unakesi au umedhurumiwa au unadaiwa 

JE HUJAPATA MTOTO, MPENZI WAKO HAKUTIMIZII MAITAJI YAKO>>???? NJOO SASA UJACHELEWA 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU NYUMA YA HOSPITALI 

SIMU NA 0743362017,  0686980006 -DR AGU 

KAMA HUNA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UTALETEWA POPOTE

Tiba ya Asili ya Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha na Nguvu za Kiume

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wangu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Ile Tiba Sahihi Ya Matatizo Haya 

CHAZO CHAKE NA VISABABISHO VYAKE:
DALILI:-Mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata Choo vizuri hata ukipata Choo kinakuwa kigumu Kama cha mbuzi ,Misuri  kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. Miguu kuuma na kuwaka au kufa ganzi

TIBA YAKE:
RADI-90-POWER---Ni dawa ya vidonge asilia iliyo tengenezwa kutokana na miti shamba yenye uwezo mkubwa kabisa ktk kutibu matatizo (4) Kwa wakati ==>(1)Huongeza nguvu za kiume maradufu (2)kati ya umri (15-90)(3)hurefusha na kunenepesha uume mdogo kadrii upendavyo inch (6-8)kwa dakika (15)tu.(4)kuchelewa kufika kileleni (5)kuimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa. 

Nini huchangia kuwa na matatizo Kama haha? Kisukari,Presha,Ngiri,Zinaa,Kiuno kuuma, Tumbo kuunguruma na kujaa gesi,kutopata Choo vizuri, Mgongo kuuma. 

RADI-90-POWER:-Hutibu na kumaliza matatizo haya kwa mda mfupi tu na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika(45)kwa tendo(1) na utarudia Mara (5)na zaidi bila kuchoka huanza kazi baada ya dakika( 30)tu.Pia huongeza Hamu ya kufanya tendo la ndoa maradufu(2),Kumbuka tatizo hili si geni, kigeni ni tiba sahihi ya kutibu matatizo haya na pia ina guarantee ya miaka(65)na zaidi. 

Tunatibu :---Kisukari, Presha, uzazi, Ngiri, Pumu, maralia sugu, vidonda vya tumbo, chango aina zote, kifua kikuu na busha bila upasuaji. 

ITUJA NO2:--Nidawa ya mvuto wa biashara, kazi, kupandishwa cheo, kupendwa na mwajiri, kumvuta mme/mke,mpenzi, hawara, mchumba unaye muhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zake kwa dhati utampata kwa lisaa limoja (1)tu na atatulia daima na kumfunga asitoke nje ya ndoa.

BOMBA2:--Ni dawa ya kupunguza matiti makubwa, unene turbo, kitambi,mafuta mwilini,uzito,toa fangasi makovu, chunusi, nyama zembe, michirizi, kwa siku tatu (3)tu.NO7:--Inaongeza makalio, Hips, miguu kwa saizi uipendayo kwa siku (2)tu.

HUDUMA HIZI Na zingine nyingi UTAZIPATA popote TANZANIA Name NJE YA NCHI:--MUONE DR SHARIF AU PIGA SIMU NO:-0659347707, 0763483813 ,0688991509,0659347707.  DR SHARIF

Tamisemi yasitisha ajira mpya za afya

$
0
0
Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesitisha ajira mpya za kada ya afya zilizoombwa kwa kipindi cha Agosti mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa Oktoba 31 na Tamisemi ikieleza kusitisha ajira hizo kwa walioitwa kazini.

Taarifa hiyo iliwataarifu waajiri na waombaji wote wa nafasi za ajira za kada za afya kuwa imesitisha zoezi hilo kwa muda mfupi ili kukamilisha taratibu za ajira.

“Tafadhali rejeeni tangazo letu lenye Kumb. Na CD. 162/355/01 la tarehe 30 Oktoba, 2017 lililowataarifu waombaji wa kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya walioomba kazi kuanzia 25/07 - 30/08/2017,” ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imethibitishwa kutolewa na Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Zainabu Chaula ambaye alisema  kuwa ni kweli wamesitisha kwa muda kwa sababu za kiufundi na halihusiani na madaktari wa Kenya.

TSSF Yatangaza Kuwasaidia Waliokosa Mikopo ya Elimu ya Juu......Soma Hapa Kujua Zaidi

$
0
0
Taasisi ya Msaada wa Kijamii Tanzania (TSSF) imesitaka wanafunzi waliokosa mikopo ya elimu ya juu kujitokeza kuomba ufadhili wanaoutoa kwa riba nafuu.

Zaidi ya wanafunzi 50,000 hawatanufaika na mikopo hiyo kwa ajili ya kufanikisha kusoma katika vyuo vya elimu ya juu kwa mwaka 2017/18.

Lakini taarifa iliyotolewa jana na mkurugenzi mkuu wa TSSF, Donati Salla inasema wanufaika ni wanafunzi wanaoendelea na masomo ngazi ya shahada na stashahada kutoka chuo chochote kinachotambulika na Serikali.

Pia, amesema mwanafunzi ambaye ana matarajio ya kujiunga na masomo ya shahada ya kwanza mwaka wa masomo 2017/18 naye anaruhusiwa kutuma maombi ya mkopo huo.

Taarifa hiyo inasema mwombaji lazima awe na mdhamini ambaye ni mtumishi wa umma mwenye sifa ya umri wa kudumu kazini kwa kipindi kisichopungua miaka mitano kabla ya kustaafu.

“Umri huo unahesabiwa baada ya mwanafunzi kumaliza miaka miwili tangu alipohitimu masomo yake. Kama mwombaji ni mtumishi wa umma anaweza kujidhamini mwenyewe,” alisema Salla.

“Mwombaji ni lazima awe ni mwanafunzi anayeendelea au anayetarajia kujiunga na taasisi ya elimu ya juu ambayo ipo ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na mkopo huu ni maalumu kwa wanafunzi ambao hawana mkopo kabisa,” alifafanua.

Alisema mwombaji asiye na mdhamini mwenye sifa hizo, atapaswa kulipa ada ya dhamana ya mkopo atakayopewa na TSSF ambayo ni asilimia mbili ya mkopo kwa mwombaji ambaye atapata mkopo chini ya Sh4 milioni au asilimia 3 ya mkopo utakaoanzia Sh4 milioni.

Mkurugenzi mkuu huyo alifafanua aina za mikopo akisema TSSF inalipa gharama zote za mafunzo ya elimu ya juu kuanzia mwaka wa kwanza mpaka wa mwisho ambazo ni ada, chakula, malazi, vitabu, stesheni, posho ya mazoezi kwa vitendo na posho ya utafiti.

Alisema kipaumbele kitatolewa kwa wanafunzi waliokosa mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) na baada ya kuwahudumia hao watawafikiria waliopata mikopo kidogo kutoka HESLB.

Alisema kutakuwa na mkopo wa nyongeza ambao unagharimia sehemu ya mahitaji ya mwanafunzi anapokuwa chuoni kuanzia anapoomba mkopo huo hadi anapohitimu masomo.

“Mkopo huu ni maalumu kwa wanafunzi ambao wanafadhiliwa na HESLB kwa asilimia sifuri hadi 50 au analipiwa ada tu bila gharama za chakula na malazi au kulipiwa chakula na malazi bila ada,” alisema na kuongeza:

“Mkopo huu unahusu wanafunzi ambao wanatoka familia zenye kipato cha kati ambao wanaweza kujilipia sehemu ya gharama za masomo ila si zote. Mwombaji wa mkopo huu anapaswa kuomba hitaji lake moja kwa moja.”

Salla alisema waombaji wanaweza kutembelea tovuti ya TSSF na kwamba Novemba 30 kutakuwa na mkutano kati ya taasisi hiyo na wakuu wa taasisi za elimu ya juu utakaojadili masuala mbalimbali, hasa ushiriki wao katika utoaji mikopo.

==>Ingia <<HAPA>> Kupata Fomu na Maelekezo

Mtalaam Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu,vidonda Vya Tumbo,busha,nguvu Za Kiume

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU,VIDONDA VYA TUMBO,BUSHA,NGUVU ZA KIUME,KISUKARI,MIVUTO YOTE,KUSAFISHA NYOTA,KURUDISHA MALI,NK.
 
Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani
 
Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI,KIUNO KUUMA,MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA,KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO,NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni SUPER SAYI 3,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu 

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

SUPER SAYI 4 Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI,PRESHA,UZAZI,NGIRI,PUMU,MALARIA SUGU,VIDONDA VYA TUMBO,CHANGO AINA ZOTE,BP,BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR UPENDO ANAPATIKA KADA YA ZIWA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM HUDUMA HIZI UTAZIPATA MAGOMENI 

SIMU NO 0753 15 30 26, 0715 26 85 10 

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images