Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rais Magufuli afanya uteuzi wa wakuu wa mikoa, makatibu wakuu......Yumo Kashilillah, Mnyeti, Ernest Mangu

$
0
0
Rais John Magufuli amemteua aliyekuwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilillah kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, huku aliyekuwa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu akiteuliwa kuwa balozi.

Dk Kashilillah ameteuliwa ikiwa ni takriban wiki tatu kupita tangu alipoondolewa katika wadhifa wa Katibu wa Bunge, nafasi iliyochukuliwa na Stephen Kigaigai.

Rais Magufuli Mei 28,2017 alitengua uteuzi wa IGP Mangu na kumteua Simon Sirro kushika wadhifa huo.

Mangu anasubiri kupangiwa kituo cha kazi pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Dk Aziz Mlima.

Uteuzi wa Rais Magufuli, uliotangazwa  Alhamisi Oktoba 26,2017 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi uliwahusu pia, makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu na wakuu wa mikoa ambao wataapishwa  Ijumaa Oktoba 27,2017 mchana Ikulu jijini Dar es Salaam.

Balozi Kijazi amesema Rais Magufuli amewateua naibu makatibu wakuu wapya saba na kuwapandisha naibu makatibu wakuu wanne kuwa makatibu wakuu kwenye baadhi ya wizara.

Pia, amewahamisha makatibu wakuu wanne na naibu katibu mkuu mmoja kwenda kwenye wizara nyingine.

Balozi Kijazi amesema katika nafasi za wakuu wa mikoa, Rais Magufuli amewateua wa mikoa sita, miongoni mwao ni aliyewahi kuwa waziri katika utawala uliopita wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete, Adam Malima anayekwenda Mkoa wa Mara.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Alexander Mnyeti amepandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara.

Balozi Kijazi amesema wakuu wa mikoa walioondolewa kutokana na kustaafu ni Joel Bendera (Manyara), Meja Jenerali mstaafu Ezekiel Kyunga (Geita) na Kamishna Msaidizi Mwandamizi mstaafu wa Polisi, Zelothe Stephen (Rukwa).

Wakuu wa mikoa walioachwa ni wa Mtwara, Halima Dendego, Jordan Rugimbana (Dodoma) na Dk Charles Mlingwa (Mara).

Amesema Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Joackim Wagambo ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Robert Gabriel amekuwa Mkuu wa Mkoa wa Geita na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Christine Mndeme akiwa mkuu wa mkoa huo.

Galesius Byakanwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.

Waziri Kalemani awaomba radhi wananchi kwa kukatika umeme nchi nzima

$
0
0
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewaomba radhi wananchi kufuatia kukatika kwa umeme nchi nzima Oktoba 25 na 26, 2017 kulikosababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa.

Dkt. Kalemani ambaye alikuwa mjini Dodoma akishiriki vikao vya kamati za bunge, alilazimika kusafiri jana asubuhi Oktoba 26, 2017 kuja jijini Dar es Salaam ili kufuatilia juhudi za kurekebisha tatizo hilo.

“Ndugu wananchi hali ilivyotokea sisi kama Shirika la TANESCO na Serikali tunawataka radhi wananchi kwa matatizo yaliyotokea lakini niseme tu kwamba kuna hatua madhubuti zinazochukuliwa hivi sasa kurekebisha hali hiyo ili wananchi muendelee kupata umeme wa uhakika.” alisema.

Dkt. Kalemani katika taarifa yake kwa wananchi aliyoitoa makao makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam baada ya ziara yake ya kutembelea kituo cha udhibiti cha Gridi ya Taifa, (GCC), kilichoko Ubungo na kituo cha kufua umeme wa gesi cha Kinyerezi1 jijini  Dar es Salaam.

Taarifa za awali zilieleza kuwa kukatika kwa umeme kulisababishwa na “Gridi kuchomoka” Oktoba 25, 2017 majira ya saa 10:08 alfajiri na kurejea saa 12:09 asubuhi ambapo umeme ulirejea mikoa yote isipokuwa Zanzibar, ingawa juhudi za mafundi wa TANESCO ziliwezesha umeme kurejea Zanzibar majira ya saa 1 asubuhi.

Hata hivyo tatizo hilo lilirejea tena majira ya saa 12:30 jioni siku hiyo hiyo ya Oktoba 25, 2017, ambapo takriban mikoa yote iliathirika. Umeme ulirejea tena majira ya saa 3 usiku lakiji ilipofika Oktoba 26, 2017 majira ya saa 12:03 tatizo hilo likajirudia tena na kuathiri takriban mikoa yote ikwiemo Zanzibar.

“Nimekuja kutoka Dodoma ili kuona nini kimetokea, nini kimesababisha na hatua gani za haraka zichukuliwe ili kuondoa tatizo hilo hii ndio hasa dhamira ya safari yangu.” alisema Dkt. Kalemani baada ya kufika kwenye kituo cha udhibiti Gridi ya Taifa, Ubungo.

Akifafanua zaidi Dkt. Kalemani alisema, chanzo cha tatizo ni pamoja na mfumo wenyewe (GCC) na bado unafanywiwa marekebisho na taratibu zinaendelea, na kule Kinyerezi kuna mashine moja haifanyi kazi nayo inafanyiwa marekebishio ikiwa ni pamoja na valvu moja iliyoharibika nayo pia inafanyiwa kazi.

“Gridi ya taifa imerejea tangu jana usiku (Oktoba 25), na umeme unapatikana nchi nzima lakini hata hivyo yapo maeneo machache ambayo hayapati umeme wa kutosha kwa sababu mtambo mmoja wa Ubungo namba mbili wenye jumla ya megawati 129 haujaanza kufanya kazi,

“Nimeelekeza wataalamu wafanye kazi usiku na mchana na wamenihakikishia kufikia saa 5 asubuhi kesho  (Oktoka 27), mtambo huo utaanza kufanya kazi na umeme utarejea katika hali yake ya kawaida.” alisema.

Na Khalfan Said, K-VIS Blog

CHADEMA Kukimbilia Mahakamani Kumnasua Mkurugenzi wake Polisi

$
0
0
Baada ya Polisi kuendelea kumshikilia Mkurugenzi wa Chadema wa Operesheni na Mafunzo, Kigaila Benson chama hicho kimesema kimekwenda Mahakama Kuu kuiomba itoe amri kwa jeshi hilo kumfikisha kortini.

Wakati Chadema ikisema hayo, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa jana  Alhamisi Oktoba 26,2017 alisema, “Upelelezi unaendelea na huenda kesho(Ijumaa hii) akafikishwa mahakamani.”

Kigaila anashikiliwa na polisi tangu Jumatatu Oktoba 23,2017 aliporipoti Kituo Kikuu cha Polisi cha kanda hiyo kuitikia wito wa jeshi hilo.

Taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Chadema, Tumaini Makene iliyotolewa jana Oktoba 26,2017 imesema baada ya kumaliza mahojiano, askari kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO), waliokuwa wakimhoji Kigaila walisema hawana mamlaka ya kumwachia kwa dhamana.

Makene alisema sababu waliyoitoa ni kwamba wakubwa na wenye mamlaka ya kuruhusu dhamana au kutoa dhamana hawakuwepo ofisini.

“Juhudi za mawakili waliokuwepo polisi kumpatia Kigaila msaada wa kisheria, kueleza kuwa dhamana ni haki yake kwa mujibu wa sheria, huku wakihoji ni kwa nini kusifanyike mawasiliano ili hao wakubwa watoe ruhusa hiyo hata kama wako nje ya ofisi, hazikufua dafu!” alisema Makene.

Alisema tuhuma alizohojiwa Kigaila zilihusu kauli za uchochezi anazodaiwa kuzitoa Septemba 12,2017 siku chama hicho kilipotoa tamko la maazimio ya kikao cha dharura cha Kamati Kuu iliyoketi kujadili tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa  mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu.

Makene alisema kwa kuitikia wito wa Jeshi la Polisi na kwenda mwenyewe kituoni, ni sababu inayojitosheleza kuonyesha kuwa Kigaila ni mwaminifu na anatoa ushirikiano kwa sheria za nchi.

“Bila kumfikisha mahakamani au kumwachia huru, tafsiri yake ni kwamba Kigaila anashikiliwa na jeshi hilo kinyume cha sheria za nchi,” alisema.

Alisema Chadema imeagiza Kurugenzi ya Katiba na Sheria kuratibu na kusimamia hatua za kisheria ili kuhakikisha Kigaila anapata haki zake za msingi kwa mujibu wa sheria za nchi.

Polepole awatahadharisha wanaotaka kuhamia CCM

$
0
0
Katibu wa Itikadi na wa na Uenezi CCM Taifa, Ndg. Humphrey Polepole amewatahadharisha watu wanaotaka kujiunga ndani ya Chama Cha mapinduzi kwa kudhani kwamba kuna namna rahisi ya kupata pesa asiende ndani ya Chama hicho kwa sasa.

Akifanya mahojiano maalumu na East Africa Tv, Polepole amesema kwamba  mambo ambayo yanatajwa na kuhusishwa kwenye CCM kama Rushwa na ununuzi wa madiwani hayana nafasi ndani ya chama chao kwani havina mashiko kwani ni kinyume na misingi pamoja na imani ya chama hicho hivyo watu wasijipe imani kuhamia huko wakidhani watapata nafasi.

Polepole amesema kwamba anafahamu kwamba wapo viongozi wengi sana wanaotaka kuingia kwenye chama cha mapinduzi kuliko hata wale ambao tayari wamekwisha pokelewa na hiyo ni kwa sababu chini ya uongozi wa awamu ya tano wameweza kufikia matarajio na yale ambayo yalikuwa yakipigiwa kelele.

"Waliokuja CCM ni wachache mno. Bado wapo viongozi wengi sana ambao wapenda kuja kwenye chama chetu, nikiri ni wengio kuliko ambao tumewapa ridhaa. 

"Wengi ambao wanaomba kurejea kwenye chama cha mapinduzi ni wale waliokuwa tofauti na CCM lakini kinachofanya na ndugu yetu Magufuli ndicho walichokuwa wakitaka kukiona kwa muda mrefu..... 

"Watu wengi waliamini CCM ni ileile ni kweli  lakini ni ilele imekuwa chama ambacho kinaongozwa katika misingi ambayo ipo kwenye katiba...." Amesema Polepole

Polepole amesema kwamba kwa sasa CCM imejikita kuwa chama cha wanachama wenyewe na siyo kuwa kikundi cha watu ambacho kinatatua matatizo ya watanzania.

Sababu Zilizowafanya Wazee wa Baraza Wamtie Hatiani Lulu Michael

$
0
0
Wazee wa baraza wameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwa mwigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu Lulu amehusika kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba.

Wakitoa maoni yao jana baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili, wazee hao walieleza kuwa Lulu ndiye aliyesababisha kifo cha mpenzi wake huyo wakati wa ugomvi baina yao usiku wa Aprili 7, 2012.

Wakizungumza mmoja baada ya mwingine, wazee Omary Panzi, Sarah Lugoma na Rajabu Mlawa, walihusisha tukio la Kanumba kujibamiza kichwa ukutani na kusukumwa na mshtakiwa.

“Kutokana na sababu na uainishi wa kesi (ushahidi) wa pande zote, mimi kwa upande wangu nimeridhika kuwa Elizabeth (Lulu) ameua bila kukusudia,” alisema mzee Mlawa na kuongeza: “Katika ugomvi, inawezekana hekaheka za kujinusuru, alitumia nguvu kumsukuma Kanumba na kuanguka ukutani. Hivyo, kwa maoni yangu kosa la kuua bila kukusudia kwa Elizabeth limethibitika.”

Akitoa maoni yake, Sarah Lugoma alisema Kanumba alifariki dunia kutokana na ugomvi baina yake na mpenzi wake (Lulu) kwa kuwa ndani kulikuwa giza, Kanumba aliteleza wakati wa ugomvi huo akaanguka.

“Hivyo mshtakiwa aliua bila kukusudia,” alisisitiza Lugoma wakati akihitimisha maoni yake.

Mzee mwingine, Panzi alisema Kanumba aliteleza na kuanguka wakati wa ugomvi huo, mshtakiwa ndiye aliyehusika na kifo chake kwa kuua bila kukusudia.

Hata hivyo, maoni ya wazee hao wa baraza siyo hukumu halisi ya Mahakama bali yanayotokana na mtazamo wao tu katika hali ya kawaida nje ya sheria kwa namna walivyousikiliza ushahidi wa pande zote.

Hivyo, kumtia hatiani mshtakiwa huyo hakumaanishi kuwa tayari ana hatia kwa kuwa maoni hayo hayamfungi jaji katika hukumu yake ambaye huongozwa na sheria husika.

Kwa hiyo, hatima ya msanii huyo kama ana hatia au la itabainishwa na Mahakama Novemba 13 wakati Jaji Sam Rumanyika anayesikiliza kesi hiyo atakapotoa hukumu.

Jaji Rumanyika aliwakumbusha wazee hao muhtasari wa ushahidi uliotolewa na pande zote kabla ya kutoa maoni yao.

Jaji Rumanyika akieleza kwa ufupi kilichozungumzwa na kila shahidi wa pande zote, alitoa mwongozo kwa wazee hao pamoja na mambo mengine, kutoa maoni yao bila kuongozwa na huruma wala kuogopa chochote.

“Mnalo jukumu la kutoa maoni yenu bila kuongozwa na huruma wala vitisho. Mnatakiwa kutoa maoni yenu kwa mujibu wa ushahidi mliousikia,” alisema Jaji Rumanyika.

Aliwaeleza kuwa kama walivyosikia ushahidi wa upande wa mashtaka kuwa umejikita kwenye ushahidi wa kimazingira, mshtakiwa ndiye aliyekuwa mtu wa mwisho kuwa na Kanumba.

Alisema ushahidi wa kimazingira lazima uwe ni vipande ambavyo ni mnyororo (muunganiko) unaomhusisha mshtakiwa kuwa ndiye ametenda kosa.

“Kama mkiona kuwa mshtakiwa ametoa maelezo ya kutosheleza basi mnaweza kusema hana hatia, lakini kama mna maoni tofauti pia mtaniambia,” alisema Jaji Rumanyika na kuongeza:

“Mkiona kuwa kifo hicho kilitokana na ugomvi, basi shtaka lake huwa ni la kuua bila kukusudia, mkishawishika kwa vyovyote na kwa namna yoyote ile mshtakiwa hakuhusika na kifo hiki msisite pia kunipa maoni yenu.”

Dkt. Kigwangalla atua Loliondo, afanya kikao kizito na Kamati ya Ulinzi na Usalama Ngorongoro

$
0
0
Waziri wa maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigangwala amesema kuwa watoa huduma mbalimbali za utalii watatakiwa  kufuzu mtihani kabla ya kupewa leseni mpya kuanzia Januari 2018 ambapo Serikali itaandaa utaratibu mpya katika sekta hiyo.

Ambapo alisema kuwa Wizara yake iko katika mchakato wa kuandaa mwongozo kwa ajili ya makampuni ya utalii nchini pamoja na kufunga mashine maalumu ambayo itadhibiti mapato yatokanayo na utalii.

Aliongeza kuwa wizara yake itarekebisha mfumo wa watoa huduma katika sekta hiyo ambao umekuwa ukilalamikiwa na wadau mbalimbalui hasa watoa huduma za utalii wanaowashawishi watalii kutoka nchi mbalimbali za nje kuja kutembelea vivutio vya utalii vilivyoko nchini.

Dk. Kigangwala aliyasema hayo jana wakati alipokuwa anazungumza na watumishi wa Shirika la hifadhi la Taifa (Tanapa)katika ziara yake ya kutembelea ofisi mbalimbali za shirika hilo.

Alisema lengo hasa lakuanzisha mchakato huo utakaoanza kutumika mapema mwakani nikuweka vigezo vitakavyotolewa na Serikali kwa makampuni ili kuhakikisha wanakuwa na wahudumu watakaothibitishwa na wizara yake na kutoa cheti maalum kwa kila anaetoa huduma hiyo ya utalii.

Waziri huyo alisema lengo nikuboresha huduma za utalii ili kuwezesha upatikanaji bora wa huduma za utalii na mapato ambayo yanainua uchumi kwani Tanzania sasa inashindana na nchi mbalimbali katika kuvitangazavivutio vya utalii ili kuhakikisha watalii wenguwanakuja zaidi nchini kwetu.

Pia aliongeza kuwa watoa huduma za utalii wanapaswa kuzungumza vizuri kutoka nchi mbalimbali ili waweze kuja lakini pia waangalie jinsi ya kuboresha huduma za utalii ikiwemo mapatona mfumo huu mpya wa kukusanya mapatio ua sekta ya utalii kuboreshwa kuongeza mapato kwa mfumo wa kieletronik.

Aliongeza kuwa maeneo wanayoweka mkazo zaidi ni ukusanyaji wa mapato hiyvyo kutakuwa na dirisha moja litakalounganisha taasisi za utalii kujua mapato yanayoingia nikiasi gani na mtalii anakaa nchini kwa muda gani na hoteli ip na kujua mapato yamnayokusanywa kwa sekta ya utalii yanakuwa kwa kiasi gani.

Kwa upande wake Mkurugeni wa Tanapa Allan Kijazi alisema kuwa utaratibu huo utakuiwa mzuri na kpia wako katika mchakato wa kufungua ofifi katika mkoa wa dodoma ili kuweza kusogeza huduma mbalimbali zinazotoklewa nashirika huilo ili kuboresha sekta ya utalii na kuongeza pato la nchi kupitia sekta hiyo.

Taarifa kuhusu kuapishwa kwa viongozi wapya walioteuliwa na Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 27 Oktoba, 2017 saa 8:00 mchana atawaapisha Makatibu Wakuu wapya, Naibu Makatibu Wakuu wapya na Wakuu wa Mikoa wapya baada ya jana tarehe 26 Oktoba, 2017 kufanya mabadiliko katika safu ya uongozi wa nyadhifa hizo.
 
Kufuatia mabadiliko hayo safu ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu itakuwa kama ifuatavyo;
  1. Ofisi ya Rais Ikulu.
  • Katibu Mkuu – Bw. Alphayo Kidata
  1. Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
  • Katibu Mkuu (Utumishi) – Dkt. Laurian Ndumbaro
  • Naibu Katibu Mkuu – Dorothy Mwaluko (ATAAPISHWA)
  1. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
  • Katibu Mkuu – Mhandisi Mussa Iyombe
  • Naibu Katibu Mkuu(Afya) – Dkt. Zainabu Chaula
  • Naibu Katibu Mkuu(Elimu) – Bw. Tixon Nzunda
  1. Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira.
  • Katibu Mkuu – Mhandisi Joseph Kizito Malongo (ATAAPISHWA)
  • Naibu Katibu Mkuu – Bi. Butamo Kasuka Phillipo (ATAAPISHWA)
  1. Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.
  • Katibu Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) – Bw. Erick Shitindi
  • Katibu Mkuu(Bunge na Waziri Mkuu) – Maimuna Tarishi
  • Katibu Mkuu(Sera na Uratibu) – Prof. Faustine Kamuzora
  1. Wizara ya Kilimo.
  • Katibu Mkuu – Mhandisi Methew Mtigumwe
  • Naibu Katibu Mkuu – Dkt. Thomas Didimu Kashililah (ATAAPISHWA)
  1. Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
  • Katibu Mkuu (Mifugo) – Dkt. Maria Mashingo
  • Katibu Mkuu (Uvuvi) – Dkt. Yohana Budeba
  1. Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
  • Katibu Mkuu (Ujenzi) – Mhandisi Joseph Nyamuhanga
  • Katibu Mkuu (Uchukuzi) – Dkt. Leonard Chamriho
  • Katibu Mkuu (Mawasiliano) – Dkt. Maria Sassabo
  • Naibu Katibu Mkuu (Mawasiliano) – Mhandisi Anjelina Madete
  1. Wizara ya Fedha na Mipango.
  • Katibu Mkuu – Doto James Mgosha
  • Naibu Katibu Mkuu (Utawala) – Bi. Susana Mkapa (ATAAPISHWA)
  • Naibu Katibu Mkuu (Fedha za Nje) – Bi. Amina Shaaban
  • Naibu Katibu Mkuu (Sera) – Dkt. Khatibu Kazungu
  1. Wizara ya Nishati.
  • Katibu Mkuu – Dkt. Hamis Mwinyimvua
  1. Wizara ya Madini.
  • Katibu Mkuu – Prof. Simon S. Msanjila (ATAAPISHWA)
  1. Wizara ya Katiba na Sheria.
  • Katibu Mkuu – Prof. Sifuni Mchome
  • Naibu Katibu Mkuu – Amon Mpanju
  1. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
  • Katibu Mkuu – Prof. Adolf F. Mkenda
  • Naibu Katibu Mkuu – Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi
  1. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
  • Katibu Mkuu           – Dkt. Florence Turuka
  • Naibu Katibu Mkuu – Bi. Immaculate Peter Ngwale
  1. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
  • Katibu Mkuu           – Meja Jen. Projest Rwegasira
  • Naibu Katibu Mkuu – Balozi Hassan Simba Yahaya
  1. Wizara ya Maliasili na Utalii.
  • Katibu Mkuu – Meja Jen. Gaudence Milanzi
  • Naibu Katibu Mkuu – Dkt. Aloyce K. Nzuki
  1. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Katibu Mkuu – Dorothy Mwanyika (ATAAPISHWA)
  • Naibu Katibu Mkuu – Dkt. Moses M. Kusiluka
  1. Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
  • Katibu Mkuu – Prof. Elisante Ole Gabriel
  • Naibu Katibu Mkuu (Viwanda) – Ludovick J. Nduhiye (ATAAPISHWA)
  • Naibu Katibu Mkuu (Biashara na Uwekezaji) – Prof. Joseph Buchwaishaija (ATAAPISHWA)
  1. Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
  • Katibu Mkuu – Dkt. Leonard Akwilapo
  • Naibu Katibu Mkuu – Prof. James Epiphan Mdoe
  • Naibu Katibu Mkuu – Dkt. Ave-Maria Semakafu
  1. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
  • Katibu Mkuu (Afya) – Dkt. Mpoki Ulisubisya
  • Katibu Mkuu (Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto) – Bi. Sihaba Nkinga.
  1. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
  • Katibu Mkuu – Bi. Suzan Paul Mlawi (ATAAPISHWA)
  • Naibu Katibu Mkuu – Nicholaus B. William (ATAAPISHWA)
  1. Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
  • Katibu Mkuu – Prof. Kitila Mkumbo
  • Naibu Katibu Mkuu – Mhandisi Emmanuel Kalobelo
Mhe. Rais Magufuli atawaapisha Wakuu wa Mkoa 6 aliwateua jana kama ifuatavyo;
 
Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Bw. Alexander Pastory Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Kabla ya uteuzi huu Bw. Mnyeti alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Joel Bendera ambaye amestaafu.
 
Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Bw. Joackim Leonard Wangabo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa. Kabla ya uteuzi huu Bw. Wangabo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu na anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Zelote Stephen ambaye amestaafu.
 
Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Bw. Robert Gabriel Luhumbi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Geita. Kabla ya uteuzi huu Bw. Luhumbi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe na anachukua nafasi ya Meja Jen. Ezekiel Kyunga ambaye amestaafu.
 
Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Bw. Adam Kigoma Malima kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Bw. Adam Kigoma Malima anachukua nafasi ya Dkt. Charles Mlingwa.
 
Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Bi. Christine Solomon Mndeme kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Kabla ya uteuzi huu Bi. Mndeme alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini na anachukua nafasi ya Bw. Jordan Rugimbana.
 
Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Bw. Gelasius Gasper Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Bw. Byakanwa alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai na anachukua nafasi ya Bi. Halima Dendego.
 
Tukio la kuapishwa kwa viongozi hawa litarushwa moja kwa moja (Live) kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam kupitia vyombo vya habari vya Redio na Televisheni pamoja na tovuti rasmi ya Ikulu ambayo ni www.ikulu.go.tz
 
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
27 Oktoba, 2017

Mvua Yasababisha Madhara Makubwa Jijini Dar.......Watu 6 Wahofiwa Kusombwa na Maji

$
0
0
Mvua  iliyonyesha usiku wa kuamkia jana, iligeuka kuwa balaa baada ya kusababisha madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na watu sita kutojulikana walipo na zaidi ya nyumba kubomoka eneo la Mbezi.

Kama ilivyo kawaida jijini Dar es Salaam, mvua hiyo iliharibu miundombinu ya usafiri ya maeneo kadhaa, ikisababisha baadhi ya barabara kutopitika na Kampuni ya Mabasi Yaendayo Kasi (Udart) kulazimika kusimamisha shughuli zake.

Udart imesema jana kuwa ilisitisha huduma kutokana na eneo la Jangwani, ambako kuna ofisi zake, kujaa maji hivyo kuathiri shughuli zake.

“Tumesitisha huduma za mabasi yote kutokana na eneo la Jangwani kujaa maji,” alisema mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Udart, Deus Bugaywa.

Barabara kadhaa zilikuwa hazipitiki magari na watembeao kwa mguu, huku mitaa kadhaa ya maeneo ya Jangwani ikiwa imefurika maji na kusababisha wakazi kukimbilia Barabara ya Kigogo-Mabibo kushuhudia maji hayo, ambayo pia yalifurika hadi juu ya daraja la Kigogo Mwisho.

Wakazi wa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam walikumbwa na mshangao jana alfajiri wakati walipokuta maeneo yao yamefurika maji kutokana na mvua hiyo iliyonyesha kuanzia juzi jioni na kuendelea usiku kuamika jana. Baadhi walishuhudia nyumba zao zikibomka na madaraja kukatika.

Mvua hizo zilisababisha daraja eneo la Mbezi kuvunjika na hivyo basi la daladala lililokuwa limebeba abiria kutoka Segerea kuelekea Mbezi Mwisho lilikwama daraja baada ya kuzidiwa na kasi ya maji yaliyofunika daraja hilo.

Abiria waliokuwa ndani ya daladala hilo waliokolewa wote huku mmoja wao akizimia na kupelekwa hospitali.

Mvua hiyo pia ilisimamisha shughuli za kijamii, wananchi walishindwa kwenda kazini wakiwamo wanafunzi ambapo walishindwa kufika shuleni kutokana.

Maji yalijaa barabarani huku shughuli za usafiri zikisimama , maduka na vibanda vya biashara vilifungwa na vingine vikisombwa na maji.

Pia mwenyeki wa Mtaa wa Kiluvya kwa Komba, Julius Mgini alisema watu sita wanasadikiwa kusombwa na maji eneo hilo akiwamo mtoto mmoja na nyumba za familia tatu zimebomoka.

“Katika eneo langu kuna daraja limekatika na watu sita wanasadikiwa kusombwa na maji. Waliosombwa ni pamoja na mtoto mdogo ambaye bado hatujajua umri wake,” alisema.

Hata hivyo, kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Jumanne Muliro alisema bado wanakusanya taarifa za mafuriko hayo na baadaye kuzipeleka kwa kamanda wa Kanda ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa.

Kamanda Mambosasa pia alisema wanafanya tathimini ili kujua athari za mafuriko.

==> Picha zote na Iman Nsamila


Mume na Mke Wauawa kwa Mapanga Usiku

$
0
0
Mume na mke wameuawa kwa kukatwa mapanga wakiwa wamelala nyumbani kwao.

Wanandoa hao walikuwa na kesi mbili za kugombea ardhi katika baraza la aridhi la Kata ya Hunyari, Tarafa ya Chamriho wilayani Bunda.

Ofisa Tarafa ya Chamriho Boniphace Maiga, alisema tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Oktoba 22, mwaka huu.

Aliwataja waliouawa  kuwa ni Magina   Masengwa (61) na mke wake, Sumaye Sebojimu (58) ambao wote ni wakazi wa kitongoji cha Kiborogota Kijiji cha Mariwanda wilayani Bunda.

Maiga alisema   wanafamilia hao walivamiwa usiku na watu wasiojulikana na wakiwa wamelala na kukatwa mapanga kabla ya wavamizi hao  kutoweka na kuacha maiti za watu hao ndani ya nyumba hiyo.

Maiti hao waligundulika kesho yake asubuhi na mjukuu wao aliyekuwa anakwenda shambani.

“Ofisi yangu ilipokea taarifa ya mauwaji hayo kwamba watu wawili mume na mke wameuawa kwa kukatwa mapanga.

“Kwa hiyo chanzo cha mauaji hayo inasadikika huenda kinatokana na mgogoro wa shamba kwa sababu  walikuwa na kesi mbili katika baraza la ardhi la Kata ya Hunyari,” alisema Maiga.

Alisema   polisi walimkamata   Nyangi Nyabirumo, mkazi wa kijiji hicho kwa mahojiano na anaendelea kushikiliwa Kituo cha Polisi Wilaya ya Bunda.

Maiga alitoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi.

Alisema  hali hiyo inaweza kusababisha upande wa pili nao kukasirika na kulipiza kisasi jambo ambalo  ni kinyume cha sheria.

Pata Tiba Asili ya Fangasi, Harufu Mbaya, Vidonda vya Tumbo na Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi Wanasumbuliwa na tatizo la kushidwa kushiliki vyema tendo hilo na kuwapelekea kuwa na mawazo mengi ambayo hayana majibu. Usikate tamaa MKWASHA POWER Ndio suluisho lako ina uwezo wakutibu na kumaliza tatizo hilo kwa mda mfupi sana 
 
(1)Huimarisha misuli ilio legea nakukufa uume usimame vizuri 
(2)Huongeza ham ya tendo la ndoa na itakufanya uweze kuludia tendo hilo zaidi ya Mala Tatu bila kuchoka 
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa Dk10-25 kwa tendo moja. Itamfanya mwenzi wako kufurahia  tendo hilo zaidi .Huongeza saizi ya maumbili madogo na kulefisha saizi uipendayo 

NINI CHANZO CHA TATIZO HILO;  Tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo, ugongwa wa kisukari, presha, utumiaji wa pombe kali kupita kisa, utumiaji wa dawa za kulevya, tumbo kujaa gesi, NK 

Kutana na DR.ATHUMANI ndio bingwa wa matatizo hayo pia ana tibu matatizo ya uzazi kushidwa kupata mimba mimba karibia, kupunguza unene (kitambi) vuidonda vya tumbo, fangasi sugu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kukosa ham ya tendo, kuondo harufu mbaya ukeni, Anatikana mbagala 

==>Piga simu;  0676969816- DR. ATHUMANI

Tiba ya Asili ya Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha na Nguvu za Kiume

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wangu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Ile Tiba Sahihi Ya Matatizo Haya 

CHAZO CHAKE NA VISABABISHO VYAKE:
DALILI:-Mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata Choo vizuri hata ukipata Choo kinakuwa kigumu Kama cha mbuzi ,Misuri  kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. Miguu kuuma na kuwaka au kufa ganzi

TIBA YAKE:
RADI-90-POWER---Ni dawa ya vidonge asilia iliyo tengenezwa kutokana na miti shamba yenye uwezo mkubwa kabisa ktk kutibu matatizo (4) Kwa wakati ==>(1)Huongeza nguvu za kiume maradufu (2)kati ya umri (15-90)(3)hurefusha na kunenepesha uume mdogo kadrii upendavyo inch (6-8)kwa dakika (15)tu.(4)kuchelewa kufika kileleni (5)kuimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa. 

Nini huchangia kuwa na matatizo Kama haha? Kisukari,Presha,Ngiri,Zinaa,Kiuno kuuma, Tumbo kuunguruma na kujaa gesi,kutopata Choo vizuri, Mgongo kuuma. 

RADI-90-POWER:-Hutibu na kumaliza matatizo haya kwa mda mfupi tu na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika(45)kwa tendo(1) na utarudia Mara (5)na zaidi bila kuchoka huanza kazi baada ya dakika( 30)tu.Pia huongeza Hamu ya kufanya tendo la ndoa maradufu(2),Kumbuka tatizo hili si geni, kigeni ni tiba sahihi ya kutibu matatizo haya na pia ina guarantee ya miaka(65)na zaidi. 

Tunatibu :---Kisukari, Presha, uzazi, Ngiri, Pumu, maralia sugu, vidonda vya tumbo, chango aina zote, kifua kikuu na busha bila upasuaji. 

ITUJA NO2:--Nidawa ya mvuto wa biashara, kazi, kupandishwa cheo, kupendwa na mwajiri, kumvuta mme/mke,mpenzi, hawara, mchumba unaye muhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zake kwa dhati utampata kwa lisaa limoja (1)tu na atatulia daima na kumfunga asitoke nje ya ndoa.

BOMBA2:--Ni dawa ya kupunguza matiti makubwa, unene turbo, kitambi,mafuta mwilini,uzito,toa fangasi makovu, chunusi, nyama zembe, michirizi, kwa siku tatu (3)tu.NO7:--Inaongeza makalio, Hips, miguu kwa saizi uipendayo kwa siku (2)tu.

HUDUMA HIZI Na zingine nyingi UTAZIPATA popote TANZANIA Name NJE YA NCHI:--MUONE DR SHARIF AU PIGA SIMU NO:-0659347707, 0763483813 ,0688991509,0659347707.  DR SHARIF

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

$
0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280.

Ambari Nyeupe Ni Tiba Ya Kuongeza Ukubwa Wa Maumbile Ya Kiume Yaliyo Sinyaa.

$
0
0
Ipo  idadi  kubwa  ya  wanaume  wanao  kabiliwa na  changamoto  ya  kuwa  na  maumbile  madogo  ya  kiume.  

Kama  wewe  ni  mwanaume  ulie  katika  kundi  hili, unaweza  kujitibu  tatizo  lako  kwa  kutumia dawa  asilia  itokanyo  na  AMBARI  NYEUPE.

Ambari  nyeupe  nyeupe  ikichanganywa  na  dawa  nyingine  tatu  za  asili,  hutumika  kama  tiba  ya  kuongeza  ukubwa  wa  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa.

Kwa  mahitaji  yako  ya  dawa  hii, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST & NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC.

Tunapatikana  UBUNGO  jijini Dar  Es  Salaam, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo la  UBUNGO  PLAZA.

Wasiliana  nasi  kwa  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84

Na kwa  taarifa  Zaidi  kuhusu  huduma  zetu,  tutembelee  katika  blogu  yetu :

Kampuni ya Barrick Yatenga Dola Milioni 300 kuilipa Serikali ya Tanzani........Lakini kwa Masharti Haya!

$
0
0
Licha ya kupata hasara kwenye robo ya tatu ya mwaka, kampuni ya Barrick imetenga dola 300 milioni za Marekani (zaidi ya Sh660 bilioni) kuilipa Serikali, lakini imeweka sharti; inataka iruhusiwe kusafirisha makinikia.

Acacia, kampuni tanzu ya Barrick na inayomiliki migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi, imezuiwa tangu mwezi Machi kusafirisha mchanga huo wa madini kwenda kuuyeyusha nje ya nchi kwa ajili ya kupata mabaki ya dhahabu, shaba, fedha na madini mengine yaliyoshindikana kuchenjuliwa migodini.

Baada ya majadiliano baina ya Serikali na Barrick, kampuni hiyo ya Canada ilikubali kulipa dola 300 milioni “kuonyesha uaminifu”.

Taarifa ya miezi mitatu ya Barrick (Julai-Septemba) iliyotolewa juzi, inaonyesha kuwa ilipata hasara ya dola 11 milioni (zaidi ya Sh24 bilioni) tofauti na faida ya dola 175 milioni (zaidi ya Sh385 bilioni) iliyopata katika kipindi kama hicho mwaka jana (dola moja ya Kimarekani ni sawa na takriban Sh2,200 za Tanzania).

“Kupungua kwa mapato kunatokana na kushuka kwa uzalishaji na bei ya dhahabu pamoja na zuio la kusafirisha makinikia ambalo Serikali ya Tanzania iliiwekea Acacia,” inasema ripoti hiyo.

Vilevile, Barrick inasema kupungua kwa mapato yake kumechangiwa na ongezeko la makadirio ya kodi yanayofika dola 172 milioni (zaidi ya Sh378 bilioni) zilizopendekezwa kwenye majadiliano ya mustakabali wa operesheni za Acacia nchini.

Wakati Barrick ikitenga kiasi hicho cha kodi, Acacia ina dola 128 milioni (zaidi ya Sh282 bilioni) na kufanya jumla ya dola 300 milioni zilizokubaliwa kwenye mazungumzo yaliyofanyika kwa miezi mitatu iliyopita.

Masharti hayo si ya kwanza, itakumbukwa kwamba siku chache baada ya mkutano wa kukabidhi ripoti ya majadiliano hayo, kampuni ya Acacia ilisema haiwezi kulipa Dola 300 milioni kwa mkupuo na kwamba Barrick inajua hilo.

Ofisa fedha mkuu wa Acacia, Andrew Wray alinukuliwa na vyombo vya habari akisema: “Hatuna huo uwezo kuilipa Tanzania ili tumalizane kwenye mgogoro wa kodi uliopo.”

Wray alisema hayo Oktoba 20 wakati Acacia ilipokuwa ikiwasilisha ripoti yake ya fedha kwa robo ya tatu ya mwaka iliyoishia Septemba, ikionyesha kushuka kwa mapato na faida ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.

Barrick imeiunga mkono Acacia kwenye msimamo wake kuhusu malipo hayo ya dola 300 milioni ikisema: “Kutokana na hali ya Acacia kifedha, malipo haya yanapaswa kufanywa kwa awamu yakitegemea mauzo ya dhahabu na usafirishaji wa makinikia.”

Katika robo hiyo ya tatu, faida ya Acacia imeshuka kwa asilimia 70 kutoka dola 52.878 milioni (zaidi ya Sh116.331 bilioni) mpaka dola 16.038 (zaidi ya Sh35.283 bilioni).

Wakati wa mkutano na vyombo vya habari uliofanyika Ikulu, Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi ambaye alikuwa mwenyekiti wa wawakilishi wa Serikali alisema Barrick wamekubali kutekeleza masharti yote ya sheria mpya ya madini.

Lakini kwenye taarifa yake, kampuni hiyo inasema itaendelea kuzungumza na Serikali ili kuondoa zuio la kusafirisha makinikia na kwamba mazungumzo hayo yataenda sambamba na kutafuta suluhu ya deni la kodi la kiasi cha dola 190 bilioni (zaidi ya Sh424 trilioni) ambazo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeitoza Acacia ikiwa ni malimbikizo ya kodi, faini na riba.

“Tunatarajia mazungumzo haya yatakamilika ndani ya nusu ya kwanza ya mwaka ujao,” inasema Barrick.

Pamoja na hasara hiyo ya robo ya tatu, kwa miezi yote tisa, Barrick imepata faida ya dola 1.752 bilioni (zaidi ya Sh3.854 trilioni) ambayo ni zaidi ya mara saba ikilinganishwa na iliyopata kwa muda kama huo mwaka jana. Mwaka uliopita, ilitangaza faida ya dola 230 milioni (zaidi ya Sh506 bilioni).

Mbali na taarifa hiyo ya fedha, Barrick imefafanua kwa wadau wake kuhusu makubaliano yaliyoafikiwa kwenye majadiliano ya miezi mitatu baina yake na Serikali.

Chanzo: Mwananchi

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Polepole Amchana Zitto Kabwe

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Ndg Humphrey Polepole amerusha jiwe gizani kwa Mbunge wa Kigoma Mjini Mh. Zitto Kabwe kwamba anajua wakati huu anapitia wakati mgumu sana ndani ya chama ndiyo maana anatapatapa katika suala la makubaliano kati ya serikali  na Kampuni ya Uchimbaji madini ya Barrick.

Akifanya mazungumzo ndani ya Ofisi yake na EATV, Polepole amesema kwamba kitendo cha Mbunge huyo kitendo cha Mbunge huyo kwenda kuzungumza kwenye chombo cha habari na kuuhadaa umma kwamba  madini yataendelea kuwa madini ya watu wa nje, yeye hana tatizo naye kwani anafahamu wazi kwamba chama kinaenda kumfia hivyo watu wamuelewe..

"Naomba mumuelewe huyu bwana, anapitia wakati mgumu. Chama kinamfia tumuelewe sana. Watu wote wenye uelewa mpana  walioshiriki katika kukianziasha chama wote wameondoka na wameondoka kwa masikitiko ya kwamba chama kimepoteza dira. Asubiri kuona matokeo ya maendeleo yanayoletwa na serikali.  Mfama maji haishi kutapatapa ni sehemu ya asili ya ubinadamu. Namwambia asubiri kuona maendeleo yatakuja kutokana na makubaliano haya makubwa" Polepole.

Aidha Polepole amesema kwamba Zitto ameshiriki katika kutunga sheria tatu ndani ya Bunge kuhusu madini kisha akaenda ulaya kusema kwamba madini yatazidi kuchukuliwa na wageni ni kuuhadaa umma kwani katika sheria waliyoitunga ilikuwa ni ya kutamka  kwamba madini yaliyopo ardhini ni mali ya watu wa Tanzania.

Ameongeza pia Sheria ya pili Mh. Kabwe aliyoshiriki ni pamoja na ile ya Kuipa Mamlaka Bunge kutazama masuala ya madini vizuri na sheria ya tatu ikiwa ni kuboresha sheria za kodi ikiwa mapato na bima lakini kwa sababu chama kinaenda kumfia hivyo hataweza kuacha kudandia hoja hata kama hazina mashiko.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Wakili wa Sethi adai mteja wake hajapewa majibu Muhimbili

$
0
0
Wakili  Alex Balomi ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mshtakiwa Harbinder Sethi licha ya kupelekwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuchukuliwa vipimo hadi sasa bado hajapa majibu wala matibabu yoyote na afya yake inazidi kudhoofika.

Ameeleza hayo leo Ijumaa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi mara baada ya Wakili wa Serikali  Mwandamizi, Kishenyi Mutalemwa kudai upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na akaomba ipangiwe tarehe nyingine.

Kishenyi baada ya kueleza hayo, Wakili Balomi alieleza kuwa kwa kiasi fulani upande wa mashtaka umetekeleza amri ya Mahakama kwa kumpeleka Muhimbili na kuchukuliwa vipimo lakini hajapewa majibu na wala hajatibiwa hadi sasa.

Ameeleza kuwa lile puto alilowekewa tumboni Sethi linatakiwa kubadilishwa mwishoni kwa mwezi huu, lisipobadilishwa litageuka kuwa sumu na kuhatarisha uhai wake.

Amesema daktari aliyechukua vipimo ampatie majibu ili aweze kujua hali ya afya yake ikoje.

Wakili Kishenyi baada ya kutolewa kwa maelezo hayo amesema kuwa wao wamekwishatekeleza  amri ya mahakama, hawana cha kufanya zaidi kwa sababu majibu ni siri ya magonjwa na daktari.

Mwendesha Mashtaka Mwandamizi wa Takukuru, Leonard Swai yeye naye ameeleza kuwa suala la majibu ni suala la magonjwa na daktari.

Baada ya kutolewa kwa maelezo hayo, Hakimu Shaidi amesema amri ya Mahakama imetekelezwa ambapo mshtakiwa alipelekwa Muhimbili na siyo jukumu la Mahakama kuingilia kazi ya daktari hivyo alishauri mawakili wa upande wa utetezi wafuate utaratibu.

Kesi imeahirishwa hadi Novemba 10, 2017 kwa ajili ya kutajwa na kuusisitiza upelelezi ukamilishwe.

Kigwangalla asitisha operesheni ya kuchoma makazi Loliondo

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla leo Ijumaa ametangaza kusitishwa operesheni zilizokuwa zinaendelea katika pori tengefu la Loliondo na ametaka mifugo yote inayoshikiliwa na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo haijafikishwa mahakamani kuachiwa.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mji wa Wasso Loliondo baada ya kukutana na kamati ya ulinzi na usalama na madiwani, Dk Kigwangalla amesema amechukua uamuzi huo ili kusimamia dhana na uhifadhi endelevu na shirikishi.

Amesema  wizara hiyo itaendelea kusimamia sheria za uhifadhi kwa kushirikiana na jamii na haitakubali watu wachache kuvunja sheria za uhifadhi.

"Kwa mamlaka niliyonayo kwa watendaji wote wa wizara walio chini yangu, natangaza kusitisha operesheni iliyokuwa inaendelea na kurejeshwa kwa wananchi mifugo yote iliyokuwa inashikiliwa na wahifadhi ambayo uamuzi wake, hausubiri Mahakama," amesema.

Waziri Kigwangalla pia aliagiza wataalam wa maji katika Halmashauri ya Ngorongoro, kushirikiana na wataalam wa hifadhi kutoa maeneo nje ya hifadhi ili mifugo ya wananchi ipate maji.

Hata hivyo, amesema ili kudhibiti mifugo ya nchi jirani, kuingia

katika maeneo ya hifadhi nchini, mifugo yote sasa inatakiwa kuwekwa alama na mifugo kutoka nje itakayokamatwa itataifishwa.

Waziri Kigwangalla amesema anataka mamlaka ambazo zipo chini yake, kurejea katika kazi ya msingi kuhifadhi na kupambana na ujangili badala ya kufanya kazi ya kuchunga mifugo inayokamatwa.

"Uchukuaji mifugo inawafilisi wananchi na inajenga uadui baina ya wahifadhi na wananchi...kuna mifugo inakamatwa inakaa muda mrefu katika hifadhi baadhi inakufa na mingine inachungwa hifadhini, jambo ambalo sio wajibu wa wahifadhi," amesema.

Akizungumzia mifugo mingine ya wananchi, iliyokamatwa maeneo mengine ya hifadhi nchini, Dk Kigwangalla alitoa siku saba kwa watendaji wa wizara yake kumpa mapendekezo ya namna bora ya kutatua tatizo hilo ili afanye maamuzi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images