Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Picha: Lowassa amtembelea Tundu Lissu hospitali

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa leo Oktoba 24 amemtembelea na kumjulia hali Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu ambaye anaendelea kupatiwa matibu Nairobi nchini Kenya.

Katika safari hiyo, Lowassa alikuwa ameandamana na mke wake, Mama Reginal Lowassa na wameonekana kwenye picha wakiwa na furaha na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.

Viongozi mbalimbali wa chama hicho wamekuwa wakiendelea kumtembelea na kumjulia hali kiongozi huyo, ambapo hivi karibuni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi.


Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Zitto Kabwe Ajibu Mapigo ya Kupika Data za Serikali

$
0
0
Mbunge na kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa yupo tayari kuwajibika kuhusu kinachodaiwa kupika taarifa za serikali endapo Rais Magufuli ataruhusu ukaguzi maalumu wa CAG kwenye mapato ya mwezi Julai na Agosti 2017.

Zitto Kabwe amesema kuwa wao wanatumia takwimu za serikali kuwaonyesha wananchi kuwa serikali yao inadanganya na haisemi ukweli wote na uhalisia wa uchumi na kuporomoka kwa mapato. Zitto Kabwe amedai kuwa kodi inayokusanywa na TRA nchini inaweza kulipa mishahara na kuhudumia Deni la Taifa tu na si vinginevyo.

"Kwanini Rais wetu hasemi kuwa tunakopa? Kukopa sio dhambi, kwanini aaminishe watu kuwa anatekeleza miradi kwa kuwa kodi zimeongezeka? Kama Rais anaamini kuwa mapato hayajaporomoka, aruhusu ukaguzi maalumu wa CAG kwenye mapato ya Julai na Agosti 2017 na ukaguzi huo uwekwe wazi kwa umma. Rais akifanya hivyo nitawajibika" alisema Zitto Kabwe.

Jana Rais John Pombe Magufuli alisema kuwa kuna watu wanapika taarifa za serikali na kusema uongo na kuvitaka vyombo vya usalama na  Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi kuwashughulikia watu hao ikiwezekana wafungwe kabisaa. 

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Mkurugenzi Chadema aendelea kusota rumande

$
0
0
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesema itaendelea kumshikilia Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Kigaila Benson.

Kigaila aliyeripoti Kituo Kikuu cha Polisi jana Jumatatu Oktoba 23,2017 na kuwekwa rumande, anatuhumiwa kutoa lugha za uchochezi Oktoba 12,2017 katika mkutano na waandishi wa habari.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 24,2017 mchana, Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa amesema, “Tunaendelea kumshikilia na kumhoji, tukimaliza yale ambayo yanamhusu tutampeleka mahakamani au kumpa dhamana na kama ushahidi utamhusu mtu mwingine atakayehitaji kutafutwa tutafanya hivyo. Tutakapomaliza tutarudi kwenu kuwaeleza hatua zaidi.”

Kamanda Mambosasa amesema Kigaila anatuhumiwa kutoa lugha zinazolenga kukashifu viongozi wa Serikali na Serikali yenyewe.

Awali, Mwanasheria wa Kigaila, Fredrick Kihwelo alisema anaendelea kufuatilia dhamana kwa kuwa makosa anayotuhumiwa kutenda mteja wake yana dhamana, hivyo hajui ni kwa nini hapatiwi haki hiyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Octoba 25

Serikali yalifunga gazeti la Tanzania Daima kwa siku 90

$
0
0
Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la Tanzania Daima kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Oktoba 24, 2017.

Uamuzi huo umetokana na makosa makubwa katika toleo na. 4706 la Oktoba 22, 2017 likiwa na habari ya uongo kuwa “Asilimia 67 ya Watanzania Wanatumia ARVs”

Katibu Tawala wa Iringa awataka walimu kutumia kondomu Na Walioathirika Wajitokeze Hadharani

$
0
0
Na Fredy Mgunda, Iringa
 Walimu wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kutumia kondomu ili kujikinga na magonjwa ya zinaa ambayo yamekuwa yakipunguza nguvu kazi ya taifa.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa wilaya ya Iringa Joseph Chintinka wakati wa mkutano mkuu wa chama cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Iringa manispaa.

Chintinka alisema kuwa kumekuwa na ongezeko la waathirika wa ugonjwa wa ukimwai kutokana na kufanya mapenzi bila kutumia kondomu.

“Jamani hapa Iringa kuna tatizo kubwa la ugonjwa wa ukimwi hivyo niwaombe walimu wangu tutumie kondomu ili kujiepusha na gonjwa hili vinginevyo vizazi vyetu vyote vitaambukizwa ukimwi,” alisema Chintinka

Chintinka alisema njia ya kuwa salaama kuepukana na gonjwa hili ni kujikinga kwa kutumia kondomu maana hata watoto wetu wameathirika kutokana na wazazi kutokuwa makini na matumizi ya kinga.

“Naombeni tuwakinge hawa watoto wetu ambao wameathirika ili wasiwaambukize watoto wengine maana bila hivyo tutakuwa na kizazi kilichoathirika,” alisema Chintinka

Aidha Chintinka aliwaomba walimu walioathirika kujitokeza ili kupewa lishe ambayo inatolewa na serikali bure hivyo walimu wametakiwa kujitokeza na kuweka wazi kwa mwagili wake ili aweze kupata mgao wa pesa za lishe.

“Jamani walimu fungu la lishe kwa walimu walioathirikia ni nono kweli naombeni walimu mjitokeze ili mfaidi fungu hili nono maana mimi nafahamu sisi ndio tunaotenga naombeni fikisheni ujumbe huu kwa walimu wengine ambao hawajafika hapa,” alisema Chintinka

Chintinka aliwataka watumishi wanaotoa siri za watumishi walioathirika kuacha tabia hiyo mara moja ili kuwaweka huru waathirika na wengine waweze kujitokeza na wapate lishe iliyotengwa na wilaya.

Kwa upande wake mwenyekiti wa chama hicho manispaa ya Iringa MWL. Zawadi Mgongolwa alikiri kuwepo kwa viongozi wa sekta hiyo ambao wemekuwa wakitoa siri za walimu na watumishi walioathirika na ugonjwa wa ukimwi.

“Kwa kweli mgeni rasmi umeongea ukweli kero kubwa kwa walimu ni kutolea siri nje kitu kinachowafanya walimu waathirika kujificha na maradhi yao,” alisema Mgongolwa

Naye katibu wa chama cha walimu wilaya ya Iringa mwl. Fortunata Njalale alimpongeza mgeni rasmi kwa ujumbe wake ambao umekuwa faraja kwa walimu na kuwaongezea hali ya kwenda kufanya kazi ya uwalimu kwa kujituma na kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wao.


Msajili wa NGOs alisimamisha shirika linalotuhumiwa kujihusisha na ukahaba

$
0
0
Ofisi ya Msajili wa Taasisi zisizo za Serikali imesimamisha shughuli za Shirika la KBH Sisters kuanzia tarehe 24 Oktoba, 2017 ili kupisha uchunguzi unaofanywa dhidi ya tuhuma za shirika tajwa kujihusisha na uhamasishaji wa biashara ya ukahaba katika maeneo mbalimbali nchini husuan jijini Dar es Salaam kinyume na usajili wao. 

Serikali kuendeleza ushirikiano na Umoja wa Mataifa katika kuleta maendeleo

$
0
0
Na Thobias Robert-Maelezo
 Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na umoja wa mataifa katika kuleta maendeleo, katika sekta za kiuchumi na kijamii, kulinda amani, kuimarisha sekta ya viwanda na kuwahifadhi na kuwahudumia wakimbizi kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika.

Hayo yamebainishwa jana Oktoba 24 Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karimjee na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya siku ya Umoja wa Mataifa (UN) ya kutimiza miaka 72 tangu kuanzishwa kwake.

Makamu wa Rais ambaye alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo yaliyokuwa na kauli mbiu isemayo “Maendeleo ya viwanda na utunzaji wa mazingira kwa maendeleo endelevu,” alisema umoja wa mataifa umekuwa washirika wakubwa wa maendeleo katika sekta nyingi hapa nchini hususan maeneo ya vijijini katika huduma za maji, elimu pamoja na afya.

“Umoja wa mataifa umekuwa ukifadhili miradi mingi ya maendeleo hapa nchini, katika kutekeleza malengo yake ya millennium ya umoja huo, hivyo naomba wadau na wafadhili wa maendeleo kutoka umoja huu kuendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania ambayo imekuwa ikishirikiana nao kwa mafanikio makubwa na kutambua jitihada zao katika kuleta maendeleo,” alieleza Mh. Samia.

Aidha alisema kuwa katika kuelekea uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 serikali inatoa wito kwa wadau wote na washirika wa UN kuja kuwekeza na kushirikiana na Tanzania katika kujenga viwanda, vilevile aliongeza kuwa uwepo wa amani, usalama pamoja na jitihada za vita dhidi ya ubadhilifu wa rasilimali, rushwa pamoja na urasimu ni nguzo kubwa ya wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini.

“Serikali chini ya Mhe. Rais Magufuli inaendelea kupambana dhidi ya rushwa, matumizi mabaya ya rasilimali za umma, wizi wa nyara za serikali na matumizi mabaya ya fedha za umma, serikali pia inatekelezamalengo 17 ya umoja wa mataifa kwa kuongeza matumizi ya rasilimali za ndani, kuongeza makusanyo ya kodi pamoja na kuzuia mianya ya ukwepaji wa kodi,” alifafanua Makamu wa Rais.

Samia aliongeza kuwa serikali imekuwa ikishirikiana na UN katika harakati za kulinda amani katika mataifa mbalimbali barani Afrika kama vile Jamhuri ya Kidemkrasia ya Kongo. Vilevile alitoa wito kwa umoja huo kufanya mabadiliko katika baraza la usalama ili kuimarisha ulinzi, amani na ushrikiano dhidi ya makundi ya kigaidi yanayozidi kuongezeka kila uchao.

Kwa upande wake Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bw. Alvaro Rodriguez alisema kuwa, UN itaendelea kushirikina na Tanzania hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linapita katika mabadiliko ya kiuchumi kuelekea uchumi wa kati unaotegemea viwanda.

“Wakati huu ambapo Tanzania inafanya mageuzi makubwa, inapoelekea kuwa nchi ya hadi ya kipato cha kati, msaada wa UN hauna budi kuendana na mahitaji na changamoto mpya, kwahiyo hatuna budi kuchukua mwelekeo mpya katika kazi. Kupitia malengo ya maendeleo endelevu, tutahakikisha kwamba hakuna mtu hata mmoja anayeachwa nyuma,” alisisitiza Rodriguez.

Mratibu huyo wa Umoja wa Mataifa aliongeza kuwa, kwa kushirkiana na serikali ya awamu ya tano UN watashawishi wadau na wawekezaji wengi kuja kusaidia shughuli za maendeleo ikiwemo kuwasaidia wakimbizi pamoja na kufadhili miradi ya maendeleo hususan ujenzi wa viwanda, uhifadhi wa mazingira pamoja na kuwawezesha na kuwalinda wanawake, watoto na vijana dhidi ya ukatili wa kijinsia.

Sherehe ya kuadhimisha kuanzishwa kwa Umoja wa Matiafa imekuwa ikifanyika kila mwaka tarehe 24, Oktoba tangu kuanzishwa kwake mwaka1945 Jijini New York. Maadhimisho ya hivi karibuni yamekuwa yakitilia mkazo maendeleo endelevu, uhifadhi wa mazingira na maendeleo ya viwanda.

Kwa sasa UN hapa nchini inatekeleza mpango uliozinduliwa hivi karibuni kwaajili ya Mkoa wa Kigoma (The Kigoma Joint Programme) ambao utatekelezwa kati ya 2016-2021 katika Wilaya tatu za Kasulu, Kibondo na Kakonko pamoja na mkakati wa maendeleo endelevu kwa ustawi wa watu na uhifadhi wa mazingira.

Makamu wa Rais azitaka taasisi za kifedha kufungua matawi vijijini

$
0
0
Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu amezitaka taasisi za kifedha nchini kuboresha huduma kwa kufungua matawi maeneo ya vijijini ili kuwafikia wananchi wengi na hasa wanawake ili wazitumie huduma hizo kwa shughuli za maendeleo.

Mama Suluhu aliyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Women’s World Banking ambao unalengo la kuangalia namna bora ya kuwafikia wanawake katika maeneo mbalimbali duniani ili wapate huduma za kifedha.

Makamu wa Rais alisema takwimu za matumizi ya huduma za kifedha nchini sio mbaya lakini ni muhimu jitihada za kuwafikia wanawake wengi zikaongezwa ili kuwawezesha kupata huduma hizo ambazo wanaweza kuzitumia katika shughuli za maendeleo.

“Kwetu Tanzania tumefanya vizuri, kuna watu wengi bado wapo nje ya mfumo rasmi wa mabenki lakini asilimia 70 ya wananchi wanatumia simu na kama mnavyojua kuna huduma kama Tigo Pesa, M-Pesa na zimesambaa Tanzania nzima, kumfikia kila mtu tumepiga hatua kidogo,

“Lakini kuna mambo mengi inatakiwa tuyafanye kwa mfano mabenki yetu yaendelee zaidi kwenda kwa wananchi, wafungue matawi zaidi huko kwa wananchi lakini pia benki yetu ya wanawake ambayo imeundwa kwa dhumuni hilo na yenyewe ijitahidi kusambaza matawi kwenda mikoani kwenda wilayani kuwafikia wanawake,” alisema Suluhu.

Naye Meneja wa Wateja Wadogo na Kati wa NMB, Abdulmajid Nsekela amezungumza kuhusu mkutano huo na kueleza kuwa mkutano ambao unalengo la kuangalia namna ya kuwezesha wanawake wanapata huduma za kifedha utakuwa na mijadala mbalimbali ambayo itawezesha kupatikana suluhisho la namna ya kuwafikia wanawake hata waliopo vijijini kwa njia ya teknolojia.

“Sisi kama NMB tumekuwa tukishirikiana kwa karibu na waandaji wa mkutano huu na tumekuwa tukianzisha huduma ambazo zinawawezesha wananchi, wakulima wanawake kupata mikopo kwa riba nafuu … mkutano utaangalia namna bora ya kuwafikia wanawake hata wa vijijini kwa kutumia teknolojia kwani yenyewe inauwezo wa kufika popote,” alisema Nsekela.

Katika mkutano huo wa siku mbili ambao benki ya NMB imekuwa mwandaaji kwa hapa nchini watu 300 kutoka mataifa 40 wamepata nafasi ya kushiriki mada mbalimbali ambazo zitatoa njia mbadala ya kuitumia kuwafikia wananchi na hasa wanawake waliopo vijijini.

Sekta Binafsi Yashauriwa Kupeleka Changamoto Zao Serikalini

$
0
0
Sekta Binafsi imetakiwa kuwasiliana moja kwa moja na Serikali ili kutatua changamoto zinazoikabili badala ya kupitia wadau wa nje kwanza, kwa kuwa mlango wa Serikali uko wazi kwa ajili ya majadiliano na kutatua matatizo ya Sekta hiyo.

Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) katika Mkutano na Sekta Binafsi nchini (TPSF), Jijini Dar es Salaam.

Waziri Mpango amesema kuwa ni vema Sekta Binafsi ikashirikiana na Sekta ya Umma kwa kuwa zote zinategemeana na hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa na Sekta Binafsi ambayo ni imara.

“Sekta Binafsi na Sekta ya Umma hazina budi kufanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu, tena kwa kuaminiana kwa faida ya Sekta zote mbili na kwa maendeleo ya Taifa kwa ujumla” aliongeza Dkt. Mpango.

Amesema kuwa, lengo la pande zote mbili ni kuharakisha utekelezaji wa azma ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kuongeza fursa za ajira, kipato cha mwananchi na kuondokana na umasikini uliokithiri kwa kujenga Tanzania inayoongozwa na uchumi wa Viwanda.

Dkt. Mpango alifafanua kuwa Serikali imeendelea kuyafanyia kazi mapendekezo mengi yaliyotolewa na Sekta Binafsi ikiwemo katika kuboresha mazingira ya biashara nchini ikiwemo kuondoa baadhi ya kodi zilizokuwa kero kwa wafanyabiashara.

Baadhi ya hatua zilizochukuliwa ni pamoja na Serikali kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ili kumpa Waziri mwenye dhamana ya masuala ya Fedha mamlaka ya kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani bila kuhusisha utaratibu wa kulipa kwanza Kodi ya Ongezeko la Thamani na baadaye kuomba kurejeshewa (Refund) kwenye miradi inayofadhiliwa na wadau wa maendeleo (Grants) au mikopo yenye masharti nafuu (Concessional Loans) ambayo mikataba husika ina masharti ya kutoa msamaha wa kodi hiyo.

“Hatua hii itawezesha wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchini kutopata tena usumbufu katika kutekeleza miradi hiyo na miradi kutekelezwa kwa muda uliopangwa” alisema Dkt. Mpango

Ili kuvutia uwekezaji katika sekta za viwanda, kilimo cha mazao na mifugo nchini, Serikali imesamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye bidhaa za mtaji (capital goods) za viwanda vya mafuta ya kula, nguo, ngozi, madawa ya binadamu na mifugo ili kupunguza gharama za ununuzi/uagizaji wa mashine na mitambo watakayonunua wawekezaji kwa ajili ya kusindika na kutengeneza bidhaa mbalimbali.

“Serikali sasa inatoza Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa kiwango cha asilimia sifuri katika huduma zinazotolewa kwenye usafirishaji wa bidhaa/mizigo nje ya nchi (ancillary transport services), hatua itayopunguza gharama za usafirishaji katika bandari zetu na kuifanya Tanzania kuwa njia bora zaidi ya kupitisha bidhaa zinazotoka nje ya nchi kwenda nchi nyingine hususan zisizo na bandari.

Kwa upande wa hali ya Uchumi, Waziri Mpango amesema kuwa robo ya kwanza ya mwaka 2017, uchumi ulikua kwa asilimia 5.7, robo ya pili ulikua kwa asilimia 7.8, hivyo kufanya nusu ya kwanza uchumi kukua kwa asilimia 6.8.

Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilizokuwa kwa kasi ni usafirishaji na uhifadhi wa mizigo ambao umekua kwa asilimia 19.8, uchimbaji madini na mawe asilimia 18.0, uzalishaji viwandani asilimia 9.3 na ujenzi asilimia 8.8.

Dkt. Mpango alisema Sekta ya Benki kwa ujumla imeendelea kuwa imara ikiwa na mitaji na ukwasi wa kutosha juu ya viwango vinavyokubalika kisheria. Kwa kipindi cha mwaka  2009 hadi 2017 huduma jumuishi za fedha zimeongezeka kutoka  asilimia 15.8 hadi asilimia 65.3. Upatikanaji wa huduma za kifedha umeongezeka kutoka asilimia 29 kwa mwaka 2009 hadi asilimia 86 kwa mwaka 2017.

Aidha kwa upande wa mikopo kwa Sekta Binafsi ilipungua kutokana na Benki kuchukua tahadhari kutokana na kuongezeka kwa mikopo chechefu (Non-performing loans) ambapo Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilichukua hatua kwa kupunguza kiwango cha amana ambacho benki za biashara zinatakiwa kuhifadhi Benki Kuu kama dhamana kutoka asilimia 10 hadi asilimia 8 na riba za mikopo ya benki hizo kushuka kutoka asilimia 16 hadi 12.

Naye mwenyekiti mwenza wa Mkutano huo Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage (Mb) amesema kuwa njia bora ya kutatua matatizo ya Sekta Binafsi ni kuendelea kufanyika kwa majadiliano yenye tija.

Mmoja wa wajumbe wa Mkutano huo wa wafanyabiashara ambaye ni wakili wa kujitegemea Bi. Eve Hawa Sinare amesema kuwa ni vema kuangalia mfumo mzuri wa kuweka riba unaofanywa na Benki za biashara ili kuwa na uwiano mzuri.

Vilevile Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Bw. Salum Shamte ameishukuru Serikali kwa kuonesha nia ya dhati ya kushirikiana na Sekta hiyo kwa lengo la kufanikisha ukuaji wa uchiumi wa Viwanda.

Waziri mpango amewahakikishia wafanyabiashara kuwa Serikali itaendelea kuhakikisha kuna majadiliano ya mara kwa mara na wadau hao ili kutatua changamoto zao na pia ameahidi kuandaa Mkutano mwingine ambao utajikita katika masuala ya kodi kabla ya Sekta Binafsi kuwasilisha mapendekezo ya kodi.

Mkutano huo wa Sekta Binafsi na Umma ni wa pili kufanyika, kwa mara ya kwanza Mkutano kama huo ulifanyika tarehe 11 Aprili, 2017 mjini Dodoma ambapo  ulisaidia kutatua changamoto nyingi ikiwemo kusaidia kuongezeka kwa ufanisi katika huduma za bandari nchini.

Imetolewa na:
Benny Mwaipaja

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
        NATURAL BEAUTY PROD.
NDIYO KAMPUNI PEKEE INAYOTOA BIDHAA ORIGINAL GARANTII PAMOJA NA SISITI. 
Sasa ni wakati wako mpendwa wa kupendeza na bidhaa hizi bila kemiko wala madhara kwa mtumiaji yoyote.

Pata bidhaa hizi upate matokeo mazuri kwa haraka na uhakika zaidi. Bidhaa zetu zote zimetengenezwa kwa mimea na matunda.

      Zimethibitishwa kiafya
🍉🌿🍅🍍🍒🍉🍓🍅🍒
            🍋🍇🥝🥒
          BIDHAA ZETU:-
   
1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
2.Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa:-
(a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge  @180,000/=
(c)BOTCHO 10× ya kupaka @170,000/=
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:-
(1)Mafuta  @150,000/=
(11)Vidonge @170,000/=

4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a)SHARK POWER gely ya kupaka @150,000/=
(b)Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @150,000/=

(C) VIG RX- Ni dawa mpya ya kuongeza maumbile hadi nchi 7.5 inapatikana kwa @200,000/=
(C)Handsome up original ni kifaa kinachoongeza maumbile kwa %99 size uipendayo  @250,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=

7.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula  @150,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @150,000/=
(b)Mkanda wa kawaida @150,000/=
(c)Micro-computer belt wa umeme @200,000/=
9.Kupunguza  maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @150,000/=
10.Kushepu miguu (CHUPA YA BIA) na kuondoa vigimbi @150,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @150,000/=
12.Kurudisha usichana  (bikra) @150,000/=
        

        Wasiliana nasi :- (+255)
             0759029968 au.       
                0659618585
  TAHADHARI: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
👉🏻Ili kuona bidhaa zaidi na shuhuda za waliotumia bidhaa zetu. ...............
     Follow us on instagram  @natural2162
@natural2162
@natural2162
 
                      [Welcome all]

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati, Anasafisha Nyota, Anazuia Chuma Ulete na Mengine

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
 
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. 

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Whatsapp/Calls 0658316976
0755911233
 
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

$
0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280.

Watumishi wanolewa kudhibiti matumizi mabaya ya Gharama za Uchaguzi

$
0
0
Na Monica Laurent, Ofisi ya Msajili wa Vyamavya Siasa

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe. Jaji Francis S.K Mutungi amewataka watumishi kutoka ofisi yake kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi ili kuleta weledi katika kazi.

Hayo ameyazungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili yaliyoandaliwa kwa ajili ya watumishi watakaoshiriki katika usimamizi wa  utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya Gharamaza Uchaguzi  kwa Vyama vya Siasa na wagombea yaliyofanyika Jana na Leo katika ukumbi wa Bunge Jijini Dar esa Salaam.

“Chapeni kazi na kuwa vinara wa kusimamia gharama za uchaguzi na maadili ya Vyama vya Siasa  ili kubaini wagombea ambao hawafuati matakwa ya   sheria   ” amesisitiza Jaji Mtungi.

Naye Bi Piencia Kiure, Msajili Msaidizi wakati akitoa mada juu Elimu ya maadili ya Vyama vya Siasa ,amewasisitiza watumishi kuendelea na utamaduni wa kufanya kazi kwa weledi.

Sheria namba 6 ya Gharama za Uchaguzi ya mwaka 2010 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2015 kupitia Amri ya Gharama ya uchaguzi inaweka wazi viwango  vya juu vya matumizi kwa wagombea, kudhibiti matumizi ya fedha zinazotumika wakati wa uchaguzi kuanzia katika mchakato wa uteuzi, kampeni na kupiga kura ili kuweka uwanja sawa wa kisiasa na kudhibiti vitendo vya rushwa.

Sheria hii hubainisha wajibu wa Mgombea na Chama cha Siasa kujaza fomu maalumu za gharama za uchaguzi ili kubainisha bajeti yake ambayo ni mapato  na vyanzo vya mapato na kurejesha katika ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  ndani ya siku saba baada ya uteuzi wa wagombea unaofanywa na Tume ya uchaguzi .

Fomu maalumu ya kubainisha marejesho ya matumizi ya uchaguzi inayoambatana  na kumbukumbu na stakabadhi za malipo hujazwa na mgombea na kurejeshwa kwenye chama chake ndani ya siku sitini baada ya uchaguzi, chama cha siasa kina wajibu wa kuiwasilisha fomu hiyo kwenye ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa ndani ya siku 180 baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi

Hata hivyo ukiukwaji wa sheria hii unaambatana na adhabu kali ambayo hutolewa kwa chama ambacho kitashindwa kuwasilisha mapato na matumizi ya kila mgombea ambayo ni pamoja na kufutiwa kushiriki uchaguzi endapo kitashindwa kutoa maelezo ya kuridhisha.

Usimamizi wa Sheria ya gharama za Uchaguzi katika uchaguzi mdogo wa madiwani unaotarajiwa kufanyika tarehe  Novemba 26 mwaka huu ni mwendelezo  wa usimamizi wa sheria hii ambao hufanywa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  wakati wa uchaguzi wa Urais, Wabunge na Madiwani. Kwa mara ya kwanza sheria hii ilianza kutumika katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2010

Kamanda Mamboasa Alaani Kitendo cha Polisi Kuwapiga Wananchi

$
0
0
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imelaani vitendo vilivyofanywa na askari ambavyo havina maadili ya kazi.

Taarifa ya polisi ya jana Jumanne Oktoba 24,2017 imesema jalada limeshafunguliwa na uchunguzi unaendelea ili kuwabaini  waliohusika kuwapiga wananchi.

Imeelezwa askari hao walijichukulia sheria mikononi baada ya mwenzao Charles Yanga kukutwa ameuawa na mwili wake kuachwa pembezoni mwa uzio wa kambi ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) iliyoko Ukonga.

Kamanda wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa amesema Jumapili Oktoba 22,2017 walipokea malalamiko ya watu wanaosadikiwa kuwa askari kufanya msako na kuwapiga wananchi wanaoishi jirani na kambi ya FFU ambao hawana hatia.

“Jeshi la Polisi linalaani vitendo hivyo ambavyo havina maadili ya kazi za polisi. Jalada limefunguliwa na uchunguzi unaendelea ili kuwabaini watuhumiwa wa tukio hilo. Tunaomba wananchi watoe ushirikiano kutoa taarifa za wahusika waweze kuwachukulia hatua watu au askari waliohusika na matukio hayo,” alisema.

Kamanda Mambosasa amesema Oktoba 21,2017 saa sita usiku maeneo ya kambi hiyo askari wakiwa kazini walikuta mwili wa askari huyo, huku pikipiki aliyokuwa akiendesha ikiwaka taa za tahadhari.

Amesema mwili wa askari huyo ulikuwa na majeraha kwenye paji la uso na sikio moja likiwa limekatwa.

Kamanda Mambosasa amesema walipofuatilia wamebaini askari huyo aliuawa na watu wasiojulikana na kutelekezwa katika maeneo ya kambi ya polisi.

Amesema kupitia kikosi kazi cha polisi wanaendelea na msako kuhusu tukio hilo la kikatili li kuwabaini watuhumiwa waliohusika.

Ofisa TRA Kizimbani Kwa Kumiliki Magari 19 Yasioendana Na Kipato Chake

$
0
0
Ofisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka mawili ikiwamo la kumiliki magari 19 na kuishi maisha ya kifahari kuliko kipato chake.

Mushi alifikishwa mahakamani hapo jana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi.

Akisoma mashitaka hayo, Mwendesha Mashitaka wa Takukuru, Vitalis Peter alidai kati ya Machi 21, mwaka jana na Juni 30, mwaka jana katika maeneo tofauti ya Jiji la Dar es Salaam, akiwa mwajiriwa wa TRA, mshitakiwa huyo alikutwa akimiliki magari 19 ambayo ni mali zisizolingana na kipato chake.

Alitaja magari hayo kuwa ni Toyota Rav 4, Toyota Dyna Truck, Toyota Vitz, Suzuki Carry, Toyota Ipsum, Toyota Wish, Toyota Mark ll, Toyota Regiusage, Toyota Estima, Toyota Alex, Toyota Noah, Toyota Crown, Toyota Hiace, Toyota Estima, Toyota Lasso, Suzuki Carry, yote yakiwa na thamani ya Sh 197, 601,207.

Katika mashitaka ya pili, inadaiwa kuwa kati ya Machi 21,2012 na Machi 30, mwaka jana, Dar es Salaam akiwa mwajiriwa wa TRA aliishi maisha ya kipato cha juu tofauti ya thamani ya Sh 333, 255,556, tofauti na kipato chake.

Mshitakiwa alikana mashitaka hayo na upande wa mashitaka ulidai upelelezi wa kesi hiyo, umekamilika na kuomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kuanza kusikilizwa maelezo ya awali.

Hata hivyo, Wakili wa Utetezi, Elisalia Mosha aliomba mahakama hiyo kumpatia dhamana mteja wake kwa sababu mashitaka aliyonayo yanadhaminika kisheria. 

Hakimu Shaidi alimtaka mshitakiwa huyo kuwa na mdhamini mmoja, atakayesaini bondi ya milioni 20 na mshitakiwa alikidhi masharti ya dhamana.

Tarehe Rasmi ya Kuanza Masomo Vyuoni Yatangazwa.

$
0
0
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)  Profesa Eleuther Mwageni amesema wanafunzi ambao tayari wamekidhi vigezo na kupitishwa kujiunga na elimu ya juu wanatakiwa kuripoti chuoni ili kuanza masomo ifikapo Oktoba 30.

Prof. Mwageni ameyasema hayo leo wakati anatoa ufafanuzi juu ya tarehe ya kufunguliwa kwa vyuo kutokana na mkanganyiko ambao wameupata baadhi ya wanafunzi kuhusu muda sahihi wa masomo kuanza kwa mwaka wa masomo 2017/18 hususani wale ambao wameomba nafasi kwenye awamu za pili na tatu za Udahili.

“Tarehe ya Kalenda ya masomo haijabadilika iko palepale ambayo ni Oktoba 30 wanafunzi wanatakiwa kuanza masomo ya elimu ya juu kwa mwaka 2017/2018”, amesema Mwageni.

Aidha Prof. Mwageni ameeleza kuwa zaidi ya wanafunzi 450,000 tayari wameshapata vyuo hivyo kinachosubiriwa katika awamu ya tatu ni kupitisha wanafunzi wengine 12,000 ili kufikia malengo ambayo ni wanafunzi 57,000.

Awamu ya tatu ambayo ilianza Oktoba 18 hadi 22 imefikia hatua nzuri ambapo vyuo vinawasilisha TCU majina ya waombaji ambao vimewapitisha ili tume iweze kujiridhisha kisha wanafunzi waliochaguliwa katika awamu hiyo wajiunge na vyuo na waanze masomo kwa wakati.

Mapema mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli alishauri TCU iweke utaratibu wa wanafunzi kuomba nafasi chuoni moja kwa moja ili waende vyuo wanavyotaka wao tofauti na awali ambapo zoezi la kupanga vyuo lilikuwa linasimamiwa na Tume hiyo ya Vyuo Vikuu TCU

Kamati ya Bunge Yakerwa na Kitendo cha Polisi Kuwaingilia kwa Kuwakamata Waandishi

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imelaani kitendo cha jeshi la polisi kumkamata na kumhoji mwandishi wa habari wa gazeti la Nipashe, Agusta Njoji kutokana na habari aliyoiandika mwishoni mwa wiki.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Nagenjwa Kaboyoka aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa kitendo kilichofanywa na polisi Mkoa wa Dodoma ni kutaka kuminya na kuficha maovu ambayo yamejaa ndani ya jeshi hilo.

Njoji aliandika habari kutoka kwenye kamati hiyo wakati PAC ilipokutana na viongozi wa polisi kwa lengo la kutaka ufafanuzi kuhusu manunuzi ya magari ya polisi maarufu washawasha pamoja na mchakato wake wakihoji kutokana na taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG).

Kufuatia taarifa hiyo, Polisi Mkoa wa Dodoma walimuita na kumhoji na kisha kuamuru awekwe ndani kabla ya Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi Dodoma (CPC), Habel Chidawali kumwekea dhamana kwa bondi ya Sh 5 milioni.

Nagenjwa alikiri kuwa taarifa zilizoandikwa na magazeti ya Nipashe na Mwananchi mwishoni mwa wiki zilikuwa sahihi lakini akashangazwa kwa polisi kuamua kuwasumbua waandishi wa habari.

“Nisema kuwa, kazi zetu kwa sehemu kubwa zinawategemea waandishi wa habari, tumesikitishwa sana na tumeamua kumwandikia barua Spika wa Bunge kutaka ufafanuzi ili kuondoa mkanganyiko wa utendaji wa kazi zetu kuliko kuingiliwa mara kwa mara na wengine,” alisema Kagoyoka

Kwa mujibu wa maelezo ya Kaboyoka, kabla ya kumuandikia spika barua ya kutaka maelezo ya utendaji kazi wa kamati, walimtuma ofisa wa bunge kwenda kuzungumza na polisi ili kujua ukweli wa mambo ulivyo na kwamba polisi walikiri kukosea na wakaahidi kulifuta jalada hilo.

Wakati kamati ikiwaita waandishi kuzungumzia suala hilo, Mwenyekiti wa CPC, Habel Chidawali na katibu wake Bilson Vedastus waliitwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Mroto kwa ajili ya kuzungumzia sakata hilo.

Kwa mujibu wa Chidawali, Mroto aliwataka waandishi kuendelea na majukumu yao kwani wito kwake kwa mwandishi huyo ulilenga kujua ukweli wa chanzo cha habari hiyo na hivyo akasema kuwa yamekwisha.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images