Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Wanaume Walio Katika Kundi Hili, Hawawezi Kufanya Punyeto.......Soma Hadi Mwisho Ujue Sababu Ni Nini ?

$
0
0
Pamoja  na  kwamba, asilimia  kubwa  ya  wanaume, hudhaniwa  ama kuchukuliwa  kuwa  wamewahi  kufanya punyeto   wakati  fulani  katika historia  ya  maisha  yao, lakini  lipo  kundi  la  wanaume  ambao hawawezi  kufanya  kabisa  punyeto.

Kwa  mujibu  wa  uzoefu   wetu, wanaume  walio  katika  kundi  hili ni wanaume  marijali.
 
Wanaume   marijali , hawawezi  kufanya  punyeto  sio  kwa   sababu hawajui  jinsi  punyeto  inavyo fanyika, laah!

Wala  si  kwa  sababu  labda wana  uwezo   mkubwa  wa  kujizuia kufanya  punyeto , Hapana..
 
Mwanaume  rijali  hawezi kufanya  punyeto  kwa  sababu  ambazo  zipo nje  ya  uwezo  wake.. Sababu  ambazo  hawezi  ku zi  control  kwa namna  yoyote  ile hata  kama  yeye  mwenyewe  anatamani  kufanya punyeto

Ni   nini  Sababu zipi  hizo ?
Kabla sijaeleza sababu  zinazo  wazuia  wanaume  marijali  kushindwa kufanya  punyeto  kabisa, ni  vema  na  haki, nikitoa definition  ya mwanaume  rijali.

Mwanaume  Rijali  ni  Nani  ?
Mwanaume  rijali  ni  mwanaume  ambaye  hana  tatizo  la  ukosefu na/au upungufu  wa nguvu  za  kiume.

Kwanini  Mwanaume  Rijali  Hawezi  Kufanya  Punyeto  ?
Mwanaume  rijali  hawezi  kabisa  kufanya  punyeto.  Sababu  ni kama ifuatavyo :

1.      MUDA  ANAO  UTUMIA  KUFIKA  KILELENI
Kwa  kawaida  mwanaume  rijali  anaweza  kutumia  kati ya  dakika thelathini  hadi  arobaini  na  tano  kufika  kileleni  kwa tendo  la kwanza.  Wakati mwingine  huweza  kutumia  hata  lisaa  limoja.

Muda  anao tumia  mwanaume rijali  kufika  kileleni  unamzuia  vipi kufanya  punyeto ?

Kwa  kawaida  mwanaume  anaye  fanya  punyeto, huwa  anatumia  muda mchache  sana kukamilisha  tendo la  punyeto  kama  vile  vile  anavyo tumia  kukamilisha  anapokuwa  anafanya  tendo  la  ndoa  na mwanamke.

Kwa  wastani  mwanaume  anaye  jihusisha  na  punyeto  anaweza kutumia  dakika  moja  hadi tatu  kukamilisha  tendo la  punyeto.

Hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  wanaume  wanao  jihusisha  na punyeto  kuwa  na  uwezo  wa  kufanya  punyeto mara  kwa  mara  ( mara  4  hadi  7  kwa siku  ) kwa  sababu  ni tendo  wanalo weza kulifanya  kwa  muda  mfupi sana  na  wanaweza  kulifanya  katika mazingira  yoyote  yale.

Inakuwaje  kwa  mwanaume  rijali  ?
Mwanaume  rijali  hata  kama  akiwa  anataka  kufanya  punyeto, atashindwa  kwa  sababu  ya  factor  ya  muda  anao  utumia  kufika kileleni.

Mwanaume  hawezi  kufanya  tendo  moja  la  punyeto  kwa  muda  wa dakika  30 ,  45  au lisaa  lizima  kwa  sababu    zifuatazo  :

1.      MAZINGIRA  YA  KUFANYA  PUNYETO  KWA  MUDA  WA  DAKIKA  30 , 45  AU
LISAA  LIMOJA   HAYATA  MRUHUSU KUFANYA  HIVYO :
Uzoefu  unaonyesha  kuwa  wanaume  wanao  fanya  punyeto  hufanya punyeto   katika  mazingira  yafuatayo :

Moja  :  Chooni  au  bafuni  wakati  wa  kuoga  asubuhi  au  usiku. Huwezi  kukaa  chooni  kwa  muda  wa  dakika  30  au  45  ukifanya  punyeto.
 
Harufu au mazingira  ya  chooni  hayata ruhusu  ukae  mahali humo  kwa muda  wote  huo lakini  pili  kama  unaishi kwenye  nyumba  ya kupanga, mazingira  hayawezi  kuruhusu  ukae  chooni  muda  wote  huo, bila  ya  kupata  ama  kusababisha  bugudha  kutoka  kwa  wapangaji wenza.

Mlango  wa  chooni  utakuwa  unagongwa  mara  kwa mara  watu  wakitaka kutumia  choo  kujisaidia na  hivyo  automatically  kukufanya ushindwe  kupata  muda  wa  kufanya  punyeto.

Kama  unafanyia  bafuni pia bado  litakuwa  ni  tatizo  kwa  sababu
huwezi  kukaa  bafuni  kwa  dakika  30  au 45  ukifanya  punyeto.

Huo  ni muda  mwingi  sana  kwa  mwanaume  kukaa  bafuni.
Kama hiyo  haitoshi, bafu zetu  za  uswahilini hazina  mazingira rafiki  ya  kumfanya  mtu  aweze  kukaa  humo kwa  muda  wa  dakika 30  au 45 au  60 .

Ili aweze  kumudu  dakika  zote  hizo  thelathini  itambidi  amudu kusimama  kwa  dakika zote  hizo  30 au 45  au  lisaa  lizima akifanya  punyeto  jambo  ambalo  ni  gumu  sana.

Na  kama  unaishi  kwenye  nyumba  ya  kupanga  basi  hali  itakuwa ngumu  zaidi  kwa  sababu  huwezi kukaa  bafuni  kwa muda  wa  dakika zote  hizo 30, 45  au  lisaa  zima  ukifanya  punyeto  bila  wapangaji wenzako  kutaka  kutumia  bafu  hiyo  pia .

Ukijaribu  kufanya  hivyo itakuwa  kituko  kwa  sababu, harakati  za kuoga  zitakuwa  hazisikiki  na  wewe  utakuwa  kimya  ukishughulika na  punyeto.

Jambo  hili litawafanya  wapangaji  wenzako  watake  kujua  kulikoni unakaa  bafuni  muda  wote  huo huku  na  wao wakihitaji  kutumia bafu  hiyo  hiyo.

KWA  WANAUME  WALIO  OA  HALI  HUWA  NGUMU  ZAIDI :
Wapo  wanaume  ambao  pamoja  na  kuwa  katika  ndoa  lakini  bado hufanya  punyeto.

Mwanaume  alie  katika  kundi  hili  anaweza  kumuacha  mke  wake ndani  amelala   au  hata  akiwa macho  na  kwenda  kufanya  punyeto bafuni  au  chooni  na  kisha  kurudi  kuendelea  kulala.
 
Au  anaweza  kumvizia  mke  wake  akiwa  amelala  na  kufanya  punyeto hapo  hapo  kitandani  kisha  kukojoa  manii  kwenye  gazeti  au kitambaa  cha  kufutia  makamasi.

KUMUACHA  MKE  AKIWA  NDANI  NA  KWENDA  KUPIGA  PUNYETO  BAFUNI  AU  CHOONI.
Jambo  hili  litakuwa  gumu  sana  kwa  sababu, kama  mwanaume  alie katika  ndoa  ambayo  ipo  committed  hawezi  hawezi  kumuaga  mkewe anaenda  chooni  au  bafuni  halafu  akakaa  huko  kwa  lisaa  lizima.
 
Ni  jambo  linalo weza  kuleta  fikra  za  uwalakini kwa  upande  wa mke na  hakuna  kitu  ambacho  mwanaume  ana  jitaidi  kuki avoid kama  hicho.

Tofauti  na  mwanaume  anaye  jihusisha  na  punyeto, anaweza kukurupuka  na  kwenda  zake  chooni  au  bafuni    dakika  zake mbili  ameshamaliza  habari  yake  then  anarudi  kitandani  kwa mkewe  bila  wasiwasi  wala  bila  mkewe  kuhisi  chochote kile, kwa sababu  itaonekana  kama  alienda  chooni  tu  au  bafuni.

KUMVIZIA  MKE  AKIWA  AMESINZIA  KISHA  KUFANYA  PUNYETO  KITANDANI NA  KUMWAGA  MANII  KWENYE    GAZETI  AU  KITAMBAA  CHA  KUFUTIA MAKAMASI.
Hili  nalo  litakuwa  suala gumu  sana  kwa  mwanaume  rijali  kwa sababu , ni  jambo gumu  sana  kufanya  punyeto  kwa  muda  wa  lisaa lizima   bila  mke  wako  kushtuka  na  kukuuliza  unafanya nini.
 
Hali  ni  tofauti  kwa  mwanaume  anaye  jihusisha  na  punyeto. Anaweza  kufanya  jambo  hili  kwa  haraka  sana  kwa  sababu anaweza  kutumia  muda  mfupi  sana  kufika  kileleni.

SABABU   YA  PILI  NI  MARA  ANAZO RUDIA  KUFANYA  TENDO  LA  NDOA
Kwa kawaida  mwanaume  rijali  huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  bila kuchoka  kuanzia  mara tatu na  zaidi  kila  anapo  fanya  tendo  la ndoa   na  katika  kukamilisha  kila  tendo, huweza  kutumia  dakika 30, 45, au  lisaa  limoja na  interval  ya  tendo  huweza  kuwa  ya muda  mfupi  kuanzia dakika  10  hadi  15.

Katika  mazingira  kama  haya, huyu mwanaume  ataweza  vipi  kufanya hiyo  punyeto ?

Kwa  sababu  nilizo  zieleza  hapo  juu, Ni  vigumu  sana  kwa mwanaume  huyu  kuweza  kufanya   punyeto  kwa  sababu  mazingira  ya kufanya  hiyo  punyeto  hayawezi  kumruhusu .

ITAENDELEA   KESHO

KWA   WAATHIRIKA   WA   PUNYETO
Kama  wewe  ni mwanaume  ambae  umeathirika  na  upigaji wa  punyeto kwa  muda mrefu, kiasi  kwamba  maumbile  yako  yamedumaa, sinyaa, legea , nywea  na  kurudi  ndani  kiasi cha  kuyafanya  yaonekane kama  ya  mtoto  mdogo, usikate  tamaa  kwani  bado  unayo  nafasi kutibiwa  tatizo  lako  na  kupona  kabisa

SOMA  MAELEO  HAYA  HAPA  CHINI :

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA NA  KURUDI  NDANI  KWA  MAUMBILE  YA  KIUME PAMOJA  NA  TIBA DHIDI  YA MAUMBILE  YA  KIUME  YALIYO  DUMAA NA KUSINYAA  KWA  SABABU YA  PUNYETO.

Kudumaa , kusinyaa  na  kunywea  au kurudi ndani  kwa  uume  ni tatizo linalo  wakabili wanaume  wengi  duniani.

Dalili  za  tatizo  hili  ni  pamoja  na  kuwa na  maumbile madogo sana yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuyafanya yaonekane  kama  ya  mtoto  mdogo.

VYANZO  VYA  TATIZO  LA  KUDUMAA  NA  KUSINYAA  KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, tatizo la  kudumaa na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya kiume  huchangiwa na  mambo mengi.

Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  pamoja na  kufanya  punyeto  kwa  muda mrefu,  kuugua  chango  la  kiume,  kuugua  ngiri,  kuwa  na  uzito & unene  ulio pitiliza, kufanyiwa  upasuaji  wa  tezi  dume , uzee  na kuugua  maradhi  yasababishayo  kupinda  kwa  uume.

Katika  makala  haya , tutaangazia  namna  suala  la  upigaji  punyeto linavyo  sababisha  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya  kiume.

NINI  HUSABABISHA  UUME  KUSINYAA,KUDUMAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUUFANYA  UONEKANE  KAMA  WA  MTOTO ?

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kisayansi, Sababu  kubwa inayo  sababisha  kudumaa, kusinyaa  na  kurudi  ndani    kwa  uume ni kupungua  ama  kukosekana kabisa   kwa  homoni  zijulikanazo kitaalamu  kama  HGH  ambazo  pamoja  na  mambo mengine , zina  husika  na  kuchochea  ukuaji  wa  seli zinazo  husika na  ukuaji  wa  misuli ya  uume na  uume  kwa ujumla.

MAMBO  YANAYO  SABABISHA  KUPUNGUA  AMA  KUKOSEKANA  KWA  HOMONI ZINAZO  SAIDIA  KUCHOCHEA  UKUAJI  WA  MISULI  YA  UUME.

Kwa  mujibu  wa  tafiti za  kitaalamu, mambo  yanayo  sababisha kupungua  na/ ama  kukosekana  kwa  homoni zinazo  saidia kuchochea ukuaji  wa  misuli ya  uume ni  pamoja  na :
1.   Kujengeka kwa  mafuta kwenye  mishipa  ya ateri ipitishayo  damu kwenda  kwenye  misuli ya  uume  na  hivyo  kuzuia kutiririka  kwa damu kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.
2.    Kujengeka  kwa  tishu zisizo  vutika ndani ya  mishipa  ya ateri. Tishu  hizi  huzuia  mishipa ya  ateri kupanuka  na hivyo kushindwa kuongezeka ukubwa.

KWANINI  PUNYETO HUSABABISHA  UUME KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI KIASI CHA  KUONEKANA  KAMA  UUME  WA  MTOTO  MDOGO ?

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana  kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili, likiwemo  ini.

Ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza
kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa
 kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji wa   homoni  hizo.
 
Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushinda  kukua na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  wakati wa kubalehe.

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.

Kama uume wako  umedumaa, umesinyaa, umelegea, umenywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka kuondokana  na  hali  hiyo.
HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO!

Ipo  DAWA  YA  ASILI  ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA
KIUME.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa  isiyo  na  kemikali  yoyote ya  kiwandani ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI   YANAVYO   TUMIKA
Dawa  hii  ya  asili  hutumika  kwa  kuchua  uume. Na hutumika  mara mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni kwa  muda  wa  siku  thelathini.

MAMBO   YANAYO FANYWA  NA  DAWA  HII YA  ASILI.
Dawa  hii  ya  asili  husaidia  katika  mambo  yafuatayo :
1.    Kuimarisha  na  kuipa  nguvu mishipa  iliyo legea kwa  sababu  ya  punyeto
2.   Hunenepesha  uume  ulio sinyaa  kwa  sababu  ya  punyeto
3.   Hurefusha  uume  ulio dumaa  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ya  punyeto.
4.   Huimarisha  na  kuongeza  nguvu  za  kiume
5.   Hukupa  uwezo wa  kurudia tendo  bila  kuchoka
6.   Hukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu.
7.   Husaidia  kuongeza  na  kuimarisha  nguvu  na  nishati ya  misuli ya  uume.

JINSI YA  KUPATA  DAWA  HII
Kupata  dawa  hii, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la NEEMA  HERBALIST  lililopo  UBUNGO  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI UBUNGO  PLAZA  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini Dar  Es  Salaam, ambao  hawana muda  wa  kufika  ofisini kwetu, tunayo huduma  ya  kuwapelekea  dawa mahali  walipo  ndani ya  jiji la  Dar  Es Salaam  ( HOME & OFFICE DELIVERY )

Kwa wateja  wetu waliopo  nje  ya mkoa  wa Dar  Es  Salaam na Zanzibar, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  na boti.

WASILIANA NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84
Na kufahamu  kuhusu  tiba  asilia ya  magonjwa  na  matatizo
mbalimbali  ya  kiafya, tutembelee  kila  siku :

www.neemaherbalist.blogspot.com

Msimamo wa Acacia kuhusu makubaliano ya Barrick na Serikali

$
0
0
Kampuni ya uchimbaji madini nchini Tanzania, Acacia imesema kuwa inafahamu kuhusu serikali ya Tanzania na Barrick Gold Corporation (“Barrick”), kuwa wamefanya mkutano kwa ajili ya kushirikishana makubaliano yaliyofikiwa kutoka kwenye mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea.

Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu Oktoba 19 kati ya serikali ya Tanzania na Barrick ambaye ndiye mwenye hisa kuwa (asilimia 64) katika Kampuni ya Acacia.

Katika taarifa yake iliyoitoa jana kwenye tovuti yao, Acacia wameeleza kuwa wamepata nakala ya makubaliano hayo, na kwa sasa wanatafuta ufafanuzi zaidi.

Acacia wameeleza kuwa hawakupewa taarifa yoyote rasmi kuhusu makubaliano hayo yaliyofikiwa kati ya pande hizo mbili na wao waweze kuyafikiria. Wameeleza kwamba, kama ambavyo walisema katika mkutano na waandishi wa habari kuwa, makubaliano yoyote yatakayofikiwa kati ya serikali na Barrick, ni lazima yaridhiwe na Acacia.

Aidha, wamesema watafikiria kuhusu makubaliano hayo mara watakapopata taarifa za kina zaidi, na ufafanuzi zaidi utatolewa muda muafaka.

Kifaa kilichotumika kurekodi kashfa ya rushwa chawasilishwa Takukuru

$
0
0
Diwani wa Mbuguni wilayani Arumeru mkoani Arusha, Ahimidiwe Rico amewasilisha kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kifaa anachodai alikitumia kuwarekodi  waliomshawishi kujiuzulu wadhifa huo.

Baada ya Oktoba 17,2017 kuhojiwa na maofisa wa Takukuru, jana Oktoba 19,2017 Rico alifika ofisi za taasisi hiyo saa nane mchana kukabidhi kifaa hicho chenye umbo la kalamu anachodai kimetengenezwa nchini Ujerumani.

Akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kukabidhi kifaa hicho, alisema ameitikia wito wa maofisa wa Takukuru waliomtaka akiwasilishe.
 
Alisema anasimamia ukweli ambao utamuweka huru na haogopi kwa kuwa katika siku za hivi karibuni amekuwa akipokea baadhi ya vitisho kutoka kwa watu wanaomtaka asijihusishe na sakata hilo.

Diwani huyo wa Chadema alisema tangu aanze kushawishiwa apokee rushwa kwa lengo la kujiuzulu nafasi yake alirekodi matukio yote na mawasiliano ambayo amekuwa akiwasiliana na baadhi ya viongozi wa Serikali.

Matokeo Darasa la 7 Yatangazwa....Bofya Hsa Kuyatazama

$
0
0
Baraza la Mitihani Taifa NECTA limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2017, na kusema kuwa ufaulu umeongezeka kwa 2.4% ukilinganisha na ule wa mwaka jana 2016.

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji wa wa NECTA Dkt. Charles Msonde, na kusema kuwa watahiniwa 662,035 kati ya 909,950 waliofanya mtihani huo wamefaulu kwa kupata alama 100 na zaidi, kati ya alama 250 ambazo walitakiwa kupata.

Dkt. Msonde ameendelea kusema kwamba kati ya waliofaulu wasichana ni 341 020 ambayo ni sawa na 70.93% na wavulana ni 321, 015, ambao ni sawa na 74.80%, na idadi ya watahiniwa wote waliofaulu ni sawa na asilimia 72.76%.

Katibu Mkuu huyo aliendelea kwa kusema kwamba ufaulu  katika masomo ya Kiswahili, Kingereza na Hisabati umepanda kati ya 4.25% na 10.05% ukilinganisha na mwaka jana, huku masomo ya Sayansi na Maarifa ya Jamii ukishuka kati ya 3.56% na 13.97%.

Sambamba na matokeo hayo pia Dkt. Msonde amezitaja shule bora zilizofanya vizuri kitaifa ambazo ni kama zifuatazo

St. Peters - Kagera,

St, Severine - Kagera,

Alliance – Mwanza

Sir. John – Tanga

Palikas – Shinyanga

Mwanga – Kagera

Hazina - Dar es salaam

St. Anne Marie - Dar es salaam

Rweikiza – Kagera

Martin Luther - Dodoma.

Pia Dkt. Msonde amezitaja shule 10 zilizofanya vibaya kitaifa ambazo ni

Nyahaa – Singida

Bosha - Tanga

Ntalasha – Tabora

Kishangazi – Tanga

Mntamba – Singida

Ikolo – Singida

Kamwala – Songwe

Kibutuka - Lindi

Mkulumanzi – Tanga

Kitwai A – Manyara

 

Serikal Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Mgao wa 50/ 50 na Barrick

$
0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa Waziri wa Katiba Na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi imetoa ufafanuzi kuhusu suala la faida na mgao wa asilimia 50/50 na kusema jambo hilo limekuwa halifahamiki vizuri kwa watu wengi.

Profesa Kabudi amesema kuwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapata asilimia 16 ambazo zinapatikana bila malipo kwa mujibu wa sheria za madini kama ambavyo zimepitishwa huku Barrick wao wakibaki na asilimi 84.

Msikilize hapo chini akitoa Ufafanuzi

Msigwa Kupeleka Hoja Binafsi Bungeni ya Kumuondoa Spika Job Ndugai

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa katika Bunge ambalo linatarajiwa kuanza Novemba 7, 2017 anakusudia kupeleka hoja ya kumuondoa Spika wa Bunge, Job Nd

Msigwa amesema hayo leo kupitia moja ya mtandao wake wa kijamii na kusema kuwa kwa kuzingatia kanuni ya 137 ya kanuni za kudumu za Bunge atapeleka hoja yake hiyo ya kumuondoa Spika wa Bungue.

"Ninakusudia kupeleka hoja ya kumuondoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mhe. Job Ndungai, kwa kuzingatia Kanuni ya 137 ya kanuni za kudumu za bunge ina complement ibara ya 84 (7) (d) ya Katiba" alisema Msigwa

Mbunge Peter Msigwa ni kati ya wabunge ambao wamekuwa wakilalamika kuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai amekuwa akiendesha bunge kwa shinikizo na upendeleo na kudai kuwa hastahili kuendelea kuongoza kiti hicho.

Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi ya Lulu Michael Dhidi ya Steven Kanumba

$
0
0
Kati ya mashahidi watatu waliotakiwa kutoa ushahidi leo katika Mahakama ya Kanda Maalumu Dar es salaam kuhusiana na kesi ya kuuwa bila kukusudia inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael 'Lulu, wawili wamefanikiwa kutoa ushahidi huku mmoja  akitakiwa kufika Siku ya Jumatatu kwa zoezi hilo.

Kati ya mashahidi wawili waliofanikiwa kutoa ushahidi siku ya leo kuhusiana na kesi hiyo ni pamoja na aliyekuwa Afisa upelelezi Ester Zephania  ambapo amesema aliagizwa na kiongozi wake wa kazi kwenda eneo la tukio, ambapo amesema alipofika hakumkuta mshtakiwa 'Lulu'

Ameongeza kwamba, alipofika nyumbani kwa marehemu Kanumba chumbani alichofanikiwa kukikuta ilikuwa ni chupa ya pombe, michirizi ya rangi nyeusi ukutani pamoja na mapanga mawili na kuongeza kuwa mtuhumiwa, (Lulu) alikuja kumpata baada ya masaa mawili.

Pamoja na hayo amesema kuwa siku moja baada ya kumkamata mtuhumiwa akiwa mikononi mwa polisi alipelekwa hospitali kwa kuwa alidai kwamba anajisikia vibaya.

Kwa upande wa shahidi mwingine ambaye alikuwa Daktari binafsi wa marehemu Kanumba (Dk Kageiya), amesema kwamba alipopigiwa simu kuhusiana na hali ya mteja wake alipofika aligundua kuwa tayari alikuwa amekwishafariki lakini alishindwa kuwaambia ndugu zake.

Mahakama bado itaendelea kusikiliza ushahidi  siku ya Jumatatu  Oktoba 23, chini ya Jaji Sam Rumanyika kutoka kwa shahidi namba tatu ambaye naye ni Afisa Upelelezi.

Pata Tiba Asili ya Fangasi, Harufu Mbaya, Vidonda vya Tumbo na Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi Wanasumbuliwa na tatizo la kushidwa kushiliki vyema tendo hilo na kuwapelekea kuwa na mawazo mengi ambayo hayana majibu. Usikate tamaa MKWASHA POWER Ndio suluisho lako ina uwezo wakutibu na kumaliza tatizo hilo kwa mda mfupi sana 
 
(1)Huimarisha misuli ilio legea nakukufa uume usimame vizuri 
(2)Huongeza ham ya tendo la ndoa na itakufanya uweze kuludia tendo hilo zaidi ya Mala Tatu bila kuchoka 
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa Dk10-25 kwa tendo moja. Itamfanya mwenzi wako kufurahia  tendo hilo zaidi .Huongeza saizi ya maumbili madogo na kulefisha saizi uipendayo 

NINI CHANZO CHA TATIZO HILO;  Tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo, ugongwa wa kisukari, presha, utumiaji wa pombe kali kupita kisa, utumiaji wa dawa za kulevya, tumbo kujaa gesi, NK 

Kutana na DR.ATHUMANI ndio bingwa wa matatizo hayo pia ana tibu matatizo ya uzazi kushidwa kupata mimba mimba karibia, kupunguza unene (kitambi) vuidonda vya tumbo, fangasi sugu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kukosa ham ya tendo, kuondo harufu mbaya ukeni, Anatikana mbagala 

==>Piga simu;  0676969816- DR. ATHUMANI

Uamuzi wa pingamizi kesi ya Mdee, Bulaya Oktoba 30

$
0
0
Mahakama Kuu Oktoba 30,2017  itatoa uamuzi wa pingamizi zilizowasilishwa na upande wa Serikali katika maombi ya wabunge wa Chadema waliosimamishwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge kwa kosa ya kudharau kiti cha Spika.

Wabunge hao waliosimamishwa katika Bunge la bajeti Juni, 2017 ni Halima Mdee wa Kawe na Ester Bulaya wa Bunda Mjini.

Mdee na Bulaya wamefungua mashtaka katika Mahakama Kuu wakidai uamuzi huo umekiuka Kanuni za Bunge na Katiba.

Katika kesi hiyo jana  Alhamisi Oktoba 19,2017 mawakili wa wabunge hao, Jeremia Mtobesya na Fred Kalonga waliiomba Mahakama iwaelekeze Spika wa Bunge au Katibu Bunge wawapatie taarifa walizoomba na kutoa ruhusa ya kuzitumia.

Wakili Mkuu wa Serikali, Angaza Mwipopo aliyewasilisha pingamizi kwa hati ya kiapo alidai wabunge hao hawakutumia fursa zingine walizonazo kabla ya kufungua shtaka hilo mahakamani.

Jaji Awadhi Mohamed aliyesikiliza pingamizi hizo ameahirisha maombi hayo akisema uamuzi atautoa Oktoba 30,2017.

CHADEMA Wamkataa Mkurugenzi

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeweka wazi kwamba hakimuhitaji Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru Bwana Christopher Kazeri kuwa msimamizi wa uchaguzi mdogo kwa madai kwamba hawana imani naye pia hana sifa kwani anaweza kusababisha umwagikaji wa damu.

Akiitoa taarifa hiyo Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa amesema kwamba Mkurugenzi huyo alipoteza sifa za kusimamia uchaguzi tangu Juni, 24 walipokuwa kwenye uchaguzi wa vitongoji na vijiji  kwa kufoji matokeo katika vijiji kadhaa na kuwalazimisha wasimamizi wabadilishe namba kwenye fomu.

Golugwa amesema kwamba vitendo ambavyo Mkurugenzi huyo alivifanya anavitafsiri kama mambo ya kihuni kwani yalipelekea kugombanisha watu ambao ni ndugu hivyo hofu yao ni kwamba anaweza kusababisha umwagikaji damu katika uchaguzi mdogo wa marudiano Arumeru Mashariki.

"Tumeishauri Tume iweze kuwasiliana na mamlaka ya uteuzi kwamba hatumtaki ndg Kazeri awe msimamizi wa uchaguzi huu mdogo Arumeru Mashariki, kwanza aliingilia uchaguzi wa vitongoji na vijiji na kulazimisha kubadilishwa matokeo ambayo yalionyesha Chadema wameshinda, jambo ambalo lilileta ugombanishi kwa wagombea, na hata wagombea wa CCM walikataa matokeo kwa kukubali kwamba walishindwa na hata wasimamizi na askari waliokuwepo hapo walithibitisha kwamba Chadema walikuwa wameshindwa" Golugwa

Ameongeza  "Kama uchaguzi wa vitongoji Mkurugenzi ametumia mabavu na kufanya uhuni ambao tumeumbatanisha kwa Tume, kwenye uchaguzi huu wa madiwani si ataleta hata vifaru au kusababisha umwagaji wa damu? Kwa busara na hekima ya kawaida matendo aliyoyafanya Kazeri hayampi sifa ya kuwa msimamizi.

Hata hivyo Golugwa amefafanua na kusema kwamba wamewasilisha ushahidi wa wagombea wa CCM wakikataa kupokea ushindi huo wa vitongoji kwa madai kwamba hawawez kupokea ushindi wa  mtutu wa bunduki.

CCM yawarudisha kugombea madiwani waliohama Chadema

$
0
0
Chama cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha, kimewateua wagombea wanane wa udiwani, watakaoshiriki uchaguzi mdogo, watatu wakiwa ni madiwani ambao walijiuzulu Chadema ili kumuunga mkono Rais John Magufuli, lakini wakadondoshwa kwenye kura za maoni ndani ya CCM.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Shaban Mdoe amesema leo Ijumaa kuwa madiwani hao watapeperusha bendera ya CCM, katika  uchaguzi huo mdogo.

Uchaguzi unafanyika baada ya waliokuwa madiwani wa kata nane kupitia Chadema kuachia ngazi kwa hiyari yao wakiunga mkono jitihada za Rais Magufuli.

Mdoe amesema miongoni mwa waliopitishwa ni madiwani watatu waliojiuzulu udiwani Chadema na kujiunga na CCM kisha kupokelewa na mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli ambapo alishauri vikao vya kikatiba kuwarejesha katika nafasi zao kama bado wanazo sifa.

Madiwani waliokuwa Chadema na kujiuzulu ambao walishindwa kura za maoni ndani ya CCM na jana kupitishwa ni Japhet Joseph Jackson (Ambureni), Anderson Sikawa (Leguruki) na Solomon Laizer (Ngabobo).

Mdoe amesema katika kikao hicho cha leo makada wengine walioteuliwa kupeperusha bendera ya CCM na majina ya kata zao katika mabano ni pamoja na Francis Mbise (Muriet) iliyopo katika jiji la Arusha, Flora Zelothe (Mussa) iliyoko wilayani Arumeru.

Wengine ni pamoja na Prosper Damuni MeyanI (Moita), iliyoko wilayani Monduli, Samson Laizer (Makiba) na Yona Kaaya (Maroroni) halmashauri ya Meru.
 
Amesema katika kikao hicho wajumbe wote na kwa kauli moja walikubaliana kuhakikisha ushindi unapatikana kwa chama cha mapinduzi na kuzitwaa kata hizo ambazo zilikua zikishikiliwa na madiwani wanaotokana na Chadema.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605   au  0767358654

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Wanawake Wagoma Kufanya Mapenzi Kenya Hadi Uhuru Kenyatta Awe Rais

$
0
0
Jubilee wameiga kaulimbiu ya kampeni ya muungano wa Nasa baada ya kikundi cha wanawake kutoa wito wa kujizuia kufanya ngono hadi pale watakapokamilisha kumsimika Uhuru Kenya kuwa rais.

“Hakuna ngono hadi baada ya uchaguzi” ni kauli ya hamasa iliyoanzishwa na mgombea urais kwa tiketi ya Nasa, Raila Odinga kwamba wakati wa vita wanaume huwa hawalali na wake zao. Kauli hiyo ilikuwa maarufu kipindi cha kuelekea uchaguzi wa Agosti 8.

“Agosti 8 inakuja; itakuwa siku ya kihistoria na hakuna mtu atakayeachwa bila kupiga kura. Wanaume watalala nje. Siku itakapofika, hakuna mwanamume kulala na mkewe,” alikuwa akisema.

“Mnapokwenda vitani, ngono ni mkosi,” Odinga alinukuriwa akisema Juni.

Safari hii kikundi cha wanawake nchini kimetoa rai ngono ipigwe marufuku kuelekea uchaguzi mkuu wa marudio ambao umeamriwa na Mahakama ya Juu.

Ingawa sintofahamu imetawala uchaguzi huo uliopangwa Oktoba 26, wanawake katika mji wa Nyeri katika mkutano na waandishi wa habari Jumatano walisema hawatashiriki ngono na waume zao hadi Uhuru Kenyatta atakapoapishwa kuwa rais kwa muhula wa pili.

Kiongozi wa kikundi hicho, Rahab Mukami, ambaye ni mwakilishi wa wanawake alisema wanawake wameimarisha kampeni kuhakikisha Kenyatta anashinda.

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imesisitiza kwamba uchaguzi utafanyika kama ulivyopangwa licha ya mgomo ulioitishwa na Odinga wa National Super Alliance (Nasa).

Nasa wametoa wito kwa wafuasi wao kufanya maandamano makubwa siku ya uchaguzi. Mara kadhaa wafuasi wao wamepambana na polisi katika mitaa ambayo muungano huo ni ngome zao.

Bad News: Hiace Yawaka Moto na Kuua Watu Watano

$
0
0
Watu watano wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Hiace kugongana na lori kisha kuwaka moto.

Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Kyamyorwa wilayani Muleba mkoani Kagera.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustino Olomi amesema ajali hiyo imetokea leo Ijumaa Oktoba 20, saa 12:00 asubuhi.

Amesema mwendo kasi wa dereva wa gari dogo la abiria ni chanzo cha ajali hiyo.

Ingawa Kamanda Olomi hakuwataja waliokufa, Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Richard Ruyango amesema miongoni mwao ni dereva wa gari dogo, kondakta na abiria watatu.

Amesema watu hao walishindwa kujiokoa kutokana na mlango wa gari kubanwa hivyo kushindwa kufunguka.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Benki ya Tanzania yafanya mazungumzo ya uwekezaji China

$
0
0
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imefanya mazungumzo na Taasisi muhimu za kifedha na kiuchumi nchini China kwa ajili ya upatikanaji wa fedha za uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu na viwanda nchini .

Ujumbe wa TADB umeoongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ,  Francis Assenga alipokutana na Mwakilishi wa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya China (CBD) leo  kwenye Mkutano uliofanyika, Guangzhou, China.

Pande zote mbili zimekubaliana kuendelea na kuimarisha ushirikiano  utakaowezesha kupatikana kwa fedha kwenye uwekezaji wa miundo mbinu ya kilimo na viwanda vidogo vidogo vya uongezaji thamani kwenye mazao ya kilimo kwa wakulima nchini.
 
Katika ziara hiyo TADB pia imefanya majadiliano ya kina na Mfuko wa Maendeleo ya Africa wa China (China African Development Fund) ambao hufanya uwekezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo na ya kibiashara (Equity investmenta) kwenye nchi za Afrika ikiwemo Tanzania.
 
Mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Ujumbe wa ulioongozwa na Makamu Mtendaji wa Rais na Naibu Mtendaji Mkuu wa 'CADFUND' . Wang Yong aliyefuatana na Mkurugenzi Mkuu wa Sekta ya Viwanda, Kilimo, Afya na Uwekezaji, . Lei Ma; Mkurugenzi Mkuu wa Maendeleo ya Masoko na Huduma Elekezi , Henry Liu na Meneja wa Uwekezaji wa Viwanda, Ardhi na Kilimo  Luo Zhongquan.

Ujumbe wa Tanzania umeongozwa na Katibu Mkuu wa Viwanda Biashara na Uwekezaji (UWEKEZAJI), Prof. Adolf Mkenda. Wengine waliohudhuria ni Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki; na Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini China Lusekelo Gwassa.
 
Katika mazungumzo hayo, pamoja na mambo mengine CADFUND walikubali kuendelea kutoa fedha kwenye miradi ya kiuchumi na uwekezaji mkubwa kwenye nyanja za  kilimo, madini na miundombinu kama ya maji na umwagiliaji.

Jakaya Kikwete afunguka kinachokwamisha Afrika

$
0
0
Rais Mstaafu wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete amesema uchangishaji fedha kwa ajili ya miundombinu na kilimo ni lazima uende kwa pamoja kwa sababu masuala hayo ni masuala mtambuka kwa maendeleo ya taifa lolote duniani.

Dk. Kikwete amesema hayo jana  wakati akizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa jijini New York, nchini Marekani, baada ya kushiriki kikao cha ngazi ya juu cha Wiki ya Afrika ambapo masuala ya tabia nchi, miundombinu, kilimo na vijana yamejadiliwa.

Dk. Kikwete amesema uchangishaji usiotosheleza wa fedha katika sekta ya kilimo unakwamisha wakulima kushiriki kilimo cha kisasa kwa kutumia mbegu zisizo na ubora na kusababisha wakulima kukosa mavuno yenye tija.

"Ukiendeleza kilimo unasaidia watu wengi sana na umasikini wa Afrika una sura ya vijijini kwamba masikini wengi waliopo Afrika wapo vijijini na tatizo kubwa la kilino ni kwamba tunatumia dhana za zamani jembe la mkono linatumika zaidi kuliko mashine na mitambo, asilimia 4 tu ya kilimo chetu tunatumia umwagiliaji na mvua ya mwenyezi Mungu, tatu kilimo chetu hatutumii mbegu bora tunatumia mbegu za asili ambazo hazizalishi sana" alisema Jakaya Kikwete

Acacia Wasema hawana Dola Milioni 300 za kuilipa Serikali ya Tanzania kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo.

$
0
0
Kampuni ya uchimbaji madini, Acacia (Acacia Mining) imefunguka na kusema kuwa haina uwezo wa kulipa dollar milioni 300 kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kutatua mgogoro wa kodi.

Akiongea jana  Oktoba 20, 2017 kwa njia ya simu na chombo cha habari cha Kimataifa cha Uingereza (Reuters) Afisa wa Fedha wa Acacia, Andrew Wray kampuni hiyo haina uwezo wa kulipa fedha hizo kwa serikali ya Tanzania.

Washirika wakubwa wa Acacia, Barrick Gold siku ya juzi Oktoba 19 walikubalina na serikali ya Tanzania kuwa watalipa dollar milioni 300 kwa serikali ya Tanzania pamoja na kugawana mapato yanayotokana na shughuli za uchimbaji wa madini nchini.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images