Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605   au  0767358654

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Chama cha ACT Wazalendo Chalaani Mauaji ya Watu 250 kwa Bomu

0
0
Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya watu zaidi ya 250 vilivyotokea kutokana na mlipuko wa mabomu yaliyokuwa yamewekwa ndani ya lori mjini Mogadishu. Mbali na vifo hivyo, watu zaidi ya 400 wamejeruhiwa katika tukio hilo. Shambulio hilo linadaiwa kutekelezwa na kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab usiku wa jumamosi 14/10/2017.

Inasikitisha sana kuona maisha ya mamia ya watu yakikatizwa kinyama namna hiyo, wakati viongozi, wananchi na taasisi mbalimbali duniani wakifanya juhudi kuhakikisha dunia inakuwa sehemu salama ya kuishi inahuzunisha kushuhudia matukio ya kidhalimu kama hayo yakiendelea kutukia.

Tunatoa pole kwa serikali na wananchi wa Somalia, tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu awajalie uvumilivu na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mamia ya ndugu zao.

Pia tunatoa wito kwa serikali ya, Somalia, serikali ya Tanzania Jumuiya ya Afrika Mashariki, Umoja wa Afrika na jumuiya za kimataifa kuendelea na juhudi za kuleta amani nchini Somalia. Juhudi za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ili kuepusha maafa na madhara zaidi yanayoweza kusababishwa na kutokuwepo usalama nchini humo. Somalia isipokuwa salama Afrika haiwezi kuwa salama, bila Somalia salama hakuna dunia salama.

Imetolewa na,
Venance Msebo
Mwenyekiti kamati ya mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa
Dar es salaam 16 Oktoba, 2017

Kaimu Katibu Mkuu Ammwagia Sifa Rais Magufuli

0
0

Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa vijana  wa UVCCM Taifa Shaka Hamidu, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli kwa kurejesha mwamko ndani ya chama.

Shaka amesema kuwa katika uongozi wa Rais Magufuli kama Mwenyekiti wa Chama cha CCM, UVCCM imeweka rekodi ya kupokea maombi mengi zaidi ya watu wanaowania nafasi ya Uenyekiti Taifa kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Jumla ya vijana 113 kutoka Tanzania bara na Zanzibar wamejitokeza kuwania nafasi hiyo.

“Katika uongozi wa Dkt, Magufuli akiwa Mwenyekiti wa chama limekuwa ni jambo la historia inaonyesha jinsi gani vijana wamekuwa na mwamko na hamu ya kukitumikia chama, kwakweli anastahili pongezi na hizi ni dalili nzuri kwa Chama”, amesema Shaka.

Kwa upande mwingine Shaka amesema hivi sasa zoezi linaloendelea ni usaili wa wagombea wote walioonesha nia ya kuwania uongozi ili kuwabaini na kuwapitisha wenye sifa sitahiki. Moja ya sifa kuu ya kugombea uongozi ndani ya UVCCM ni kuwa na miaka 30 au chini ya hapo ili katika uongozi wako usizidi miaka 35 kwani kila awamu ni miaka mitano.

Nafasi zinazowaniwa katika uchaguzi huo ambao mchakato wake umeanza tangu mwezi April kwa ngazi za Shina na Tawi ni Mwenyekiti, na Makamu wake, Wajumbe watano wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC), wajumbe watano wa baraza kuu la umoja huo Taifa na wawakilisha wa Jumuiya hiyo katika Jumuiya nyingine ndani ya chama.

Waziri kupeleka bungeni maombi umri wa kustaafu maprofesa uongezwe

0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amesema ana mpango wa kupeleka bungeni maombi ya kuongezwa muda wa kustaafu maprofesa.

Amesema umri wa kustaafu kwa sheria unawafanya wasomi hao washindwe kutumika vizuri kulijenga Taifa, hivyo ataomba wastaafu wakiwa na umri wa miaka 65 badala ya 55.

Mkuchika amesema hayo leo Jumatatu Oktoba 16, alipotembelea ofisi za Sekretarieti ya Ajira na kukutana na watendaji wa taasisi hiyo.

Amesema baadhi ya kada ambazo zinafanyiwa kazi na maprofesa zinatakiwa kuangaliwa kwa jicho la tofauti.

Waziri amesema wengi wanapata  uprofesa wakiwa na miaka 55 na hufanya kazi kwa miaka michache na kutakiwa kustaafu.

"Tutapeleka bungeni maombi kuwe na mabadiliko kidogo katika baadhi ya maeneo, hawa maprofesa wengi wanaofikia hatua hiyo wanakuwa na miaka kuanzia 50 na kuendelea halafu anafanya kazi kidogo anatakiwa kustaafu," amesema.

Amesema haitakuwa na maana kama wasomi hao wanatumia rasilimali za Taifa kufikia hatua hiyo halafu baada ya kuhitimu wanafanya kazi kwa muda mfupi na kutakiwa kustaafu.

Mkuchika amesema pia atawasilisha maeneo mengine ambayo yana upungufu unaotokana na sheria.

Amesema hayo akijibu changamoto iliyotolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira, Xavier Daudi ambaye ameeleza kuwa sheria inatoa mwanya kwa taasisi nyingine za umma kuajiri bila kupitia sekretarieti hiyo.

"Kuna mgongano wa kisheria kati ya sheria iliyoanzisha Sekretarieti ya Ajira na baadhi ya taasisi za umma ambazo nazo zina mamlaka ya kuajiri watumishi kwenye taasisi zao," amesema Daudi.

Akijibu hilo, Mkuchika amesema, "Naahidi katika kipindi changu cha uwaziri nitafanyia kazi changamoto hiyo na ikiwezekana maeneo yote yawekwe sawa kisheria."

Mkuchika amewaasa watendaji wa taasisi hiyo kujiweka mbali na vitendo vya rushwa.

"Fanyeni kazi bila upendeleo, jiwekeni mbali na rushwa natambua hakuna sehemu yenye changamoto ya rushwa kama Sekretarieti ya Ajira. Usiombe faili lako lije kwangu eti mfanyakazi wa sekretarieti ya ajira ana kesi ya rushwa," amesema.

Waziri amesema, "Nitasimamia utendaji wa watumishi wa umma, tufanye kazi kulingana na malipo tunayolipwa na kodi za Watanzania. Nafahamu wapo watumishi wa umma ambao wanalipwa mshahara ilhali hawafanyi kazi inavyostahili."

Kuhusu watumishi wa umma walioshiriki na kushinda katika uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), amesema watawashughulikia kulingana na mwongozo uliotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi.

Amesema wakati nchi inaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, Katibu Mkuu Kiongozi alitoa mwongozo ambao ulielekeza kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma kulingana na nafasi zao wapo wanaoruhusiwa na wasioruhusiwa kushiriki kwenye siasa.

Waziri Mkuu awaonya mawaziri

0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya mawaziri na kuwataka watumie madaraka yao kwa manufaa ya Taifa na kamwe wasiyatumie kama fursa ya kujitajirisha wao binafsi.

Kassim Majaliwa amesema hayo leo Oktoba 16, 2017 alipozungumza na baadhi ya Mawaziri, Manaibu na Makatibu Wakuu katika kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam. 

Aidha Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli amesisitiza kwamba amewateua ili wafanye kazi na kamwe wasitumie madaraka waliyopewa kwa maslahi yao binafsi.

“Madaraka haya ya Uwaziri si fursa ya kujipatia utajiri, tunatakiwa tufanye kazi kwa weledi, uadilifu, bidii na uaminifu mkubwa ili kuondoa kero za wananchi kwa wakati.”

Waziri Mkuu amesema Mawaziri hao wanatakiwa wasimamie utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa Taifa wa miaka kuanzia mwaka 2016/2017 hadi 2020/2021. Pia utekelezaji wa ahadi zote zilizopo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 pamoja na ahadi alizozitoa Rais Dkt Magufuli wakati wa kampeni za uchaguzi.

Hata hivyo Waziri Mkuu amewataka Mawaziri hao wakapunguze urasimu katika utekelezaji wa malengo ya Serikali kwa sababu wananchi wanahitaji kuhudumiwa kwa wakati 

Mawaziri waliohudhuria kikao hicho ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais –TAMISEMI Bw. Suileiman Jaffo pamoja na Manaibu wake Bw. Joseph Kandege na Bw. George Kakunda, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi Ummy Mwalimu na Naibu wake Dkt. Faustine Ndungulile.

Wengine ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe na Naibu wake Bw. Jumaa Aweso, Waziri wa Viwanda na Biashara Bw. Charles Mwijabe na Naibu wake Mhandisi Stella Manyanya.

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla na Naibu wake Bw. Josephat Hasunga, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako na Naibu wake Bw. William Ole Nasha, Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Bw. Abdallah Ulega pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara hizo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Octoba 17

Makamu wa Rais awaonya Trafiki wanaogeuza tochi kuwa mtaji

0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaonya Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani kuacha kugeuza vifaa vya kupimia mwendo wa magari maarufu kama tochi, kuwa chanzo cha wao kujipatia rushwa.

Mama Samia Suluhu ameyaeleza hayo jana wakati akifungua maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Kilimanjaro.

Makamu wa Rais amewataka trafiki kujiepusha na vitendo vya rushwa na badala yake watilie mkazo katika ulinzi wa usalama na usimamizi wa sheria za barabarani.

Pia, amewataka kutowanyanyasa madereva ambao wanazingatia sheria za usalama barabarani.

Samia alieleza kuwa 76% ya ajali za barabarani huchangiwa na makosa ya kibinadamu ikiwamo madereva kuendesha magari huku wakitumia simu zao, uchovu unaosababisha madereva kusinzia, pamoja na kuendesha wakiwa walevi.

Aliendelea kwa kusema ubovu wa miundombinu ya barabara pamoja na ubovu wa magari nayo imechangia kutokea kwa ajali za barabarani kwa asilimia 16.

Vile vile alieleza kuwa kukosekana kwa umakini na uzembe wa madereva wa bodaboda kumepelekea kuongezeka kwa idadi ya ajali za barabarani ambako kungeweza kuepukika.

Samia amesema Taifa limeendelea kupoteza nguvu kazi, watu kupata ulemavu wa maisha na wengine kubaki wajane.

“Mwaka huu kuanzia Januari hadi Septemba kumekuwa na ajali za pikipiki 42,721 zilizoua watu 1,613 na kusababisha majeruhi 1,597,” amesema.

Amesema Mkoa wa Kilimanjaro umeripotiwa kuwa na ajali 84 za bodaboda zilizosababisha vifo 61 na majeruhi 21.

Samia ameeleza kusikitishwa kwa Tanzania kutajwa katika ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kuwa ni nchi inayoongoza kwa ajali ikiwa na asilimia 33.

Ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kushirikiana na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani na wadau kuzingatia na kuelekeza nguvu kwenye kudhibiti makosa makubwa matano hatarishi.

Makosa yaliyotajwa ni pamoja na mwendo kasi, ulevi, kutovaa kofia ngumu, kutovaa mikanda ya usalama katika gari na ukosefu wa vifaa vya usalama kuwalinda watoto wadogo wakiwa ndani ya gari.

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280.

Abiria wa Bodaboda na Mmliki Kuwajibishwa

0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba amewataka abiria nchini kuendelea kutii sheria za usalama barabarani vinginevyo itaundwa sheria ambayo itawawajibisha.

Waziri ameyasema hayo jana mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa wiki ya Usalama Barabarani ambapo aligusia usafiri wa pikipiki maarufu kama Bodaboda.

“Sheria itabidi imtambue mmiliki kwenye kosa la dereva pikipiki kukosa kofia ngumu (Helmet) ili wote wawajibishwe na hapo ndio wamiliki watakuwa makini kuhakikisha vyombo vyao vina kofia ngumu mbili, ya dereva na abiria”, alisema Mwigulu.

Aidha waziri Mwigulu aliongeza kuwa kutokana na takwimu za ajali za Bodaboda kuna haja ya kutumia taratibu ama sheria ambayo itamuwajibisha abiria endapo hatavaa kofia ngumu hali ambayo itasaidia abiria kudai kofia kabla ya kupanda Pikipiki.

Usafiri wa Bodaboda umekuwa na msaada mkubwa maeneo ya mijini na vijijini lakini umekuwa ukitajwa kama chanzo kikubwa cha ajali za barabarani kutokana na madereva wake kutofuata sheria za barabarani.

Imamu aigomea Tanroads kubomoa mskiti Kimara

0
0
Imamu wa Msikiti wa Al Masjid Kirumbi Islamic Center uliopo Kimara amewazuia waumini wake kutoshiriki katika kuvunja au kutoa kitu chochote katika msikiti huo ambao unatakiwa kuvunjwa na Wakala wa Barabara Tanzania TANROADS.

Imamu wa Msikiti huo Ramadhan Juma  amesema hayo jana  wakati akifanyiwa mahojiano na MCL na kudai kutokana na imani yao ni kosa kubwa mtu yoyote kuvunja nyumba ya ibada kwa kuwa hiyo ni nyumba ya Mungu na kusema wao hawajatoa kitu chochote zaidi ya vitu vidogo ambavyo vinatumika kusaidia jamii kama jeneza.

"TANROADS wametupa barua ya kuvunja msikiti ndani ya wiki moja kwa kile wanachodai umevamia eneo la barabara hivyo walitaka tutoe vifaa ndani ya wiki moja kupisha zoezi la barabara lakini kutokana na imani yetu na Uislam unavyotufundisha ni kosa kubwa kuvunja nyumba ya 'Allah Subhanahu Wa Ta'ala' 

"Hii ni nyumba ya ibada hivyo hatutainua mikono yetu kwa kujihukumu sisi wenyewe kwa amri ya dini yetu ya Kiislam kwetu sisi ni kosa mtu kutoa mkono wake kutoa sijui bati au chochote kile kinachohusu msikiti kwa hiyo ndiyo maana tumeshindwa kuvunja msikiti huu" alisisitiza Imamu Ramadhan

Hata hivyo Imamu alisisitiza kuwa wao wameiachia serikali na hao TANROADS waweze kubomoa wenyewe na kusema yeye amewakataza waumini wake wasishiriki cha chochote katika kubomoa nyumba hiyo ya ibada

"Nimewaambia waumini wangu wasitoe chochote katika kuvunja kwa msikiti huu, tutatoa vitu vidogo vidogo ambavyo vinasaidia jamii kama vile jeneza na vinginevyo tumevitoa lakini katika majengo kwa chochote kile tunawaachia wenyewe, hii ni nyumba ya Allah hivyo wavunje wao halafu Mungu mwenyewe ndiye atajua kwa kuwa hiyo ni nyumba yake atakavyohukumu yeye ndiye anajua kwa kuwa hiyo ni nyumba yake" alisema Imamu Ramadhan Juma

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605   au  0767358654

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Lulu Michael Kizimbani Kesho Kutwa Kesi ya Steven Kanumba

0
0
Msanii maarufu wa kike wa fani ya uigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael Kimemeta, maarufu kama Lulu, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya aliyekuwa msanii maarufu wa kiume wa fani hiyo, Steven Kanumba, keshokutwa atapanda kizimbani tena wakati kesi hiyo itakapoanza kuunguruma.

Lulu ambaye yuko nje kwa dhamana anakabiliwa na kesi hiyo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, akidaiwa kumuua Kanumba bila kukusudia, kinyume cha Kifungu cha 195 cha Kanuni za Adhabu (PC), April 7, 2012, nyumbani kwa marehemu Kanumba, Sinza Vatican.

Kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam vya mashauri ya jinai, kesi hiyo itasikilizwa keshokutwa na Jaji Sam Rumanyika kuanzia keshokutwa, Alhamis Oktoba 19 hadi Jumatatu Oktoba 23, mwaka huu.

Wakati upande wa mashtaka (Jamhuri) ukidai kuwa Lulu alimuua Kanumba bila kukusudia, hata hivyo Lulu mwenyewe wakati wa usikilizwaji wa awali mahakamani ambapo alisomewa maelezo ya kesi hiyo alikana mashtaka hayo ya kuua bila kukusudia.

Hivyo kesi hiyo itakapoanza kusikilizwa kuanzia keshokutwa, upande wa mashtaka utakuwa na wajibu wa kuwaita mashahidi mahakamani kutoa ushahidi na hata vielelezo kuthibitisha kuwa msanii huyo alitenda kosa hilo.

Hata hivyo ikiwa mara hii atakiri kosa hilo, basi Jamhuri haitalazimika kuita mashahidi wake kuthibitisha kosa hilo bali mahakama itamtia hatiani tu kwa kukiri kwake na kisha kumhukumu adhabu ambayo itaona kuwa inafaa.

Mshtakiwa anayepatikana na hatia ya kosa la kuua bila kukusudia, adhabu ya juu huwa ni kifungo cha Maisha.

Kwa hiyo mahakama inaweza kumhukumu mshtakiwa kifungo cha maisha, miaka 20,  mitano, mwezi, siku, saa ama kumwachia huru kabisa.

Lulu alipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza April 10, 2012,  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa shtaka la kumuua Kanumba, lakini hakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kisheria kusikiliza kesi za namna  hiyo, isipokuwa Mahakama Kuu.

Februari 17 msanii huyo alipandishwa kizimbani Mahakama Kuu na kujibu mashtaka hayo kwa mara ya kwanza, wakati wa usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo (PH), ambapo alisomewa maelezo yote ya kesi inayomkabli.

Siku hiyo  Lulu  alikubali kuwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Kanumba, jambo ambalo ni miongoni mwa mambo manane ambayo aliyakiri mahakamani hapo, kama mambo yasiyobishaniwa katika kesi hiyo, lakini akakana kumuua Kanumba bila kukusudia.

Mambo mengine ambayo Lulu aliyakiri mahakamani hapo yaliyoko katika maelezo ya kesi hiyo ni pamoja na jina na anuani yake, kwenda nyumbani kwa Kanumba usiku wa tukio hilo, kuwa na ugomvi na Kanumba pia Kanumba kumzuia kutoka nje ya chumba alipojaribu kutoka ili akimbie.

Mengine ni kufanikiwa kutoka nje ya chumba cha marehemu Kanumba, kumweleza mdogo wa Kanumba (Seth Bosco) kuwa Kanumba ameanguka, kukamatwa kwake na polisi eneo la Bamaga, saa 11 Alfajiri ya usiku wa tukio hilo na kushtakiwa kwa kosa la kumuua Kanumba bila kukusudia.

Baada ya Lulu kukana mashtaka, Wakili wa Serikali, Monica Mbogo aliiarifu mahakama kuwa wakati wa usikilizwaji wa shauri hilo, upande wa mashtaka utakuwa na mashahidi wanne.

Aliwataja mashahidi hao kuwa ni pamoja na Seth Bosco, Daktari binafsi aliyekuwa akimhudumia Kanumba, Dk Paplas Kageiya, Ester Zephania na Askari D/Sgt Ernatus wa Kituo cha Polisi Oysterbay.

Pia Wakili Mbogo aliwasilisha mahakamani vielelezo viwili vitakayotumika kama sehemu ya ushahidi katika kesi hiyo ambayo ni taarifa ya kitabibu ya uchunguzi wa chanzo cha kifo cha Kanumba na ramani ya eneo la tukio.

Lulu kwa upande wake, mawakili wake Peter Kibatala na Fulgence Massawe waliiarifu Mahakama kuwa wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo kwenye utetezi watakuwa na mashahidi watano na vielelezo viwili. Hata hivyo hawakutaja majina ya mashahidi hao.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Nassari Apeleka Ushahidi wa Tatu TAKUKURU

0
0
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema)  amewasilisha ushahidi mwingine kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu tuhuma za ununuzi wa madiwani wa Chama hicho.

Madiwani hao nane wa Chadema wamejiuzulu kwa kile walichoeleza kumuunga mkono Rais John Magufuli  jambo ambalo Nassari anadai siyo kweli bali walinunuliwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jana nje ya ofisi ya Takukuru Upanga jiji ni humo alisema, " huu ni ushahidi wa tatu na kadri upepelezi ukiwa unaendelea nitaleta mwingine, hii ni kama filamu ya Isidingo."

Nassari alisema alitarajia Rais John Magufuli angewachukulia hatua wateule wake wanaohusishwa katika sakata hilo ili kupisha uchunguzi uweze kufanyika kwa uhuru.

"Tunajiuliza kwa nini Rais hawachukulii hatua DED, DAS au DC wote wa Arumeru kwa kutuhumiwa, watupeleke mahakamani na tungeomba suala hili lichukuliwe kwa uzito wake," alisema Nassari

Naye Mbunge wa Ubungo,  Saed Kubunea aliyeongozana na Nassari alisema,"Mimi nimeshiriki hususani kihabari kwani nimewashauri hawa kuutoa kwa umma ili jamii ijue ukweli."

"Tunachojiuliza kwa nini rais yupo kimya, kwa nini mawaziri na viongozi waliotuhumiwa Katika sakata la Almas na Tanzanite aliwasimamisha kwa nini hawa hataki," amehoji Kubenea

Chapisha Kitabu Kwa Shilingi Elfu Themanini

0
0
Idadi  kubwa  ya  waandishi chipukizi  nchini  Tanzania, wanakabiliwa  na  changamoto  moja  kubwa. Nayo si nyingine  isipokuwa  ni kushindwa  kufikia  ndoto  ya  kuchapisha  walau  kitabu kimoja   kwa   sababu  ya  kutokumudu  gharama  za  uchapishaji  wa vitabu.

Kuchapisha  kitabu  chenye  kiwango  ( standard ) kinacho  hitajika  sokoni, ambacho  kinaweza  kukubaliwa  na  wauzaji  na  wasambazaji  wakubwa nchini,  mwandishi  anatakiwa  kwa  kadirio la  chini  kabisa,  awe  na  walau  kiasi  cha  shilingi  LAKI  NANE  hadi  MILIONI  MOJA NA NUSU kutegemea  na  ukubwa  wa  kitabu.

Kiasi  hiki  kinaonekana  kuwa  kikubwa  mno  kwa mwandishi  chipukizi  ambae  ndio  kwanza  anataka  kutumia  kipaji  chake  cha  uandishi kujipatia  fedha  kwa  ajili  ya  kuendesha maisha  yake ya  kila  siku   na  kupata maendeleo  kwa  ujumla.

Mwisho  wa  siku  waandishi  hawa  huamua  kukata  tamaa  ya  kutimiza  ndoto  yao  hiyo  adhimu  na  matokeo  yake  mawazo  waliyo  taka  kuyaandikia  kitabu hufa  ama kupotea.

SULUHISHO   LA   CHANGAMOTO   HII
Katika kukabiliana  na  changamoto  hii, kampuni  ya  masoko  ya  MWALU MARKETING  & GENERAL ENTERPRISES   imenzisha  program  maalumu  ya  kuwasaidia  waandishi chipukizi  kuchapisha  mawazo  yao  kwenye  kitabu  kwa  gharama  nafuu  kabisa  ambazo  wanaweza  kuzimudu.

Badala  ya  mwandishi  mmoja, kutoa  gharama  ya  SHILINGI  LAKI NANE  kwa  ajili  ya  kuchapisha  kitabu  chake,  Mwalu  Marketing  inawakusanya  waandishi  chipukizi  kuanzia  kumi  wenye  mawazo  yanayo  fanana  na  kuchapisha  kitabu  kimoja  ambapo  kila  mwandishi  atatakiwa  kutoa  kiasi  cha  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tshs . 80,000/=).

Program  hii imelenga  kuwasaidia  maelfu  ya  waandishi  chipukizi  wa   vitabu  nchini  Tanzania, ambao  wanatamani  kuyaweka mawazo  yao  kwenye  vitabu   lakini  wanashindwa  kwa  sababu  tu hawana uwezo  wa  kumudu  gharama kubwa  za  uchapishaji.

TUNAPOKEA  MAOMBI  YA  WAANDISHI  CHIPUKIZI  WANAO  TAKA KUSHIRIKI  KATIKA PROGRAMU.

Kama  wewe  ni  mwandishi chipukizi  ambae  unatamani  kuchapisha  kitabu  ama  kuweka  wazo  lako  kwenye  kitabu  lakini   hauna  pa kuanzia  kwa  sababu  ya  kutokuwa na  uwezo  wa  kumudu  gharama kubwa  za  uchapishaji, basi  hii  ni  HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.

Kwani kupitia  program  hii, utaweza  kuweka  wazo  lako  kwenye  kitabu  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tshs.80,000/=)

                                    SIFA   ZA   KITABU

Ili kitabu  chako  kiweze  kukwekwa  kwenye  program  hii  ni lazima  kiwe  na  sifa zifuatazo :

1.    Kiwe  na  maudhui  mazuri  na yenye  kuvutia yasiyo  kinyume  na  maadili  ya  mtanzania.

2.    Kiwe  na maudhui  yanayo zingatia   na  kufuata  taratibu  na sheria za  nchi.

3.    Kisiwe  na  maudhui  ya kisiasa  au  yenye  mwelekeo  wa  kisiasa.

MAUDHUI  YATAKAYO  PEWA  KIPAUMBELE

Maudhui  yatakayo pewa  kipaumbele  katika  program  hii  ni  pamoja :

1.    Riwaya  mbalimbali  za  kusisimua

2.     Simulizi  kuhusu  historia  ya  ukweli  ya maisha (  IWE SIMULIZI  YENYE  KUSISIMUA )

3.    Mafundisho  mbalimbali  ya  ujasiriamali kama  vile  :

i.   Utengenezaji  na  utayarishaji wa  bidhaa  mbalimbali

ii. Ufugaji wa  mifugo   mbalimbali  kama vile  kuku  wa  kienyeji, kuku wa  nyama na kuku wa mayai, mbuzi  wa nyama & maziwa, ng’ombe  wa  nyama na maziwa, nakadhalika.

iii.  Kilimo  cha  mazao  mbalimbali ya  chakula  na  biashara

iv.   Fursa  za  biashara  mbalimbali   na  ujasiriamali

v.  Uanzishaji  na  uendeshaji  wa  biashara  mbalimbali

vi.  Uanzishaji  na  uendeshaji  wa  makampuni  mbalimbali

vii.Uanzishaji  na  uendeshaji  wa  Taasisi  na  mashirika  mbalimbali

viii. Uanzishaji  na  uendeshaji wa  viwanda  vidogo  vidogo  vya  aina  mbalimbali  kama  vile  viwanda  vya usindikajiwa  bidhaa  mbalimbali  nakadhalika.

ix. Usagaji  na  upakiaji wa  unga  wa  mahindi, muhogo nakadhalika.

x. Uanzishaji na uendeshaji  wa  biashara  ndogo  za  aina  mbalimbali .

xi. Mafunzo  ya  ufundi  stadi.

4. Uandishi  wa  vitabu  vya  kitaaluma  vya  masomo mbalimbali  kuanzia  ngazi  ya  chekechea.

5. Uandishi  kuhusu  umuhimu  na faida  za  kusoma  kozi  mbalimbali  kuanzia  ngazi  ya  cheti  nakuendelea  zinazo  tolewa  na  vyuo  mbalimbali

6.Uandishi  kuhusu historia  na shughuli  za   Taasisi  mbalimbali  zisizo  kuwa  za  kiserikali (NGOS)

7.Uandishi  kuhusu   historia  na shughuli  za  kampuni  mbalimbali

8.    Uandishi  kuhusu  utelekezaji  wa  miradi  ya  mashirika  mbalimbali  yasiyokuwa  ya  kiserikali ( NGOS )

9.    Vitabu   kuhusu   mafundisho  ya  kidini

10. Vitabu  kuhusu    mafundisho  ya  afya

11. Vitabu  kuhusu  masuala  ya  jadi  na  utamaduni

12.Uandishi  wa  mashairi ya  muziki wa  bongo fleva ( Katika  maudhui  mbalimbali  kuanzia   R& B  hadi  HipHop ) :HII  INAWAHUSU  WATUNZI WA  MASHAIRI YA  NYIMBO ZA  BONGO  FLEVA  AMBAO  WANATAKA  KUONYESHA  VIPAJI  VYAO  VYA  UTUNZI KUPITIA  KITABU  )

13.  NAKADHALIKA.


JINSI   YA   KUFANYA
Fika  katika  ofisi zetu  zilizopo  MBEZI  BEACH  jijini  DAR ES  SALAAM  ukiwa na manuscript ( muswaada)  wa kitabu  chako  katika  soft copy .

NA   KWA  MAELEZO NA  UFAFANUZI ZAIDI, WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA : 0787 01 69 29

Kwa  waandishi chipukizi  waliopo  nje  ya mkoa  wa  Dar Es  Salaam, ambao  wanataka  kushiriki  katika  program  hii  wasiliana  nasi kwa simu  yetu  0787 01 69 29  tuwape utaratibu.

WAHI  NAFASI  YAKO  MAPEMA,KABLA   OFA  HII  HAIJA FIKA  TAMATI.

Mbowe kuzungumzia afya ya Lissu, michango

0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo atazungumzia kinachoendea katika hospitali ya Narobi nchini Kenya kuhusu afya ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha chama hicho, Tumaini Makene, Mbowe atazungumzia hayo leo katika ofisi za makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Pamoja na mambo mengine, Mbowe anatarajia kuzungumzia michango iliyokusanywa na matumizi yake.

“Kupitia kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe, chama kitatoa taarifa kuhusu maendeleo ya Tundu Lissu, mrejesho wa michango na gharama za matibabu,” imeeleza taarifa hiyo na kuongeza kuwa mkutano huo utafanyika majira ya saa tano asubuhi.

Lissu anaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Nairobi nchini Kenya kutokana na majeraha aliyoyapata kwa kushambuliwa na risasi akiwa ndani ya gari, nyumbani kwake eneo la Area D mjini Dodoma.

Jana, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu aliwaambia watanzania kupitia Instagram kuwa alimtembelea Lissu na kuliona tabasamu lake, hivyo akawasihi waendelee kumuombea.

Diana Rwigara Amtaka Rais Kagame Amwachie Huru yeye na Familia Yake

0
0
Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda, Diane Rwigara amemtaka Rais Paul Kagame kumfutia mashtaka na kuwaachilia ndugu zake ambao wanashikili na jeshi la polisi nchini humo.

Rwigara amesema kuwa serikali imefanya jaribio la kuinyamazisha familia yake pamoja na wafuasi wake tangu alipotangaza kuwania nafasi ya uraisi katika uchaguzi uliofanyika mwezi Mei mwaka huu.

Aidha, ndugu hao watatu ambao walikamatwa mwezi uliopita, wameshtakiwa kwa makosa ya udanganyifu na uchochezi, tuhuma ambazo wameziita zenye mrengo wa kisiasa.

Hata hivyo,Rwigara alizuiliwa kuendelea na nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa Rwanda, Uchaguzi ambao Kagame alishinda kwa kishindo kwa karibu asilimia tisini na tisa ya kura zote zilizopigwa

ACT- Wazalendo Kuuijadili Barua ya Mwigamba Kujitoa Ijumaa hii

0
0
Chama cha ACT- Wazalendo kitakutana Ijumaa Oktoba 20, 2017 kujadili masuala kadhaa, likiwemo la kujizulu kwa mwenyekiti wake wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu, Samson Mwigamba.

Mwigamba jana Jumatatu, Oktoba 16 aliandika barua ya kujizulu uongozi na kueleza atabaki kuwa mwanachama wa kawaida ili aweze kupata fursa ya kuwahoji kwa matendo viongozi.

"Nimeamua kukaa kando kwa kuwa tumekuwa hatukubaliani na baadhi ya mambo ndani ya chama na hasa kiongozi wetu… wacha nikae pembeni niwe mwanachama ili niwe na nafasi ya kuwahoji vizuri viongozi wetu masuala mbalimbali na nitabaki kuwa mwanachama mwema,’’ alisema .

Akizungumzia uamuzi huo, Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe amesema, “Nimepokea barua yake. Tutatafakari suala hilo na masuala mengine yanayohusiana na hayo kwenye kikao cha Kamati ya Uongozi wa chama Ijumaa.”

“Ndugu Mwigamba ataalikwa kwenye kikao hicho. Ninamshukuru sana kwa utumishi wake uliotukuka kwenye chama na ninamtakia kila la kheri. Mchango wake na kujitoa kwake kwa hali na mali hakutasahaulika kwenye chama chetu,” amesema  Zitto.

NEC: Waliopoteza vitambulisho ruksa kupiga kura uchaguzi mdogo wa madiwani

0
0
Wapiga kura waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura watapata fursa ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata 43 unaotarajiwa kufanyika Novemba 26, mwaka huu.

Hayo yamesemwa jana Jumatatu Oktoba 16, 2017 na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ramadhani Kailima mjini Dodoma ikiwa ni siku ya pili ya mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi yanayoratibiwa na kuendeshwa na NEC.

Kailima alisema wapiga kura hao wataruhusiwa kutumia vitambulisho vya uraia vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), hati ya kusafiria na leseni ya udereva.

“Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuzingatia kifungu namba 62 (a) cha Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambacho kinasema mpiga kura aliyeandikishwa kwenye daftari atakwenda mwenyewe kwenye kata aliyojiandikisha, kwenye kituo alichopangiwa, kumridhisha msimamizi wa kituo au msimamizi msaidizi wa uchaguzi kwamba yeye ndiye mpiga kura kwa kumuonyesha kadi ya kupigia kura lakini kinasema kwamba Tume inaweza ikaelekeza utambulisho mwingine wowote utakaomsaidia mpiga kura kuweza kupiga kura iwapo kadi hana,” alisema Kailima.

Mkurugenzi huyo wa uchaguzi alisema, “Tume kwa kuzingatia kifungu hicho, kuanzia uchaguzi huu imetoa maelekezo kwenye mafunzo haya kwamba Tume imekubali vitambulisho vifuatavyo vitumike, moja ni pasi ya kusafiria, pili ni kitambulisho cha Taifa kilichotolewa na Nida na mwisho ni leseni ya udereva.”

Alisema ruhusa hiyo imetolewa kwa sharti kwamba, “Majina na herufi yaliyopo kwenye kitambulisho hicho yafanane na majina na herufi zilizopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.”

Kailima amesema NEC itakutana na vyama vya siasa hivi karibuni kuwajulisha juu ya maagizo hayo, lakini akasisitiza kwamba tofauti yoyote itakayokuwepo kwenye majina itamnyima mpiga kura fursa ya kupiga kura.

Alisema uamuzi huo umefikiwa kutokana na kuwepo kwa changamoto kubwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambalo kwa mara ya mwisho liliboreshwa mwaka 2015.

Pata Tiba Asili ya Fangasi, Harufu Mbaya, Vidonda vya Tumbo na Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
Wanaume wengi Wanasumbuliwa na tatizo la kushidwa kushiliki vyema tendo hilo na kuwapelekea kuwa na mawazo mengi ambayo hayana majibu. Usikate tamaa MKWASHA POWER Ndio suluisho lako ina uwezo wakutibu na kumaliza tatizo hilo kwa mda mfupi sana 
 
(1)Huimarisha misuli ilio legea nakukufa uume usimame vizuri 
(2)Huongeza ham ya tendo la ndoa na itakufanya uweze kuludia tendo hilo zaidi ya Mala Tatu bila kuchoka 
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa Dk10-25 kwa tendo moja. Itamfanya mwenzi wako kufurahia  tendo hilo zaidi .Huongeza saizi ya maumbili madogo na kulefisha saizi uipendayo 

NINI CHANZO CHA TATIZO HILO;  Tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo, ugongwa wa kisukari, presha, utumiaji wa pombe kali kupita kisa, utumiaji wa dawa za kulevya, tumbo kujaa gesi, NK 

Kutana na DR.ATHUMANI ndio bingwa wa matatizo hayo pia ana tibu matatizo ya uzazi kushidwa kupata mimba mimba karibia, kupunguza unene (kitambi) vuidonda vya tumbo, fangasi sugu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kukosa ham ya tendo, kuondo harufu mbaya ukeni, Anatikana mbagala 

==>Piga simu;  0676969816- DR. ATHUMANI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images