Maumbile madogo ya kiume yamegawanyika katika makundi makuu mawili: 1. Maumbile Madogo ya kiume kwa kuzaliwa ( Kurithi )
2. Maumbile Madogo ya kiume yatokanayo na kufanya punyeto kwa muda mrefu.
MAUMBILE MADOGO YA KIUME KWA KUZALIWA ( Kurithi )
Tafiti za kitaalamu zinaeleza kuwa, kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume wenye maumbile makubwa ya kiume, baadhi ya wanaume wana maumbile madogo ya kiume kwa sababu za kinasaba.
Kwa lugha nyingine ni kwamba, wanaume hawa wanakuwa wamerithi maumbile yao kutoka kwa wazazi au mababu zao.
Hii ndio sababu kubwa, wanaume kutoka kwenye baadhi ya makabila au jamii, husifika kwa kuwa na maumbile makubwa ya kiume ilihali wanaume kutoka kwenye baadhi ya makabila na /au jamii wakisifika kuwa na maumbile madogo ya kiume.
Mfano mzuri unatolewa hapa, ni kuhusu wanaume wa China ambao wanatajwa kuwa na maumbile madogo ya kiume.
Mfano mwingine unatajwa kuwa, asilimia kubwa ya vijana wa kiume walio zaliwa katika familia moja huwa na maumbile ya kiume yenye size zinazo karibiana.
Wanaoamini katika nadharia hii wanadai kuwa, ni nadra sana kukuta katika familia yenye watoto wa kiume mfano watano, halafu size za maumbile yao ya kiume zikawa zinato fautiana sana.
Huwezi kukuta katika familia moja, mtoto mmoja akawa na maumbile madogo halafu mwenzake akawa na maumbile makubwa.
Katika familia moja, kama kuna kijana wa kiume ana maumbile madogo ya kiume, basi kuna uwezekano mkubwa , ndugu zake wa kiume wakawa na maumbile madogo pia.
Vivyo hivyo kama kuna kijana ana maumbile makubwa ya kiume, basi kuna uwezekano mkubwa, kaka zake nao wakawa na maumbile makubwa ya kiume.
Hii ni kwa sababu wamerithi maumbile yao, kutoka kwa wazazi ama babu zao.
HATA HIVYO upo uwezekanao mkubwa, baba mwenye maumbile madogo ya kiume akawa na watoto wa kiume wenye maumbile makubwa ya kiume au kinyume chake .
Chanzo cha hali hii kinatajwa na wataalamu kuwa, inawezekana watoto wakawa wamerithi vinasaba kutoka kwa wazazi ama mababu wa upande wa umamani.
Wapo wazazi wa kiume ambao wana maumbile makubwa kupita kiasi lakini wanapata watoto wa kiume wenye maumbile madogo.
Vile vile wapo wazazi wa kiume wenye maumbile madogo ya kiume kupita kiasi lakini wanapata watoto wa kiume wenye maumbile makubwa kupita.
Hii inatokea mara nyingi sana, na sababu inayo tolewa na wanasayansi ni kwamba, watoto hao wanakuwa wamechukua vinasaba vya maumbile hayo kutoka kwa wazazi ama mababu wa upande wa mama zao.
NINI TIBA YA KUREFUSHA MAUMBILE MADOGO YA KIUME KWA KUZALIWA ?
Mpaka sasa, hakuna tiba iliyo thibitishwa kitaalamu na kisayansi kuwa na uwezo wa kurefusha na/ama kunenepesha maumbile madogo ya kiume yatokanayo na kuzaliwa ama kurithi.
Tiba iliyopo ni kama maumbile hayo yamesinyaa na kudumaa kwa sababu ya mhusika kufanya punyeto kwa muda mrefu . Tiba hii ya asili huyarudisha maumbile hayo katika hali yake ya kawaida.
( LIPO KUNDI LA WANAUME WAO KAMA WANO WANA MAUMBILE MADOGO BY NATURE BUT IN ADDITION TO THAT MAUMBILE HAYO HAYO MADOGO YAMESINYAA NA KUWA MADOGO MARADUFU KWA SABABU YA KUPIGA PUNYETO KWA MUDA MREFU. WANAUME WALIO KATIKA KUNDI HILI NDIO WANAWEZA KUSAIDIWA KITABIBU, KWA KUPEWA TIBA AMBAYO ITAYARUDISHA MAUMBILE HAYO MADOGO YALIYO SINYAA, KATIKA HALI YA KAWAIDA. YATASALIA KUWA KATIKA UMBO LAKE LA ASILI, LAKINI YAKIWA IMARA NA THABITI )
MAUMBILE MADOGO YA KIUME YATOKANAYO NA KUFANYA PUNYETO KWA MUDA MREFU
Haya ni maumbile ya kiume ambayo yamedumaa, yamesinyaa, yamelegea, yamenywea na kurudi ndani kiasi cha kuyafanya yaonekane ya mtoto mdogo.
Kwa ufupi , maumbile haya yamesinyaa na kuwa madogo kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu.
JINSI PUNYETO INAVYO SABABISHA TATIZO LA KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME PAMOJA NA TIBA DHIDI YA MAUMBILE YA KIUME YALIYO DUMAA NA KUSINYAA KWA SABABU YA PUNYETO.
Kudumaa , kusinyaa na kunywea au kurudi ndani kwa uume ni tatizo linalo wakabili wanaume wengi duniani.
Dalili za tatizo hili ni pamoja na kuwa na maumbile madogo sana yaliyo dumaa, sinyaa na kurudi ndani kiasi cha kuyafanya yaonekane kama ya mtoto mdogo.
VYANZO VYA TATIZO LA KUDUMAA NA KUSINYAA KWA MAUMBILE YA KIUME.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kisayansi, tatizo la kudumaa na kusinyaa kwa maumbile ya kiume huchangiwa na mambo mengi.
Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kufanya punyeto kwa muda mrefu, kuugua chango la kiume, kuugua ngiri, kuwa na uzito & unene ulio pitiliza, kufanyiwa upasuaji wa tezi dume , uzee na kuugua maradhi yasababishayo kupinda kwa uume.
Katika makala haya , tutaangazia namna suala la upigaji punyeto linavyo sababisha kudumaa na kusinyaa kwa maumbile ya kiume.
NINI HUSABABISHA UUME KUSINYAA,KUDUMAA, KUNYWEA NA KURUDI NDANI KIASI CHA KUUFANYA UONEKANE KAMA WA MTOTO ?
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kisayansi, Sababu kubwa inayo sababisha kudumaa, kusinyaa na kurudi ndani kwa uume ni kupungua ama kukosekana kabisa kwa homoni zijulikanazo kitaalamu kama HGH ambazo pamoja na mambo mengine , zina husika na kuchochea ukuaji wa seli zinazo husika na ukuaji wa misuli ya uume na uume kwa ujumla.
MAMBO YANAYO SABABISHA KUPUNGUA AMA KUKOSEKANA KWA HOMONI ZINAZO SAIDIA KUCHOCHEA UKUAJI WA MISULI YA UUME.
Kwa mujibu wa tafiti za kitaalamu, mambo yanayo sababisha kupungua na/ ama kukosekana kwa homoni zinazo saidia kuchochea ukuaji wa misuli ya uume ni pamoja na :
1. Kujengeka kwa mafuta kwenye mishipa ya ateri ipitishayo damu kwenda kwenye misuli ya uume na hivyo kuzuia kutiririka kwa damu kwenda kwenye misuli ya uume.
2. Kujengeka kwa tishu zisizo vutika ndani ya mishipa ya ateri. Tishu hizi huzuia mishipa ya ateri kupanuka na hivyo kushindwa kuongezeka ukubwa.
KWANINI PUNYETO HUSABABISHA UUME KUSINYAA, KUNYWEA NA KURUDI NDANI KIASI CHA KUONEKANA KAMA UUME WA MTOTO MDOGO ?
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, kufanya punyeto kwa muda mrefu huathiri na kuharibu mishipa na misuli ya uume na hivyo kusababisha kujengeka kwa mafuta na tishu zisizo vutika kwenye mishipa ya ateri na hivyo kuzuia mishipa ya ateri kupanuka na kuongezeka pamoja na damu kutiririka kwenda kwenye misuli ya uume.
Mambo hayo mawili yanapotokea huathiri uzalishaji wa homoni muhimu zinazo husika na ukuaji wa misuli ya uume, na hatimaye hufanya uume wa mhusika kudumaa, kusinyaa, kunywea na kurudi ndani kiasi cha kuufanya uonekane kama wa mtoto.
Homoni hizo hujulikana kama HGH na huzalishwa kwenye ini.
Sababu nyingine inayo tajwa na wataalamu ni kwamba, mtu anaye fanya punyeto hutumia akili, nguvu na nishati nyingi sana, jambo ambalo huathiri utendaji wa ogani nyingine muhimu katika mwili , likiwemo ini.
Ini linapo kosa nishati ya kutosha hushindwa kufanya kazi zake vizuri na moja kati ya kazi kubwa za ini ni pamoja na uzalishaji wa homoni zijulikanazo kitaalamu kama HGH ambazo kama ilivyo andikwa hapo juu, zinahusika na kuchochea ukuaji wa sehemu mbalimbali katika mwili wa mwanadamu ikiwemo misuli ya uume.
Mbali na kuathiri utendaji wa ogani nyingine mwilini, upigaji punyeto husababisha athari nyingine kwenye mwili wa mwanadamu kama vile uchovu sugu wa mwili pamoja na kunyonyoka kwa nywele.
Athari nyingine za upigaji punyeto ni pamoja na kupoteza kumbukumbu, kuwahi kufika kileleni ambako husababishwa na kulegea kwa mishipa ya ateri, kushindwa kurudia tendo la ndoa, kukosa hamu ya tendo la ndoa, uume kusimama katika hali ya ulegelege, maumivu wakati wa tendo la ndoa husuani wakati wa kurudia tendo la pili na mara baada ya tendo la ndoa la kwanza.
KWANINI WATU WENGI WANAO JIHUSISHA NA UPIGAJI PUNYETO WANA MAUMBILE MADOGO YA KIUME YALIYO DUMAA, SINYAA NA KURUDI NDANI.
Uzeofu unaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume ambao wamewahi kufanya punyeto kwa muda mrefu, wanakabiliwa na tatizo la kuwa na maumbile ya kiume yaliyo dumaa, sinyaa na kurudi ndani.
SABABU KUBWA NI HII HAPA
Sababu kubwa ni kwamba vijana wengi wa kiume, huanza kujihusisha na punyeto wakiwa na miaka kumi na sita , kumi na saba au chini ya hapo.
Hiki ni kipindi ambacho vijana hawa ndio wanakuwa wamebalehe.
Na kwa mujibu wa tafiti za kisayansi, katika kipindi hiki cha balehe ndio kipindi ambacho homoni za HGH ambazo huhusika ukuaji wa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo maumbile ya kiume, huzalishwa kwa wingi.
Kama tulivyo ona hapo juu, upigaji punyeto huathiri uzalishwaji wa homoni hizo.
Mwisho wa siku maumbile ya kiume ya wahusika, hushinda kukua na kuishia kudumaa na kusinyaa.
Na hii ndio sababu kubwa wanaume wanao kabiliwa na tatizo hili husalia kuwa na maumbile yenye ukubwa ule ule wakati wa kubalehe.
NINI TIBA ASILIA YA TATIZO LA KUDUMAA, KUSINYAA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME.
Kama uume wako umedumaa, umesinyaa, umelegea, umenywea na kurudi ndani kwa sababu ulifanya punyeto kwa muda mrefu na unataka kuondokana na hali hiyo.
HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO!
Ipo DAWA YA ASILI ambayo HUTIBU na KUPONYESHA KABISA tatizo la KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME.
Ni dawa ya asili kabisa isiyo na kemikali yoyote ya kiwandani ambayo hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la kudumaa na kusinyaa kwa uume ndani ya siku thelathini.
JINSI YANAVYO TUMIKA
Dawa hii ya asili hutumika kwa kuchua uume. Na hutumika mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kwa muda wa siku thelathini.
MAMBO YANAYO FANYWA NA DAWA HII YA ASILI.
Dawa hii ya asili husaidia katika mambo yafuatayo :
1. Kuimarisha na kuipa nguvu mishipa iliyo legea kwa sababu ya punyeto
2. Hunenepesha uume ulio sinyaa kwa sababu ya punyeto
3. Hurefusha uume ulio dumaa na kurudi ndani kwa sababu ya punyeto.
4. Huimarisha na kuongeza nguvu za kiume
5. Hukupa uwezo wa kurudia tendo bila kuchoka
6. Hukupa uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
7. Husaidia kuongeza na kuimarisha nguvu na nishati ya misuli ya uume.
JINSI YA KUPATA DAWA HII
Kupata dawa hii, fika katika duka la kuuza dawa za asili la NEEMA HERBALIST lililopo UBUNGO jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO PLAZA nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.
Kwa wateja wetu waliopo jijini Dar Es Salaam, ambao hawana muda wa kufika ofisini kwetu, tunayo huduma ya kuwapelekea dawa mahali walipo ndani ya jiji la Dar Es Salaam ( HOME & OFFICE DELIVERY )
Kwa wateja wetu waliopo nje ya mkoa wa Dar Es Salaam na Zanzibar, tunawatumia dawa kwa njia ya usafiri wa mabus na boti.
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0766 53 83 84