Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Alichosema Ndugai baada ya kashilila kutumbuliwa

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemshukuru aliyekuwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kwa utumishi uliotukuka.

Ametoa shukrani hizo leo Jumatatu Ikulu jijini hapa baada ya Rais John Magufuli kuwaapisha mawaziri, manaibu na Katibu wa Bunge mpya, Stephen Kagaigai.

Spika Ndugai pia amewakaribisha mawaziri, manaibu na katibu huyo bungeni mjini Dodoma.

“Ninyi mnatokana miongoni mwetu katika nyumba ile ya wabunge. Rais ameona awape nyadhifa hizi, kubwa na la kipekee nimkaribishe Katibu wa Bunge mpya Kagaigai na kipekee nimshukuru Dk Kashililah, asante sana kwa utumishi uliotukuka hatutakusahau,” amesema.

Amesema timu ya Baraza la Mawaziri ana imani nayo kwamba itafanya kazi vyema. Baada ya kuapishwa leo, watakutana katika kikao cha Baraza la Mawaziri.

“Mje Dodoma mmejiandaa, hii miaka miwili ya mwanzo walikuwa wanajifunza funza, sasa tukienda Dodoma itakuwa ni kazi tu,” amesema Spika Ndugai.

Wakati huohuo, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema kile walichokitamka katika kiapo cha uadilifu wanapaswa kukizingatia kwa kufuata utaratibu wa kisheria na Katiba ili kuepusha migongano.

Waziri Mkuchika aanza kwa kutoa onyo kwa watumishi

$
0
0
Waziri, George Mkuchika amefunguka na kuweka wazi mipango yake katika kutumikia nafasi yake na kusema yeye ataanza kuhakikisha watumishi wa Umma wanatumia muda wao kufanya kazi na hataki kusikia watumishi wameondoka makazini kwenda kunywa chai.

Waziri Mkuchika ambaye leo Oktoba 9, 2017 ameapishwa na Rais Magufuli kuwa Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora amesema kuwa katika kipindi chake atahakikisha wafanyakazi wanalipwa mshahara kulingana na kazi zao kweli, na wanatumia muda wa kazi kufanya kazi za serikali.

“Kwanza katika kipindi changu nikiwa Waziri kwa watumishi wa Umma, nataka wananchi wanapofika maofisini wawakute maofisini, mara nyingi wengi wanaripoti ofisini baada ya muda wanaondoka wanasema wanaenda kunywa chai, yaani wananchi wanatoka vijijini wanamsuburi mtumishi aje eti ameenda kunywa chai jambo hili kuanzia leo nitasimamia kuhakikisha watumishi wa umma wanashinda kazini kwao ili kila mtumishi wa Umma alipwe mshahara kwa kufanya kazi muda wote” amesema Mkuchika.

Aidha Mkuchika amesema kuwa kwa sasa watumishi wengi wa Umma wanalipwa mshahara kamili kwa kufanya kazi robo za serikali jambo ambalo yeye atakwenda kulisimamia na kuhakikisha kuwa watumishi hao wanafanya kazi kamili ili walipwe kulingana na kazi zao kamili.

Mbali na hilo Mkuchika amedai kuwa atakwenda kuongea na Waziri wa Elimu ili ikiwezekana somo la Rushwa lianze kufundishwa kuanzia shule ya awali nchini mpaka vyuo vikuu na kusema watu wamekuwa wakichukua na kutoa rushwa kwa kuwa hawana elimu ya kutosha juu ya athari ya rushwa.

Godbless Lema Apingana na IGP Sirro

$
0
0

Baada ya IGP Simon Sirro kutoa tamko la kusitisha mjadala juu ya shambulio la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na badala yake viache vyombo vya usalama viendelee kufanya kazi hiyo, Mbunge wa Arusha Mjini amejibu kauli hiyo kwa kuipinga na na kumuahidi kuwa wataendelea na majadiliano

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema amejibu IGP Sirro kwamba wao wataendelea kujadili suala la Lissu kwa nguvu na bila kumuogopa mtu yeyoote

"IGP Sirro, Tutaendelea kujadili swala la Mh. Lissu kwa nguvu zote bila kumuogopa mtu yeyote. Utu na kweli una maana zaidi ya cheo na mshahara" Lema.
Akiwa ziarani Jijini Mbeya IGP Simon Sirro alitaka mjadala kuhusu kupigwa risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ufungwe mara moja wakati alipokuwa akizungumza na vikosi vya ulinzi na usalama ambapo amewaonya wanasiasa kuacha kuuendeleza na waliachie jeshi lifanye kazi yake.

Hata hivyo kauli ya IGP kutaka mjadala wa Lissu ufungwe umeibua hoja kutoka kwa watu mbalimbali akiwepo Wakili Peter Kibatala ambaye yeye ameahidi kutumia uwezo wake kwenye sheria kuhakikisha kauli ya IGP Sirro inatenguliwa.

Wakili Amkimbia Godbless Lema Kei ya Uchochezi

$
0
0
Wakili Sheck Mfinanga amejitoa kumwakilisha mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema katika kesi ya uchochezi akidaiwa kumkashifu Rais John Magufuli akisema haridhishwi na mwenendo wa shauri hilo.

Mfinanga amejitoa ikiwa ni siku chache baada ya hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Arusha, Patricia Kisinda aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo kujitoa kutokana na kuwekewa pingamizi na upande wa Jamhuri kuwa ana urafiki na Neema ambaye ni mke wa Lema.

Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Arumeru, Desdery Kamugisha, wakili huyo amesema moja ya sababu ni kutokana na upande wa utetezi kutopewa jalada la mwenendo wa kesi licha ya kuwasilisha maombi mara tatu mahakamani hapo.

“Kwa kuwa nimeshaleta notisi ya kukata rufaa naomba iingie kwenye rekodi, najitoa kuendelea kumwakilisha mteja wangu kutokana na kile ninachokiona kisheria kwamba tumeomba proceedings (mwenendo wa kesi) na imeshindikana. Mimi si wakili wake tena, nimejitoa,” amesema.

Baada ya ombi hilo, Mfinanga alikusanya nyaraka zake, alimuaga mteja wake na kunyanyuka kwenye kiti alichokuwa ameketi na kutoka ndani ya chumba cha Mahakama.

Hakimu Kamugisha alimpa nafasi Lema ya kuzungumza naye alisema amemsikiliza wakili wake na hana pingamizi juu ya ombi hilo.

Hata hivyo, amesema kwa ufahamu wake ni kwamba, hii ni mara ya tatu upande wa utetezi umeomba jalada la mwenendo wa kesi lakini hawajapewa na kwa sababu hiyo hana imani na hakimu.

“Mheshimiwa nilishasema sina imani na wewe kama mtu niliyekuwa nimemwajiri kunisaidia katika masuala ya kisheria anaweza kutilia shaka na nilisema hadharani, basi naomba nipewe muda wa kutafuta wakili mwingine,” amesema.

Lema amesema anaomba kupatiwa nyaraka zote za kesi na muda wa kutafuta wakili mwingine.

Baada ya ombi hilo, Wakili wa Serikali, Khalili Nuda alisema ni haki ya kikatiba ya mshtakiwa kuwakilishwa mahakamani. Aliiomba mahakama impatie muda wa kutafuta wakili mwingine.

Nuda ameiomba Mahakama impatie mshtakiwa muda muafaka wa kutafuta wakili mwingine.

Hakimu Kamugisha amesema wakili wa mshtakiwa amejitoa wakati kesi ilipotajwa kwa ajili ya kusikilizwa, hivyo Lema anapewa muda wa kutafuta mwingine. Aliahirisha shauri hilo hadi Novemba 14.

Breaking News: Hiace yazama Ziwa Victoria na kuua watu 8

$
0
0
Watu wanane wamekufa na wengine wameokolewa wakiwa salama baada ya Toyota Hiace kutumbukia Ziwa Victoria katika kivuko cha Kigongo Feri wilayani Misungwi.

“Kwa sasa uokoaji unaendelea, abiria kadhaa  ndio wametoka salama. Maiti nane zimeopolewa,” amesema Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) Mkoa wa Mwanza, Ferdinand Mshama.Temesa ndiyo inasimamia kivuko hicho.

Mshama amesema gari hilo linafanya safari kati ya Buhongwa jijini Mwanza na kivukoni hapo.

Amesema ajali hiyo imetokea kutokana na gari hilo kupata hitilafu kwenye mfumo wa breki hivyo liligonga geti la kivuko na kutumbukia ziwani.

“Ni kweli gari limetumbukia, lilikuwa likitokea Buhongwa kupeleka abiria kivukoni, kabla dereva hajapaki lilifeli breki,” amesema na kwamba dereva alipita upande wa magari makubwa.

Waliokufa Ziwa Victoria wafikia 12

$
0
0
Idadi ya watu waliokufa baada ya Toyota Hiace kuzama Ziwa Victoria imeongezeka na kufikia 12.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi  amesema katika ajali hiyo watu watatu wameokolewa wakiwa hai.

Msangi amesema walionusurika wameokolewa na wananchi ambao ni wataalamu wa kuogelea.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Octoba 10


Kitila Mkumbo ajivua uanachama wa ACT-Wazalendo

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi ajali ya Daladala Mwanza

$
0
0
“Kwa mshtuko na masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya vifo vya watu 12 waliopoteza maisha baada ya gari la abiria walilokuwa wakisafiria kutumbukia katika ziwa Victoria Mkoani Mwanza, nawapa pole sana wote waliopoteza jamaa zao katika ajali hii, nawaomba wawe na moyo wa uvumilivu, ustahimilivu na subira katika kipindi hiki cha majonzi”

Hiyo ni sehemu ya salamu za rambirambi alizozitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw. John Mongella kufuatia ajali ya basi la abiria (Daladala) lililozama katika ziwa Victoria baada ya kugonga vizuizi vya kivuko cha Kigongo Wilayani Misungwi na kisha kutumbukia na kuzama majini.

Mhe. Rais Magufuli amemtuma Bw. Mongella kufikisha salamu zake za pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote waliopatwa na msiba huu na amesema anaungana nao katika maombolezo.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amewaombea marehemu wote wapumzishwe mahali pema peponi na majeruhi 3 walionusurika katika ajali hii wapone haraka ili waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam

Kwa Nini Wanaume Wengi Wana Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Asilimia 85 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vema wake au wapenzi wao na kuwasababishia waweze kuwasaliti na kutoka nnje ya ndoa 

NI NINI CHAZO CHAKE ; upiga punyeto, ngiri, vidonda vya tumbo, magonjwa ya moyo, presha, kisukari, korodani moja kuvimba, utumiaji hovyo madawa ya kizungu, msongo wa mawazo, kufanyiwa tohara ukubwani nk 

DOKTA HAMISI SASA KAPATA TIBA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO :

MAPRO POWER  ndio dawa tosha kwa sasa. Hutibu na kuponesha kabisa tatizo la NGUVU za kiume, utarudisha heshima ya ndoa yako 

1 itakufanya uchelewe kufika kileleni 
2 itakupa hamu ya kurudia tendo 
3 Huhimalisha moduli iliyoregea na kusinyaa

 OKOA NDOA YAKO SASA : MANGUNGU MIX ni tiba kwa wanaume wenye uume mfupi kwa msemo wa Dada zetu wanaita vibamia. Dawa hiyo huboresha uume saizi upendayo ich 1-8 na unene cm 1-5.

Dawa zipo za kupaka na kunywa na ni tofauti na ulizowai kutumia na hazina madhara.

Pia tunato Pete, mkufu au saa kwa mfanya biashara,mkulima mchimba madini 

Pete ya mapenzi nayo IPO NATOA GARANTII YA MIEZI SITA kama umepata tiba na ukafanikiwa na tatizo kujirudi utakuja kupewa bure tiba yako OFISI IPO MBAGALA ZAKHEMU UKISHUKA TU SITENDI . Pia utaipata popote huduma kama hauna nafasi ya kuja ofisini 

Mawasiliano; 0686980006

Dangote Amtahadhariha Rais Magufuli Kuhusu Sera Mpya za Uwekezaji

$
0
0
Tajiri namba moja barani Afrika Aliko Dangote ambaye pia ni mwekezaji mkubwa hapa nchini amemtahadhariha  Rais John Pombe Magufuli kuwa sera zake mpya zinawaogopesha wawekezaji.

Dangote ambaye amewekeza dola za kimarekani  milioni 650 kwenye uzalishaji wa saruji, amesema ni wakati umefika kwa raisi Magufuli kuzipitia upya sera zake ama akubali kuingia katika hatari ya kuwapoteza wawekezaji wote nchini .

Dangote ameyasema hayo katika mkutano wa FT Afrika unaofanyika London Uingereza na kuhudhuriwa na watu mashuhuri kutoka maeneo mbalimbali duniani.

Mwekezaji huyo ameeleza kuwa Uhusiano wake na Rais Magufuli ni mzuri lakini  akashauri Rais  azipitie  upya sera zake kama anataka kuwavutia waekezaji wengi zaidi.

“Uhusiano wangu na Rais Magufuli uko sawa lakini Tanzania lazima itazame upya sera zake kama inataka kuvutia wawekezaji,” alisema Dangote.

Dangote pamoja na watu wengine mashuhuri wakiwemo viongozi wa maeneo mbalimbali duniani wamehudhuria mkutano huo wa FT Africa wenye lengo la kuangazia changamoto zinazolikumba bara la Afrika na namna ya kuzitatua unaofanyika kila mwaka na mwaka huu umefanyika huko London, Uingereza kuanzia  Oktoba 8 hadi Oktoba 9.

Kauli mbiu ya mkutano huo ni ‘what is working in Africa’ ikiwa na maana ya ‘nini kinachofanya kazi katika Afrika’ ikiwa na dhumuni la kuangazia ni kwa namna gani bara hilo linaweza kunufaika kutokana na fursa, rasilimali na utajiri uliopo humo.

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Tatizo La Kudumaa, Kusinyaa, Kunywea Na Kurudi Ndani Kwa Maumbile Ya Kiume Pamoja Na Tiba Yake

$
0
0
Kudumaa , kusinyaa  na  kunywea  au kurudi ndani  kwa  uume  ni tatizo  linalo  wakabili wanaume  wengi  duniani.
Dalili  za  tatizo  hili  ni  pamoja  na  kuwa na  maumbile madogo sana yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuyafanya  yaonekane  kama  ya  mtoto  mdogo.

VYANZO  VYA  TATIZO  LA  KUDUMAA  NA  KUSINYAA  KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, tatizo la  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya kiume  huchangiwa na  mambo mengi. 
 
Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  pamoja na  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu,  kuugua  chango  la  kiume,  kuugua  ngiri,  kuwa  na  uzito & unene  ulio pitiliza, kufanyiwa  upasuaji  wa  tezi  dume , uzee  na  kuugua  maradhi  yasababishayo  kupinda  kwa  uume.
Katika  makala  haya , tutaangazia  namna  suala  la  upigaji  punyeto  linavyo  sababisha  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya  kiume.



NINI  HUSABABISHA  UUME  KUSINYAA,KUDUMAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUUFANYA  UONEKANE  KAMA  WA  MTOTO ?

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kisayansi, Sababu  kubwa   inayo  sababisha  kudumaa, kusinyaa  na  kurudi  ndani    kwa  uume  ni kupungua  ama  kukosekana kabisa   kwa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu  kama  HGH  ambazo  pamoja  na  mambo mengine , zina  husika  na  kuchochea  ukuaji  wa  seli zinazo  husika na  ukuaji  wa  misuli ya  uume na  uume  kwa ujumla.

MAMBO  YANAYO  SABABISHA  KUPUNGUA  AMA  KUKOSEKANA  KWA  HOMONI  ZINAZO  SAIDIA  KUCHOCHEA  UKUAJI  WA  MISULI  YA  UUME.

Kwa  mujibu  wa  tafiti za  kitaalamu, mambo  yanayo  sababisha  kupungua  na/ ama  kukosekana  kwa  homoni zinazo  saidia kuchochea  ukuaji  wa  misuli ya  uume ni  pamoja  na :
1.   Kujengeka kwa  mafuta kwenye  mishipa  ya ateri ipitishayo  damu kwenda  kwenye  misuli ya  uume  na  hivyo  kuzuia kutiririka  kwa  damu kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.
2.    Kujengeka  kwa  tishu zisizo  vutika ndani ya  mishipa  ya  ateri. Tishu  hizi  huzuia  mishipa ya  ateri kupanuka  na hivyo  kushindwa kuongezeka ukubwa.

KWANINI  PUNYETO HUSABABISHA  UUME KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUONEKANA  KAMA  UUME  WA  MTOTO  MDOGO ?

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.
 Homoni  hizo hujulikana  kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.
 
Ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.
 
Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.
 
Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.
Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.
Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.
 
Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika   ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.
Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.
 
Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushinda  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.
Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  wakati wa  kubalehe.

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.

Kama uume wako  umedumaa, umesinyaa, umelegea, umenywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo.
HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 

Yapo  MAFUTA  YA  ASILI  ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME.
Ni  mafuta  ya  asili  kabisa  yasiyo  na  kemikali  yoyote ya  kiwandani  ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI   YANAVYO   TUMIKA
Mafuta  haya  hutumika  kwa  kuchua  uume. Na hutumika  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni kwa  muda  wa  siku  thelathini.
MAMBO   YANAYO FANYWA  NA  MAFUTA  HAYA
Mafuta  haya  husaidia  katika  mambo  yafuatayo :
1.    Kuimarisha  na  kuipa  nguvu mishipa  iliyo legea kwa  sababu  ya  punyeto
2.   Hunenepesha  uume  ulio sinyaa  kwa  sababu  ya  punyeto
3.   Hurefusha  uume  ulio dumaa  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ya  punyeto.
4.   Huimarisha  na  kuongeza  nguvu  za  kiume
5.   Hukupa  uwezo wa  kurudia tendo  bila  kuchoka
6.   Hukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu.
7.   Husaidia  kuongeza  na  kuimarisha  nguvu  na  nishati ya  misuli ya  uume.

JINSI YA  KUYAP ATA
Kuyapata  mafuta  haya, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST  lililopo  UBUNGO  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  PLAZA  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
 
Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  muda  wa  kufika  ofisini kwetu, tunayo huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ndani ya  jiji la  Dar  Es Salaam  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )
Kwa wateja  wetu waliopo  nje  ya mkoa  wa Dar  Es  Salaam na  Zanzibar, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  na boti.
 
WASILIANA NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84
Na kufahamu  kuhusu  tiba  asilia ya  magonjwa  na  matatizo mbalimbali  ya  kiafya, tutembelee  kila  siku :
 

IGP Sirro: Tutamshughulikia Mange Kimambi

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro amefunguka na kusema kuwa jeshi la polisi linatambua makosa ya kimtandao yanayofanywa na mwanadada Mange Kimambi na kusema kuwa jeshi la polisi linashughulikia suala hilo.

IGP Sirro amesema hayo jana  alipokuwa mjini Iringa kwenye ziara ambapo alisema kuwa jeshi la polisi linatambua uvunjifu wa sheria ya makosa ya kimtandao yanayofanywa na mwadada huyo maarufu mitandaoni ambaye amekuwa mkosoaji wa mambo mbalimbali na kutoa machapisho ambayo serikali inaona ni ya matusi na kashfa kwa serikali na viongozi wake.

Aidha IGP Sirro alisema kuwa kwa sasa hawawezi kuweka wazi ni hatua gani zinachukuliwa dhidi ya mwanadada huyo ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani

Mbali na hilo  IGP Sirro alisema jeshi hilo halitawavumilia maafisa wa polisi na askari wanaowasaidia watu wanaofanya unyanyasaji kwa watoto kwa kuwafanyia vitendo vya ubakaji na ulawiti ili kukwepa mkono wa sheria huku akiwataka wananchi wanaohisi kutotendewa haki katika kushughulikia makosa ya aina hiyo kupeleke malalamiko kwa wakuu wa mikoa na viongozi wengine.

Serikali kupitia Waziri Mwijage wamjibu Dangote

$
0
0
Serikali kupitia kwa Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage imekanusha madai yaliyotolewa na Aliko Dangote kuwa, sera za serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt Magufuli zinatishia wawekezaji.

Akizungumza na gazeti la The Citizen jana, Waziri Mwijage amesema kuwa sera za uwekezaji ziko wazi na zina lenga kuhakikisha kuwa, serikali pia inanufaika na rasilimali za nchi.

Dangote ambaye ni tajiri namba moja Afrika alinukuliwa akisema kuwa, serikali imeweka sera ambazo zinaifanya imiliki asilimia kubwa ya hisa kwenye mali.

"Wanawatisha wawekezaji wengi, na kuwatisha wawekezaji sio kitu kizuri kufanya," alisema Dangote katika mkutano wa Afrika uliofanyika jijini London.

Dangote ni miongoni mwa wawekezaji Tanzania ambapo anamiliki kiwanda cha saruji chenye thamani ya Tsh 1.3 trilioni katika Mkoa wa Mtwara.

Waziri Mwijage alisema kuwa, wawekezaji katika Sekta ya Uchimbaji  wanatakiwa kutoa umiliki wa asiliimia 16 kwa serikali ili kuhakikisha kuwa nchi inafaidika kutokana na rasilimali zake. Aliongeza waziri huyo kwamba, anategemea mtu kama Dangote ambaye ni mwekezaji mkubwa nchini, awe na uelewa kuhusu sheria za nchi.

"Kampuni inapokuja kuwekeza katika sekta ya uchimbaji, hisa za serikali hazitakiwi kuwa chini ya asilimia 16, na hili si kosa kabisa kwa sababu rasilimali ni zetu," alisema Waziri Mwijage.

Aidha, Waziri Mwijage alisisitiza kuwa atahakikisha wawekezaji wote nchini wanafuata sheria, na kwamba hakutegemea kama Dangote angekuwa mmoja wa watu ambao wangekosoa mazingira ya uwekezaji Tanzania.

“Dangote amekuwa hana tatizo hapa. Wakati wowote anapokumbwa na tatizo, serikali yote hukimbia na kumsaidia. Unakumbuka alipokuwa na tatizo mwaka jana, wote tulikuwepo kwa ajili ya kumsaidia,” alisema Waziri Mwijage.

Katika mkutano huo, Dangote alisema uhusiano wake na Rais Magufuli ni mzuri, lakini akamshauri kuangalia upya sera zake za uwekezaji.

Pata Tiba Asili ya Makovu, Chunusi, hips na Mvuto wa biashara

$
0
0
Kutana na mtaalam wa tiba aili. Anatibu tatizo la  nguvu za kiume, kurefusha na kunenepesha uume, tatizo la kuwahi kufika kileleni, kumvuta mpenzi, mke, mume ndani ya lisaa limoja.

Pia anadawa ya kutengeneza shape, hipsi, umbo namba nane..Anadawa ya asili ya makovu na chunusi, dawa za biashara, kuzuia chuma ulete.

==Wasiliana nae kwa; 0683474755

Mfumuko Wa Bei Wa Taifa Wa Mwezi Septemba, 2017 Umeongezeka Mpaka Asilimia 5.3

$
0
0
Mfumuko wa bei umeongezeka kwa kutoka aslimia 5.0 Agosti hadi 5.3, Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ephraim Kwesigabo alisema ongezeko hilo limechangiwa na kupanda kwa bei za vyakula na nyinginezo.

“Baadhi ya bidhaa za vyakula zilizochangia ongezeko hilo ni dagaa asilimia 7.6, matunda makavu kama nazi kwa (3.1), viazi vitamu kwa (3.0), mchele (1.5) na ndizi (1.5),” alisema Kwesigabo. Bidhaa nyingine zilizochangia ni mkaa kwa asilimia 4.0, dizeli (2.4) na petroli (0.6).

“Farihisi za nishati na mafuta, vyakula na vinywaji baridi zimekuwa na mwenendo wa juu kwa kipindi chote zikilinganishwa na farihisi nyingine,” alisema Kwesigabo.

Alisema kundi la nishati na mafuta limekuwa na mwenendo usio imara ikilinganishwa na makundi mengine kwa kipindi husika, huku bidhaa zisizojumuisha chakula zikionyesha mwenendo wa bei ulio imara.

Pia, Kwesigabo alisema mfumuko wa bei za vyakula vya nyumbani na migahawani umeongezeka hadi asilimia 9.8 kwa Septemba kutoka asilimia 9.1 Agosti, huku mfumuko wa bei ambao haujumuishi vyakula na nishati kwa Septemba ukipungua hadi asilimia 1.7 kutoka 1.8 ya Agosti.

Naye Meneja wa Takwimu za Ajira na Bei, Ruth Minja alisema uwezo wa Shilingi ya Tanzania kununua bidhaa na huduma umefikia Sh92.18 kwa Septemba ikilinganishwa na Sh92.20 ya Agosti.

Umoja wa Wanawake Tanzania Wampongeza Rais Dk Mafuguli Kwa Kufanya Mabadiliko Baraza La Mawaziri

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Mkuu wa Shule ya Sekondari Migukulama, wilayani Sengerema AJINYONGA

$
0
0
Mkuu wa Shule ya Sekondari Migukulama iliyopo Halmasahauri ya Buchosa wilayani Sengerema, Benerdicto Lweikiza (45) amejinyonga hadi kufa akiwa chumbani kwake.

Taarifa za kujinyonga kwa mwalimu huyo zilianza kusambaa wilayani Sengerema na kuthibitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa wa Halmashauri ya Buchosa, Crispin Luanda.

“Ni kweli mwalimu huyo amejinyonga alikuwa mkuu wa Shule ya Sekondari Migukulama na amefikia uamuzi huo majira ya saa tisa mchana wa leo (jana) nyumbani kwake Mtaa wa Kilabela mjini Sengerema,” alisema Luanda.

Mmoja wa wanafamilia wa mwalimu huyo, Martin Kalemera alisema kuwa wao kama familia wanashangazwa na suala hilo na hawaamini kilichotokea ikiwa ni miaka mitano imepita tangu mke wake afariki dunia.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Emmanuel Kipole alithibitisha kupata taarifa ya kifo cha mwalimu huyo na kusema kuwa hajafahamu chanzo cha kufikia hatua ya kujinyonga na kamba chumbani kwake.

Alisema vyombo vya dola vinafuatilia kwa kina ili kubaini sababu.

Tukio hilo lilitokea saa chache baada ya gari aina ya Toyota Hiace kutumbukia ndani ya Ziwa Victoria na kuua zaidi ya watu 12 katika eneo la Kivuko cha Kigogo wilayani Misungwi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images